Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
mwandikie barua umueleze humpendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha, nipo njia pandaMimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.
But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.
Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.
Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.
N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.
PANGA SIKU MKUTANE GETO UWEKE CHUPI ZAKIUME NYINGI USED AF WEKA PENSI NAHSI ZALI LITAANZIA HAPO ETMimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.
But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.
Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.
Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.
N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.
Nina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha, nipo njia pandaHujawahi mpenda lkn mmedumu kwenye uchunba miaka mitano? Amini nakuambia hata hyo ndoa itadumu kwa msaada Mungu, unless kuna kitu umetuficha hujakisema
Aisee inashangaza kidogoHahahaaa. Inaweza kudumu swahiba ila mwanaume akawa ni mwenye kupata shida ndani ya ndoa kwa kukosa upendo toka kwa mkewe.
Ila kama ulivyosema huenda kuna kitu nyuma ya pazia. Miaka 05 ni mingi sana aisee.
Mtu mpaka kaja hapa mjue limemfika kooni kuna uzi niliwahi leta kuwa nina wawili but wote siwapendi wengi mlinishauri nibaki na anayenisaidia but katika kusema kuvumilia kumbe ndo nazidi kuivisha jipu .Kumbukeni kuna wakati mtu akija na shida kuieleza anajua atapata msaada na si kejeli kumbukeni wengi hapa tunatumia fake identity na hatujuani japo wapo baadhi najuana nao ila naamini naweza pata cha kunisaidia.HASA HAPA UMEKUJA KUFUATA NINI UNGEKAA NAYO MOYONI .......ushaona haiwezekani unataka tukupe ushauri gani sasa?tukwambie umuue au ujiue ?
Eeehh haya bana amua mwenyewe, ni maisha yako hata hivyo.. Tunaweza kupoteza muda kushauri kumbe unajua unachotaka kufanyaHuko kukubuhu kwangu ndo kumeniponza now nimefika hatua nashindwa kujinasua
Ndio hicho nasema kuna kitu anatuficha haiwezekani uishi na mtu kwenye uchumba five good years alafu useme humpendiNina wanaume wawili tofauti na wote wanataka kuja nyumbani kujitambulisha, nipo njia panda
Hizo zote mbwebwe tu.
Huyu binti anatafunwa na rejea hiyo link
Usilogwe! Mtasaidiana sana kama mtakaa muongee sasa.. Sio uongee na mama au baba au mjomba au rafiki yake ongea naye yeye... Be civil ..truthful na uwe na busara sana.. Itauma ila atakushukuru milele. Na wewe utakuwa na amani.Mimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.
But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.
Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.
Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.
N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.
wenalitha asante sana kwa kunipotezea muda wangu na pia kunianika mtandaoni kwamba hunipendi. Umeshindwaje kuniambia mwenyewe kuwa hunipendi hadi nimeanza maandalizi ya harusi na tena yapo katika hatua hatua ya mbele sana. Hii sio fair kwa kweli na mimi nimekupenda kwa moyo wangu wote tumekuwa tukipanga maisha yetu ya baadae na ukinipa tunda bila hiyana, jamani kumbe moyoni una lako jambo. Kweli nimeamini kazi ya Moyo ni Kusukuma damu kupenda ni kiherehere tuuu.Mimi ni binti wa makamo nipo na mahusiano na mtu kwa miaka mitano sasa ila tangu nimeanza nae kwa kweli sijawahi mpenda.
But nilikuwa najipa moyo kuwa nitajifunza kumpenda lakini naona jitihada zote nilizofanya ili nimpende zimeshindwa kuwork out.
Sasa shida inakuja hivi sasa tupo kwenye process za ndoa lakini ndani ya nafsi yangu naona amani inapotea juu ya hii ndoa yani nazidi kumchukia daily.Nanaona kama nikiiforce hii ndoa kwa kweli nitakuja kuwa msaliti na sitaki kuja kuishi maisha hayo.
Sasa nashindwa naanzia wapi kusema hili jambo maana ni mtu ambaye anapendwa mno na wazazi wangu sasa sijui nitaelewekaje nyumbani na sitaki kupoteza heshima na upendo niliopewa na wazazi wangu na mchungaji wangu tangu utoto wangu kwa ajili ya huyu mtu.
N.B mpaka tunaanza process za ndoa si kwamba niliridhia ila alimtumia mama yangu kama mtego wa kuninasa.
Siku akikukuta na mtu atakuacha njia rahisi hiyoAhsante kwa ushauri but sidhani kama itakuwa rahisi cause kama nilivyoeleza hapo juu ni kipenzi cha wazazi wangu.
Ahsante kwa ushauri kati ya wengi atleast umenishauri kuliko wanaobaki kunirushia lawama as if wao wako perfect mno.Usilogwe! Mtasaidiana sana kama mtakaa muongee sasa.. Sio uongee na mama au baba au mjomba au rafiki yake ongea naye yeye... Be civil ..truthful na uwe na busara sana.. Itauma ila atakushukuru milele. Na wewe utakuwa na amani.
Msioane kwa shinikizo..wakimalia kuwashinikiza wao wanakaa pembeni ..kazi kwako.. Wewe huna raha..na huo.ni ugonjwa mbaya unatambaa na kuwa sumu ..nyumba nzima mpaka watoto mtakuwa kama wadudu.. Acha hilo.
Rejea uzi uliopita kuwa nilikuwa na wanaume wawili.Utapata jibu but inshort nimemfanyia vituko vingi ili tuachane but haijafanikiwa.Kama ulikuwa humpendi si ungekataa tangu mapema???
Umempa dushelele kwa muda wote hafu leo ndoa ukatae"""
N.b utafanyiwa.....magumu
Sasa si rahisi na ushakubali si rahisi mbona walialia huku. Pambana tu na hiyo hali ingia ndoani ili.umsaliti ili akupe talaka utakuwa umemaliza kazi. Au JIFUMANISHE sasa hivi then hatakuoaAhsante kwa ushauri but sidhani kama itakuwa rahisi cause kama nilivyoeleza hapo juu ni kipenzi cha wazazi wangu.