Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

Mkuu kati ya iphone 11 pro max na xs max nichukue ipi kwa uzoefu wako?
Mbona ni vitu mbalimbali hivyo kabisa. 11 PM ni kubwa kwa size hivyo huwa siipendi lakini ina battery kubwa, kama size yake utakubaliana nayo chukua. Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.

Ni vizuri kuhakikisha camera ni clean, haina messages kama display message na battery message na battery health iwe 92%+, ila ikiwa mfano 96% ni vizuri zaidi kuliko ikiwa 100%. Achana kabisa na iPhone 11 plain. Una bajeti gani?
 
Wewe ni mwanamke hakuna namna unaid zaidi ya moja
Unawaz vitu vy ajabu
Hizi simu nataka ninunue zawadi kwa watu niliowahaidi. Naweza nunua simu niwapatie ila kwa bajeti ya kiasi nilichonacho


Uliza hawa wananijua zaidi ya hapa
Andazi
mshamba_mwingine
Nourhan
Ms eyes
Leejay49
 
Habari,

Nahitaji ushauri wa simu ya bajeti ya laki 4. Nahitaji kununua simu mbili zawadi kwa watu wawili muhimu, bajeti kila moja isizidi laki nne.

Thanks in advance
Zingatia alichokisema huyu
 

Attachments

  • FB_IMG_1722535542410.jpg
    FB_IMG_1722535542410.jpg
    32.3 KB · Views: 20
Mbona ni vitu mbalimbali hivyo kabisa. 11 PM ni kubwa kwa size hivyo huwa siipendi lakini ina battery kubwa, kama size yake utakubaliana nayo chukua. Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.

Ni vizuri kuhakikisha camera ni clean, haina messages kama display message na battery message na battery health iwe 92%+, ila ikiwa mfano 96% ni vizuri zaidi kuliko ikiwa 100%. Achana kabisa na iPhone 11 plain. Una bajeti gani?
Nina laki 7 na nusu, niliona mijadala 11 Pm haina display kali kama xs max, wanasema 11 kamshinda xs max kwenye camera tu

mm napendelea simu iwe kubwa 6.5+ screen size, display na camera kali

au niongeze ngapi kwenye bajeti yangu nichukue 12 pro max used?
 
Mbona ni vitu mbalimbali hivyo kabisa. 11 PM ni kubwa kwa size hivyo huwa siipendi lakini ina battery kubwa, kama size yake utakubaliana nayo chukua. Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.

Ni vizuri kuhakikisha camera ni clean, haina messages kama display message na battery message na battery health iwe 92%+, ila ikiwa mfano 96% ni vizuri zaidi kuliko ikiwa 100%. Achana kabisa na iPhone 11 plain. Una bajeti gani?
Hapa kwenye display na battery message sijakuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom