Simpendi nataka kuachana naye ila sijui namwachaje?

Simpendi nataka kuachana naye ila sijui namwachaje?

afu wewe ni muongo sana, kuna uzi uliutoa hapa kipindi cha nyumba ulisema wewe ni kijana wa kiume
Huo uzi kuna kipindi nilishautolea maelezo kuwa sikuwa mie kama unafatilia thread zangu utaelewa
 
Huyu jamaa sjui dada,ana nyuzi za nyuma anasema mara yeye ni kijana wa miaka 29 ana dem wake anashindwa kumpata,mara tena yeye ana miaka 23 anasoma udsm kuna majamaa wawil wanamchanganya,yaan huyu ana jinsia mbili,leo ke kesho me...ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
Huo wa mwanaume nilishautolea maelezo alikuwa just friend ila niliamua kuvaa uhusika wa mie ili kufikisha ujumbe kwa hadhira but huo wa huyo dada wa miaka 23 ilikuwa ni mimi reality ila hamkunipa ushauri wa muhimu zidi ya kuniona muhuni.
 
Huo ni upumbavu wa kupindukia, unakaa kwenye mahusiano miaka mitano humpendi mwenzio, si haba ulikua kupe wewe (ulikuwepo kimaslahi)

Achana nae usiingie ndoani ila ujue utapata laana kwa kumuumiza huyo mwenzio ambaye miaka yote hiyo anajua kuwa ana mwenza wa maisha kumbe ni ruba tu anaemnyonya kama kupe.

Mnaboa sana watu kama nyie bora unywe sumu tu ufe
 
Hapo ulishakosea maisha forever kuna uwezekano ukiachana nae utakuwa mkiwa sana japo now wajiona sahihi
 
muache ila usije ukajutia maamuzi yako baadae.kuna ile tabia ya kurudi na kusema ni shetani alikupitia. katik haya maisha muda mwingine ni kukubali hali iliyopo. Je kuna mwanaume unampenda zaidi yake huyo?
 
Mmh. Pole sana ila kama haiingii akilini vile na pia nashindwa kukushangaa pale unapomuhusisha mama yako kwenye hivi vitu sababu kwanza inachotakiwa siku zote tuwe ni wenye na misimamo iliyo thabiti, kama kitu hukitaki ni kuwa muwazi hivyo sidhani kama ingekuwa maajabu ya dunia kama ungemwambia huyo jamaa yako uwazi na pia kumwambia mama yako kuwa huyo mwanaume sio chaguo lako. Sababu mwisho wa siku utakayeolewa ni wewe na sio hao wazazi wako.

Na huko kukubali kwako mwanzo na kujifanya kukataa mwishoni kutawafanya wewe na mama yako wote muonekane hamnazo.

Ila kiukweli saa nyingine baadhi ya wanawake huwa tuna visa aisee.
 
Huyu jamaa sjui dada,ana nyuzi za nyuma anasema mara yeye ni kijana wa miaka 29 ana dem wake anashindwa kumpata,mara tena yeye ana miaka 23 anasoma udsm kuna majamaa wawil wanamchanganya,yaan huyu ana jinsia mbili,leo ke kesho me...ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
Anatuzingua huyu
 
miaka mi 5 unakaa na mtu halafu unasema humpendi. wanawake mna matatizo sana. Mungu akusaidie
 
Nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha, nipo njia panda

Mwanzo walikuwa wawili alafu wote huwapendi. Kweli wewe unahitaji maombi, mtafute Gwajima akuombee
Yes katika hao niliamua kuachana na mmoja yule wa kichuochuo na kuamua kubaki na mmoja ambaye amaekuwa msaada mkubwa kwangu na familia yangu but in reality naona amani inazid kupotea kuelekea kwa ndoa hii.Na unayenambia kuwa nahitaji maombi as if we hujawahi kutenda dhambi au we ni mkamilifu mno.
 
afu wewe ni muongo sana, kuna uzi uliutoa hapa kipindi cha nyumba ulisema wewe ni kijana wa kiume
Haaahaa! Nimecheka sana baada ya kusoma ule uzi akiwa me! Leo ni ke! Jf rahaaa
 
Huyu jamaa sjui dada,ana nyuzi za nyuma anasema mara yeye ni kijana wa miaka 29 ana dem wake anashindwa kumpata,mara tena yeye ana miaka 23 anasoma udsm kuna majamaa wawil wanamchanganya,yaan huyu ana jinsia mbili,leo ke kesho me...ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu.
Ooh kumbe..
 
Yes katika hao niliamua kuachana na mmoja yule wa kichuochuo na kuamua kubaki na mmoja ambaye amaekuwa msaada mkubwa kwangu na familia yangu but in reality naona amani inazid kupotea kuelekea kwa ndoa hii.Na unayenambia kuwa nahitaji maombi as if we hujawahi kutenda dhambi au we ni mkamilifu mno.
Hakuna binadamu aliyekamilika lakini wewe umekubuhu dada, i am sorry, it's too much kwa ulipofikia


Kwahiyo saivi unaona jamaa alikua msaada amekusaidia wewe na familia yako mpaka umetoboa sasa unajiweza unaona it's time you say bye? Really? Does it make sense to you?
 
Hakuna binadamu aliyekamilika lakini wewe umekubuhu dada, i am sorry, it's too much kwa ulipofikia


Kwahiyo saivi unaona jamaa alikua msaada amekusaidia wewe na familia yako mpaka umetoboa sasa unajiweza unaona it's time you say bye? Really? Does it make sense to you?
Huko kukubuhu kwangu ndo kumeniponza now nimefika hatua nashindwa kujinasua
 
Angalia kama yy anakupenda na sio ww kumpenda maana siku hizi kumpata atakaye kupenda ni kazi sana tena ogopa sana ww upende utajuta maisha bora upendwe ww
 
Dada una umri wa makamooo manakee ni early 30's then unakwepa ndoa aya maamuzi ni yakooo.
 
Hujawahi mpenda lkn mmedumu kwenye uchunba miaka mitano? Amini nakuambia hata hyo ndoa itadumu kwa msaada Mungu, unless kuna kitu umetuficha hujakisema
Hahahaaa. Inaweza kudumu swahiba ila mwanaume akawa ni mwenye kupata shida ndani ya ndoa kwa kukosa upendo toka kwa mkewe.

Ila kama ulivyosema huenda kuna kitu nyuma ya pazia. Miaka 05 ni mingi sana aisee.
 
Usiolewe na mtu usiyempenda acha kabisa hamtakua na amani ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom