wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Korona hakunaKwanini anasema corona hamna wakati watu wanaugua?
Hao wanaugua magonjwa mengine
Hivi mbona hamuelewi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Korona hakunaKwanini anasema corona hamna wakati watu wanaugua?
Askofu acha chuki zako binafsiMficha ugonjwa vifo VITAMUUMBUA!
Toa mbinu za kupambana na korona mzee acha kelele zakoUsipotoshe kuhusu types of immunity.Kuna wataalam humu wanakucheka sana wakiona dhana yako kuhusu immunity.
Mkuu heshima yako. Pamoja na hili andiko lako naomba nikuambie tu kwamba , inchi za Asia zimefanikiwa kudhibiti corona kwa sababu ya nidhamu katika uvaaji wa barakoa. Hapa kwetu barakoa zilitupwa kule kisa mtu mmoja katangaza korona imemalizwa na maombiKorona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpk leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpk leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!
Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata ktk mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.
Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nn?
Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?
Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.
Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.
Halafu hii kunawa nawa, nayo pia Ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?
Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpk leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.
Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.
Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa rais kwa kuwa ushindi wake ktk uchaguzi wa 2020 mpk siku nakufa sitaukubali), lkn kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.
Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM ktk suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?
Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??
Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).
Nimemaliza.
Hilo hakuna anaelipinga. Watu tunajiuliza unatujengeaje hofu wakati huo huo wewe umejawa na hofu iliyokupelekea kujitenga??Amewaondolea kwa kuwaambia nyoka katoka nje kupitia mlango wa nyuma.
Ndiyo maana JPM kakomaa kwa kusema korona haipo nchini ili kutuondolea hofu.
Lkn angekiri hadharani hapo angesabbisha hofu kubwa.
Yap! Ili kuondoa hofu isiyo na maana. Hata akipiga kelele hakuna msaada ama tija yoyote.Unaunga mkono pia kufanya suala hili liwe la siri?
Pale ni Chato Camp hakuna muingiliano na wengine kama ambavyo angebaki Chamwino.mfano mfu, kwani huko chato aliko ni mbinguni ambako korona haifiki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndomana nawambia wajiongezeAnataka iwavalishe barakoa na kuwanawisha mikono
Watanzania hawana nidhamu. "Usipite hapa usiku" kuna mbwa wakali ndiyo wanapita.Asia zimefanikiwa kudhibiti corona kwa sababu ya nidhamu katika uvaaji wa barakoa
Umeandika Mheshimiwa Rais kwa kuanza moyoni na caps.. hata udonoe vipi.. ni Rais wako mpendwa.. umemfikiria hivyo na kumtaja hivyo hata unajisutaaaaaa eeeeeeeh... tano tena.. mtaelewa tu.. huku mkijuwaga yule alikuwa hawezi ya JPM..Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpk leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpk leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!
Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata ktk mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.
Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nn?
Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?
Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.
Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa rais kwa kuwa ushindi wake ktk uchaguzi wa 2020 mpk siku nakufa sitaukubali), lkn kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.
Naunga mkono hii hoja,upo sawa mkuu 🇹🇿🇹🇿Korona haina tiba wala haina kinga. Njia zote zinazoshauriwa ili kujikinga na korona ni za dhahania na nadharia tu. Ndiyo maana hakuna mahala popote walipofanikiwa kuiondoa na kuimaliza korona. Hizo chanjo zimekaa kisiasa na kibiashara tu. Mafua yana karne nzima mpk leo hakuna kinga, ukimwi una nusu karne mpk leo hakuna chanjo, halafu leo miezi 9 tunaambiwa Kuna chanjo ya korona! Rubbish!!
Njia na mbinu zinazopendekezwa kuchukuliwa kuepuka korona hazitekelezeki na zinaongeza tatizo. Tumeona maandamano na mabishano hata ktk mataifa makubwa kama Marekani, Brazil, Ujerumani na kwingineko wananchi wanapinga makatazo na masharti mbalimbali ya kujikinga na korona yanayowekwa na viongozi wao.
Sasa watanzania wenzangu mnaoshinikiza na kumtaka JPM atoe tamko kuhusu korona naombeni mnijibu. Mnatakaje? Alishasema tumuachie Mungu. Sasa kelele za nn?
Hivi mnataka JPM atangaze kitu gani kifanyike hapa nchini ili kuizuia korona zaidi ya kumwachia Mungu?
Awafungie watanzania ndani? Hawa hawa watanzania wanaokula kwa kufanya umachinga na uchuuzi? Hawa hawa wanaolima na kuvuna ndipo wapate mlo? Hawa hawa wanaochunga mifugo yao kwa kuzunguka nayo maporini? Ulaya kuna zero grazing. Hapa Tanzania na nchi zote za Afrika tutauwa watu na mifugo kwa njaa.
Na ndiyo maana South Africa hali ilikuwa tete, na pale Kenya ulifanyika usanii tu wa kuzuia watu kutoka usiku, halafu mchana kutwa wako majiani. Usanii mtupu. Uganda wamejikanyaga wakashindwa. Usiitolee mfano Rwanda. Kale kanchi ni kadogo sawa na kisiwa cha Unguja ndiyo maana wanagawana gunia kumi za unga kwa siku na zinawatosha.
Halafu hii kunawa nawa, nayo pia Ni ujinga tu. Unanawa halafu unaingia kwenye daladala kubanana? Mnashea kikombe cha maji ya kunywa nyumba nzima? Mnashea kete za bao, kopo la mbege, komoni na wanzuki? Acheni zenu bhana! BTW, kirusi kinauawa kwa kunawa? Sanitizer inauwa kirusi? Unazijua tabia za kirusi?
Virus is immortal. Why? This is because Virus is the RNA/DNA particle. Na ndiyo maana mpk leo ukitaka DNA/RNA ya dinosaurs walioishi miaka milioni150 iliyopita utapata.
Mnataka atangaze watanzania wavae barakoa? Hawa hawa wanaokosa hata leso ya kufutia kamasi? Hawa hawa wanao omba mia tano ya kununua kipande cha muhogo?? Hapa tutasababisha mlipuko wa magonjwa mengine. Maana watu wanaweza kuvaa kitambaa mwezi mzima bila kukifua.
Tumuunge mkono JPM (simtaji kama mheshimiwa rais kwa kuwa ushindi wake ktk uchaguzi wa 2020 mpk siku nakufa sitaukubali), lkn kwenye suala la korona namuunga mkono 100%.
Tuweke pembeni chuki na tofauti zetu zote za kila aina tuangalie uhalisia. Msimamo wa JPM ktk suala la korona unaendana na uhalisia na ndiyo njia bora ya kuifuata. Hayo mataifa yanayojitia kuwafungia na kupiga sanitizer watu wake wamefanikiwa kiasi gani kujikinga na korona?
Halafu hivyo vifo Cha mmoja mmoja vinavyotokea mbona ni kidogo sana kuliko vile vya magonjwa kama malaria, TB, ajali, ukimwi, n.k?? Kwann hivi havihesabiwi??
Wewe mwenye unafuu wa maisha kaa ndani tuache walala hoi tuendelee kuzurura na kupengeana makamasi ili miili yetu ijenge kinga asili dhidi ya korona. (Kajisomee types of immunity, kuna natural na artificial).
Nimemaliza.
Mkuu mbona alikuwa na ziara huko Kagera na juzi tu alikuwa na mgeni toka Ethiopia. Hizo si ndiyo kazi za rais?Hilo hakuna anaelipinga. Watu tunajiuliza unatujengeaje hofu wakati huo huo wewe umejawa na hofu iliyokupelekea kujitenga??
Askofu acha chuki zako binafsi
Tz hakuna korona
Hata ungenipa hongo ya kurefusha maisha yangu jiwe simpendi. Dikteta mkubwa huyu.Umeandika Mheshimiwa Rais kwa kuanza moyoni na caps.. hata udonoe vipi.. ni Rais wako mpendwa.. umemfikiria hivyo na kumtaja hivyo hata unajisutaaaaaa eeeeeeeh... tano tena.. mtaelewa tu.. huku mkijuwaga yule alikuwa hawezi ya JPM..
Hapana mkuu. Wagonjwa watibiwe.
Lkn fungu la wazungu huwa linaambatana na masharti ya kufanya lockdown. Ndiyo maana Kenya wanalazimika kuifanya lockdown kisanii.
Kivipi.. kudonoa visivyo vyako ndio unahangaika!!!.. wewe hukuwa hivi alipoanza.. lazima ulikumbwa na kitu.. ufisadi au? nini haswaaa!! maana mupo wengi sababu ni uvivu tu na kupenda vya shoti kati.. nimepatia?Hata ungenipa hongo ya kurefusha maisha yangu jiwe simpendi. Dikteta mkubwa huyu.
wewe baba zima unasubiri barua ama matangazo kwenye viwanja vua mpira!!!!