Hilo nalo nenoUnataka kusema alimteka au??
Na mnaposema anatembea na wake za Watu ni anawateka na kuwabaka au hao wake zenu wanaenda wenyewe??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo nalo nenoUnataka kusema alimteka au??
Na mnaposema anatembea na wake za Watu ni anawateka na kuwabaka au hao wake zenu wanaenda wenyewe??
wengine ni watu wa system ya ccm, walisaidia ccm kushinda kwa namna fulaniAlikuwa Cloudz huyo, kutoka kwenye burudani mpaka kuongoza watu sio kazi ndogo, naona CCM siku hizi wanajiokotea tu watu popote walipo.
huyu tangu kwenye uigizaji wake alikua mtata tu character anayopewa anakuaga na nyodo na katiri fulani hiviSimalenga ni huyu hapaView attachment 2255138
Ndugu zangu watu wa Wilaya ya Songwe msipokuwa makini mtaonekana ni watu wa ajabu kwa kila mteule wa Rais atakaeletwa kuja kuwatumikia kwasababu ya watu wawili Mbunge Philipo Mulugo na Mwenyekiti wake wa Halmashauri ya Wilaya Mzee Abraham Sambila.hapa
Huyu Mulugo amezoea kuonea kila anaekuwa kinyume na uharamia wake. Ni majungu tu kiongoziwatajadili
Ni kawaida kabisa kuwa kenge hawezi kuamini kuwa ameumia hadi damu zimtoke kwenye masikioHabari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Kachamganya tu badala ya mwanamziki alikuwa na maana ya kuandika mwana wa bongo movieSimalenga hajawahi kua mwanamuziki.Hayo mengine watajadili wengine
Umemaliza kaziKIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, KIDUMU CHAMA TAWALA. Pambaneni na Hali zenu. ASANTE
Dr. SimalengaHabari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.