Simulizi: Ajira Toka Kuzimu

Simulizi: Ajira Toka Kuzimu

SEHEMU YA 12

Alikuwa ni Joshua Joseph, wanachuo wa SAUT Mwanza walizoea kumuita baba mchungaji, alikuwa na tabia za kipekee, haikujulikana mara moja kama chanzo kilikuwa ni kusomea shule za wamisionari kwa muda mrefu ama ni malezi aliyoyapata kutoka kwa baba na mama. Hakuwa mtu wa mambo ya kidunia, starehe alizipiga kikumbo na kuyafuata yaliyompeleka hapo chuoni.
Masomo!!!, alikuwa si mpenda michezo sana hata hivyo dhahiri shahiri alikuwa amezishinda tamaa za ngono, hakuwahi kuonekana kushawishika kumpenda msichana yoyote na hakuwa na dalili ya kummwagia sera binti yeyote licha ya kuwa na mwonmekano wa kuvutia.
Baba mchungaji alikuwa mhudhuriaji mzuri sana wa makongamano ya injili, na mara kadhaa alikuwa akiwaelimisha vijana wenzake kubadili mienendo yao. Wapo waliobadilika na kuna wengine yaliingilia sikio hili na kutokea la pili huku wakimchukulia Joshua kama punguani aliyedondokea hapo chuo kikuu bahati mbaya.
Licha ya jamii kumchukulia katika namna mbili zinazoweza kuwa zinamfanya kuwa kama alivyo na kulitendea haki jina lake la 'baba mchungaji'. Hali ilikuwa tofauti juma hili ,baba mchungaji kama alivyozoeleka jumapili kwake ni siku ya mapumziko kimasomo lakini kimatendo ya uzima hakuwa na kawaida ya kupumzika, alikuwa akitoka asubuhi basi anarudi jioni kabisa. Hakika alikuwa anajiweka mbali na mambo ya kidunia.
Utaratibu huu ulikuwa mgumu sana kwa wanafunzi wengine, lakini yeye aliumudu na kuutawala.
Hakuna mwanafunzi wa SAUT aliyeishi maeneo ya Nyamalango ambaye hakumjua ‘baba mchungaji’
Alikuwa mtu wa watu!!
JUMAPILI hii ikaja na mambo yake mazito….
Joshua alikuwa amevaa bukta yake nyepesi kabisa ya kulalia, alikuwa anaelekea katika kutimiza jambo ambalo kwake ni siri kubwa. Siri ambayhajawahi kuivujisha kw a mtu mwingine.
Siri ya Joshua kuwapuuzia wasichana na kisha kuonekana mbele za watu kuwa ni mtu mwenye msimamo.
 
SEHEMU YA 13


Joshua alikuwa anaelekea bafuni ili aweze kujichua (masturbation).
Hii nd’o ilikuwa kinga yake kila alivyokuwa anapata hyamu na msichana, mchezo huu alijifunzia akiwa Seminari na aliuendeleza hadi chuoni.
Kabla hajalifikia bafu, mara mlango wa chumba chake ukafungulia, aliyeingia alikuwa ni jirani yake wa chumba cha pili.
Clara alivamia chumba chake asubuhi ya siku hiyo. Alikuwa na kanga moja huku akionekana kama amelewa vile lakini harufu ya pombe haikutawala hata chembe hapo ndani, alikuwa kama anayekata roho lakini Israeli akawa bize na mambo mengine hakujishughulisha na roho hii.
Clara alimvamia Joshua bila kuongea lolote, wakati huo Joshua alikuwa amevalia pensi laini ya kulalia pekee. Alipokumbatiwa lile joto kutoka katika matiti yaliyojaa ya Clara likapenya katika kifua chake ki-pensi kikaongezeka ukubwa kwa kwenda mbele ghafla, alitamani kumsukuma Clara pembeni. Ndio mikono ilitaka kumsukuma lakini mara mkono wa kulia ukausaliti ule wa kushoto, wakati mkono wa kushoto ukisukuma wa kulia ukamkumbatia Clara. Mkono wa kushoto ukakumbwa na wivu wa ghafla ukaamua kufanya makubwa zaidi ya ule mkono wa kulia hii yote ni kulipiza machungu, ukarudi kwa kasi ukakamata titi moja la upande wa kushoto wa Clara ukaminya, sasa ikawa vita ule mkono wa kulia ukakasirika sana kuona kitendo hicho ukavamia lile titi lililosalia na upweke huku likitamani kutendwa kama lile la kushoto. Lile titi likiwa katika hali hiyo likajikuta nalo linaminywa. Mminyo wa kipekee!!!! hakuna wivu tena mikono ikawa na amani na matiti hayakuwa na wivu tena. Muwasho ukapata mkunaji.
Baba mchungaji!!
Punde wakawa kitandani, Joshua alishaufunga mlango kitambo, Clara akiwa kama amezimia vile lakini akitoa sauti za chini chini zilizoyafurahisha masikio ya Joshua, basi na ye Joshua akaendelea na juhudi za kumzindua Clara, si kwa kummwagia maji wala kumpepea lakini ni kama mchezo ulivyoanza basi kila kiungo kikawa katika harakati zake!!!!!
Baada ya jitihada za muda mrefu hatimaye Clara alizinduka, badala ya wawili hawa kufurahia maajabu haya wote wakawa wakioneana aibu. Clara akakimbilia chumbani kwake akimuacha Joshua nyuma!!
Muwasho wa maajabu ulikuwa umepata mkunaji mbadala!!
 
SEHEMU YA 14


Mtumishi wa Mungu Joshua a.k.a ‘baba mchungaji’
Iliwagharimu siku tatu kuizoea hali ile. Lakini katika namna wasioitegemea, hali ile ikajirudia tena jumapili Iliyofuata hivyo Joshua hakwenda kanisani, na hata Clara pia.
Mchezo huu sasa ukamnogea baba mchungaji akawa anafurahia kutoa huduma hii tena kwa njia za mafanikio kinyume na kumhubiria mtu aokoke. U-baba mchungaji ukakaa kando sasa akawa BABA MTENDAJI, kanisa likakaa pembeni na halikuwa na thamani tena, kila jumapili Clara anapata muwasho mkali, aliyekuwa baba mchungaji, Joshua Joseph akawa mkunaji wa siri.
Na alikuwa anakuna kweli!!!
Zile hasira za kuukosa mchezo huu tangu akiwa mdogo kutokana na vitisho vya wazazi na walezi sasa alikuwa akizimalizia kwa Clara tena katika namna ya MARA NNE KWA MWEZI. Upweke ulioje kwa zile sabuni zilizokuwa zikimfariji Joshua, zikabaki katika ukiwa hazikuwa na maana tena kwa Joshua. Joshua alikuwa amepata sabuni iliyomtosheleza.
wawili hawa hawakushangazwa na hali hii kujitoka siku za jumapili tu!! Hawakujua kuwa kuna ajira wamepewa, ajira kutoka kuzimu!!
Laiti wawili hawa wangejua wanayemtumikia na malipo yake??!!
CLARA kila jumapili anawashwa na mkunaji amelisahau kanisa… kila jumapili lazima AKUNE!!
*****
TEMBO KAZINI TENA
Tembo alikuwa anaanza kuipoteza kumbukumbu ya ladha ya kipekee ya Clara wa Mwanza. Sasa alikuwa ameangukia katika mikono mingine tena mikono mikubwa!!! mikubwa zaidi ya ile iliyopita.
Bado alikuwa katika mtandao huu wa kijamii wa facebook. Biashara zake za samaki pale feri zilizidi kuchanganya, mapato kutoa matumizi majibu yakawa faida kubwa zaidi ya awali. Tembo alikuwa akicheka kila siku alipokuwa akiletewa mahesabu mezani. Hakika maisha yalikuwa yanaanza kwenda kama alivyowahi kuota!!!!!
Maisha bora sana.
Lucy Kezi, mwanamama mwenye umri wa miaka arobaini, lakini ni kama hakuupenda sana uzee uliokuwa ukimfuata kwa kasi, alijaribu kupambana nao na kwa kiasi fulani alikuwa ameweza, kwani kwa jicho la haraka haraka alikuwa amepungua kama miaka kumi na kuwa nayo thelethini pekee. Siku hii alikuwa katika gari yake ndogo aina ya Lexus, alikuwa akiendesha taratibu huku akisikiliza miziki laini. Yalikuwa majira ya saa kumi na moja na wala hakuwa na hofu yoyote ya kuchelewa kurudi nyumbani kwani mume wake alikuwa amesafiri kikazi kwenda China, lengo la safari hii lilikuwa kukutana na kijana machachari kijana ambaye anapamba kava la mbele la kitabu chetu, nani mwingine kama sio Hassan Tembo.
 
SEHEMU YA 15


Dhumuni kuu lilikuwa kununua kitabu ambacho Tembo alimwambia mtandaoni kuwa amekitoa tayari kitabu cha "Misumari kumi ya moto katika mapenzi", mama huyu alivutiwa sana na uandishi wa Hassan na kwa jinsi alivyokuwa anaandika ni kama aliyasomea mambo hayo. Kingine kilichomvutia mama huyu kuhitaji kukutana na Hassan ni machache waliyochat katika mtandao na Hassan kumwambia kuwa hana mpenzi lakini hata hivyo hapendi kuwa katika mahusiano na wanawake waliomzidi umri. Katika mtandao Hassan alikuwa akimwita Lucy mama na yeye Lucy akijibu mwanangu.
Salamu za shkamoo zilijibiwa marahaba na mama huyu.
Sasa leo hii alikuwa anakutana na mtoto wake huyu, mtoto wa mtandaoni, mtoto mwenye kipaji cha utunzi. Mtoto ambaye aliyajua mapenzi nje ndani kumpita yeye na miaka yake arobaini. Lucy sio kwamba tu alizidi kushangazwa na kipaji cha Tembo lakini alihisi kuwa huenda kijana huyu anadanganya umri, labda ana miaka zaidi ya ishirini na tano aliyomtajia.
Maana mambo aliyokuwa anayaandika na kuinua hisia za mashabiki, tofauti kabisa na umri wake!!
Sasa alikuwa anaenda kuhakikisha kila kitu. Lucy hakuwa na wazo lolote juu ya uwezekano wa Hassan kuwa anaiba maneno hayo na kuyatafsiri, hakujua kama Hassan huyu kuna kazi ameagizwa afanye katika nchi ya bluu. Lucy hakujua lolote na sasa alikuwa maeneo ya Kimara kituo cha kona ni hapa waliahidiana kukutana na Hassan Tembo kisha waangalie ni wapi watakwenda kwa ajili ya mazungumzo zaidi.
"0653**1640" Lucy Kezi akazibonyeza namba alizonakiri kutoka katika mtandao, zilikuwa ni namba za Hassan Tembo. Mara upande wa pili simu ikaanza kuita!!!!!
****LUCY KEZI, ni kama mama kwa HASSAN TEMBO, JE? Mtego huu utanasa tena???
NINI KITAJIRI HUKU!!!
 
SEHEMU YA 16

Simu iliita mara tatu kisha ikapokelewa, alikuwa ni Hassan Tembo aliyeipokea.
“Mambo Hassan, Lucy mie nishafika hivyo hapa Kimara Kona”
“Ahaa!! Haya mamangu nakuja sasa hivi” Tembo alijibu kwa heshima zote. Kisha akakata simu. Lucy aliweka gari pembezoni kabisa mwa barabara ambapo palikuwa salama bila usumbufu kwa wengine kisha akajilaza katika kiti chake akimsubiri Hassan aweze kuja.
Baada ya dakika kumi Hassan alikuwa tayari amefika baada ya kuelekezwa kidogo akaiona gari akakata simu na kuiendea.
Akataka kukaa siti ya nyuma Lucy akamlazimisha akakaa mbele.
“Shkamoo aunt!!”
“Mzima wewe!!!” Lucy akaikwepa heshima ya ‘shkamoo’ kijanja. Tembo akaligundua hilo lakini hakutaka kujiuliza chochote kile aliamini kuwa ni hali ya kawaida.
“Za huko kwenu Hassan”
“Nzuri tu mama tunaendelea na maisha”
“Wazazi wazima huko??”
“Aaah!! Wazima tu hawajambo!!” alijibu kwa nidhamu kubwa Tembo
Kimya kilitanda kwa muda, Lucy akiwa makini kabisa na kuendesha gari kuelekea mahali ambako Tembo hakuwa akielewa hata hivyo jambo hilo halikumtia uoga wowote ule. Na hakujua ni kwanini alikuwa akijiamini kiasi kile.
Mitaa ilizidi kuachwa na sasa walilifikia geti, kubwa jeusi, Lucy akapandisha vioo juu wakati gari linaingia ndani hadi lilipofika eneo la kupaki.
 
SEHEMU YA 17


“Karibu Hassan hapa nyumbani kwangu nisamehe kwa kukuleta bila taarifa mpandwa” Lucy Kezi, alimwambia Tembo kwa upole sana.
He!! Mara hii nishakuwa mpendwa!!! Alijiuliza Tembo huku akijibu, “Usijali mamangu!!” Lucy alimwongoza Hassan wakaingia ndani, ilikuwa mara ya kwanza Hassan kufika eneo maridadi kama hili. Yeye alizoea kuwapeleka wasichana maeneo ya gharama lakini leo ni yeye alikuwa ameletwa eneo la namna ya kipekee.
“Mh!! Huyu hapa sina ujanja nitamwanzaje sasa. Huyu sio type yangu huyu” alijiuliza Hassan huku akiitafakari gharama iliyotumika kuitengenezea sebule ile akakosa majibu. Sebule ilikuwa na kila kitu kinachoifanya kuwa sebule.
Ilikuwa sebule ambayo mgonjwa wa homa kutoka uswazi akifika pale, homa inakoma kwa dakika mbili ili aweze kuishangaa sebule ile.
Watu wana pesa duniani!!! Tembo alikiri.
Baada ya muda Lucy Kezi alirejea akiwa na kijikaratasi,.
“Utakunywa nini my dia” aliuliza kwa utulivu kama anamuuliza baba mwenye nyumba. Tembo akasita kujibu.
“Kuna sweet wine, Amarula, bia na juisi ya embe” aliulizwa Tembo huku Lucy akisoma kile kikaratasi
“We nichagulie tu mama!!!” alijibu kiaibuaibu.
“Mh!! Haya nakuletea sweet wine inalewesha kidogo, lakini katika namna ya kuchangamsha. ”
“Usijali mama asante kwa uchaguzi huo, nikilewa unanibeba hadi kwa mama Tembo nyumbani”
Baada ya nusu saa Hassan alikuwa amemaliza glasi ya kwanza, kweli ile wine iliyotengenezwa kwa tunda la Rozella ilikuwa ya kipekee ukiinywa hujui kama unalewa yaani unaifurahia tu!!! Unafurahi unafurahi hatimaye unalewa huku ukifurahi.
Kuhusu kulewa!! Huenda hiyo ilikuwa si kwa Hassan Tembo bali kwa wale wazembe wazembe kama mume wa Lucy ambaye walikuwa hawajafunga ndoa bado aliyeitwa Isaya, huyu alikuwa amezidiwa sana na ulokole, alikuwa akipitiwa na kunywa vilevi basi alikuwa anageuka kituko, Rose Mhando yeye, Bahati Bukuku shangazi yake, Upendo Nkone binamu, Jenipher Mgendi dada yake tena tumbo moja, Seleman Mukubwa pacha wake, yaani kila nyimbo alikuwa anaziimba kwa juhudi kubwa, bila kupangilia mashairi vizuri. Na hapo ni baada ya kubwia walau glasi moja tu. Baada ya hapo anakuwa hoi analala fofofo, lile wazo la mkewe kuwa baada ya kulewa anaweza kuwa mjanja na kumlidhisha kitandani linatoweka anabaki kujisugua sugua bila mpango.
 
SEHEMU YA 18


Siku akiwa hajalewa ndo hataki kusikia juu ya suala la kufanya ,mapenzi. Shahada ya uchumi aliyochukua ilikuwa imemuathiri hakupenda kupoteza muda.
Sasa kwa Hassan baada ya kuwa amefuta glasi nne za wine kwa mbaali akakisikia kichwa kikihama huku na huko, mara likaja wazo, wazo la kishetani wazo la kuifanya kazi yake kazi inayomwingizia mshahara. Ajira kutoka kuzimu!!!!!
Akiwa hajui kama ameajiriwa.
Hasan Tembo akiwa anajidai amelewa alikuwa akimtazama Lucy kwa uchu, yale maziwa makubwa yaliyokuwa yakitunzwa vyema yakawa yanamwita lakini akaogopa kwenda.
“Hassan kwanza kitabu changu???” Lucy Kezi, akaulizia. Tembo akajidai kushtuka, “Ahaa!! Dah!! Yaani inabidi nikusimulie kwa kweli yaani ile hamu ya kuonana na wewe nimekisahau mezani nisamehe sana” alidanganya Hassan, Lucy akajifanya amenuna, Tembo akamwomba msamaha yakaisha.
“Haya sasa nisimulie walau sindano moja tu ama mbili”
“Usijali mamangu….sasa mimi sauti sina itabidi usogee karibu nikusimulie kisha niondoke zangu mie”
“Sasa unawahi wapi..baba yako hayupo mpaka wiki ijayo ameenda China huko” majibu hayo ukijumlisha na pombe kichwani yakampa ujasiri Tembo, akajiapiza kuwa lazima atimize azma
Bila kusita Lucy ambaye naye alikuwa anabwia Ndovu baridi, alijisogeza na kukaa karibu na Hassan, alipoketi akaunyanyua mguu wa kuume ukaukalia wa kushoto.
Paja jeupe nje!!!!! Hassan akachungulia, akalitamani, akameza mate ya tamaa.
“Sindano ya kwanza hii ni ubunifu, wapenzi wanatakiwa kuwa wabunifu sana ili kuulinda uhusiano wao, kitanda ama chumba ni sehemu ya kuheshimu sana, kule chumbani mwanamke anatakiwa kuhakikisha anamvutia mpenzi wake na mwanaume vile vile anatakiwa kujishughulisha ipasavyo, sio lazima kutumia nguvu nyingi sana, maandalizi muhimu sana, mikono ifanye kazi yake, ulimi pia ulitangaze penzi kwa kupapasa sikio la mwenza, midomo isiachane, hakuna haja ya maneno mengi, sakafuni, bafuni pote ni haki yenu wapenzi. Mwanaume ajishushe na kuwa kama mtoto anyonye maziwa yanayomtazama kwa huruma wakati mwanamama yupo kifua wazi………” Tembo akasita kidogo akamtazama Lucy, macho yake yalikuwa yamelegea, alikuwa kama asiyesikia lolote lile, alikuwa kama zezeta. Lucy alikuwa amesafiri nchi ya mbali tayari.
“Golden chance!!!!” alijiambia Tembo, kisha akamshtua Lucy, wakati huu akijidai amelewa zaidi.
“Usingizi!!!” alilalamika kilevilevi, Lucy kuja kushtuka Tembo alikuwa amelala kwenye kochi akiwa anakoroma.
“Hassan!! Hassan!!” aliita Lucy, Tembo akasikia lakini hakujibu. Lucy akamsogelea na kumnyanyua aweze kumpeleka chumbani, Tembo akatumia nafasi hiyo akawa amemshika Lucy Kezi maziwa kimakosa, Lucy akaanza kuhema juu juu, Tembo akafanya tabasamu la dhihaka bila Lucy kumwona.
Lucy alibaki akiwa amemkumbatia Hassan huku akiamini alikuwa amezimika tayari kutokana na ulevi, Hassan naye akazidi kuyabinya maziwa ya yule mwanamama, ile mihemko ikageuka kilio, yule mlevi aliyekuwa amebebwa akageuka mbebaji.
 
SEHEMU YA 19


Nani afanye safari ndefu ya kwenda chumbani huku akiwa amebeba zigo zito namna ile, kwani sebule ina kasoro gani. Punde Hassan akawa baba mwenye nyumba.
Isaya!!! Isaya!! Isaya!!....ndio jina lililokuwa likimtoka Lucy lakini aliyekuwa mbele yake hakuwa Isaya bali Hassan. Jina hilo halikumkera Hassan kwani na yeye alikuwa mpitaji!!! Somo alilolitoa pale, machozi aliyomwaga Lucy Kezi, miguno na vilio lilikuwa somo lililoeleweka!!!!.
Baadaye wakahamia chumbani, yale maneno aliyokuwa akimsimulia kwa mdomo sasa yakawa katika vitendo.
“Hassan nataka uwe mume wangu!!!” Lucy alijikuta akimtamkia Hassan alfajiri baada ya kipengele walichoishia usiku uliopita.
Hassan akacheka kimoyomoyo, kisha akajisemea “He!! Miaka 45 kwa miaka 25, huyu mwendawazimu kweli hajui kama ana kesi ya ubakaji hapa…”
Lucy akadhani amepata bwana wa kumtuliza kila anapokuwa katika haja, akamtegemea Tembo kwa asilimia mia awe mume wake wa siri. Lakini hiyo ilikuwa ndoto. Tembo akawa anamkwepa kila siku, Lucy akajiuliza na kupata majibu. Tembo ni kijana, basi vijana ni wengi. Lucy akaingia rasmi katika kumsaliti mume wake kwa kutembea kimapenzi na vijana wa umri wa kuwazaa, utamu ukamzidia sasa ikawa tabia.
Lucy akawa mfuasi wa dini ya Tembo, Lucy akaanza kumtumikia Tembo kwa kufanya uzinzi na vijana wadogo!!!
Tembo naye alikuwa akimtumikia mtu bila yeye kujua!!!
AJIRA TOKA KUZIMU!!
********
HEKAHEKA COCO BEACH
“Mambo vipi dada!!!” Tembo alimsalimia binti aliyekuwa jirani na ufukwe wa Coco jijini Dar es salaam. Alikuwa amevaa kinguo cha kuogelea kilichomchora umbo lake lote kwa uzuri.
“Poa!!” alijibu bila kumwangalia Hassan. Lakini Hassan alipata fursa ya kipekee kuvitazama vishimo vilivyojiunda kimaksudi katika mashavu ya dada huyu!! Baada ya kuijibu ile salamu yule dada bila kumjali Hassan akaanza kutembea katika maji yale mafupi yaliyofunika miguu yake kidogo tu. Tembo aligeuka na kuanza kumsindikiza kwa macho, alikuwa anatikisika nyuma bila kumaanisha kumtamanisha Hassan, huyu binti alikuwani mrembo haswaa. Tembo alikiri hilo, huku akijisogeza na kukaa katika mchanga laini pembezoni mwa bahari.
Alijaribu kumpoteza yule binti katika akili yake, lakini hakufanikiwa, baadaye alimwona jinsi alivyokuwa anahangaika kujaribu kucheza na maji. Tembo akaongeza umakini.
Ajabu!!!! Binti yule hakuwa akijua kuogelea!!!!!. Kama vile Tembo amewekewa injini ndogo katika miguu yake alitimua mbio kuelekea mahali alipopajua yeye.
“Amekwisha huyu na atajuta kuja katika ufukwe huu!!!” alijiapiza Tembo huku akizidi kukimbia!!!!!
****TEMBO HASSAN….Anazidi kufanikisha harakati zake….amemtia wazimu Lucy Kezi na kumfanya mtumwa wa ngono za watoto, sasa Tembo yupo ufukweni…
****Je, huyo msichana ni nani na JE atafanikiwa?????

ITAENDELEA!!
 
SEHEMU YA 20


“Mambo dada??” sauti kavu iliyotangaza uchangamfu kutoka kwa kijana aliyekuwa kifua wazi ilimsabahi binti huyu ambaye majimaji yaliyokuwa yamemlowanisha kiasi fulani yaliifanya ngozi yake inate kwenye nguo yake sehemu za makalio na mgongo na kumfanya awe katika hali ya kutia matamanio mwanaume yeyote ambaye atajikita kumtazama kwa muda mrefu.
“Safii!!” alijibu kama hataki vile. Alimwangalia yule kaka kwa ncha za macho yake ili kuhakikisha kama alikuwa mpita njia ama alikuwa ana jambo jingine. Dada huyu aliona aibu kuendelea na majaribio yake ya kuogelea kwa kumwonea aibu kijana huyu aliyekuwa na mpira wa tairi ya gari uliojazwa upepo mwingi na kuufanya mpira huu kuunda mduara.
Baada ya kijana mwenye lile boya kuendelea kuwa jirani yake bila kusema lolote yule binti akaanza kuhisi kama anaukosa uhuru. Akaanza kutembea hatua kwa hatua akizifuata njia zake na kwenda mahali alipopajua yeye binafsi. Japo hakuwa amepanga kuondoka.
“Samahani dada, nilikuwa nakuja kwako ujue…samahani kama nitakukwaza..” alianza kujieleza kijana yule mfupi akiwa na nywele chache kichwani. Binti hakujibu kitu, akaendelea, “Utapendeza sana kama ukijua kuogelea, hata bahari hii itafurahia kugusana nawe wakati ukizipiga mbizi kuuburudisha mwili wako”
“Kwani nani kakwambia sijui kuogelea..” alijibu yule dada huku akionyesha kukerwa na maelezo yale ambayo yalikuwa yana ukweli ndani yake.,.
“Tazama wazungu wale na hao waarabu, hawajui kuogelea hao, ukishajua wewe utakuwa unawacheka, waone waone wanayakimbia mawimbi..” Yule kijana hakujali majibu ya yule binti akaendelea na mazungumzo yake akiwa na furaha.
“Jamani si ningetaka huduma zako ningekuita jamani.” Aliendelea kubisha yule binti.
“Halafu kwa jinsi ulivyokuwa mrembo wala hautalipia nitakulipia mimi…..wewe utanilipa siku unayotaka. Cha muhimu wewe ujue tu kuogelea na hii bahari ifurahie mwili wako. Ujue bahari nd’o ndugu na rafiki yangu hapa mjini, sasa kumfurahisha rafiki yako ni vibaya jamani. Mi nataka we ujue kuogelea bahari ifurahie.” sasa yule binti akalazimika kutabasamu, hali hiyo ikamvuta zaidi yule kijana. Akajisogeza jirani yake. Mambo yalishaanza kumnyookea.
 
SEHEMU YA 21


“Sasa tutaanzia haya maji mafupi, ukiona tunakwenda sawa tunasogea mbele zaidi, halafu sio lazima ujue leoleo, lakini usipokuwa muoga leoleo utaweza kukata maji mwenyewe. Kuoga ni kitu kimoja chepesi sana sema tu watu ni waoga… naamini wewe sio muoga… hivi unadhani ni wasichana wangapi wanaweza kujifunza kuogelea peke yao kama ulivyofanya wewe…”
“Mh!! Nadhani una nia ya kunizamisha wewe maana dah!! Naogopa maji mie we nisifu bure tu hapo. Mi muoga kuliko hao waoga unaowasema hapa” yule binti hatimaye akatoa jibu ambalo lilimwingiza mtegoni. Tayari alikuwa amevutiwa na somo la yule kaka aliyehitaji kumfundisha kuogelea. Alikuwa amekubaliana na hali ile ya aibu ya yeye kutojua kuogelea.
“Yaani tangu nianze kuwafundisha watu kuogelea hakuna hata mmoja amewahi walau kumeza nusu kikombe maji haya machafu ya baharini…ukimeza matone ya maji niambie na nitajiuzuru kazi hii” yalimtoka kwa upole hayo maneno. Yule binti akajikuta anacheka kwa nguvu kidogo, meno yake ya mbele yalikuwa yameungua kidogo hali iliyomfanya kuvutia zaidi hasahasa alipojaribu kucheka kwa kujificha ili anayemtazama asiligundue hilo. Lafudhi yake kutoka mikoa ya kaskazini lilikuwa jawabu tosha.
Mchaga!!
“Sasa tuanzie pale hivi, nikuonyeshe kwa nini naitwa Hassan Tembo.”
“Unaitwa Tembo heee!!! Makubwa mbona kimwili kidogo hicho halafu jina zito” alishangaa yule binti.
“Twende nikakuonyeshe kwa nini naitwa hivyo, mambo yangu katika darasa hili la kuogelea si ya kiswala swala ni ya kitembo tembo” alijibu kwa kujiamini Hassan.
“Kwani nawe waitwa nani vile….”
“Maria…”
“Nikisema Pretty Maria nitakosea” Tembo akamsifia
“Jamani kuna rafiki yangu huwa ananiita hivyo..hujakosea..”
“Dah!! Na kweli wewe Pretty”
“Nikiweza kuogelea nitakulipa pesa nyingi sawa”
“Usijali utajua na kila wiki utatamani kuja kuogelea”
 
SEHEMU YA 22


Hassan Tembo akazama kwenye maji na Maria, somo likaanza, yale maji mafupi waliyamaliza mara moja likafuata somo la maji marefu, huku sasa Maria akaanza kushikwa na uoga, wakiwa wote katika ule mpira uliojazwa upepo, Tembo alikuwa amemshikilia barabara Maria, Maria naye alimkumbatia kwa nguvu zote Hassan, mawimbi yaliwapeleka huku na huko Maria akawa anaifurahia hali ile, hatimaye wakafika mbali kiasi cha kutosha. Miili yao ilikuwa imegusana, Tembo akiwa na kibukta chake chepesi na Maria akiwa na kichupi cha kuogelea kinachofanana na bikini ni kama walikuwa uchi kwani maji yaliunganisha nguo na ngozi zao pamoja. Baada ya muda walibadilisha pozi sasa, Hassan akawa anamwelekeza Maria jinsi ya kujiweka katika maji ili uweze kuelea. Hapa sasa kila Maria alivyoogopa Tembo akawa anamdaka, mikono yake miwili ikawa inakumbatia kifua hichi cha wastani cha Maria. Hali hiyo ilidumu kwa muda kidogo mara Maria akawa hawezi tena hata kuogelea tena mwili ukawa mzito. Tembo akiwa na uzoefu kwenye maji akawa amegundua kuwa tayari Maria alikuwa amehama kiakili hayupo tena pale baharini.
“Aliuliza kwanini naitwa Tembo na sio Swala ok!! Ngoja niwe mstaarabu nimpe jibu lake la kuridhisha..” Tembo alijisemea kimoyomoyo huku akimrejesha Maria katika Boya, miguu yao ikaingiliana wakawa wanaangaliana. Tembo akatumia mwanya huo wa kutazama kulitoa lile jicho lake la huba ambalo wanawake kadhaa lilikuwa linawapagawisha. Lile jicho likamzidi ujanja Maria akajikuta anajibu kwa namna ya ‘nataka’ Tembo huyu asiyejua kusema sitaki akamkumbatia kwa nguvu hapo wakiendelea kuelea baharini.
Hakuna muogeleaji hata mmoja aliyekuwa na muda wa kutazama viumbe hawa walikuwa wapo katika hatua gani za kujifunza kuogelea, kila mtu aliendelea na shughuli zake zilizompeleka pale.
Tembo alikuwa anasaka kitu kimoja tu, alitaka kujua ni wapi Maria akiguswa atalainika moja kwa moja ili aweze kumpa jibu la kwa nini akaitwa Tembo na sio Swala. Mara nyingi sana alikuwa amempapasa kifua chake na hakuna lililotokea.
Tembo akakumbuka kuwa hakuwa amemkamata kiuno chake hata mara moja. Upesi akazamisha mikono na kukikamata kiuno kisha akamgeuzia aangalie mbele kama kwamba ni kweli anahitaji kumfundisha. Alipokiminya kiuno kwa staili isiyosimulika. Maria akatowa yowe kubwa, waogeleaji waliomsikia walijua ni muoga tu wa kuogelea, wakapuuzia na kuachana naye.
Tembo akajipongeza kuwa alikuwa amegusa penyewe.
Maria hoi!! Akaanza kunena kwa kabila lake la kichaga. Tembo akifanikiwa kusikia neno moja tu “Yelewiiii”
Maria hakuwa na kikwazo chochote, kama ni matiti yake Tembo alikuwa ameyashika mara kwa mara na kiuuno tayari amekikamata sasa ilikuwa ruhusa kufanya atakavyo, aidha alete ubishi aachwe ndani ya maji ama afanye kwa kupenda halafu atoke salama. Lakini Tembo hakutumia amri hizi, Maria mwenyewe hajui ilikuwaje kile ki-Swala alichokidharau kabla hawajaingia majini sasa kilikuwa kimepita wanyama mbalimbali na kuwa Tembo. Tembo mwenye nguvu na ujanja wa kila aina, ujanja uliompa raha ambayo kamwe hajawahi kuipata katika ulimwengu wa mahusiano. Raha yenye maajabu, maajabu ya bahari kugeuka kuwa kitanda kikubwa cha kushangaza.
Lile pira jeusi lilitosha kabisa kuhimili mikikimikiki ya wawili hawa, hasahasa Tembo. Maana Maria yeye hakuwa na jipya zaidi ya kupiga mayowe ya huba mayowe ambayo yalimezwa na bahari.
Bahari ya Hindi kwa uaminifu iliitunza siri ya wawili hawa bila kumweleza hata mtu mmoja.
Siri ya kufanya uzinzi baharini!!
 
SEHEMU YA 23


“Jeff huyu anaitwa Hassan, alikuwa ananifundisha kuogelea, Hassan huyu ni mchumba wangu ndo anaitwa Jeff kama ulivyosikia” Maria alimtambulisha Hassan kwa mpenzi wake bila kumtazama machoni, aibu bado ilikuwa imemtawala. Hakuamini hata kidogo kuwa alikuwa ametoka kuzini na Hassan Tembo ndani ya bahari ya Hindi!!
Tembo yeye alikuwa na furaha kubwa, hakuwa na wivu baada ya kutambulishwa na Maria. Kazi yake alikuwa ameimaliza tayari, akarejesha lile boya kwa waliomkodisha akavaa nguo zake na kutoweka.
Maria alichukulia jambo hilo kama ajali tu na kamwe halitatokea tena, lakini cha kustaajabisha hakuwa akijutia maana alikuwa amesafirishwa kwenda ulimwengu mwingine kwa dakika kadhaa, ulimwengu ambao aliufurahia sana. Jeff ambaye alikuwa mchumba wake taratibu akaanza kukosa umaana chumbani, Maria hakuwa akifikishwa pale alipopataka, kila siku alikuwa akilia na nafsi yake. Ni hapo sasa akamkumbuka Hassan Tembo na raha za kipekee alizompa wakiwa ndani ya bahari ya hindi.
Walikutana baharini, wakapeana walichopeana lakini hakukuwa na mawasiliano. Maria aliamini kama Tembo aliweza yale basi hata watu wengine wanaojishughulisha na kufundisha watu kuogelea pale Coco walikuwa na ujanja huo. Maria akajaribu bahati yake, japo yule hakuwa amejiandaa lakini mitego yake hatimaye akasafirishwa tena kwenda ulimwengu ule wa Hassan Tembo. Sasa kakawa kamchezo, kila siku za mapumziko ya mwisho wa juma alikuwa anaenda Coco kwa ajili ya burudani hiyo. Yule aliyemkuna wiki iliyopita naye akawa na tamaa za raha hiyo akajikuta anamtega mteja wake mwingine hatimaye wanafanya ya kufanya. Utumwa huu ukazidi kusambaa, waogeleaji wa kike wakazidi kuwa wengi, wafundishaji nao wakazidi kuongezeka. Maria akawa ni mwanafunzi asiyejua kuogelea kila juma, miezi ikazidi kukatika akaendelea kuwa mwanafunzi huku akiamini ni yeye pekee anayeitumia bahari kama kitanda chake cha kujipa raha.
Kumbe bahari hii ya Hindi ilikuwa inazificha siri nyingi, wahindi, waarabu, wazungu na waswahili wengi wakawa katika ajira ambayo kila mmoja aliamini alikuwa anaitendea haki peke yake. Wale watendwa hawakuambiana na hata wale watenda walifichana juu ya kamchezo haka ka kule Coco beach Dar es salaam.
Kila mmoja alitamani kukafaidi peke yake.
Laiti wangejua!!!!
Tembo alikuwa ametapakaza ajira mbaya sana Coco Beach…. Ajira kwa mamia ya waogeleaji!!
Ukiwaona utadhani wanafundishana kwreli kuogelea….kumbee!!
********
**HAYA sasa wewe ambaye mpenzi wako anafundishwa kuogelea na vijana wa Coco Beach… fungua macho sasa… mtu gani anajifunza kuogelea kwa miezi saba??? SHTUKA!!!!
****HUENDA BADO HAJAKUAJIRI LAKINI TEMBO NDO HUYO ANAKUJA.
Ili Tembo akuajiri sio lazima ukutane naye…. Unaweza kukutana hata na vibaraka wake!!!
TOA MAONI YAKO!!!
 
SEHEMU YA 24

********
Rehema Hussein, akiwa katika chumba chake kimoja cha kupanga meneo ya Ubungo External alikuwa akilia na Mungu wake juu ya maisha magumu yaliyokuwa yanamkabili baada kutumia mkopo wake ‘boom’ hovyo hovyo katika starehe na mambo mengine yasiyokuwa na maana.
Kodi ya chumba alicholipia ilikuwa inakaribia kuisha, alikuwa na madeni na pale chuoni alitakiwa kujigharamia matumizi ya chakula, sasa chumba kikawa kimekauka.
Njaa ikawa inasumbua. Akawa mtu wa kushindia mkate mmoja kwa siku na siku anapokosa kabisa huenda kudowea kwa marafiki kwa mtindo wa kuzuga kuwa ameenda kuwasalimia.
Mtindo huo wakaanza kuushtukia baadhi ya marafiki, Rehema akifika ratiba za kupika zinakufa!!
Ile Club maarufu ya Lemambo iliyoko jirani kabisa na mahali alipokuwa anaishi akawa haendi tena. Pombe alizozifanya shibe kila siku akaishia kuinusa tu harufu yake. Maisha ya Rehema yakawa yamebadilika mno na mzee Hussein ambaye ni baba yake hakutaka kusikia lolote juu ya kuombwa pesa na Rehema kwani aliamini kuwa mtoto wake huyu aliyekuwa akisomea masomo ya sheria alipata bahati ya kipekee baada ya bodi ya mikopo kumpatia mkopo asilimia zote.
Mzee huyu aliyekuwa jijini Mwanza alikuwa ni kama amemsahau Rehema. Ndugu zake wachache wa jijini Dar es salaam pia walikuwa wamemchoka kwani alipokuwa hana pesa ndio alikumbuka kwenda kuwasalimia lakini mkopo ukitoka anatangaza kuwa hana ndugu Dar es salaam na hataki kusikia lolote juu ya mtu wa kujiita ndugu. Hayo matangazo aliyafanyia katika kumbi za starehe akiwa amekunywa valeur na mizinga ya Konyagi..
Sasa Rehema au ‘Rey’ alivyopenda kujiita alikuwa katika wakati mgumu zaidi kupata kutokea.
Yale maneno yake kuwa hana ndugu yakaanza kumtokea puani.
Licha ya ugumu wote huu, Rehema alikuwa ni binti aliyefunzwa nyumbani na akafunzika, hakuwa na starehe mbaya ya kupenda ngono, alikuwa na mchumba wake jijini Mwanza na alimuheshimu haswa.
Huyu alikuwa ni Rahim. Maisha ya Rahim yalikuwa ya kubangaiza na kuna wakati alikuwa anategemea Rehema apate mkopo ndipo aweze kumsaidia shilingi mbili tatu. Licha ya hayo yote alimpenda kwa dhati. Na waliahidiana kutimiza ahadi zao walizopanga wakati wakitenganishwa na umbali baada ya Rehema kuchaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Dar es salaam kuendelea na masomo.
Rehema alivyokosa msaada akili yake ikazidi kufanya kazi mara tatu, sasa akafikiria kuanza kuuza vifaa vyake vya ndani. Jicho likatua katika ‘Sub woofer’ na friji. Luninga ikawa imewekwa pia kwenye orodha huku jiko la gesi likifikiriwa pia iwapo mambo yatakuwa magumu zaidi.
Kitanda chake cha kifahari akaapa kuwa kamwe hatakiuza!!
Jagi la kuchemshia maji nalo akalihesabu katika vifaa vya kuuza.
Rehema alikuwa amekamatika haswa!!
Maisha ya chuo yalikuwa yamempiga.
****
Ijumaa hii Hassan aliiandaa maalum kwa ajili ya mtu maalumu. Hakujua kwa nini alivaa mavazi yale aliyokuwa ameyavaa lakini akili ilimruhusu kuyavaa, hakuwa na nia ya kwenda msikitini kabisa. lakini alifikiria kuvaa kanzu.
 
SEHEMU YA 25


Majira ya saa sita mchana aliingia ndani na kutoa kanzu yake maridadi nyeupe, kwa kuwa ilikuwa haijakunjwa bali ikiwa imetundikwa ilikuwa imenyooka sana, kibalaghashia pia kilikuwa cheupe cha kupendeza pia, miguuni alivaa viatu vya wazi yaani makubadhi.
Alipiga hatua chache kabla ya kulifikia gari lake dogo ambalo lilikuwa limepigwa rangi na kuwa kama jipya tena.
Alitembea kwa madaha yote na kuonekana kama muumini safi wa dini ya kiislamu tena anayeiheshimu sana siku ya ijumaa.
Akalitazama gari lake kisha akatabasamu.
Simu yake iliita, alikuwa ni rafiki yake wa jijini hapo. Alikuwa ni rafiki wa kitambo lakini kadri majukumu yalivyochukua nafasi yake na urafiki wao ulizidi kufifia.
Majukumu yenyewe ni ajira, ajira asiyoijua.
“Niaje kaka…”, maongezi yao yalianza baada ya salamu mbili tatu. Robert alimweleza Tembo shida yake, shida yenyewe ilikuwa shida ya pesa kwa ajili ya kununua vitu ambavyo vilikuwa vinauzwa kwa bei nyepesi sana.
“Kaka kuna demu ameuwawa huku anauza ‘Woofer hiyo kaka daaah!! Sub woofer ya maana kaka ” Robert alimweleza Tembo. Tembo kusikia neno demu, akasisimuka, hapo palikuwa ndio alipopataka sasa.
“Bei gani sasa anataka??? We naye kwa kupenda vitu used”
“Bei amenitajia lakini tutaongea naye vizuri najua atalegeza zaidi si unajua ”
“Poa basi mpange kama yupo mi nakuja huko tucheki ubora wa hivyo vitu pesa sio tatizo kabisa”
“Poa sana jembe langu!!!”
Maongezi yaliishia hapo baada ya muda Hassan akiwa anaendesha uliingia ujumbe, muuzaji alikuwepo muda wowote baada ya kutoka msikitini kuswali. Tembo akaitazama saa yake zilikuwa bado dakika chache swala ya ijumaa iweze kumalizika.
“Kumbe ndo maana nimevaa mavazi haya….safi kabisa labda asinivutie lakini akijiroga anivutie amekwisha…” Tembo alijiaminisha huku akiitupa simu katika siti ya kushoto kwake, akaendelea kuendesha akiitesa Mandela Road kuelekea Ubungo kwa Robert.
****
Mlango wa chumba cha Rehema uligongwa, akajifunga upesi upesi kanga kiunoni akauendea mlango, akauliza ni nani lakini kabla hajajibiwa akabaini sauti ya Robert akakoma kuulizia akaufungua mlango, Robert hakuwa peke yake alikuwa na kijana ambaye alionekana kuyafuata maadili ya dini ya kiislam kwa juhudi zote, mavazi ya kijana huyu yalimvutia Rehema akajikuta katika nafsi yake akijutia kitendo chake cha kutokwenda msikitini kuswali siku hiyo ya ijumaa lakini alipokumbuka chanzo cha kutokwenda msikiti kuwa ni kupungukiwa nauli alijipuuza. Kwani hata angetaka kwenda bado asingeweza
 
Back
Top Bottom