Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Aahh muonyesh atakacho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahh muonyesh atakacho
Mimi sio brother wewe umesema wewe ni men tuone umeni wakoAhaha hilo Halina shaka utaniona tu brother
Kiswaswadu feki hiki. Ungenunua Tekno, itel, Oking au Philips 101Nimenunua na kiswaswadu. Yani nanunua simu kama zawadi na kiswaswadu kama tochi😬View attachment 3071798
Uishi maish marefu. Ushauri muriwa kabisaUnunuzi wa simu kwa bajeti hio unatakiwa uzingatie mambo kadhaa
1.Mazingira ..Watu unaotaka kuwanunulia wanapitakana wapi?Upatikanaji wa umeme ukoje ?
2.Utunzaji..Unaowanunulia wanautunzaji wa kiwango kipi mfano kuna watu kuangusha angusha simu kwao kawaida kwa hio Simu brand kama. Samsung,Sony sio nzuri kwao
3.Mtazamo wako kulingana na namna unavowafahamu watu hao unaotaka kuwanunulia simu hizo.
Ushauri wangu Simu za Kampuni ya Tecno au Xiamo Redmi,Poco zinawafaa
Nilishawah kuitumia hii simu kitambo hicho mpya ya dukani. Nikaja kuuza laki 6 na usheeMoja ya simu ninayoikubali ni Samsung s10, ikiwa na uwezo wake wa kipekee wa kusearch hadi herufi mpaka kwenye picha ndani ya simu hadi kwenye message kitu ambacho sijakiona kwenye simu yoyote ile,
tafuta infinixNashukuru. Unanishauri ninunue simu gani. Hususani nawanunulia watu age go
Pamoja na hayo brand mattersHiyo dhana ni sahihi kama tunalinganisha simu zinazofanana kila kitu mfano S21 Ultra ya Exyonos dhidi ya S21 Ultra ya Qualcomm Snapdragon.
Na penyewe tunaangalia processor speed, clock, GHz, power consumption, processing power na vitu kama hivyo.
Au kulinganisha flaships za mwaka uleule kwa processor ni sawa. Sasa unalinganisha simu za laki tatu tatu unaitaja SD wakati iliyotumika humo ni low end. Yani mtu ajenge Moshi mitaa ya Soweto kiwanja milioni 40 na umtishe kisa kuna aliyejenga Dar kwa mfuga mbwa kiwanja milioni 2 na pembeni yake kuna danguro. Ukikariri brand utasema aliyejenga Dar anaishi pazuri. Kinacholinganishwa ni specific models na editions zake, sio brands.
Nenda chukua hata Philips 101 hazijaja feki. Hakuna popote Kariakoo utapata hiyo Nokia 106 alafu iwe original, hakuna. 3310 nayo kuna feki zake pia.Oya bro nimeona. Nataka nirudishe kesho hili hakifai kabisa.
Dah bora ninunue Nokia 3310
Yangu ilikua plainNilishawah kuitumia hii simu kitambo hicho mpya ya dukani. Nikaja kuuza laki 6 na ushee
Unyama. Ila sorry yangu ilikuw s10+
Yaah ni mpya, inatangazwa sanaNimeikuta madukani pale Kkoo bei inechangamka sana
Ni OG maana kuna copy zake kama originalNimeweza kununua simu moja Leo Samsung A 15 tena nimezunguka sana kkoo kuipata hii simu. Nyingi zipo A 14, hii simu imeadimika.
Kuna mdau alinishauri kununua hii. Wameniuzia 395,000 wamekomaa sana. Protector 5000, na cover silicon 8000.
View attachment 3071740
TmSio kweli.
hii ndo simu toleo lipi?View attachment 3072481View attachment 3072483Tshs 460000/= Haijatumika
Ram8,GB 128
Single Line
Inauwezo Wa Kuweka eSIM 2,I
2021hii ndo simu toleo lipi?