SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Sawa ila wewe ni mwanamkeNina uhakika wewe ni kidume una kipara kichwani na ndevu nyingi kidevuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila wewe ni mwanamkeNina uhakika wewe ni kidume una kipara kichwani na ndevu nyingi kidevuni
Michewen 🤣🤣🤣 daaah asee Nourhan dear kuna shida huku kwa G wako, 😄Wewe ni kidume kabisa, tena utakuw Django doer ndio Michelin yake hii
🤣🤣🤣Nina uhakika wewe ni kidume una kipara kichwani na ndevu nyingi kidevuni
Lamomy na Labella ni mtu moja 😁😁mshamba_mwingine ni mshamba_hachekwi huyu na huyo wa pili simjui , ms eyes simjui na Leejay49 anakubali kila kitu tu hataki ugomvi. Si yule mzee kasema wewe ni Lamomy eti ??
We shoga upo?Qhahah ni dude la mbegu
Sawa bhnaAhaha fujo zitakuw kidogo
Ndiomana umepewa ban na domo lako km mbeo pyeeee 🤣
🙂🙂🙂 😀Ndiomana umepewa ban na domo lako km mbeo pyeeee 🤣
Nourhan 🤗🤗❤️Jamaa yako kala ban haha
Google pixel 4xl [emoji736] unapata hapoHabari,
Nahitaji ushauri wa simu ya bajeti ya laki 4. Nahitaji kununua simu mbili zawadi kwa watu wawili muhimu, bajeti kila moja isizidi laki nne.
Thanks in advance
Doh duka la jumla hii watu 2 nawajua wamenunua 320kNimeweza kununua simu moja Leo Samsung A 15 tena nimezunguka sana kkoo kuipata hii simu. Nyingi zipo A 14, hii simu imeadimika.
Kuna mdau alinishauri kununua hii. Wameniuzia 395,000 wamekomaa sana. Protector 5000, na cover silicon 8000.
View attachment 3071740
Mkuu nimejua jina la ukoo wako kuwa ni Ngowi. Usiulize nimejuaje.Nimeweza kununua simu moja Leo Samsung A 15 tena nimezunguka sana kkoo kuipata hii simu. Nyingi zipo A 14, hii simu imeadimika.
Kuna mdau alinishauri kununua hii. Wameniuzia 395,000 wamekomaa sana. Protector 5000, na cover silicon 8000.
View attachment 3071740
Mkuu ulipata simu?Umeangalia kwenye number ya simu nilizoweka humu ndani
Natafuta santuri
Simu nyingi Zaaje? Natumia huawei p40 hamna kitu kama hichoUmetumia simu zote kweli! Mbona hilo ni jambo la kawaida kwa simu nyingi?
Redmi note 12s,, gb128 kwa 6 unauza bei gani?Redme au Samsung karibu nikuuzie bei nzuri
Kama unataka za bei rahisi zaidi ninazo pia
Hapana. Nimesoma risiti uliyonunulia simu hapo.Umeangalia kwenye number ya simu nilizoweka humu ndani
Natafuta santuri