- Thread starter
- #21
Lkn kwann asinitafute kwa simu nyingine kuwa simu yake imeibiwa???Kapoteza simu maybe
Na mwizi ameshindwa kuizima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lkn kwann asinitafute kwa simu nyingine kuwa simu yake imeibiwa???Kapoteza simu maybe
Na mwizi ameshindwa kuizima
Si na wewe uchune tu yanini kujipa jaka la moyo uchune tu km kukutafuta atakutafuta km kasepa sawa tafuta wa kureplace haraka sana..Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwann hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Mkuu lkn siyo ghafla namna hii. Huu ni ukatili dhidi ya mioyoNext time Unapokuwa kwenye Mahusiano unapaswa kujiandaa kuachwa
Najaribu kuvunga lkn nashindwa mkuu. Najikuta tu mara natuma sms au kupigaSi na wewe uchune tu yanini kujipa jaka la moyo uchune tu km kukutafuta atakutafuta km kasepa sawa tafuta wa kureplace haraka sana..
Sexless leo rasmi umekuwa femaleMkuu lkn siyo ghafla namna hii. Huu ni ukatili dhidi ya mioyo
Fata ushauri wa comment ya kwanza jaribu kumpigia na namba nyingne ikiwezekana mpe mtu mwngne Aongee nae Ajifanye amekosea namba kama akipoke baada ya Muda mpigie tena Kwa namba yako asipopokea tena jua hauna chako hapoHata mm najipa moyo ktk hili. Ndiyo maana bado naishi. Bila haka kamwanya ningekuwa peponi muda huu
Ok. Let me try this.Missed calls mwisho ni tatu tu. Yeye atakutafta akiziona. Aki-mute na ww unakula bati! Be a gentleman! Stay gentle!
Wewe ni ke au me??Najaribu kuvunga lkn nashindwa mkuu. Najikuta tu mara natuma sms au kupiga
Daah! Hii dunia aisee. Basi tu bhanduguFata ushauri wa comment ya kwanza jaribu kumpigia na namba nyingne ikiwezekana mpe mtu mwngne Aongee nae Ajifanye amekosea namba kama akipoke baada ya Muda mpigie tena Kwa namba yako asipopokea tena jua hauna chako hapo
Mkuu achana na swali hili naumwa mmWewe ni ke au me??
Aya polee.Mkuu achana na swali hili naumwa mm
Mkuu hili ni tukio la kweli. Naomba ushauri wako. I'm not jokingHizi sredi za kufikirika ipo siku zitakuwa za kweli
Kwa leo wewe ni me au ke?Mkuu hili ni tukio la kweli. Naomba ushauri wako. I'm not joking
Siko sawa kisaikolojia mkuu. Siwezi kujibu swali hili. Naomba ushauri wako. Mpenzi wangu simsomi kabisaaaa,!Kwa leo wewe ni me au ke?
Tafuta kazi ya kufanyaMpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwann hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Duuh! Inaumiza ndugu zanguniTafuta kazi ya kufanya
Hauna mtu hapo mpenzi mtazamaji
Vumilia lakini zamu yako ikifika atakutafuta tuDuuh! Inaumiza ndugu zanguni