Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda imekuwa hackedView attachment 3221663Kuanzia Jana simu yangu kupitia mtandao wa Yas imekuwa ikituma hii sms Kwa namba nyingi nisizozifahamu. Kila baada ya dakika kadhaa nakuta imetuma tu Kwa namba nisioifahamu.
Hii itakuwa nini?View attachment 3221662
Utamnunulia simu nyingine?.. wabongo mna upumbavu mwingi. Anyway umaskni ni tatizoAcha kutumia Infinix..
Bahat nzur Yas haina smsWanaopokea huo ujumbe wanasemaje
Code ni ya TzHizo namba zinaweza kuwa za Tanzania au nchi nyingine vilevile, namba za nchi hutofautishwa na country codes
Namm ndo hivihivi, whatsap washaniban na sms haziingiiSitasahau nilivyoteseka baada ya kununua simu kkoo ilikua hvyo hvyo tatizo lilianxa taratibu kisha ikawa sms nazotumiwa hazingii,ikaja whatsapp wakaniban kisa spam,nikawa napokea ujumbe kwa email wa kuidhinisha malipo mbalimbali,yani ni mateso mpk nimebadilisha simu
Pole mkuu,View attachment 3221663Kuanzia Jana simu yangu kupitia mtandao wa Yas imekuwa ikituma hii sms Kwa namba nyingi nisizozifahamu. Kila baada ya dakika kadhaa nakuta imetuma tu Kwa namba nisioifahamu.
Hii itakuwa nini?View attachment 3221662