SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Abou Shaymaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2022
Posts
1,479
Reaction score
3,229
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.

TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, ni hadithi yenye kisa chenye ubunifu kwa hasilimia mia moja, sehemu, mitaa na majina yaliyo tumika, siyo harisi, ni ya kufikilika, na ayausiani na kisa hiki.

Kama kuna tukio au kitu chochote kitafanana katika hadithi hii, na tukio la kweli, basi aikuwa dhamira ya mwandishi, kama utakuwa na maoni ushauri au lolote wasiliana na mwandishi wa hadithi hii, si luksa kunakiri au kubadiri hadithi hii kwa lolote, katika matumizi yoyote, pasipo kibari cha mwandishi kupitia whatsapp namba 0717924403 au 0743632247.

Naaaaaaam!, hadithi yetu inaanzia kisiwani Zanzibar, ilikuwa ni jumanne yenye shamla shamla za sikuu za eid ya mfungo mosi, hii ni eid Ahl hadji, moja kati ya kuku kubwa sana kisiwani hapa.

Kama ilivyo kawaida, kwa wakazi wa kisiwa hiki, siku ya leo ilikuwa na pilika nyingi sana, toka asubuhi walionekana wake kwa waume wakitoka msikitini, huku wamependeza kwa mavazi mazuri mpya yenye kuvutia, huku wanawake wakiongoza kwa kupendeza, wakifwatiwa na watoto.

Hakika leo ni siku ambayo, hasilimia kubwa ya watu, walionekana wakiwa wenye nyuso za furaha, arufu nzuri ya vyakula ilizagaa mitaani, na kushibisha pua za kila wapita njia na wakazi, sambamba na sauti za music wa kasiwida, zilizokuwa zinasikika toka kwenye nyumba za watu, kila kona ya mitaa, na sehemu mbali mbali za biashara, zikizidi kuing’alisha siku kuu hii, ambayo kwa huku kisiwani uwa inasherehekewa kwa muda wa siku mbili, mpaka nne.

Mida ya saa saba za mchana, tupo mtaa wa jang’ombe kwa Soudi, ni mtaa wapili, toka kituo cha Mchina mwanzo, barabara kuu ya kiembe samaki, kupitia uwanja wa Amani.

Mtaa umechangamka sana kama mitaa mingine ya kiswahili, wanaonekana watu wengi wa lika mbali mbali, yani watoto vijana na wazee, wakike kwa wakiume, waliokuwa wamevalia nguo nzuri na mpya za kupendeza, huku wanawake wakiwa wamejipamba zaidi kwa kuchora mikono yao mauwa mazuri kwa kutumia wino wa ina.

Pia wanawake wananukia vyema utuli wa udi, wameficha miili yao kwenye magauni mazuri aina ya baibuhi na habaya, huku vichwani mwao wakificha nywele zao kwa hijab, za rangi mbali mbali, zilizoendana na nguo walizovaa.

Lakini tofauti ilikuwa nyumbani kwa mzee Abeid Ally Makame, ambapo kwanza kabisa, tuna mwona mzee Abeid mwenyewe anatoka nyumbani, akiwa ameongozana na wake zake wawili, yani mke mkubwa, akiwa mwenye hasiri ya Africa bila chembe chembe yoyote ya uchotara, huku bi mdogo akionekana kwenye dalili ya mbali ya uchotara.

Wake wote wawili wa Abeid Makame, wakiwa wamevalia vizuri, magauni yao mapya na hijab zao, zilizo zidi kuwapendezesha, pamoja na viatu vyao vizuri vya mikanda, kama ilivyokuwa kwa mume wao, ambae ni mwalimu wa shule ya sekondari ya mwanakwelekwe A, alie valia kanzu yake nyeupe mpya, na baraghashia nzuri yenye rangi ya kanzu yake.

Chini alivalia makubanzi, (sendo) za kisasa, ya rangi nyeusi, huku hasiri ya mzee huyu akiwa ni mwafrika hasiria bila chembe chembe yoyote ya mshanganyiko wa hasiri ya taifa au kabila jingine toka nje ya bara la africa.

Lakini ukiwatazama vyema watu awa watatu, utagundua utofauti kati yao, asa katika mwonekano wa hali ya nyuso zao, maana wakati mzee Abeid akiwa katika hali ya kawaida, mke mdogo alionekana kuwa katika hali ya kukosa furaha, kwa kiasi flani, huku mke mkubwa akiwa mwingi wa tabasamu.

Wakati huo huo, kwenye kibaraza cha nyumba ya mwalimu Abeid Makame, wanaonekana watu watatu, wote wakiwa na hasiri ya uchotara japo ulikuwa umefifia, lakini uliwapendezesha, kati yao alikuwepo binti mdogo wakike mwenye umri wa kati ya miaka kumi adi kumi na moja, pia wakiume mwenye umri wa miaka kati ya kumi sita adi kumi na saba.

Walikuwa na dada yao, ambae umri wake, ni mkadilio wa miaka kati ya ishilini sita au ishilini na tano, aliekuwa anawasindikiza kwa macho baba na mama zake, huku uso wake ukiwa umenyongea kwa mawazo, nae pia kama wale watoto, alikuwa na hasiri ya uchotara, ambao licha ya kuwa ulio fifia, lakini uzuri wake ulionekana wazi wazi, kuanzia sura adi mwili wake, ata uzuni aliyonayo usoni mwake ilishindwa kuondoa uzuri wake wa hasiri.

Tofauti na wadogo zake ni kwamba, yeye alikuwa amevalia mavazi ya kawaida, ambayo japo yalikuwa ni masafi, na unaweza kuvalia popote katika siku za kawaida, pengine ata leo ndiyo aliyovaa msikitini, lakini ni wazi yalikuwa ya zamani, tunaweza kusema yalisha maliza eid moja au mbili kabla ya leo.

Ila pia licha mwonekano wa uzuri wake huo, akuwa amejipamba kwa chochote, kama wanawake wengine wahuko mtaani, ni kama wale watoto wawili, ambao mavazi yao licha ya kuwa masafi, ila pia yalionekana ayakuwa mapya, huku wote wakiwa wamekaa kibarazani, nyuso zao zimekata tamaa, macho yao yakitazama kushoto na kulia, yani kwenye barabara ya mtaa, ni wazi walitarajia kumwona mtu flani.

“kaka Mu, mbona rafiki yako mwenyewe aji sasa?” aliuliza yule mschana mdogo, wa miaka kumi na moja, huku anamtazama yule kijana wamiaka kumi na saba, ambae akujibu kitu zaidi ya kutazama kushoto na kulia, huku uso wake ukionyesha wasi wasi na kukata tamaa.

Dada mkubwa anawatazama wadogo zake, huku anawaona jinsi walivyo sawajika nyuso zao, “dada Radhia, mpigie kwanza umuulize mbona aji” anasema yule mschana mdogo, ambae ni kama alisha kata tamaa, au aliona anacheleweshwa jambo flani.

“Jamani Zahara, uwe mvumilivu kidogo, kwani na yeye binadamu eti, lazima ale akoge ndio aje” anasema yule mwanamke mkubwa, kwa sauti tulivu iliyolemewa na uchungu flani, ambae kwa matazamo wa kawaida, ni mzuri wa sura umbo na rangi ya ngozi yake, “alisema anakuja mchana, lakini mpaka sasa ajaja” alilalamika Zahara.

Zilisha pita dakika kumi, toka mzee Abeid na mke wake waondoke, sasa mlango mkubwa wa mbele unafunguliwa, wanatokea watu watano, yani wanawake wawili wakubwa, mmoja akiwa na umri wa miaka 24 na mwenzie akiwa na umri wa miaka 21, wakiwa na watoto watatu, wakike wawili na wakiume mmoja, ambao umri wao aukuzidi miaka sita, mdogo kabisa akiwa na mkadilio wa miaka mitatu.

Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA…….

Sehemu Ya Pili
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Sehemu Ya Tatu
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Sehemu Ya Nne
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Sehemu Ya Tano
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA PILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA KWANZA: Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka, SASA ENDELEA….

Yote kwa yote wote watano, walikuwa wamepeza kwa mavazi yao maalumu kwaajili ya siku kuu, wanakuja na kusimama kibarazani, “Hadija, mwage shangazi mwambie tunaenda kutembea” alisema mmoja wao, yani yule wa miaka ishilini na moja, huku akimwambia binti mdogo wa miaka mitatu, ambae aliishia kujitabasamulisha bila kuongea lolote.

Hii inamfanya Radhia ahisi kama ni dhihaka, maana licha ya kujuwa anasemwa yeye, lakini niwazi iliwaumiza sana wadogo zake, anashindwa kusema lolote, anaishia kutabasamu, lakini moyoni mwake anahisi uchungu mkubwa sana.

“yani da Mariam ulivyopendeza, Mahamud akikuona anaweza kukusahau” alisema mwanamke wa miaka 21, yani yule mdogo, kwa sauti utani, “anaanzaje kusahau mali yake bwana, ebu achana utani, mwenzio ananijuwa nje ndani” alijibu yule alie itwa Mariam, kwa sauti iliyojaa nyodo, wakati huo huo simu yake inaita.

Mariam anatazama jina mpigaji, anaona ni Mahamud, “huyooo mume anapiga simu” anasema Mariam, huku anaachia tabasamu pana, kisha anapokea simu kwa mbwembwe akimkata jicho la pembeni dada yake mkubwa, “niambie mume wangu, mpo wapi?” anauliza Mariam kwa shahuku, na wakati huo huo kwambali wanatokea vijana wawili, walio valia suruali zao za jinsi na matishert ya rangi tofauti mmoja likiwa jeusi na mwingine likiwa jekundu.

Awa walikuwa na umri wa miaka kati ya ishilini na mbili mpaka ishilini na tano, ambao wanaonekana wakinyoosha mkono kwambali, “waleeeee” anasema yule wa miaka ishilini na moja, kwa sauti yenye shahuku, huku anashuka kwenye ngazi, akiwa amemshika yule mtoto mdogo, kuliko wote, yani Khadija, na kuanza kuongoza kule waliko wale vijana, akifwatiwa na wale wengine wawili, “ok!, tunakuja” alisema Mariam, huku na yeye anashuka kwenye ngazi za kibaraza, akiwa nyuma ya wenzake.

“sasa Da! Radhia, sisi tunaingia zetu forodhani, tuta kukuta jioni” alisema Mariam, huku anatembea kwa kunyata, kama anavuka eneo lenye tope, ni kutokana na kuto taka viatu vyake vipya vichafuke.

Radhia ajibu chochote, zaidi anazidi kuumia moyoni, maana kila alicho ambiwa aliona kuwa ni kebehi zidi yake, na nimaumivu kwa wadogo zake, maana hayo ni maisha ambayo, amekuwa akiishi na ndugu zake, watoto wa mke mkubwa wa baba yake.

Hii ni tangu alipo arudi toka michenzani tobo la pili, alikokuwa anaishi na mume wake zamani, bwana Issa Kiparago, alie mtariki kwa taraka tatu, mwaka mmoja ulio pita.********

Familia ya mzee Abeid Ally Makame, ni familia ya wake wawili, kama nilivyokudokeza hapo mwanzo, mmoja mwenye asiri ya Africa hasiria, na mwingine alikuwa na hasiri ya mbali ya uchotara, namaanisha kuwa, toka alipozaliwa chotara wakwanza, sasa vilisha pita vizazi zaidi ya vinne, mpaka mama yake Radhia.

Mzee Abeid amejaliwa kupata watoto saba kwa wake zake wote wawili, wakati bimkubwa akiwa amezaa watoto wanne, mmoja Himid akiwa ndie kwanza, na sasa anaishi Oman, anakofanyia kazi, yeye na mke wake, huku watoto wake wawili wakiwa hapa kwa baba yake.

Pia wanawake watatu kwa mke mkubwa, yani Siwema, ambae ndie dada mkubwa, anae kaa kwa mume wake, kule Marindi, ambae pia kwa sasa mume wake yupo Oman anakofanyia kazi, ambayo inasemekana ni kazi ya kutunza bustani ya kwenye nyumba ya mtu binafsi.

Siwema nae anamtoto moja ndie huyu Khadija, ambae yupo na mama zake wadogo, yani Mariam na Zuhura, ambao ni wapenzi na shabiki wa mitandao ya kijamii, mida mwingi ushinda pamoja, huku wakishindana kujilemba, na kupiga picha, ambazo uzipost mitandaoni, huku wakichati na marafiki zao wakiume.

Kwa upande wa mke mdogo, yeye alikuwa na watoto watatu tu! Hakuwa na mjukuu wala kitukuu, mtoto mdogo kabisa alikuwa ni huyu Zahara, aliekuwa anasoma darasa la tatu shule msingi Jang’ombe, kaka yake Mukhsin, yeye alikuwa anasoma kidato cha tatu shule ya sekondari ya Nyuki, pia alikuwa mchezaji mzuri wa mpira wakikapu, yani basket Ball, ushiriki mazoezi kwenye viwanja vya maisala au kule nyuki, karibu na kambi la jeshi la Idd Ba Vuai Camp.

Mtoto mkubwa kabisa alikuwa ni huyu Radhia, ambae aliolewa mapema kuliko ata dada yake Siwema, lakini maisha yake yaliingia kwenye shida kubwa, mala baada ya kupewa taraka na mume wake, tuangalie ilikuwaje.

MWAKA MMOJA NYUMA: Kipindi hicho tayari Radhia alikuwa amekaa kwenye ndoa yake kwa muda wa miaka miwili, maana aliolewa akiwa na miaka ishilini nambili tu, ilikuwa ni mala tu baada ya kumaliza shule ya sekondari, kidato cha nne, na kupata matokeo ya division 3.

Akiwa kama mwanamke ambae, alie lelewa katika maadiri mazuri, na kuwa binti mwenye nidhamu na heshima kubwa, kiasi cha kila mmoja kutoa sifa ya kuwa, Radhia alikuwa ni mwamke wa mfano, na kumtamani kwa namna tofauti tofauti, ikiwa wanawake wenzake walitamani kuwa kama Radhia, au kuwa karibu nae kama rafiki, pengine ingewaongezea thamani yao.

Huku wanaume wakitamani angarau na mke kama Radhia, kama siyo dada au binamu, ilimladi kila mmoja alitamani kitu toka kwa mwanamke huyu, ambae ukiachilia uzuri wa umbo lake, sura, sauti na rangi ya ngozi yake, pia alikuwa na tabia nje, mtaratibu na mpole, asie na majivuno wa kiburi.

Lakini yote kwa yote, bahati ikamdondokea bwana Issa Kiparago, ambae anamkuta mwanamke huyu akiwa bikira, kwa maana akuwai kushiriki tendo la ndoa mpaka pale walipofunga nae ndoa, ni zama ambazo zinaanza kusahaulika kwa sasa, kiasi kwamba ukibahatika kumkuta mwanamke wahivyo unajiona shujaa.

Mwanzo maisha yalikuwa mazuri, akiwa mke wa pili wa mume wake Issa kiparago, mkazi wa mtaa wa michenzani tobo la pili, ambae tayari alikuwa na watoto wawili kwa mke wake wa kwanza.

Lakini mambo yalianza kuwa tofauti kidogo, baada ya mwaka mmoja kupita, bila dalili ya Radhia kushika ujauzito, mume wake akianza kwa kupunguziwa fedha za matumizi, asa zile za mahitajio yake binafsi, pamoja na kunyimwa huduma za ziada, kama vile pesa ya nguo mpya, fedha za vipodose na manukato.

Pia hapakuwa na mtembezi ya siyo ya lazima, yani kama ilivyokuwa mwanzo yani matembezi ya pamoja na mume wake, kwenda sehemu mbali mbali, asa siku za siku kuu, na ata ikitokea Radhia akaumwa, basi angeenda mwenyewe hospital, na siyo kupelekwa na mumewe, kama ilivyokuwa kwa mke mkubwa, ambae aliendelea kupata kila kitu, na mapenzi moto moto kama zamani.

Siku zilivyo sogea ndivyo visa zaidi vilijitokeza, na sasa alikuwa akifake sana, kama angefanya kosa dogo, angeambiwa, “kama ujazaa uwezi kuwa na akili za kiutu uzima ata siku moja” hakika kauri hii, ilimfanya Radhia, ajione mwenye mapungufu makubwa sana, lakini aliendelea kuvumilia.ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE,
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI: Siku zilivyo sogea ndivyo visa zaidi vilijitokeza, na sasa alikuwa akifake sana, kama angefanya kosa dogo, angeambiwa, “kama ujazaa uwezi kuwa na akili za kiutu uzima ata siku moja” hakika kauri hii, ilimfanya Radhia, ajione mwenye mapungufu makubwa sana, lakini aliendelea kuvumilia.ENDELEA….

Japo akuwai kufurahia tendo la ndoa kwa mume wake, ambae siku zote alicho kujuwa kwenye mapenzi ni kuchukuwa na kuipachika, kicha nje ndani mala kadhaa na kushusha wazungu, kisha mchezo umekwisha, akimwacha Radhia ndio kwanza anaanza kuita dudu, lakini ilimuuma sana, siku ambayo ilikuwa zamu yake ya kulala na mume wao, lakini mume wake akaenda kwa mke mkubwa.

Siku ya pili Radhia alimfwata mume wake na kuongea nae kistaarabu kabisa, “samahani mume wangu, jana ilikuwa zamu yangu, naona ulipitiwa kidogo, ukaenda kwa mke mkubwa, basi leo naomba ufidie zamu yangu….” Akupewa nafasi ya kumaliza kauri yake, “wala sikupitiwa, na kuanzia sasa nitaendelea kulala kwa mke mkubwa, maana kwa sasa tunatafuta mtoto mwingine, we endelea kulala peke yako” alisema Issa Kiparago, na akusubiri mke wake aseme lolote, akaondoka zake.

Ilimuuma sana Radhia, ambae kiukweli alijifungia chumbani na kulia sana, akuishia hapo akaenda kumweleza mama yake, ambae alimsihi avumilie maana ata yeye ilikuwa hivyo, wakati alipoolewa, maana alichelewa sana kupata mtoto wa kwanza, ambae ndie huyu Radhia.

Radhia alirudi kwa mume wake, na kuendelea na maisha yale mapya, yaliyoitaji uvumilivu, japo baadae mambo yalizidi kuwa mbaya zaidi, pale mke mkubwa alipoanza kumsema wazi wazi, kuwa Radhia amekuja kumaliza fedha zao, na kubana nafasi ya watoto kujiachia, maana akuwa na faida yoyote katika familia ile.

Mwaka wapili ulifika bila dalili yoyote ya ujauzito, angalau ingetokea moja iliyo aribika, angejuwa anauwezo wa kushika mimba, lakini hapakuwa na ata dalili ya kukosa siku zake za mwezi, alikuwa anazipata kwa muda mwafaka kabisa.

Hapo mume wake bwana Issa Kiparago, ambae akutaka kujiangaisha kwenda hospital, kuangalia tatizo la mke wake ni lipi, akaamua kumpatia taraka tatu, ikiwa ni ushauri wa mke wake, pamoja na marafiki zake.

Taraka tatu zikatolewa, na mwanadada huyu, akarudi nyumbani kwao, ambako sasa alikutana na masimango makubwa sana, kuanzia kwa mama yake mkubwa, dada yake mkubwa, ambae ni mtoto wa mama mkubwa, yani mke wakwanza wa bwana Abeid Makame, ambae kwa wakati huo tayari alikuwa amesha olewa, na alisha pata mtoto.

Aikuwa hao peke yao, sasa hadi Mariam na Zuhura, nao waliacha kumheshimu dada yao, na alipo watahadharisha walimjibu vibaya, “kama ungekuwa na busara ndoa yako isingekushinda” hiyo kauri ilitamkwa mala nyingi sana, na wakina Zuhura na mwenzie Mariam.

Sasa hakuna alie mwelekeza kwa jina lake, wengi walimtambulisha kama dada mjane, kwamaana kule visiwani, mwanamke alie achika uitwa mjane, majirani nao baadhi yao walimesimanga Radhia, kwa kuachika kwake, na ukichukilia wakati ule alionekana kuwa ndie mwanamke mwenye kuongoza kwa uzuri wa sura tabia na umbo, katika mtaa mzima wa Jang’ombe kwa Soud.

Kuna kipindi majirani na ndugu zake wa damu, yani watoto wa mke mkubwa, waliende mbali zaidi, na kumwambia kuwa alikuwa na lahana ya kulithi kwa mama yake, iliyotokana na kupenda kuolewa na waume za watu, kauri hii ilimuumiza sana Radhia, ambae akutaka masahibu yake, yamwingize mama yake katika tuhuma nzito kama hii.

Unaweza kuwakuta wadogo zake yani Mariam na Zuhura wamekaa wanaongea na kucheka, huku wakimsimanga kwa mafumbo, “yani mimi niolewe alafu mume wangu aniolee mke mwingine, pata chimbika” ilo angeliongea Mariam, huku Zuhura akiongea la kwake, “kwanza mimi mwenyewe siwezi kuolewa mke wapili, nitakaa mchana kweupe, yanini kuchangia dudu, wakati zimejaa tele” hakika ilimuuma sana Radhia, ambae alishindwa kuwakemea wadogo zake, ambao walikuwa na kauri chafu, kama fagio la chooni.

Kuna wakati wakina Mariam na Radhia, wakiwa wanatoka kwenda wa marafiki zao wa kiume, yani wapenzi wao, ungesikia wanasemezana kimafumbo, “wacha tuka liwazwe sie wenye waume wetu, kuna wajane wanatamani nafasi kama hizi, wanazikosa” kama nilivyo kudokeza, neno mjane ni mwanamke alie tarikiwa.

Pia Mariam na Zuhura, wakirudi toka kwenye matembezi yao, wangebeba pipi na biscuit, au urojo kwenye vimifuko vya prastick, kisha kuwagea wadogo zao, watoto wa dada yao na wakaka yao, kisha wao kula urojo mbele ya Radhia, ili kumrusha roho, “raha ya kuwa na mtu anaekupenda” angesema mmoja wao wakati wanakula, na hayo yote waliyafanya kama baba yao hayupo karibu, maana akuwa anapenda mambo ya kipuuzi.

Katika vitu vilivyo wai kumuuma, ni siku moja ambayo, dada yake Siwema, alikuja pale nyumbani, mida ya saa tano asubuhi, akitokea kazini, alikokuwa amelala tokajana, japo hakuna mwenye uhakika kama alikuwa amelala kazini, maana alikuja jana kumleta mtoto, kidai kuwa kesho analala kazini, aliwaachia maagizo yote wakina Mariam na Zuhura.

Sasa slipofika nyumbani alimkuta Khadija amechafuka vibaya sana, Mariam na Zuhura walikuwa chumbani kwao, wanatazama video za ngono kwenye simu zao, Radhia alikuwa chumbani anashona moja ya nguo yake kushindia, mala akasikia sauti ya dada yake Siwema toka nje.

“ebu tokeni nje haraka” ilikuwa sauti kali yenye hasira, Radhia akatoka nje haraka, akamwona Siwema akiwa amesimama mbele ya Khadija aliekuwa amekaa chini anachezea vumbi, “dada kuna nini?” kuna nini, nini umwoni mtoto alivyo chafuka kweli nawaachia mtoto alafu nyie mnamwacha hivi” alibwata Siwema, ambae kwa mtazamo wa haraka, nikama akuwa sawa, yani alikuwa na dalili ya ulevi.

Radhia anamtazama Khadija, anamwona kweli amechafuka, “samahani dada, ila alikuwa na wakina Mariam…” alisema Radhia huku anataka amchukuwe Khadija akamwongeshe, lakini akupewa nafasi, “tena wewe usimguse mwanangu kabisaaa, kama ujazaa uwezi kuwa na uchungu wa mtoto, yani unashindwa kumwongesha mtoto, alafu unawasingizia wakina Mariam, kwani wewe uwezi kumwogesha mtoto, alafu unaniona mimi ndio unajifanya samahani” anaongea Siwema akimaliza kwa minya pua.

Wakati huo tayari wakina Mariam walikuwa wamesha fika pale kibaradhani, na kushuhudia lile timbwili, ambalo liliwapa burudani mionyoni mwao, Radhia akiishia kufuta macho, maana kitendo cha kukosa mtoto, kilikuwa fimbo kwa watu, kwaajili ya kumchapia. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.

TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, ni hadithi yenye kisa chenye ubunifu kwa hasilimia mia moja, sehemu, mitaa na majina yaliyo tumika, siyo harisi, ni ya kufikilika, na ayausiani na kisa hiki.

Kama kuna tukio au kitu chochote kitafanana katika hadithi hii, na tukio la kweli, basi aikuwa dhamira ya mwandishi, kama utakuwa na maoni ushauri au lolote wasiliana na mwandishi wa hadithi hii, si luksa kunakiri au kubadiri hadithi hii kwa lolote, katika matumizi yoyote, pasipo kibari cha mwandishi kupitia whatsapp namba 0717924403 au 0743632247.

Naaaaaaam!, hadithi yetu inaanzia kisiwani Zanzibar, ilikuwa ni jumanne yenye shamla shamla za sikuu za eid ya mfungo mosi, hii ni eid Ahl hadji, moja kati ya kuku kubwa sana kisiwani hapa.

Kama ilivyo kawaida, kwa wakazi wa kisiwa hiki, siku ya leo ilikuwa na pilika nyingi sana, toka asubuhi walionekana wake kwa waume wakitoka msikitini, huku wamependeza kwa mavazi mazuri mpya yenye kuvutia, huku wanawake wakiongoza kwa kupendeza, wakifwatiwa na watoto.

Hakika leo ni siku ambayo, hasilimia kubwa ya watu, walionekana wakiwa wenye nyuso za furaha, arufu nzuri ya vyakula ilizagaa mitaani, na kushibisha pua za kila wapita njia na wakazi, sambamba na sauti za music wa kasiwida, zilizokuwa zinasikika toka kwenye nyumba za watu, kila kona ya mitaa, na sehemu mbali mbali za biashara, zikizidi kuing’alisha siku kuu hii, ambayo kwa huku kisiwani uwa inasherehekewa kwa muda wa siku mbili, mpaka nne.

Mida ya saa saba za mchana, tupo mtaa wa jang’ombe kwa Soudi, ni mtaa wapili, toka kituo cha Mchina mwanzo, barabara kuu ya kiembe samaki, kupitia uwanja wa Amani.

Mtaa umechangamka sana kama mitaa mingine ya kiswahili, wanaonekana watu wengi wa lika mbali mbali, yani watoto vijana na wazee, wakike kwa wakiume, waliokuwa wamevalia nguo nzuri na mpya za kupendeza, huku wanawake wakiwa wamejipamba zaidi kwa kuchora mikono yao mauwa mazuri kwa kutumia wino wa ina.

Pia wanawake wananukia vyema utuli wa udi, wameficha miili yao kwenye magauni mazuri aina ya baibuhi na habaya, huku vichwani mwao wakificha nywele zao kwa hijab, za rangi mbali mbali, zilizoendana na nguo walizovaa.

Lakini tofauti ilikuwa nyumbani kwa mzee Abeid Ally Makame, ambapo kwanza kabisa, tuna mwona mzee Abeid mwenyewe anatoka nyumbani, akiwa ameongozana na wake zake wawili, yani mke mkubwa, akiwa mwenye hasiri ya Africa bila chembe chembe yoyote ya uchotara, huku bi mdogo akionekana kwenye dalili ya mbali ya uchotara.

Wake wote wawili wa Abeid Makame, wakiwa wamevalia vizuri, magauni yao mapya na hijab zao, zilizo zidi kuwapendezesha, pamoja na viatu vyao vizuri vya mikanda, kama ilivyokuwa kwa mume wao, ambae ni mwalimu wa shule ya sekondari ya mwanakwelekwe A, alie valia kanzu yake nyeupe mpya, na baraghashia nzuri yenye rangi ya kanzu yake.

Chini alivalia makubanzi, (sendo) za kisasa, ya rangi nyeusi, huku hasiri ya mzee huyu akiwa ni mwafrika hasiria bila chembe chembe yoyote ya mshanganyiko wa hasiri ya taifa au kabila jingine toka nje ya bara la africa.

Lakini ukiwatazama vyema watu awa watatu, utagundua utofauti kati yao, asa katika mwonekano wa hali ya nyuso zao, maana wakati mzee Abeid akiwa katika hali ya kawaida, mke mdogo alionekana kuwa katika hali ya kukosa furaha, kwa kiasi flani, huku mke mkubwa akiwa mwingi wa tabasamu.

Wakati huo huo, kwenye kibaraza cha nyumba ya mwalimu Abeid Makame, wanaonekana watu watatu, wote wakiwa na hasiri ya uchotara japo ulikuwa umefifia, lakini uliwapendezesha, kati yao alikuwepo binti mdogo wakike mwenye umri wa kati ya miaka kumi adi kumi na moja, pia wakiume mwenye umri wa miaka kati ya kumi sita adi kumi na saba.

Walikuwa na dada yao, ambae umri wake, ni mkadilio wa miaka kati ya ishilini sita au ishilini na tano, aliekuwa anawasindikiza kwa macho baba na mama zake, huku uso wake ukiwa umenyongea kwa mawazo, nae pia kama wale watoto, alikuwa na hasiri ya uchotara, ambao licha ya kuwa ulio fifia, lakini uzuri wake ulionekana wazi wazi, kuanzia sura adi mwili wake, ata uzuni aliyonayo usoni mwake ilishindwa kuondoa uzuri wake wa hasiri.

Tofauti na wadogo zake ni kwamba, yeye alikuwa amevalia mavazi ya kawaida, ambayo japo yalikuwa ni masafi, na unaweza kuvalia popote katika siku za kawaida, pengine ata leo ndiyo aliyovaa msikitini, lakini ni wazi yalikuwa ya zamani, tunaweza kusema yalisha maliza eid moja au mbili kabla ya leo.

Ila pia licha mwonekano wa uzuri wake huo, akuwa amejipamba kwa chochote, kama wanawake wengine wahuko mtaani, ni kama wale watoto wawili, ambao mavazi yao licha ya kuwa masafi, ila pia yalionekana ayakuwa mapya, huku wote wakiwa wamekaa kibarazani, nyuso zao zimekata tamaa, macho yao yakitazama kushoto na kulia, yani kwenye barabara ya mtaa, ni wazi walitarajia kumwona mtu flani.

“kaka Mu, mbona rafiki yako mwenyewe aji sasa?” aliuliza yule mschana mdogo, wa miaka kumi na moja, huku anamtazama yule kijana wamiaka kumi na saba, ambae akujibu kitu zaidi ya kutazama kushoto na kulia, huku uso wake ukionyesha wasi wasi na kukata tamaa.

Dada mkubwa anawatazama wadogo zake, huku anawaona jinsi walivyo sawajika nyuso zao, “dada Radhia, mpigie kwanza umuulize mbona aji” anasema yule mschana mdogo, ambae ni kama alisha kata tamaa, au aliona anacheleweshwa jambo flani.

“Jamani Zahara, uwe mvumilivu kidogo, kwani na yeye binadamu eti, lazima ale akoge ndio aje” anasema yule mwanamke mkubwa, kwa sauti tulivu iliyolemewa na uchungu flani, ambae kwa matazamo wa kawaida, ni mzuri wa sura umbo na rangi ya ngozi yake, “alisema anakuja mchana, lakini mpaka sasa ajaja” alilalamika Zahara.

Zilisha pita dakika kumi, toka mzee Abeid na mke wake waondoke, sasa mlango mkubwa wa mbele unafunguliwa, wanatokea watu watano, yani wanawake wawili wakubwa, mmoja akiwa na umri wa miaka 24 na mwenzie akiwa na umri wa miaka 21, wakiwa na watoto watatu, wakike wawili na wakiume mmoja, ambao umri wao aukuzidi miaka sita, mdogo kabisa akiwa na mkadilio wa miaka mitatu.

Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA…….
Ngoja niifatilie taratibu
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TATU: Wakati huo tayari wakina Mariam walikuwa wamesha fika pale kibaradhani, na kushuhudia lile timbwili, ambalo liliwapa burudani mionyoni mwao, Radhia akiishia kufuta macho, maana kitendo cha kukosa mtoto, kilikuwa fimbo kwa watu, kwaajili ya kumchapia. ENDELEA….

Ni mama Radhia na baba yake tu, ndio ambao awakumsimanga kwa lolote Radhia, ambae sasa heshima yake, ilishuka sana pale mtaani hadi ndani ya nyumba yao.

Wakati wadogo zake Mariam na Radhia, walikuwa wanalala chumba kimoja, chenye vitanda viwili, yeye alikuwa analala na watoto wawili, yani mdogo wake Zahara, na yule mjukuu wa kike, tena kwenye kitanda kimoja, cha futi tano kwa sita.

Ilo alikuwa shida kwake, kubwa ni iliyompa shida, ni kukosa huduma muhimu binafsi, ambazo kama mwanamke mkuwa ilibidi azipate, maana ata mama yake akuwa na fedha za ziada za kumpatia, ili ajinunulie mafuta mazuri ya kupakaa, nguo nzuri, ata sabuni na zile pad za kutumia katika siku zake za kike.

Achana na nguo za ndani, ambazo mpaka sasa alibakia nazo mbili tu, kiukweli alijitaidi kuzitunza kwa umakini mkubwa sana, ata kuna wakati alilazimika kushinda bila nguo nguo hiyo ndogo, na kuvaa pale anapolazimika tu.********

Radhia ambae akuwa mtembezi wa mala kwamala, aliweza kuwaona wadogo zake, ambao sasa walisha maliza masomo yao, wakikaa pamoja muda wote, huku wakisimuliana nakuonyesha jumbe au picha za rafiki zao wakiume, awakuweza kuongea nae, na wala akupenda kuongea nao, sababu ya majibu yao mabaya na masimango ya mala kwa mala, kuhusu kuachika kwake, huku wakisahau kuwa ata wao kwa umri wao bado hawaja chumbiwa.

Mbaya zaidi, ni kwamba ata dada yake mkubwa yani Siwema, ambae ni mfanyakazi wa hospital ya mnazi mmoja, kama muhuguzi, alipokuwa anafika pale nyumbani kwao, akuwa na muda wakuongea nae, yeye pia angekaa na wadogo zake, na kuongea nao kwa furaha huku wakicheka kwa pamoja, napengine angeongea na wakina mama.

Nakama angeongea na Radhia, ni kumtuma kitu, au kumsimanga kwa jambo flani ambalo silo la maana, na wakati mwingine kuongea vitu vya makusudi ambavyo vingemfanya Radhia adhaulike au yeye mwenywe kujisikia vibaya, “ujuwe kuna dada mmoja alikuwa na tatizo kama la Radhia, kuto kushika mimba, lakii baadae ikabainika kuwa alikuwa anatoa sana mimba, akiwa shuleni.

Mariam na Zuhura walitoka muda wowote waliotaka, kwenda matembezi, pasipo kuulizwa na mtu yoyote, kuwa wanaenda wapi, na wangerudi muda wowote, bila kuulizwa walikuwa wapi, na walienda kutembea na nani.

Muda mwingi Radhia alikuwa anakaa mwenyewe nyumbani, na kuwaza kuhusu tatizo lake la kuto kushika ujauzito, mtu pekee ambae alikuwa na uwezo wakuongea nae vizuri, ni mama yake mzazi, ambae mala nyingi alikuwa anampa moyo na ujasiri, kwa kumweleza kuwa, ata yeye alichelewa sana kushika ujauzito, alikaa kwenye ndoa miaka mi tatu, ndio akapata ujauzito kwanza, ambao alizaliwa yeye Radhia.

Baada ya hapo alikaa tena miaka isiyo pungua saba, akampata Mukhsin, na ilikuwa hivyo kwa mdogo wao wamwisho, yani Zahara, ambae alizaliwa mika saba bada ya kuzaliwa kwa Mukhsin.

Kuna wakati alifarijika, lakini aliwaza atapata wapi mwanaume mwenye uvumilivu, kama ilivyo kuwa kwa baba yake, alivyo mvumilia mama yake, na ukichukulia wanaume wa hapa mtaani kwao, walikuwa wanamchukulia kama asie zaa, japo wapo walio mtongoza, lakini wao awakuwa na nia ya kumchumbia, zaidi walitaka kula kitumbua kama burudani, maana walimchukulia kama mwanamke asie faa kuwa mke.

Kingine kilicho muumiza sana Radhia, ambae siyo tu kukosa fedha za kujihudumia mwenyewe, pia alikosa ata fedha za kuwasaidia wadogo zake, ambao kwakifupi pale nyumbani, walikuwa kama watengwa flani hivi.

Ukweli ni kwamba, baba yao akuwa na fedha nyingi ya kuweza kuwa fanyia mambo makubwa watoto wake, zaidi watoto awa walipendeza na kuneemeka kupitia dada Siwema na kaka yao mkubwa Himidi, ambae anafanya kazi huko Oman.

Kuanzia mavazi na ufahari wao uonyesha wakina Mariam, uliwategemea dada yao, ambae alitegemea mume wake, sababu na yeye mshahara wake ulikuwa mdogo, na kaka yao Himid, ambao ni watoto wa mke mkubwa.

Kuhusu wao wakina Radhia, yeye ndie alikuwa mtoto mkubwa, hivyo ilitakjiwa yeye ndie awasaidie wadogo zake, kama alivyokuwa anafanya kipindi kile akiwa kwa mume wake, ushirikiano katika familia hizi mbili, ulikuwa kwenye chakula pekee, japo Radhia alikuwa ndie mpishi pale nyumbani.

Lakini utenganifu huu, ulisababisha upendo mkubwa na umoja kwa watoto wa mke mdogo, yani mama Radhia, ukweli ata mzee Abeid akupenda tabia ya watoto wa mke mkubwa, japo alishindwa la kufanya, maana watoto wake wakubwa tayari walikuwa na maisha yao, na walikuwa na maamuzi yao,

Ndio maana ata leo siku ya Eid ya Mfungo mosi, kuliwa na utofauti mkubwa kati ya makundi haya mawili, yani watoto wa mke mkubwa na mke mdogo, wakati wengine wakiwa wamependeza kwa mavazi mapya na wengine walivalia mavazi ya zamani.*******

MWEZI MMOJA KABLA YA LEO: Siku hiyo ilikuwa ni ijumaa, Mukhsin alirudi nyumbani akiwa mwenye furaha kubwa sana, hakika furaha ya mtu mmoja uwa ni furaha ya wote, iwe kwa mama yao mpaka yule mdogo kabisa, yani Zahara, akiwa mwenyewe furaha, basi familia nzima ya bi mdogo, inakuwa na furaha.

Week nzima nyuma Mukhsin alikuwa amekosa amani, kwa kukosa kiatu kizuri cha kwenda kushiriki michezo ya mapinduzi cup, ya mchezo wa mpira wakikapu, ngazi ya mkoa wa mjini magharibi, alisha jaribu kuomba fedha kwa baba yake, lakini kiukweli hali ya baba yao wanaifahamu, akujaribu kuomba kwingine maana alijuwa fika kuwa asingepata.

Hali ile ilimuumiza sana Radhia, ambae aliwaza kuwa, kama angekuwa katika ndoa yake, pengine isingefikia hatua ya mdogo wake kukosa kiatu cha kuchezea mpira wakikapu, japo bwana Issa nae akuwa na fedha nyingi sana, lakini kwa biashara yake ya vifaa vya umeme vilivyotumika, asingekosa fedha ya kununua japo kiatu cha kawaida.

“mwenzetu vipi, mbona hivyo” aliuliza mama Radhia, huku anamtazama kijana wake, aliekuwa ameingia ndani uso umechanua kwa furaha, mkononi amebeba mfuko wenye box, “rafiki yangu amenipatia kiatu kipyaaaa” alisema Mukhsin, kwa sauti yenye furaha, huku anatoa box kwenye mfuko, ilyoonekana vyema ikiwa na chapa ya kampuni moja ya vifaa vya michezo ya nchini #mbogo_land.

Kila mmoja anatoa macho ya mshangao, kuanzia mama mpaka dada Radhia na Zuhura, “weee Mu, kiatu kizuri kama hiki uchezee mpira?” anauliza Radhia, huku anachukuwa kiatu kimoja na kukitazama, “kwani we uonagi kwenye TV, hivi ndio viatu viatu vya basket, tena amesema akienda dar es salaam, ataniletea nguo za mazoezi” alisema Mukhsin, huku anachukuwa kiatu kimoja na kukivaa. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA
na mume wamtu, nyie sin ma luhusiwa kuolewa wake wawili” alisema Edgar akimalizia kicheko kingine.

Kauri hii nikama ilizidi kuumiza moyo wa Radhia, ambae sasa alitazama pembeni, kuficha macho yake, yaliyoanza kutengeneza machozi, na kuziba mboni za macho yake, Edgar aligundua ilo, nakujihisi vibaya kidogo, kwa kuleta utani usio faa.

Hivyo akatabasamu kidogo, huku anapeleka mkono wake wakushoto, na kwenye bega la kulia la Radhia akilaza kiganja cha mkono wake kwenye bega ilo, ikiwa ni mala ya kwanza Radhia anaguswa na kijana huyu, akajihisi msisimko wa hali ya juu, “dada Radhia, ondoa wasi wasi, mimi bado sijaoa, hivyo kuwa na amani, hakuna wakuja kukufanyia fujo, maana hakuna mwanamke anae jiita mke wangu wala mpenzi wangu kwa sasa” alisema Edgar kwa sauti yake nzito na tulivu.

Radhia ambae anazaidi ya mwaka aja wai kupata dudu kwenye kitumbua chake au kubembelezwa na mwanaume kiasi hiki, alijikuta anageuza uso wake kwa Edgar, huku anaachia tabasamu, na edhar anaonekana kushtuka na kwakuona machozi kwenye macho ya Radhia, anashangaa kidogo, maana aelewi kwanini mwanamke huyu anakuwa hivyo, “kwanini sasa unaleta masihala ya namna hii?” anauliza Radhia kwa sauti ya kujidekeza.

Inamshangaza zaidi Edgar, ukweli siyo kwamba, akumpenda Radhia au udekaji wake, lakini ukweli kwamba, akutegemea kama Radhia angefikia hatua ile kwa utani alio ufanya, “kwanini umekuwa hivyo kwa utani mdogo kama huu” aliuliza Edgar kwa sauti tulivu ya mshangao.

Hapo ndipo Radhia nae alipozinduka na kukumbuka kuwa Edgar akuwa mpenzi wake na wala akumtongoza, ila ni rafiki wa mdogo wake Mukhsin, “ni hadithi ndefu, uwa najisikia vibaya kutokana nay ale yaliyo nikuta miaka ya nyuma” alisema Radhia, huku akilazimika kumsimulia Edgar kisa chake chote, kuanzia kuolewa kwake, mpaka kuachika kwake na manyanyaso anayo yapata, katika maisha yake magumu ya kutengwa anayo ishi sasa hivi.

Hakika ilikuwa ni hadithi ngumu kuisikiliza, kwa mtu mwenye kujuwa maana ya upendo, “pole sana Radhia, lakini bado mdogo sana, unanafasi ya kusoma zaidi na kupata nafasi nzuri katika maisha yako” alisema Edgar kwa sauti ya tulivu ya kuliwaza, “lakini elimu siyo familia” alisema Radhia, akionyesha anaumizwa na kitendo cha kukaa kwenye ndoa kwa miaka miwili, bila kushika ujauzito.

Hapo Edgar nikama anayahisi maumivu ya mwanamke huyu, anatabasamu kidogo, “Radhia unaamini mungu alikuumba mwanamke kwa makusudi, na kazi moja wapo ya mwanake ni kuzaa?” anauliza Edgar kwa sauti tulivu.

Radhia anamtazama Edgar, kabla ya kuitikia kwa kichwa, akikuariana nae kwamba aliumbwa mwanamke, nakazi yake mojawapo ni kuzaa, “basi hipo siku utanyonyesha mtoto wako kwa matiti yako” alisema Edgar kwa sauti tulivu, na kumfanya Radhia atabasamu, “naiwe kweli, maana siyo kwa kusemwa huku” alisema Radhia, na wakaendelea kuongea mengio huku hali ya uchangamfu ikirudi kwa wote wawili.

Wakati huo huo, upande wapili kwa kina Mariam na Zuhura wakiwa na wapenzi wao wanawatazama wenzao waliokuwa wanaendelea kujiachia, huku wanakipata juice na burudani mbali mbali, nikama walikuja kuangalia wenzao na siyo sherehekea, wakati huo watoto wao wakiwa katika michezo na watoto wenzao, mikononi mwao hawakuwa na kitu chochote, siyo wao wala wapenzi wao, wala watoto waliokuwa wanaendelea kucheza.

Kikubwa walicho fanya wakina Zuhura, ni kusindana kujipiga picha na kupakia mtandaoni, huku wakiweka vichwa vizuri vya habari na matabasamu ya bandia, maana awakuwa wanafurahia uwepo wao pale forodhani, sababu hawakuw ana ata shilingi moja.

Mala ghafla Zuhura anaona jambo, “dada Mariam unawaona wale nao wamefikaje huku?” anauliza Zuhura huku anamgusa gusa Mariam, nae anatazama kule ambako anaonyeshwa na mdogo wake, siyo yeye peke yake ata wakina Mahadhi pia, wanatazama upande ule.

Wote kwa pamoja wanawaona Zahara na Mukhsin wakiwa wamesimama kwenye kibaskeri cha juice za mabungo, pamoja na watoto wa dada yao na kaka yao, “jamani mbona maajabu haya” anasema Mariam huku anaangua kicheko cha kustaajabu.

Lakini kabla ajamaliza kucheka, anaona kitu kingne, ni kwamba, wakina Zahara wanawanunulia wakina Khadija, juice na visheti, “he!, wamokota wapi ela awa?” anauliza Zuhura, kwa sauti yenye mshangao kiasi cha watu wapembeni kumsikia. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA KWA hadithi ZA Mbogo EDGAR
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA NNE: Kila mmoja anatoa macho ya mshangao, kuanzia mama mpaka dada Radhia na Zuhura, “weee Mu, kiatu kizuri kama hiki uchezee mpira?” anauliza Radhia, huku anachukuwa kiatu kimoja na kukitazama, “kwani we uonagi kwenye TV, hivi ndio viatu viatu vya basket, tena amesema akienda dar es salaam, ataniletea nguo za mazoezi” alisema Mukhsin, huku anachukuwa kiatu kimoja na kukivaa. ENDELEA….

Kweli kiatu kimempendeza, na nikizuri kweli kweli, “ni yupi huyo rafiki yako, mbona atumjuwi?” aliuliza mama Radhia, huku anamkazia macho Mukhsin, “anaitwa Edgar, yeye tunafanyanae mazoezi pale Maisala, juzi aliona viatu vyangu vilivyoisha, akauliza namba ya viatu vyangu, nika mtajia, leo ameniletea” alisema Mukhsin.

“basi mwalike siku moja aje kututembelea hapa nyumbani, kani mnasomanae” anauliza mama Radhia, “hapana, yeye tunakutana nae mazoezi tu” alijibu Mukhsin, ambae muda wote alikuwa mwenye furaha, “basi mwambie asante kwa niaba yetu” alisema mama Radhia, huku anatoka chumbani kwa Mukhsin au Mu, kama wanavyo penda kumwita, “basi mwambie aninunulie na mimi viatu vya shule, siumeona viatu vyangu vime chanika” alisema Zahara, na kumfanya Radhia acheke, huku anatoka nje ya chumba cha mdogo wake.

“kamwambie mwenyewe” alisema Muksin, ambae ni kama aliongea kwa utani, kwamaana ya kitu ambacho akiwezekani, lakini sasa kitu ambacho uwezi amini, kilitokea week moja baada ya tukio la viatu vya Mukhsin, yani week tatu kabla ya leo.********

ILIKUWA HIVI: siku hii ilikuwa ni juma mosi, saa mbili za asubuhi, kwenye Viwanja vya Maisala, tayari msimu wa mashindano ya mpira wakikapu, kuwania kombe la Mapinduzi, yaliyokuwa yana dhaminiwa na mke wa rais mstaafu wa Zanzibar, yalikuwa yamesha aanza, , nisehemu mbayo vijana wengi wa maeneo ya mkoa wa mjini Magharib wanakutana, kwaajili ya kuitazama mashidano aya, makubwa yanayo usisha mpira wakikapu katika kisiwa hiki cha Zanzibar.

Kipindi hiki shule zilikuwa zimefungwa, ikiwa ni kupisha mfungo mosi, viwanja vya Maisala, watu walikuwa wamejaa kweli kweli, palikuwa pana endele mechi ya mpira wakikapu, kati ya timu ya stone town na jang’ombe junior, ikwa ni mechi ya pili kwa upande wa timu ya kina Mukhsin, yani Jang’ombe junior.

Vijana wengi walikusanyika eneo ili, wapo waliofwata burudani ya mpira, pia wapo waliokuja kama sehemu ya matembezi na mtoko wa kipindi cha likizo, ila pia wapo waliofanya sehemu hii kama sehemu ya kukutana na wapenzi wao, kufaidika, kwa kisingizo vha mpira, kukwepa kibano cha muda mrefu, toka kwa wazazi.

Kwa Mariam na Zuhura pia walikuwa sehemu yao ya kukutana na wapenzi wao, japo wao walipenda sana kuhudhuria mida ya jioni, mida ambayo wengi waliokuja uwa ni kwaajili ya matembezi na mtoko wa kukutana na wapenzi wao.

Ilikuwa tofauti na Radhia, ambae leo mida hii, akiwa ameongozana na mdogo wake Zahara, wanatokea darajani, ambako walitumwa na mama yao, ndipo Zahara alipotoa wazo, “da Radhia, tupitie Maisala tukamwone kaka Mu” alisema Zahara, na hapo Radhia akaunga mkono moja kwa moja, “sawa, lakini tusichelewe sana” alisema Radhia, huku wanapanda dala dala la kwenda uwanja wa ndege.

Dakika chache baadae walikuwa wanashuka Maisala, ambapo watu walikuwa wengi sana, kama ilivyo kawaida biashara ndogo ndogo zilikuwa zinaendelea, kama vile juice za matunda ya hasiri, na ice creem za kila aina, mishkaki na vitafunwa vya kila aina.

Japo walikuwa wanatamani vitu vilivyokuwa vinauzwa, lakini awakujari sana, walishuka na kwenda kutafuta sehemu nzuri ya kusimama, ili waweze kumwona ndugu yao Mukhsin, aliekuwa anacheza mpira kwa umahiri mkubwa sana.

Walipata sehemu nzuri upande wapiliwa uwanja, upande ambao ulikuwa na watu wachache sana, “dada dada!, unamwona kaka, yule paleeee” anasema Zahara kwa sauti ya juu iliyo jaa shngwe na furaha, huku anamtazama kaka yake ambae alikuwa anacheza mpira kwa ustadi mkubwa, huku mguuni mwake akiwa amevalia kille kiatu alichopewa na rafiki yake.

Radhia anatamani kumwona rafiki wa mdogo wake, ili mwambie asante, lakini anakumbuka kuwa alisema nae anachezaga mpira, hivyo ni wazi anaweza nae akawa iwanjani.

Radhia anatazama mpira, anajaribu kubashiri nani atakuwa rafiki yake Mukhsin, lakini amwoni mwenye uwezo wa kumpatia Mukhsin kiatu kama kile maana wote anawafahamu, ni watoto walio kuwa pamoja na Mukhsin.

Wakati Radhia anaendelea kutazama mpira, mala akatazama pembeni yao mita kama sita au saba kutoka waliposimama, japo palikuwa na watu kadhaa, lakini aliweza kumwona kijana mmoja mwenye urefu wa wastani alie valia truck suit ya timu flani ya mpira wakikapu ya nchini #mbogo_land, na viatu vya raba, vizuri sana maalumu kwa kuchezea mpira ule wakikapu, vilifanana na vile vya mukhsin, vilikuwa na chapa ya kampuni moja toka #mbogo_land, akiwa na mkadilio wa umri wa kati ya miaka ishilini na tano au ishilini na sita.

Nae pia alikuwa anatazama upande waliokuwepo Radhia na zahara, macho yao yakakutana, ni wazi Radhia ambae alivyona kama yule kijana anatoa macho ya kumshangaa, nae pia alijihisi akisisimuliwa kwa mwonekano wa kijana huyu, ambae ukiachilia kimo na sura yake ya utanashati wa kiume, pia alikuwa na umbo lenye mwonekano wa mwanaume, kwa mala ya kwanza anahisi kumtamani mwanaume kwaajili ya burudani.

Radhia anakwepesha macho haraka, na kutazama uwanjani, huku anakemea pepo lisimletee tamaa, “kaka anawafunga magori mengi” anasema Zahara, kwa furaha huku anaruka ruka, akujuwa kuwa dada yake yupo katika hali ngumu, maana licha ya kutamani dudu, mala chache kutokana na kuto kuifaidi vyema, ukichukulia kuna mengi alikuwa anayasikia uwa yanatokea kwenye kupeana dudu, lakini yeye akuwa kupata bahati hii ya kukutana na ile raha ambayo amesha wasikia wenzake wakisimuliana.

Lakini leo alijikuta anavuta hisia za ngono, akiwa na kijana yule ambae kimwonekano akuwa mwenyeji wa kisiwani hapa, “ona dada mwonekaka anawapiga chenga” alisema Zahara kwa sauti ya juu, lakini Radhia atazami tena mpira, baada yake anageuka kutazama kule alikokuwa yule kijana, ambae anamwona anamtazama yeye, ata macho yao yapokutana yule kijana anakwepesha macho yake nakutazama uwanjani.

Radhia anatazama yule mwanaume, kwa sekunde kadhaa, kabla ajamwona anamtazama tena, na macho yao yanakutana tena, “ananitazama tena” anasema Radhia kwa sauti yachini, safari hii yeye anakuwa kwanza kukimbiza macho yake, “nani anakutazama?” anauliza Zahara, huku anatazama kushoto na kulia, lakini aoni kitu, wala mtu anae mtazama dada yake, anarudisha macho uwanjani. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA KWA hadithi ZA Mbogo EDGAR
 
Tobo la pili darajani maisala nimeimiss iyo mitaa
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Radhia anatazama yule mwanaume, kwa sekunde kadhaa, kabla ajamwona anamtazama tena, na macho yao yanakutana tena, “ananitazama tena” anasema Radhia kwa sauti yachini, safari hii yeye anakuwa kwanza kukimbiza macho yake, “nani anakutazama?” anauliza Zahara, huku anatazama kushoto na kulia, lakini aoni kitu, wala mtu anae mtazama dada yake, anarudisha macho uwanjani. ENDELEA….

Wakati huo dada yake anamtazama tena yule kijana, akishindwa kuacha kumtazama yule kijana, ambae kiukweli kila alipozidi kumtazama anagundua kuwa ni wakipekee sana, maana ukiachilia uvaaji wake na usafi alionao, pia alikuwa amevaa saa ya samani kubwa sana, pia alikuwa peke yake.

Radhia anatazama watu wa pembeni, anagundua kuwa idadi kubwa ya wanawake waliokuwepo eneo lile walikuwa wanamtazama yule kijana, ambae ameomwona mala kadhaa akimtazama yeye, japo yeye alikuwa anamtazama yeye pekee.

Radhia anajaribu kujilinganisha na yule kijana, na wanawake wengine waliokuwepo pale, wakimshangaa yule mwanaume, anaona kuwa akuwa na hadhi ya kuwa na kijana yule, kulinganisha na wale wanawake wengine, “sasa kwanini ananitazama hivi?” anajiuliza Radhia, huku anageuza tena uso wake tena, kumtazama yule kijana mtanashati, ambae anamwona anamtazama.

Radhia anaingiwa na wasi wasi na uoga, “au nimevaa vibaya ndio maana ana nishangaa?” anajiuliza Radhia huku anajitazama kwa macho ya kujikagua, lakini anajiona yupo sawa, “au nimevaa ksiahamba sana” anajisemea Radhia, huku anawatazama wanawake wengine, walio kuwa eneo la karibu, ambao pia kiukweli, walikuwa wamevalia vizuri nguo mpya za kupendeza.

Safari hii Radhia anajitaidi sana, asitazame kule akikokwepo yule mwanaume, lakini baada ya dakika mbili au tatu anajikuta ametazama tena, na kwabahati mbaya sana kwake, anamwona yule kijana akiwa anamtazama, na macho yao yakakutana kwa mala nyingine tena, safari hii, wote wakajikuta wanakwepesha macho yao kwa pamoja, na kutazama uwanjani.

Ilikuwa hivyo mala kwa mala, Radhia akijaribu kumtazama kijana huyu kwa vizia, lakini alimkuta anamtazama ata alipoamua kijizuwia asitazame, lakini ilitokea tu, akajikuta anamtazama kijana yule, kuna wakti alimwona akiwa anatazama mpira na kuna wakati walikutana macho kwa macho.

Japo alipanga kuwai kuondoka, lakini alijikuta anapata wazo la kubakia pale uwanjani, kuendelea kutazama mpira, japo burudani kubwa kwake ilikuwa ni kumtazama yule kijana, ambae ni mgeni kabisa machoni pake, japo kuna wakati alijihisi vibaya alipomwona Zahara anavyo watazama watu waliokuwa wananunua na kula vitu mbali mbali vilivyokuwa vinauzwa pale uwanjani, wao awakuwa na ata senti moja mbovu.*******

Naaaam!, mambo yalikuwa endelea hivyoo hivyo muda wote wa mchezo wa mpira wakikapu, ata mpambano ulipoisha, wakina Mukhsin wakiibuka kidedea kwa point nyingi sana, Radhia na Zahara wakamwona Mukhsin anatoka uwanjani, akishangilia na wenzake, niwazi hakuwa amewaona dada zake, “kaka Muuuu!, sisi tupo huku” alipiga kelele Zahara, akimwita Mukhsin, ambae aligeuka na kuwaona, lakini akuwafwata, baada yake aliendelea kushangilia na wenzake.

Lakini Radhia ambae akujari sana kuhusu Mukhsin, aliendelea kumtazama yule kijana, ambae sasa nayeye akuwa anatazama tena, ila baada yake alikuwa anatazama lile kundi la wakina Mukhsin, ambalo baada ya dakika kadhaa mbele walijikusanya kwa mwalimu wao, anae wafundisha mpira huu wa kikapu, ambae aliongea nao mawili matatu, kabla ya kuwaluhusu waondoke zao.

Ndipo Radhia alipo shangaa kumwona mdogo wake Mukhsin akimfwata moja kwa moja yule kijana ambae alikuwa anashangaana nae, anamfikia wanapeana mikono ya hongera, kisha Mukhsin anamweleza jambo yule kijana, alafu wanaanza kutembea kuja pale walipokuwepo wao, “mungu wangu, kumbe rafiki yake Mu” anashtuka Radhia, na kutamani kuficha sura yake kwa ushungi wake, lakini anaona itakuwa aibu zaidi, hivyo anachagua kujikausha, kama vile hakuna kilichotokea.

Radhia anasimama nyuma ya Zahara, akiwa amemkumbatia, wanawatazama Mukhsin na yule jamaa, waliokuwa wanawasogolea kwa mwendo wa haraka huku wanaongea, “umejitaidi sana Mukhsin, ukiendelea hivi, nita kufadhiri ukasome #Mbogo_Land, upate timu nzuri utengeneze fedha nzuri, kauri hii aikumshtua Mukhsin pekee, ila ilimshtua ata Radhia.

Ujuwe kwa wakazi wa nchi nyingi za Africa, anapoenda nchini #Mbogo_land, hasilimia kubwa walirudi nchini mwao wakiwa wamefanikiwa kimaisha, tena ni matajiri wakubwa tu, japo ni ngumu sana kupata vibari halali vya kusihi nchini humo.

Nikama Radhia anaanza kuhisi huyu kijana ni mtu wa aina gani, na kwamba siyo wa hadhi yake kabisa, pengine akijitaidi kidogo, anaweza kuwa mfanyakazi wake wandani, “kaka Edgar, huyu ni dada yangu mkubwa anaitwa Radhia, na huyu dada yangu mdogo anaitwa Zahara” Radhia alishtuliwa na utambulisho wa Mukhsin, ambae alikuwa amesha fika na yule jamaa, “hooo!, nimefurahi kuwafahamu, niliwaona toka mwanzo nikasema mbona kama mnafanana sana” aliisema huyu kijana ambae aliitwa Edgar, (lakini siyo Edgar mimi)

Hapo Radhia anapata jibu la kuwa kwanini kijana huyu alikuwa anamtazama sana, kumbe alikuwa anawafananisha na Mukhsin, hivyo Radhia anajiona mjinga kujiuliza sana wakati ule, na kujishuku kwa mambo mengi, kutokana na kutazamwa na kijana huyu, ambae kwa mtazamo wake asingeweza kumtamani kutokana ufahari wake.

Radhia alimtazama yule kijana ambae alikuwa ameachia tabasamu laini, tulivu, lililo jaa upendo wa kirafiki, huku akimtazama Zahara kisha akamtazama yeye, ata macho yao yalipokutana, Radhia mwenyewe anajikuta anaachia tabasamu na kutazama chini kwa aibu, “da Radhia, huyu anaitwa Edgar, ndiyo yule rafiki yangu, nile waambiaga, kuwa tunafanya wote mazoezi hapa hapa maisala” alisema Mukhsin ambae anaonekana wazi kuwa, akuwana habari nyingi kuhusu kijana huyu.

Radhia anaachia tabasamu laini, “asalm aleykum” anasalimia Radhia kwa sauti laini, huku amemkubatia mdogo wake kwa nyuma, “aleykum salaam” anaitikia Edgar, huku tabasamu alikauki usoni mwake, “mie nilizania ni mtoto mwenzio, kume ni mbaba aswaa” inamchomoka Radhia bila kutegemea, na kumfanya kijana wetu acheke kidogo, “Mukhsin amekuwa rafiki yangu kutokana na juhudi zake kwenye mzoezi, na hisi atafika mbali sana akiendelea hivi” anasema yule kijana ambae sauti yake inakijibezi flani tulivu.

Kinapita kimya kifupi wakiwa wamesimama, Mukhsin anaenda kujukuwa begi lake dogo la nguo, Radhia, Edgar Zahara, wametulia wakimsubiri, wakati huo Radhia anajaribu kumtazama kijana huyu kwa ukaguzi, na macho yake yapo fika usoni kwa kijana huyu, anagundua kuwa na yeye alikuwa anamtazama, wote wanatabasamu, Radhia anatafuta cha kuongea, ilikuvunja ukimya.

Sekunde chache baadae anakumbuka jambo, “mama kasema asante sana, kwa kununua vitu vya Mu” anasema Radhia, kwa sauti ndogo yachini kama mtoto, kiasi cha kumshangaza Zahara, “hoooo! usijari, yeye ni rafiki yangu, ni kama ndugu kwa hapa Zanzibar, sababu toka nifike yeye amekuwa mtu wangu wakaribu, ukiachilia watu ninao fanya nao kazi” alisema Edgar, kwa sauti yeke yenye uzito flani wa kufurahisha.

Sauti ambayo inapenye masikioni kwa Radhia, nakumsisimua sana moyoni mwake, “sasa kwanini aujajanyumbani kututembelea?” anauliza Radhia kwa sauti ile ile, safari hii Zahara ashangai tena, pengine alihisi kilicho mkuta dada yake, ambae kiukweli katika maisha yake ukiachilia mume wake wazamani, akuwai kuwa na mwaume mwingine.

“yah!, ilikuwa lazima nije, nazani kuna jambo la kumsaidia Mukhsin akimaliza shule, japo ni mapema sana kuliongelea ilo” aliongea Edgar ambae utulivu ni jadi yake, “wakati huo alikuwa yeye, lakini sasa ndugu tumesha ongezeka, unaweza kuja kutusalimia siku moja moja” anasema Radhia ambae kila muda ulivyoenda alianza kumzowea kijana huyu, “alafu dada nimekumbuka kitu” alisema Zahara, nawote wawili wakamtazama. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA
 
Back
Top Bottom