ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA TISINI NA NNE
MTUNZI:
edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TISINI NA TATU: “nani anachuki na wewe, utaki kuambiwa ukweli, kwani ulikuwa wapi siku mbili zote hizi, au ulikuwa umeenda kwa mama mdogo, mtu mwenyewe unajijuwa tasa, alafu unaangaikia wanaume, kama siyo kujizalilisha tu, maana watakuchezea na kukuacha” alisema Siwema, kwa sauti ya kusimanga. . ......... ENDELEA….
Hapo Radhia aliwaza mambo mawili kwa haraka sana, moja ni chanzo cha chuki aliyonayo Siwema, maana licha ya kusaidiwa kurudi kazini na mchumba wake, yani Edgar, lakini bado anaonyesha chuki za hali ya juu zidi yake.
Pili kwa ni sababu ya chuki zidi yake kuzidi mala mala dufu, maana yeye akuona sababu wala kisa cha dada yake kuwa na chuki zidi yake, “dada Siwema, kama kunakitu nimewakosea mimi au mama yangu au wadogo zangu, naomba mnieleze ili tumalize, hakika hii siyo sawa, wala aipendezi, kwa wanafamilia kuwa hivi” alisema Radhia kwa sauti yenye machungu.
Hapo kinasikika kicheko toka kwa Siwema, kicheko ambacho kina wanashangaza ata wakina Mariam, ambao kiukweli ata wao waliingiwa na maneno ya Radhia, nakujiona ni wakosefu, “nani anakuchukia Radhia, unanini cha kuchukiwa mgumba kama wewe, au utaki tukuambie ukweli unavyo tutia aibu, kuwa kwa mwanaume, auna ata muda wakukaa nyumbani kupika” alisema Siwema, kwa sauti ile ile ya ukali yenye kusimanga.
Radhia akainuka na kuelekea ndani, ambako alikaa kwa dakika kumi na tano, akiwaacha Siwema na wadogo zake wakipongezana kwa kile alichokifanya Siwema, na baadae Radhia akatoka na vitu vya kupika, na kuanza mapishi, ambayo aliyaendesha kimya kimya, huku Siwema na wadogo zake wakiongea maneno ya mafumbo, yaliyo mlenga Radhia, ambae akujibu chochote, zaidi ya kuendelea kupika.
Mapishi yaliendelea kimya kimya kwa upande wa Radhia, vijembe vikiendelea kumiminika, toka kwa Siwema na wadogo zake, ambao walitegemea kumwona Radhia anakosa amani, lakini baada yake wakaanza kumwona anapika huku mala kwa mala akipokea na kutuma ujumbe kwenye simu, yake, wakati mwingine alionekana aitabasamu kwa sfuraha, pale alipokuwa anausoma ujumbe.
Zilikuwa ni jumbe tamu, toka kwa Edgar, ambao walikuwa wanakumbushana kuhusu matukio waliyokuwa wanayafanya nyakati tofauti tofauti, asa wakiwa chumbani kule nyumbani kwa Edgar.
Hali ya furaha, aliyokuwa nayo Radhia, kwa wakati huu ilianza kuwa chukiza wakina Siwema, ambao mala nyingi uwa awawezi kuficha chuki zao, “mambo ya watoto anafanya mtu mzima, mjane ni mjane, waachie ambao awajawai kuachwa” alisema Siwema, kwa sauti ya chuki, na kusimanga, huku akisaidiwa na vicheko toka kwa wakina Mariam.
Safari hii Radhia nae akajikuta anacheka kwa sauti, ni wazi alicheka kile alichoongea Siwema, na kuwafanya wakina Mariam na Zuhura, watazamane kwamasho ya kujisuta, lakini ilikuwa tofauti kwa siwea ambae alimtazama Radhia kwa macho ya ukali, “unacheka nini?” aliuliza Siwema kwa ukali, ni wazi alijuwa kwanini Radhia alicheka.
“jamani dada sasa unataka nichukie au ninune, wakati unachoongea kinachekesha, mimi nicheka hivyo ulivyosema niwaachie ambao awajawai kuachwa, kwani kuachwa ni ugonjwa, na kama ugonjwa mimi nimesha pona” alisema Radhia, kwa sauti ya uchangamfu.
Hakika ilimuuma Siwema, ambae aliongea pasipo kukumbuka kuwa na yeye ni mjane, “jamani siwezi kuvumilia dharau kama hii…” alisema Siwema kwa sauti ya juu yenye hasira, na wakati huo huo wote wakashtuliwa na ngurumo ya gari alililokuwa linakaribia nyumbani kwao.
Wote wakalitazama gari lile, ambalo nilile walilo ondoka nalo wakina mzee Makame, lililokuja na kusimama mbele ya kibaradha, kisha wakina mzee Makame wakashuka, na bindi zake wakawapokea na kuingiza mizigo ndani, dereva akiondoka zake, kwamaangizo ya kwamba kesho mapema aje amchukue kwaajili ya kuelekea kazini.
Radhia akamwomba mama yake amsaidie kupika, na yeye akafanye kazi ambayo ilikuwa inamkabiri, “kwanini usinge waachia wadogo zako, siungekuwa umesha maliza kazi zako” alisema mama Mariam, ambae alisisitiza Radhia akaendelee na kazi zake, kwamba yeye na mama Radhia wangeendelea kupika.
Radhia kueleza kilichotokea kwa mama zake, zaidi aliingia ndani na kuanza kazi zake, akifwata maelekezo ya Edgar, ambapo alitumia masaa mawili kuikamilisha, na kubakia utekelezaji, kuna wakati mama yake aliingia chumbani na kuungana na Radhia wakiongea ili nalile.
Mama Radhia alimweleza Radhia jinsi mzee Makame alivyo eleza kuhusu yeye, kwamba kwa sasa niluksa kukutana na Edgar, pia atozuiliwa kwenda kumtembelea Edgar nyumbani kwake, kwatafsiri ya kwamba, kwenda kulala siku na wakati wowote.
Radhia alimweleza mama yake, juu ya chuki za wazi za wakina Siwema, hakika ilimshangaza sana mama Radhia, ambae alishindwa kuelewa ni roho au moyo wa ainagani aliokuwa nao Siwema, “achana nae Radhia, kikubwa angalia mambo yako yaenda sawa, ila kuwa nae makini, maana sijawai kuona moyo wa aina hii” alisema mama Radhia.********
Naaaaaam!, usiku wa saa mbili, watu wapo majumbani mwao, wanapata chakula cha jioni, huku macho yakiwa kwenye television wanaangalia taaria ya habari ambayo ilikuwa inaanza.
Mida hii ilimkuta Radhia akiwa nyumbani kwa Edgar, wametulia chumbani mezani zinaongekana grass mbili za juice ya matunda harisi, wao wame po juu ya kochi moja kubwa, Radhia akiwa amevalia gauni jepesi la kulalia, Edgar amevalia bukta nyepesi ambayo utumia kulalia, Radhia amejilaza juu ya kufua cha Edgar, amelegea kiasi, kutokana na jambo walilolo lifanya nusu saa iliyopita.
Maana aikuwa kazi ndogo, mala tu baada ya Radhia kukutana na Edgar mazoezini, alikopelekwa na dereva, ambapoko alimkuta Edgar anacheza mpira wakikapu na wakina Mukhsin.
Radhia alitulia akifwatilia mazoezi, mpaka muda ulipotamatika, na wakina Mukshin kushika uelekeo wa nyumbani kwao, huku Radhia na Edgar wakielekea nyumbani kwa Edgar, ambako awakupeana nafasi ya kuuliza habari za mchana.
Maana ile kuingia tu chumbani, wakavua nguo na kuingia bafuni, kuoga ambako walianza kuoga huku wanapeana dudu kisawa sawa, na kila mmoja akionekana kufurahia anachokifanya au kufanyiwa na mwenzie, Radhia nae alionekana kumzowea Edgar na kuwa huru kwa kile wanachofanya, ilifikia wakati yeye akawa anabadiri mkao bila ata kuambiwa.
Kitu ambacho uwezi kuamini ni kwamba, walitumia lisaa lizima wakiwa bafuni, ikiwa ni kuoga na kunyanduana, “ulifanikiwa kupangilia mapokezi ya wageni wetu?” aliuliza Edgar huku anachezea nywele za Radhia aliekuwa amelala kifuani kwake, “ndiyo nimefanikiwa, bado kwenda kwenye hotel watakayofikia, na kujuwa gharama kwa ujumla, nimeilenga Zanzibar beach resort” alisema Radhia, ambae kimoyo moyo anashukuru serikali ya #Mbogo_Land kumleta Edgar Unguja, na kukutana na yeye.
Wakati huo huo nyumbani kwa mzee Abeid, familia nzima ilikuwa sebuleni, inasubiri taarifa ya habari, huku kijana Idd akiwa mwenyewe sebuleni, anakula urojo huku anatazama taarifa ya habari, japo mawazo yake yalikuwa ni juu ya kumvuruga Radhia na kumtoa kwa mpenzi wake mpya.
Idd ambae akukumbuka lolote kuhusu mke wake mkubwa, ya bi Ashura, akiwa anaendelea kuwaza ili na lile, namna ya kumvurugia Radhia, mala masikio yake yakanasa kitu toka kwenye TV, “nahuu ni muktasali wake, rais wa serikali ya mapinduzi aanzisha sekta mpya na kufanya uteuzi wa mkurugenzi mpya wa sekta hiyo ya kilimo na mifugo” ilikuwa ni sauti ya mtangazaji maarufu wa taarifa za habari wa television hiyo.
Kwamala ya kwanza aikumwingia hakilini, lakini pale ilipoanza habari kamili, ndipo Idd alipo shtuka na kuona kutega vyema masikio yake, “mheshimiwa rais amefanya uteuzi huo, leo mapema katika ikulu, na kumteuwa mwalimu Abeid Ally Makame, kuwa mkurugenzi wa idara hiyo mpya” hakika taarifa hii, ilimshtua kidogo Idd, “au Makame mwingine?” alijiuliza Idd, huku akikosa jibu, maana ata taarifa yenyewe aikuonyesha video wala picha ya mwalimu Makame.
Lakini pia taarifa ilieleza kuwa, mwalimu Makame ata apishwa kesho, kwenye ukumbi wa ikulu, “naomba isiwe hivyo, mbona Radhia atazidi kulinga” alijisemea Idd, ambae licha ya tamaa aliyonayo juu ya Radhia, lakini ameshindwa kumiliki mke mwingine, ambae leo amempatia taraka. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA
jamii forums