Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Ungenunua ambayo Ni unlocked usingepata tabu yote hiyo.
 
Lakini pamoja na ulinzi wote lakini watu wana bypass icloud vizuri tu, yaani iphone imekua haina utofauti na tecno kwenye maswala ya FRP

[emoji23][emoji23] Acha uongo mkuu....kitu hiko hakipo dunianii[emoji23][emoji23] kawadanganye watoto huko
 
Huawezi zinazouzwa ulaya ni tofauti zinazouzwa africa... in terms of quality.... sisi tunanunua simu zimeandikwa for East africa only....
Unapewa chenye Thamani ya Pesa Yako !
 
[emoji23][emoji23] Acha uongo mkuu....kitu hiko hakipo dunianii[emoji23][emoji23] kawadanganye watoto huko
Siwezi kukubishia, kama ulipeleka kwa mafundi wako wa vichochoroni walio zoea ku hard reset simu za android ukategemea watafanya hivyo hivyo na iphone
 
Siwezi kukubishia, kama ulipeleka kwa mafundi wako wa vichochoroni walio zoea ku hard reset simu za android ukategemea watafanya hivyo hivyo na iphone

[emoji23][emoji23] Acha uongo babu....hakuna kitu kama hicho duniani[emoji23][emoji23] hakuna cha mafundi wa uchochoro wala nini.....hakuna kitu kama icho ayo mambo Danganyana na hao hao wa android...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…