ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KUMI NA NNE
MTUNZI:
edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA TATU: Ni wazi mama Radhia aimpendezi kauri ya Zuhura, “ebu mheshimuni dada yenu, kwani lazima kuvaa nguo mpya” alisema mama Radhia, kwa sauti ye kuchukia, “mwache seme bwana, ata kama ni dada yao, lakini anatia aibu, ya nini kulazimisha kutembea na miguo ya zamani” anasema mama Mariam, na Mariam anadakia, “mtu mwenyewe mjane lakini bado anazurula kutafuita nini” anasema Mariam huku anaingia ndani, akifwatiwa na Zuhura. ENDELEA….
Radhia anaingiwa na unyonge, anajiinamia chini, anakosa la kusema, lakini anakumbuka kuwa kuna mwanaume anamchukulia kawaida licha ya kuwa ameachika na sababu ni kukosa kushika ujauzito, “mwanangu wala usijari, kuachika siyo kilema, ata mimi nilichelewa kupata mtoto wa kwanza” anasema mama Radhia, na Radhia anajifuta machozi, huku anashindwa kutoa taarifa ya mwaliko wakesho, maana atasimangwa kwa kukosa nguo mpya.
Radhia akiwa katika hali ya unyonge, akaingia ndani, na kwenda kuoga, kisha akajilaza kitandani, akaanza kuwa za mambo mengi sana, aliwaza juu ya maisha yake ya zamani akiwa kwenye ndoa, maisha ambayo mwanzo yalikuwa mazuri, akiongea na kucheka na mume wake, pamoja na mke mwenzie, aliweza kuwa hudumia wadogo zake, kwa vitu vidogo vidogo.
Pia alikumbuka mambo waliyokuwa wanafanya na mume wake chumbani, japo katika kumbu kumu zake, akumbuki siku ambayo aliwai kumaliza kiu yake ya dudu, kwenye kitumbua chake, maana mala zote, pale alipokuwa anaanza kunogewa na mchezo, na kuanza kuipata raha ya dudu, ndipo mume wake alipo maliza mchezo.
Na mbaya zaidi, mume wake wazamani, alipokuwa anamaliza mchezo, akuwa na uwezo wa kurudia tena, na hapo ingepita ata week moja na zaidi, pengine ni kutokana na uchovu wa kazi za mchana kutwa.
Radhia aliendelea kuwaza na kuvuta kumbu kumbu ya matukio ya toka siku ya kwanza alipo kutana na Edgar, ambae ni rafiki wa mdogo wake Mukhsin, kimtazamo umri wa kijana huyo, uliendana na umri wake yeye Radhia.
Radhia alivuta picha ya kijana huyu, ambae licha ya kuwa mkarim, na mjuzi wa kutoa maneno ya kuliwaza, lakini kijana huyu akuonyesha dalili ya kumwitaji kipenzi, “anaumbo zuri” anawaza Radhia, ikiwa ni kwa mala ya kwanza akijihisi kutamani mwanaume kutokana na umbo lake, ambae anafurahi kwa ujio wa kijana huyu katika maisha yao.
Maana ukichilia kuwasadia wadogo zake kwasasa, lakini pia, amemsikia kijana huyu akimweleza Mukhsin kuwa, akijitaidi katika masomo na mchezo wa mpira wakikapu, atampelaka nchini #Mbogo_Land, nchi maalufu kwa mpira huo wa kikapu, ambao wachezaji wake wamenufaika kwa kiasi kikubwa sana katika maisha yao.
Naaaaam! kwakati Radhia anaendelea kuwaza ili na lile, mala akasikia simu yake inaanza kuita, akaichukuwa haraka na kuitazama, akaona mpigaji ni Edgar, hapo Radhia akajikuta anatabasamu kwa raha aliyo isikia moyoni mwake.
Nikukumbushe kitu, toka Radhia ameachika kwa mume wake Idd, hapakuwa na mtu wakumpigia simu mala kwamala, labda mama yake ambae ni mala chache sana kuwa nae mbali.
Radhia anaiachia simu, nakuitazama ikiendelea kuita kwa sekunde kadhaa, usoni amejawa na tabasamu pana, lenye uangavui wa furaha, kisha akaipokea, “hallow!, asalam aleykum” alisalimia Radhia kwa sauti nyororo na tulivu, “aleykum salaam dada Radhia, vipi mlifika salama?” inasikika sauti nzito na tulivu toka upande wapili wa simu, Radhia anahisi msisimko wa mwili, unao anzia kwenye sehemu nyingine za mwili.
“ndiyo tumefika salama, nilishindwa kukujulisha sina salio” alisema Radhia kwa sauti tulivu, kama ile ya mwanzo, “ok!, nimefurahi kusikia mme fika salama, pia asante sana kwa matembezi ya mchana, nimefurahi sana, siku yangu ilikuwa nzuri sana” alisema Edgar.
Hapo Radhia akajikuta anaachia tabsamu lenye mchanganyiko wa furaha na mshangao, “mie ndio napaswa kusema asante, yani umenitendea jambo zuri sana, maana wadogo zangu wamefurahi sana” alisema Radhia, akiongea ksauti yenye hisia toka moyoni.
Wawili awa waliongea mawili matatu, huku wakicheka kwa furaha, awakutumia muda mrefu sana, wakaagana huku Edgar akisisitiza kuwa, kesho wataenda kwenye mwaliko.
Hakika Radhia alijihisi furaha kubwa sana, ata wadogo zake walipoingia kulala, walimkuta akiwa mwenye furaha kubwa sana, na dakika kumi baadae, uliingia ujumbe kwenye simu yake, ukimweleza kuwa ametumiwa salio la vocha ya elfu tano, ikiwa ni muda wamaongezi, alishangaa sana, maana simu yake toka anunue ata wakati akiwa kwa mume wake, akuwai kuweka vocha nyingi kiasi hicho.
Haraka sana akajiunga kifurushi, na kutuma ujumbe kwa Edgar, “asante sana nipata vocha” hapo zikapita dakika tatu, ujumbe ukaingia kwenye simu yake, “ok! karibu” ndivyo ujumbe ulivyosema.
Hapo Radhia akatoa macho kwa mshangao, “mh!, karibu ya nini tena” anajiuliza Radhia kwa sauti ya chini, ajuwi kama wadogo zake wanamsikia, nae akiwa amekosa jibu, anaamua kujibu, “nimekaribia” kisha anaituma kwenda kwa Edgar, kisha anasubiri ujumbe mwingine, lakini mpaka anaanza kusinzia akuona ujumbe wowote, mpaka alipochukuliwa na usingizi.*******
Upande wapili chumbani kwa kina Mariam na Zuhura, wao bado walikuwa macho, tayari wamesha kula na sasa wamejilaza kitandani, wanapekuwa simu zao na kusoma maoni ya watu, waliyo yatoa kwenye picha zao walizo post kule forodhani, “hivi huyo rafiki yake Mu, unamfahamu?” anauliza Zuhura, huku anaacha kupekuwa simu na kumtazama dada yake.
Hapo nikama Mariam, anakumbuka kitu flani, “nimjulie wapi, usikute ni hawara yake, anasingizia rafiki yake Mu” anasema Mariam, na hapo Zuhura anacheka kwa dharau, “hawara ampate yeye mjane, mtu mwenyewe mlinda kuku” alisema sema Zuhura akimaanisha dada yao Radhia ni mtu wa kukaa nyumbani, hapo Mariam nae akacheka.
“lakini tutajuwa tu ujanja wa mama yao, yani amewapa ela, alafu wanasingizia wamepewa na rafiki yao, rafiki gani huyo mwenye ela yote hiyo” alisema Mariam, huku wote wakionekana kuumia sana, kwa kitendo cha kuwaona wakina Zahara na Mukhsin, wakiwa forodhani na fedha nyingi, huku wao wanakosa ata ela ya maji.
“tuone na kesho kama watatoka tena, kama sisi” alisema Zuhura, na Mariam akadakia, “alafu kesho watoto tunawaacha, siunajuwa tuna jambo letu” alisema Mariam, “ila da Mamu tusiende kuchelewa sana, ili tuwai forodhani tukale urojo” alisema Zuhura, “atuwezi kuchelewa, mwenzio Mahamud yeye akiweka tu, wala achelewi” alisema Marim, na Zuhura akasema yak wake, “ata Mahadhi, tena anapenda ya kuinama, anamwaga haraka” alisema Zuhura.********
Lakini wakati huo huo, huko sebuleni kulikuwa na kikao cha dharula, kikao ambacho mwenyekiti alikuwa ni mzee Abeid Makame, “kwakweli lazima mtambue Radhia ni binti kubwa sana, na kilicho mkuta lazima kimuumize kama ambavyo mwanamke yoyote anavyo weza kuumizwa” alisema mzee Abeid kwa sauti tulivu yenye umakini mkubwa. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA
JamiiForums