Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

Simu gani ninunue kwa bajeti ya laki nne?

Ununuzi wa simu kwa bajeti hio unatakiwa uzingatie mambo kadhaa
1.Mazingira ..Watu unaotaka kuwanunulia wanapitakana wapi?Upatikanaji wa umeme ukoje ?
2.Utunzaji..Unaowanunulia wanautunzaji wa kiwango kipi mfano kuna watu kuangusha angusha simu kwao kawaida kwa hio Simu brand kama. Samsung,Sony sio nzuri kwao
3.Mtazamo wako kulingana na namna unavowafahamu watu hao unaotaka kuwanunulia simu hizo.

Ushauri wangu Simu za Kampuni ya Tecno au Xiamo Redmi,Poco zinawafaa
 
Ununuzi wa simu kwa bajeti hio unatakiwa uzingatie mambo kadhaa
1.Mazingira ..Watu unaotaka kuwanunulia wanapitakana wapi?Upatikanaji wa umeme ukoje ?
2.Utunzaji..Unaowanunulia wanautunzaji wa kiwango kipi mfano kuna watu kuangusha angusha simu kwao kawaida kwa hio Simu brand kama. Samsung,Sony sio nzuri kwao
3.Mtazamo wako kulingana na namna unavowafahamu watu hao unaotaka kuwanunulia simu hizo.

Ushauri wangu Simu za Kampuni ya Tecno au Xiamo Redmi,Poco zinawafaa
Uishi maish marefu. Ushauri muriwa kabisa

Nimezingatia haya yote. Hawa watu wana smart phones ila ziko outdated kidogo
 
Moja ya simu ninayoikubali ni Samsung s10, ikiwa na uwezo wake wa kipekee wa kusearch hadi herufi mpaka kwenye picha ndani ya simu hadi kwenye message kitu ambacho sijakiona kwenye simu yoyote ile,
Nilishawah kuitumia hii simu kitambo hicho mpya ya dukani. Nikaja kuuza laki 6 na ushee

Unyama. Ila sorry yangu ilikuw s10+
 
Hiyo dhana ni sahihi kama tunalinganisha simu zinazofanana kila kitu mfano S21 Ultra ya Exyonos dhidi ya S21 Ultra ya Qualcomm Snapdragon.
Na penyewe tunaangalia processor speed, clock, GHz, power consumption, processing power na vitu kama hivyo.

Au kulinganisha flaships za mwaka uleule kwa processor ni sawa. Sasa unalinganisha simu za laki tatu tatu unaitaja SD wakati iliyotumika humo ni low end. Yani mtu ajenge Moshi mitaa ya Soweto kiwanja milioni 40 na umtishe kisa kuna aliyejenga Dar kwa mfuga mbwa kiwanja milioni 2 na pembeni yake kuna danguro. Ukikariri brand utasema aliyejenga Dar anaishi pazuri. Kinacholinganishwa ni specific models na editions zake, sio brands.
Pamoja na hayo brand matters
 

Attachments

  • IMG-20240817-WA0000.jpg
    IMG-20240817-WA0000.jpg
    4.1 KB · Views: 5
Back
Top Bottom