wenalitha
Member
- Apr 24, 2016
- 60
- 50
- Thread starter
- #61
A
Ahsante kwa ushauri but nami ni hofu yangu kubwa atakuja kunilipia cause nimeshamuumiza sana.So huu uhusiano bora niuvunje tu.mwambie mama yako, mwambie muhusika na umwambie mchungaji kwamba hujawahi kumpenda jamaa kabla hujaingia kwenye ndoa, maana jamaa ashajua kwamba humpendi na yeye atakuja kukuonesha kwamba amekujua mda tuu ukiwa tayari katika ndoa, hapo ni wewe ndio utakuwa mtumwa wake...wakati ndio huu wa kufanya maamuzi....ila una tabia mbaya sana.....