Simuelewi mtu huyu

Simuelewi mtu huyu

Mtu mwenye familia, wakiume, unalalaje kitanda kimoja na mwanaume mwenzio kitanda kimoja, eti mkiwa mnapiga stori kitandani!

Nadhani anasema, waume za watu ni wanachama pia!
Kuna mazingira mnalala tu,na si hajabu mkuu....
Sema kakutana na kachoko
 
Mtu mwenye familia, wakiume, unalalaje kitanda kimoja na mwanaume mwenzio kitanda kimoja, eti mkiwa mnapiga stori kitandani!

Nadhani anasema, waume za watu ni wanachama pia!
Anashangaza sana huyo bwana mdogo
 
"Afutaroo" yeye ni@Choosen85
Afutarooo yeye kanichekesha sana!

There are unspoken rules of life. Jinsia mbili zinazofanana zikijikuta ziko katika mazingira ya kushare kitanda basi walale mzungu wa nne, au kama kuna kochi mmoja alale kwa kochi au Chini, mnatandika manguo/blanket au mkeka.

Ama sivyo mlale mmenyooka kama rula, hawa ndugu wanagusana miguu hehe!
 
Kuna mazingira mnalala tu,na si hajabu mkuu....
Sema kakutana na kachoko
Nakuelewa ila yakifikia mazingira hayo ujue hakuna kitanda yaani, hata godoro inaweza kuwa anasa.....masaa 3 ya kulala kwa mwanaume anayejitafuta yanatisha sana!

Washkaji wa IT, wanaona bora kusafiri night, asubuhi wanageuza na mabasi...wangeweza kuunganga tu kuchukukua room moja wanne!

Guest houses etc wanakataa watu wa jinsia moja kuchukua room moja!
 
Nakuelewa ila yakifikia mazingira hayo ujue hakuna kitanda yaani, hata godoro inaweza kuwa anasa.....masaa 3 ya kulala kwa mwanaume anayejitafuta yanatisha sana!

Washkaji wa IT, wanaona bora kusafiri night, asubuhi wanageuza na mabasi...wangeweza kuunganga tu kuchukukua room moja wanne!

Guest houses etc wanakataa watu wa jinsia moja kuchukua room moja!
Hivi ili ufanikiwe inabidi usilale eti?
 
Afutarooo yeye kanichekesha sana!

There are unspoken rules of life. Jinsia mbili zinazofanana zikijikuta ziko katika mazingira ya kushare kitanda basi walale mzungu wa nne, au kama kuna kochi mmoja alale kwa kochi au Chini, mnatandika manguo/blanket au mkeka.

Ama sivyo mlale mmenyooka kama rula, hawa ndugu wanagusana miguu hehe!
Huu uzi wengi hamjauelewa,

Hili ni tangazo.
 
Afutarooo yeye kanichekesha sana!

There are unspoken rules of life. Jinsia mbili zinazofanana zikijikuta ziko katika mazingira ya kushare kitanda basi walale mzungu wa nne, au kama kuna kochi mmoja alale kwa kochi au Chini, mnatandika manguo/blanket au mkeka.

Ama sivyo mlale mmenyooka kama rula, hawa ndugu wanagusana miguu hehe!
Halafu,wanafanyiana miguso lainilaini/soft touches miilini mwao.Watafika tu wanapopataka.Soft touches ni kwa jinsi ya me na ke tu,remember?
 
Wakuu mpo sawa

Aisee nina rafiki yangu kuna kazi anafanya na wakati mwingne hunihitaji nikamsaidie sku za weekend na nafkia kwake

Kinachonikela ktendo cha yeye kuwa anajishikashka matako yan anaingza mkono ndan bukta anakuwa anatomasa makalio halafu tukiwa tupo ktandan tunapga story kusogeza muda.

Pili ni ktendo cha yeye akiwa anaongea tukiwa ktandan ni lazma awe ananigusagusa miguun au kwenye mapaja nashkwaga na hasira sn.

Tatu wakati mwngne anaweza kuamka akanikandamiza kwny kiuno badala ya mikono yake kukandamiza kwny godoro ili ainuke ashuke bs ye mkono 1 atakandamiza godoro mwngn atanishka mimi mgongon au kiunoni

Aisee nashkwa na hasira sn jamaa namuheshmu sn hata kumwambia nashndwa nianzie wapi ana family mke na watoto ila kaz zake anafanyia wilaya nyngne tofauti na ilipo family yake.

Na mimi npo wilaya nyngne na nina family.

Wakuu mtu wa namna hii unaweza muhisi na basha au ni choko au namna gn au mnanishauri nini?
Usipoziba ufa utajenga ukuta mlipue mapema
 
Pili ni ktendo cha yeye akiwa anaongea tukiwa ktandan ni lazma awe ananigusagusa miguun au kwenye mapaja nashkwaga na hasira sn.

Tatu wakati mwngne anaweza kuamka akanikandamiza kwny kiuno badala ya mikono yake kukandamiza kwny godoro ili ainuke ashuke bs ye mkono 1 atakandamiza godoro mwngn atanishka mimi mgongon au kiunoni
Utakuja kustuka umeshaliwa kimasihara huku una type JF
 
Back
Top Bottom