Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzi gani? Asee kumbe nilipitwa? 🤣🤣Na watu wawili hao wapo humu humu na ni washereheshaji kwenye ule uzi uliofutwa unaitwa Sandakalawe
Duuh nipe updates ni uzi gani mkuu?Umefutiliwa mbali pongezi zimfikie Cookie kwa kuufulitia mbali mpaka kwenye database za JF haupo marafyale
Mkuu kati ya iphone 11 pro max na xs max nichukue ipi kwa uzoefu wako?NB: Ukikosa wa kukuuzia kwa bei hizi nitafute
Barikiwa sanaUlale unono😉
Mbona ni vitu mbalimbali hivyo kabisa. 11 PM ni kubwa kwa size hivyo huwa siipendi lakini ina battery kubwa, kama size yake utakubaliana nayo chukua. Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.Mkuu kati ya iphone 11 pro max na xs max nichukue ipi kwa uzoefu wako?
hii iphone xr 128gb naipata kwa kiasi gani kwa kuzingatia condition nzuri ya betr na mengne uliyoyazungumzia hpo juu?Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.
Wewe ni mwanamke hakuna namna unaid zaidi ya mojaUnamaanisha?
Unawaz vitu vy ajabuWewe ni mwanamke hakuna namna unaid zaidi ya moja
550,000 used abroad ila in good condition, na ni ngumu kuipata. 64GB haizidi 500,000.hii iphone xr 128gb naipata kwa kiasi gani kwa kuzingatia condition nzuri ya betr na mengne uliyoyazungumzia hpo juu?
wapatie kama hiyoNamiliki Samsung a33 5 G. Ni simu ya kawaida tu
Kwa nini unauliza?
Chief OnePlus 12 refurbished inapatikana,bei ngapi?550,000 used abroad ila in good condition, na ni ngumu kuipata. 64GB haizidi 500,000.
Zingatia alichokisema huyuHabari,
Nahitaji ushauri wa simu ya bajeti ya laki 4. Nahitaji kununua simu mbili zawadi kwa watu wawili muhimu, bajeti kila moja isizidi laki nne.
Thanks in advance
Nina laki 7 na nusu, niliona mijadala 11 Pm haina display kali kama xs max, wanasema 11 kamshinda xs max kwenye camera tuMbona ni vitu mbalimbali hivyo kabisa. 11 PM ni kubwa kwa size hivyo huwa siipendi lakini ina battery kubwa, kama size yake utakubaliana nayo chukua. Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.
Ni vizuri kuhakikisha camera ni clean, haina messages kama display message na battery message na battery health iwe 92%+, ila ikiwa mfano 96% ni vizuri zaidi kuliko ikiwa 100%. Achana kabisa na iPhone 11 plain. Una bajeti gani?
Hapa kwenye display na battery message sijakuelewa mkuuMbona ni vitu mbalimbali hivyo kabisa. 11 PM ni kubwa kwa size hivyo huwa siipendi lakini ina battery kubwa, kama size yake utakubaliana nayo chukua. Badala ya XS Max fikiria iPhone XR 128GB.
Ni vizuri kuhakikisha camera ni clean, haina messages kama display message na battery message na battery health iwe 92%+, ila ikiwa mfano 96% ni vizuri zaidi kuliko ikiwa 100%. Achana kabisa na iPhone 11 plain. Una bajeti gani?
Nimeikuta madukani pale Kkoo bei inechangamka sanaTecno camon 30