Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Ndunguru J, alitengua kifungo Cha rape kwa Said Seleman kwenye rufaa thus akabakiwa na miaka 7 ya abduction.
 
Mkuu Pascal Mayalla salam,
Wewe ni miongoni mwa great thinkers wachache waliobaki humu JF ila nasikitika sana kusoma huu mtazamo wako kwa mambo kadhaa:
1. Ufahamu wa kawaida tu unataka mhanga yoyote wa masuala ya unyanyasaji wa kingono alindiwe utambulisho wake. Hata jeshi letu la Polisi kwenye taarifa yake kuhusu hii kesi imehifadhi jina la mhusika. Hii nguvu kubwa ya kumuanika mhanga identity yake inaleta mashaka ya nia ya yoyote anayefanya hivyo. Kwa nini tusijikite kwenye actual facts (alleged?). Mtu akilalamka amebakwa kinachoangaliwa ni nini?
2. Kigezo kikubwa cha ubakaji ni ridhaa. Je hiyo inayodaiwa kuwa historia ya mhanga huyu inaondoa ridhaa yake juu ya mwili wake mwenyewe? Kuna jambo lolote lile ambalo mtu akilifanya leo, basi linamuondolea uwezo wa kubakwa? Hujawahi kusikia kitu kinaitwa marital-rape?
Kama Mke halali wa ndoa bado ana full right ya mwili wake, kwa nini unadhani binti huyu hana haki ya kudai amebakwa kwa sababu aliwahi kubakwa before?
3. Nimepitia hiyo kesi ingawa kwa juu juu. Bado sioni hoja yoyote ya maana. Binti alikuwa 16 years old, na kwa sheria zetu alikuwa ni minor, boda boda alishtakiwa for statutory rape. Shitaka hili la statutory rape lilifeli kutokana na kushindwa kufikia standard ya proof beyond reasonable doubt, sio kwamba dunia nzima haijui kuwa bodaboda alikuwa analala na huyu binti. Binti angepata mimba kusingekuwa na mashaka, au labda coincidentally wangekamatwa wakiwa ndio wametoka kufanya ngono, ushahidi wa actual penetration ungepatikana. Hii ndio maana bado akafungwa kwa shitaka la pili la abduction ambalo hilo lilikuwa na ushahidi usiopingika. In short Bodaboda ameponea technicality tu, he was guilty!
Mlalamikaji kwenye hiyo kesi alikuwa ni nani? Binti ndie aliyekwenda polisi kudai amebakwa? au binti alikuwa anatafutwa akakutwa kwa Bodaboda?
Umeniangusha learned brother!
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
All in all Hilo tukio ni baya mno, hata kama umesingiziwa sijui unajioshaje....Bora kubaka kuliko kutuhumiwa kula ndogo, jamii haiwez kukuelewa.
 
Wanabodi

Kiukweli sometimes Jeshi letu la polisi ni michosho sana, katika kufanya uchunguzi, mfano shambulio la Lissu, walishindwa kufanya lolote mpaka leo, hivyo hata hii issue, wanaweza wasiweze kufanya lolote, ila sisi watu wa media, tunaweza kusaidia kuubaini ukweli.

Simtetei Dr. Yahaya Ismail Nawanda, kwa sababu sijui for sure, nini haswa kilitokea, lakini kwa vile the source ni haka kabinti, TUMSIME MATHIAS NGEMELA, kuna wengi wameguswa na kudhani ni kweli alibakwa, na kuingiliwa kinyume cha maumbile, wakati usikute the reality ni consensual act, kisha binti akashitaki kuwa amebakwa kwa lengo la ku fix Dr. Nawanda!.

Nimesema hivyo, kwasababu, hii sio mara ya kwanza huyu binti kufanya tukio kama hili.

Angalia details za issue hii.

Said Seleman vs Republic (Criminal Appeal 60 of 2020) [2021] TZHC 7055 (11 November 2021)

Issue ilikuwa hivi
  1. Kalianza darasa la 1 kakiwa na miaka 4, hivyo kakamaliza form 4 kakiwa na miaka 16!-Jee ni kweli?
  2. Kati ya tarehe 23 November 2019 hadi 14 December 2019 kakiwa form 4 St. Mary Mpanda, kalitorokea kwa dereva boda boda Saidi Selemani, eneo la Msasani hapo Mpanda mkoa wa Katavi na kuishi nae kinyumba kwa muda wa wiki 3.
  3. Wazazi wake waka ka set kaseme kametekwa na kubakwa, na kweli kakatoa ushahidi wa kutekwa na kubakwa na huyo boda, boda akahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela!.
  4. Masikini boda hakuwa na wakili!. Ushahidi pekee kuwa amebakwa, ni uchunguzi wa daktari kuthibitisha amekutwa hana "B"!. Wasichana wangapi wa primari wanaanza mambo?, uwepo wa "B" ndio ushahidi wa kubakwa?.
  5. Ukisoma maelezo ya haka kabinti, kana kiri Boda ni mpenzi wake, na kametoroka nyumbani kwa ridhaa yake, na kakawa kanampa yote!, lakini mahakamani kakasema kametekwa na kamebakwa!. Boda akala kifungo cha miaka 30 jela!.
  6. Usikute hata hili tukio la Mwanza, hakuna ubakaji wowote, kuingiliwa kinyume kwa ridhaa, sio kosa la jinai ila ukishitaki ndipo linageuka ni jinai!.
  7. Kuna uwezekano mkubwa sana Binti alisetiwa, Dr. Nawanda akaingia line kwenye mtego, binti akashitaki kubakwa!.
  8. Baada ya binti kuripoti tukio, akajikuta ni yeye anajiharibia CV yake, akataka kufuta kesi.
  9. Natoa wito kwa Waandishi wa habari wa IJ, wasaidie hili kabla kesi haijafunguliwa, kesi ikifunguliwa, IJ haiwezi kusaidia kitu.
  10. Kwenye issue ya shambulio la Lissu, niliuliza WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Paskali
Uyo binti anamatatizo ila hapo kwa uyo jamaa boda boda sikuungi mkono kabisa, hawa jamaa ni waharibifu mno kama unabinti yako au wadgo zako wa kike utakubaliana na mimi. Ukiisoma hadi mwisho mshkaji hakuhukumiwa kwa kesi ya kubaka ila kwa kosa la kumtorosha mtoto wa watu (below 18 hana uwezo wa kufanya maamuzi alishawishiwa) mwamba alihukumiwa kwa miaka 7.
Binafsi natakaga wapigwe hata miaka 30 tu hawa jamaa wanatia sana hasira
 
Uyo binti anamatatizo ila hapo kwa uyo jamaa boda boda sikuungi mkono kabisa, hawa jamaa ni waharibifu mno kama unabinti yako au wadgo zako wa kike utakubaliana na mimi. Ukiisoma hadi mwisho mshkaji hakuhukumiwa kwa kesi ya kubaka ila kwa kosa la kumtorosha mtoto wa watu (below 18 hana uwezo wa kufanya maamuzi alishawishiwa) mwamba alihukumiwa kwa miaka 7.
Binafsi natakaga wapigwe hata miaka 30 tu hawa jamaa wanatia sana hasira
Swali, kwa nini anayesababisha kesi awe ni yule yule?
 
Hili suala Jeshi la Polisi lilitengeneza sinema ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa huyo jamaa. It's purely a fabricated Case. Hayo ni madhara yatokanayo na Siasa Chafu za Majitaka ya mtaro ambazo zimeasisiwa na kuendeshwa na Chama Tawala hapa nchini.

Aidha, suala hili la huyo RC ukiliangalia kwa jicho Kali la 'mwewe' utagundua kwamba ni kweli mtu huyo ametengenezewa skendo ili kumharibia sifa za kuendelea kuwa Mkuu wa Mkoa na kumharibia maisha yake yote kabisa. Ni muhanga wa targeted Sexpionage Operation and Sexual Entrapment/Honey trap Scandal.

Jaribu tu kufanya simple intelligence analysis kwamba ilikuwaje Nyaraka za Siri ( Classified Documents) ambazo Zina sensitive information za kutoka kwenye mamlaka ya Upelelezi Kama Jeshi la Polisi zivujishwe kirahisi namna hii humu mtandaoni??
Hii inawezekanaje?? Kitendo cha Kuvujisha Nyaraka za Siri za namna hii kwa mujibu wa Sheria za usalama wa Taifa katikà nchi yoyote ile hapa duniani inahesabika kama kosa la Uhaini, na katika nchi nyingi sana adhabu yake kwa kosa Kama hilo ni Kali Sana ikiwemo na kunyongwa Hadi kufa. Katika taasisi za kijeshi Kama Jeshi la Polisi watuhumiwa huwa wanapelekwa kwenye Mahakama za kijeshi (Court Marshall) na Kesi zao huendeshwa haraka sana na hatimaye wahusika wamekuwa wakinyongwa haraka kabisa. Sasa, Je, Askari Polisi aliyevujisha kwa umma hizo documents za Siri mpaka sasa hivi mmesikia kwamba tayari amekamatwa na Jeshi? Jibu ni Hapana.Je, Kwa nini bado hajakamatwa??

Mwisho:
Ni KWELI huwa Tanzania kuna watu Wajinga wengi sana, lakini siyo kweli hata kidogo kwamba Watanzania wote kabisa ni Wajinga.
Sikuwahi kufikiria kwamba kuna siku serikali itakuja kuwapeleka watanzania kwenye siasa za Tigo.
Ikaanza kidogokidogo kwa waliokuwa wakitekwa sababu ya kuipinga seriksli wakawa wanawapenya ili kuwaharibu kisaikolojia, lakini sasa imeshafanywa kuwa kawaida kiasi cha kuwa habari ya kitaifa kuliko hata msina kwa jirani, kuliko hata hotuba ya bajeti.
 
Back
Top Bottom