Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli kwa kutumia IJ.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli ka binti kalibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile! Wakati usikute the reality, tukio limetokea kweli ila ni consensual act, kisha binti akamgeuzia kibao RC kuwa amebakwa kwa lengo la kum fix Dr. Nawanda, ama kum blackmail aongeze dau, au kutumika for dirty games za politics.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza kwa haka ka binti kuwa involved kwenye matukio kama haya,

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form II St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  2. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela.
  3. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"! Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo mapema?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?
  4. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela.
  5. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, hivyo waliposhindwa kukubaliana bei, ka binti kakatishia blackmail na kwenda kukishitaki ili kumtisha tuu, ilipo leak, ka binti kakaandika barua kufuta tuhuma, kumbe jinai haifutiki kirahisi hivyo.
  6. Pia kuna uwezekano mkubwa sana ka Binti kalisetiwa, for ill motives, kupitia kitu kinachoitwa "honey trap", Dr. Nawanda akaingia line kichwa kichwa, mazima, na kunaza kwenye mtego, kwa kabinti kushitaki kubakwa. Ama kweli "penye urembo ndipo penye ulimbo!" RC amenasa kwenye ulimbo!
  7. Baada ya binti kukubali kutumika na kuripoti tukio, akajikuta ni yeye ndiye anachafuka zaidi na anajiharibia CV yake, ndipo akataka kufuta kesi.
  8. Kwenye issue ya wasiojulikana, jeshi letu la polisi wameshindwa, nikasema humu, sisi media tunaweza Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
  9. Kwenye shambulio la Tundu Lissu niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
  10. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu, hii ni IJ ndogo tuu na simple, hata mimi na PPR yangu tungeifanya, ila its very unfortunately, mimi na PPR, tumejikita kwenye habari za kimaendeleo tuu!

Paskali

Pia soma:

- MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi

- Yahaya-Tumsime Scandal and a challenge of rehabilitating the victims of anal rape and protecting survivors in Tanzania: A Ministerial Policy Brief
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
inaendelea...

Paskali
Hili suala Jeshi la Polisi lilitengeneza sinema ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa huyo jamaa. It's purely a fabricated Case. Hayo ni madhara yatokanayo na Siasa Chafu za Majitaka ya mtaro ambazo zimeasisiwa na kuendeshwa na Chama Tawala hapa nchini.

Aidha, suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap Scandal.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mpaka sasa hivi mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Jibu ni Hapana.Je, Kwa nini bado hajakamatwa??

Mwisho:
Ni KWELI kwamba Tanzania kuna watu Wajinga wengi sana, lakini siyo kweli hata kidogo kwamba Watanzania wote kabisa ni Wajinga.
 
Mbona unampokonyoa huyo binti kiasi hicho, komredi Paskali? Umemwita huyo dada kabinti mwanzo mwisho!

Je, huo kweli ni uprofeshono wa tasnia ya uandishi wa habari na sheria?

Nilijua kila mtu anadhaniwa asinati hadi ithibitishwe ana hatia?

Umesema ndiye alisababisha bodaboda akafungwa jela miaka 30, ila usisahau kwamba huyo dada hakuwa hakimu wa kesi. Yeye alikuwa shahidi tu.

Je, unadhani mahakama ilifanya makosa kwenye ile kesi?
 
Back
Top Bottom