Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
hamna kitu kinaitwa pigo za kike, hiyo ni inferiority complex ulinayo kwa kichwa chakomkuu chagua uchangie kwakingereza au kiswahili achapigo zakike hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna kitu kinaitwa pigo za kike, hiyo ni inferiority complex ulinayo kwa kichwa chakomkuu chagua uchangie kwakingereza au kiswahili achapigo zakike hizo
umerudia yaleyale mbona huingizii vijimamaandishi vyakichina au kijapan?hamna kitu kinaitwa pigo za kike, hiyo ni inferiority complex ulinayo kwa kichwa chako
Kaka shida ni nini huelewi ama una pernal issues na they naandika?umerudia yaleyale mbona huingizii vijimamaandishi vyakichina au kijapan?
nimekwambia achapigo zakike hizo wote tumesoma mjinga weweKaka shida ni nini huelewi ama una pernal issues na they naandika?
mademu wasiona mvuto ndo wenye mapenzi ya kweli na wanadumu kwenye ndoaMbona haina mvuto
Nigga, usinipangie cha kuandika, halaf fuata life lako mannimekwambia achapigo zakike hizo wote tumesoma mjinga wewe
unakua kama videmu vyamasaki you no you no nyingiiiNigga, usinipangie cha kuandika, halaf fuata life lako man
Miaka 5 haikutoshi kwa Internet freeWatu wanajua marketing, eti maisha yako yote unapata internet bure kutoka starlink wakati baada ya mika 5 au 6 itakuwa outdated mtu alazimike kununua nyingine maana kuendelea kukaa nayo itakuwa hiyo internet haina maana
Na kweli aisee! Alfajiy ipo mbali sana huku kwetu.kama hakuna apple store bongo hizo zitafika kweli mkuu si si tuendelee kutengeneza madawati
Yako na gharama mno, na kuna gharama za kulinda hilo igizo!maisha ya kuigiza yana gharama zake.
Hapo zingatia free internet maisha yako yote. Siku hizi internet cheap hapa tuna fiber internet 70,000 mwezi mzimaMiaka 5 haikutoshi kwa Internet free
..voda akikupa MBS za masaa 24 zinaisha ndan ya dakika
Inawezekama maana kila kitu siku hizi ni disposable. Siku hizi hata simu ina muda wake wa matumizi, haiwezi kuwa ya milele. Angalia hata hizi computer na Simu za Apple ikifika muda fulani unakuwa huwezi ku-update sofware etc. Huyu jamaa anaweza kufanya ikawa ya miaka miwili. Baada ya miaka miwili anatoa toleo jipya na unalazimika kununua simu nyingine.Hakuna such thing as internet miaka yako yote, hiyo ni gaharama
Hata hivyo kinadada ni watunzaji wazuri wa simu, kazi zao na hata matumizi yao sio makubwa sana kama wanaume.Hiyo laki tano naitoa nalia kabisa.
Tuishi maisha yetu halisi haya maisha ya kuigiza yana gharama zake.
Imagine nilivyo bahili simu niliyo nayo niliinunua 2021 ahaaaaaa yaani mpaka ikome. Nabadirisha protector na cover tu
maisha yako yote unapata free interney toka star link. Pia utapata uanachama wa X[tweeter] premium na kuwa verified.

Tutiweka hapa.Tunasubiri bei
TECNO,ITEL<ORAIMo na ndugu zake ndio wana life span, vyuma kama iphone ni chuma cha mjerumani.Inawezekama maana kila kitu siku hizi ni disposable. Siku hizi hata simu ina muda wake wa matumizi, haiwezi kuwa ya milele. Angalia hata hizi computer na Simu za Apple ikifika muda fulani unakuwa huwezi ku-update sofware etc. Huyu jamaa anaweza kufanya ikawa ya miaka miwili. Baada ya miaka miwili anatoa toleo jipya na unalazimika kununua simu nyingine.
2,257,211.76 Tanzanian ShillingInauzwaje wanawake wa shoka tujiandae.....