SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Ndio naitumiabNi mediatek, bora AO5s ina exynos
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio naitumiabNi mediatek, bora AO5s ina exynos
Kiswaswadu smartmbupuHabari,
Nahitaji ushauri wa simu ya bajeti ya laki 4. Nahitaji kununua simu mbili zawadi kwa watu wawili muhimu, bajeti kila moja isizidi laki nne.
Thanks in advance
Hiyo dhana ni sahihi kama tunalinganisha simu zinazofanana kila kitu mfano S21 Ultra ya Exyonos dhidi ya S21 Ultra ya Qualcomm Snapdragon.Loh! Ni kweli hiyo helioG99 ni superior kwa spaSD 680 . Lakini kuna dhana tu ...mfano mimi processor ikiwa mediatek hata iwe nzuri vipi sitaichukua
RAM ngapi 4GB au 6GBNimeweza kununua simu moja Leo Samsung A 15 tena nimezunguka sana kkoo kuipata hii simu. Nyingi zipo A 14, hii simu imeadimika.
Kuna mdau alinishauri kununua hii. Wameniuzia 395,000 wamekomaa sana. Protector 5000, na cover silicon 8000.
View attachment 3071740
Hii imenichekessha sana. Mfano unanihusuHiyo dhana ni sahihi kama tunalinganisha simu zinazofanana kila kitu mfano S21 Ultra ya Exyonos dhidi ya S21 Ultra ya Qualcomm Snapdragon.
Na penyewe tunaangalia processor speed, clock, GHz, power consumption, processing power na vitu kama hivyo.
Au kulinganisha flaships za mwaka uleule kwa processor ni sawa. Sasa unalinganisha simu za laki tatu tatu unaitaja SD wakati iliyotumika humo ni low end. Yani mtu ajenge Moshi mitaa ya Soweto kiwanja milioni 40 na umtishe kisa kuna aliyejenga Dar kwa mfuga mbwa kiwanja milioni 2 na pembeni yake kuna danguro. Ukikariri brand utasema aliyejenga Dar anaishi pazuri. Kinacholinganishwa ni specific models na editions zake, sio brands.
Xiaomi redmi note 12 Tigoshop 430,000 kama unataka ku stretch budget kidogo, probably simu nzuri zaidi Mpya kwa hio budget.Habari,
Nahitaji ushauri wa simu ya bajeti ya laki 4. Nahitaji kununua simu mbili zawadi kwa watu wawili muhimu, bajeti kila moja isizidi laki nne.
Thanks in advance
Yeah ni fair deal6 GB, ile ya 4 ilikuw bei cheers kidog
Namaanisha nikuone face to face kama wewe ni meAhaha wewe sijui uko mkoa gani
Unanifurahisha sana.
Ni type A to type C, cable ya type c to c zinatumika kwa simu zenye uwezo wa reverse charging, au chaja zenye c type outlets. Ambazo si nyingi.Nunua mpya Samsung A15 4G 4/128 bei yake 350,000 unapata. Faida zake:
1. Battery kubwa ya 5000 mAh muhimu kwa watu wazima na wa vijijini.
2. Samsung ina software updates nyingi hivyo haiwezi lag na kuwa outdated mapema kama hizo Infinix na Tecno.
3. Samsung ina stable software, camera inayodumu quality na reliability ya parts kama mic, speaker, etc.
4. Kioo kikubwa, three camera lenses kwa ajili ya "washamba" wa kijijini ambao huamini lenzi tatu "macho matatu" ni simu nzuri zaidi. Ukitoa zawadi zingatia mapokeo ya mpokeaji sio mtazamo wako.
5. Vifaa vya A series ni bei nafuu kuliko vya Note, Z na S series. Hasa screen bei inavumilika.
Ninahisi ni simu za wazazi. Usisahau kununua Samsung adapters za type C to C maana A series haziji na chaja, price about @13k. Pia nunua cover around @7k , protector ni @3k.
Samsung A05s na A15 nilizotaja humu zinakuja na USB C to C cable kwenye package. Unatakiwa kununua adapter ya outlet ya C ndio uweze kutumia cable inayokuja na simu.Ni type A to type C, cable ya type c to c zinatumika kwa simu zenye uwezo wa reverse charging, au chaja zenye c type outlets. Ambazo si nyingi.
Sio kweli.Ni type A to type C, cable ya type c to c zinatumika kwa simu zenye uwezo wa reverse charging, au chaja zenye c type outlets. Ambazo si nyingi.
Hiyo Nokia ipo Bomba sana! Smartphone umenunuaaina aina ganiNimenunua na kiswaswadu. Yani nanunua simu kama zawadi na kiswaswadu kama tochi😬View attachment 3071798