Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,993
- 9,212
Mikopo inafilisi,anayefaidika na mikopo ni mkopeshaji na siyo mkopaji,ukiona mkopaji amefaidika na mkopo ujue kuwa alikuwa na mtaji wake kabla ya kukopa,ndio maana hata wakopeshaji hawatowi mali zao kama mtaji,wanatoa kwa mtu mwenye mtaji wake kwanza.