Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
No,ambao simu zao ziko busy wapo kwa michepuko yao ya JFKwa hiyo unataka kusema nauza k au??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No,ambao simu zao ziko busy wapo kwa michepuko yao ya JFKwa hiyo unataka kusema nauza k au??
Na akitoka Kwa huyo bwana wa kijijini, anapasua screen Kwa makusudi ili aseme alikuwa hawezi kupokea wala kutuma message. Na utatoa hela kwenda kumbadilishia screen. [emoji23][emoji23]
Maisha bhana.
Mkuu,dadadq ukijua lazima umunyoge
Piga na namba mpya... akipokea basi ndio hivyo...Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Mkuu tatizo siko tayari kubeba maumivu endapo nitapata uhakika kuwa kweli nimeachwa kwa sasa. Acha nibaki kwenye dilema inanisaidia kuukomaza moyo wanguPiga na namba mpya... akipokea basi ndio hivyo...
Kuachwa kubaya mkuu. Kuachwa ni shughuli pevu unajikuta unakonda tu (by Twanga Pepeta)
Hapana. Kaenda jijini (....?)Yupo chato kufagilia kaburi la bulldozer
Limbwata ilo, Mwenzako ana test mitambo kama inafanya kaziNajaribu kuvunga lkn nashindwa mkuu. Najikuta tu mara natuma sms au kupiga
Duuh! Maneno yako yauchoma kama mkuki kwenye moyo wanguLimbwata ilo, Mwenzako ana test mitambo kama inafanya kazi
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mkuu,
Hawa watu ukiwa serious nao sana hukawii kwenda gerezani!
Huyo yuko sehemu kafichwa,, subiri sherehe ziishe atakurudiaMpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?
Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.
Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Mmh! Sitakubali kurudiwa kizembeHuyo yuko sehemu kafichwa,, subiri sherehe ziishe atakurudia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hali zingine huwa zinakujaga na maumivu yake ya moyo we acha tu. Baadae utafikia oh sorry baby simu niliisahau kwa mama tulipoenda kumtembelea bibi siku tatu [emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahHapana hajakutema bali kakumeza mzima mzima!
Mnakera nyie sometimes 😁