Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 806
- 1,296
Line yangu ya Simu niliisajili kwa kutumia kitambulisho cha kupigia kura
Kitambulisho cha kupigia kura huwezi kukipata mpaka uweke finger print!!
Maana yake ni kwamba hata zoezi la kusajili line kwa finger print halina maana yoyote ile!!
Kwanini nisajili line kwa fingerprint tena wakati iyo line nilishaisajili kwa kutumia kitambulisho nilichokipata kwa kutumia fingerprint??!!
Bogus Tz!!
Kitambulisho cha kupigia kura huwezi kukipata mpaka uweke finger print!!
Maana yake ni kwamba hata zoezi la kusajili line kwa finger print halina maana yoyote ile!!
Kwanini nisajili line kwa fingerprint tena wakati iyo line nilishaisajili kwa kutumia kitambulisho nilichokipata kwa kutumia fingerprint??!!
Bogus Tz!!