Haha,achana nae atakutafuta mwenyewe.Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lkn hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nn?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwann hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwann asinijykishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Haelewi somo huyo msaidieniSi ajabu wachumba mko wengi.....au umepumzishwa.
Ndoige ndoige ndoigeKama umempgia asubuh hii vunga kausha mpka saa 8-9 tusa mchana mpgie kwa namba ngeni akipokea jua kakutema usimpgie tena kwa muda huu mpka mchana hv
Hata mm najipa moyo ktk hili. Ndiyo maana bado naishi. Bila haka kamwanya ningekuwa peponi muda huuKapoteza simu maybe
Na mwizi ameshindwa kuizima
Ujiuwe kisa mapenzi?! Anyway.. pumzika kwa AmaniHata mm najipa moyo ktk hili. Ndiyo maana bado naishi. Bila haka kamwanya ningekuwa peponi muda huu
Ukitemwa uje kwanguMpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwann hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Mkuu sinalala siku ya 2 leo. Appetite imekata najihisi kupungua na uzitoUjiuwe kisa mapenzi?! Anyway.. pumzika kwa Amani
Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lkn hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nn?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwann hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwann asinijykishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Next time Unapokuwa kwenye Mahusiano unapaswa kujiandaa kuachwaMkuu sinalala siku ya 2 leo. Appetite imekata najihisi kupungua na uzito