Huawei wanauza simu zao marekani , usipotoshe watu.
Serikali ilikuwa inajaribu kuwashauri wafanyakazi wa serikalini ya marekani kutotumia simu za Huawei ili zisije zikawa zinavujisha siri za serikali ya marekani. Lakini siyo raia wa kawaida wa marekani asitumie si kweli. Kila mtu anaruhusiwa kununua HUAWEI na kuitumia.
Mkuu mimi simu ya ram gb 6 nimetumia.... Pia na iphone ya ram gb 3 nimetumia na ndo naitumia... Ufanisi wake wa kazi ni tofauti sana ram 6 ya android ishawai niletea (unfortunately application stopped) ila hio taabu kwenye iphone ya gb 3 cjawai iona... Pia kwenye masasisho ya version za os zao unaona kabisa tofauti ya version mpya na ya zamanii... Android phones ni nzuri sababu unakua na uhuru wa mambo yako lakini iphones ni simu nzuri ever....Huo ni uongo mweupee hata dogo wa nasary atakupinga
Hivi ushawahi shika hiyo simu ya 6GB achilia mbali kutumia??
Mbona ndiyo maelezo yale yale niliyoyatoa, kwamba Trump alikuwa anazuia bidhaa za Huawei kutumika serikalini marekani na kwenye taasisi za serikali lakini siyo kwa mtu mmoja mmoja labda nifafanue hivi.Trump signs bill banning government use of Huawei and ZTE tech
Senate Republicans voted for an even tougher ban.www.google.com
Soma hiyo link hapo,Trump mwaka jana alisign sheria ya kuzuia matumizi ya bidhaa za Huawei na ZTE nchini USA.
Hakuna kampuni la simu marekani linalouza simu za Huawei punguza ubishi man,waliingia mkataba na ATNT, Verizon pamoja na best buy Ila pressure ya serikali ikasababisha hayo makampuni yajitoe. Wewe nitajie kampuni gani ya simu inayouza simu za Huawei.Mbona ndiyo maelezo yale yale niliyoyatoa, kwamba Trump alikuwa anazuia bidhaa za Huawei kutumika serikalini marekani na kwenye taasisi za serikali lakini siyo kwa mtu mmoja mmoja labda nifafanue hivi.
Unajua unaweza soma kiingereza na usielewe chote ukawa unadaka neno moja moja .hapo utapata tafsiri tofauti na mwandishi.
Kwanza nikwambie yote hayo ni kwa sababu ya ushindani wa kibiashara kwa Huawei wako juu kuzidi makampuni ya hapo, mfano iPhone nk.
Wamarekani wananunua Huawei kwa wingi sana, na kabla ya hapo Huawei ilikuwa inakubalika mpaka serikali ya marekani na taasisi zake za kiusalama kwa kiwango kikubwa sana.
Toka nitumie samsung mwaka wa 5 huu na sijawahi ona virus kwenye simu yangu.Hakuna cha matumizi mkuu toka ni nunue Huawei Sijawahi kupata tatizo hilo na matumizi yake naona nimezidisha zaidi
Aiseee chalii yangu jitahidi kuwa mpole. Kwanza hupo state gani? Ebu agizia chochote hapo ntalipia. Najua trump kawaminya sana kwenye food stumps na government handoutsEmbu acha ku post pumba,hivi unajua kuna simu za HUAWEI zina bei sawa au zaidi ya Samsung ambazo hapa bongo watu wengi hawawezi ku afford?HUAWEI ni brand kubwa,brand ambayo haiuzi Europe ni TECNO
Hawawezi kukuelewa wabongo huwawei anauza sana simu kuanzia canada,England na sasa USA kishaanza kushika soko why anauza sana kuna kitu ambacho wengi hawajakijua kuhusu huawei hawa ni wataalam katika sekta ya internet simu zao zina speed sana ya internet,Zaidi ya yote taarifa za kiinterejensia ni kwamba huawei kishagundua 5G technology ambayo ina speed pengine kushinda akili za binadamu hii imeleta shida kwa Marekani maana hayuko tayari technolojia hii itoke kwa sasa.Sisi tunaletewa cheap phone tofauti kabisa na zunazoenda ulaya.Huawezi zinazouzwa ulaya ni tofauti zinazouzwa africa... in terms of quality.... sisi tunanunua simu zimeandikwa for East africa only....
Marekani alikuwa anategemea kutoa matumizi ya 5G 2021 Ndyo matumizi yake yawe moja kwa moja kwa wananchi ila Huawei yeye kashaanza kuweka minara Canada na nchi nyingine za ulaya ndyo maana Marekani akaona aweke burn bidhaa zake na kumkamata mtoto wa mmiliki wa kampuni kwa kisingizio cha kuiuzia Irani vifaa vya teknolojia toka marekani lakini hii yote ni figisu za kibiashara. Waafrika wengi wanaichukulia poa Huawei ila ni kampuni kubwa sana duniani na ukaribu na serikali ya China ndyo unasababisha viongozi wengi wa ulaya na Marekani kutoamini bidhaa zake ila ni kampuni kubwa sana duniani kuliko ata Samsung ambayo wengi wanaisemeaHawawezi kukuelewa wabongo huwawei anauza sana simu kuanzia canada,England na sasa USA kishaanza kushika soko why anauza sana kuna kitu ambacho wengi hawajakijua kuhusu huawei hawa ni wataalam katika sekta ya internet simu zao zina speed sana ya internet,Zaidi ya yote taarifa za kiinterejensia ni kwamba huawei kishagundua 5G technology ambayo ina speed pengine kushinda akili za binadamu hii imeleta shida kwa Marekani maana hayuko tayari technolojia hii itoke kwa sasa.Sisi tunaletewa cheap phone tofauti kabisa na zunazoenda ulaya.
Umenifanya nichekeMume wa dada yako aliekupeleka ulaya kakununulia Huawei una furaha mpaka umeanzisha uzi
Na huo utafîti wako uchwara ulioufanya hapo kwenye sofa la shemejì yako
Sijafahamu kitu japo sina wazimu wa kukurupukia simu na declare ni muumini wa sammy owning a s8+na sijawahi nuna kwa hii simu.
Back to topic nimefanya compariso ya galaxy s 10 na huawei p30 ukiondoa mp kwenye camera naona specs za sammy zinatisha sasa sijui mleta hoja katumia ufananishi upi kuja na hitimisho kuwa huawei ni nyoko?
Nilitembelea gsm arena
Ndo ninayotumia mkuu,Huawei honor 4CWako vizuri na wana brand yao inaitwa HONOR ni simu nzuri sana
Unfortunately action huletwa na android version sio ramMkuu mimi simu ya ram gb 6 nimetumia.... Pia na iphone ya ram gb 3 nimetumia na ndo naitumia... Ufanisi wake wa kazi ni tofauti sana ram 6 ya android ishawai niletea (unfortunately application stopped) ila hio taabu kwenye iphone ya gb 3 cjawai iona... Pia kwenye masasisho ya version za os zao unaona kabisa tofauti ya version mpya na ya zamanii... Android phones ni nzuri sababu unakua na uhuru wa mambo yako lakini iphones ni simu nzuri ever....
Hii A80 imekaa vizuri saana mkuu.Samsung wataendelea kushika soko hasa kutokana na ujio wa segment mpya ya Galaxy A10, A30 ........A80
UmemalizaHuawezi zinazouzwa ulaya ni tofauti zinazouzwa africa... in terms of quality.... sisi tunanunua simu zimeandikwa for East africa only....