Simshangai Pasco wa JF tu; hapana, nawashangaa waandishi wote wa habari popote pale mlipo nchini!

Pascal Hana haya
 
Mkuu MTAZAMO , thanks for this, naomba support yako kwenye hili Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe!
P
 
Mkuu idawa, usemayo ni kweli kabisa, naomba support yako kwenye hili Wana JF, niko mbele yenu kwa unyenyekevu kuomba baraka zenu & moral support yenu jambo langu hili liwe! Mniombee Mungu asaidie, awezeshe liwe! ili twende tukabadili mambo.
P
 
Tatizo Pascal Mayalla Hana msimamo kichwani yupo vizuri kuandika hila tatizo Akipewa Asali Kiduchu anaanza kutoka nje misingi ya Kazi yake
Mkuu BUKOBA LAND please!. Heshima kitu cha bure!. Lengo la Mungu kutuumba ni ili tulambe asali, Mama Samia anakoipeleka hii nchi ni kuwa ile nchi ya ahadi, mabomba nchi nzima yatatoa maziwa na asali hivyo kila Mtanzania atalamba na kufyonza.
Ili hili liwezekane lazima Mama asaidiwe, nimeamua kujitolea kujitokeza kusaidia, hatua ya kwanza ni kuomba sala zenu na support yenu kwangu kuniwezesha.


Hatua ya pili ni kama hao wanaotaka kusaidiwa wanautambua uwezo wako kusaidia na wanataka kweli msaada wako!, hilo sasa sio letu.
P
 
Hawa wote ni waganga njaa nainapotokea mwandishi yeyote wa habari akajionyesha uwezo wake, ananyakuliwa haraka na vyombo vya habari vya kimataifa.

Tulionao ni ndondocha ambao wanatembea wameweka kakaratasi ka kijani kwenye shati incase wataandamwa kidogo. Waandishi kama Kabendela ni wachache. Mtu utatafutwa mpaka kaburi la babu mzaa babu yako lilipo kujidhihirisha wewe si mhamihaji haramu. Hi si nchi yetu tu, nchi zote zenye vinasaba vya usocialist wa china na urusi ndo walivyo. Urusi waandishi wanauawa au kufungwa vifungoni kila siku. China hiyo ni siri zao ila wanapotea au wahame nchi ndo waanike uozo wa nchi zao.
 
They killed that young man was very bad issue.

Pia kuna kipindi kila mtu anapambania nafsi yake, that you can't even write chochote.

Nchi inaanza kupata nuru, wenye uelewa wafuatilie ili ile familia kwa maana ya watoto wapate haki yao. Sijui mjane kama hajaolewa jamani
 
Tatizo la waandishi wengi tanzania wako ki maslahi fulani kulingana na upepo unakoelekea kisiasa,yaani akiona upande fulani kuna maslahi habari zake zinaelemea huko huko.
Mi naona tangu waandishi wa habari na watangazaji wa radio wapate uteuzi basi baadhi ya waandishi wameingia wivu fulani fulani ili na wao wafikiriwe yaani habari zao zinakuwa kama niza kujipendekeza/pendelea.
 
pasko umefufuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…