Simon Simalenga, hujifunzi kwa Sabaya? Kila lenye mwanzo lina mwisho

Wanawake wa kiswahili wanaoishi kwa bajeti ya 3000/- kwa siku

Unadhani wakishawishiwa hawakubali au walimu na wauguzi wanaorubuniwa kwa kigezo cha kutafutiwa kazi nzuri au kuongezwa daraja, ujue mwanamke ni kiumbe dhaifu basi tu.
Hao viumbe dhaifu ni hao Wanawake wa huko kwenu, Mwanamke sio dhaifu anayerubunika ni Mtoto na sio Mwanamke kamili mwenye kujielewa.... Mnaoa machangudoa halafu mnawatetea eti wanarubuniwa kwa kua ni dhaifu,

Rubbish.
 
Mbna songwe haiana mademu wakali
 
Nijuacho mm jamaa alikuwa muigizaji na aliishia fom 4 sijui kaenda kufoji vyeti wapi hsdi kuwa pale
 
Sijuwi kwanini watu wanakiburi cha mamlaka.Tabia ya majivuno,dharau na matusi anazopia mkuu wa wilaya ya ludewa mkoa wa njombe.Wajirekebishd cheo ni mapambo ya kuazima.Kuna watu wanahela na elimu kuliko wao lakini hawana majivuno.
 
Wateuliwa wengi kwa sasa kama sio waandishi wa habari basi ni wasanii wa mziki na maigizo.

Yaani watu wanaofanana mtazamo.

Huyu ni mteule wakati wa Magufuli,

Mama ondoa huu uozo, utakuharibia sifa yako njema uliyokwisha jijengea tayari kwa wananchi!! Kuna watu wengi tu wenye weledi wa uongozi wenye kuheshimu wananchi na shughuli zao, siyo dhulumati na wenye uongozi wa kunyanyasa wananchi!
 
Mchukueni picha za matukio yake mlete hapa,
 
Eh wanaume huko mnaporwa mmetulia tu tuli

Ova
 
Hizo ni tabia za wanaCCM
 
Kwa kweli Serikali inatakiwa kuwateua watu wenye maadili, weledi na wasomi kuwa Wakuu wa Wilaya. Serikalini kuna watumishi wazuri tena wenye kisomo halafu unamteua mwanamuziki, muigizaji kuwa mkuu wa Wilaya. Sijui yule wa Rorya ana fani gani. Nasikia alikuwa muigizaji.
 
Mambo yale ya Richard Nwesiga kuwa Mjurugenzi wa TPDC😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…