Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
inaendelea...

Paskali
Nilimaliza kidato Cha nne mwaka 1998 nikiwa na miaka 16.
Na issue hiyo ya mwanzo huyu binti Tusime alikuwa kidato Cha pili akiwa na 16yrs, na akatoroshwa na mwanaume Ili aolewe, na mahakamani hakusema kabakwa bali alisema walikuwa wanafanya mapenzi..yule bwana alihukumiwa sababu alijamihiana na binti underage ambae ni mwanafunzi.. Alihukumiwa miaka 30 lkn alipokata rufaa alipunguziwa kifungo kikawa miaka saba
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
inaendelea...

Paskali
Mkuu Paskal tatizo la Mh. RC naliona ni la kimaadili zaidi kuliko la kisheria. Ni vizuri limepelekwa makahamani huko wacha ukafanyike uuigizaji.
Pia nikurejeshe "two wrongs don't make a right"
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
inaendelea...

Paskali
Broo P, huwa ni sahihi kutaja majina ya mu athirika, pindi inapotaarifiwa habari inayohusu issue ya namna hiyo?

Pamoja na yooote……mi nawaza kuwa yule X RC, hakutimiza makubaliano. Issue yake inafanana na ile ya Mike Tyson, iliyopelekea kufungwa kwa kubaka!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hii iko wazi kuwa wametegana wenyewe kwa wenyewe huko CCM ili kumalizana...

Huyu amekorifisha sehemu, wahuni na wafiraji wenzake huko CCM na serikalini wameamua kumuacha afe kivyake..!

Ingekuwa siyo hivi tunavyofikiri, mbona hili nalo lingefukiwa chini ya carpet na mzigo kutupiwa CHADEMA kuwa ndiyo wamemtuma huyo binti kuichafua serikali "nzuri ya CCM???"

CCM na viongozi wengi wa serikali ni aidha wasagaji, wabakaji, wafiraji, wafwiraji na wapenda kulawiti. Ila huyu nadhani amekosea sehemu na hayawani wenzake wameamua afe kivyake...!
 
Mbona unampokonyoa huyo binti kiasi hicho, komredi Paskali? Umemwita huyo dada kabinti mwanzo mwisho!

Je, huo kweli ni oprofeshono wa tasnia ya uandishi wa habari na sheria?

Nilijua kila mtu anadhaniwa asinati hadi athibitishwe mwenye hatia?

Umesema ndiye ali.sababisha bodaboda akafungwa jela miaka 30, ila usisahau kwamba huyo dada hakuwa hakimu wa kesi. Yeye alikuwa shahidi tu.

Je, unadhani mahakama ilifanya makosa kwenye ile kesi?
Inasikitisha sana,mimi na ualimu wangu wa shule ya msingi siwezi kuandika haya yaliyoandikwa na pascal,shida iko wapi,acheni vyombo vya sheria vifanye kazi yake,nakama huyo mtoto ameudanganya umma sheria zipo zitamuadhibu.

Nibora kukaa kimya kuliko kuandika mambo ya namna hii,Pascal Mayalla wewe ni mwandishi wa habari mkongwe,na haitoshi wewe ni mwanasheria ,unakwama wapi mkuu?

Jifunze kuwa na akiba ya maneno,je vyombo vya sheria vikithibitisha kuwa huyo unayemtetea alimwingilia kinyume na maumbile huyo mtoto utasema nini?


unandika eti binti alisababisha boda boda akafungwa miaka 30,kweli kabisa hujui kuwa mtoto akiwa na 16yrs alitoroka shule na katika kufatilia ikabainika kuwa alikuwa akiishi na boda boda? Ulitaka mahakama ifanye nini?
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
inaendelea...

Paskali
Mkuu nilipo soma hiyo kesi ya huyo mwanamke sina imani kama jamaa kweli ametenda, huo utakuwa mtego.
 
We jamaa una akili sana...ubarikiwa yaani POLICE wetu ni hovyo sana nilishia chupu chupu kula mvua ya 30yrs kisa kabinti kalinisingizia nimekala duuh hatari sana ....usiombe yakukute
Pole Sana mwanakwetu. Hii sheria inawaumiza Sana wanaume kwani hata ukisingiziwa na wajanja mashahidi wa mchongo una hatari ya kuangukiwa na mvua thelathini.
 
IMG_20240615_140945.jpg

Binti matata kweli kweli...
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
inaendelea...

Paskali
Semeji mtavyosema ila na huyo mkuu wa mkoa heshima hana na hastahili hiyo nafasi usiku unaenda disco kujianika na katoto cha 21 years tena unafamilia..stupid!
 
Back
Top Bottom