Simpendi nataka kuachana naye ila sijui namwachaje?

Simpendi nataka kuachana naye ila sijui namwachaje?

5yrs....eti humpendi...au vyuma vimekaza kwa jamaa...unajifanya humpendi ili tu umuache. ....mwambie tu. ..atapata wa kumpenda alivyo bibii weee
 
Mimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.

But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.

Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.

Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.

N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.

Miaka mitano unajifunza, ama kweli ndoa PHD.
 
Mimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.

But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.

Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.

Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.

N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.

UJAONGEA YOTE, SEMA NA IDADI ZA FEDHA ZAKE WEWE NA MAMA YAKO MLIZOKULA?!
 
Maangamizi au masumbuko kwenye maisha yetu huanzia pale tunapojikwaa kwenye kufanya maamuzi sahihi na kwa wakati sahihi......

Unapotakiwa kufanya maamuzi yanayo au yatakayo yagusa maisha yako moja kwa moja ,mtu pekee unayetakiwa kumpa kipaumbele ni WEWE kwa kiwa wewe ndio utakayekuwa muwajibikaji wa kwanza wa jambo lolote ulilolitolea maamuzi.......

Ndoa ni moja ya jambo nyeti linalokuhusu wewe binafsi na sio mtu mwingine....wewe ndio mhanga wa kwanza wa ndoa yenye migogoro na mahangaiko....wewe ndio mhanga wa. Kwanza wa ndoa iliyojaa mateso na manyanyaso wewe ndio mhanga wa kwanza wa ndoa iliyokosa furaha..........lakini yote hayo ya naweza kuzuiwa na wewe kufanya maamuzi sahihi na kwa wakati muafaka......

Kwa kipindi hiki ndio unatakiwa ujue kuwa wewe ndio umeshikilia funguo na huzuni kwenye maisha yako....

Kwa kipindi hik ndio unatakiwa ujue kwanini wewe ni mtu mzima na sio mtoto tena.......

Kwa kipindi ndio unapaswa kuwaonyesha wazazi wako kuwa wewe umeshakuwa mkubwa na unatakiwa kufanya maamuzi yanayohusu maisha yako bila ya kuingiliwa......

Busara zako pekee kwenye kufanya maamuzi ndizi zitakazokuvusha salama kwenye mtego huu......

NB;

Hakuna kitu kigumu kwenye maisha kama kuishi na mtu ambaye huna furaha naye.....

Ni sawa kuishi kwenye gereza lenYe starehe za kila aina.......
nimekuelewa sana mkuu
 
Hiyo ndiyo shida ya uzinifu na kutafunwa kabla hujaolewa.Sasa unataka uachane naye ukampelekee kiporo mtu mwingine?Alipe mahari kabisa ili ukienda kuolewa na mtu mwingine uwe umeshalipiwa wazazi wako wasidai kitu.Heri ukweli unao uma unaosemwa sasa kuliko uwongo unaofariji kwa mda mrefu.
cartoon.jpg
cartoo 2.jpg
 
kama mbwai iwe mbwai....mwenzio nilirudisha na Mali kabisa...wazazi nao shida sana
 
Mimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.

But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.

Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.

Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.

N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.
Hiyo kazi ndogo tu chukiwa huu ushauri wangu na nakuahidi mama yako asipo kuelewa na hapo basi huyo mama yako mgawe bure :

Mwaambie mama yako kuwa jamaa ana Uume mkubwa kuliko kawaida na umekuwa ukipata maumivu makali kila unaposhiriki naye tendo la ndoa mbaya kuliko zote Jamaa anataka kukuingilia kinyume na Maumbile kila mara anakushawishi kufanya hivyo.

Hivyo hauta weza kuwa naye na kufunga ndoa naye ndoa kwa sababu hizo kubwa mbili

Akikuuliza kwa nini ulidumu naye kwa miaka mitano Mwaambie mlikuwa mnafanya tendo la ndoa mara chache chache.

Ukithubutu tu kuyasema hayo
Niadalie kabisa shukrani yangu kwani hapatakuwa na ndoa hapo.
 
Kosa la kwanza ulilo lifanya ni kushindwa kufanya maamuzi na msimamo wako siku ile ya kwanza ulipo mkubaria. Niaheri ungemuweka wazi asinge sumbuka kiasi hicho. But ndivyo dunia ilivyo kumpenda asiye kupenda hiyo inaitwa kulazimisha maisha ya upendo ili siku zipite.
 
Sikiliza moyo wako, jua hayo ni maisha yako hakuna atakayekuja kukupa amani wakat amani inakutaka wewe mwenyewe uiandae, Angalia maslah yako. Fanya roho yako inachopenda usikubali kwa sababu jamii yako labda itakuonaje, no hayo ni maisha usifanye kama kupata katiba ya nchi. ambayo kila raia anatakiwa kutoa maoni
 
Sina la kusema kwakweli dah! Maana nahisi kama ungekua Mimi kichwa kingewaka moto nikijua for 5 years eti kumbe hupendwi. Eneway mwambie tu kuwa humpendi yeye ndo atafanya maamuzi kama anakuoa hivyo hivyo ama anabadili mawazo.
 
Hiyo ndiyo shida ya uzinifu na kutafunwa kabla hujaolewa.Sasa unataka uachane naye ukampelekee kiporo mtu mwingine?Alipe mahari kabisa ili ukienda kuolewa na mtu mwingine uwe umeshalipiwa wazazi wako wasidai kitu.Heri ukweli unao uma unaosemwa sasa kuliko uwongo unaofariji kwa mda mrefu.View attachment 646394 View attachment 646395
Mahali washalipa na nimepanga nitairudisha.
 
Yaani kama kuna watu hawapo serious ni pamoja na mtoa mada...yaani ukae ma mtu mwaka mmoja hadi mitano humpendi? Mpaka mmeanza mipango....aaaah utamkumbuka huyo na umakamo wako
 
Ok., vizuri sana, kwahiyo wewe jukumu lako hiyo miaka mitano lilikuwa ni kumtengenezea Mwanamke mwenzio Mume? Inakuaje hv ss ndo umemtengeneza amekuwa Mume ww ndo unataka kumuacha kama si uhayawani huo? Au hv sasa umejivisha jukumu la kutengenezea Wake wenzio Husband material? By then kwa mujibu wa Uzi wako hoja yako ya Msingi ni;
"Mimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.

But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out"
Hivi ss unadai unamuacha kwakuwa hakuwa Mtu wa kuwaza maendeleo Unajielewa kweli ww?
NB: Hebu tolea ufafanuzi wa wewe kuwa She male kama Wadau walivyokushutumu hapo juu nisije kuwa najibizana na Punga hapa!
Mimi ni binti na watu wa jf baadhi nishawahi kutana nao na kuhusu huo uzi wa huyo kaka nahisi nishatoa ufafanuzi rejea post zilizopita
 
Back
Top Bottom