Simu inatuma huu ujumbe kila wakati Kwa namba nisizozifaham

Your phone/sim card may be has been hacked or there is malware interruption in your phone.
Solution: 1. Restart your phone
Ikiendelea piga code kuangalia kama hauja hakiwa, ikiendelea zaidi setting, kisha storage, kisha kasafishe memory, ikiendelea nenda google play store fanya scanning utaambiwa app ipi ni danger utaifuta.
Siku hizi kila mbongo ni IT technician au Daktari ahahahahh 🤣 🤣 🤣
 
Sitasahau nilivyoteseka baada ya kununua simu kkoo ilikua hvyo hvyo tatizo lilianxa taratibu kisha ikawa sms nazotumiwa hazingii,ikaja whatsapp wakaniban kisa spam,nikawa napokea ujumbe kwa email wa kuidhinisha malipo mbalimbali,yani ni mateso mpk nimebadilisha simu
 
Hali hiyo nilinitokea, kisha WhatsApp wakanipa ban ya miezi 3. Sikujua shida ni nini. Lakini huenda kuna mtu amehack namba yako.
 
Sio ishu ya simu, ni ishu ya line maana Kuna Line 2 ila inatuma yas tu?wakati default sms nimeweka Voda
Halafu hizo namba ni za Tanzania simu inaziotea wapi?

1. Una simu nyingine? kama ni ndio jaribu kuweka hiyo line kwenye simu nyingine then observe...

2. Jaribu kuswap hizo SIM cards hii iweke slot hii, na hiyo nyingine iweke slot nyingine then observe...

3. Umeinstall any app recently au kutembelea mtandao usio salama haswa ile inayokuja na matangazo yanayopop...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…