Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh uzi teyari, samsung ipi watumia?Yaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana.
App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi.
Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
Sasa unakasirika app kuipa ruhusa... Hicho ni kipengele cha usalama lazima uruhusu wewe mwenyewe app kuaccess vitu vyako kama picha, mic, camera na hapo utachagua kama ni kwa wakati huo au wakati wote. Ukiachilia kuwa ni securitu feature pia ni takwa la kisheria hasa kwa nchi za EUYaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana.
App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi.
Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
Unatumia samsung gan labda ni feki hiyoYaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana.
App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi.
Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
Samsung ni s series tu aiseeKuna samsung ni infinix zilizochangamka.
Ni nzuri zikiwa mpya tu, ukitumia kama mwezi hivi itakuboa
Kabisa A series ni tecno changamfuSamsung ni s series tu aisee
A anzia 30 na kuendelea zile zinaitwa mid rangeKabisa A series ni tecno changamfu
Hii feature ni nzuri hata mimi nimeipenda maana kuna spy apps au virus app ambazo zinaji-install zenyewe.Yaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana.
App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi.
Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
Sasa mkuu inamaana kila app inayoingia kwenye simu yako ifanye inavotaka iweze ku access camera yako bila wew kutaka huoni hio inakua salama kwako na kwa watumiaji wengne ?Yaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana.
App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi.
Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
A34 na 54 nzuri mno !A anzia 30 na kuendelea zile zinaitwa mid range
Punguza makasiriko. Samsung aina gani unatumiaYaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana.
App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi.
Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu