spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Redmi tu hapo mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello, mambo 2 yeye
Niko poa...usiku mwemaHello, mambo 2 yeye
Asante sana😊Niko poa...usiku mwema
Ulale unono😉Niko poa...usiku mwema
Nashukuru. Unanishauri ninunue simu gani. Hususani nawanunulia watu age gousikubali kununua Pixel, samsung wala Iphones.
Nakushauri hivi kwa sababu ya maintanance issues.
hizo models nyingi zina gharama kubwa sana ya vifaa endapo zitapatapa uharibifu
Khaah,, hujawah kosa majibu 😂🙌🏾Sasa ww c mfanyabiashara wa Njombe hvy n lazima simu yako iwe na chaji saa 24 ili kuwasiliana kujua maendeleo ya miradi yako
Ahaha af nilikuwa nakufindUshaanz ufala wewe dogo
Tafuta samsung A series za kwenye hiyo beiDah sio poa.
Si ndiooooo 😎Khaah,, hujawah kosa majibu 😂🙌🏾
Duu! TECNO kiboko,wameshafikisha Camon 30? Niliwahi kumiliki Camon 8. Ilivyofika "expiry date " ikaanza vituko. Kituko cha kwanza, kupigwa na bumbuwazi au kwa Kizaramo ku "stack". Inaamua inaganda tu. Hata ubonyeze vipi. Hadi itakapoamua yenyewe kuzinduka.Tecno camon 30
nimekuelewaSi ndiooooo 😎
mtu anakupgia kwake inaonesha inaita ila kwako haiiti,,kichonganishi sana kifaa hikiDuu! TECNO kiboko,wameshafikisha Camon 30? Niliwahi kumiliki Camon 8. Ilivyofika "expiry date " ikaanza vituko. Kituko cha kwanza, kupigwa na bumbuwazi au kwa Kizaramo ku "stack". Inaamua inaganda tu. Hata ubonyeze vipi. Hadi itakapoamua yenyewe kuzinduka.
Kituko cha pili ilikuwa ni kujiwasha na kujizima yenyewe.
Na wewe ongezea.. Kituko kingine,kama ulishawahi kumiliki hiki kifaa cha mawasiliano.
Used phones hapanaTafuta samsung A series za kwenye hiyo bei
Au tecno camon, spark za hiyo bei...
infinix hot, note za hiyo bei...
xiaomi, pixel mpaka used