Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kuna mbabe huko amejitabaisha kama hivi;-
---------
wildfish said:
Sasa endelea na ubishi wako kuanzia tarehe 01january2020 saa 00:01hrs,kwa saa za East Africa time.kama hujasajiri line yako kwa alama za vidole,kaa ukijua kuwa simu yako utaitumia Kama deck ya kupigia music nyumbani kwako hata WhatsApp hutaitumia tena kwenye simu yako,ninaye kwambia hivi ndiye KILABA mwenyewe Kama hunijui waulize wanao nifahamu.
---------
wildfish said:
Sasa endelea na ubishi wako kuanzia tarehe 01january2020 saa 00:01hrs,kwa saa za East Africa time.kama hujasajiri line yako kwa alama za vidole,kaa ukijua kuwa simu yako utaitumia Kama deck ya kupigia music nyumbani kwako hata WhatsApp hutaitumia tena kwenye simu yako,ninaye kwambia hivi ndiye KILABA mwenyewe Kama hunijui waulize wanao nifahamu.