SEHEMU YA 18
Siku akiwa hajalewa ndo hataki kusikia juu ya suala la kufanya ,mapenzi. Shahada ya uchumi aliyochukua ilikuwa imemuathiri hakupenda kupoteza muda.
Sasa kwa Hassan baada ya kuwa amefuta glasi nne za wine kwa mbaali akakisikia kichwa kikihama huku na huko, mara likaja wazo, wazo la kishetani wazo la kuifanya kazi yake kazi inayomwingizia mshahara. Ajira kutoka kuzimu!!!!!
Akiwa hajui kama ameajiriwa.
Hasan Tembo akiwa anajidai amelewa alikuwa akimtazama Lucy kwa uchu, yale maziwa makubwa yaliyokuwa yakitunzwa vyema yakawa yanamwita lakini akaogopa kwenda.
“Hassan kwanza kitabu changu???” Lucy Kezi, akaulizia. Tembo akajidai kushtuka, “Ahaa!! Dah!! Yaani inabidi nikusimulie kwa kweli yaani ile hamu ya kuonana na wewe nimekisahau mezani nisamehe sana” alidanganya Hassan, Lucy akajifanya amenuna, Tembo akamwomba msamaha yakaisha.
“Haya sasa nisimulie walau sindano moja tu ama mbili”
“Usijali mamangu….sasa mimi sauti sina itabidi usogee karibu nikusimulie kisha niondoke zangu mie”
“Sasa unawahi wapi..baba yako hayupo mpaka wiki ijayo ameenda China huko” majibu hayo ukijumlisha na pombe kichwani yakampa ujasiri Tembo, akajiapiza kuwa lazima atimize azma
Bila kusita Lucy ambaye naye alikuwa anabwia Ndovu baridi, alijisogeza na kukaa karibu na Hassan, alipoketi akaunyanyua mguu wa kuume ukaukalia wa kushoto.
Paja jeupe nje!!!!! Hassan akachungulia, akalitamani, akameza mate ya tamaa.
“Sindano ya kwanza hii ni ubunifu, wapenzi wanatakiwa kuwa wabunifu sana ili kuulinda uhusiano wao, kitanda ama chumba ni sehemu ya kuheshimu sana, kule chumbani mwanamke anatakiwa kuhakikisha anamvutia mpenzi wake na mwanaume vile vile anatakiwa kujishughulisha ipasavyo, sio lazima kutumia nguvu nyingi sana, maandalizi muhimu sana, mikono ifanye kazi yake, ulimi pia ulitangaze penzi kwa kupapasa sikio la mwenza, midomo isiachane, hakuna haja ya maneno mengi, sakafuni, bafuni pote ni haki yenu wapenzi. Mwanaume ajishushe na kuwa kama mtoto anyonye maziwa yanayomtazama kwa huruma wakati mwanamama yupo kifua wazi………” Tembo akasita kidogo akamtazama Lucy, macho yake yalikuwa yamelegea, alikuwa kama asiyesikia lolote lile, alikuwa kama zezeta. Lucy alikuwa amesafiri nchi ya mbali tayari.
“Golden chance!!!!” alijiambia Tembo, kisha akamshtua Lucy, wakati huu akijidai amelewa zaidi.
“Usingizi!!!” alilalamika kilevilevi, Lucy kuja kushtuka Tembo alikuwa amelala kwenye kochi akiwa anakoroma.
“Hassan!! Hassan!!” aliita Lucy, Tembo akasikia lakini hakujibu. Lucy akamsogelea na kumnyanyua aweze kumpeleka chumbani, Tembo akatumia nafasi hiyo akawa amemshika Lucy Kezi maziwa kimakosa, Lucy akaanza kuhema juu juu, Tembo akafanya tabasamu la dhihaka bila Lucy kumwona.
Lucy alibaki akiwa amemkumbatia Hassan huku akiamini alikuwa amezimika tayari kutokana na ulevi, Hassan naye akazidi kuyabinya maziwa ya yule mwanamama, ile mihemko ikageuka kilio, yule mlevi aliyekuwa amebebwa akageuka mbebaji.