Simon Simalenga, hujifunzi kwa Sabaya? Kila lenye mwanzo lina mwisho

Ivumavyo Haidumu!

Hajachelewa Abadilike Haraka Sana, Atakuja Juta!!

 
Hiii Wilaya kama imelaaniwa kuna jamaaa mmoja anatwa bhange anasumbua watumishi mpaka basi yeye anakula na mademu zake tuuu na kuwaoa vyeo, amesharipotiwa sana tamisemi kwa kukataa kusaini uhamisho wa wafanyakaxzi.
 
Nafahamu hilo ila nilikua nazunguumzia wateuliwa wengine the likes ya waandishi wa habari kama Gabriel Zakaria, Mwanamuziki kama Niki Wa Pili na mwanamitindo kama Hoyce Temu na Basila Mwanukuzi.

Hivyo ni vyeo vya hisani kuhamasisha vijana kushikamana na CCM na kupigia debe la nguvu viongozi wake. Unnecessary overheads.
 
Unataka kusema alimteka au??

Na mnaposema anatembea na wake za Watu ni anawateka na kuwabaka au hao wake zenu wanaenda wenyewe??
Hapa unakosea; Kiongozi kutembea na wake za watu ni utovu wa nidhamu na ikithibitika kweli unafanya hivyo UNAFUKUZWA KAZI..
 
Ccm huwa inateua watu wa hovyo sana,huyu alikuwa muigizaji leo Kawa DC,Elimu ya kuunga unga,
 
Atavuna anachopanda
 
Kwani mkuu huoni kwa sasa serikali yenyewe inavyoendeshwa kisanii uliona wapi serikali inayokopa pesa kwa ajiri kujenga vyoo
 
Unataka kusema alimteka au??

Na mnaposema anatembea na wake za Watu ni anawateka na kuwabaka au hao wake zenu wanaenda wenyewe??
Wanawake wa kiswahili wanaoishi kwa bajeti ya 3000/- kwa siku

Unadhani wakishawishiwa hawakubali au walimu na wauguzi wanaorubuniwa kwa kigezo cha kutafutiwa kazi nzuri au kuongezwa daraja, ujue mwanamke ni kiumbe dhaifu basi tu.
 
Wanawake wa kiswahili wanaoishi kwa bajeti ya 3000/- kwa siku

Unadhani wakishawishiwa hawakubali au walimu na wauguzi wanaorubuniwa kwa kigezo cha kutafutiwa kazi nzuri au kuongezwa daraja, ujue mwanamke ni kiumbe dhaifu basi tu.
Acha kubishana na watoto hawaelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…