Simu za Google Pixel zina shida gani?

Simu za Google Pixel zina shida gani?

Pixel ni simu nzuri sana sema hapo china plaza masimu yao yote ni famba,nilikua kwenye pixel 7a juzi kati nikajilipua kwenye mnyama mwenyewe ni full burudani
Screenshot_20240306-212456_Bazaraki.jpg
Screenshot_20240306-212425_Bazaraki.jpg
Screenshot_20240306-212553_Bazaraki.jpg
 
Wadau wiki mbili zilizopita,dada mmoja, simu ya google pixel 4 ilizima ghafla, akaipeleka aliponunua china plaza.

Walipo mpeleka kwa fundi, fundi akamwambia anazo zingine 2 nazo zimezima ghafla, wanajaribu kupasha motherboard kwa masaa 24 labda zitawaka.

Juzi rafiki yangu,google pixel 7, haina hata miezi 5 tangu anunue 700,000/ kkoo,imezima ghafla, leo amepeleka aliponunua, eti motherboard imekufa, kulikuwa na ambayo imekufa kioo, kwa hiyo wamebadilisha motherboard ndo imewaka hizi simu zina shida gani wataalam.
Simu original ambazo hazijatumika Bongo hii za uhakika sanasana ni tecno na infinix hizo nyingine nyingi ni refurb ndio maana zinaleta mashida kibao
 
Shida sio simu tatizo ni TBS,Tanzania sasa hivi ni dampo la vifaa vya electronics fake na vyakula visicyo ba ubora.
Na mbaya zaidi zaidi ya 99% ya watanzania hatuna ujuzi na mambo ya electronics ndio kabisa.

Nchi ya hovyo sana hii,hamna control kabisa-wafanyabishara wanafanya wanacho taka ili mradi wanapata faida.

Ukiacha TRA na polisi nadhani TBS inashika nafasi ya tatu katika upokeaji rushwa. Vijana wadogo hawana hata muda mrefu kazini lakini wana ukwasi wa kuogopesha! Nchi imekuwa na bidhaa fake nyingi mno kuanzia mavazi, electronics, vipuli, vipodozi na bidhaa nyingine nyingi. Mwananchi ananunua bidhaa aina moja mara mbili kwa mwaka mfano ni simu unanunua baada ya miezi minne imekufa inakupasa ununue tena.
 
Simu ni Samsung na iPhone hzo nyingine ni takataka.
 
Simu original ambazo hazijatumika Bongo hii za uhakika sanasana ni tecno na infinix hizo nyingine nyingi ni refurb ndio maana zinaleta mashida kibao
Na pia simu brand kubwa kama i phone na samsung ikishapita miaka miwili toka itoke basi ujue huwez pata mpya hapa bongo utashikishwa refub au used..

Mfano sa hv samsung wapo S24.. ukikuta mtu anakwambia ana S22 mpya kimbiaa ni muongoo official store zote matoleo ya nyuma wanakuwa hawana..

NB USIDANGANYWE NA BOX NA ACCESORIES HIVO VINAFUNGWA UPYA TU
 
Wadau wiki mbili zilizopita,dada mmoja, simu ya google pixel 4 ilizima ghafla, akaipeleka aliponunua china plaza.

Walipo mpeleka kwa fundi, fundi akamwambia anazo zingine 2 nazo zimezima ghafla, wanajaribu kupasha motherboard kwa masaa 24 labda zitawaka.

Juzi rafiki yangu,google pixel 7, haina hata miezi 5 tangu anunue 700,000/ kkoo,imezima ghafla, leo amepeleka aliponunua, eti motherboard imekufa, kulikuwa na ambayo imekufa kioo, kwa hiyo wamebadilisha motherboard ndo imewaka hizi simu zina shida gani wataalam.
Almanusra kesho nilkuwa niende hapo china plaza nikanunue
 
Nina Infinix hot 10 T mwaka wa 4 huu natumia,tatizo lenu mnanunua mavitu msiyoyajua Ili muwe matawi ya juu
 
Nina Infinix hot 10 T mwaka wa 4 huu natumia,tatizo lenu mnanunua mavitu msiyoyajua Ili muwe matawi ya juu
 
Natumia Pixel tangu 2021 mpaka sasa 2024 haujawahi kuzima wala motherboard kufanya nini umewahi kuingia kwenye maji mara 3 haujafa chochote ishanyeshewa na mvua na haujawahi kuchemka battery unakaa na chaji vizuri tu, shida ya Pixel ni moja tu ukipiga picha ukazoom to 100% inakua na ukungu ukungu kitu ambacho sikupendi Ila vingine vyote IPO sawa
Vipi network Mkuu?
Mimi ninayo toleo la 6, nikiongea na watu sometimes wanasema inakatakata sana lakini mimi nawasikia fresh tu.
 
Simu hii ya Pixel nnayotumia haijavunjika kioo na imeangukia Sura zaidi ya mara 3 na sijawahi kuweka screen protector naitumia km ilivyo na ishatumbukia kwenye maji zaidi ya mara 3 Ila Ile Samsung iliangukia sura mara 1 tu kioo kika-bust alafu kuna siku nikakosea nikailalia ndio ikawa kwisha habari yake ikaanza kuchemka nikiichaji yaan km nimeinjika sufuria kwenye jiko la gesi kwenda kuulizia kioo nikaambiwa nikadata ikabidi niiuze tu km spear kwa wale mafundi kuanzia pale sitaki tena

Hii Pixel ina Gorilla Glass ipi mkuu
 
Back
Top Bottom