Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hao viumbe dhaifu ni hao Wanawake wa huko kwenu, Mwanamke sio dhaifu anayerubunika ni Mtoto na sio Mwanamke kamili mwenye kujielewa.... Mnaoa machangudoa halafu mnawatetea eti wanarubuniwa kwa kua ni dhaifu,Wanawake wa kiswahili wanaoishi kwa bajeti ya 3000/- kwa siku
Unadhani wakishawishiwa hawakubali au walimu na wauguzi wanaorubuniwa kwa kigezo cha kutafutiwa kazi nzuri au kuongezwa daraja, ujue mwanamke ni kiumbe dhaifu basi tu.
Pole sana kwa kurubunika,Ukikua utaelewa
Mbna songwe haiana mademu wakaliHabari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Sijuwi kwanini watu wanakiburi cha mamlaka.Tabia ya majivuno,dharau na matusi anazopia mkuu wa wilaya ya ludewa mkoa wa njombe.Wajirekebishd cheo ni mapambo ya kuazima.Kuna watu wanahela na elimu kuliko wao lakini hawana majivuno.Habari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Kila ubaya utalipwaSimalenga ni huyu hapaView attachment 2255138
Wateuliwa wengi kwa sasa kama sio waandishi wa habari basi ni wasanii wa mziki na maigizo.
Yaani watu wanaofanana mtazamo.
Mchukueni picha za matukio yake mlete hapa,Habari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Kwanini huyo demu hakumshitaki, vinginevyo walikubaliana, demu alimsaliti mwenye chakeHuyo jamaa katiri Sana, alimchukua demu wa jamaa mmoja kwa nguvu
Unamuongelea Juma Mchopanga. "Jibebe".Ametoka lini rorya? Huyu wa kaole si wa rorya,yule alosoma veta ya india akapata masters kwa wiki tatu
Hizo ni tabia za wanaCCMHabari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Anakuwa na polisiHuyo jamaa yako hana mikono? Mkuu wa Wilaya anapofanya kosa kama hilo ni rahisi mno kumuabisha, mtie ngumi nyingi za usoni halafu tuone nini atakufanya. Vijana mnakuwa wajinga kiasi hicho.
Mambo yale ya Richard Nwesiga kuwa Mjurugenzi wa TPDC😅😅Habari zenu ndugu zangu.
Kuna huyu mkuu wa wilaya ya Songwe ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki anaitwa Simon SIMALENGA.
Alifika hapa Songwe kwa mbwembwe na utoto mwingi tukadhani hajazoea cheo akizoea atajifunza lakini wapi.
Alifika hapa akaifungia bar Moja pale mkwajuni bila sababu kisa tu anamchukia mmiliki.
Anatembea na wake za watu na anawatishia wahusika kuwa hawana Cha kumfanya.
Sasa ameingia kwenye kiini Cha wilaya ya Songwe yaani madini, anawatesa wachimbaji wadogo huku akiwatisha wakisema chochote "ATAWAPOTEZA".
Tunajua wakuu wa wilaya wanaoletwaga sehemu za madini wanaletwaga strategically ili watimize matakwa ya watu Fulani.
Lakini nawashauri Hawa watu (sisi wananchi tunawajua) ambao wanaubia na huu mgodi wa Shanta gold mine, Kama wamemleta huyu mtu asimamie maslahi Yao wajue wamemleta kichaa wataharibu.
Jifunze kwa SABAYA.
Karma worksAtavuna anachokipanda
Huyo demu naye akakubali?Huyo jamaa katiri Sana, alimchukua demu wa jamaa mmoja kwa nguvu
Alotaka kugeuza ubao huyo Eltwege a.k.a StrokeHuyu aliteuliwa na jiwe, pamoja na yule Jokate...hujui hilo?