SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA TATU: “wacha kwanza tujisaidie maana tunaweza kuchafua” anasema yule mama, huku wanapitiliza kuingia vyoo vya VIP, wakimwacha Ashura akiwa anashangaa, na wakati huo huo Ashura anamwona Siwema anaibukia pale kolidoni akitokea ukumbini, nyuma yake Amina anamfwata mbio mbio. ......... ENDELEA….


Hapo Ashura akaona kuwa, anaweza kujiunguzia picha ya kuja na Shaban pale hotelin, akaamua kuondoka zake, akipishana na wakina Siwema, ambae anamfahamu kuwa ni dada wa Radhia, ambae alimwona jinsi alivyo kunja sura, kama vile kuna mtu alikuwa amegombana na mtu flani.

“Siwema ebu subiri kwanza, mbona mbio mbio, unataka kufanya nini?” anauliza Amina, “nataka anieleze kwanini ajawachukuwa wakina Mariam” anasema Siwema kwa sauti iliyojaa hasira, kama ungekuwa unamfahamu kwa mala ya kwanza, ungesema kuwa, alimpatia fedha Radhia, akimtaka kuja wakina Mariam, lakini Radhia akaitumia kinyume na maelekezo yake.


“unazani itakuwa vizuri kweli, mwenzio amekuja kwenye starehe zake, na wewe unataka kumgombeza” anasema Amina, akionekana kutumia busara, “hapana bwana mie sitaki unafiki, kila simu mama yake anasema ataki utenganifu, lakini mwanae ndio kwanza anaongoza kwa utenganifu” alisema Siwema, kwa sauti ya ukali iliyojaa chuki.


Amina anashindwa la kufanya au kuongea kumzuwia Siwema, ambae anaonekana wazi kujawana hasira chuki na wivu, changanya ulevi aliokuwa ameuweka kichwani mwake.


Mala mlango wa upande wa vyoo vya VIP, unafunguliwa na wanaibuka Radhia na yule mke wa waziri wa elimu, hakika Siwema akusubiri wasogee, akaanza kuwasogelea yeye, huku Radhia akihisi wazi kuwa kimesha umana.


“aya we mnafiki kiko wapi sasa, ebu niambie huyo rafiki wa Mu, ndio unaongozana nae mpaka usiku kwenye taharab?” anauliza Siwema, na kumfanya Amina aachame mdomo wazi kumshangaa rafiki yake.


Maana alisema anaenda kumwuliza kwanini ajawachukuwa wakina Mariam, lakini alichouliza hapa ni kitu kingine tofauti, “dada kwani unamfahamu huyu mwanamke?” anauliza mke wawaziri, huku anamtazama Radhia, alikuwa anajaribu kumpita Siwema, bila kuongea nae, lakini Amina ambae alimtambua haraka huyu mke wa waziri, ndie alie wai kujibu, “samahani mama, rafiki yangu amemfananisha huyu mwenzio” alisema Amina huku anamshika Siwema na kumvutia upande wa vyoo vya mchanganyiko.


Lakini aikusaidia, Siwema akumwachia Radhia pige hatua ata moja, akamchomoka Amina na kumdaka Radhia, “nakuuliza wewe huyo mwanaume ni rafiki wa Mu, au hawara yako, mbona unatuaibisha hivi” alibwata Siwema huku anamshika Radhia nywele, na kuanza kuzivuta, hukua anaendelea kuporomosha maneno makali sambamba na matusi.


Bahati nzuri, wale walinzi wawili wa utaratibu wa mpango wa vyoo, waliona tukio lile, na kuwai haraka, na kuwaachanisha, “samahani mama, samahani sana, atukujuwa kama wamekuja kufanya fujo, kwanza nini tatizo?” anauliza yule mlinzi wa kiume, akiwa amemshikiria Siwema, ambae ni wazi kabisa, alimtambua mke wa waziri.


“hakuna kitu, kaka yangu, alisema Radhia ambae kiukweli alikuwa ameshikwa na uchungu mkubwa moyoni mwake, kiasi cha machozi kumtililika machoni mwake, hakuna kiti nini, hakuna kitu nini, unajifanya wewe ndio mzuri sana, kila kitu wewe ona sasa wakina Mariam umewaacha nyumbani wewe unakuja na mwaume kwenye taharab, kwani wao hawataki kuja kwenye taharab” alisema Siwema kwa sauti ya juu, iliyo jaa hasira.


Ukweli maneno hayo yalimsikitisha sana Radhia, amba alimtazama mke wawaziri ambaemuda wote alikuwa anamtazama Siwema kwa mshangao, “dada tuondoke” alisema Radhia huku anaanza kupiga hatua, lakini mke wawaziri akamzuwia, kwa kumdaka mkono, kisha akamtazama waziri, “askari sikia, huyu anaefanyiwa fujo ni mchumba wa barozi wa #Mbogo_Land, ebu mwondoeni huyu mwanamke humu ukumbini” alisema mke wa waziri, kisha akaondoka na Radhia ambae bado alikuwa amemshika mkono, akimrudhisha vyoo vya VIP, kwaajili ya kumewaka vizuri nywele zake.


“yani we Radhia unasababisha mimi natolewa ukumbini wakati nimelipia ela yangu, na kuambia utailipia taka usitake” alisema Siwema, wakati huo tayari Amina alisha wakimbia na kwenda kuwa julisha wanaume wao, ambao walikuja haraka upande wa vyooni, na kukuta tayari askari walisha ongezeka na kuwa wanne.


“vipi jamani kuna nini tena” aliuliza mume wa Amina, baada ya kujitambulisha kuwa wao ni askari wa jeshi la polisi, “kaka huyu mwanamke amemfanyia fujo mchumba wa barozi hivyo kwa usalama wa mchumba wa barozi, inabidi atolewe nje” alisema mlinzi mmoja wapo, huku Siwema akiwa anahema juu juu, kwa hasira.


Hapo wanaume wale wawili wakatazamana, kama vile wanaulizana cha kufanya, “kaka naona we msindikize mke wako, sisi utatukuta hapa” alisema mume wa Amina, huku anaondoka zake na Amina akimfwata nyuma, lakini wakashangaa na yule mchepuko wa Siwema nao unawafwata nyuma, “haaa!, Kaka umesahau kuwa mke wangu yupo mbeya, yeye mwache akalale tutaongea kesho, kwanza akunishirikisha wakati anakuja kupigana, isitoshe sijuwi anamgombania nani” alisema yule jamaa.


Na hapo ndipo hakili ilimkaa sawa Siwema, ambae alijipapatua mikononi mwa wale askari, na kuwakimbilia wakina Amina, ambao tayari walikuwa wamesha fika ukumbini, kisha akamdaka mkono yule mwanaume wake, yani mchepuko wake, “jamani mpenzi wangu ndio unaniacha niende nyumbani mimi mwenyewe, naomba twende wote” alipiga kelele Siwema huku akimvuta mkono mwanaume wake, ambae alimpapatua mkono wake kwa nguvu, na kujichanganya kwa watu, huku askari wakiongezeka na kumdaka tena Siwema.


Tukio ili linaonwa na watu sana mle ukumbini, akiwepo Edgar, nawatu wengine, Edgar anainuka na kutazama vizuri, askari waliokuwa wanamkokota mwanamke mmoja kumtoa nje ya ukumbi, ambae alikuwa anapiga kelele za kumwita mpenzi wake kwamba asimwache atolewe nje, Edgar anashindwa kusogelea eneo lile kujuwa kama Radhia nae alikuwepo pale, hofu yake ni kuwa asije kudhurika kwa fujo iliyokuwa inaendelea.


Edgar anapata wazo la kufwata chooni, wakati huo huko chooni, mke wa waziri alikuwa anamalizia kumtengeneza Radhia nywele zake, huku Radhia akimaliza kumwelezea kwa kifupi kuhusu dada yake na maisha yao ya ugomvi, “anaroho mbaya sana, sasa kwani yeye kinamuuma nini, au ndio anataka uteseke maisha yako yote?” anauliza mke wa waziri, huku wanatoka nje, na wakati huo wanamwona Edgar akija upande wa vyoo, “vipi Radhia mpo salama kweli” anauliza Edgar, huku anawatazama kwa umakini mkubwa.


Mke wawaziri anamtazama Radhia, ambae anainamisha kichwa chini, na kuanza kulia, kilio cha chini chini, inamshangaza Edgar, ambae anamtazama mke wa waziri kwa macho ya mshaka, “shemeji imekuwaje tena kwa muda huu mfupi ambao mme kuja huku?” anauliza Edgar, huku anamsogelea Radhia na kumshika mkono, na kumtazama kwa umakini. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA NNE: Mke wawaziri anamtazama Radhia, ambae anainamisha kichwa chini, na kuanza kulia, kilio cha chini chini, inamshangaza Edgar, ambae anamtazama mke wa waziri kwa macho ya mshaka, “shemeji imekuwaje tena kwa muda huu mfupi ambao mme kuja huku?” anauliza Edgar, huku anamsogelea Radhia na kumshika mkono, na kumtazama kwa umakini. ......... ENDELEA….


Radhia anawaza kuwa atakama Edgar alikuwa anampenda, anaweza kughairi kutokana na kile kilichotokea, ni kitendo cha aibu, kutokana na hadhi ya Edgar, pia Edgar angeona familia yao ni watu wajabu, “hakuna tatizo shemeji, ni dada yake ndie alie taka kumfanyia fujo, lakini askari walikuwepo wamemfukuza” alisema mke wa waziri, ambae anamshika Radhia na kumvutia kifuani kwake, maana alisha wai kumsimulia mambo yanayo mkabiri nyumbani kwao, asa kwa upande wa familia ya mke mkubwa.


Licha ya kuwa katika wakati wa majonzi na hali ya kilio, lakini Radhia anajikuta anapata msisimko na raha isyo kifani, “basi Radhia, nazani dada yako siyo mgeni kwako, auna aja ya kulia sawa” anasema Edgar kwa sauti yake nzito, huku kichwa cha Radhia kikiwa kimelala kifuani kwake.


Radhia anajisikia raha sana, anahisi yupo mikononi mwamtu ambae anampenda kuliko maelezo, “wananionea sana, awataki kuniona ninafurahi” alisema Radhia huku analia kwa kwikwi, kitendo ambacho mke wa waziri anahisi kuwa ni udekaji wa kimapenzi, “tutaliweka sawa, ngoja kwanza nikutane na baba” anasema Edgar kwa sauti nzito, ya kubembeleza, ambayo inamfanya Radhia ajihisi raha zaidi, na kutikia kwa kichwa, kama mtoto alieaidiwa kulipiza kwa mtu alie mwonea.


Unaweza kuzania kuwa ni Radhia pekee ndie alie vutika lile kumbatio, lakini ukwelini kwamba, ata Edgar pia, alikuwa katika hali ngumu zaidi, kama siyo ile suruali yake ya kubana, basi mhogo wake ungesha onyesha wazi wazi ulivyo vimba na kujitutumua ndani ya suruali, hii nikutokana na joto tamu la Radhia, joto ambalo sina hakika mwanamke uwa analipata wakati gani, kama siyo akiwa ajaguswa kitumbua muda mrefu basi ni wakati ambao anaitaji mwanaume wa kumpatia dudu, ata kama ametoka jana.


Hakika ilileta picha flani ya kusisimua, kiasi kwamba, ata mke wawaziri aliekuwa pembeni yao, anajikuta anashusha pumzi nzito ya kusisimuliwa, “shemeji twendeni ukumbini, msijekupigwa picha hapa” alisema mke wa waziri, huku anacheka kawa utani.


Edgar anamwachia Radhia toka kifuani kwake, sehemu mbayo Radhia akutamani kutoka mapema, alitamani leo alale kwenye kifua hicho mpaka asubuhi, “nyamaza basi Radhia, kumbuka umenileta kwenye starehe, basi inabidi tufurahi nasiyo kulia, sawa mama” anasema Edgar kwa sauti nzito na tulivu, huku anamfuta machozi, kwa mikono miwili akitumia vidole gumba vyake, kisha wakaongozana kuelekea ukumbini, ambako walikuta hali ikiwa imetulia, kama vile hapakuwa na tukio lolote.


Mke wa Idd, yani Ashura akiwa na Shaban, ambae tayari amefwatilia kwa ukaribu ugomvi wa Siwema na Radhia, sasa anamwona mke mwenzie wa zamani, yani Radhia, ambae amependeza kweli kweli, akiwa ameshikwa mkono na mwanaume mtanashati alie pendeza kwa suityake ya kijivu, wanaongozana kwenda kukaa kwenye viti vyao vya VIP A.


Siyo tu Ashura alishangaa jinsi Radhia alivyo pendeza, ila pia aliona wivu, maana aliwaza vitu viwili, ambavyo alimini Radhia kwasasa anavyo au anakaribia kuvipata.


Moja ni kwamba, anaenda kuwa na maisha mazuri, ambayo yeye binafsi ajawai ata kuota kwenye njozi, sababu ni wazi yule mwanaume alie ongozana na nae ni mwanaume mwenye fedha na ni mtu mkubwa serikalini, akichukulia kuwa jana alimwona kwenye TV akiwa Ikuru, na leo anamwona akiwa VIP A, tena amependeza kwa nguo za gharama kubwa.


Pili alijuwa kuwa Radhia anaenda kurahia maisha, huku yeye akiwa mwanamke mwenye furaha nyingi sana, sababu ndio wakati atagundua kuwa hakuwa na tatizo la uzazi, kama alivyo ambiwa na kusimangwa na watu wengi sana, akiwepo Idd pamoja na ndungu zake, pia ndugu zake mwenyewe Radhia, na baadhi ya majilani.


Mpaka hapo Ashura akajihisi unyonge, lakini anawaza jinsi Idd atakavyo kuwa, baada ya kumwona Radhia amebeba ujauzito, huku mke wake mdogo akishindwa kushika ujauzito, lakini akuwaza kama, inaweza kuwa mwanzo wa yeye kutiliwa mashaka, juu ya watoto alio wazaa.


Wakati hayo yanaendelea huku ndani ya ukumbi, Amina na mume wake na mchepuko wa Siwema, anawasimulia habari za Siwema na Radhia, kwamba anashindwa kumwelewa rafiki yake, kwa jinsi anavyo mfanyia mdogo wake, huku wanaume wale wawili wanashangaa na kujiuliza roho yainagani anayo Siwema.


Huko nje, Siwema alikuwa anapiga kelele, akiitaji mpenzi wake aje amchukue nje, “yani yote niliyo kufanyia, leo hii unaniacha mwenyewe natolewa nje” alipayuka Siwema, ambae kiukweli akujuwa kuwa, kuna baadhi ya watu wanamchukuwa video kwa simu zao.


Turudi ndani ya ukumbi, music unaendelea, Edgar anafanikiwa kumtuliza Radhia, nae anaacha kulia, na muda mfupi baadae mke wa waziri anamfwata tena Radhia, na kumwinua wakacheze kidogo ikiwa ni kumsahaulisha kilichotokea muda mfupi uliopita, nae anainuka nawaanza kucheza.


Wanacheza kwa dakika kama kumi hivi, mala Edgar anamwona Radhia anarudi kwenye kiti, huku mke wa waziri anaenda jukwaani, kisha anaanza kutoa noti moja ya elfu kumi na kupepea hewani, kabla ajaanza kumrushia mwambaji, akimwekea kichwani, anafanya hivyo kwa kiasi cha noti kama kumi hivi ikiwa ni laki mija, kisha anashuka toka jukwaani.


Radhia anamtazama yule mama, ambae sasa alienda moja kwa moja kwenye kiti chake na kuungana na mume wake, hii lisha fanywa na wanawake kadhaa, wakiwa ni wake wa viongozi wengine, na wake wa wafanya biashara.


Edgar ana anamtazama Radhia, ambae pia alimtazama, na macho yao yakakutana, Edgar akatoa kitita cha fedha, chenye noti za elfu kumi kumi, na kugawa kidogo bila kuhesabu, kisha akampatia Radhia, ambae alitikisa kichwa kukataa, “hapana eddy, unataka nipeleke pale” anauliza Radhia, “nikama unaona itakupa burudani moyoni mwako usifikilie kuhusu kiasi gani unapeleka” alisema Edgar, huku anamshikisha Radhia zile fedha.


Radhia ambae anatamani siku moja kununua gauni zuri kwaajili ya mama yake, au kanzu kwaajili ya baba yake, anaionea huruma fedha ya Edgar, ambayo anaingaikia kila siku, ili aendeshe maisha yake, “lakini siyo yote, najuwa unataka nijisikia furaha, lakini ukweli sito furahi kwa kutoa fedha yote hii” anasema Radhia, huku anachukuwa noti nne tu za elfu kumi kumi, na kurudisha zilizobakia, ambazo usingejuwa kama kuna noti nne zimepunguzwa, “sawa mama, sina cha kukupinga” alisema Edgar huku anarudisha fedha kwenye mfuko wa koti la suit.


Radhia anatembea kuelekea jukwaajini, kwa haraka, bila mbwembwe za aina yoyote, anaweka noti zote nne kichwani kwa yule mwimbaji wa kike, kisha anashuka toka jukwaani, na kutembea kwa haraka kuelekea alikokaa Edgar.


Radhia akiwa njiani anakumbuka maneno ya mama yake, kwamba ikifika saa sita inabidi asirudi nyumbani, maana majirani wataongea sana kuhusu kutoka kwake, na kurudi usiku, lakini atawezaje kulala kwa Edgar wakati awajakubariana lolote, na atamfikiliaje pale atakapo amweleza kuwa anataka akalale kwake.


Siyo hivyo tu, Radhia mwenyewe anatamani kulala kwa Edgar, angalau aendelee kupata lile kumbatio, ambalo alilipata kule upande wa vyooni, kumbatio ambalo, lilimsisimua sana, na kutamani liendelee kwa usiku mzima.


Radhia anafikia kiti chake na kukaa karibu na Edgar huku anacheka, “usiniambie tena kwenda pale, nimeona aibu sana, nilikubari kwasababu umeniambia wewe” anasema Radhia, lakini akusikia chochote toka kwa Edgar, ikabisi mtazame. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
Ukiona like jua tayari
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO: Radhia anafikia kiti chake na kukaa karibu na Edgar huku anacheka, “usiniambie tena kwenda pale, nimeona aibu sana, nilikubari kwasababu umeniambia wewe” anasema Radhia, lakini akusikia chochote toka kwa Edgar, ikabisi mtazame. ......... ENDELEA


Naaaaam!, sasa Radhia anamwona Edgar akiwa anamtazama kwa macho ya kipekee, kama vile anamshangaa lakini uso wake ulikuwa wenye tabasamu, inamshtua kidogo Radhia, ambae anahisi mwili wake unaanza kukosanguvu, na kutamani mambo ya ajabu, “mbona unanitazama hivyo?” anauliza Radhia huku anakwepesha uso wake, “ujuwe nashindwa kukueleza kwa kugha nzuri unielewe” alisema Edgar, kwa sauti tulivu, huku anainua glass na kuinywa wine yake kidogo.


Hapo Radhia ajiweke tayari kwa kutongozwa, maana alijuwa ule wakati umefika, wa yeye kuambiwa na kupenda, maana aliona dalilizote za kijana huyu kumpenda na kumtamani, “we nieleze tu, natakuelewa” alisema Radhia kwa sauti nyroro iliyojawa na aibu, huku anatazama chini, na kuchezea kuchazake nyeupe za mikononi.


Hapo Edgar anatulia kidogo, kama vile anatafuta namana ya kumweleza Radhia kile anachotaka kumweleza, kitu mbacho uatakiwa ukifahamu ni kwamba, ukiachilia Radhia kumpenda Edgar na kutamani kuwa nae kama wanawake wengi walivyotamani kuwa na kijana huyu, pia ukaribu wao ulisha mfanya Radhia atamani kuwa na kijana huyu kwa hali yoyote, iwe ndoa au mapenzi ya urafiki tu, japo akufikilia sana ndoa, sababu alisha mweleza tatizo lake ka kuachika sababu ya kuto kushika mimba.


“wewe ni tofauti sana na wanawake wengine, ujuwe wanawake wengi uwa wanapenda kutumia fedha pale wapo ziona, lakini wewe umekuwa na upeo mkubwa wamatumizi, na pia licha uitaji wako wa fedha lakini ujawai kuniambia kuwa unaitaji fedha toka kwangu” alisema Edgar, kwasauti yenye hisia toka moyoni.


Hapo Radhia anatabasamu kidogo, “naanzaje kukuomba fedha Eddy, ikiwa aya ulioyonifanyia ulipaswa ufanye kwa mke wako, sasa mimi ni dada wa rafiki yako tu, isitoshe aya unayonifanyia tu, sijuwi nitakulipa vipi, maana umenitendea fadhira kubwa sana, nizaidi ya kuwa rafiki ya mdogo wangu” alisema Radhia kwa sauti yake nyororo, iliyo onyesha ukweli anatamka kwa hisia kali, yenye shukrani.


Nikama Edgar analegezwa kwa maneno ya Radhia, anameza mate, kulegeza koo lake, “lakini nilisha kuambia kuwa huru unapokuwa na mimi, sisi nifamilia kwa sasa, ndio maana jumamosi nakuja nyumbani kwenu, kuungana na wanafamilia wenzangu” alisema Edgar, na mwisho wote wakacheka.


Mpaka hapo Radhia akajuwa kuwa, Edgar akuwa na mpango wowote na yeye, zaidi ya kumchukulia kama dada yake, ikiwa ni dada wa rafiki yake, hakika ilimuuza kimya kimya, lakini hakuwa na uwezo wa kumweleza Edgar hisa zake, kitu ambacho kinge mfanya apoteze heshima zake, na ukichulia baba yake alisisitiza juu ya ilo.


Radhia anajiuliza kuhusu vitu vyote alivyo fanyiwa na Edgar, kumunulia nguo, viatu na mikufu ya gharama, tena alidiliki ata kumnunulia chupi za aina mbali mbali, achana na hiyo, amkutanisha na watu wenye hesima zao, na yeye ana heshimika kwaajili ya kijana huyu, ambae wanae mwona nae wanahisi kuwa ni mchumba wake, leo kamnunulia simu nzuri ya gharama kubwa sana.


Achana na hivyo vyote, vipi kuhusu upendo anao mwonyesha, muda wote, vipi kuhusu kumjari anakoonyesha, nikweli kwamba ni kwaajili ya urafiki wake na Mukhsin, na lile kumbatio la kule chooni, linausiana vipi na Mukhsin.


Hapo Radhia anaona ata ule mpango wa kwenda kulala kwa Edgar unaweza kugonga mwamba, hapo anainua uso wake na kumtazama Edgar, ambae sasa alikuwa anainua glass yake na kunywa wine ndani yake, huku macho yake kwenye music, na yeye Radhia akainua grass ya juice, na kuinywa kidogo, kisha anaiweka mezani, huku anachukuwa simu yake na kutazama muda, “mamaaa!, Saa sita kasoro, nilitakiwa kuwa nyumbani” anasema Radhia, huku anainuka toka kwenye kiti.


Inamshtua Edgar, ambae pia anamtazama Radhia alie simama, na kuchukuwa pochi yake ndogo mezani, “hukuniambia kama wamekupa muda wa kurudi nyumbani, tungekuwa tumesha ondoka” anasema Edgar huku nae anainuka, “samahani sikukuambia, lakini mama alisema ikifika saa sita nisirudi nyumbani maana watu wakisikia nagonga watachungulia nje na kuniona narudi, sasa itakuwa aibu pale mtaani, hivyo inabidi nitafute kwa rafiki yoyote nikalale” alisema akionekana kujalahumu, kisha akaanza kuondoka.


Mpaka hapo nikama Edgar anaona ilo kwake ni jambo jepesi, maana alitabasamu kidogo, huku anamdaka mkono Radhia, akimzuwia kuondoka, “ilo usiwe na hofu kama mama amekuluhusu kulala kwa rafiki yako basi ata mimi nirafiki yako, utalala kwangu cha msingi mjulishe mama yako” alisema Edgar, huku anammrudisha Radhia kwenye kiti.


Radhia anajizuwia kutabasamu, anakaa kwenye kiti, na Edgar nae anakaa kwenye kiti, “unauhakika nitalala kwako?” anauliza Radhia huku anamtazama Edgar, huku kichwani mwake likija swali, je atamlaza kwenye chumba cha wageni, au atalala nae chumbani kwake, na kama akilala nae chumbani kwake ata mfanya nini, “he!, kwahiyo unazani kuna mwanaume mpumbavu, atakataa kumkaribisha mwanamke mrembo kama wewe, nyumbani kwake” aliuliza Edgar kwa sauti yenye utani mwingi, huku nayeye anamtazama Radhia.


Radhia anacheka kidogo, huku anaficha uso wake, kwa mikono yake miwili, huku anavuta picha ambayo inamwonyesha jinsi itakvyokuwa, akiwa chumbani kwa kijana huyu, na gaui lake la kulalia alilo libeba kwenye mkoba, na chupi ile ya bikini, ambayo Edgar alisema atamvalisha mwenyewe, “kwahiyo kama mzuri, nikilala ndio utanifanya nini?” anauliza Radhia, kwa sauti yenye aibu gunia zima, huku bado akiwa ameziba uso wake, kwa mikono yote miwili, alitarajia jibu ambalo lingeweka wazi kitu ambacho angefanywa usiku wa leo.


Edgar anacheka kidogo, huku amesogeza mdomo karibu na sikio la Radhia, “we uzani nitakufanya nini?” anauliza Edgar kwa sauti nzito tulivu, kitendo ambacho kina zidisha msisimko kwa Radhia, ambae anahisi shamba la bibi linaanza kulowa, na ukizingatia alijalimwa muda mrefu “sijuwi” anajibu Radhia kwa sauti nyororo, iliyozidiwa na pumzi nzito ya msisimko.


Sasa inakuja zamu ya Edgar kusisimkwa kutokana na sauti ya Radhia, ambayo ilionyesha wazi kuwa, amezidiwa na kitu flani, “mh!, hivi una uhakika unaenda kulala nyumbani kwangu?” anauliza Edgar akifanya kama alivyo fanya mwanzo, yani kusogeza mdomo sikioni kwa Radhia, niwazi akutaka kuongea kwa sauti kubwa.


Ukweli Radhia aukuwa katika wakati mgumu sana, maana sasa alihisi vitu kama sisimiza vinapita pembezoni mwa tuta la kitumbua chake, na kumtekenya tekenya kiasi cha kutamani kupeleka mkono akajipapase, Radhia anaitikia kwa kichwa, akikubari kuwa anaenda kulala nyumbani kwa Edgar, huku anainamia kabisa meza na mikono bado hipo usoni, kitendo ambacho Edgar anahisi kuwa kitaonwa na watu.


Edgar kwamala nyingine, anasogeza mdomo karibu na sikio la Radhia, ambae bado ameficha uso, na kuegemea kwenye meza, “unaona aibu sana, hivi utaweza kulala nyumbani kwangu kweli?” anauliza Edgar kwa sauti ya utani, “nita weza” anajibu Radhia akiwa bado ameficha uso mezani, “aya jikaze basi Radhia, uinuke ukacheze kidogo, ukirudi utakuwa sawa” alisema Edgar, ambae niwazi nae wine ilisha panda kichwani.


Radhia anainuka bila kusema lolote, na tabamu likiwa limemtawara usoni mwake, anajaribu kumtazama Edgar, ambae pia anamtazama, macho yao yanakutana, aibu inamzidi Radhia, ambae anatazama pembeni na kuangua kucheko cha chini chini, “usinitazame sana bwana, naona aibu” alisema Radhia, huku anampatia Edgar simu na pochi yake ndogo, tofauti na mwanzo ambapo alikuwa anaweka mezani.


Edgar anapokea simu na pochi bila kusema lolote, zaidi ya kutabasamu, Radhia nae anatembea kueleka kwenye kundi la watu, moja kwa moja anawafwata wamama flani ambao pia ni wale wake wa viongozi mbali mbali, waliokuwa wacheza taratibu kwa nafasi. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Shusha vitu boss
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA SABA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA SITA: Edgar anapokea simu na pochi bila kusema lolote, zaidi ya kutabasamu, Radhia nae anatembea kueleka kwenye kundi la watu, moja kwa moja anawafwata wamama flani ambao pia ni wale wake wa viongozi mbali mbali, waliokuwa wacheza taratibu kwa nafasi. ......... ENDELEA….


Mida hii wakina Amina na wale wanaume wawili, ambao aliwaeleza kisa cha Siwema na chuki zake juu zidi ya mdogo wake, chuki ambazo azikuwa na sababu yoyote, zaidi ya kile kilicho tafsliwa kuwa ni wivu, na roho mbaya, maana siyo Siwema peke yake ata wadogo zake na mama yao, ambae ni mke mkubwa wa mzee Abeid Makame, walimchukia Radhia bila sababu za msingi.


Nikama burudani yao iliingiwa na kinyongo, hivyo mida hii ya saa sita wakaamua kuondoka zao, hivyo wote kwa pamoja, wanatoka nje ya ukumbi wanamkuta Siwema akiwa amezungukwa na watu, huku Siwema akiendelea kushusha lawama kwa mpenzi wake huyu, ambae ni mchepuko.


Bahati ni kwamba, eneo lile halikuwa na watu wengi, kutokana na utaratibu mzuri wa hotel hii kubwa, kitu ambacho Siwema akukijuwa ni kwamba, baadhi ya watu walikuwa wanaendelea kuchukuwa video, za kila alichokuwa anakifanya na kukiongea.


Kuona hivyo wakina Amina awakutaka ushaidi wala kuonekana kwenye video za watu, hivyo wakakodi moja kati ya kukodi maarufu kama taxi, yaliyokuwa yanasubiri abiria nje ya hotel hii, na kuondoka zao haraka, wakimwacha Siwema anaendelea kubwabwaja, ajuwi kama wenzake wamesha ondoka zao.


Wakati huo Ashura akiwa na shabani wanaendelea na burudani, japo sasa alikuwa anamtazama Radhia mala kwa mala, ata sasa anamwona akiwa anaenda kucheza na wale wamama ambao wanaonekana wazi ni wake waviongozi na wafanya biashara.


“Shebi, unamwona yule dada alie valia gauni linalo ngaa sana?” anauliza Ashura, huku yeye na shabani wanatazama kule waliko wakina Radhia, ambae anapokelewa na wenzake na kuendelea kucheza, “unamzungumzia yule mwarab, aliekuwa amekaa na barozi wa #Mbogo_Land?” anauliza Shaban, huku anatazama kule kule wanako cheza wakina Radhia.


Inamshangaza na kumshtua Ashura, ambae anamtazama Shaban, kwa macho ya mshangao, “weee! Unasema yule mwanaume ni barozi?” anauliza Ashura kwa sauti ya mshangao wa mwaka, “vipi unamfahamu?” anauliza Shaban, huku anamtazama Ashura ambae nikama bado alikuwa kwenye mshangao.


“kwani wewe umjuwi yule mwanamke, si yule Radhia, alikuwa mke wapili wa Idd, akamwacha kisa azai” alisema Ashura kwa msisitizo na sasa ikaja zamu ya Shaban, “lakini sawa, ata hivyo Radhia siyo haba” anasema Shaban, hakishindwa kuweka vizuri maneno yake, akiofia kumchukiza mpenzi wake.


Wakati wakina Ashura na Shaban, wakiwa katika mjadara wa kumshangaa Radhia, huku Radhia mwenyewe, aliekuwa anacheza music na mama mmoja, mawazo yake yote yalikuwa juu ya utakavyo kuwa usiku wa leo, nyumbani kwa Edgar.


Radhia anavuta picha jinsi, atakavyo anza kupanda kitandani, akiwa na gauni lake jepesi la kulalia, anajiuliza kama Edgar akitaka kitumbua je yeye atavua mwenyewe au Edgar ndie atamvua, na vipi kuhusu itakavyo kuwa wakati wa kuingiziana dudu, anampa raha ambayo anaisikiaga, au ndiyo itakuwa kama mume wake.


“vipi kama atokuwa na nia ya kufanya na mimi” anawaza Radhia huku anatazama kwenye meza yao yani alipomwacha Edgar, ambae nae pia alikuwa anamtazama, macho yao yanakutana, wote wana tabasamuliana, Radhia anainamisha uso wake, huku anaendelea kucheza taratibu.********


Naaaaaaam!, twende michenzani ingilia tobo la pili, mpaka kwenye nyumba ya mzee Kiparago, nyumba ambayo kwasasa anaishi kijawake Idd, ambae anawake wawili, japo kuwa leo mke wake mkubwa hayupo nyumbani, ameenda kumtembelea dada yake, huko magomeni, na yeye yupo na mke mdogo pekee, ambae anamiezi nae mitatu tu, toka amefunga nae ndoa.


Lakini uwezi amini jinsi walivyo lala, licha ya mke mdogo kulala na chupi pekee, huku amebinua kiuno chake na kufanya makalio yake yaliyo geukia kwa Idd, kuwa yamebinuka kwa juu, kama mtego wa dudu ya mwanaume yoyote mwenye uwezo wakula kitumbua.


Lakini aikuwa kitu kwa mwanaume huyu ambae alikuwa amelala chali, akisikiliza mikoromo ya mke wake, ambae alikuwa amepitiwa na usingizi muda mrefu uliopita, akimwacha yeye, ambae alionekana akiwa amesongwa na mawazo mengi sana.


“inawezekanaje Radhia awe na ujeuri huo, kwanza alikutanma vipi na huyo mwanaume anae fanya kazi pale?” alijiuliza Idd, huku anahisi kitu kama donge flani limemkaa shingoni, na kumkosesha amani, “na yeye anakubari vipi kutembea na mfanya kazi wapale, sijuwi mlinzi au mpishi” anawaza Idd, ambae kama ungemwona wakati huo, ungesema Radhia bado mke wake, ambae anachepuka.


“yani wakina Siwema nao wanakubari huo ujing…” kabla ajamaliza kujiuliza, Idd akakumbujka kitu, “yeeeees!, nimesha kumbuka, nita mwendea Siwema, najuwa hapatani na Radhia, nitamwambia kila kitu, alafu tuone, kama akitanuka nyumbani kwao” anasema Idd ambae katika maswala ya ugombanishi anauwezo wa hali ya juu.


Idd sasa anapata auweni ya mawazo japo wivu bado unamsokota moyoni mwake, “kesho mapema sana naenda kwa Siwema, lakini inabidi nijifanye najari sana heshima ya Radhia, na pengine ni mwaeleze kuwa nia yangu ni kurudiana na nae, ilitu wamkataze kuendelea na huyo mpuuzi wake” anawaza Idd ambae aliendelea kuwaza mpaka mida ya saa saba za usiku alipopitiwa na usingizi, pasipo kujuwa kuwa mke wake mkubwa, alikuwa anapata burudani na mwanaume mwingine.******


Naaaaaam!, sasa turudi bwawani hotel, ambako mida hii ya saa saba na nusu, tuna mwona Radhia akiwa amesha anache music katikati uya kundi la wamama wenzake, ambao ni wamama wenye uwezo mkubwa kifedha, wakiwepo wake wa viongozi wangazi za juu, na wake wa wafanya biashara wakubwa, ambao walikuwa wana agana, huku wakibadirishana namba za simu.


Ikiashiria kuwa muda ulisha enda sana, japo ilikuwa imebakia kama nusu saa hivi, kutamatika kwa tamasha ili, “tuta wasiliana siku moja uje kunitembelea nyumbani” alisema moja kati ya wake wa wafanya biashara, wakati wanapeana namba za simu, “sawa nita tuta wasiliana” aliitikia Radhia, akiwa hana uhakika wakuwa na ile hadhi anayopewa na wale wanamama, ambao walimjumisha kuwa ni mke wa mtu mwenye hadhi ya juu, kama walivyokuwa wao wenyewe.


Baada ya kumaliza kuagana, Radhia anarudi alipokuwepo Edgar, huku uso wake ukiwa umechanua kwa tabasamu na furaha, “naona watu wanaondoka” anasema Radhia, kwa sauti iliyoanza kushika aibu, maana aliposema hayo akakumbuka kuwa, wakitoka pale wanaelekea moja kwa moja, nyumbani kwa Edgar, ambako angelala mpaka kesho asubuhi, na chochote kingeweza kutokea usiku huo wa leo, kitu ambacho kingeamua hatima yake na kijana huyu.


Kwamaana ya kwamba, kama ingepita siku hii bila Edgar kumwambia anamtaka au la, basi asingeweza kumtamkia tena, nah ii ingezihirisha kuwa yupo nae karibu kwa urafiki wa kijana huyu na mdogo wake, na siyo sababu anampenda.


“ok!, kwa hiyo umesha tosheka na music?” anauliza Edgar, huku anainuka toka kwenye kiti, akiwa ameshika simu na ile pochi ya Radhia, “nimesha tosheka, na nimefurahi aswaaaa” anasema Radhia, kwa sauti ya kitoto, sambamba na kakicheko flani katamu. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA SABA: “ok!, kwa hiyo umesha tosheka na music?” anauliza Edgar, huku anainuka toka kwenye kiti, akiwa ameshika simu na ile pochi ya Radhia, “nimesha tosheka, na nimefurahi aswaaaa” anasema Radhia, kwa sauti ya kitoto, sambamba na kakicheko flani katamu. ......... ENDELEA….


Edgar anampatia Radhia vitu vyake, kisha wanaanza kutembea kuelekea nje, wakiwa wameshikana mikono, kitu ambacho sasa Radhia alikuwa ameshaanza kukizowea, maana akuona aibu wala kushtuka, ijapokuwa alijihisi msisimko mtamu sana, msisimko ambao ulimfanya atamani Edgar atamke neno, ama hakika leo hii hii angekuwa tayari kumpatia shamba la bibi akaanze kulichimbua.


Edgar na Radhia wanaibukia nje, wakiwa wameshikana mikono, kama ilivyo kuwa kwa wenzao wengi waliokuwa VIP, yani baadhi ya viongozi na wafanya biashara wengine, ambao baadhi yao walikuwa na wake zaidi ya mmoja.


“Radhia ebu tazama kule, si yule dada yako?” anauliza Edgar, huku anatazama kwenye kundi dogo la watu, waliokuwa wanamtazama mwanamke mmoja aliekuwa amelewa sana, anabwabwaja maneno, ya kumwita mpenzi wake asimwache pale nje peke yake.


Radhia anatazama upande ule na kumwona dada yake Siwema, akiwa katika mwonekano usio pendeza kabisa, Radhia anajikuta anaingiwa na simanzi moyoni mwake, “ndio yeye masikini, sijuwi kwanini anakuwa vile, alafu mume wake yupo safarini” anasema Radhia kwa sauti ya kinyonge.


Hapo Edgar anawaza kwa sekunde kadhaa, “sikia Radhia ngoja tumsaidie aende nyumbani, itaaribu sifa ya mzee Makame, ambae sasa anakaribia kupata mafanikio” alisema Edgar bila kufafanua, huku anabofya remote ya gari aliyoishika mkononi mwake, na kumfungulia Radhia mlango, upande wa abiria wambele.


Radhia asemi kitu, sababu ajuwi Edgar anataka kufanya nini, japo akili yake ilimtuma kuwa, Edgar anataka akamchukuwe Siwema, aje apande kwenye lile gari, lakini aikuwa hivyo, maana alimwona Edgar anaelekea kwenye magari ya kukodi, na kuongea kitu na dereva wa taxi, kisha akampatia kiasi flani cha fedha, alafu yeye akarudi kwenye gari, wakati lile taxi, linasogea pale alipokuwepo Siwema.


Edgar anaingia kwenye gari, na kuiliwasha, kisha anatulia wakilitazama lile gari la kukodi, ambalo lilisimama karibu na pale alipo kuwepo Siwema, kisha wanamwona dereva wa taxi anamwita Siwema, ambae analifwata gari kwa haraka, kisha anaonekana akiongea na dereva wa Taxi, Siwema anaingia kwenye gari, na gari linaondoka.


Hapo Radhia anamtazama Edgar kwa macho ya kumtafakari, ni kama ajui amwambie nini, Edgar anagundua ilo, nae asemi kitu, zaidi ya kutabasamu, na Radhia nae anatabasamu, Edgar anaondoa gari taratibu, kimya kinatawara, Radhia anamwona Ashura akiwa na Shaban, wanatoka ukumbini, na kuifwata vesper yao.


Wao wanaendelea na safari yao, kimya kimya, kila mmoja anatafakari jambo, wakati Radhia ambae alikuwa anawaza juu ya upende na moyo wa kujari alionao kijana Edgar, akujuwa anacho waza Edgar, ambae alikuwa anawaza namna atakavyo vumilia pasipo kumgusa mwanamke huyu, ambae kiukweli amesha mvumilia sana, na uikichukulia leo alipomkumbatia kule vyooni, alikuwa na joto moja tamu sana.


Ukimya unaendelea, sasa Radhia anangoja kuona kama ni kweli wanaelekea nyumbani kwa Edgar, au alikuwa anamtania, Edgar nae anawaza kama ni kweli huyu mwanamke anaenda kwake, au alikuwa anatania.


Wanaendelea kuwaza kimya kimya, mpaka wanapo ikamata barabara ya kuelekea darajani, wanaivuka darajani, wanaikamata ile barabara ya kuelekea maisala, wakiacha mchepuko wa michenzani.


Hapo nikama Radhia anapata uhakika wa kuwa, anaenda kulala kwa Edgar, na Edgar nae anapata uhakika wa kuwa, Radhia anaenda kulala nyumbani kwake, “ilikuwa nzuri sana, siku nyingine nitaomba kwa baba yako unipeleke dar es salaam, kule naona matamasha yapo kila wakati” Edgar ndie alie vunja ukimya.


Radhia anatabasamu kidogo, “kule nasikia taharab aina matamasha makubwa, ila kuna wanamusic wa kawaida tu” alisema Radhia, kwa sauti yenye furaha ya wazi kabisa, ni wazi alipenda wazo ilo, maana alijuwa kwa umbali huo, lazima Edgar angeshawishika.


“kwani upendi aina anyingine ya music, mbona mimi leo nimefurahi sana” anasema Edgar, huku anakanyaga mafuta kuitafuta maisala, “napenda” alijibu Radhia huku anacheka cheka, kwa kile kicheko chake kitamu cha kitoto, sambamba na kijiaibu kwambali.*******


Naaaaam!, taxi linasimama nje ya nyumba moja mtaa wa Mombasa, nyumbani anayoishi Siwema, “dada tumesha fika” anasema dereva wa taxi, huku anamtazama Siwema, alie anza kusinzia.


Siwema anashtuka na kufungua mlango wa gari, kisha anashuka, “mimi sina ela, siulisema wamesha lipia?” anauliza Siwema, huku anatembea kwa yumba yumba akifwata mlango wa nyumba, lakini akuna anae jibu, zaidi anasikia ngurumo ya gari likiondoka.


Seiwema anaingia ndani ya nyumba ya chumba chake, ambacho ni chumba na sebule, anaweka vitu vyake mezani, “mjinga sana Radhia, amesababisha nimegombana na said” anasema Siwema, huku anajilaza kwenye kochi, ikiwa ni mala ya kwanza tunasikia jina la mpenzi wake.


“yani simwachi, kesho namfwata huko huko nyumbani, akanieleze kwanini aliwaacha wakina Mariam, au anaogopa yule mwanaume atawapenda sana wadogo zangu, na kumwacha yeye, mbona yeye mwenyewe aliolewa na mume wamtu, tena ana bahati ningemnyonyoa zile nywele zake anazo jivunia” anasema Siwema, huku anamaliza kwa msonyo mrefu.


Siwema anaanza kusinzia, lakini bado anamuwaza Radhia, “anajiona amepaaaaata, mwanaume mwenyewe siyo lolote, siyo chochote, kwanza mweusi” alijisemea Siwema, akisahau kuwa wanaume wake wote wawili, yani mume wake na huyu mchepuko wake wote ni weusi, tena huyu mchepuko ni mweusi kuliko ata Edgar.


Ukimya mfupi unafwatia, dakika mbili baadae simu yake inaanza kuita, lakini aonekani kuangaika nayo, jina kwenye kioo cha simu linaonyesha mpigaji ni Amina, Siwema apokei simu mpaka inaacha kuita, sasa kwambali tunaanza kusikia mkoromo, unao ashilia kuwa Siwema tayari alisha pitiwa na usingizi.*******


Naaaaaaaam! Saa tatu asubuhi, siku ya ijumaa, Radhia anafumbua macho yake taratibu, na kujikuta akiwa amelala kwa kuegemea kifua kipana cha kijana Edgar, huku licha ya kuwa walikuwa wamejifunika mashuka, lakini walikuwa uchi wa nyama, yani watupu kama wametoka kuzaliwa, huku nusu ya mwili wake ukiwa juu ya kijana huyu.


Radhia anainua uso wake kumtazama Edgar usoni, anamwona akiwa amelala fofo, anataka kujitoa pale kifuani kwa Edgar kwa kumpunguzia uzito kijana wa watu, lakini anaghairi, na kurudisha kichwa chake kifuani kwa Edgar, maana anahisi raha isyo kifani, sababu akuwai kulala hivi ata na mume wake wazamani.


Radhia akiwa kifuani kwa Edgar anatazama vizuri mle ndani ambako jana usiku akuweza kumtazama vizuri, anajiona yupo ndani ya chumba kimoja kipana sana, chenye vitu vichache muhimu, pasipo na makolo kolo yoyote.


Yani upande wa kulia kwake kulikuwa na TV kubwa, ya nchi alobaini na mbili, ambayo ilikuwa aijawashwa, meza mfano wa kabati, lenye kubeba seti ya music, ambayo sasa ilikuwa cheza muwimbo mzuri sana wa taratibu toka mwanamusic nguri wa music wa taratibu, wa nchini marekani, I will always love you, japo yeye akuwa mpenzi wa music huo, lakini alijikuta anaupenda ubembelezaji wa music ule. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii Furoms
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE: Yani upande wa kulia kwake kulikuwa na TV kubwa, ya nchi alobaini na mbili, ambayo ilikuwa aijawashwa, meza mfano wa kabati, lenye kubeba seti ya music, ambayo sasa ilikuwa cheza muwimbo mzuri sana wa taratibu toka mwanamusic nguri wa music wa taratibu, wa nchini marekani, I will always love you, japo yeye akuwa mpenzi wa music huo, lakini alijikuta anaupenda ubembelezaji wa music ule. ......... ENDELEA….
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ALOBAINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE: Yani upande wa kulia kwake kulikuwa na TV kubwa, ya nchi alobaini na mbili, ambayo ilikuwa aijawashwa, meza mfano wa kabati, lenye kubeba seti ya music, ambayo sasa ilikuwa cheza muwimbo mzuri sana wa taratibu toka mwanamusic nguri wa music wa taratibu, wa nchini marekani, I will always love you, japo yeye akuwa mpenzi wa music huo, lakini alijikuta anaupenda ubembelezaji wa music ule. ......... ENDELEA….
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA HAMSINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI TISA: “kwani kuna baya nimekufanyia mpaka uache kuja kwangu?” anauliza Edgar huku anaweka jug la juice ya matunda mezani, “hapana, lakini ukuniambie nifumbe macho wakati unavua nguo” alisema Radhia kwa sauti yenye aibu, huku anaziba uso wake. ......... ENDELEA….


Hapo ndipo shida ilipoanzia, ata juice akunyweka tena “inamaana na wewe ukivua nguo natakiwa kuziba uso?” anauliza Edgar kwa sauti yenye utani kidogo, “sijuwi” anajibu Radhia, huku akiwa bado ameziba uso wake kwa mikono yake, “ok! ngoja nikuambie kitu, twende tukaoge, kisha utakaa sawa” anasema Edgar, kwa sauti tulivu na nzito, huku anamsogelea Radhia, na kumshika mkono, kisha akamwinua.


Ukweli Radhia ambae alikuwa anasubiri kutongozwa akajikuta amesha inuka toka kwenye kochi, na kusimama mbele ya Edgar, huku ameziba uso wake, kwa mikono yote miwili.


Edgar akujari aibu za Radhia, zaidi yeye akamkumbatia, hapo Radhia anashtuka anakusubiri kinachofwata, kila mmoja analihisi joto la mwenzie, wote wanapatwa na msisimko, Radhia anajuwa sasa wakati umefika, japo ajatongozwa bado, “ni muda mrefu sana, jawai kuwa katika wakati kama huu” anasema Edgar kwa sauti nzito ya taratibu.


Radhia anahisi msisimko zaidi, ambao unamfanya ahisi kitumbua kina lowa, “ata mimi sijwai kabisa kujisikia hivi” anasema Radhia, kwa sauti ya kunong’ona, yenye kuzidiwa na msisimko wa ajabu, kiasi cha kuhisi punzi inamzidi kifuani, na kusauti kutoka kwa tabu, huku bila kuambiwa anakijikuta anazungusha mikono yake shingoni kwa Edgar, akipitia mabegani.


Radhia bado ajaamini kinachotokea, maana anaona dalili za wazi za kuliwa kitumbua, kituambacho alikuwa anatamani kitokee, ata kama kijana huyu, ato itaji kumchumbia, maana kwa mwanamke kama yeye, ambae alisha achika, ni kaiwada kuto kuolewa tena, japo yeye akutaka kujilahisi kwa wanaume kama walivyo wenzake wengi walio achika.


Radhia akiwa anawaza hayo, mala akaona mikono ya Edgar, ina kamata zip ya gauni lake, iliyopo mgongoni kwake, na kuishusha mpaka usawa wakiuno, sehemu ilipoishia, “niache nivue mwenyewe” alisema Radhia, kwa sauti nyororo iliyojawa na aibu, huku anacheka cheka.


“hapana Radhia, naomba nikufanyie kila kitu, katika siku yako ya kwanza” anasema Edgar ambae sasa anamwachia Radhia, na kumtoa kwake, kisha analishika gauni lake, mabegani na kuanza kumvua kwa kwenda chini, Radhia anaziba macho yake kwa mikono yote miwili, akimwacha Edgar afanye anacho taka, nae Edgar anamaliza kulivua gauni la Radhia, amae anabakia na chupi kati ya zile alizo mnunulia mala ya kwanza, pamoja na sidiria yake.


Hakika Edgar anakili kuwa Radhia anaumbo zuri la kuvutia, ata kama akiwa bado ajavaa nguo, “Radhia nikuambie kitu” anasema Edgar, kwa sauti nzito huku anamkumbatia tena Radhia, lakini safari hii, inakuwa tofauti kidogo, maana sehemu ya miili yao inagusana, kuanzia kifuani yani matiti yenye ukubwa wastani ya Radhia yakikandamiza kifua kipana cha Edgar, mpaka tumboni na viuno yao vikigusana nyama kwa nyama, na kuzidisha msisimko.


Radhia akiwa bado ameziba uso anaitikia kwa kichwa, kwamba aambiwe kilicho kusudiwa kuambiwa yeye, “umebalikiwa kuwa na uzuri wa kipekee, yani kuanzia sura umbo sauti na kila kitu” anasema Edgar kwa sauti ile ile nzito yenye kubembeleza, inamfanya Radhia anajisikia raha mala mbili.


Moja nikusikia kuwa yeye mzuri, akiwa ambiwa na mwanaume ambae siyo yeye tu, ila wanawake wengi wanamtolea macho, pili ni kwamba, alijikia raha ya kukumbatiwa na mwanaume huyu, pili nikuona mwanaume huyu anazidi kuonyesha anampenda, “sawa basi, niachie nikaoge kwanza” anasema Radhia, huku nayeye anaondoa mikono usoni na kumkumbatia Edgar, kama alivyo fanya mwanzo, yani kuzungusha mikono yake shingo kwa Edgar, kipitia mabegani.


Hakika kitedo hicho kilisababisha msisimko zaidi, maana sasa kila mmoja alifaidi joto la mwenzie alilolipata vyema kabisa, kiasi kwamba sasa, Radhia alianza kuhema kwa pumzi nzito, iliyo onyesha wazi kuwa, Radhia alikuwa katika msisimko mkubwa sana.


Sasa Radhia amemng’ang’ania Edgar, anasubiri kijana huyu afanye kitu kingine zaidi ya kukumbatiana, “usijari mamaaa, tunaenda kuoga wote, wacha kwanza juiandae” anasema kwanza Edgar, huku mikono yake inapapasa kibanio cha sidiria yake, ambacho pia kipo mgongoni, kisha anakitegua, na kuipandisha kwa juu, akiitaji kuondoa, Radhia anamwachia Edgar, na kuinua mikono juu, kuluhusu sidiria itoke mwilini mwake.


Edgar anaitoa sidiria ile na Radhia anarudisha mikono kifuani na kuziba maziwa yake, huku anajitoa kifuani kwa Edgar, alafu anakimbilia kitandani, Edgar akimsindikiza kwamacho na kuyaona makalio yake mazuri yaliyokuwa yanatikisika kwa mpango mzuri, kila alipokuwa anapiga hatua kusogelea kitanda, siyo siri mpaka sasa Edgar mwenyewe alikuwa na hali mbaya kwenye kiungo chake cha uzazi, maana dudu ilikuwa imesimama kweli kweli, kosa ile boxer aliyo ivaa, basi Radhia angekuwa amesha ona jinsi dudu ilivyokuwa na hasira na kitumbua chake.


Radhia anafikia kitanda na kunyakuwa tauro kisha anajifunga kuanzia kifuani, nalo lina shindwa kuficha mapaja manene ya mwanamke huyu, ambae anapata kazi ya kulishikilia kwa mikono yake, huku anaufwata mlango mdogo uliopo kweupande wa kushoto, “bado ujanizowea tu?” anauliza Edgar, kwasauti ya utani, Radhia ajibu kitu zaidi kicheko kinasikika toka bafuni.


Edgar nae anacheka huku anaokota nguo na viatu vilivyo kuwa chini, yani gauni pamoja na sidiria, kisha na yeye anaelekea kwenye kabati na kuchukuwa zile nguo alizo zivua, na kueleka bafuni, ambako Radhia ameingia, wakati huo dudu imechachamaa inaitaji kula kitumbua.


Radhia yupo bafuni amejifunga tauro, ana waza kile kinachotokea, ni dalili za wazi kuwa Edgar anaitaji kitumbua, anatazama mle ndani, ni bafu la kisasa, alina nguo zilizo ninginia, zaidi kuna tenga tupu, ila kuna kila kitu cha kufanyia usafi wa mwili, kuanzia sabuni visugulio na viogeo, mabomba ya maji ya juu chini nay a mkononi, vitu ambavyo uviona kwenye michezo ya kuigiza toka nchi za mbali.


Radjia anaacha kushangaa, anavua tauro na kuliitundika kwenye sehemu mahalumu ya kuifadhia nguo hiyo, kisha anafwatia chupi yake, ambayo anapoivua anagundua ilikuwa imelowa eneo lote la shamba la bibi, anagusa kwa kidole chake cha kati, na kujaribu kutazama vizuri, anagundua kuwa ni maji maji yanayo teleza kama mlenda.


Radhia anayafahamu yale maji, uwa yana mtokeaga akiwa na hamu ya dudu, japo akuwai kukata hivyo hamu, sasa anapeleka mkono na kupangusa kitumbua chake, nakutazama mkono wake, ambao anaona umelowa yale maji.


Lakini wakati huo huo Radhia akiwa katika ukaguzi, anasikia mlango wa bafuni unafunguliwa, anaacha haraka anacho kifanya, na kuziba sehemu mbili za mwili wake, yani kitumbua na matiti yake, hulu ile chupi yake ameishika kwa ule mkono alio uweka kifuani, “jamani Eddy, siungesubiri nioge kwanza” anasema Radhia kwa sauti nyororo ya kulalamika, lakini yenye aibu kubwa. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii furoms
 
Back
Top Bottom