SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA SABA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA SITA: Ni kama ilizidi kumchukiza Zuhura, ambae aliamua kuachana na maoni yale, na kutafuta moja ya video ya ngono, na kuanza kiutazama huku ameweka hear phone, sikio moja, “hivi Zuhura, da Siwema atakuwa na hali gani?” anauliza Mariam ambae bado alikuwa anaendelea kutazama maoni kwenye picha ya Radhia na Edgar. ......... ENDELEA….


Hapo nikama Mariam anamzindua Zuhura toka kwenye usahaurifu, “kweli dada, unajuwa toka ameondoka atuwasiliana nae, au twende nyumbani kwake” anashauri Zuhura, lakini aikuwa sawa kwa Mariam, “hivi unaijuwa aibu yake, kila mtu atakuwa ameshaiona video yake, labda tusubiri giza liingie” anasema Mariam, ambae anaweka hear phone sikioni lake la kushoto, kisha anabofya moja katiya video zake za ngono, alizo ziifadhi kwenye simu yake.


Kinafwata kimya kirefu wote macho kwenye simu, huku taratibu kila mmoja akijifunika shuka, na kutia mkono kwenye chupi, na kuanza kujipapasa kitumbua, bila kutazama pembeni, kuona mwenzie anafanya nini.******


Mida hii Radhia alikuwa ndani ya dala dala pamoja na mama yake, wanaelekea nyumbani, ukiachilia mifuko ambayo walikuwa wameishika mkononi, pamoja na kuku wawili wakubwa, pia mizigo yao mingine ilikuwa juu ya gari, kwenye kibebeo.


Ndani ya gari Radhia anaona idadi kubwa ya watu wanatazama simu zao, huku pia wakimtazama yeye, kama vile wanashabihisha kitu flani, siyo tu Radhia, ila ata mama yake pia, inampa wasi wasi, wanaingiwa shaka isije kuwa wanaushishwa na video za Siwema.


Lakini jambo la utofauti ni kwamba, kila aliemtazama Radhia, iwe mwanaume au mwanamke, alijaribu kujitabasamulisha, na baadhi ya watu waliokuwa wanamfahamu, japo awakuwa na mazowea, walijaribu kumsemesha, “Radhia siku hizi auonekani” ilo lilikuwa swali toka kwa mwanamke mmoja alie soma nae sekondari miaka mitano iliyopita.


Hapo Radhia angeficha wasi wasi na mashaka yake, na kujibu, “nipo busy kidogo, lakini ata hivyo mbona natembea sana tu” jibu la Radhia lingeongeza mswali mengine, au ndiyo maandalizi ndoa” swali ili lingetoka huku watu kadhaa wakionyesha nyuso za kutabasmu, ni wazi waliitaji kusikiajibu.


Inamshangaza Radhia, ambae ana mtazama mama yake kwa macho ya mshangao, ambae pia anaonekana kushangaa, ni wazi wanajiuliza ziliko anzia habari za harusi, ikiwa huyo mwanaume mwenyewe, ajasema lolote kuhusu mausiano yao, kama ni uchumba, au urafiki wa muda mfupi, au wamepeana burudani kwa bahati mbaya.


Radhia anajikaza na kutoa jibu, “niombee kheri pengine nikaolewa” alisema Radhia bila kuweka wazi, japo ilikuwa ndiyo mwisho wa maswali lakini watu awakuacha kumtazama Radhia, huku wakitazama simu zao, kitu ambacho Radhia kwa sasa akukifikilia sana, ila aliwaza kuhusu maneno ya yule mwanafunzi mwenzie wa zamani, kwamba ameotea tu au amesikia sehemu kuhusu yeye na Edgar.


Safari ilikuwa ndefu kwa Radhia, lakini ilifikia mwisho wake pale kwamchina mwanzo, kisha wakashushiwa mizigo yao, nao wakakodi mkokoteni na kuelekea nyumbani kwao, ambapo walipita mitaa miwili toka kwamchina mwanzo, wakikatiza gombani tumbo la shimo, kabla ya kuibukia jang’ombe kwa soud, ambapo waliingia nyumbani kwao, wakimkuta Zahara anacheza na watoto wa kaka yao na yule wa dada yao Siwema, mtoto mdogo Khadija.


Radhia anawapatia zawadi za pipi watoto wote, kisha wanaingiza mizigo ndani, alafu anaingia chumbani kwake na kujilaza kitandani, akimwacha mama yake anaelekea upande wa uwani kutoa taarifa ya manunuzi kwa mume wake, “ok!, wajulishe wakina Mariam, kuwa kesho kuanzia asubuhi na mapema kutakuwa na maandalizi ya vyakula na kwamba tutakuwa na ugeni, mama Mariam nitamweleza mimi mwenyewe, maana kutokana na kilichotokea sijuwi kama ato kumalizia hasira zake zote” alisema mzee Makame, kwa sauti ya chini.


Wakati huo huko chumbani kwa Radhia, Radhia mwenyewe alijiandaa na kwenda kuoga, alioga huku anakumbuka jinsi alivyo oga kwa mala ya kwanza na Edgar jana usiku, jinsi Edgar alivyo kuwa anapitisha dodoki sehemu mbali mbali za mwili wake, na jinsi alivyo kuwa anahisi utamu wa kuogeshwa, akitamani mida hii angekuwa anaoga bafuni kwa Edgar.


Radhia aachi kukumbuka mala ya mwisho leo asubuhi alivyo oga na Edgar kule nyumbani kwake, na pia akakumbuka kilichotokea wakati wa kuoga, hapo anajikuta anapeleka mkono wenye dodoki, kwenye kitumbua chake na kuanza kuutembeza taratibu, kwenye eneo lenye vinywele vinavyoanza kuota.


Radhia anaendelea kujisafisha, huku anakumbuka kila kitu, kilicho tokea bafuni asubuhi ya siku ile, yani kuanzia alipoanza kuchezewa kunde kwa kichwa cha mwiko ulio simama vyema, huku wamesimama chini ya bomba la maji ya juu, yaliyokuwa yanawamwagikia, adi alipoinuliwa mguu moja na kuluhusu dudu kuingia ndani ya chungu chake cha asali, “inabidi niongeze usafi, ili aendelee kuni lamba huku” anawaza Radhia, huku anajisafisha kwa umakani kwenye kitumbua chake.


Radhia aliendelea kuwaza mambo ya jana, mpaka anapomaliza kuoga, na kuingia chumbani kwake, na kuanza kujikausha maji mwilini, akitumia tauro lake la zamani, maana licha ya kuwa na fedha nyingi alizo pewa na Edgar, lakini akununua tauro jipya, kichwani mwake anakumbuka alivyo futwa maji na Edgar, muda wote tabasamu lilitawara usoni mwake.


Radhia anajilaza kitandani, akiwa amejifunga upande wakanga, huku kichwani ikimjia picha ya kitu kilichotokea juu ya kitanda kikubwa, chumbani kwa cha Edgar, anakumbuka jinsi Edgar alivyo mpanua mapaja, na kuanza kulamba asali ya chumvi kwa ulimi wake, Radhia alipokumbuka ilo, akapania kujifunza zaidi kulamba mwiko, ili aweze kumburudisha mpenzi wake, kama yeye alivyo burudishwa.


Radhia anakumbuka jinsi alivyo lambwa kisima cha sambani kwa bibi, huku yeye akishindwa kulamba mwiko, Radhia anaweka kidole gumba mdomoni anajaribu kukinyonya, “labda ingekuwa ndogo kama kidole, ndio ningeilamba vizuri” anajisemea Radhia, huku jicheka kidogo, “lakini atanifundisha taratibu” anasema tena Radhia, ambae sasa anakumbuka jinsi dudu ya Edgar, ilivyo ingia kwa mala yakwanza kwenye kitumbua chake, na kuisikia ikikuna kunde yake na kuta za kisima cha shambani kwa bibi, huku ndani ikienda kugusa sehemu flani ambayo ilifanya aanze kupiga kelele za utamu, bila ata kutegemea.


Hakika akuwai kabisa kufikilia kuwa, hipo siku atakuja kuhisi utami wa dudu kwenye kitumbua chake, kama ule alio usikia wakati akupeana dudu Edgar, kiasi cha kutamani na leo aende akapewe tena, na kisha kulala kifuani kwa Edgar mpaka subuhi, kama ilivyo kuwa jana. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, NA USIKOSE KUFUATILIA SIMULIZI YA CAPTAIN CHUI MCHAFU ITAKAYO KUJIA HAPA HAPA jamii forums
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA SABA: Hakika akuwai kabisa kufikilia kuwa, hipo siku atakuja kuhisi utami wa dudu kwenye kitumbua chake, kama ule alio usikia wakati akupeana dudu Edgar, kiasi cha kutamani na leo aende akapewe tena, na kisha kulala kifuani kwa Edgar mpaka subuhi, kama ilivyo kuwa jana. ......... ENDELEA….


Mpaka hapo Radhia alikuwa anahisi kuwa, maji maji ya utelezi yanaanza kuchomiza kwenye kitumbua chake, akaamua kupotezea mawazo yale ya dudu, kwa kufungua simu yake, ambapo anakutana na ujumbe, “nipo nyumbani sasa, usisahau kumwambia Mukhsin aje mazoezini” Radhia akatabasamu kidogo, huku anaandika ujumbe, “yeye ndie kaniambia nimsindikize mazoezi, hivyo wala usijari, tena tunakuja wote” alijibu Radhia, na kukaa akisubiri jibu, jibu ambalo alikutokea mpaka anapitiwa na usingizi.*******


Naaaaaam!, kijana Idd kiparago, bado alikuwa dukani kwake, ana waza chakufanya ili kumwachanisha Radhia kwa mwanaume alienae, mwanaume ambae inasemekana ni barozi wa nchi ya #Mbogo_Land.


Idd ambae awazi kuhusu mke mkubwa, yani Ashura wala awazi kuhusu mke dogo, yeye anawaza kuhusu Radhia, ambae leo ameweza kusimama nae karibu na kumwona jinsi vyopendeza, kiasi cha kujiuliza kwanini akuwai kugundua kuwa mke wake huyu wa zamani ni mzuri kiasi kile.


Na kitu ambachokilimuumiza zaidi, ni kujiamini kwa Radhia, ambae leo alikuwa anaongea nae huku anamtazama usoni, na akupepesa macho wala kumwonea aibu, kitu ambacho kilidhihilisha kuwa, sasa siyo yu[e Radhia aliekuwa anamsimanga na kumnyanyasa anavyo taka.


Sasa njia pekee, ni kumwachanisha na huyo mwanaume anae mpa kiburu, “na ilinifanikiwe, lazima nimfitinishe na huyo mwanaume” anawaza Idd, ambae kiukweli toka alipofingua duka leo asubuhi, bado ajafanya biashara yoyote, “nyumbani kwao nimekwama, labda nijaribu kwa huyo mwanaume mwenyewe, na sehemu ya kumpata ni jioni, wakati anatoka mazoezi” alijisemea Idd huku anaachia tabasamu mwanana lenye mwonekano wa ushindi.*******


Saa kumi na nusu nyumbani kwa mzee Abeid Makame, kule jang’ombe kwa soud, mama Mariam anainuka toka kitandani na kuelekea nje, ambako anamkuta mama Radhia akiwa anachambua mchele, hapakuwa na mtu mwingine yoyote pale nje, siyo watoto wala Zahara.


Wakati huo tayari mama Mariam alikuwa amesha oga na kuondoa uchovu aliokuwa nao kwa kulala kutwa nzima, pia alisha ongea na mume wake wakijadiliana kuhusu mabo yanayoendelea, yani kuhusu Siwema na pia kuhusu ugeni wakesho.


Katika vitu ambavyo mzee Makame alisisitiza, ni kwamba, wanaitaji kuwa watulivu, aina haja ya kumsema Siwema ambae amesha jifunza, na amesha juwa lipi baya na lipi zuri, cha msingi wafahamu kuwa aibu ya Siwema ni aibu ya familia nzima, kikubwa ni kujaribu kuiweka familia kuwa kitu kimoja, na kuwasisitiza watoto waache utenganifu.


Mama Mariam anamwonea aibu mama Radhia, japo anafahamu kuwa mke mwenzie, hakuwa na tabia kama zake, wala Radhia akuwa na tabia za kusimanga wala kufurahia matatizo ya mtu mwingine, “mbona peke yako, Radhia yupo wapi?” anauliza mama Mariam, huku anakaa kwenye mkeka, na kuchukuwa ungo mwingine, maana akuwa na la kuuliza, maana tayari alisha juwa kuhusu ugeni wakesho, tayari alishaambiwa na mume wake.


“ametoka na wadogo zake, akirudi ataendelea” alijibu mama Radhia, “mzee Makame ameniambia umeenda kuwajulisha wakina Mariam, mbona siwaoni?” aliuliza mama Mariam, huku anachukuwa ungo na kuchota mchele, kwaajili ya kuanza uchambuzi wa uchele huo.


“niliona wamepumzika, nikasema niwaache kwanza nitawajulisha baada, isitoshe aita kuwa vizuri, maana Radhia ametoka alafu nikiwaambia wao watajisikia vibaya, “hapana ungewaambia tu, kutokuwepo kwa Radhia akuwazuwii kufanya kazi, ungeni wenyewe ni wetu sote” alisema mama Mariam na kumshangaza kidogo mama Radhia.


Kimya kifupi kinapita, kisha mama Radhia anavunja ukimya, “dada hivi umejaribu kuwasiliana na Siwema, toka alipo ondoka asubuhi?” anauliza mama Radhia, “hapana sijampigia, mimi mwenyewe nilikuwa nimelala kutwa nzima” anasema mama Mariam, na wakati huo huo, wanawaona wakina Mariam wanatokanje, macho mekunduuu.


“jitaidi umpigie simu, maana aifai kumwacha peke yake katika wakati kama huu” anasema mama Radhia, huku wote wakiendelea kuchambua mchele, hapo nikama mama Mariam anakumbuka kitu, anawatazama wakina Mariam, ambao nikama wameshikwa na butwaha, sijuwi kwakuona mchele mwingi, au kwa kuona mama zao wakionge vizuri na kushauriana kuhusu Siwema.


“Mariam ebu nyie andaeni ngano ya mikate na maandazi, kesho kuna ugeni, alafu saa moja moja hivi muende mkamtazame dada yenu, nyumbani kwake, maana hakuna alie wasiliana nae, toka alipo ondoka saa zile” alisema mama Mariam, na hapo Zuhura anaingia ndani nakurudi na fuko la unga wangano na beseni la kukandia ngano ile, ambalo ndani yake kulikuwa na viungo vya kuchanganyia kwenye ile ngano, ambayo ilibidi itoa vitafunwa vya aina mbali mbali, kuanzia chapati, maandazi, mikate vileja na vinginevyo, ambavyo vinaitajika katika ugeni ule.


“jamani siwaoni wakina khadija wameenda kucheza mtaa gani?” anauliza mama Mariam, wakati wanaendelea na maandalizi, “wametoka na Radhia, maana walikuwa wanacheza na Zahara akaona aondoke nao kwa pamoja” alisema mama Radhia, pasipo kueleza wameelekea wapi, ili kuepusha maneno.


Mariam na Zuhura wanatazamana, na kukonyezana, wakishangazwa nakitendo cha Radhia kutoka na watoto wale ambao, wao ndio wenye jukumu la kuwaangalia na kutoka nao, hii ilikuwa ni utaratibu walio jiwekea, kutokana na maslahi waliyokuwa wanayapata, toka kwa wazazi wa watoto wale, yani dada na kaka yao, ata mama Mariam alitulia kwa muda akitafakari jambo lile.


Ukweli ni kwamba, aikuwai kutokea Radhia au wadogo zake wakawatenga wenzao, kama ambavyo wakina Mariam wanafanya, ila awakutegemea kama Radhia atafanya hivi asa baada ya matendo ya wazi wa watoto hawa.


Wanaendelea kufanya maandalizi ya mchele ngano, huku washauriana ili na lile, mama Mariam akikumbusha kuwa kesho mapema waletwe samaki kwaajili ya wageni, ukweli ata mzee Makame, alipowasikia wanaongea kwa amani, akaenda kukaa pale kibaradhani na familia yake, huku na yeye akitoa mapendekezo yake, “kwakuwa wageni hawa ni waheshima, japo awaji kwaajili ya uchumba wala ndoa, ila wanakuja kama marafiki zetu, basi tuta waarika watu wa chache wa jirani, pamoja na mzee Fakhi” alisema mzee Makame na mke mkubwa akaunga mkono.


Shughuri zinaendelea, huku wanaongea na kucheka kwa pamoja, wanashauliana, wanataniana na kufurahi kwa pamoja, hakika ungewaona ungefurahi na kuamini kuwa, pasinge tokea tena mgogoro wowote katika familia ile, ambayo ina wake wawili, watoto saba na wajukuu watatu.*******


Saa kumi na moja na dakika alobaini na tano, ilimkutia Idd akiwa anaingia viwanja vya Maisala, ambapo palikuwa na watu wachache, ni kwamba kulikuwa na timu ya jeshi la polisi, ambayo ilikuwa inaendelea na mazoezi, toka siku iliyoita, yani ahl Khamis, Idd anatazama kwambali, anamwona Mukhsin akiwa ndani ya dimba, anacheza mpira huo wa kikapu, Idd pia aliweza kumtambua Edgar, katika wachezaji waliokuwepo ndani ya uwanja.


Pia Idd aliweza kumwona Radhia, aliekuwa nje ya uwanja na watoto wanne, yani Zahara na wenzake wakina Khadija, ambao walikuwa wameshikilia vitu flani vilani vya kula, kama vile ice crem na pipi au biscuit, huku Radhia akionekana kuwa mwenye furaha, mala kwa mala akitabasamu au kucheka wakati macho yake yakitazama mchezo uliokuwa unaendelea. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA NANE: Pia Idd aliweza kumwona Radhia, aliekuwa nje ya uwanja na watoto wanne, yani Zahara na wenzake wakina Khadija, ambao walikuwa wameshikilia vitu flani vilani vya kula, kama vile ice crem na pipi au biscuit, huku Radhia akionekana kuwa mwenye furaha, mala kwa mala akitabasamu au kucheka wakati macho yake yakitazama mchezo uliokuwa unaendelea. ......... ENDELEA….


“toka lini anapenda mpira huyu, niujuinga tu, huyu jamaa anambadirisha sana Radhia, sijuwi amemfanya nini” anawaza Idd ambae Idd anawaza haraka haraka cha kufanya, mwisho anapata wazo la kusubiri, mpira uishe, ili aone uwezekano wa kukutana na Edgar, na kumongea nae alichopanga kuongea, akimini kuwa inaweza kuwa mwisho wa penzi ili jipya, linalo mpa furaha mke wake wazamani.


Hivyo basi Idd anatafuta sehemu nzuri ng’ambo ya barabara, na kukaa na baskeri yake, huku macho akiyaelekeza uliko uwanja, ambako alimwona mwanaume ambae sasa ndie mpenzi wa Radhia, akiwa anacheza kwa umahiri mkubwa mchezo huo, umahiri ambao ulikuwa chukizo kwa Idd.


“kwanini wasilisukume walivuje mguu ili jibwa” anawaza Idd, ambae sasa amesahau kabisa kisa cha kumfukuza mke wake nyumbani, tena kwa taraka tatu, yeye mawazo yake yalikuwa ni kuhakikisha Radhia anakuwa wake, ata kama ni mchepuko, maana asingeweza kumuowa tena.*******


Yaaaaap!, Siwema sasa anaamka, na kuona muda umeenda sana, anatazama simu yake pengine amepigiwa na mtu yoyote, aoni simu yoyote, anahisi dunia imemtenga, amebakia peke yake, kwamaana ata wadogo zake awakuweza kumpigia simu kumwuliza anaendelaeje.


Siwema anaona sasa yupo kwenye hali ngumu, kuliko ata Radhia, ambae angalau alisimama na mama yake, kuliko yeye ambae siyo mama yake wala wadogo zake, hakuna alie mtafuta, achana marafiki wengine ambao wasingependa kile alicho kifanya, ila ata Amina ambae alimtongoza kwaajili ya Said nae akutaka ata kumpigia simu.


Siwema anauona urafiki wa Amina kuwa ni wauongo, asa anapokumbuka jana usiku, ambapo yeye pamoja na wakina Said walimwacha pale bwawani hotel, akizalilika kutokana napombe alizozinywa kwa hasira, za kumwona Radhia pale bwawani hotel, na ndie mtu ambae baadae alimkodia gari na kumrudisha nyumbani, ni wazi aliona kuwa anaelekea kudalilika zaidi.


Kwahiyo ni wazi kuwa Radhia ni mwema kwake, licha ya yote yaliyo tokea, lakini alijari undugu wao na kuamua kumsaidia, kumwepusha na aibu, “lakini inakuwaje initokee hivi, huku wengine wanafurahia maisha yao?” anawaza Siwema huku anakusanya kila kilochokuwa chake, yani kuanzia nguo zake, na vyombo vya jikoni ambavyo vilikuwa vinamhusu, kisha akatulia kusbiri giza, ili aweze kuelekea nyumbani kwao.********


Saa kumi na mbili na nusu, mazoezi yanamalizika, wachezaji wanaagana, kabla ya kutawanyika, wengi wakionekana kutamani kutumia muda wao kuongea na Edgar, lakini nafasi inakuwa finyu, lakini wanaishia kumtazama kijana huyu akiwasogelea Radhia na watoto.


“ujambo Khadija” anasalimia Edgar, huku anamshika kichwa Khadija, Radhia Zahara na mukhsini wanashangaa, Edgar amemjuwaje Khadija, “sijambo asalam aleykum” anajibu Khadija, kwa sauti yake ya kitoto, “aleykum salaam” anajibu Edgar, ambae alikuwa amevalia bukta na tishert mahalumu za kuchezea mchezo huu wa mpira wakikapu, zilizo mkaa vyema, huku miguuni mwake akiwa amevalia viatu vizuri aina raba.


Edgar anamtazama Radhia, ambae anatabasamu kwa aibu, “twendeni pale tukapate juice kabla atujaondoka” alisema Edgar, huku anamnyanyua Khadija, na safari inaanza, “mie nataka urojo” anasema Khadija, kwa sauti yake ya kitoto, “imekaaje hiyo, na inapatikana wapi?” anauliza Edgar, huku anamtazama Radhia.


“kwa hapa labda kwa mchina mwanzo au darajani” aliejibu ni Mukhsin, “ok!, basi mtapitia huko, ngoja nimwite dereva awapeleke” alisema Edgar, huku anaomba simu yake iliyokuwa kwenye begi lake dogo, alilolibeba Zahara.


Alie mpatia simu ni Radhia mwenyewe ambae alifungua zip na kuitoa, kisha akampatia Edgar, ambae aliipokea na kupiga kwa dereva wake, huku wanaelekea kwenye bar iliyopo ng’ambo ya barabara.


Edgar anamaliza kuonge nasimu huku wakiwa wamesha fika sehemu ya mauzo ya ile bar, ambayo ni tofauti na bar za sehemu nyingine, hapa kinapatikana kila kitu, yani vinywaji vyenye ulevi na visivyo na ulevi, pia vyakula vya kila aina, na sehemu zikiwa zimetenganishwa, yani ukumbi wa ulevi na ukumbi wa vyakula, sehemu ambayo wao wanaenda kukaa na kusubiri maagizo yao ya juice ya bungo na ile ya miwa.


Dakika chache baadae kila mmoja analetewa alichoagiza, wanakunywa huku wanaongea na kucheka kwa furaha, siyo kwa Radhia na Edgar pekee, ila ni kwakila mtu, kuanzia Mukhsin mpaka Khadija, wote walionekana kufurahia.


Kilicho kosekana ni uhuru, kwa Edgar na Radhia, ambao awakuweza kuongea kuhusu penzi lao, kitu ambacho Radhia alitamani sana kupata muda wakufanya hivyo, maana nikama alitamani mambo ya jaa yajirudie.


Muda wote kijana Idd Kiparago, alikuwa ametulia mita kadhaa toka pale kwenye bar, amekaa juu ya baskeri yake, anawa tazama kwa macho ya chuki, akitamani kama angekuwa mhudumu, angeweza kuwawekea ata sumu kwenye vinywaji vyao, wote wafe kwamateso.


Dakika ishilini baadae Idd anaona kuna gari dogo, jeusi linakuja na kusimama nje ya ile bar, kisha wote wanainuka, “ayaaa!, kumbe huyu fala ameagiza gari liwafwate” anajilahumu Idd ambae alizania kuwa Edgar anaenda kupanda gari, “lakini wacha nikajaribu tena kuongea na Radhia” anajisemea Idd, ambae anaendelea kutazama upande wa bar.


Naaaaaam! inakuwa tofauti na alivyofikilia, maana anamwona Radhia na wadogo zake wanaingia kwenye gari, pamoja na Mukhsin, ambae amebeba mpira wenye dalilizote za upya, kisha gari linaondoka likishika uelekeo wa mjini.*******


Saa moja na robo, tayari Mariam na Zuhura walikuwa wamesha maliza kuandaa unga wa ngano wakiwa wameugawanya katika makundi kadhaa, kutokana na kile ambacho wanaitaji kutengeneza, kama nichapati, au maandazi, mikate visheti na vinginevyo.


Sasa wawili awa walikuwa wanaelekea Mombasa kwa dada yao Siwema, kama walivyoagizwa na mama yao, kwenda kumtazama dada yao, huku njiani wakiongea ili na lile, “hivi hao wageni wanakuja kufanyaje?” anauliza Zuhura, akimaanisha kama wanakuja kuleta barua au vinginevyo.


“baba aliagiza huyo rafiki yake Mu, aje wamfahamu” anajibu Mariam, lakini bado bado Zuhura ahalizia na jibu lile, “sijuwi kwanini wanamng’ang’ania, kwani awajuwi kama anatembea na dada?” anauliza Zuhura, akionyesha kutokupendezwa na jambo flani, kama siyo ujio wa mgeni wakesho, basi ni urafiki wa Radhia na huyo rafiki yake Mu. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Mtoto idd kazua balaah mtoto idd anataka kuleta mikosi.

Shusha ata vipande vitano Kwa siku moja mkuu,watu wanasoma hii story wewe mwenyewe si unaona views walivyo
 
Story ni nzuri.

Ikanifanya nikai_search Google.

Want to know what happened?
 
Mambo yanazidi kufana ngoja tuone nini kitajiri huko tuelekeapo
 
Eddy njoo please,siku ya leo ni mbaya sana,njoo utupunguzie machungu yakufungwa jana
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI TISA: “baba aliagiza huyo rafiki yake Mu, aje wamfahamu” anajibu Mariam, lakini bado bado Zuhura ahalizia na jibu lile, “sijuwi kwanini wanamng’ang’ania, kwani awajuwi kama anatembea na dada?” anauliza Zuhura, akionyesha kutokupendezwa na jambo flani, kama siyo ujio wa mgeni wakesho, basi ni urafiki wa Radhia na huyo rafiki yake Mu. ......... ENDELEA….

Naaaaam!, mabinti wawili wa mzee Makame, wakiwa wanakaribia stendi ya kwamchina mwanzo, mala wanam, mwona dada yao akiwa akiwa ameongozana na msukuma mkokoteni, uliobeba mizigo mbali mbali, vikiwepo masufuria na mabegi ya nguo, dada yuleee” anasema Mariam, huku wote wakimtazama Siwema ambae alikuwa mita chache mbele yao.

“asalam aleykum” wanasalimiana na dada yao ambae anaonekana kunyongea kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na wanavyo mfahamu, “aleykum salaam” anaitikia Siwema, na wakina Mariam wanampokea mkoba wake, “vipi baba, mme mwacha nyumbani?” anauliza Siwema huku wanatembea kuelekea nyumbani, wakiwa nyuma ya msukuma mkokoteni, aliekuwa anaongoza safari.

“ndiyo amekaa na wakina mama kibarazani, wana malizia kucmbua mchele wa kesho” anajibu Mariam, inamshtua kidogo, Siwema, “kesho kunanini?” anauliza Siwema kwa mshangao na mshtuko, “anakuja yule rafiki yake Mu, kumsalimia baba” alijibu Mariam, “mh!, rafiki yake au hawara wa Radhia, siwaseme ukweli tu, wameamua kumwachia Radhia awe na wanaume” alisema Siwema akionekana kuchukizwa na jambo ilo.

Kinafwata kimya kifupi, huku wanaendelea kutembea, kila mmoja nawaza la kwake, Siwema anawaza kuhusu Radhia, nikama anaishi maisha ya furaha kuliko kipindi kingine chochote, na mbaya zaidi ni kwamba, Radhia anaishi kwa furaha kipindi ambacho yeye anaikosa amani moyoni mwake.

Pia Siwema anawaza namna atakavyo karibishwa na baba yake, ambae anamfahamu kuwa apendi ujinga mdogo mdogo, hivyo angepokelewa na maneno mazito ambayo yangemkosesha hamu ya kula kwa week nzima, japo yaliyo mkuta yanatosha kumnyima hamu ya kula, yani kuachika kwa taraka tatu na kufukuzwa kazi kwa wakati mmoja.*******

Naaaam!, Idd anamtazama Edgar ambae anakimbia taratibu kupandisha kilima kueleka maeneo ya ngazi mia, nae anamfwata nyuma akiwa na baskeri yake.

Ata wanapofika maeneo ya kimani anakuwa amesha mfikia, “samahani kaka mambo vipi” anasalimia Idd, ambae anaendesha baskeri pembeni ya Edgar aliekuwa anakimbia taratibu, “poa tu, niaje” anaitikia Edgar huku anaendelea kukimbia taratibu, “poa kama siyo poa, ninaomba tuongee kidogo” alisema Idd.

Na hapo Edgar akasimama kabisa, ikiwa ni mbali wa mita kama hamsini toka iliponyumba anayoishi, “yah!, niambie, kunaishu?” anauliza Edgar huku anamtazama Idd kwa macho ya tahadhari, “bro!, nimeona nikufwate moja kwa moja, sababu wewe ni mwanaume mwenzangu, sijaona kama itakuwa vyema, kama nikucha bila kukuambia” alisema Idd kwa sauti tulivu iliyo jaa busara na uhekima.

Ilimshtua kidogo Edgar ambae alimua kujukaza kidogo, “ok!, nakusikiliza bro” alisema Edgar, huku moyoni mwake akijuliza kitu gani huyu jamaa anataka kumweleza, “sikiliza kaka, nimekuona hupo karibu na mwanamke flani hivi, anaitwa Radhia, ukweli nakuwambia akufai ata kidogo, ni vyema ukaachana nae kwa kulinda heshima yako.

Alisema Idd, ambae alipania kuongea vitu ambavyo vitamfanya Edgar amwache Radhia mala moja, “kivipi yani, unaweza kunifafanulia?” aliuliza Edgar, huku anamtazama Idd usoni, Idd anatazama pembeni, akikwepa macho ya Edgar, “kwanza kabisa ameachwa na mume wake, sababu ya tabia mbovu, yani nimalaya wa kutupwa, pili anatabia zote za ajabu, asa upanda kutoa mimba” alieleza Idd.

Edgar anatabasamu kidogo, tabasamu ambalo Idd anaona kama linadalili ya kijana huyu, kuto kuamini alichoelezwa, “kuna tabia nyingine umeisahau?” anauliza Edgar, huku anamtazama Idd, “isitoshe yule ni mke wa mtu bado maana mume wake alimpatia taraka mbili, hivyo inaweza kukuletea kashfa ya kutembea na mke wa mtu” alieleza Idd.

Hapo Idd anamshuhudia Edgar anaachia kicheko kikubwa, “kuna kitu ujuwi, ni kwamba, Radhia ameachika na mume wake, kwa taraka tatu, na kosa siyo umalaya, ila ni kuto kushika mimba, kitu ambacho mume wake ajakifanyia uchunguzi, ilikujuwa mwenye tatizo ni nani, na mume wake aliacha kufanya hivyo sababu tayari anawatoto wawili, kwa mke wake mkubwa” aisema Edgar, kisha akaanza kukimbia kuelekea nyumbani kwake,

Ilimvuruga Idd, ambae alijikuta anajawa na hasira, alitamani kamamkimbilie Edgar na kumshushia kipigo, lakini miili yao nivitu viliwi tofauti, yani endapo angekutana na ngumi moja ya kijana huyu, hakika angeokotwa nawatu wanao jihimu asubuhi, “unazania utamchumbia Radhia kilahisi lahisi, kwa taarifa yako unaingia mkenge” alinongo’ona Idd, ambae anageuza na baiskeli yake, na kurudi michenzani, huku kichwani mwake akijaribu kutafakari baadhi ya maneno ya Edgar.

“kitu ambacho mume wake ajakifanyia uchunguzi, ilikujuwa mwenye tatizo ni nani, na mume wake aliacha kufanya hivyo, sababu tayari anawatoto wawili, kwa mke wake mkubwa” baadhi ya maneno ambayo, yalijirudia kichwani mwa Idd, “inamaana Radhia amekaa na kumsimulia kila kitu huyo mpuuzi wake” anajisemea Idd, ambae anaendesha baiskeli kwa peed akishuka mtelemko, kuitafuta Maisala.********

Japo awakuwa uhuru sana, kutokana na kumfikilia dereva na muda wake, lakini Radhia na wadogo zake wote, walionekana kuwa katika furaha kubwa, moda wote wakati njiani ata wakiwa wananunua chips na urojo mishikaki, na vitafunwa vingine, kisha wakarudi kwenye gari na safari ya nyumbani ikaanza.

Njiani Radhia alikuwa amekaa seat ya nyuma na watoto, huku mkukhsin akiwa amekaa seat ya mbele akiwa ameupakata mpira wake mpya, Radhia alikuwa anawaza na kuvuta picha, ya namna alivyokuwa anatazamana na Edgar, huku wakishindwa kuongea chochote, anajikuta anaishia kutabasamu.*********

Siwema na wadogo zake wanafika nyumbani, wanamkuta mzee Makame anaongea na wake zake huku wakicheka na kufurahi kwa pamoja, furaha ambayo Siwema anaitafsili kuwa ni furaha ya ugeni wakesho, ugeni ambao yeye Siwema anaufahamu kabisa kuwa, licha ya kuwa ni ugeni wa rafiki yake Mukhsin, lakini yeye anafahamu kuwa kijana huyo ni mpenzi wa Radhia, na amewaona kwa macho yake, wakitoka usiku, na Radhia akurudi nyumbani usiku ule.

Siwema anawaona mama zake wakiwa na baba yake wanatazama mkokoteni wenye masufuria na begi, nae anaenda kukaa kwenye mkeka karibu na mama yake, huku wakina Mariam wanasaidia kushusha vitu, na kuingiza ndani, “asalam aleykum” anasalimia Siwema, ambae awaona watoto, ata binti yake Khadija, ambae amemzaa na mume wake alie mtariki leo mapema.

“aleykum salama, karibu nyumbani” anasema mzee Makame, ambae aonekani kushangaa wala kukasirika, ata msukuma mkokoteni anapo maliza kushusha mizigo na kuondoka zake akiwa ameshalipwa, mzee Makame akamtazama tena binti yake, “pole kwa yote, karibu nyumbani” anasema tena mzee Makame.

Ukweli nikama ile pole ya baba yake ilianzisha machungu moyoni kwa Siwema, ambae sasa machozi yanaanza kudondoka taratibu machoni mwake, “aina aja ya kulia Siwema, kikubwa ni kumwomba mungu akujalie upate mwingine, na ishi nae kwa elimu uliyoipata kutokana na ili lililotokea” alisema mzee Makame.

Na wakati huo huo wakaona mwanga afifu wa gari, una wamulika toka upande wa barabarani, sambaba na ngurumo ya chini ya gari ilo, wote wanalitazama gari dogo jeusi, linalokuja na kusimama karibuna kibara chao, kisha milango inafunguliwa na wakina Radhia wanashuka, huku watoto wote wakiwa na vijifuko vyao mikononi, yani kuanzia Zahara adi Khadija.

Hii ilimfanya Siwema ashangae kimoyo moyo, akijaribu kujizuwia asionekana anavyo shangaa, maana akutarajia kuliona gari lile likimleta Radhia nyumbani, pili ni kumwona binti yake akitoka matembezi na Radhia, kitu ambacho Siwema akutaka kukiona kinafanyika kwa wadogo zake kwenda kutembea na wadogo zake Radhia. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI TISA: “baba aliagiza huyo rafiki yake Mu, aje wamfahamu” anajibu Mariam, lakini bado bado Zuhura ahalizia na jibu lile, “sijuwi kwanini wanamng’ang’ania, kwani awajuwi kama anatembea na dada?” anauliza Zuhura, akionyesha kutokupendezwa na jambo flani, kama siyo ujio wa mgeni wakesho, basi ni urafiki wa Radhia na huyo rafiki yake Mu. ......... ENDELEA….

Naaaaam!, mabinti wawili wa mzee Makame, wakiwa wanakaribia stendi ya kwamchina mwanzo, mala wanam, mwona dada yao akiwa akiwa ameongozana na msukuma mkokoteni, uliobeba mizigo mbali mbali, vikiwepo masufuria na mabegi ya nguo, dada yuleee” anasema Mariam, huku wote wakimtazama Siwema ambae alikuwa mita chache mbele yao.

“asalam aleykum” wanasalimiana na dada yao ambae anaonekana kunyongea kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na wanavyo mfahamu, “aleykum salaam” anaitikia Siwema, na wakina Mariam wanampokea mkoba wake, “vipi baba, mme mwacha nyumbani?” anauliza Siwema huku wanatembea kuelekea nyumbani, wakiwa nyuma ya msukuma mkokoteni, aliekuwa anaongoza safari.

“ndiyo amekaa na wakina mama kibarazani, wana malizia kucmbua mchele wa kesho” anajibu Mariam, inamshtua kidogo, Siwema, “kesho kunanini?” anauliza Siwema kwa mshangao na mshtuko, “anakuja yule rafiki yake Mu, kumsalimia baba” alijibu Mariam, “mh!, rafiki yake au hawara wa Radhia, siwaseme ukweli tu, wameamua kumwachia Radhia awe na wanaume” alisema Siwema akionekana kuchukizwa na jambo ilo.

Kinafwata kimya kifupi, huku wanaendelea kutembea, kila mmoja nawaza la kwake, Siwema anawaza kuhusu Radhia, nikama anaishi maisha ya furaha kuliko kipindi kingine chochote, na mbaya zaidi ni kwamba, Radhia anaishi kwa furaha kipindi ambacho yeye anaikosa amani moyoni mwake.

Pia Siwema anawaza namna atakavyo karibishwa na baba yake, ambae anamfahamu kuwa apendi ujinga mdogo mdogo, hivyo angepokelewa na maneno mazito ambayo yangemkosesha hamu ya kula kwa week nzima, japo yaliyo mkuta yanatosha kumnyima hamu ya kula, yani kuachika kwa taraka tatu na kufukuzwa kazi kwa wakati mmoja.*******

Naaaam!, Idd anamtazama Edgar ambae anakimbia taratibu kupandisha kilima kueleka maeneo ya ngazi mia, nae anamfwata nyuma akiwa na baskeri yake.

Ata wanapofika maeneo ya kimani anakuwa amesha mfikia, “samahani kaka mambo vipi” anasalimia Idd, ambae anaendesha baskeri pembeni ya Edgar aliekuwa anakimbia taratibu, “poa tu, niaje” anaitikia Edgar huku anaendelea kukimbia taratibu, “poa kama siyo poa, ninaomba tuongee kidogo” alisema Idd.

Na hapo Edgar akasimama kabisa, ikiwa ni mbali wa mita kama hamsini toka iliponyumba anayoishi, “yah!, niambie, kunaishu?” anauliza Edgar huku anamtazama Idd kwa macho ya tahadhari, “bro!, nimeona nikufwate moja kwa moja, sababu wewe ni mwanaume mwenzangu, sijaona kama itakuwa vyema, kama nikucha bila kukuambia” alisema Idd kwa sauti tulivu iliyo jaa busara na uhekima.

Ilimshtua kidogo Edgar ambae alimua kujukaza kidogo, “ok!, nakusikiliza bro” alisema Edgar, huku moyoni mwake akijuliza kitu gani huyu jamaa anataka kumweleza, “sikiliza kaka, nimekuona hupo karibu na mwanamke flani hivi, anaitwa Radhia, ukweli nakuwambia akufai ata kidogo, ni vyema ukaachana nae kwa kulinda heshima yako.

Alisema Idd, ambae alipania kuongea vitu ambavyo vitamfanya Edgar amwache Radhia mala moja, “kivipi yani, unaweza kunifafanulia?” aliuliza Edgar, huku anamtazama Idd usoni, Idd anatazama pembeni, akikwepa macho ya Edgar, “kwanza kabisa ameachwa na mume wake, sababu ya tabia mbovu, yani nimalaya wa kutupwa, pili anatabia zote za ajabu, asa upanda kutoa mimba” alieleza Idd.

Edgar anatabasamu kidogo, tabasamu ambalo Idd anaona kama linadalili ya kijana huyu, kuto kuamini alichoelezwa, “kuna tabia nyingine umeisahau?” anauliza Edgar, huku anamtazama Idd, “isitoshe yule ni mke wa mtu bado maana mume wake alimpatia taraka mbili, hivyo inaweza kukuletea kashfa ya kutembea na mke wa mtu” alieleza Idd.

Hapo Idd anamshuhudia Edgar anaachia kicheko kikubwa, “kuna kitu ujuwi, ni kwamba, Radhia ameachika na mume wake, kwa taraka tatu, na kosa siyo umalaya, ila ni kuto kushika mimba, kitu ambacho mume wake ajakifanyia uchunguzi, ilikujuwa mwenye tatizo ni nani, na mume wake aliacha kufanya hivyo sababu tayari anawatoto wawili, kwa mke wake mkubwa” aisema Edgar, kisha akaanza kukimbia kuelekea nyumbani kwake,

Ilimvuruga Idd, ambae alijikuta anajawa na hasira, alitamani kamamkimbilie Edgar na kumshushia kipigo, lakini miili yao nivitu viliwi tofauti, yani endapo angekutana na ngumi moja ya kijana huyu, hakika angeokotwa nawatu wanao jihimu asubuhi, “unazania utamchumbia Radhia kilahisi lahisi, kwa taarifa yako unaingia mkenge” alinongo’ona Idd, ambae anageuza na baiskeli yake, na kurudi michenzani, huku kichwani mwake akijaribu kutafakari baadhi ya maneno ya Edgar.

“kitu ambacho mume wake ajakifanyia uchunguzi, ilikujuwa mwenye tatizo ni nani, na mume wake aliacha kufanya hivyo, sababu tayari anawatoto wawili, kwa mke wake mkubwa” baadhi ya maneno ambayo, yalijirudia kichwani mwa Idd, “inamaana Radhia amekaa na kumsimulia kila kitu huyo mpuuzi wake” anajisemea Idd, ambae anaendesha baiskeli kwa peed akishuka mtelemko, kuitafuta Maisala.********

Japo awakuwa uhuru sana, kutokana na kumfikilia dereva na muda wake, lakini Radhia na wadogo zake wote, walionekana kuwa katika furaha kubwa, moda wote wakati njiani ata wakiwa wananunua chips na urojo mishikaki, na vitafunwa vingine, kisha wakarudi kwenye gari na safari ya nyumbani ikaanza.

Njiani Radhia alikuwa amekaa seat ya nyuma na watoto, huku mkukhsin akiwa amekaa seat ya mbele akiwa ameupakata mpira wake mpya, Radhia alikuwa anawaza na kuvuta picha, ya namna alivyokuwa anatazamana na Edgar, huku wakishindwa kuongea chochote, anajikuta anaishia kutabasamu.*********

Siwema na wadogo zake wanafika nyumbani, wanamkuta mzee Makame anaongea na wake zake huku wakicheka na kufurahi kwa pamoja, furaha ambayo Siwema anaitafsili kuwa ni furaha ya ugeni wakesho, ugeni ambao yeye Siwema anaufahamu kabisa kuwa, licha ya kuwa ni ugeni wa rafiki yake Mukhsin, lakini yeye anafahamu kuwa kijana huyo ni mpenzi wa Radhia, na amewaona kwa macho yake, wakitoka usiku, na Radhia akurudi nyumbani usiku ule.

Siwema anawaona mama zake wakiwa na baba yake wanatazama mkokoteni wenye masufuria na begi, nae anaenda kukaa kwenye mkeka karibu na mama yake, huku wakina Mariam wanasaidia kushusha vitu, na kuingiza ndani, “asalam aleykum” anasalimia Siwema, ambae awaona watoto, ata binti yake Khadija, ambae amemzaa na mume wake alie mtariki leo mapema.

“aleykum salama, karibu nyumbani” anasema mzee Makame, ambae aonekani kushangaa wala kukasirika, ata msukuma mkokoteni anapo maliza kushusha mizigo na kuondoka zake akiwa ameshalipwa, mzee Makame akamtazama tena binti yake, “pole kwa yote, karibu nyumbani” anasema tena mzee Makame.

Ukweli nikama ile pole ya baba yake ilianzisha machungu moyoni kwa Siwema, ambae sasa machozi yanaanza kudondoka taratibu machoni mwake, “aina aja ya kulia Siwema, kikubwa ni kumwomba mungu akujalie upate mwingine, na ishi nae kwa elimu uliyoipata kutokana na ili lililotokea” alisema mzee Makame.

Na wakati huo huo wakaona mwanga afifu wa gari, una wamulika toka upande wa barabarani, sambaba na ngurumo ya chini ya gari ilo, wote wanalitazama gari dogo jeusi, linalokuja na kusimama karibuna kibara chao, kisha milango inafunguliwa na wakina Radhia wanashuka, huku watoto wote wakiwa na vijifuko vyao mikononi, yani kuanzia Zahara adi Khadija.

Hii ilimfanya Siwema ashangae kimoyo moyo, akijaribu kujizuwia asionekana anavyo shangaa, maana akutarajia kuliona gari lile likimleta Radhia nyumbani, pili ni kumwona binti yake akitoka matembezi na Radhia, kitu ambacho Siwema akutaka kukiona kinafanyika kwa wadogo zake kwenda kutembea na wadogo zake Radhia. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
shukran eddy
 
SEHEMU YA SABINI NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI: Hii ilimfanya Siwema ashangae kimoyo moyo, akijaribu kujizuwia asionekana anavyo shangaa, maana akutarajia kuliona gari lile likimleta Radhia nyumbani, pili ni kumwona binti yake akitoka matembezi na Radhia, kitu ambacho Siwema akutaka kukiona kinafanyika kwa wadogo zake kwenda kutembea na wadogo zake Radhia. ......... ENDELEA….


“mamaaaaa!” anashangilia Khadija, huku anamkimbilia namama yake na kwenda kujikalisha kwenye miguu yake huku anamkabidhi kile kijifuko alicho kibeba, ambacho ndani yake kilikuwa na chips na urojo, “ulienda wapi khadija” aliuliza mzee Makame, kwa sauti ya kuongea na mtoto, “tulienda kuleeee, tumekunywa juice tumekula marai” alisema Khadija, akimaanisha ice creem.


Gari limesha ondoka, Radhia anawasalimia wazazi wake kisha anaingia ndani ambako anabadiri nguo zake na kurudi kibarazani, lakini anamkuta baba yake akiwa sebuleni, wakati huo Mukhsin akiwa emeenda kujiandaa kuoga, “mlikutana na barozi?” anauliza mzee Makame, ambae amekaa kwenye kochi linalotazama moja kwa moja kwenye TV.


Radhia anatabasamia chini, akionekana mwenye aibu, “ndiyo umekutana nae, alikuwa kwenye mazoezi, na Mu” anajibu Radhia, kwa sauti iliyo lemewa na aibu, huku kichwani mwake akijiuliza, kwanini baba yake ameamua kumwuliza moja kwa moja kuhusu Edgar, “anasemaje kuhusu kesho, bado ana mpango wa kuja huku?,” anauliza mzee Makame, “ajaniambia chochote, nazani akuna kilichobadirika” alisema Radhia, akimaanisha kuwa Edgar kesho ni mgeni wao.


Hapo mzee Makame anatazama kushoto na kulia, kuona kama kuna mtu mwingine, hapa kuwa na mtu mwingine yoyote, “dada yako yupo hapa nazani umemwona, nae ameachika, hivyo angalia msikwazane na kugombana, jitaidi kumkwepa kila panapo tokea dalili za ugomvi” alisema mzee Makame, kwa sauti ya chini kabisa.


Ni wazi alikuwa anafahamu kuwa, siku zote familia yake imekuwa ikiingia katika migogoro ya mala kwa mala, japo muanzilishi mkuu alikuwa ni Siwema, na wadogo zake, na siyo Radhia, ambae ni kama yupo peke yake, ukichukulia yeye pekee ndie dada mkubwa kwa mke mdogo, Zahara ni mdogo na Mukhsin ni wakiume, ambae akuwa na mpango wa kuingilia ugomvi wowote wa wanawake.


Huku Radhia mwenyewe akuwa na mkorofi wala mwenye kuanzisha ugomvi, “sawa baba, lakini mimi siyo mwanzishaji wa ugomvi” alisema Radhia, kabla ajaluhusiwa kwenda nje, kujiunga na wenzake.


Nje watu walikuwa wanaendelea na maongezi ya hapa na pale, huku wale watoto wadogo, wakisimulia kuhusu safari yao ya matembezi ya jioni, huku wengine wakiomba mwaliko wa kesho, kwenda tena kwenye mazoezi ya Mukhsin.


Walikaa pale kibaradhani, ata chakula cha jioni kililiwa hapo hapo kibarazani kwa upande wa wanawake na watoto, wakati huo Mukhsin na baba yake, wakiwa sebuleni, nao wakiongea mawili matatu, huku wanapata chakula.


Mida ya kulala, Siwema alisubiri watu wote wameingia vyumbani, ndipo na yeye akaomba kuonge ana wazazi wake, ambao aliwajulisha lasmi, kuwa ameachika, pamoja na kuomba radhi kwa wazazi wake, huku akikili kuwa mkosefu ni yeye mwenyewe.


Wakati huo huo ndio wakati ambao, Siwema aliwajulisha wazazi wake, kuwa, serikali kupitia wizara ya afya, imemfuta kazi kutokana na kufanya matendo yasiyo faa katika jamii, “jamani unamkosi gani Siwema mwanangu, yani umefukuzwa na kazi” alisema mama Siwema kwa mshtuko mkubwa, “kwahiyo mama Mariam, kwa unavyo zania, wangemuacha ata baada ya kusambaa kwa zile video?” aliuliza mzee Makame.


Na hapo mama Siwema akatulia na kumtazama mume wake, “kwahiyo ulisha juwa kuwa angefukuzwa kazi?” anauliza mama Siwema kwa sauti ta mshangao, na yenye mashaka, “nilihisi ilo lazima litokee, japo nilitamani lisinge tokea” alisema mzee Makame, ambae aliendelea, “serikali awezi kukubari tukio kama ili litokee na wake kimya” alifafanua mzee Makame.


Kimya kikatawala kwa sekunde kadhaa, kabla mzee Makame ajaendelea, “sikia Siwema, chamsingi umesha jifunza kutokana na makosa yake, na unamengi ya kujifunza, kaa hapa nyumbani, kama unaweza kupata mchumba mwingine, sawa, kama unaweza kupata kazi nyingine sawa” aliongea mzee Makame, ambae akuishia hapo, “nazani umemwona mwenzio Radhia, licha ya kuachika, lakini mpaka leo yupo na anaendelea vizuri, epukeni maneno ya watu, epukeni miugomvi ya mala kwa mala” alisema mzee Makame, ambae kiukweli ni mwingi wa busara.


Naaaam!, baada ya maongezi ya mnuda mrefu kidogo, Siwema ambae alionekana kuelewa alichoambiwa na baba yake, aliondoka na kwenda kulala chumbani kwa kina Mariam, huku mzee Makame na mke mkubwa wakitawanyika na kwenda kulala, kila mmoja akielekea alikostahili kulala, maana leo ilikuwa ni zamu ya mke mdogo, kulala na mzee Makame.


Kuna wakati mzee Makame na mke wake mdogo wakiwa wamelala, baada ya kumaliza kupeana haki na wajibu wa ndoa, ndipo mama Radhia alipoamua kutoa wazo mume wake, “samahani mume wangu kama nitakuwa nimekukwanza, ila naomba kesho Radhia aende chukwaani kwa mama yake mdogo, arudi kesho kutwa” aliuliza mama Radhia kwa sauti yenye tahadhari.


Lakini mzee Makame akuonekana kushtuka na kukwazika, “mwache aende ata akikaa siku mbili, na yeye akabadiri mazingira kidogo” alisema mzee Makame, huku akiongeza neno, “ila aondoke baada ya ugeni wa kesho kuondoka, pia amjulishe huyo rafiki yao, kuwa anasafari ya huko Chukwaani” alisema mzee Makame.


Mama Radhia anaachia tabasamu la ushindi “sawa nita mwemweleza amjulishe atakapokuja hapa” alisema mama Radhia, huku kichwani mwake akijuwa fika kuwa, Radhia anaitaji kwenda kwa huyo huyo Edgar, na siyo chukwani, kwa mama yake mdogo.**********


Kijana Edgar wakati huu alikuwa chumbani kwake, anasikiliza music wa taratibu, tayri alikuwa amesha toka kwenye chumba cha ofisi yake ya nyumbani, ssa alipanda kitandani na kuchukuwa simu yake kisha akaanza kuangalia maoni ya watu waliyo yatoa kwenye picha aliyo ipost kwenye account yake binafsi, yani ile picha inayomwonyesha akiwa na Radhia kwenye tamasha la taharab.


Maoni yalikuwa mengi sana, kila mmoja akisifia na kuwa pongeza, akuweza kulike wala kujibu comment zote, zaidi alichagua chache na kuanza kuzijibu, japo nyingi alijibu kwa vikaragosi yani emoj.


Baada ya kufanya kwa muda mrefu, akakumbuka juu ya yule kijana alie mfwata na kumshauri amwache Radhia, akajiuliza kwa dakika kadhaa akijaribu kutafakari, kapo aliona kuna baadhi ya maneno ya yule jamaa yalikuwa yanamchanganya, kwamaana ayakuwa na ukweli wowote.


Mwisho Edgar akakumbuka mwaliko wa kesho, nyumbani kwa mwalimu Abeid Makame, yani baba wa rafiki yake Mukhsin, ambae ni baba wa mpenzi wake Radhia, Edgar akajikuta anabofya simu na kumpigia Radhia.***********


Wakati huo kule michenzani, yani nyumbani kwa bwana Idd kiparago, ambae tayari alikuwa amelala pembeni ya mke wake, ambae alikuwa amelala na chupi tu.


Idd anaonekana mwenye mawazo mengi sana, ni wazi alishindwa kumshawishi yule jamaa, ili amwache Radhia, kitu ambacho ndio pekee ambacho kinaweza kumfanya Radhia atamani kurudiana na yeye, ni kuachana na huyu mwanaume anae mpa kiburi. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA MOJA: Idd anaonekana mwenye mawazo mengi sana, ni wazi alishindwa kumshawishi yule jamaa, ili amwache Radhia, kitu ambacho ndio pekee ambacho kinaweza kumfanya Radhia atamani kurudiana na yeye, ni kuachana na huyu mwanaume anae mpa kiburi. ......... ENDELEA….


“Hapa cha msingi ni kuwaaminisha watu kuwa, natembea nae kwa siri, nazani huyo jamaa akisikia tu, lazima ata mchukia na kumwacha” anawaza Idd, ambae anapanga kutengeneza mtego mzuri ata akifanya lake, Edgar aamini kuwa wao ni wapenzi, Idd mjukuu wa Kiparago aliwaza hayo, bila ata kukumbuka kuwa siku ya pili leo ajampigia simu mke wake mkubwa, yani Ashura, ambae sasa alikuwa anapewa dudu, na ujauzito wa miezi saba ukiwa tumboni mwa mwamke huyo.********


Wakati huo huo katika usiku huu wa leo, Radhia alikuwa amejilaza kifudi fudi, anavuta kumbu kumbu ya usiku wa jana, na mtukio yake, kuanzia bwawani hotel, ambako ukiachilia kupewa hadhi ya kipekee na Edgar kwa kwenda kukaa VIP A, katika usiku wake wakwanza kwenye tamasha la taharab, pia aliendelea kupewa hadhi ambayo hakuwa na uhakika kama ni ya kudumu au la, na wale wake wa viongozi na wafanya biashara wakubwa.


Pia aliwaza jinsi ilivyokuwa nyumbani, toka alipomwona Edgar anavua nguo mbele yake, ikiwa bado ata ajamtangazia kuwa anampenda au la, “au kwao awatongozani” anasemea Radhia, ambae akumbuki sehemu yoyote ya kutongozwa, zaidi anakumbuka jinsi alijipeleka bafuni na kujikuta wakiluhusu mwanaume huyu amwogeshe.


Wakati Radhia anaendelea kuwaza hayo mala akasikia ujumbe unaingia kwenye simu yake, akautazama haraka na kukuta kuna ujumbe toka kwa mama yake, sijuwi akuonekana kufurahi, pengine ni sababu alizania ni ujumbe toka kwa Edgar, Radhia anaufungua ujumbe kiroho shingo upande, “baba yako amekubari kesho ukalale huko huko, tena amesema ukalale siku mbili, ila nimemwambia kuwa unaenda chukwani kwa mama yako mdogo” ndivyo ulivyo sema ujumbe toka kwa mama yake.


Radhia alijikuta anajiziba mdomo ili asipige kelele za kushangilia, ata yeye akuelewa kwa nini amefurahi kiasi kile, maana kama ni kitanda kwao kipo japo siyo kikubwa kama kile cha Edgar, labda chakula, hapana licha ya kwamba kwa Edgar kunavyakula vizuri na vitamu, lakini ata kwao kesho kuna vyakula vizuri.


Hapo Radhia anatoa jibu mwenyewe, kwamba anacho shangilia ni kulala na Edgar mwenywe, maana usiku wa janaulikuwa kama usiku wake wa kwanza kulala na mwanaume na kuonja dudu, “natamani Edgar angeni kuta bikira” aliwaza Radhia, ambe alikuwa amelala chali, na wakati huo huo akaisikia simu yake inaanza kuita, akatazama jina la mpiga, akaona mpigaji ni Edgar.


Hapo Radhia alihisi msisimko mkali na mtamu, ukianzia kifuani mpaka kiunoni, kisha kwenye mapaja yake na kwenye kutumbua chake, Radhia anapokea simu na kuweka sikioni, anasikia sauti ya music wa taratibu, nikama ule alio usikia jana, akiwa nyumbani kwa Edgar jana usiku, msisimko unazidi kwa Radhia anajikuta anaupenda ule music, japo siku za nyumba akuwai kuupenda.


“asalam aleykum” alisamilia Radhia kwa sauti tulivu, nyororo yenye utamu masikioni, “leykum salaam” ilikuwa sauti nzito ya kiume na tulivu, toka upande wapili wa simu Radhia anashusha pumzi nzito yenye msisiko, huku anabana miguu yake anajihisi utamu flani, “umechelewa kupiga simu, ulikuwa unafanya nini?” aliuliza Radhia kwa sauti ya kujikaza kidogo, japo akufanikiwa, maana ilionekana wazi kuwa mebanwa na hewa ya msisimko kifuani kwake, “nilikuwa nakazi kidogo, ila pia nilikuwa nasubiri simu yako nazani unakumbuka uwa nasema ukifika nijulishe” alisema Edgar kwa sauti iile ile nzito na tulivu.


Hapo Radhia anaachia tabasamu kidogo, “hooo!, samahani Eddy, nilizania nita kusumbua, ndio maana nakusubiri unipigie” alisema Radhia, kwa sauti ya kubembeleza, “wala usiwe na shaka unapo amua kunipigia, sababu ni haki yaki kunipigia muda wote labda nikiwa kwenye kikao” alisema Edgar, kwa sauti yake nzito iliyo jawa na upendo.


“sawa nitakuwa nakupigia” alisema Radhia kwa sauti nyororo, ambayo atakama aonekani machoni pako, lakini utajuwa kuwa alikuwa amelala chali na kidole kimoja kipo mdomoni, “nitafurahi sana, nasubiri simu zako” alisema Edgar, huku wote wawili wakicheka kiuvivu.


“Eddy bwana acha utani, kwanza niambie sasa hivi unafanya nini” alisema Radhia kwa sauti ya kujidekaza, “nipo tu, nimekukumbuka sana, nimegundua kuwa siwezi kukukosa ata kwa usiku mmoja, kitanda nakiona kipana sana” alisikika Edgar, nakumfanya Radhia ajione wakipekee sana, kama mwanaume kama yule anakiona kitanda kikubwa, kwaajili yake, inamaana anampenda sana.


“kwa hiyo unataka kesho nije kulala kwako?” anauliza Radhia, huku anacheka cheka, yani ungeweza ata leo, maana kesho naona mbali” alijibu Edgar, kwa sauti yenye dalili ya utani, “basi usijari, kesho nitaaga kwa mama naenda kwa mama mdogo, kisha nitakuja kwako” alijibu Radhia, na hapo akasikia kicheko cha raha toka kwa Edgar, “lakini uwemakini, mzee Makame, asije kuniona mwalifu, siunajuwa bado atujafanya utaratibu wowote” alisema Edgar kwa sauti yenye hekima, na maneno yenye busara.


Radhia anatoa macho ya mshangao, “mh!, unazungumzia utaratibu gani Eddy?” anauliza Radhia, ambae anajihisi pengine ajamsikia vizuri Edgar, “Radhia kwani kunabaya nimeongea, au una ahadi na mwanaume mwingine” anauliza Edgar ambae ni wazi alishtushwa kwa uulizaji wa Radhia, maana nikama alishtuka.


Ilo sasa lilimshtua sana Radhia, na kumfanya sura yake iingie unyonge, “Eddy, kwanini unasema hivyo, ningewezaje kulala na wewe kama ningekuwa na mwanaume” alisema Radhia kwa sauti yenye masikitiko ya wazi kabisa, “nakuamini Radhia, lakini nataka kusikia kwa kinywa chako, kama unamwanaume na unamlengo nae, au kama bado unamkataba na mume wako wa zamani” aliuliza Edgar kwa sauti ya upole na yenye kubembeleza.


Hapo Radhia akatulia kidogo akitafakari maneno ya Edgar, “Eddy sina mwanaume yoyote zaidi yako, na nilisha pewa taraka tatu, sina kizuwizi chochote” aliongea Radhia kwa sauti tulivu, sasa alikuwa amenyongea kiasi kwamba alitamani kulia.


Ni wazi Edgar aliisgundua swala ilo, “sasa mbona kama umeshtuka sana niliposema kufanya taratibu, au bado ujapanga kuwa mke wa mtu kwasasa?” aliuliza Edgar kwa sauti nzito na tulivu, swali ambalo lilimshtua sana Radhia, ambae akuamini kama ni kweli alichosikia au ni wenge, “siamini kama ni kweli wachaniamke nijuwe kama ni ndoto” alisema Radhia akijihisi kuwa yupo ndotoni. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom