Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Mkuu tatizo ni kuwa hatutengenezi kitu kwa hiyo ni mkumbo tu na kutokuelewa mambo
Yaani mtu kafungua kaduka ka simu halafu anaisifia simu aina moja mpaka anajikuta wateja wanamwambia kama huna hiyo basi
Sasa hapo kajiharibia biashara na hizo zingine ambazo hakuzisifia zinamdororea dukani
Waswahili tuna mambo
Yaani promo halafu mengine yamemlalia [emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kutokuelewa mambo kweli, unakutana na mtu mpenzi wa kudowload vitu na iPhone inam limit but bado kakomaa nayo tu kisa aonekane matawi kutumia iPhone hahaha au show tu yani Bongo Kuna kaushamba hadi mtu hajui anataka nini ni kufata mkumbo wa fashion tu bila kuzingatia mahitaji yako basically
 
Ni kutokuelewa mambo kweli, unakutana na mtu mpenzi wa kudowload vitu na iPhone inam limit but bado kakomaa nayo tu kisa aonekane matawi kutumia iPhone hahaha au show tu yani Bongo Kuna kaushamba hadi mtu hajui anataka nini ni kufata mkumbo wa fashion tu bila kuzingatia mahitaji yako basically
[emoji16][emoji16]
 
Ndio maana wanababuliwa tu,Kuna Demu ananletea izo iPhones toka Turkey kwa 420K tu Bongo tunawababua 760k kwa ushamba wao [emoji23]
Me nmetulia zangu kwa Android
P series sema nataka kuijaribu Samsung S10+ pia niione
[emoji16][emoji16]
 
Fansy tu,wabongo ni Taifa tunaopenda show tu bila kwenda deep kuangalia (research)hata magari iko hivo ukicheki barabarani Kama sare ya Taifa watu wanafata mkumbo tu
Sasa hivi Premio zipo barabarani utafikiri uniform
 
Ndio maana wanababuliwa tu,Kuna Demu ananletea izo iPhones toka Turkey kwa 420K tu Bongo tunawababua 760k kwa ushamba wao [emoji23]
Me nmetulia zangu kwa Android
P series sema nataka kuijaribu Samsung S10+ pia niione
[emoji3][emoji3][emoji3]
Usiache hiyo biashara kama wananunua alama badala ya simu
Waturuki ni kiboko kwa fake
Ukiwapekea kitu chochote wanakutolea copy hata million
Nakumbuka walitoa spare za Benz zikaingia UK yaliyowakuta acha tu jamani wazungu nouma
 
Una experience na camon x pro???

Mbona iphone ndiyo ina fake specs camera ya 8mp imezidiwa na huawei lua U22 yenye megapixel 5

Nmetumia phantom 6,h6,camon 11,camon cx air,k7,spark 2,k9 na tecno phantom 8..... io camon x sina experience nayo mkuu
Kwahyo hoja yako ni kua tecno camon x ikisimama na iphone lets say 7+ IPhone 7+ atasubiri? [emoji23][emoji23] haha hatari faya....ati niniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tecno mtabaki kua juu sana[emoji23][emoji23]
 
Hata uhalisia wa soko upo hivo... Kwa mwaka jana tu.. .Huawei ameongeza market share kwa 40% Samsung aliporomoka kwa 11% iphone aliporomoka kwa asilimia kadhaa.

Tukashuhudia huawei anakuwa wa pili nyuma ya samsung kwenye market shares akimpindua iphone.

Tukashuhudia mwaka huohuo huawei akiuza units nyingi kuliko company yoyote ya simu unayoijua ww duniani akiwapita hata hao samsung na iphone.

Sasa kwanini anachosema mtoa maada useme ni porojo.

Hizi data nilizokupa mimi zipo mitandaoni kama unataka reference unaweza kugoogle...
Ngoja niingie kwa google mkuu nijiridhishe
 
Fansy tu,wabongo ni Taifa tunaopenda show tu bila kwenda deep kuangalia (research)hata magari iko hivo ukicheki barabarani Kama sare ya Taifa watu wanafata mkumbo tu
Yap watu wakiona jayz anatumia basi nao wanapagawa wanahisi wakitumia simu sawa na jayz wanakua wanaishi maisha sawa, sasa unakuta jayz ana bugatti kumi wewe hata alteza huna halafu unataka maisha ya show uonekane unaishi kama jayz

Ndo hao unakuta mtu ana iphone halafu anamuita rafiki yake mwenye simu ya tecno ampige picha ili ile logo ya apple ionekane apost insta watu wajue kua jamaa yuko high level
 
mbishano huu huwa hauchoshi hata siku moja 😂😂
 
Nawala sana mademu wanaopagawa na hili tunda lililong’atwa nyuma ya simu yangu. Iphone ndio simu...hizo porojo zingine endeleeni kujifariji
 
Nmetumia phantom 6,h6,camon 11,camon cx air,k7,spark 2,k9 na tecno phantom 8..... io camon x sina experience nayo mkuu
Kwahyo hoja yako ni kua tecno camon x ikisimama na iphone lets say 7+ IPhone 7+ atasubiri? [emoji23][emoji23] haha hatari faya....ati niniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tecno mtabaki kua juu sana[emoji23][emoji23]
Umefananisha kwa vitu gani??? hii ndio ishu kubwa hapa sio tantalila

Kama kile kilogo kimeliwa upande kinakuchanganya je kingekua full ingekuwaje??
 
Simu kwangu siyo camera [emoji328]
Bali ni security Bravo IPHONE [emoji390]
 
Personally Samsung ni brand moja nimetokea kuidharau sana,nilikuwaga na simu brand hii nikaitumia almost 7 month baada ya Mungu mimi huwa naamshwa na alarm ya simu sasa siku hiyo asubuhi imeniamsha vizuri nikaamka nikaiweka simu mahali salama baadae kuja kuichukua nataka nifanye mambo yangu ikawa haiwaki.

Kufupisha story ilibidi niiuze kama kopo na niliyemuuizia mpaka sasa namdai 30K na mategemeo kwamba atanilipa wala sina.kinachoifanya hii kampuni inatamba duniani hata hapa kwetu hasa pale Kariakoo ni wanajua kucheza na media,mapicha picha yale kwenye mabango pale Agrey/Uhuru Str wanunua simu kwa promo wanajikuta wanatandikwa tu.

Na wanatandikwa kweli kweli haya ma-refurbished phones hasa ya Samsung,ukijichanganya kwa wale mangii na wajue hujui ipi imechakachuliwa ipi haijachakachuliwa basi jua hutotoka salama.
Mkuu wewe unaikubali Brand ipi ya Simu?
 
baada ya kuona hii thread nikasema ngoja nijaribu hii brand na nikaanza na huawei y7 prime aisee ni katamu balaa
 
Mkuu wewe unaikubali Brand ipi ya Simu?
Xiaomi mkuu na kuna One Plus hizi simu kwa niliowashawishi wakanunua naona wamezikubali haswa,ninayo Redmi Note 5 kwa matumizi na maoni yangu naona ni simu sahihi kwa mtu anayetaka kitu kizuri na anayenunua simu bila kufuata jina.
 
Mzuqa!

Miaka miwili mitatu iliyopita ilikuwa vigumu Denmark, Norway, Finland, na Sweden kuona watu wanatumia simu za China za Huawei. Samsung ilitawala soko vibaya sana.

Ghafla bin Vuu yani sasa hivi karibu kila mtu Ana Huawei. Ukiwa kwenye vyombo vya usafiri mkusanyiko husikii tena milio ya simu na meseji za Samsung zikilia kama zamani. Sasa hivi ni Huawei kila kona kila rika. Kwenye basi treni hadhira simu ikiita ni milio ya Huawei

Huawei inakuja kasi sana tena ya ajabu yani wanauza na sijui wanawalipa wauza simu kwasababu ukitaka KUNUNUA wanakushauri ununue Huawei.

Samsung is slowly fading. IPhone inajifanyaga shauri zake.

Sasa cha kushangaza sisi wamatumbi eti tunadharau hizi simu za China.

China aiseee sometimes hatareee hii marketing strategy waliitumia kwa Huawei wamefanikiwa sana. Labda ndio maana wamemshikilia yule mama wa Huawei kanada
Dah! Ulaya wana simu zao,Amerika wana simu zao Asia wana simu zao.Najiuliza tu,HIVI SISI WAAFRIKA TUMESHINDWA KWELI KUTENGENEZA SIMU ZETU hadi tunabaki kushabikia sijui IPhone,Techno,Huawei n.k?
 
Samsung wataendelea kushika soko hasa kutokana na ujio wa segment mpya ya Galaxy A10, A30 ........A80
WhatsApp Image 2019-05-24 at 12.07.04.jpeg
 
Nampango wa kununua Huawei nione zikoje kwa sababu ya drama zinazoendelea kipindi hiki. Kwa sasa nina iPhone na Samsung.
 
Back
Top Bottom