Simu yake haipokelewi tangu siku ya Xmass mpaka leo lakini inaita. Maana yake nini? Kanitema?

Simu yake haipokelewi tangu siku ya Xmass mpaka leo lakini inaita. Maana yake nini? Kanitema?

Naye alikuwa na mb..o..o varieties mmekutana mafisi matupu.
Lingine mmeiharibu siku ya Bwana kwa uzinzi..

Lofa wewe[emoji23]
Dah aisee hawa viumbe wanawake ni wapuuzi sana ila sio wote ni baadhi.Alafu siku hizi nadhani nimeshakomaa maana hata nikinyimwa pussy siwazagi hata nachukulia kawaida tuu.
 
Mapenzi ni kitu kimoja cha ajabu sana.

Yaani mimi au watu wote tunaopitia haya unakuta ni watu wenye status nzuri sana mtaani, tuna income nzuri ya kuoa kwenye familia nzuri sana, na tuna future nzuri pia..

But tunaumizwa vichwa na mademu wa ovyo, mademu wa usawzi
[emoji23] poleee, mapenzi humea popote hakuna cha status wala nini.
 
Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?

Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?

Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.

Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Niko naye huku visiwa vya Shelisheli.
Namrudisha kesho.
 
Dah aisee hawa viumbe wanawake ni wapuuzi sana ila sio wote ni baadhi.Alafu siku hizi nadhani nimeshakomaa maana hata nikinyimwa pussy siwazagi hata nachukulia kawaida tuu.
Yaani kama hujamweka ndani ujue ana kijiji huwa anachagua mwenye mpunga anapewa kipaumbele.
Hawa wadudu asilimia kubwa hawatupendi lkn wanatutumia kukamilisha mambo yao.
Wanawake wakweli wapo japo ni 10% tu
 
Yaani kama hujamweka ndani ujue ana kijiji huwa anachagua mwenye mpunga anapewa kipaumbele.
Hawa wadudu asilimia kubwa hawatupendi lkn wanatutumia kukamilisha mambo yao.
Wanawake wakweli wapo japo ni 10% tu
Hilo nalielewa ndio maana suala la wivu sinaga kabisa kwa mwanamke yeyote. Kikubwa ni kuwachakata mbususu mpaka akili ziwakae sawa. Uzuri huyo mpuuzi mmoja hajawahi kunipiga vibomu, ni viout vya hapa na pale tuu tena kama mara tatu tuu basi.
 
Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?

Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?

Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.

Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.

Hujulikani kwao ? Jiongeze mtoto wa kiume
 
Nikiletewa noma inakaa kimya Wala Huangaiki kunisaidia ila ukiona post za MASHALLAAH UNANITAg au unamention why?
Jamani mimi na wewe tena?
Uwe unaniita niwabutue hao.
Mimi kuanzia Ijumaa hadi j3 jana sikuwa active sana jf hivyo nilipitwa na mengi nilikuwa na misafari mingi sana
 
Hataki ujulikane kwao

Na lingine labda alieenda kutambulishwa ukweni na Sasa ni mke wa mtu Sasa anasubiri muda mzuri akuambie inakaa mtu miaka 3 unaichakata tu best hupigi hatua?

Naunaita mchumba
 
Na akitoka Kwa huyo bwana wa kijijini, anapasua screen Kwa makusudi ili aseme alikuwa hawezi kupokea wala kutuma message. Na utatoa hela kwenda kumbadilishia screen. [emoji23][emoji23]
Maisha bhana.
Kauli yako imenipasua moyo, paah!!

Aisee simu ya huyu manzi wangu nimebadili kioo mara nyingi sana... na mara ya mwisho kuongea nae alininioneshea inacracks...

Sasa isijekuwa analiwa na mimi nakula hapo hapo
 
Mapenzi ya siku hizi ni suala la zamu, zamu yako ishapita sasa ni ya mwingine. Ukielewa hilo hautasumbuka
 
Mchumba wako yuko kwa mchumba wake usiwabugudhi subiri zamu y'ako itafika.

(Fwatilia kwanza ujue kama ni mzima wa afya chukua chako mapema yawezekana yuko matatizoni ajali, n.k).
Unawezaje kuwa mchumba wa mtu halafu kwao hutambuliki au maana ya mchumba siku hizi ni tofauti ??
 
Hahaha mkuu apa sisi hatumjui uyo manzi ako kwaiyo apa sisi hatukupi moyo wala nini 😂😂😂 apa tunakuchana tu uyo mamsi keshakutema na kwao hayupo kwa taarifa yako atakuwa kwa msela ake wa ukweli. Apo anakuvutia muda akupige block yani unashangaa tu kama goli kipa unajikuta upo kuzimu unachochea moto
 
Yupo na familia. Sisi Wachaga tukiwa mjini tunajifanya hatujaoa ili tupate mbususu
 
Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?

Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi leo? Na kwanini asinijulishe kwa namba nyingine?

Sijulikani kwao kwahiyo sina namba ya mtu wa kwao yeyote wa karibu anayeweza kunieleza kinachoendekea.

Naombeni msaada kabla sijaongeza idadi ya machizi nchi hii.
Dah Bora ww mi Kila nkpiga kuna mwamba anapokea anasema sim ipo chaji
 
Dah Bora ww mi Kila nkpiga kuna mwamba anapokea anasema sim ipo chaji
Huyu wa kwako anajieleza wazi kuwa anachakatwa. Hakuna utata. Tatizo mm sielewi kama ninachokiwaza ndicho ama la.
 
Back
Top Bottom