Simulizi - change (badiliko)

DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA NANE

★★★★★★★★★★★★★★★★


Mwili wa Megan ukiwa umepasuliwa vibaya mno chini hapo, ungemfanya yeyote adhani kwamba ameshakufa, lakini bado pumzi ya uhai ilikuwa ndani yake. Bila shaka alikuwa kwenye maumivu makali mno na bila kujitambua, na mwanaume akausogelea mwili wake chini hapo na kunusa mara mbili hewani.

"Megan?"

Draxton akaita hivyo kwa sauti ya chini, lakini hakupata itikio lolote. Akawa anaunguruma kwa hasira lakini kichinichini kwa kushindwa kujua afanye nini, na ndipo Aysel akawa amefika nyuma yake pia. Mwanamke huyo alijihisi vibaya kumwona Megan alivyopasuliwa kinyama, naye Draxton akaweka mkono wake mahala ambapo shingo ya Megan ilitakiwa kuwa; akiugusa kabisa mfupa usawa huo uliojaa damu. Alikuwa anawaza labda atumie damu yake yeye mwenyewe kumponya mwanamke huyo lakini kwa hali hiyo haikuonekana kwamba hilo lingefanikiwa maana ingehitajika nyingi mno.

Akiwa amekosa la kufanya na kubaki akihuzunika, ghafla mwili huo wa Megan ukaanza kutoa mwangaza wa blue-bahari, kama tu ngozi yake ilivyobadilika alipokuwa akigeukia upande wake wa mnyama. Aysel alishtuka na kurudi nyuma kidogo, na Draxton akawa anahisi kama sehemu ya nguvu zake inamtoka bila kuelewa kilichokuwa kinaendelea, na mkono wake ukawa kama umegandishwa hapo hapo kwenye shingo ya Megan.

Kufumba na kufumbua mwangaza huo ukakata ghafla, na wote wakashangaa baada ya mwili mzima wa Megan kuwa umerudia hali ya kawaida kabisa! Yaani ilikuwa kama vile hakuwa ameumia hata chembe. Draxton akarejea ubinadamu taratibu huku akimwangalia kwa umakini, naye Megan akafumbua macho na kumtazama mwanaume usoni.

"What the hell was that?! (Hicho kilikuwa nini?!)" Aysel akauliza kwa mshangao.

Megan akaanza kujinyanyua ili aketi, naye Draxton akampa egamio.

"Megan... what happened? (Megan... nini kilitokea?)" Draxton akamuuliza.

“The pack attacked (Kundi limeshambulia)," Megan akajibu kiufupi.

“Are you okay? (Uko sawa?)” Draxton akamuuliza kwa kujali.

Megan akavuta pumzi na kusema, "No (Hapana)."

Draxton akamtazama kwa huruma.

“It will take a long time to heal and to gather as much power as I had before. I spent all of it trying to keep myself alive. They tore me up pretty bad (Itachukua muda mrefu kuponyeka na kukusanya nguvu kama nilizokuwa nazo. Nilitumia zote kuuendeleza uhai wangu. Wamenichana-chana vibaya sana)," Megan akasema.

"You seem healed enough to me (Unaonekana kuponyeka vizuri sana mbona)," Aysel akasema.

"I meant internally (Nilimaanisha kwa ndani)," Megan akamwambia.

“What happened just now? How did your body become... whole again? (Nini kimetokea sasa hivi tu? Mwili wako umejirudishaje kuwa... mzima tena?)" Draxton akamuuliza.

“Its because we are connected. I was able to siphon off some of your Alpha spiritual energy to rebuild my body (Ni kwa sababu ya muungano nilionao pamoja nawe. Nimeweza kuvuta nguvu yako ya kiroho ukiwa kama Alpha ili kuujenga upya mwili wangu)," Megan akaeleza.

"Forgot how much of a geek you always were (Nilikuwa nimeshasahau namna ambavyo sikuzote ulikuwa mjuaji kupitiliza)," Aysel akamwambia Megan.

Megan akamtazama mwanamke huyo, kisha akauliza, "What are you doing here? (Unafanya nini hapa?)"

"I'm part of Draxton's pack. Well... not yet, but I will be (Na mimi ni wa kundi lake Draxton. Sijawa hivyo rasmi ila, nitakuwa)," Aysel akajibu.

Megan akamtazama Draxton usoni kimaswali.

"Come on, let's get you up (Njoo, wacha tukunyanyue)," Draxton akasema hivyo na kuanza kumnyanyua Megan.

Mwanamke alionekana kuwa na maumivu ya ndani kwa ndani, naye akapelekwa kitandani na kukalishwa taratibu; akiinyoosha miguu yake yote hapo na kuegamia mto.

"What do you need Megan? Do you want some food, or water, some meat maybe? (Unahitaji nini Megan? Unataka chakula kidogo, au maji, labda nyama kiasi?)" Draxton akamuuliza kiupole.

"Yeah, there is lots of 'em scattered all over this place (Ndiyo, zipo nyingi zimezagaa ovyo sehemu yote hapa)," Aysel akasema kiutani.

Draxton akamgeukia na kusema kiukali, "Shut up Aysel!"

Aysel akashtuka na kumwangalia kwa hofu, hata Megan akaogopa pia.

Draxton akafumba macho na kushusha pumzi kiutetemeshi, akionekana kuwa na hasira sana, lakini akamwambia Aysel, "I'm sorry, Aysel. I... why don't you help yourself and get some water to drink, huh? And a shower would be good too so we can take our next step freshly... you know? (Samahani, Aysel. Nina... vipi ukijipa msaada wa kufata maji unywe eh? Na kuoga pia kutakuwa jambo zuri ili tupige hatua inayofuata vyema zaidi... si unajua?)"

Aysel akaonekana kuudhika kiasi, lakini akatii na kuondoka.

"You are really frustrated (Umeghadhabika kweli)," Megan akasema.

Draxton akakaa kitandani na kumuuliza, "What really happened here Megan? (Ni nini kilichotokea kabisa hapa Megan?)"

"You were right. Covering Darla's scent on you wasn't enough to fool them. Except they fooled me into thinking they bought it (Ulikuwa sahihi. Kuificha harufu ya Darla mwilini mwako hakukutosha kuwadanganya. Isipokuwa tu wenyewe ndiyo wakanifanya mjinga kudhani kwamba waliamini mchezo tuliowafanyia)," Megan akasema.

Draxton akaendelea kumwangalia kwa utulivu.

"They came a few hours after you left. Just as normal customers. Then Robby's sister got in too and I knew something was up. They must have sent her a message about us last night and were waiting for her to show up here so they could attack us together cause she's pretty strong... just like her brother. I couldn't run. They killed my workers... my friends... and bitch wanted to know where you are but then ripped me to bits when I denied telling her (Walifika hapa masaa machache tu ulipoondoka. Kama wateja wa kawaida. Ndiyo dada yake Robby akaingia pia nami nikajua tu kulikuwa na nuksi. Ni lazima watakuwa walimtumia ujumbe kuhusu sisi usiku wa jana na walikuwa wanasubiria afike ili watushambulie kwa pamoja kwa sababu ana nguvu nyingi.. kama tu kaka yake. Sikuweza kukimbia. Waliwaua wafanyakazi wangu.. marafiki zangu.. na huyo malaya alikuwa anataka kujua ulipo lakini akanirarua vipande-vipande nilipokataa kumwambia)," Megan akaongea huku machozi yakimtoka.

Draxton akamfuta machozi, kisha akatazama pembeni kwa mkazo. Alikuwa ameshachoshwa na mchezo huu kutoka kwa Robby, kwa sababu mwanaume huyo angeendelea kuumiza watu na kuwaua ovyo kwa madhumuni yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Hakujali tena mtu huyo alikuwa nani. Yaani kama angefanikiwa kukutana naye angehakikisha anavunja kila aina ya sheria ili kuumaliza ubepari wake usioeleweka ulitokea wapi.

"It's a mess (Ni uchafu mkubwa)," Megan akasema.

"And it will get more messy if we keep staying here. I shouldn't have left you (Na hali itachafuka zaidi tukiendelea kukaa hapa. Bora tu nisingekuacha)," Draxton akaongea kwa uzito.

"It's okay, at least I'm not dead. They probably think I am so they won't come back here after messing this place up with murder... for now (Haina shida, angalau niko hai. Wenyewe watafikiri nimeshakufa kwa hiyo hawatarudi hapa baada ya kupachafua kwa mauaji waliyofanya... kwa sasa tu lakini)," Megan akamwambia.

Draxton akamwangalia.

"They'll send some of 'em later to clean up the place before it grabs any attention from the police... Robby likes to keep his hands off-dirt (Watatuma baadhi yao kuja kupasafisha hapa baadaye kabla hapajavuta uangalifu wa maaskari... Robby anapenda kutochafuliwa kabisa)," Megan akasema.

Draxton akatazama pembeni na kusema, "Precisely why we won't keep staying here (Ndiyo maana hatutatakiwa kuendelea kukaa hapa)."

Megan aliona hasira kali sana nyuma ya utulivu wa mwanaume huyu, naye akawa anatazama uso wake uliofunikwa kiasi kwa nywele nyeupe. Draxton alikuwa anawaza kutoka tu hapo, amshike huyo mwanaume aliyekuwa kama kunguni msumbufu ili amtumbue haswa, lakini kwanza alichotakiwa kufanya ilikuwa kuhakikisha wanawake hawa wawili wanakuwa salama.

"Did you find it? (Umekipata?)"

Swali hilo la Megan likamfanya Draxton amtazame machoni.

"Did you find the ingredient for the potion? (Umekipata kiungo kwa ajili ya ile dawa?)" Megan akauliza tena.

"Yes. It's a white flower called... (Ndiyo. Ni ua jeupe liitwalo..)"

"Moon's bloom, yes! I completely forgot (Moon's bloom, ndiyo! Nilikuwa nimesahau kabisa)," Megan akasema baada ya kukumbuka.

"Yeah. I got a few of them in the car. Will you be able to make the potion in your current condition? (Ndiyo. Yapo machache ndani ya gari. Utaweza kuitengeneza hiyo dawa chini ya hali uliyonayo?)"

"Making the potion is basically mixing and boiling. The hard part may come with the channeling process (Kuitengeneza dawa ni suala la kuchanganya na kuchemsha tu. Ugumu unaweza kuja kwenye kupeleka ile njia ya mawasiliano)."

"To Darla? (Kwa Darla?)"

“Yes. My power is returning a bit, and my physical form is stable, but I will need more energy to make it work great (Ndiyo. Nguvu yangu inarejea kiasi, na mwili wangu wa kawaida uko sawa, lakini nitahitaji nishati zaidi kufanya jambo hilo liwe na matokeo mazuri)," Megan akamwambia.

Draxton, akiwa ameshaelewa ni nini kilimaanishwa kwa kumpa mwanamke huyo nishati zaidi, akasema, "Okay. We'll work on that (Sawa. Tutalifanyia hilo kazi)."

Megan akawa anamwangalia kwa njia fulani yenye hisia.

"I'll go bring the flowers and get Aysel to help. After you finish making the potion we leave. We can make this work greatly in a safe place (Nayafata maua pamoja na Aysel aje kukusaidia. Mkimaliza kutengeneza dawa tunaondoka. Twaweza kufanikisha suala hili vyema zaidi tukiwa sehemu salama)," Draxton akasema.

"Is there any? (Ipo yoyote?)" Megan akauliza.

"No. But just not here anymore (Hakuna. Lakini hapa hapafai tena)," Draxton akamwambia.

Mwanaume akanyanyuka na kuondoka chumbani hapo, akimwacha Megan ametulia. Akapapita pale penye miili na damu mpaka nje, akabeba maua, kisha akarejea ndani tena. Alienda moja kwa moja mpaka sehemu ya jikoni, naye akamkuta Aysel hapo akiwa anakula nyama iliyopikwa huku bado akiwa hajaoga. Draxton akamwambia pia kwamba hawangetumia muda mrefu hapo kwa hiyo alitakiwa kujisafisha ili aende kumsaidia Megan kutengeneza dawa fulani kabla hawajaondoka, naye Aysel akaomba amalize kula kwanza maana hakuwa amekula chochote siku nzima iliyopita.

Hivyo, Draxton akaenda tena chumbani kwa Megan na kumuuliza mwanamke huyo ikiwa viungo vingine vilivyohitajika vilikuwa hapo, naye akamwambia amwambie Aysel amsaidie kuvichukua kutoka kwenye kabati lenye vifaa vya jikoni maana lazima mwanamke yule alivifahmu. Draxton alipoenda kufanya hivyo, Aysel akawa amegundua ni dawa ya aina gani wawili hao walitaka kutengeneza. Akamsaidia Draxton kuvipata viungo vingine, na kwa kuwa alimaliza kula akamwambia angeenda kujisafisha kwanza kisha ndiyo angemsaidia Megan kuitengeneza dawa.

Kwa dakika chache ambazo Aysel alitumia kufanya usafi, Draxton alimsaidia Megan kuvaa nguo nyingine safi, kisha akampatia maji na chakula, huku mwanamke huyo akimwambia namna alivyowaza kuhusu hali ya Darla kwa sababu alimpenda kama mdogo wake wa damu, naye Draxton akamtia moyo tu kuamini kwamba kila kitu kingekuwa sawa na wangefanikiwa kumwokoa yeye na wengine.

Baada ya Aysel kujiunga nao, akaanza kusaidizana na Megan kuitengeneza dawa. Wakati huu alikuwa msafi zaidi, naye alivaa nguo kutoka kwenye kabati la nguo za Megan ndani hapo, kwa hiyo wakaelekezana kuichanganya dawa na kisha Aysel akaenda kuichemsha. Megan alikuwa hamwamini kwa kadiri fulani mwanamke huyo kwa sababu alijua historia yake ya usaliti alioufanya zamani, lakini Draxton alikuwa amemhakikishia kwamba Aysel alikuwa chini yake na kama angezingua basi angemnyoosha.

Mwanaume akamsaidia Megan kutoka kitandani na kuanza kumpeleka nje ili awe ndani ya gari mpaka Aysel alipomaliza kuichemsha dawa ile. Megan akakumbusha kwamba huenda angehitaji kujipulizia marashi fulani ya kuficha harufu yake ili asiweze kufuatiliwa hata watu wa Robby wakija hapo, lakini Draxton akamwambia hakuhitaji kuogopa kwa kuwa sasa asingemwacha, na kama wale wapuuzi wangewafata popote pale angehakikisha hawarudi walikotoka.

Kwa sababu sasa ilikuwa wazi kwamba Draxton aliwindwa pia, ilikuwa lazima kwa mwanaume huyu kuhakikisha kwamba hata kama atafikiwa na maadui zake basi watu walio upande wake wanakuwa salama. Kwanza angetakiwa kummiliki Aysel ili uvutano wowote uliobaki baina yake na Robby utoweke, kisha ndiyo angemsaidia Megan kuongeza nishati ya kumpa nguvu ili awaunganishe yeye na Darla. Endapo kama jambo hilo halingefanikiwa basi angetumia njia mbadala kumpata Darla na mwanaume yule, njia ambayo hakujua ingekuwa ipi.

Aysel alipomaliza kutengeneza dawa akaiweka kwenye chupa ya kioo na kwenda nayo kwenye gari, naye Draxton akaliondoa hapo na kuanza kuelekea upande ule walioishi. Aysel alikuwa anamwambia jamaa kwamba kurudi pale kwenye zile nyumba halingekuwa wazo zuri kwa kuwa bila shaka zingekuwa zinaangaliwa na wabaya wao, naye Draxton akasema alijua hilo, lakini kwa wakati huu wasingeweza kuzivamia pale kutokana na kuwa chini ya uangalizi wa maaskari.

Mwanaume alijua kama huyu Robby hakutaka mapolisi au watu wa mamlaka za juu wafatilie biashara zake basi angekuwa makini kuwaambia watu wake wakae mbali na sehemu kama hiyo ambayo tukio lenye kuvuta uangalifu wa maaskari lilikuwa limeshatokea. Mbali tu na hilo, Draxton hakuwa na sehemu nyingine aliyoifahamu kwa huku ya kuwapeleka wanawake hawa, hivyo nyumba ya Mark ilikuwa uchaguzi wa pekee; angalau kwa sasa.

★★

Dakika kama ishirini tu nao wakafikia eneo la nyumba zile. Draxton alikuwa ameendesha gari kwa ustaarabu tu, na ilionekana kwamba mtaa wote ulikuwa na hali ya utulivu kwa wakati huu; hata baadhi ya watu na watoto wangeonekana nje kuthibitisha kwamba walihisi kuwa na usalama.

Gari hilo lilipozifikia nyumba za Darla na Mark, watatu hao wakaona namna zilivyozungushiwa kanda ndefu za njano kwa ajili ya vizuizi, hususani nyumba ya Darla, ili mtu yeyote asiingie. Hiyo ilimaanisha zilikuwa chini ya uangalizi wa maaskari bado, lakini kwa muda huo hawakuwepo sehemu hiyo, hivyo Draxton akalipitisha gari kuzungukia upande wa nyuma wa nyumba ya Darla, naye akawaambia wanawake kwamba angelipeleka gari mitini na kuliacha sehemu iliyofichika halafu angerejea. Aysel alitakiwa kumpeleka Megan kwenye nyumba ya Mark na kuingia kupitia nyuma dirishani kwenye chumba cha Draxton, na akamsihi kuwa mwangalifu asiingie upande mwingine wa nyumba hiyo mpaka yeye Draxton afike.

Wanawake wakaanza kwenda, naye Draxton akalipeleka gari mitini zaidi ili alifiche kwa muda huu. Akapata nafasi nzuri ya kuliweka kisha akaanza kurudi nyuma. Alikuwa makini kuchezesha hisi zake ili aone ikiwa kuna hatari yoyote kuzungukia eneo hilo, na baada ya kuhakikisha hakuna mnyapiaji, akaingia ndani ya nyumba ya Mark na kuwakuta wanawake wakiwa chumbani kwake.

Megan alikuwa ameketi kitandani, huku Aysel akinusa huku na huko kama vile anatafuta kitu. Draxton akayaangalia mazingira ya hapo ndani na kutambua kuwa kuna watu waliingia, bila shaka maaskari, naye akaanza kuitafuta simu yake bila kupata mafanikio. Akielewa kwamba ingekuwa mikononi mwa polisi, akaamua kuachana nayo na kumfata Megan, naye akamwambia kwamba alihitaji muda mfupi wa kuwa pamoja na Aysel kisha ndiyo angekuja kwake, kwa hiyo akamwambia apumzike kitandani hapo. Megan akatii na kujilaza kabisa, akionekana kuchoka, na ni wakati huu ndiyo mvua ikaanza kunyesha nje.

Mwanaume akalifunga dirisha vizuri na kufunika mapazia, naye akamtazama Aysel; aliyekuwa amesimama tu usawa wa mlango akionekana kusubiri ukombozi wake. Draxton akamfata hapo na kumwambia wanatakiwa kwenda kwenye chumba kingine ndani hapo, kile chumba cha chini zaidi (basement), kisha akamwongoza kukielekea. Alikuwa makini kuona kama kuna mitego ya kamera au kitu kingine chochote sehemu hii, kisha wakaingia pamoja chini kule na kusimama usawa wa zulia lile zito lililotandikwa sakafuni.

Aysel akamgeukia na kumtazama machoni kwa umakini, kisha akauliza, "This where you claimed Darla? (Humu ndiyo ulipommiliki Darla?)"

Draxton hakujibu, bali akawa anamwangalia tu mwanamke huyo. Nywele nyeusi za Aysel zilionekana kung'aa kiasi kwenye chumba hicho chenye ugiza, na mwanaume akawa anakumbukia yote kuhusu mwanamke huyu.

Alikuwa aina ya mtu ambaye angefanya lolote kupata alichotaka na hivyo kuwasaliti hadi marafiki zake kipindi cha nyuma, lakini naye alipata fundisho baada ya kusalitiwa na kupoteza mtoto pia. Hapa alikuwa anataka kuwa huru, kitu ambacho Draxton alikuwa amekuja kuwapa wote waliokihitaji, kwa hiyo na yeye Aysel angemilikiwa naye haraka kisha waendelee na mchakato wa kumfikia Darla kwa msaada wa Megan.

Aysel akamgeukia mwanaume vizuri zaidi na kubaki akimtazama kama anasubiri aseme kitu.

Draxton akakumbuka namna alivyokuwa amemtendea kiukali mara kadhaa toka walipokutana, na kwa kuingiwa na huruma kutokana na shida ambazo mwanamke huyu pia alikuwa amepitia, akasema, "Listen Aysel. I need to apologise for treating you in a rude way from.... (Sikiliza Aysel. Nahitaji kuomba samahani kwa kukutendea kiujeuri kutokea...)"

"Hush now (Kimya sasa)," Aysel akamkatisha kwa sauti tulivu.

Draxton akaendelea kumwangalia tu.

"Despite everything, I know you are good person. I like how you present yourself to be accountable even for such minor things, and it shows you got what it takes to lead well (Hata kwa mambo yote, ninajua wewe ni mtu mzuri. Napenda jinsi unavyojiweka kuwa mtu mwenye kuwajibika hata kwa vitu vidogo namna hiyo, na hiyo inaonyesha una kila kinachohitajika kuongoza vizuri)," Aysel akamwambia.

Draxton akatikisa kichwa taratibu kama kusema ameelewa.

"You know... even though we are stronger than normal humans, I envy them greatly because they don't live their miserable lives like puppets on strings same as we do. No matter what we do... I think the way we have lived throughout many years is just... sad. There's no more strength in the entirety of our kind, only pain and heartbreak (Unajua... ijapokuwa sisi tuna nguvu kupita wanadamu wa kawaida, ninawaonea wivu sana kwa kuwa hawaishi maisha yao mabovu kama wanasesere wa kuendeshwa kwa kamba kama sisi tuishivyo. Nafikiri namna ambavyo tumeishi kwa miaka mingi sana ni... huzuni tupu. Hakuna nguvu yoyote iliyobaki kwenye muungano wetu, ni maumivu na kuvunjwa mioyo tu)," Aysel akamwambia Draxton kwa hisia.

"That's why I'm here. You won't have to live like puppets no more. I'm going to change that. I promise (Ndiyo sababu niko hapa. Hamtapaswa kuendelea kuishi kama watumwa hata kidogo. Nitabadili hilo. Ninaahidi)," Draxton akasema kwa upole.

Aysel akamsogelea mpaka karibu zaidi na uso wake, naye akasema, "Darla is lucky to have you for herself, or else I'd make you mine only (Darla amebahatika sana kuwa nawe kwa ajili yake, la sivyo ningekufanya uwe wangu kivyangu)."

"Well you can't. She'd kill you. So let's just add you in my pack and get on with other issues (Hauwezi kufanya hivyo. Atakuua. Kwa hiyo tufanye tu kukuingiza kwenye kundi langu halafu tuendelee na masuala mengine)," Draxton akasema.

Aysel akatoa tabasamu la kiburi, kisha akasema, "I know you wanna hurry this up, but please cut out all restrictions you have on me. I want you to f(...) me... rudely... and don't apologise about it (Najua unataka kuharakisha, lakini tafadhali ondoa vizuizi vyote ulivyonavyo kunielekea. Nataka unisugue.. kijeuri... na usiombe samahani kwa ajili ya hilo)."

Maneno hayo ya Aysel yalifanya hisi za ndani za mnyama wa Draxton zIpande, na bila kukawia mwanamke huyo akamfata mdomoni na kumpiga busu. Haya yangekuwa mapenzi ya wajibu tu, lakini Aysel alionyesha kutaka huba nzito na yenye fujo kwa namna alivyombusu na kumvulisha nguo upesi.

Draxton alimwacha tu mpaka mwanamke alipombakiza na raba pekee mwilini, kisha akaanza kuinyonya mashine yake. Huenda Aysel ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza ambaye alipeleka mambo kwa kasi sana tokea Draxton ameweza kujiendesha vyema na kufanya awahi kubadilika upesi, kwa sababu ni dakika mbili tu ndani ya mchezo huu tayari mwanaume akaingia badiliko la kati.

Aysel akasitisha zoezi lake la unyonyaji baada ya kuona ngozi ya Draxton imebadilika rangi, naye akasimama na kumwangalia usoni kwa umakini; akivutiwa na sura nzuri ya jamaa yenye unyama ndani yake. Akiwa ameelewa kwamba alimwingiza Draxton hatua nyingine, Aysel naye akaanza kuzirarua nguo alizovaa mpaka kuwa mtupu, kisha akauvuta mkono wa Draxton kuelekea lile zulia chini, halafu akageuka na kuweka mkao wa kutambaa huku akimbinulia mwanaume kalio lake kwa nyuma.

Mnyama-Draxton akawa anaangalia maumbile ya mwanamke huyo. Kiukweli alikuwa mzuri. Hakumpita Darla kwa kuumbika vizuri zaidi, lakini alitamanisha sana kumtazama namna hiyo. Kitoweo chake chenye mashavu ya pink yaliyong'aa umaji laini kilinukia kwa pua za Draxton, ikiwa kama chakula kinamwita ili kiliwe, naye akamsogelea ili aanze kutimiza wajibu wake. Akaanza kukisugusha kichwa cha mashine kwenye mwingilio wa hekalu la mwanamke huyo, naye Aysel akawa anazungusha kiuno taratibu.

Jamaa akaona asicheleweshe na papo hapo kumwingia kwa nguvu, kitu kilichofanya Aysel atoe mguno wa juu wa raha uliochanganyika na maumivu. Akaweka kiganja chake tumboni kwa Draxton kumzuia asiendelee kwanza, lakini Draxton akaukamata kwa nguvu na kuanza kumsugua taratibu. Taratibu mwanzoni, kisha akaongeza kasi huku ameushika mkono wa mwanamke namna hiyo hiyo.

Aysel alikuwa na fujo, mara kwa mara akijirudisha nyuma kwa nguvu pia ili akutane na kasi ya msuguo wa Draxton na hivyo kupigwa kwa nguvu sana, jambo hilo likifanya atoe malalamiko kwa sauti za juu. Draxton akaukamata mdomo wa Aysel kwa viganja vyake vyote ili kuuziba, kwa sababu hakutaka sauti hizo zisikike mpaka nje, lakini akaendelea kumtandika penzi namna hiyo hiyo kwa kuwa ndivyo ambavyo Aysel aliomba apewe.

Mwanamke alipandisha joto sana, akirembua macho na kuguna mfululizo, lakini hakufika pale alipotakiwa kufika ili umiliki ufanye kazi. Draxton akawaza labda amgeuze kwa mkao mwingine, naye akaitoa mashine yake ndani. Aysel akamgeukia ghafla na kumkwarua kwa makucha makali kifuani, akionekana kuwa na hasira kwa nini amekatishiwa utamu wake, naye Draxton akamshika kwa nguvu. Macho yake yaling'aa sasa, meno makali yakionekana, na hata matiti yake yakiwa yameongezeka ukubwa na idadi kuwa sita kama tu Darla, ikiwa wazi kwamba yupo katikati ya badiliko lake pia.

Akawa anamuungurumia Draxton usoni kama vile anataka kumng'ata, naye Draxton akamtishia pia kwa kukaza sura yake kihasira kama kumwambia 'tulia.' Aysel akaweka uso wa kudeka fulani hivi, naye Draxton akamsukuma kwa nguvu kumlaza chali, na mwanamke akainyanyua miguu yake hewani mwenyewe kumruhusu mpaji wake aingie kwa uhuru. Zamu hii tena Draxton akazama na kuendelea kuwasha moto, akikoleza na kukoleza tu, lakini Aysel akawa hafiki.

Ilianza kumpa mwanaume utata maana upande wake wa kinyama ulianza kulazimisha kutoka ingawa hili halikupaswa kuwa penzi lililotakiwa kuwafikisha mpaka huko. Ni sawa alikuwa na uwezo mzuri wa kujiendesha wakati huu, lakini tendo hili kwake akiwa kama mnyama lilikuwa kali zaidi kupita hali ya kawaida ya binadamu, na hivyo ingefika hatua ambayo unyama wake ungetaka kutoka ili ulifurahie tendo kwa asilimia zote. Yaani ilikuwa ni raha kama binadamu wa kawaida, lakini kama mnyama ilikuwa raha maradufu; namna tu ambavyo Darla alikuwa amemwelezea, kwa hiyo akaona atafute hitimisho la umiliki huu kabla ya hisia zake kumlazimu abadilike zaidi.

"Why aren't you releasing yourself Aysel? (Kwa nini haujiachii mwenyewe Aysel?)" Draxton akamuuliza.

Huku akiendelea kutoa miguno, Aysel akamwambia, "I need more (Nahitaji zaidi)."

"More what? (Nini zaidi?)"

"More surge of power. Hardcore Draxton (Mtikiso wa nguvu zaidi. Kitu kigumu zaidi Draxton)," Aysel akasema huku akiunguruma kimahaba.

Draxton hakuelewa vizuri maana ya maneno hayo, hivyo Aysel akamwelewesha kwa vitendo. Akaishika mashine ya mwanaume na kuitoa kitoweoni mwake, kisha akaanza kuiingiza shimoni mwake. Ndiyo, shimoni. Draxton akamtazama usoni na kuona akikunja sura kadiri alivyojiwekea mwenyewe, naye Aysel akawa anamtikisia kichwa jamaa kuwa aendelee kwa sababu hiyo kwake ndiyo iliyokuwa njia ambayo ingemfikisha walipotaka. Draxton afanye nini? Akatii.

Hii ilikuwa mara yake ya kwanza kufanya mapenzi ya namna hii, kwa hiyo kwa asilimia kubwa alimwacha Aysel aongoze mambo. Mwanamke akaomba apewe taratibu mwanzoni, kisha akataka kasi iongezwe. Kulikuwa na hisia kali ya hatia iliyomwingia Draxton kwa kujua kwamba muda ambao angetakiwa kuwa mwendoni kuwaokoa rafiki zake alikuwa anautumia kufanya jambo hili. Lakini hakukuwa na jinsi. Kummiliki Aysel ilikuwa na faida kwake kwa sababu ingemwongezea nguvu, na pia kuzuia mwanamke huyo kuchizika kama ilivyokuwa kwa Gianna.

Mwendo wa dakika kama kumi hivi naye Aysel akaanza kurusha juisi nyingi sana huku akipiga kelele kwa kushtua, naye Draxton akaihisi shoti ile mwilini mwake iliyomwongezea nguvu na kumfahamisha kwamba mwanamke alikuwa amemilikiwa. Akajitoa kwake na kusimama.

Aysel alikuwa amelala kwa kulegea chini hapo, huku manyoya yakionekana sehemu kadhaa mwilini mwake.

Draxton akasema, "It's done. Welcome to the pack (Imekamilika. Karibu kundini)."

"It's not enough my Alpha... please slide it in me once more (Bado sijatosheka Alpha wangu... tafadhali iingize ndani yangu tena)," Aysel akamwomba.

Mwanamke huyo alikuwa amejinyanyua sasa na kuegamia kwa viwiko vyake chini hapo, kisha akaiachanisha miguu yake kizembe na kuanza kujisugua kitoweo kwa kiganja huku akimtazama Draxton kwa njia ya kumvutia kwake kwa mara nyingine. Pamoja na kutamanisha kote, Draxton akaacha kumwangalia na kuvaa boksa yake.

"Come on Alpha. One more round won't kill you. You didn't even cum (Njoo bwana Alpha. Raundi moja nyingine haitakuua. Hata haujamwaga)," Aysel akasema.

"If I waste any more second, then I'll be killing Darla (Ikiwa nitapoteza muda zaidi, basi ni Darla ndiye nitakayekuwa namuua)," Draxton akamwambia.

"You'll still waste more time with Megan, so why not just.... (Hata hivyo bado utapoteza muda mwingi na Megan, basi kwa nini tu usi...)"

Maneno hayo ya Aysel yakakatishwa baada ya Draxton kupuuzia kilio chake cha kutaka mahaba zaidi na kuanza kutoka ndani ya chumba hicho cha chini. Alipoufikia mlango akamwambia Aysel aende sebuleni ili yeye amalizane na Megan, kisha akamwacha humo. Alienda kuangalia nje kupitia dirisha pale sebuleni, na eneo la hapo lilikuwa na hali ya utulivu kabisa bila mtu yeyote kuonekana kupita nje, naye akaelekea chumbani hatimaye.

Draxton alipoingia tu chumbani humo, akakuta Megan akiwa ameketi katikati ya kitanda, mwili wake ukiwa ndani ya hali iliyomwambia Draxton kwamba mwanamke huyo alikuwa katikati ya badiliko lake. Aliketi kwa kukunja miguu yake yote kati, akiwa amevua nguo zote, na mwili wake ukiwa wa blue-bahari. Mkia wake mrefu ulitikisika hewani kwenda huko na kule, naye alikaa kwa utulivu kama mtu anayetoa sala kwa kufumba macho pia.

Draxton akasogea usawa wa kitanda na kumwangalia vizuri. Kiukweli mengi ya mambo aliyokuwa amejionea huku bado yaliendelea kumshangaza kwa kadiri fulani, na kuona mtu mwenye ngozi yenye rangi kama hii ya Megan kulistaajabisha. Akaenda dirishani na kuchungulia nje tena, na ile hali ya utulivu bado ilikuwepo kwa eneo la nje, hivyo akalifunga dirisha vizuri na kumrudia Megan.

"Hey... you okay? (Ey.. uko sawa?)" Draxton akamuuliza.

Megan akafumbua macho yake na kumtazama, lakini hakutoa jibu.

"What are you doing? I thought you went to sleep (Unafanya nini? Nilidhani umelala)," Draxton akasema kwa upole.

"I slept a bit, but then had to prepare my body for you when you came. I'm trynna' put everything in me to relaxation so after you fill me with your energy, I can complete the process (Nililala kidogo, ila nikatakiwa kujiandaa kimwili kwa ajili ya wakati ambao ungekuja. Najaribu kutuliza kila kitu ndani yangu ili utakaponijaza nishati yako, nikamilishe ule utaratibu)," Megan akamwambia.

Draxton akamwangalia mwilini na kuona jinsi alivyokuwa ameanza kurejesha umbo zuri zaidi tofauti na walivyomkuta kule mgahawani kwake.

"I take it Aysel is claimed? (Nachukulia Aysel umeshammiliki?)" Megan akamuuliza.

Draxton akatikisa kichwa taratibu kukubali.

"You didn't use all your energy on her, did you? (Haujatumia nishati yako yoye kwake, au vipi?)"

"Don't worry. I saved up plenty for you (Usiwe na hofu. Nimeitunza nyingi kwa ajili yako)."

Megan akatabasamu kidogo na kusema, "Well come here (Basi njoo hapa)."

Kazi na shughuli nyingine kali kwa Draxton ikawa mbele yake. Wazo tu la kukipiga tena na mwanamke huyu likafanya asimame upesi, na kwa kuwa alitaka kuharakisha mambo ili muda mwingi usipotee, akaitoa boksa yake mwilini na kubaki mtupu kama Megan, kisha akapanda kitandani.

Mara mbili alikuwa ameshakula utamu wa kiumbe huyu, lakini hii ya tatu ilifunika zote za awali. Megan kama kawaida alionyesha papara ya kimahaba ya kutaka apewe penzi zito, na Draxton hakumnyima ujazo aliostahili. Alimsugua na kumkuna kwa muda mrefu, sauti za miguno ya kuunguruma zikimtoka Megan kadiri walivyoendelea, na Draxton alikuwa anatumia nguvu nyingi kwa mwanamke huyo kwa sababu kiwango chake cha kutosheka kilikuwa cha hali ya juu na kilihitaji kufikiwa kikamili.

Draxton akakomaa tu, akibadilisha mitindo, na akiwa katikati ya badiliko lake, na hatimaye Megan akafanikiwa kujazika nishati iliyomtosha kwa wakati huu. Yaani ilikuwa kama vile mwili wake ni betri na Draxton ndiye aliyekuwa chaja yake. Megan akajiachia kitandani huku akipumua kilegevu kuisikilizia raha ya nguvu aliyopewa, na Draxton alipoangalia mlangoni akamwona Aysel akiwa amesimama pembeni, kitu kilichoonyesha kwamba alikuwa anawatazama kwa muda fulani walipokuwa wanacheza mechi kitandani hapo. Macho yao yalipokutana kwa sekunde chache, Aysel akageuka na kuondoka, naye Draxton akashusha pumzi na kumwangalia Megan.

"How do you feel? (Unahisije?)" Draxton akamuuliza kwa sauti ya chini.

Megan akafumbua macho yake, naye akasema, "Strong (Imara)."

"Okay. That's good (Sawa. Hiyo ni nzuri)," Draxton akasema.

Megan akajinyanyua na kumwangalia mwanaume. Wote bado walikuwa upande wa kati wa unyama wao, na mwanamke huyo aliona kwamba Draxton alihisi uchovu. Akachukua chombo kile ambacho kilikuwa na ile dawa waliyotengeneza, naye akampatia Draxton ili anywe. Mwanaume akajitahidi kuinywa yote mpaka ikaisha, na kiukweli ilisisimua mwili wake wote kana kwamba alikunywa pombe kali, naye akainamisha uso tena huku akihisi ukakasi kwenye taya ndani ya mdomo.

"You feeling bad? (Unajihisi vibaya?)" Megan akauliza kwa kujali.

"The taste is awkward. But I feel... just a little tired. Your body intensely pulls something from me (Hiyo ladha haieleweki yaani. Ila najihisi... nimechoka kidogo tu. Mwili wako unavuta kwa uzito sana kitu fulani kutoka kwangu)," Draxton akasema hivyo huku akiangalia chini.

"It's the energy. Now I'll put it to good use. Let's find Darla (Ndiyo hiyo nishati. Sasa nitaitumia vizuri. Tumtafute Darla)," Megan akasema.

"How long is it gonna take? (Itachukua muda gani?)"

"It would be fast, but in this situation it will depend. Come on, I'm ready for you (Inatakiwa iwe kwa kasi, lakini chini ya hali hii itategemea. Haya njoo, niko tayari kwa ajili yako)," Megan akasema.

Alisema maneno hayo na kujisawazisha vizuri zaidi, kisha akakaa kama tu alivyokuwa amekaa mwanzoni na kuiegemeza mikono yake kwenye magoti, huku viganja vyake vikiwa wazi kumwelekea Draxton. Macho yake yakang'aa rangi ya kijani huku mkia wake ukisimama kuelekea juu na kutulia hivyo hivyo.

Draxton akihisi tambiko ndiyo linataka kuanza, akamuuliza, "What should I do? (Nifanye nini?)"

“Give me your hands (Nipe mikono yako),” Megan akasema kwa sauti makini.

Draxton akafanya hivyo. Viganja vya Megan vilikuwa vikitoa joto la kadiri, lakini baada ya sekunde chache likawa linaongezeka.

“What’s going to happen? (Nini kitatokea?)"

Swali hilo la Draxton halikujibiwa, kwa kuwa sasa Megan alikuwa amefumba macho yake akionekana kuelekeza umakini wote kwenye jambo hilo la kumuunganisha Draxton na mwenzi wake. Nywele za Megan zikaanza kutoa mwanga kana kwamba zilimulika kama tochi, naye Draxton akaendelea kumtazama kwa utulivu. Uchawi wa mwanamke huyo haukuhitaji matunguli, bali utulivu tu wa kiakili kutumia nguvu alizokuwa nazo baada ya kupatiwa utamu kutoka kwa Alpha wake.

Zikapita kama dakika mbili za ukimya, na kwa utulivu huo, Draxton aliweza kusikia sauti za vyombo kutokea kule sebuleni na kuelewa kwamba Aysel alikuwa akijitengenezea au kuwatengenezea wote chakula, na ndipo akaanza kuona mwanga wa kwenye nywele zake Megan ukipungua. Mikono ya Megan ikawa ya moto zaidi, naye Draxton akahisi mvuto fulani kichwani kwake uliomtia kizunguzungu na kusababisha afumbe macho kwa nguvu.

Kidogo tu akahisi viganja vya Megan vikimwachia, naye akafumbua macho na kukuta mwanamke huyo akiwa amerudia hali ya kawaida kimwili, na akipumua kiuchovu. Draxton hakuelewa ikiwa sakata hili lilifanikiwa au la, naye akataka kumshika begani ili amsemeshe lakini Megan akajirudisha nyuma upesi na kunyanyua kiganja chake kumzuia asimguse.

"Don't touch me... I'll siphon your energy forcefully (Usiniguse... nitaivuta nishati yako kwa kulazimisha)," Megan akasema kivivu.

"Are you okay? (Uko sawa?)" Draxton akamuuliza kwa kujali.

"I'll be fine. Focus on your mate (Nitakuwa sawa. Kaza fikira kwa mwenzi wako)," Megan akamwambia.

Kauli hiyo ikamfanya Draxton atambue kuwa zoezi hilo lilikuwa limefanikiwa, na sasa angetakiwa kuelekeza umakini wake kwa mwenzi wake. Lakini kichwa chake kikaingiwa na jambo fulani jipya kabla hajaanza kufanya hivyo. Ilikuwa kama anasikia mtu akisali, sala iliyotolewa kwa sauti tetemeshi ya chini, na hata ingawa Draxton alitarajia matokeo ya upesi katika jambo alilofanya na Megan, ilimchukua sekunde kadhaa kutambua kwamba sauti hiyo ilikuwa ya Darla.

'Darla?' Draxton akatumia akili kuita hivyo.

Sala ya Darla ikakatishwa, naye Draxton akasikia sauti ya mwenzi wake kichwani ikiita, 'Draxton?'

Mapigo ya moyo wake Draxton yakaanza kudunda kwa kasi zaidi baada ya kuwa amempata mwenzi wake hatimaye, akifarijika kujua kwamba mwanamke wake alikuwa hai, naye akafumba macho na kutabasamu kwa kuhisi faraja moyoni.


★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA KUMI NA TISA

★★★★★★★★★★★★★★★★


Draxton alihisi faraja sana kumpata Darla hatimaye, lakini hiyo ilikuwa kiakili tu. Angetakiwa kufanya kila kitu kuhakikisha anamfikia na kumtoa katika hali aliyokuwa chini yake.

"Yes... it's me Darla (Ndiyo... ni mimi Darla)."

Draxton akajibu hivyo baada ya Darla kuitikia mwito wake wa kiakili. Angesema nini kingine? Lakini maneno hayo hakuyatuma kwa Darla kupitia akili, bali alikuwa ameyatamka kabisa, na Darla akawa amemsikia.

'For real? (Kiukweli kabisa?)' sauti ya Darla ikasikika.

"Yes, it's me. Nobody else other than me communicates with you through the mind, right? But now it's not just the mind, I'm actually talking and you can hear me! (Ndiyo, ni mimi. Hakuna mwingine tofauti nami azungumzaye nawe kupitia akili, sivyo? Lakini wakati huu siyo akili tu, ninaongea kabisa na unaweza kunisikia!)" Draxton akaongea kwa shauku kiasi.

Megan bado alikuwa kitandani hapo, akimwangalia jamaa kwa umakini.

"Really? How? (Kweli? Kivipi?)" Darla akauliza.

"I'll explain later. Darla... where are you? Are you okay? I... I need to know where that bastard is keeping you... did he hurt you? I swear to God I'm gonna kill him if he's done anything to you... (Nitaeleza baadaye. Darla... uko wapi? Uko sawa? Nina... ninahitaji kujua ni wapi huyo mpumbavu amewaweka.. amekuumiza? Naapa kwa Mungu nitamuua endapo kama amekufanya jambo lolote lile...)"

Draxton akawa anazungumza kwa hisia sana kuonyesha jinsi alivyomjali mno Darla, naye Megan akaangalia chini kiasi.

"I'm okay Draxton... (Niko sawa Draxton...)"

"Tell me where you are, I need to come to you... (Niambie uko wapi, nahitaji kuja huko ulipo)"

Draxton akiwa ameongea maneno hayo tayari alikuwa amekiacha kitanda na kwenda kuchukua nguo avae upesi, huku Megan akimwangalia bila kuacha.

"Draxton no, don't... (Draxton hapana, usifanye hivyo)" Darla akasema hivyo.

"What? Why? (Nini? Kwa nini?)" Draxton akamuuliza kwa mshangao.

"It's too dangerous (Ni hatari sana)."

"Are you seriously saying that to me? (Hivi kweli kabisa unaniambia mimi hivyo?)" Draxton akauliza tena.

"Please believe me, it's not... it's not safe. Don't come. Just let it go (Tafadhali niamini, siyo... siyo salama. Usije. Achana tu na jambo hili)," Darla akamwomba, kwa sauti iliyoonyesha huzuni sana.

"You must be going crazy (Utakuwa umeanza kuchanganyikiwa wewe)."

"Please Draxton... (Draxton tafadhali...)"

"This is no time to joke around, I'm coming to get you no matter what. Do you understand? I'm your Alpha, and I demand you to tell me where you are (Huu siyo muda wa utani, ninakuja kukuchukua haijalishi kuna nini. Unaelewa? Mimi ni Alpha wako, na ninakutaka uniambie ni wapi ulipo sasa)," Draxton akasema kwa mkazo.

Hata kama ombi la Darla lingepatana vipi na akili, kwa Draxton lilikuwa limegonga miamba ya masikio yake. Tayari kuna kitu kilichokuwa kikimsukuma atoke hapo upesi na kwenda kurudisha mali yake iliyoibiwa, kisha ampe huyo Alpha mwingine dozi aliyostahili.

Hakusikia jibu likitolewa upesi, na ile ametaka kumuuliza tena mwenzi wake, sauti ya kishindo chepesi kilichotokea sebuleni ikavuta umakini wake. Ilifuatwa na miungurumo fulani ya kinyama iliyokuwa na ugeni masikioni kwa Draxton, naye akamwangalia Megan kukuta uso wa mwanamke huyo ukionyesha hofu kiasi.

"Aysel!" Megan akasema hivyo kwa njia ya tahadhari.

"Stay here (Kaa humu humu)," Draxton akamwambia Megan.

Upesi akatoka chumbani humo, akiwa amefanikiwa kuvaa bukta pekee huku kifua chake kikiwa wazi. Akafika sebuleni pale na kukuta hali mpya, na mbaya.

Mlango wa kuingilia ndani hapo ulikuwa wazi, na kundi la mbwa-mwitu sita lilisimama kuzungukia sebule. Aysel alikuwa chini kwa kile kilichoonekana kuwa amesukumwa na kudondoka, na mbwa-mwitu hao wakamtazama Draxton kwa hasira za wazi kabisa. Aysel alionekana kuwa na maumivu makali kwa sababu sehemu za miguu na mgongo zilikuwa zimekwanguliwa vibaya sana na hivyo hakuweza kunyanyuka upesi, bali akawa anatoa kilio cha chini kwa kuugulia maumivu aliyohisi.

Draxton akakasirika sana. Yaani zaidi ya sana. Adhabu aliyokuwa nayo akilini ya kuja kumpatia huyo Alpha mwingine ikaingia kwenye mfumo wake wote wakati huu kumtaka awaonyeshe vijakazi hao yeye ni nani. Alichukia sana namna ambavyo Robby alijikweza mpaka kufikia hatua ya kuja kwenye himaya yake mpya na kuwasumbua watu wa kundi alilokuwa akijenga. Kama walifurahia kuwaumiza wenzao basi na yeye angewaonyesha mfano wa maumivu ili wayafurahie zaidi. Akatoa muungurumo kwa sauti ya chini, na mbwa-mwitu hao wakaunguruma pia kwa kitisho.

"What's going on? (Nini kinaendelea?)"

Sauti ya Darla ikasikika ikimuuliza hivyo, lakini Draxton hakujibu kwa sababu shambulizi la kwanza kutoka kwa mbwa-mwitu adui lilimfata upesi. Yeye hakuwa amebadilika kuwa mnyama kabisa, hivyo akajirusha hewani na kujizungusha kwenye mwili mkubwa wa mnyama huyo mpaka kumkamata shingoni, kisha akajibinua sarakasi kwa mbele huku akiwa bado ameishika shingo hiyo nene na kumrusha kwa nguvu sana ukutani. Alimbamiza kwa nguvu mno mpaka pakatikisika na kudondosha vifaa vingi vilivyoning'inizwa, na mbwa-mwitu huyo akajinyanyua na kusimama ingawa alikuwa ameumia.

"Draxton... you aren't strong enough... whatever's going on, just get away from it (Draxton... hauna nguvu za kutosha... chochote kile kinachoendelea, jiondokee tu hapo)."

Sauti ya Darla ikaendelea kumsihi namna hiyo, lakini ilikuwa kuchelewa kumshawishi mwanaume aache. Mbwa-mwitu wanne wakamrukia kwa pamoja na kwa nguvu sana, naye Draxton akawa amewaachia wamrarue tu namna walivyotaka. Walimnyafua hapa na pale mpaka ilipobaki sehemu ndogo ya mwili wake pamoja na damu nyingi, na kwa kudhani wamemmaliza, wakamgeukia na Aysel ili wampe kifo pia.

Mwanamke huyo alikuwa ameshambuliwa kwa kushtukiza sana, hivyo alihitaji kuponyeka kwanza kwenye majeraha yake ili ajibadilishe kuwa mnyama na kupambana pia. Lakini muda haukutosha. Akidhani kwamba habari yake ilikuwa kwisha, akawa anawaungurumia kwa hasira pia huku akijivuta nyuma, na mmoja wa mbwa-mwitu wale akamfata kwa kasi kukielekea kichwa chake. Aysel akafumba macho kwa kujua angenyofolewa kichwa, lakini akashtushwa na sauti ya kilio cha mbwa-mwitu huyo kilichofuatwa na kishindo cha hali ya juu.

Kufumbua macho yake ndiyo akakuta wale mbwa-mwitu wengine wakigeukia mbele, na hapo alikuwa amesimama mbwa-mwitu mwingine mweupe kabisa na mkubwa sana. Aysel akamwangalia kwa umakini na kumtambua. Ilikuwa ni Draxton ndani ya miguu minne!

Upande wa dirisha la sebule ulikuwa umebomoka kabisa, na yule mbwa-mwitu aliyetoa kilio alionekana kulala tuli kwa kule nje. Mbwa-mwitu wa Draxton alikuwa amemrusha huko kabla tu hajakinyofoa kichwa cha Aysel, naye sasa akawageukia wale wengine. Walionekana kushangaa, lakini wote kwa pamoja wakamfata na kumrukia Draxton mnyama.

Ilikuwa ni kama Draxton aliuachia mwili wake wa kinyama uongoze kila kitu wakati huu. Alipambana na mbwa-mwitu hao kama amerukwa na akili, asijali nini kimeharibika na nani ameumia. Ilikuwa ni kukwepa, kurarua, kunyafua, na damu nyingi sana ziliruka huku na huko lakini hazikuwa zake. Akiwa namna hii, hata Aysel aliogopa.

Mbwa-mwitu watano wakawa wanne, kisha watatu, wawili, mpaka alipobaki mmoja. Draxton akamvunja miguu yote huyo aliyebaki na kumrusha upande wa jikoni, kisha akamgeukia Aysel. Wakati huu mwanamke huyu alikuwa ameshaanza kuponyeka sehemu za majeraha yake, naye akasimama huku damu nyingi ikiwa imemrukia na yeye pia.

Mnyama-Draxton akaanza kumfata taratibu, akiwa anaunguruma kwa sauti ya chini na endelevu, huku manyoya yake meupe sasa yakiwa mekundu kwa kufunikwa na damu za maadui wake. Aysel alikuwa anatetemeka kiasi kutokana na kutoelewa jinsi gani Draxton alirudi kuwa mnyama wakati aliona wale mbwa-mwitu walipomrarua mara ya kwanza, kwa hiyo hangemsoma haraka mnyama huyo alikuwa akimfata kwa nia gani. Lakini alikuwa tayari kwa chochote kile kwa sababu aliamini huyo kwa sasa ndiyo alikuwa kiongozi wake.

Akapiga goti moja chini na kumwinamia kwa njia ya heshima, na mnyama huyo akamfikia karibu zaidi. Pumzi zake zilikuwa zikipuliza nywele za Aysel ingawa zililowana kiasi, naye akatoa ulimi na kumlamba taratibu upande mmoja wa uso. Aysel akanyanyua uso na kumtazama, akitoa tabasamu hafifu la ahueni, na kwa sauti ya chini akasema, "Thank you (Asante)."

Draxton akiwa bado ndani ya unyama wake kamili, akageukia upande wa pili wa nyumba na kumwona Megan akiwa amesimama usawa wa ukuta; akimtazama kwa kustaajabu kiasi. Hii ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kwake kumwona Draxton ndani ya umbo la mbwa-mwitu kamili, naye Draxton akaanza kujirejesha mdogo mdogo kuwa na umbo la kibinadamu. Mifupa yake ilitoa sauti ya juu ya kujikunja na kujinyoosha mpaka alipofanikiwa kurejea hali yake ya kawaida, naye akakaa chini huku akipumua kiuchovu.

Aysel pamoja na Megan wakamfata hapo chini na kuanza kuangalia mahitaji yake, lakini akasema alikuwa sawa hivyo wasiwe na wasiwasi. Miili ya mbwa-mwitu watatu ambao waliuliwa bila kuchanwachanwa ilirudia hali ya watu wa kawaida, yaani maiti za kawaida, kutia ndani na yule wa kwanza aliyetupwa nje, na wale wengine walitapakaza vipande-vipande vya mifupa na manyoya ya unyama wao sehemu hiyo. Ilikuwa imegeuka kuwa sehemu ya umwagaji wa damu upesi sana, ikieleweka kwamba haingechukua muda mrefu eneo hilo kujawa na mashuhuda.

"Are you really okay? What happened? (Uko sawa kweli? Nini kimetokea?)"

Maswali hayo yalisikika kichwani kwake kutoka kwa Darla, naye akasema kwa sauti ya chini, "Some wolves came here (Kuna mbwa-mwitu wamekuja hapa)."

Megan na Aysel wakamwangalia usoni.

"Did they attack you? Are you hurt? (Wamekushambulia? Umeumizwa?)" Darla akauliza.

"They're dead, and we're fine (Wamekufa, nasi tuko sawa)," Draxton akasema.

"Who's with you? (Nani yuko nawe?)" Darla akauliza.

"Who are you talking to? (Unaongea na nani?)" Aysel akakatisha mazungumzo ya Draxton na Darla kwa kuuliza hivyo, kwa sababu kwa hapo ilionekana kama vile mwanaume anaongea peke yake.

"It's Darla (Ni Darla)," Megan akampa Aysel jibu.

"Through the link? (Kupitia ule uunganishaji?)" Aysel akauliza.

Megan akatikisa kichwa kukubali, na wote wakamwangalia mwanaume tena.

"Hhh... Darla... tell me where you are. I'm coming to get you (Darla niambie ulipo. Nakuja kukuchukua)," Draxton akasema kwa kukazia fikira muungano na mwenzi wake.

"I can't Draxton. I can't. I've already lost so much... I can't risk losing you too... please just go back where you came from... go be with the one you love... cause this path is no longer safe for you (Siwezi Draxton. Siwezi. Nimeshapoteza vingi sana... siwezi kujiwekea hatari ya kukupoteza wewe pia... tafadhali rudi ulipotoka... nenda ukawe pamoja na yule umpendaye... kwa sababu njia hii haina usalama tena kwako)," Darla akaongea kwa mfadhaiko.

Draxton aliweza kuuhisi mfadhaiko huo wa Darla ingawa alikuwa mbali naye sana, na hilo likamwambia kwamba bila shaka Darla alikuwa ameona na kupitia hali nyingine mbaya huko alikokuwa.

"What is she saying? (Anasemaje?)" Aysel akamuuliza Draxton.

"Where is she? (Yuko wapi?)" Megan akauliza pia.

"Nothing you say will stop me from finding you. Do you understand me? I... as your Apha... I'm ordering you to tell me your location, right now! (Hakuna chochote usemacho kitakachonizuia kukupata. Unanielewa? Mimi... kama Alpha wako.. nakuamuru uniambie sehemu uliyopo, sasa hivi!)" Draxton akasema.

"I'm sorry Draxton... (Samahani Draxton...)"

"I don't want your sorry, tell me where you are.... Darla! (Sihitaji samahani yako, niambie uko wapi... Darla!)" mwanaume akaongea kwa sauti ya juu.

Ukimya uliofuata katika muungano wake wa kiakili ukamwambia Draxton kwamba Darla alifanya jambo fulani kuukatisha ili mawasiliano hayo yasiendelee.

"Darla.... Darla... Darla don't you dare shut me out, you hear me? Darla? God.... Darla! (Darla... Darla... Darla usithubutu kunizimisha mimi, unanisikia? Darla? Mungu... Darla!)"

Draxton akawa anaita kwa hisia sana, lakini kuanzia hapo hakupata majibu tena. Akafumba macho na kukaza meno yake kwa nguvu.

"Darla doesn't wanna be found? (Darla hataki kupatikana?)" Aysel akauliza.

"Draxton... what's happening? Why would she... (Draxton... nini kinatokea? Kwa nini ame..)" Megan akawa anataka kuuliza.

"We went through all this shit just so your beloved queen could f(...) us out? Why is she being such a bitch? (Yaani tumepitia haya yote ili tu malkia wako kipenzi atutolee nje kijinga? Mbona anakuwa anatenda kimalaya namna hiyo?)" Aysel akalalamika.

"Aysel..." Megan akamwita ili kumzuia asiendelee kuongea namna hiyo.

"What? It's true. You and I almost died Megan. Mark, Edmond and Gia are probably dead by now. Have you forgotten about your siblings who are there too? Look at this mess. Our Alpha here is pretty banged up, all for her, and she chooses to shut him out. Really? Get the f(...) out of my face Megan! (Nini? Ni kweli. Wewe pamoja nami nusu tufe Megan. Mark, Edmond na Gia huenda wameshauawa kufikia sasa. Umeshasahau kwamba kuna ndugu zako huko pia? Angalia huu uchafu wote. Alpha wetu hapa amepigika kweli, yote kwa ajili yake, halafu yeye anachagua kumzimisha. Kweli? Hebu toka usoni kwangu Megan!)" Aysel akasema kwa kuudhika.

"Oh, so now you care so much about all of us, huh? Huge part of this mess is caused by you, you know (Oh, kwa hiyo sasa hivi ndiyo unajali sana kuhusu sisi wote, eti? Sehemu kubwa ya haya matatizo imesababishwa na wewe, unajua)," Megan akamwambia.

"Yes I've done a lot of mistakes, but you'll not blame me for this! I only wanted to be apart of Draxton's pack and would have supported him in rescuing Darla too. How's she not wanting to be helped my fault? (Ndiyo nimefanya makosa mengi sana, lakini hautanilaumu kwa hili mimi! Nilichofanya tu ilikuwa kuingia kwenye kundi lake Draxton na ningemuunga mkono katika suala la kumwokoa Darla pia. Ni makosa yangu kivipi yeye kutotaka msaada?)" Aysel akaongea kwa hasira.

Megan akampuuzia na kumwambia Draxton, "Draxton, pull yourself together. We need to get out of here (Draxton, jiweke sawa kimwili. Tunahitaji kuondoka hapa)."

Draxton bado alikuwa ameinamisha uso wake na kufumba macho, asiwe na chochote cha kusema wala kufanya.

"She's right Draxton. It's big of a scene here, the police will get here fast (Yuko sahihi Draxton. Ni jambo kubwa sana limejionyesha hapa, maaskari watafika hapa upesi)," Aysel akasema pia.

Megan akamshika jamaa usoni kwa huruma, akiona jinsi alivyofadhaika mno.

"Draxton please... let's get outta here. We don't even have time to move these bodies. Thanks to Robby sending his goons here now our secret will definitely come out. The officials will waste no time in finding us and then the next thing you know, we are bombed out of existence. All this life we've led up to now seems like just... utterly bullshit. We've lost. Just accept that and save what you have, instead of clinging into something that is already gone. Please (Draxton tafadhali... tuondoke sehemu hii. Hatuna hata muda wa kuiondoa miili hii. Shukrani kwa Robby kuwatuma wahuni wake hapa sasa bila shaka siri yetu itafichuka. Watu wa mamlaka hawatapoteza muda kutupata na kitakachofuata, ni sisi wote kupigwa bomu litakalotuondoa maishani mwote. Haya maisha tuliyoendesha mpaka sasa yanaonekana kuwa... upuuzi mtupu. Tumepoteza. Kubali hilo tu na uokoe kile ulichonacho, badala ya kung'ang'ania kile ambacho kimeshapotea. Tafadhali)," Aysel akazungumza kwa kusihi.

Maneno ya Aysel yakamfanya Draxton afumbue macho. Alionekana kutafakari kitu fulani kutokana na kauli moja ambayo Aysel aliisema, naye Megan akaishika shingo yake taratibu.

"Aysel may be harsh, but she's right. We have to leave... now (Aysel anaweza akawa mkali kimaneno, lakini yuko sahihi. Tunahitaji kuondoka... sasa hivi)," Megan akamsemesha kwa sauti ya upole.

Lakini Draxton akageuza uso wake na kutazama upande wa jikoni, macho yake yakiwa makini sana.

"Draxton..." Megan akamwita.

Mwanaume akasimama na utupu wake bila kusema lolote, na wanawake hao wakasimama pia huku wakimwangalia kwa umakini. Yeye Draxton akaanza kuelekea jikoni pale, ambapo muda mfupi nyuma alimtupa mbwa-mwitu mmoja kwa nguvu sana.

Aysel alikuwa amempa wazo aliposema kuhusu Robby kuwatuma watumishi wake hapo. Ikiwa aliwatuma basi bila shaka wangekuwa wanajua yeye Robby yuko wapi, na mahala ambapo Darla alifichwa. Draxton aliweza kusikia sauti za chini za pumzi ya kuhangaika kutokea jikoni huko kumaanisha bado mtu-mwitu huyo alikuwa hai, na yeye ndiye ambaye angempatia taarifa hizo kutokana na Darla kukataa kumwambia.

Akaenda mpaka sehemu iliyokuwa na sinki la chini lenye kabati za kutunzia vyombo na kumkuta aliyekuwa mnyama ameshageuka kuwa mwanaume kijana, lakini hakuwa na mikono wala miguu, huku damu nyingi ikiwa imemtoka na akionekana kuwa karibu zaidi kuuaga uhai.

Draxton akamsogelea hapo chini na kumshika shingoni, kisha akasema, "Your leader sent you here, and now it's costing you of your life. I want to end his tyranny and not caring about the welfare of his people. He treats you as nothing but mere puppets, and that is not right. So I need you to tell me where he is, and where he's keeping my Luna. I care for her deeply. Help me so I can save her, and everyone whom you might care about too. Please (Kiongozi wako amekutuma uje hapa, na sasa jambo hilo limechukua gharama ya maisha yako. Nataka kukomesha utemi wake na kutojali hali nzuri za watu wake. Anawatendea kama wanasesere tu, na hiyo haifai. Kwa hiyo ninaomba uniambie yuko wapi, na ni mahali gani amemweka Luna wangu. Ninamjali sana. Nisaidie ili nimwokoe yeye, pamoja na wote ambao wewe unaweza ukawa unawajali pia. Tafadhali)."

Mwanaume huyo alijaa damu tu usoni, macho yake yakiwa yamefumba asionekane kuwa mtu anayeweza kutoa jibu.

Aysel akasikia watu wakianza kukusanyika nje, naye akasema, "This is a waste of time. Please, please let's get out of here (Huku ni kupoteza muda tu. Tafadhali, tafadhali tuondoke hapa)."

"Draxton..." Megan akamwita kwa kusihi.

Draxton akahisi kughafilika sana, na bado hakutaka kukata tamaa lakini alielewa kwamba usalama wa Megan na Aysel ungetakiwa kupewa kipaumbele kwanza. Akamwangalia mwanaume huyo na kumwomba samahani fupi tu kwa kumuumiza namna hiyo, naye akanyanyuka na kuwaonyesha wanawake ishara ya kichwa kuwa waondoke. Ile tu wamegeuka...

"Community... center..."

Wote kwa pamoja wakamgeukia tena mwanaume huyo, ambaye ndiye aliyekuwa ametamka maneno hayo kwa sauti ya chini sana lakini yakasikika kwao vyema. Ni baada tu ya yeye kusema hivyo ndiyo papo hapo akakata roho, na sauti za ving'ora vya magari ya askari zikaanza kusikika zikikaribia hapo.

Aysel akawahi kutoka sehemu hiyo na kwenda upande wa sebuleni, kukuta nje tayari pamejaa watu waliosogea eneo hilo wakishangaa yaliyokuwa yamejiri. Megan na Draxton wakamfikia pia, na papo hapo magari ya maaskari yakawa yamefika na kuizunguka nyumba pande zote, na watu wakisogea mbali kidogo kuwapisha.

"Shit!"

Aysel akasema hivyo na kumwangalia Draxton, na mwanaume akaanza kuelekea kule chumbani upesi. Wanawake wakamfata pia, na sasa maaskari kadhaa walikuwa wakiingia kwa tahadhari ndani ya nyumba hiyo huku wakinyoosha silaha zao mbele, na wengine waliokuwa nje wakatoa onyo kwa watu waliokuwa ndani kujisalimisha upesi la sivyo chochote kile ambacho kingejitokeza bila nia ya kujisalimisha kingetandikwa risasi.

Draxton alipoingia chumbani mule, alianza kutoa nguo chache kutoka kwenye kabati lakini hakuvaa, na zingine akawarushia Megan na Aysel.

"What are we doing? (Tunafanya nini?)" Megan akauliza.

"Alpha we're surrounded. Let's just claw out these motherfuckers! (Alpha tumezingirwa. Inabidi tu tuwararue hawa washenzi!)" Aysel akasema.

"No, we don't do that. Just change and follow my lead (Hapana, hatufanyi hivyo. Badilikeni tu kisha mnifuatishe nitakachowaongoza kufanya)," Draxton akasema.

"Wait... change how? (Subiri... tubadilike kivipi?)" Megan akauliza.

"Wolf out (Kuwa mbwa-mwitu)," Draxton akasema.

Wanawake wakaangaliana kimaswali.

Draxton akaziweka nguo zake chini, kisha akaitoa na ile cheni aliyopatiwa na Namouih, ambayo alikuwa ameitunza ndani ya bahasha ndogo sana, naye akaifungasha kwenye moja ya nguo alizoweka chini. Wanawake wakaendelea kumtazama tu, naye akatumia nguvu ya kujigeuza kuwa mnyama tena kwa kasi sana. Kishindo alichotoa kikawashtua maaskari, nao wakaanza kuelekea upande wa vyumbani. Draxton akiwa mnyama sasa, akaziokota nguo zile kwa mdomo wake, kisha akawatazama wanawake kwa umakini.

Kwa kuelewa sasa maana yake, Megan na Aysel wakajibadili pia kuwa mbwa-mwitu wakubwa, nao wakaziokota nguo kwa midomo yao. Megan alikuwa mnyama mwenye utofauti kiasi, akiwa kama mbwa-mwitu mwenye sura ya mbweha. Masikio yake yalikuwa marefu zaidi, na manyoya yake yenye rangi ya blue-bahari mchanganyiko na nyeupe hayakuwa mengi sana, akimzidi mbwa-mwitu wa Aysel urefu kidogo. Maaskari wakaingia chumbani humo kwa kasi kubwa baada ya kuvunja mlango, na ndiyo hapo hapo Draxton, Megan, na Aysel wakabomoa kuta za pembeni na kuruka nje kwa nguvu sana!

Maaskari walishtushwa sana na walichokiona na kubaki wamepigwa na butwaa. Draxton akawaongoza wanawake wake kwa spidi kali kuelekea mitini, na hata wale maaskari waliokuwa nje walishtuka sana kuona ukubwa wa wanyama hao, lakini wakajitahidi kukaza misuli yao na kuanza kuwafuatilia. Walitoa taarifa kwa viongozi wa vyombo vyao vya juu vya usalama kuhusu tukio hilo, wakisema wanashughulika na wanyama watatu wakubwa sana wenye kufanana na mbwa-mwitu ambao bila shaka ndiyo waliosababisha maafa kwenye eneo lile, kwa hiyo wakaomba vyombo vyenye silaha nzito zaidi zihusishwe katika kuwasaka.

Maaskari walijitahidi sana kuingia hadi misituni kuendelea kuwafuatilia, lakini wakaambulia patupu. Helicopter zao zilifika pia na kuanza msako kutokea angani mpaka inafika saa mbili usiku, lakini kwa eneo lote la miti walilozungukia hawakuweza kuwaona tena. Ingawa ilionekana ni kama wamepotea tu, wakazi wa mji huo walitaka suala hilo lisuluhishwe upesi na kuwaua wanyama hao kwa kuwa ile hali ya usalama iliyokuwepo mwanzoni sasa ikawa imetoweka. Sherifu wa maaskari wa mji akafikisha taarifa kwa Meya wao, ambaye naye alitoa uhakikisho kwamba kisa hicho kingekomeshwa upesi, na kwa hiyo angehitaji kuwahakikishia kwa vitendo zaidi watu wake kwamba wangekuwa salama kabisa.

Nyumba ya Darla na Mark sasa zikawa chini ya ulinzi mkali zaidi, na wawili hao wakawa wakisakwa kama wahalifu fulani sugu. Draxton pia akaunganishwa katika msako huo baada ya kugundulika kuhusiana na wawili hao. Popote pale ambapo waliwahi kugusa pangechunguzwa, kuanzia maeneo mpaka watu waliofahamiana nao, ili kujua kama walihusika kuwatunza wanyama wa aina hiyo walioonwa sasa kuwa sababu ya maiti na majeruhi wengi kujaza hospitali kwa majuma machache yaliyopita.

Siri hii ya watu-mwitu iliyofichwa kwa muda mrefu sana sasa ilikaribia kuwekwa wazi kutokana tu na ugomvi wa Alpha wawili, ambao walikuwa wametangaziana vita kwa sababu ya Luna mmoja. Moto ungezidi kuwa mkali sasa!



★★★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA ISHIRINI

★★★★★★★★★★★★★


Draxton, Megan, na Aysel wakiwa ndani ya miili yao ya u-mbwamwitu, walikuwa wamekimbilia sehemu za ndani zaidi za msitu baada ya kukutwa na maaskari nyumbani kwa Mark. Kasi waliyokuwa nayo iliwaacha mbali watu hao wa usalama, nao wakajikuta wakiingia upande mwingine wa mji huo kuelekea kule katikati ya jiji la North Carolina.

Giza lilikuwa limeshaingia na kufanya miti iwafiche vyema, lakini walielewa kwamba hawangeweza kuendelea kujificha namna hiyo baada ya kusikia milio ya helicopter zilizojiunga kwenye msako dhidi yao. Hivyo Draxton akawaongoza wanawake kujibadili na kuwa wanadamu kawaida, nao wakavaa nguo zile walizokuwa wamebeba midomoni walipotoka kwa Mark.

Draxton alivaa T-shirt lenye muundo kama sweta lenye kifunikio cha kichwa, pamoja na suruali nyeusi ya jeans, na shingoni akaivaa ile cheni aliyopewa na mpenzi wake wa Tanzania. Megan na Aysel walivalia T-shirt za aina hiyo hiyo pia pamoja na bukta fupi zilizowafaa, ingawa zilikuwa za kiume kutokana na nguo zote kuwa za Draxton. Hawakuwa na viatu, na wanawake walihisi kiu sana.

Draxton akawasihi watoke mitini na kujiingiza maeneo yenye watu ili kutafuta sehemu ya muda mfupi ya kupumzikia, lakini ndiyo kulikuwa na suala la kujua ni wapi ambapo wangeenda. Aysel hakujuana na yeyote wa kumsaidia katika hali kama hii, Megan hakuwa na sehemu nyingine pia ya kwenda, na Draxton ndiyo kabisa. Kwa hiyo wangetakiwa kuzunguka peku tu huku sasa wakiwa wameshaanza kusakwa na maaskari pamoja na watumishi wake Robby.

Walipita sehemu kadhaa wakitembea kwa kujihami, na baadhi ya watu waliowaona wakitembea namna walivyokuwa waliwashangaa, ila wao walijitahidi kuepuka kubaki sehemu moja kwa muda mrefu sana kuzuia kutambulika. Wakafika sehemu yenye eneo dogo la mapumziko, yaani park, nao wakaamua kutulia hapo kwa muda mfupi baada ya Megan kuonyesha kuchoka sana. Aysel akawa amefanikiwa kuiba maji chupa mbili na kuzileta kwa wenzake, naye Draxton akamwambia anywe moja na nyingine kumpa Megan.

Wanawake wakawa wanakunywa huku wamekaa kwenye benchi, yeye Draxton akiwa amesimama na kutazama mazingira yaliyowazunguka kwa umakini. Wangeonekana watu kadhaa ndani ya eneo hilo wakifanya mambo yao, na mwanaume alihakikisha kuvuta harufu zote vyema ili wakikaribiwa na wanyama wenzao aweze kuwatahadharisha wanawake.

"Alpha... what are we gonna do now? We've been exposed (Alpha... tutafanya nini sasa? Tumefichuliwa)," akasema Aysel.

"How did they even know about you? You know... they got your face on the town's news channel too (Hivi hata wamejuaje kukuhusu wewe? Yaani... wameionyesha sura yako mpaka kwenye chaneli ya mji ya taarifa za habari pia)," Megan akamuuliza Draxton.

"They got my phone when Darla got kidnapped. They must have gotten my details and suspect I'm involved in this situation (Waliichukua simu yangu siku Darla ametekwa. Watakuwa walizipata taarifa kunihusu na wananishuku kuhusika na hali hii)," Draxton akajibu.

"Alpha, we can't keep cowering like this. We have to fight. Win it or lose it (Alpha, hatuwezi kuendelea kujificha kiuwoga namna hii. Tunapaswa kupambana. Tushinde ama tupoteze)," Aysel akasema.

"We can't fight all of them Aysel. Robby knows that, that's why he sent the wolves to Darla's house so we'd grab the attention of the police. Them on our tail, Robby fucking with us, it's just a matter of time before we get toast. I think he's enjoying himself, and it sucks that we can't do anything (Hatuwezi kupambana nao wote Aysel. Robby analijua hilo, ndiyo sababu alituma mbwa-mwitu wale nyumbani kwa Darla ili tuvute uangalifu wa maaskari. Wakiendelea kutufuatilia, Robby nae kutuchezea, ni ndani ya muda mfupi tu nasi tutakwisha. Nadhani anaburudishwa sana na hili, na inakera sana kwamba hatuwezi kufanya lolote)," Megan akaongea.

"Are you listening to yourself? (Hivi unajisikia unachokiongea?)" Aysel akauliza.

"Yes, I am. And weren't you the one who was talking about us having lost already in this fight earlier? (Ndiyo, najisikia. Na si ni wewe ndiye uliyekuwa ukisema kwamba tumeshapoteza hili pambano muda mfupi nyuma?)" Megan akamuuliza pia.

"Yes I did, but I didn't say that we should go down without a fight (Ndiyo nilisema hivyo, lakini sikusema tupoteze mchezo bila kujitahidi kupambana)," Aysel akamwambia.

"What difference would it make? One way or the other, they'll finish us (Italeta utofauti upi? Kwa njia moja ama nyingine, watatumaliza tu)," Megan akamwambia.

"No, they won't. It is my duty to protect you, and I will (Hapana, hawataweza. Ni jukumu langu kuwalinda, na nitalitimiza)," Draxton akasema.

Wanawake wakamwangalia mwanaume huyo kwa umakini.

"Robby is nothing but a coward. I'm gonna find him... and end him (Robby hana lolote lile isipokuwa yeye kuwa mwoga tu. Nitampata... na kummaliza)," Draxton akasema hivyo kwa hisia kali.

"How are you planning on doing that... with everything that's going on? (Unapanga vipi kufanya hivyo... kukiwa na mambo yote haya yanayoendelea?)" Megan akamuuliza.

"Making sure you guys are safe is a first... then I'll find out where that Community center is (Kuhakikisha nyinyi mko salama ndiyo cha kwanza... kisha nitaitakifuta hicho kituo cha kati cha jamii kilipo)," Draxton akasema.

Megan na Aysel wakaangaliana, wakiwa wamekumbuka pia kwamba mmoja wa wale watu-mwitu waliotumwa kuwadhuru alinena maneno hayo kabla hajafa pale nyumbani kwake Mark, na huenda yalimaanisha ndiyo sehemu ambayo kweli huyo Robby alikuwepo na kuwaficha marafiki zao wote.

"You think Robby is at the Community center? (Unafikiria kwamba Robby yupo kwenye Kituo cha jamii?)" Megan akamuuliza Draxton.

"Well, that's what his goon said (Kihalisi, hivyo ndivyo mtumishi wake alivyosema)," Aysel akasema.

"He didn't specify it like that (Hakulielezea hilo kwa namna hiyo)," Megan akamwambia.

"That's why I need to go (Ndiyo sababu natakiwa kwenda huko)," Draxton akasema.

"How are you gonna get there? Do you even have the means to help you know where it is and how to reach it? (Utafikaje huko? Unazo hata njia za kukusaidia kupajua mahala huko na namna ya kufika?)" Megan akamuuliza.

"Yes. I think I do. I'll go there and search for anything that will get me to Darla (Ndiyo. Nafikiri ninayo hiyo njia. Nitakwenda huko na kusaka chochote kile kitakachonifikisha kwa Darla)," Draxton akasema.

Megan akasimama na kumtazama machoni kwa ukaribu, naye akasema, "You won't do this alone. What if it's a trap? (Hautanya hili peke yako. Je kama ni mtego?)"

"That will mean it's the right place where I need to be. You shouldn't worry (Hiyo itamaanisha ni sehemu sahihi nayotakiwa kuwepo. Usiwe na hofu)," Draxton akasema hivyo kwa upole.

"Of course I should worry. It could be dangerous, what if you die? (Ni lazima niwe na hofu. Inaweza kuwa hatari, je ukifa?)" Megan akaongea kwa hisia.

"Have you forgotten that I can't die? (Umesahau kwamba siwezi kufa?)" Draxton akauliza pia.

"And don't you think Darla knows that too? But even she doesn't want you to go because there might just be something that WILL kill you! (Na haufikirii kwamba Darla anajua hilo pia? Lakini hata yeye hataki uende kwa kuwa inawezekana kukawepo na kitu ambacho KITAKUUA!)" Megan akaongea kwa hisia sana.

Draxton akaangalia pembeni na kuona watu wakiwaangalia kutokana na maongezi hayo kusikika zaidi kwao, na kwa sauti ya chini akamwambia Megan, "That shouldn't stop me from doing what I came here to do. If I don't try to help you guys, then why am I even here? Who would that make me? (Hiyo haipaswi kunizuia kufanya kilichonileta huku kufanya. Nisipojaribu kuwasaidia nyinyi, niko huku kwa ajili gani sasa? Itanifanya mimi niwe nani?)"

Megan akatulia, huku machozi yakionekana kumlenga.

Aysel akatazama chini pia kwa huzuni.

"But you should have more faith. You never know... it might just... take a few seconds for me to find Darla and rescue her, kill that bastard, and free you all (Ila unatakiwa kuwa na imani zaidi. Huwezi jua... inaweza tu ika... ikachukua sekunde chache kumpata Darla na kumwokoa, kumuua yule mpuuzi, na kuwaweka nyinyi nyote huru)," Draxton akasema hivyo.

Megan akashusha pumzi na kutikisa kichwa kidogo, kisha akasema, "It's not gonna be simple. We can't lose you Draxton (Haitakuwa rahisi namna hiyo. Hatuwezi kukupoteza wewe Draxton)."

"You won't. Trust me (Hamtanipoteza. Niamini)," Draxton akamwambia.

Megan akaendelea kumwangalia kwa hisia.

Aysel akasimama pia na kusema, "We'll follow whatever you say. Just tell us what to do (Tutafuata chochote utakachosema. Tuambie tu cha kufanya)."

"Like I said, I need to make sure you two are at a safe place first. I'll do the rest (Kama nilivyosema, nahitaji kuhakikisha nyie wawili mnakuwa sehemu salama kwanza. Yanayobaki nitafanya mwenyewe)," Draxton akawaambia.

"And where is that supposed to be? (Na hiyo sehemu inatakiwa kuwa wapi?)" Megan akamuuliza.

Draxton akaangalia kwa umakini upande wa mbele kumpita Megan, na mwanamke huyo pamoja na Aysel wakatazama huko pia. Macho yake yalielekea jengo moja kubwa kiasi umbali mfupi kutokea hapo, na Megan alipoliona akawa amelitambua. Lilikuwa ndiyo lile jengo la maktaba ambayo mwanamke huyu alimwelekeza Draxton kwenda kutafuta kitabu chenye taarifa walizohitaji mapema ya siku hii, na mwanaume kutazama huko ilimaanisha ndiko alikokuwa anapanga kuwapeleka wanawake hawa kuwapa ulinzi wa muda mfupi.

Lakini Megan na Aysel wakamtazama kimaswali kiasi, wasielewe ni kwa nini angekuwa amefikiria sehemu hiyo pekee na si zingine. Yeye Draxton akawaambia wamwamini na kufuata mwongozo wake mpaka watakapofika huko, kisha kwa pamoja wakaondoka sehemu hiyo.

★★

Mwendo wa dakika kama kumi na tano ukawafikisha karibu na eneo la jengo hilo la maktaba. Iliwabidi watumie njia zilizojificha kiasi, yaani kwa kukatiza katikati ya vijia vya majengo ya eneo hilo ili wasiweze kuonwa kiurahisi mpaka walipofanikiwa kulifikia. Kulikuwa na gari moja moja za maaskari zilizopita eneo hilo kwa hiyo iliwapaswa wajifiche nyuma ya vyuma vinene vilivyobeba tenki kubwa la maji hadi yalipopitiliza kabisa, nao wakaenda mpaka kufikia malangoni.

Eneo lote la nje ya maktaba hiyo lilikuwa tulivu tu, kama kawaida yake, lakini watatu hao walipofika tu hapo kwenye milango wakakuta tayari pakiwa pamebandikwa picha za wahalifu waliohitajika kukamatwa zaidi kwa wakati huu. Ilikuwa ni picha za Darla, Mark, na Draxton. Iliwashangaza kiasi juu ya uharaka wa picha zao kubandikwa kuzungukia maeneo hayo, naye Megan akamwambia Draxton kwamba huenda kwenda ndani lisingekuwa jambo sahihi. Lakini Draxton akamwambia wangepaswa kwenda tu huko na wajitahidi kuonyesha utulivu wa hali ya juu ili wasishtukiwe na yeyote, na wanawake wakakubali.

Walipoingia ndani, sehemu pana ya hapo yenye mabenchi ilikaliwa na watu mbalimbali walioonekana kujisomea kwa utulivu. Draxton akaangalia juu upande wa ukuta uliokuwa umetundikiwa saa na kuona kwamba ilikuwa ni saa mbili iliyoelekea saa tatu usiku, naye akawaongoza warembo wake mpaka kwenye lifti ambayo ingewapeleka ghorofa za juu.

Wakafanikiwa kuingia ndani ya lifti, huku kukiwa na baadhi ya watu waliowaona wakitembea peku ndani hapo na jinsi mavazi yaliyokuwa kwenye miili ya Megan na Aysel yalivyofanya hali nzima waliyoingia nayo iwe ya ajabu. Bado wanawake hawa wawili hawakujua kusudi la Alpha wao kuwaleta sehemu hiyo lilikuwa kuwalinda kwa njia gani, lakini wangepaswa kusubiri kuona matokeo yake.

Milango ya lifti ikafunguka baada ya kuwafikisha mwisho, ikiwa ni kwenye chumba kile cha maktaba chenye ugiza ambacho siku hiyo mapema tu Draxton alikwenda kufanya utafiti wa ua fulani na kukutana na mwanadada Julia. Huyo ndiye aliyekuwa mlengwa wake.

Kama ilivyoonekana kuwa kawaida, hakukuwa na wasomaji upande huu wa maktaba hata sasa. Akaifikia meza ambayo Julia alikuwa akitumia kikazi, naye akahisi faraja baada ya kuona kwamba alikuwa hapo. Alikuwa amevalia nguo zile zile pamoja na miwani yake ya macho, akionekana kuzama kwenye usomaji ndani ya kompyuta yake.

"Hi," Draxton akasalimu baada ya kufika mbele ya meza hiyo.

"Yes, hello, how may I... (Ndiyo, habari, nawezaje kuku...)"

Maneno ya Julia yakakatishwa baada ya kumtazama mgeni wake na kukuta ni Draxton. Lakini sasa alikuwa pamoja na wanawake wengine wawili walioonekana kama ma-tom boy!

"Oh... it's you (Oh... ni wewe)," Julia akasema hivyo huku akianza kusimama.

"Yeah... I'm... back (Ndiyo... Nime... rudi)," Draxton akasema.

"Oh..." Julia akaishia kusema hivyo.

"Yes, oh is right. Who the hell is she? (Ndiyo, oh ni sahihi. Ni nani huyu mwanamke?)" Aysel akaongea kibabe.

"She's a friend (Yeye ni rafiki)," Draxton akasema.

"A.. actually... we're not really friends. I didn't know who he is... but now I know he's someone wanted by the police. If you wanna call them to get him or anything, just do it. I don't wanna be involved in any mess (Ki...kiukweli, sisi si marafiki. Sikujua yeye ni nani... ila sasa najua yeye ni mtu anayesakwa na maaskari. Kama mnataka kuwaita ili waje kumkamata ama vyovyote vile, fanyeni tu hivyo. Mimi sitaki kuhusishwa kwenye matatizo yoyote)," Julia akazungumza kwa woga kiasi.

Draxton akamtazama kwa uelewa.

"Nice friend you got here (Una rafiki mzuri hapa)," Aysel akamwambia Draxton kikejeli.

"Don't be afraid Julia. I'm not a bad person (Usiogope Julia. Mimi si mtu mbaya)," Draxton akasema kwa upole.

Julia akauliza, "Then why are the police searching for you? (Basi ni kwa nini maaskari wanakutafuta wewe?)"

"There's been a misunderstanding. Remember I told you I wanted to rescue my endangered friends? Well, the person who's a threat to them is behind this. He wants me to be targeted by the police so that I won't be able to help my friends, and he's done that by making me look like I'm the bad guy (Kumetokea hali isiyoeleweka vizuri. Unakumbuka nilikwambia kwamba nataka kuwaokoa marafiki zangu waliowekwa hatarini? Ni kwamba mtu ambaye ni tishio kwao ndiye anayefanya haya. Anataka niwekwe shabaha na maaskari ili nisiweze kuwasaidia marafiki zangu, na amefanya hivyo kwa kunifanya nionekane kama mtu mbaya)," Draxton akasema.

"How do I know you aren't lying? You were acting kinda strange even earlier... you gave me your number but it wasn't even real, was it? It made me feel you were dodging something, and now... you just show up like this... (Najua vipi kuwa haudanganyi? Hata muda ule ulikuwa unatenda kwa njia ya ajabu kiasi... ukanipa na namba yako lakini haikuwa halisi, sivyo? Ikanifanya nihisi kuna kitu ulikuwa unakwepa, na sasa... unakuja tu ghafla namna hii...)"

"What, you think he'll plow your guts out? Believe me, he would if he wanted to, but he's not like that. The police are mislead (Nini, unafikiri ataunyofoa utumbo wako wote hadi nje? Niamini, anaweza kufanya hivyo akitaka, lakini yeye si wa namna hiyo. Maaskari wameongozwa kufikiri vibaya)," Aysel akasema.

"Aysel, you're not helping. My dear, Draxton won't hurt you. He just needs your help on something (Aysel, hausaidii. Mpendwa, Draxton hatakuumiza. Anahitaji tu msaada wako juu ya jambo fulani)," Megan akasema kwa upole.

"Help you with what? (Kukusaidia na kipi?)" Julia akamuuliza Draxton.

"I need to draw a small sketch of a map that will lead me to the Community center. I don't know how to get there, even where it is, so please help me on this (Nahitaji kuchora kipande kidogo cha ramani itakayoniongoza kufikia kituo cha kati cha jamii. Sifahamu jinsi ya kufika huko, na hata sipajui, kwa hiyo tafadhali nisaidie kwa hili)," Draxton akamwomba.

"Why do you want to go there? (Kwa nini unataka kwenda huko?)" Julia akamuuliza Draxton.

"Why are you asking so many questions? (Kwa nini unauliza maswali mengi sana?)" Aysel akamuuliza Julia.

"It's where I think my friends are being held. I have to get to them before the police get to me. Please Julia... help me. I promise I'll repay you (Ndiko nadhani marafiki zangu wameshikiliwa. Nahitaji kuwafikia kabla ya maaskari kunifikia mimi. Tafadhali Julia... nisaidie. Nakuahidi nitakulipa)," Draxton akasema kwa upole.

"It's easy to throw away promises but after you get what you want I know you'll just disappear. You're using me (Ni rahisi kurusha ahadi nyingi namna hiyo lakini ukishapata utakacho najua utatoweka tu. Unanitumia tu)," Julia akamwambia.

"And again, we're wasting time. Alpha, allow me to just... break her arm or something so she'll really be of use to us (Na kwa mara nyingine tena, tunapoteza muda. Alpha, niruhusu tu... nimvunje mkono ama chochote kile ili awe msaada kwetu kikweli)," Aysel akasema hivyo kwa mkazo.

"You are really annoying (Unakera mno yaani)," Megan akamwambia Aysel.

Draxton akatoka hapo alipokuwa na kumsogelea Julia mpaka upande wake wa meza, kisha akafunua kichwa chake na kufanya nywele zake nyeupe ziwe wazi. Julia akaonekana kushangaa kiasi, lakini akaendelea tu kumtazama usoni kwa utulivu.

"If you need the guarantee that I won't cheat you, then I'll give you what you want right now (Ikiwa unahitaji uhakikisho kwamba sitakudanganya, basi nitakupa unachotaka sasa hivi)," Draxton akasema hivyo kwa sauti tulivu.

Julia akahisi mapigo yake ya moyo yakishtua kutokana na kusikia kauli hiyo, naye akauliza, "Like... right now? (Yaani... sasa hivi?)"

Draxton akatikisa kichwa kukubali.

Megan na Aysel wakatazamana machoni kimaswali.

"But... that's not... there are other women in here... (Lakini... hiyo siyo... kuna wanawake wengine humu...)" Julia akazungumza kwa sauti ya chini sana.

"Don't worry about them. They don't mind (Usijali kuwahusu. Hawana pingamizi)," Draxton akasema hivyo, akiwa ameanza kunusa harufu ya mahaba ya mwanamke huyo iliyopanda.

"So... is this supposed to be like a fetish thing? (Kwa hiyo... hii inatakiwa kuwa kama ngono ya kuabudiana ama?)" Julia akamuuliza Draxton kwa sauti ya chini.

"We can hear you! (Tunakusikia!)" Aysel akamwambia Julia.

Julia akashtuka na kumwangalia kwa woga kiasi.

"No, it won't. Just you and me. Then you help me with the map... and you secure a place for these two to stay for now (Hapana, haitakuwa hivyo. Ni mimi na wewe tu. Kisha utanisaidia kwa hiyo ramani... na upate sehemu salama kwa ajili ya hawa wawili kukaa kwa sasa)," Draxton akasema.

"What?!" Aysel na Megan wakauliza hivyo kwa pamoja.

Julia akamtazama Draxton kimaswali.

"But Draxton... (Lakini Draxton...)"

Draxton akamkatisha Aysel kuzungumza kwa kunyanyua kiganja chake kumwelekea, naye akamwambia Julia, "They are not safe either. I give you what you are craving for and you help them till I get back. They are good people... and if you want, they'll tell you everything you wanna know about us. Okay? (Hawako salama pia. Nitakupa unachotaka sana na wewe utawasaidia mpaka nitakaporudi. Ni watu wazuri... na kama unataka, watakwambia kila kitu unachotaka kujua kuhusu sisi. Sawa?)"

"Draxton what the hell are you doing? You can't... (Draxton ni kitu gani ambacho unafanya? Hauwezi...)"

Aysel alipokuwa anasema maneno hayo, Megan akamshika mkono na kumbonyeza kwa nguvu ili aone kilichokuwa kinaendelea kihalisi. Wote wakamwangalia mwanaume na kuona namna ambavyo alimtazama Julia machoni. Ilikuwa kwa njia yenye nguvu fulani kabisa, akihusisha ushawishi wa macho yake ya kiroho kumfanya Julia akubaliane na maagizo yake ingawa hakuweza kuelewa kiundani kuhusu mambo yote yaliyohusika.

Yaani, angemfanya Julia aamini kwamba kweli kila kitu kingewekwa wazi kwake baada ya kuwasaidia watu hawa, lakini ilikuwa tu ni njia ya Draxton ya kutaka kuhakikisha mwanamke huyo anawapa walichohitaji ili aweze kufanikisha alichotaka kufanya. Hakukuwa na njia nyingine maana ni kweli hawakuwa na muda wa kutosha, na kwa kuelewa hilo sasa, Aysel akatulia.

"Can you do it? (Unaweza kufanya hivyo?)" Draxton akamuuliza Julia kwa sauti ya kubembeleza.

Julia alikuwa amezama kuyatazama macho yake Draxton yaliyomfanya apumbazike kiasi, naye akatikisa kichwa kukubali. Akaigeukia kompyuta yake na kuanza kutafuta ramani iliyokuzwa ya jiji lao kutokea hapo kwenye maktaba mpaka kufikia kituo cha kati cha jamii, naye akaipata na kumwonyesha Draxton. Mwanaume akaanza kuinakili kwa njia ya kuchora kwenye karatasi, akiangalia maeneo ya kupitia mpaka huko na kumuuliza Julia vitu kadhaa kuhusiana na huko alikotaka kwenda, na mwanadada huyo akawa anamwambia yote aliyofahamu.

Baada ya kumaliza hayo, Julia akamtazama Draxton usoni, na mwanaume akamwangalia pia. "So... you got your map... and compass. What now? (Kwa hiyo... umeshapata ramani yako... na dira. Nini kinafanyika sasa?)"

Draxton akasimama vizuri na kuwaangalia Megan na Aysel, naye akasema, "Why don't you ladies go to the corner and... read a book? (Vipi nyie wanawake mkienda kwenye kona na... kusoma kitabu?)"

"Seriously? (Kweli?)" Aysel akauliza kimshangao.

Draxton akamkazia jicho kuonyesha hatanii, naye Megan akawa wa kwanza kuondoka hapo. Aysel akamfata pia mpaka upande mwingine wa chumba hicho cha maktaba na kuketi kwenye benchi moja baada ya wote kuchukua vitabu vya kusoma. Kwa sehemu waliyokuwepo, Draxton na Julia wasingeonekana, lakini sauti zao zingesikika kwa Megan na Aysel vilevile.

"Are we really gonna... do this here? (Hivi kweli tuta... fanyia hili hapa?)" Julia akamuuliza Draxton kwa haya kiasi.

"Sure. You want me, don't you? (Bila shaka. Unanitaka, si ndiyo?)" Draxton akamuuliza.

Julia akameza mate kwa kupandwa na hamu na kutikisa kichwa kukubali.

"I'll satisfy your need... cause I know you haven't been with a man for a long time too (Nitatosheleza hitaji lako... sababu najua haujakutana na mwanaume yeyote kwa kipindi kirefu pia)," Draxton akamwambia.

"Ahah... how do you know that? (Ahah... unajuaje hilo?)"

"I can smell it (Naweza kuvuta harufu yake)."

"Really? (Kweli?)"

"Mm-hmm..."

"Like a werewolf? (Kama mtu-mwitu?)" Julia akamuuliza kimchezo.

Draxton akasema, "Something like that (Kitu cha namna hiyo)."

Julia akaendelea tu kumtazama usoni, naye Draxton akamshika kiunoni na kumbeba kisha kumkalisha mezani hapo.

Akasimama katikati ya miguu ya mwanamke huyo iliyoachanishwa na kumbana kiasi kiunoni, halafu akaitoa miwani yake machoni. Julia alikuwa na macho mazuri, kama yanakaribia uchina fulani hivi, naye Draxton akaanza kumbusu midomoni taratibu. Julia akawa anapumua kwa uzito kadiri mwanaume alivyoendelea kumbusu na kumpapasa mgongoni, naye Julia akaiingiza mikono yake ndani ya T-shirt la jamaa kupitia kiunoni, kisha akaanza kulivuta juu. Draxton akaivunja busu ili kumruhusu amvulishe, na mwanamke huyo akafanikiwa kuitoa yote.

"Your hair is so... white... and funky (Nywele zako ni... nyeupe kweli... na ziko kimvurugo)," Julia akasema.

"No time for small talk, Julia (Hakuna muda wa maongezi mafupi, Julia)," Draxton akamwambia.

Kisha akaifata shingo ya mwanamke na kuanza kuinyonya, na Julia akaguna kwa pumzi huku akitetemeka kiasi. Akawa anacheza na nywele zake Draxton, na mwanaume akaanza kufungua vifungo vya shati alilovaa bibie mpaka alipomaliza vyote, kisha akaanza kukibusu kifua chake na kuishusha sidiria nyeupe chini. Mtoto alikuwa na matiti madogo lakini yaliyosimama kwa kuangalia kushoto na kulia, naye Draxton akaanza kuyanyonya kwa zamu.

Julia akawa anahisi kizunguzungu cha raha kutokana na joto la mdomo wa Draxton, naye akaingiza mkono wake ndani ya suruali ya jamaa na kuishika mashine yake iliyovimba haswa. Akashangaa kiasi kuhisi namna ilivyokuwa ya moto mno, na sasa Draxton akaishika sketi fupi ya Julia na kuipandisha mpaka kiunoni mwake. Hakujua ikiwa kutovaa chupi ilikuwa kawaida ya mwanamke huyo lakini hakujali.

Harufu aliyovuta ilikuwa nzuri kuonyesha Julia alijitunza vyema, na labda hakuwa amekutana kimapenzi na mtu mwingine kwa muda mrefu shauri ya kazi ama mambo mengi, hivyo akavuta kiti kilichokuwa pembeni na kukaa, akikitazama kito cha bibie moja kwa moja, kisha akayasogeza mapaja yake karibu zaidi na uso wake na kuanza kukinyonya. Alikilamba hapa na pale, akivuta kwa midomo yake mashavu ya kitoweo hicho na kuyaachia kisha kurudi kukinyonya tena, na Julia akawa anaguna na kushtuka kiunoni huku mara kwa mara akijifinya chuchu zake kukoleza utamu aliohisi.

Baada ya kutumia kama dakika mbili kukisafisha zaidi, Draxton akasimama na kuishusha suruali yake mpaka magotini, kisha akailainisha mashine yake kwa mate ya Julia, ambaye aliipaka kwa kiganja chake yeye mwenyewe na kujisogeza karibu zaidi na kiuno cha mwanaume. Alionekana kuwa na hamu sana hata akasahau kuhusu uwepo wa wanawake wale wengine ndani hapo, naye akaanza kujiingizia mashine hiyo taratibu. Alikuwa amekaa, uso wake ukiwa umekunjamana na mdomo kuachama kadiri alivyoendelea kujiingizia mtambo, na Draxton alikuwa anamwangalia kwa utulivu tu.

Kakafumba macho na kuanza kuisikilizia vizuri zaidi ilioofika katikati, kisha kakamtikisia kichwa jamaa kumwambia akapatie kalichotaka. Draxton akaanza kumsugua bibie huyo, taratibu tu, naye Julia akawa anavuta ulimi na kupumua kwa uzito huku akirudisha kichwa nyuma na kisha kukileta tena mbele kuzitazama sehemu zao za utamu zikiingiliana. Akaanza kuomba Draxton aongeze kasi, na mwanume akatii.

Akawa anamsugua kwa mwendo wa kawaida uliomfaa Julia, maana alikuwa na kitoweo kidogo kweli kana kwamba ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza. Alidondosha ute-maziwa wa hamu kutoka kitoweoni kuongeza mpagawisho wake wa hali ya juu, naye akamshika Draxton nyuma ya shingo kwa mkono mmoja ili amsogelee mdomoni na kuanza kumbusu, huku chini akiendelea kushindiliwa kiaina. Alichokililia asubuhi sasa akawa anakipata.

Utamu ulipomkolea zaidi, akaishika shingo ya mwanaume kwa mikono yote na kuonyesha anataka kumpandilia, hivyo Draxton akapitisha mikono yake chini ya mapaja ya Julia na kumpakata, kisha akaanza kumsugua huku amembeba namna hiyo hiyo. Mashine yake haikuzama mpaka mwisho kabisa lakini kwa ukomo uliofikia ndani yake Julia, akawa anaguna kwa sauti ya juu zaidi na mara kwa mara kumbusu Draxton mdomoni. Akawa anamwaga juisi za utamu kwa kushtukiza, naye Draxton alipomwachia amwage mpaka kumaliza, Julia angeirudisha mashine ndani yake tena ili aendelee kukunwa tu.

Sauti za miguno yake zilipoanza kuongezeka, ikabidi Draxton amrudishe mezani tena, naye Julia akalalia mgongo kabisa huku miguu akiinyanyua juu. Mwanaume aliona kwamba mwanadada huyo alitaka waendelee ingawa alikuwa ameshamwaga mara nne, naye akamwambia waishie hapo. Julia akakataa. Akaishika mashine ya Draxton na kuanza kujiingizia tena, akiomba apewe ya mwisho, naye Draxton akasema poa.

Hangekuja kurudia tena jambo hili na mwanamke huyu, na kwa sababu aliahidi kumpa hitaji lake lote basi ndiyo angetakiwa kulimaliza kabisa. Akaanza tena kumsugua, huku Julia akiendelea kuguna kwa sauti ya juu, naye Draxton akauziba kiasi mdomo wake kwa kumwingizia vidole viwili na kukiacha kiganja chake usoni mwake.

Pale kwa wanawake wale wengine, waliendelea kusubiri tu mechi ya Alpha wao iishe, na kiukweli ilikuwa inawakera wote kwa pamoja. Walikuwa kimya tu tokea walipokaa benchini hapo, na hata waliyokuwa wakisoma yalikuwa hayapandi.

"I cannot believe this shit (Siwezi kuamini huu upumbavu)," Aysel akazungumza hatimaye.

Megan akaendelea kusoma tu, akionekana kuudhika.

"Okay, so now our Alpha is getting help from a human on a fucking broker. This is ridiculous (Sawa, kwa hiyo sasa hivi Alpha wetu anapatiwa msaada na mwanadamu kwa kujitoa kumsugua. Huu ni upuuzi)," Aysel akamwambia Megan kwa sauti ya chini.

"What would you do, stop him? (Ungefanyaje labda, ungemzuia?)" Megan akamuuliza.

"He doesn't have time for a fucking session right now! But it seems that's like the easiest way for him to get anything he wants, and it sucks. How can he just... go on fucking every bitch he meets? (Hana muda wa kusugua mtu yeyote kwa sasa! Ila inaonekana kwake hiyo ndiyo njia inayomsaidia kupata anayoyataka, na inakera. Anawezaje tu ku... toka na kufanya mapenzi na kila malaya anayekutana naye?)" Aysel akazungumza kwa mkazo lakini kwa sauti ya chini.

"We've made him like that. He's come to realize that women will tend to be more... into him... because of his nature (Sisi ndiyo tumemfanya awe namna hiyo. Ameshatambua kwamba wanawake watakuwa tayari ku... kumwingia... kwa sababu ya asili yake)," Megan akasema.

Aysel akamwangalia kwa umakini mwanamke huyu baada ya yeye kusema hivyo, kisha akauliza, "Do you have feelings for Draxton, Megan? (Una hisia kumwelekea Draxton, Megan?)"

"What feelings? (Hisia gani?)" Megan akamuuliza na kumtazama.

"Do you love him? (Unampenda?)"

"Shut your mouth! He might hear you. Where'd you get that idea? (Funga mdomo wako! Anaweza akakusikia. Umetoa wapi hilo wazo?)" Megan akaongea kwa kuudhika kiasi.

Aysel akatabasamu kidogo na kusema, "Ha... you do. I've seen your approach towards him. It's obvious. Problem is... he'll never be... yours (Ha... ndiyo unampenda. Nimeshaona namna unavyomtendea. Inaonekana wazi. Tatizo ni kwamba... hataweza kamwe kuwa... wakwako)."

Aysel aliyasema maneno hayo kwa njia ya kutojali, kisha akaendelea kusoma kitabu. Megan akaendelea kumwangalia kwa umakini sana, akiwa amekorofika moyoni kwa sababu maneno ya Aysel yalikuwa na ukweli ndani yake. Alikuwa ameanza kuwa na hisia kumwelekea Draxton, kumpenda kabisa, lakini haingewezekana kumfanya awe wakwake kwa sababu tayari alimilikiwa na mwanamke mwingine ambaye alipambaniwa sana kupatikana, tena rafiki yake wa karibu, Darla. Akainamisha tu kichwa chake na kuendelea kusikiliza malalamiko ya Julia yaliyozibwa kwa kiganja.

Mwanadada Julia aliendelea kukunwa namna hiyo kwa dakika tano zaidi bila kupumzishwa mpaka alipomwaga raha zake kwa mara nyingine, na tena sasa alikuwa amefikisha sita kabisa baada ya Draxton kumwongezea dozi, kisha ndiyo mwanaume akamwacha. Wote walilowana jasho, naye Julia akawa amelala kilegevu mezani hapo.

Draxton hakuhitaji kushughulika na Julia tena, maana muda ulikuwa umeshakwenda na haja za binti huyo zilitimizwa, hivyo akavaa suruali yake na T-shirt upesi, kisha akaelekea sehemu iliyokuwa na milango ya lifti. Megan na Aysel wakamtazama na kunyanyuka upesi, kisha wakamfata mpaka karibu.

"Where are you going? (Unakwenda wapi?)" Aysel akauliza.

"To the Community center. Stay with her, she'll help you till I get back (Kwenye kituo cha kati cha jamii. Kaeni naye, atawasaidia mpaka nitakaporudi)," Draxton akasema.

"I still don't like the idea... (Bado mimi sijalipenda hilo wazo)," Aysel akamwambia.

"Especially you going on your own (Hasa wewe kwenda peke yako)," Megan akaongea pia.

Milango ya lifti ikafunguka.

Draxton akavua cheni yake na kumkabidhi Megan ili amtunzie, kisha akasema kwa upole, "Just trust me and do this, okay? I have to hurry. Please take good care of each other (Mniamini tu na mfanye hivi navyowaambia, sawa? Nahitaji kuwahi. Nawaomba mtunzane vizuri)."

Megan na Aysel wakatikisa vichwa kukubali.

Draxton akamwangalia Julia, ambaye sasa alikuwa amemaliza kujivalisha nguo na kusimama, naye akamwambia "Thank you," kisha akaingia ndani ya lifti. Alipotaka kubonyeza kitufe cha kuishusha chini, Megan akamwambia asubiri kwanza. Draxton akamwangalia kwa subira kusikia angesema nini, lakini mwanamke huyo akaingia ndani ya lifti na kumfata moja kwa moja mdomoni mwake; akimbusu kwa upendo wa wazi kabisa. Alipojitoa mdomoni mwake, akamwambia "be careful," yaani awe mwangalifu, kisha akabonyeza kitufe cha ghorofa ya chini na yeye kutoka ndani ya lifti hiyo, akiwa pamoja na Aysel kuiangalia milango ilipojifunga na kuificha sura yenye kujali ya Alpha wao.

Wanawake hawa wakajihisi huzuni kiasi kutokana na kuachwa kwa sasa na mwanaume huyo waliyekuwa wamemzoea, nao wakageuka nyuma na kumwangalia Julia; aliyekuwa amesimama bado huku akiwatazama. Megan na Aysel wakaangaliana kwa ufupi, naye Aysel akazungusha macho yake kwa dharau na kisha kusema anarudi kusoma tu, akiwa anaonyesha kero ya wazi kabisa kumwelekea Julia, naye Megan akacheka kidogo kwa pumzi kwa kufurahishwa na vituko vya mwanamke huyo.



★★★★★★★★★

ITAENDELEA
★★★★★★★★★

WHATSAPP +255 678 017 280
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA

★★★★★★★★★★★★★★★★★


Draxton akaingia mitini tena akiwa ndani ya umbo lake kamili kama mnyama. Aliipita miti kwa kasi, na kwa kadiri alivyoendelea kukimbia huku akiwa kimya, ndivyo alivyohisi kuzoea hali hiyo ya unyama kwa kupenda zaidi mazingira ya u-mwitu uliomzunguka; kama vile mnyamapori porini, ama papa wa ardhini. Alikuwa amefanikiwa kuondoka pale kwenye jengo la maktaba bila kuvuta umakini wa watu waliomtafuta mpaka akafanikiwa kufika alikodhamiria kuianzia safari yake ya kuelekea kituo cha kati cha jamii.

Akaendelea kuelekea upande mmoja aliojua ramani ile ingemfikisha, ambayo hakuwa ameiondoa akilini mwake kabisa, na usiku ukazidi kuwa mzito kwa dakika nyingi kupita mpaka kugeuka kuwa masaa. Akafikia hatua ambayo alishawishika kusimama kwanza kwa kudhani labda alikuwa amepoteza mwelekeo. Akaanza kunusa hewani, kisha akaelekea upande wa kushoto kutoka alipokuwa amesimama. Upande huo ukamtoa ndani ya miti na kumleta mpaka kwenye barabara ya changarawe, naye akajirudisha nyuma kuuficha mwili wake mitini tena.

Kutokea hapo, aliweza kuona eneo lililokuwa na majani yaliyokatwa vizuri sana chini, huku kukiwa na barabara za mzunguko kana kwamba ilikuwa ni uwanja wa riadha. Akazifungua zaidi hisi zake za kusikia, naye hakusikia sauti yoyote kwa mbele zaidi, hivyo akaanza kuelekea huko taratibu akiwa namna hiyo hiyo kama mnyama. Alipanda ardhi hiyo iliyokuwa kama kilima kifupi mpaka pale alipoanza kuyaona majengo mbele yake zaidi, kisha akasimama baada ya kufika juu na kuweza kuliona eneo lote kwa usahihi..

Kituo hicho cha jamii kilikuwa ni jengo pana lenye ghorofa mbili zenye vyumba kadhaa. Kulikuwa na pande zenye vyumba vya sinema, kingine cha kufanyia mazoezi au gym, majiko kwa ajili ya kutengenezea vyakula, pamoja na ukumbi mkubwa kiasi kwa ajili ya mikutano au mijumuiko. Eneo la nje lilitengenezwa kwa njia nzuri kutokana na mimea iliyotunzwa vyema na kukatwa kwa majani kwa mpangilio mzuri uliotokeza vijia mbalimbali kwa ajili ya kutembea. Nyuma ya jengo hilo kulikuwa na kiwanja cha mpira wa kikapu na kiwanja cha tenisi pia, pamoja na uwanja wa michezo ya watoto uliokuwa na vitu kama bembea na nyumba ndogo za plastiki zilizofanana na makasri ya wafalme.

Palikuwa kimya. Kimya sana. Draxton akaangalia kwa umakini zaidi sehemu zote za eneo hilo na kutambua kwamba bembea moja kwenye kiwanja cha michezo ya watoto ilikuwa inajongea kwa njia iliyoonyesha kwamba kulikuwa na mtu aliyetoka hapo muda si mrefu, lakini hakuonekana tena mahala hapo. Mnyama akaunguruma kidogo na kuanza kutembea kuelekea upande huo wenye bembea, akiwa makini kuvuta hisia juu ya mambo yote yaliyomzunguka.

Kiukweli ingeonekana kama vile hakukuwa na hatari, lakini Draxton alijua lazima tu ingekuwepo kwa njia fulani. Akaifikia bembea, wakati huu ikiwa imetulia kiasi, naye aliponusa sehemu hiyo akawa amepata harufu ya mtu-mwitu iliyofifia; harufu ya kike. Akaanza kuufatilia mfifio huo wa harufu taratibu, nao ukamfikisha nyuma ya jengo lile usawa wa vyombo vikubwa vya kutupia uchafu. Kilichofanya harufu ile ififie zaidi ilikuwa ni kutokana na harufu ya uchafu iliyokuwepo hapo, na mnyama wa Draxton akayapiga pembeni na kwa nguvu sana mpaka uchafu ukamwagika na kuzagaa ardhini.

Chini ya sehemu hiyo ambayo vyombo hivyo vya uchafu vilikuwa vimewekwa, kulikuwa na kitu kama sinki lenye kifungashio kipana cha chuma, naye Draxton akakivuta kwa makucha yake na kukitoa. Palionekana kuwa na giza kuelekea huko chini lakini kwa macho ya kinyama aliweza kutambua kwamba kutokea hapo aliposimama, kama angeingiza mguu wake ndani ya hilo "shimo," basi angekanyaga ngazi. Hili halikuwa sinki la choo wala nini, ilikuwa ni njia ya kuingia mahala pengine chini ya jengo hilo kubwa.

Akaingia. Ilimbidi aingie kwa kujishusha chini kimgongo na kichwa kutokana na ukubwa wa mwili wake, naye alikuwa anashuka ngazi kwa kunyata sauti yoyote ile isisikike. Akafika ardhini zaidi na kisha kusimama kuangalia mbele. Palikuwa na giza haswa, harufu zisizoeleweka kwake zikichanganyikana chini humo, naye akasonga mbele kuifuatilia ile ile harufu ya mbwa-mwitu wa kike iliyofifia.

Macho yake yaliweza kumwonyesha mambo ya ndani humo vizuri, pakiwa tupu tu na kukionekana kama pango lililotengenezwa kutokana na machimbo ya ardhi, kisha taratibu akaanza kuona kitu kama mlango kwa mbele zaidi. Ingekuwa kwamba Darla hakumzimisha kiakili basi labda hata angekuwa anawasiliana naye na kuomba mwongozo endapo kama alifahamu mahala alipokuwa, lakini hapa Draxton angetakiwa kufika mwisho wa hii "mission" yeye mwenyewe bila kusaidiwa tena maana sasa ni yeye ndiyo alikuwa msaada.

Akaufata mlango huo na kujaribu kuusukuma kidogo, nao ukafunguka! Haukuwa umekazwa hata kidogo. Akaingia sehemu ya ndani na kukanyaga sakafu iliyoonekana kujengwa kwa simenti, na hilo likafanya awaze kwamba huenda alifika sehemu fulani ya kati kwenye jengo hilo. Kulikuwa na ukimya bado, naye alipoendelea kupiga hatua zaidi, harufu ile aliyofuatilia ikamezwa na harufu nyingine mbaya sana. Ilizikera sana pua za mnyama wa Draxton kwa sababu ilikuwa ni kama vile harufu ya mtu ambaye hakuoga kwa miaka ishirini na kila siku akawa analala kwenye dampo.

Akashusha pumzi kwa nguvu na kuamua kuanza kupumua kwa mdomo zaidi, naye akaendelea kutembea. Akili yake ilielewa kabisa kwamba huu ulikuwa ni mtego. Alikuwa anaongozwa kwenda sehemu fulani, na kwa sababu yeye Draxton alitaka kufika huko, kuifata hii chambo ilikuwa lazima.

Harufu hiyo mbaya ilizidi kumfanya Draxton atambue kwamba ilihusiana na jambo zito lililokuwa karibu zaidi na alipokuwa kwa sasa, na kwa umakini kama paka akasonga mbele kwa kujongea kama mwindaji aliyekaribia kushambulia windo lake. Alikuwa anaona vitu kama mitungi ya gesi ikiwa imelazwa hapa na pale, naye akaipita taratibu na kufikia kwenye kona ambayo ingempeleka upande mwingine wa sehemu hiyo. Akapavuka na kupinda kuingia huo upande, na hapo akasimama baada ya kutambua sasa kiliichotoa harufu ile mbaya.

Aliweza kuona damu iliyokaukia chini, pamoja na vipande-vipande vya mifupa na nyama za miili ambayo haingeweza kutambulika tena. Si utumbo, si ubongo, yaani kila aina ya kiungo cha ndani na nje ya mwili kilikuwa hapo chini, na vilikuwa vingi sana. Mbwa-mwitu wa Draxton akavuta harufu hizi kwa hisi kali zaidi iliyomfanya atambue kuwa wenye hiyo miili walikuwa watu-mwitu kama yeye.

Hakujua ikiwa ndani ya hao walikuwepo wale aliowafahamu, kama vile Edmond na Gianna, ila wingi wao ulimshangaza sana. Nani angekuwa amewaua namna hiyo? Na kwa nini? Haikuonekana kuwa watu wa mamlaka, maana miili hiyo ilikuwa imeraruliwa kwa njia ya unyama, na wazo la karibu kwake likawa aidha huyo Robby ndiye aliyekuwa amefanya jambo hilo, ama yeyote yule aliyeamua kumwongoza mpaka sehemu hii.

Akatazama mbele zaidi na kuona kuta mbili zenye vyumba vinne kwa kila upande, na wa mbele uliokuwa ukingo wa hapo ukiwa na mlango wa tano, naye akaanza kuvuka mizoga hiyo ya watu-mwitu wenzake ambao bila shaka alitakiwa kuwalinda pia lakini kwa hilo akawa hajafaulu. Alikuwa anatembea huku akiunguruma kwa sauti nzito ya chini, akiwa na hasira kali sana kiasi kwamba alitaka kuukimbilia mlango na kuupasua, lakini akili yake ikampa kizuizi maana bado hakujua hali za marafiki zake zilikuwaje hasa baada ya kuona mauaji hayo yaliyotisha, achilia mbali Darla. Hakuelewa sababu iliyofanya aipite milango mingine na kuamua kuufata tu ule wa mbele zaidi, ikiwa kama hisi zake zimemwambia kwamba humo ndiyo kulikuwa na jambo lililomhitaji.

Kufika kwenye mlango huo, uliokuwa na wekundu wa kutu, akaufungua kwa kutumia mguu wake wa mbele, na baada ya kuingia humo akaanza kuona vitu kama mabanda ya vyuma ama shaba, yenye muundo wa kufanana na milango ya magereza yaliyopangana kuelekea mbele kwa mistari miwili mithili ya mabehewa ya treni, na katikati ilikuwa ni kama njia. Kusudi lake bila shaka ilikuwa kuweka watu ama wanyama ambao walikuwa wafungwa.

Akatoa muungurumo fulani wenye kuonya, akiwa ameshangazwa kiasi na ni nani aliyejenga na kuweka vitu hivi chini ya ardhi, lakini wazungu na mambo yao hangeweza kujua, naye akaanza kuyapita taratibu akisoma moja baada ya lingine. Kulikuwa na giza ndiyo lakini aliweza kuona yalivyokuwa tupu, kana kwamba kuna wafungwa waliokuwepo kisha wakaondolewa, na ndipo akavuta harufu aliyoifahamu kutokea banda la mbele zaidi. Hisi ya kutenda kwa uharaka kutokana na jambo hilo ikamfanya achomoke upesi mpaka kufikia hapo, naye akatulia na kuliangalia banda hilo kwa umakini.

Ndani ya banda hilo, aliweza kuona mwili wa mtu ambaye bila shaka alikuwa ni mwanamke, akiwa uchi, na akijilaza kwa njia iliyoonyesha kuchoka sana. Akasogea taratibu huku akimtazama na kuona alama za mikwaruzo kwenye mapaja yake, mgongoni, mikononi, na nywele zilizovurugika kichwani kwake ziliuficha uso wake.

Draxton akatoa muungurumo, lakini kwa akili yake akawa ameita. 'Darla?'

Mwanamke huyo akajinyanyua taratibu na kutazama upande wa Draxton. Ndiyo, ilikuwa ni Darla. Draxton akaangalia hali yake na kuhisi maumivu sana ndani ya moyo wake wa kiunyama, naye akaunguruma kwa hasira kiasi.

Darla akachuchumaa huku akishika chini. Alionekana kushangaa uwepo wa kiumbe huyo mweupe mbele yake ndani ya giza zito la humo, na kwa kuwa alisikia akiitwa kwa jina lake kichwani, yeye akasema, "Draxton?"

Sauti yake ilikuwa kavu, ya chini sana, lakini Draxton aliisikia. Akamwonea huruma mno na hasira kwa wakati huo huo ikamfanya alisogelee banda hilo na kuanza kulikwarua na kulivuta ili amwondoe humo, lakini ikawa kazi bure. Lilikuwa gumu mno na lilionekana kama limegundishwa sakafuni kabisa.

Darla, akionekana kuchoka mno, akasema, "You shouldn't be here. Please... go (Hautakiwi kuwa hapa. Tafadhali... nenda)."

Mbwa-mwitu wa Draxton akaunguruma kwa hasira na kupanda juu ya banda hilo, kitu kilichofanya aharibu sehemu ya juu yenye ubao wa kuziba, naye akawa analikwangua banda hilo na kulipiga kwa nguvu bila kuleta zao lolote zuri.

Ndipo ghafla taa zikaanza kuwaka ndani hapo, naye Draxton akaunguruma na kuanza kutazama huku na kule. Mwanga wa taa hizo ulifanya chumba hicho kionekane kuwa cheupe, sana, tena pande zote kana kwamba ilikuwa ni maabara kwenye hospitali au jengo la masuala ya kisayansi. Ishu ikawa juu ya ni nani aliyeziwasha taa hizo, naye Draxton akashuka chini na kusimama mbele ya banda la Darla kwa njia ya kumlinda.

Wakati huu aliweza kuona sehemu ya wazi zaidi kutokea pale banda lililowekewa mwenzi wake lilipokuwa, naye akageukia upande huo na kuukazia uangalifu kwa kuwa alihisi kuna jambo lilikuwa likija kutokea huko. Akaona mashine fulani kubwa yenye muundo unaofanana na matrekta ya wakandarasi, lakini yenyewe ilikuwa safi na ilionekana kuwa mpya kabisa.

Akatambua ilikuwa ndiyo zile mashine zitumiwazo kuchonga vitu vigumu kama mbao au hata mawe na kuyafanya yawe na muundo fulani laini, na mabaki yake sikuzote yangetolewa kama punje ndogo ndogo za vumbi la mchele kwa kusagwa huko. Hakuelewa dhumuni la mashine hiyo kuwa hapo, naye akakazia uangalifu tu kule alikojua kuna ujio usiofahamika wa kitu fulani.

Kwa kasi isiyoelezeka kwake, kikaja kitu fulani kidogo kumwelekea usoni, ikiwa ni kama vile risasi imefyatuliwa kumwelekea, naye akawa amewahi kukwepesha mwili wake wa kinyama lakini kitu hicho kikawa kimempiga sehemu ya begani.

Akaunguruma kwa hasira na kukivuta kwa nguvu sana na meno yake, na kilipodondoka chini akakitazama kwa umakini na kutambua ilikuwa ni risasi ya dawa. Ilikuwa kama zile ambazo wanyama hutandikwa ili wasinzie kisha kudhibitiwa na waliowapiga, naye akaangalia upande ule ilikotokea kwa hasira. Ni mpuuzi gani angefikiria kwamba kitu cha aina hiyo kingemdhuru?

Akaanza kupiga hatua kuelekea upande huo ili amkomeshe vizuri huyo mpuuzi, lakini miguu yake ikaanza kuishiwa nguvu. Akaanza kuhisi mwili wote unaishiwa nguvu na kumfanya ayumbe huku na huko, naye akajikuta anarudi nyuma-nyuma mpaka akajibamiza kwenye banda la Darla.

"Oh no... Draxton..."

Darla akasikika kwake akisema hivyo kwa sauti ya chini, naye Draxton akaendelea kuhangaika na hali hii. Ilikuwa kama anavulishwa nguvu zake zote kabisa na kuanza kujihisi dhaifu kupitiliza, kisha akaanza kurudia hali yake ya kuwa mwanadamu bila kupenda! Alishangaa sana. Akawa ameegamia hapo hapo kwenye chuma za banda la Darla huku akitokwa jasho na kupumua kwa uzito.

"What the hell is this? (Ni nini hiki?)"

Alijiuliza swali hilo akiwa amechanganyikiwa juu ya ni jinsi gani jambo hilo liliwezekana. Akakitazama kirisasi kile kilichompiga muda mfupi nyuma. Ni lazima kitu kilichokuwa kimewekwa humo hakikuwa kama dawa ya usingizi tu, naye akageuka na kumwangalia Darla. Mwanamke alionekana kuchoka mno, akijiburuza taratibu kufika karibu zaidi na Draxton. Akafanikiwa kuifikia nondo ya chuma aliyoegamia mwanaume na kumshika mkono, naye Draxton akapitisha mkono wake ndani humo na kuushika uso wa mwanamke huyo kwa wororo.

"Darla..." Draxton akamwita kwa hisia.

"Draxton..." Darla akaita kwa sauti ya chini huku akitokwa machozi.

"Darla... I'm so sorry... (Darla... naomba samahani sana...)" Draxton akamwambia kwa huzuni.

Darla akasema, "Why didn't you listen to me? I told you not to come here (Kwa nini hukunisikiliza? Nilikwambia usije hapa)."

"That would never be an option. Just like you said... mates till death (Hilo kamwe halingekuwa jambo la kuchagua. Kama ulivyosema... wenzi mpaka kifo)," Draxton akasema hivyo.

Darla akazidi kutokwa na machozi.

"I've brought myself here intentionally, so don't worry. Leave the bastard to come to me (Nimejileta hapa kwa makusudi, kwa hiyo usiwe na hofu. Mwache huyo mpumbavu aje kwangu)," Draxton akasema.

"Hhh... Draxton... it's over... everything is... over... (Hhh... Draxton... imekwisha... kila kitu... kimekwisha...)" Darla akaongea kwa uchungu.

"What do you...? Nothing is over, you hear me? I'm getting you out of here... you and the others too... (Unataka ku...? Hakuna kilichokwisha, unanisikia? Ninakutoa mahala hapa... wewe na wengine pia)," Draxton akasema hivyo kwa uhakikisho.

Darla akawa anatikisa kichwa kukataa wazo hilo, akionyesha huzuni kali sana iliyosababishwa na kupoteza matumaini ingawa Draxton alikuwa anampatia tumaini.

"Are Edmond and Gia here too? Where is... (Edmond na Gia wako hapa pia? Wapi ame...)"

Mwanaume alipokuwa hajamaliza kuuliza swali hilo, akaanza kusikia hatua zikija kutokea kule kwenye uwazi zaidi ambako risasi ile iliyompiga ilitokea, naye akasimama taratibu na kutazama huko. Kwa sababu ya chumba hicho kutawaliwa na weupe mpaka kuta zake zote, haingekuwa rahisi kufikiri kwamba kulikuwa na mlango sehemu yoyote, lakini sasa akawa ameona mlango uliofunguliwa kutokea upande mwingine na mtu fulani kuingia.

Alikuwa amevalia nguo ya ngozi ngumu aina ya leather, nyeusi, ikiwa yenye kubana na iliyounganika kutokea juu mpaka chini; ikitengeneza kama suruali. Ilikuwa na zipu kutokea kifuani mpaka chini upande mmoja wa miguu, na nafasi iliyoacha katikati ya kifua ilionyesha matiti makubwa yaliyotuna kiasi kumwambia Draxton kwamba huyo alikuwa mwanamke. Alivaa mabuti ya kike ya kuchuchumia, na kichwani kofia iliyoficha nywele zake pamoja na barakoa ngumu iliyoziba mdomo na pua yake. Alikuwa akitembea taratibu na kwa njia kama miondoko ya wanamitindo, kisha akasimama umbali mrefu kutoka aliposimama Draxton.

Mwanaume alikuwa bila nguo mwili wote, lakini alisimama kwa kujiamini na kumtazama bila woga. Macho yaliyofichika kiasi ya mwanamke huyo yalikuwa makali, yenye lenzi za kahawia iliyojirudia mara mbili, na harufu aliyotoa ikafahamika kwa Draxton upesi. Ilikuwa ndiyo ile ambayo alianza kuifatilia kutokea kule nje mpaka kufikia hapo ndani. Huyo mwanamke ndiye aliyemleta ndani ya huu mtego, lakini bado hakujua ni nani.

Hakuonekana kama anataka kuzungumza au kufanya lolote zaidi ya kusimama tu namna hiyo hiyo, ndipo Draxton akasikia hatua zingine zikija kutokea nyuma ya mwanamke huyo.

"At last... (Hatimaye...)"

Sauti hiyo nzito kiasi ikasikika kutokea nyuma ya mwanamke huyo, naye Draxton akakaza umakini wake kuielekea. Haikuwa ngeni sana kwake lakini bado hakutambua mmiliki wake. Hatua hizo zikatokeza mtu mwingine aliyekuja na kumpita mwanamke huyo aliyesimama kwa utulivu, na ilikuwa ni mwanaume mzungu mwenye mwonekano wa miaka hamsini hivi kiumri. Nywele zake zilikuwa nyeupe mchanganyiko na nyeusi, mrefu kama Draxton, akiwa amevalia nguo nyeusi kama suti na viatu vyeusi. Uso wake ulikuwa mgeni kabisa kwa Draxton, hivyo alishindwa kuelewa kwa nini ni kama sauti yake aliijua.

"We meet... in person (Tumekutana... kiutu)," mwanaume huyo akasema hivyo.

Draxton aliweza kuvuta harufu ya unyama kutoka kwa mwanaume huyo, na kwa makisio akafikiri kwamba sasa alikuwa amekutana na Robert King, ama Robby, ana kwa ana. Akaendelea kumtazama kwa umakini, huku akihakikisha hatoi jicho lake karibu na Darla.

"Don't you just love a manly man when he naked, eh darling? (Utaachaje kupenda mwanaume aliyejengeka vizuri akiwa uchi, eti kipenzi?)" mwanaume huyo akaongea hivyo.

Kauli hiyo ilionekana kuelekezwa kwa yule mwanamke aliyesimama nyuma yake, lakini hakutoa jibu na kuendelea kumtazama Draxton.

"Draxton... you've come a long way (Draxton... umefika mbali kweli)," mwanaume huyo akasema.

"Robby... your way is about to end (Robby... njia yako inafikia mwisho wake)," Draxton akamwambia.

"What would you possibly know about my ways? (Unajua nini wewe kuhusu njia zangu?)" Robby akamuuliza.

"They suck, and you're going down along with them (Ni za kipuuzi, na wewe utaanguka pamoja nazo)," Draxton akasema kwa ujasiri.

Robby akatabasamu kiasi na kusema, “Now this is what I have been waiting for. A real challenge thrown at me (Hiki sasa ndiyo nimekuwa nakisubiri. Upinzani wa ukweli umerushwa kwangu).”

"I'm going to end all the suffering you have brought on our kind... you have no idea what I am capable of doing to you (Nitayamaliza maumivu yote uliyoyaleta kwa watu wa aina yetu... huna wazo juu ya ni nini nachoweza kukufanya)," Draxton akaongea kwa uzito huku akikunja ngumi.

"Actually, I do. But you don't know what I'm capable of (Kiukweli, ninajua. Lakini wewe ndiyo haujui kile mimi nachoweza kufanya)," Robby akasema.

"Where are my friends? (Marafiki zangu wako wapi?)" Draxton akauliza.

"See? You still have no idea what I'm capable of. You got any idea why you're here my boy? Or it's just the bold hero to the rescue move eating your thick brain, eh? (Unaona? Yaani bado hauna wazo juu ya nini mimi naweza kufanya. Hivi hata una wazo juu ya ni kwa nini uko hapa mvulana wangu? Ama ni ile kudhani umekuja kama shujaa wa ukweli kuokoa mtu ndicho kitu kinachotafuna ubongo wako mnene, eh?)" Robby akasema.

"Draxton..." Darla akamwita kivivu.

Draxton akamwangalia Darla kwa umakini, kisha akamtazama Robby na kuuliza, "Where are my pack members? (Wako wapi watu wa kundi langu?)"

"Really? You care only for them? You're not worried about yourself at all? (Kweli? Unawajali wao tu? Hauna hofu juu yako mwenyewe kabisa?)" Robby akamuuliza.

Draxton akawa anamwangalia kwa hasira.

Robby akashusha pumzi na kusema, "Don't worry too much. They are... at a safe place now. I hope you understand, that due to judgment of them hiding my quarry from me has resulted in punishment, but only that which suited the heaviness of their crime (Usijali sana. Wapo... katika sehemu salama sasa. Lakini natumaini utaelewa, kwamba kwa sababu ya hukumu juu yao kutokana na wao kuificha tuzo yangu imepelekea waadhibiwe, lakini ni adhabu ambayo inafaa uzito wa makosa yao).”

“What are you talking about? You don't have any right to judge or punish anyone. Give them back to me while I'm still asking politely! (Unaongelea nini? Hauna haki yoyote ile ya kuhuhumu wala kumwadhibu yeyote. Warudishe kwangu nikiwa bado nakuomba kistaarabu!)" Draxton akaongea kwa sauti yenye onyo.

Robby akacheka kidogo na kumtazama mwanamke yule pembeni yake, kisha akarudi kumwangalia Draxton na kusema, "What you think you can do to me is no longer possible, Draxton. I've been watching you. I've come to understand you, and so if you think what happened last time will happen again... you've already failed (Unachofikiri unaweza kunifanya hakiwezekani tena, Draxton. Nimekuwa nikikutazama. Nimeshakuelewa, kwa hiyo ukidhani kwamba kilichotokea mara ya mwisho kitatokea tena... jua tayari umeshashindwa)."

Draxton akakunja uso kimaswali kiasi, akiwa hajamwelewa vizuri.

"What? You don't recognize me? I have been watching you ever since I deemed you worthy of being a pack leader (Nini? Haujaweza kunitambua? Nimekuwa nikikutazama tokea wakati ambao nilikupatia ustahili wa kuwa kiongozi wa kundi)," Robby akasema.

"What? (Nini?)" Draxton akauliza.

"It's been a while. But I told you we'd meet again... young one (Umepita muda kiasi. Ila nilikwambia tutakutana tena... kijana mdogo)," Robby akasema.

Hatimaye Draxton akamtazama kwa utambuzi. Huyo Robby aliiuwa ndiyo mbwa-mwitu wa ndotoni ambaye Draxton alipambana naye na kumshinda. Ilishangaza sana, na ilimchanganya sana Draxton. Hakuona sababu ya kuamini jambo hili lakini hata tu sauti ya mwanaume huyo ilisikika kama ile ya mbwa-mwitu wa ndotoni, na ndiyo kitu kilichofanya mwanzoni adhani labda aliwahi kuisikia. Akashindwa kuelewa kabisa ni nini kilikuwa kinaendelea.

"You... you're the wolf spirit in my dream? That's impossible (Wewe... wewe ndiyo roho ya mbwa-mwitu kwenye ile ndoto yangu? Hiyo haiwezekani)," Draxton akamwambia.

"Like I said... you've no idea what's possible (Kama nilivyosema... hauna wazo juu ya ni nini kinachowezekana)," Robby akamwambia.

Draxton akaanza kusikia hatua zingine zikija kutokea nyuma ya mwanaume huyo, na upande wake wa kushoto akatokea mtu mwingine na kusimama karibu na Robby.

"Mark?"

Draxton akaita hivyo na kumwangalia kimaswali sana. Alionekana kuwa mzima wa afya kabisa, na mkononi mwake alibeba bastola ndogo, kitu kilichomaanisha ni yeye ndiye aliyempiga Draxton risasi iliyomlazimisha kubadilika. Jinsi alivyokuwa amesimama karibu na Robby ilikuwa kwa njia ile ya ushirika ama urafiki, kitu ambacho kilimchanganya sana Draxton.

Si ni Mark huyo huyo aliyefanya yote kumtoa Draxton Tanzania mpaka kumfikisha Marekani ili apambane na mwanaume huyo aliyemwona kuwa mwovu na aliyehitaji kudhibitiwa? Huu muungano wao ulimaanisha nini, kwamba Mark alikuwa amecheza tu na akili ya Draxton tokea mwanzo? Haikupatana na akili hata kidogo, na Draxton akawa anataka kujua majibu ya maswali hayo. Mark alikuwa akimtazama Draxton kwa njia ya simanzi kiasi, kama mtu anayejutia kufanya jambo fulani.

"Everything you've done thus far... is because I led it that way. You are just a puppet, Mark was the string, and I'm the palm making every move (Kila jambo ulilofanya mpaka kufikia hatua hii... ni kwa sababu mimi ndiye niliyeongoza iwe hivyo. Wewe ni mwanasesere tu, Mark ndiyo alikuwa kamba, na mimi ndiyo kiganja kinachoongoza kila nyendo)," Robby akasema.

"You are lying (Unadanganya)," Draxton akasema.

"You are so pathetic. Hasn't it ever occured to you how all of a sudden Darla got kidnapped just after you became a fully Alpha? In fact, Mark was there too. But he told you to just... go home. And you did. Whare did that leave you? (Yaani wewe ni mjinga sana. Haijawahi kukuingia akilini mwako jinsi gani Darla alitekwa ghafla tu mara baada ya wewe kuwa Alpha kikamili? Na tena, Mark alikuwepo pia. Ila akakwambia... uende nyumbani tu. Na wewe ukafanya hivyo. Hiyo ilikuacha wapi?)" Robby akamwambia hivyo.

Draxton akaendelea kumwangalia kwa mkazo.

"You think you're so smart? An Alpha... sending a dweeb as dumb as Edmond after a dark wolf and expect him to return. Leaving his Newfoundland with his members just to go out screwing MY woman! And you thought I'd just sit and wait for you? No. I had enough of the patience I gave in to see you complete your stupid cycle... and now I can have what should truly be mine (Unafikiri una akili sana? Eti Alpha... anamtuma mpuuzi mjinga kama Edmond aende kumtafuta mbwa-mwitu wa giza na kutegemea arudi. Anawaacha watu wake wa sehemu mpya aliyoipata ili aende kumsugua mwanamke WANGU! Na ukadhani ningekaa kukusubiria tu? Hapana. Subira niliyoweka kungojea umalize mzunguko wako wa kijinga ilinitosha... na sasa nitakipata kile ambacho kinatakiwa kuwa changu)," Robby akasema.

Draxton akaendelea tu kumtazama usoni, akiwa hajaelewa sehemu kubwa ya mambo yaliyosemwa.

"The dark wolf you saw in the forest on the night you screwed Darla... that was me. Your presence here made me so mad... especially knowing that you took my supposed to be mate from me. I wanted to fight you so bad... but at the time it would have been a loss on me. I had to know how you're built in order to crush you very well (Yule mbwa-mwitu wa giza uliyemwona msituni usiku ule umemsugua Darla... ilikuwa ni mimi. Uwepo wako huku ulinichukiza sana... hasa kwa kujua kwamba ulimuiba mwenzi aliyetakiwa kuwa wakwangu. Nilitaka sana kupambana nawe... lakini kwa wakati huo ushindi ungekuwa dhidi yangu. Nilipaswa kujua umejengekaje ili nikubomoe vizuri zaidi)," Robby akamwambia.

Draxton akamkazia macho yake kwa hasira.

"You clearly still don't understand what made you immortal... well not technically immortal, just... resurrectable. After we fought in that dream, I realized how much of a threat you would pose to be... and since you asked me yourself, I had to find out what the great Obadiah Draxton did to make you that way. It was truly magnificent, and I'mma breakdown everything to you so you can finally understand why you don't understand anything (Ni wazi kwamba bado huelewi ni nini kilichokanya usiweze kufa... ila siyo kutoweza kufa kihalisi, ni... kuweza tu kujifufua. Baada ya mimi na wewe kupambana kwenye ile ndoto, nilitambua ni jinsi gani ungekuwa tishio kubwa kwangu... na kwa sababu uliniuliza wewe mwenyewe, ilibidi nitafute ukweli wa njia ipi ambayo Obadiah Draxton na ukuu wake alifanya kukutengeneza namna hiyo. Ilikuwa ni njia yenye kustaajabisha, na nitakwambia kila kitu ili hatimaye uweze kuelewa ni kwa nini huelewi chochote)," Robby akaongea kwa utulivu tu.

Draxton akaendelea kumwangalia kwa umakini.

Robby akapiga hatua chache kumwelekea na kusimama mbele zaidi na uso wa Draxton, kisha akaanza kuongea. "You probably know the history, but not so much about it. It was in the great wars period. Technology at the time, especially in the scientific field was not so advanced. Many approved interbreeding tests that were done involved a human and chimps... since of all the animals, a fucking monkey is the most similar organism to a human... one with a 99% of coding DNA sequences in common. The scientists inseminated a female chimp with human semen from an anonymous donor. When many attempts failed, nobody wanted to keep wasting money in funding those experiments, so these projects got roadblocked, and enterprises shut down (Inawezekana tayari unaijua historia, lakini si mambo mengi sana kuihusu. Ilikuwa ni kwenye kipindi cha zile vita kuu. Teknolojia wakati huo, hasa kwenye upande wa kisayansi haikuwa imeendelea sana. Majaribio mengi ya kuzalisha kutoka kwa viumbe wa aina mbili tofauti yalihusisha zaidi mwanadamu na jamii za nyani... kwa kuwa katika wanyama wote, nyani ndiyo kiumbe wa karibu zaidi kumfanana mwanadamu... wakiwa na asilimia 99 za mpangilio wa chembe za urithi zinazofanana. Wanasayansi wangemwingizia nyani jike mbegu za uzazi za mwanadamu ambaye angefichiwa utambulisho wake. Majaribio mengi yaliposhindikana, hakuna aliyetaka tena kuendelea kupoteza pesa kuyadhamini, kwa hiyo hayo mazoezi yalizuiwa, na taasisi nyingi zilizojihusisha nayo zikafungwa)."

Draxton alikuwa ameanza kuweka pembeni uzito wa hali iliyomzunguka kutokana na kutaka kuusikia ukweli, hata ingawa aliyemfunulia alikuwa adui yake. Akaendelea kumtazama usoni kwa umakini.

"But your dad... he was a fucking genius. When all the other scientists cooled off, he kept trying, but still wasn’t able to get any results. And then... he decided to look at the project from a different perspective. What if human females would be inseminated with animal sperm? But it must have occured to him after so many tests that that wasn't enough, and he needed something else to create a very unique hybrid. You don't know what he did do you? (Ila baba yako... alikuwa na akili ya pekee sana. Wanasayansi wengine walipoamua kupoa, yeye aliendelea kujaribu, ingawa bado hakuweza kupata matokeo yoyote. Kisha... akaamua kulitazama zoezi hilo kwa jicho la upande mwingine. Vipi kama wanawake wa kibinadamu wangeingiziwa mbegu za uzazi za wanyama? Lakini baada ya majaribio mengi inaonekana ilimwingia akilini kwamba hilo peke yake halikutosha, na alihitaji kitu kingine kuweza kutengeneza mwanadamu-mnyama wa kipekee sana. Haujui alichokifanya, siyo?)" Robby akazungumza kwa sauti tulivu.

Draxton akaendelea kubaki kimya ili amruhusu atoe jibu yeye mwenyewe.

"Of course you don't. Nobody could ever imagine this. I checked your blood, and cells, and shit, and you know what I found? Something weird in you... something fucking rare that makes you almost immortal. Can you guess? Can anybody guess? (Bila shaka haujui. Hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kuvuta taswira ya hili. Nimetazama damu yako, na seli, na ujinga mwingi, unajua nilichopata? Kuna kitu cha ajabu ndani yako... kitu adimu sana kinachokufanya ukaribie kutoweza kufa kabisa. Unaweza kukisia ni nini? Kuna yeyote anayeweza kukisia?)"

Robby akaongea hivyo huku akiwageukia na wengine, lakini hakuna aliyetoa jibu. Akamwangalia Draxton tena.

"Your dad... combined his eggs with wolf genes, plus... an immortal jellyfish cells, and threw em' into your mother! Was that guy crazy or what? (Baba yako... aliunganisha mayai yake na chembe za uhai za mbwa-mwitu, akajumuisha na... seli za samaki-laini asiyeweza kufa na kuzitupia ndani ya mama yako! Huyo jamaa alikuwa chizi ama nini?)" Robby akaongea hivyo huku akitabasamu kiasi.

Draxton akawa anamwangalia kwa kutomwelewa.

"You don't even know what an immortal jellyfish is? (Hata haujui samaki-laini asiyeweza kufa ni nini?)" Robby akamuuliza hivyo na kuanza kumzunguka taratibu.

"Enlighten me (Nifahamishe)," Draxton akasema hivyo kwa sauti ya chini.

"And I will... straight out of quora. When a group of larvae called planula settle on the ocean floor, they come together to form a colony of polyps. The immortal jellyfish eventually grows from this colony. If something threatens or attacks it, it reverts back to its polyps form, and then spends a few months growing back into it's jellyfish form, hence the name. Combine this magnificent feature from the creature's cells and a rapid healing factor of a wolf cell, Obadiah Draxton came up with something unimaginable truly, applying it to his experiment and giving the hybrid an endless life cycle (Na nitafanya hivyo... tena kutokea quora kabisa. Pale kundi la larva/mabuu linapotua chini kwenye sakafu ya bahari, huja kukutana kwa pamoja na kutengeneza kundi moja la vitu viitwavyo polyps. Huyo samaki-laini asiyeweza kufa hukua kutokana na kuunganika kwa kundi hilo. Kama atatishiwa ama kushambuliwa, atajirudisha kwenye mfumo wake wa kuwa polyps, halafu atatumia miezi kadhaa kujirudishia umbo lake la kuwa samaki-laini tena, ndiyo maana akaitwa hivyo. Sasa unganisha sifa hii ya kipekee kutoka kwa seli za huyo kiumbe pamoja na seli zinazojiponya kwa kasi sana za mbwa-mwitu, Obadiah Draxton alibuni kitu ambacho hakikutarajika kabisa yaani, akiitumia njia hiyo kwenye jaribio lake na hivyo kumpatia mwanadamu-mnyama mzunguko wa maisha usiokwisha kabisa)," Robby akaeleza.

Bado alikuwa akimzunguka Draxton alipokuwa akisema hayo, na sasa akawa amefika mbele ya uso wake kwa mara nyingine.

"So whenever you get hurt, or die from being torn apart... even the smallest remnants of your body will come together again to make you whole... and you will return as a sss...narling wolf. You get it now, brother? (Kwa hiyo wakati wowote unapoumia, au hata kufa ukiraruliwa... hata mabaki madogo sana ya mwili wako yatajirudisha na kuujenga upya uwe mzima... na utarudi ukiwa kama mbwa-mwitu anayeunnn...guruma. Umeelewa sasa, kaka?)" Robby akamaliza maneno yake namna hiyo.

Draxton akaangalia chini kiasi.

"So it's not true that you can't die... because if there isn't anything remaining of you, you can't be resurrected... right? (Kwa hiyo si kweli kwamba hauwezi kufa... kwa sababu ikiwa hakutakuwa na mabaki yako yoyote, hautaweza kufufuka... sivyo?)" Robby akamuuliza hivyo.

Draxton akaangalia mashine ile ya kusaga, naye akawa ameelewa maana ya hiyo misumari ambayo Robby alikuwa akimchoma nayo. Alikuwa sahihi kabisa, kwa sababu ikiwa kipande chochote cha mwili wa Draxton kingebaki hata akiuawa, mfumo wa mwili wake aliotengenezewa ungemrudisha kuwa hai tena, lakini endapo kama mwili wake WOTE ungesagwa kwenye mashine ya namna hiyo na kubakiza damu tu, haingewezekana kujirudisha tena. Kwa hiyo ilikuwa hapo kwa maandalizi ya msiba wake wa moja kwa moja kabisa.

Robby akaona mwanaume huyo ameelewa dili, naye akasema, "You got me now (Umenipata sasa)."

Draxton alikuwa ametazama chini tu wakati huu, akiwa ametafakari na kuelewa kila kitu vizuri, lakini bado alijiuliza swali moja. Akamwangalia na kuuliza, "How did you get my blood? (Uliipata vipi damu yangu?)"

Robby akatabasamu na kusema, "You gave it to me (Ulinipa wewe mwenyewe)."

Draxton akamwangalia kimaswali.

"You don't remember? (Haukumbuki?)" Robby akamuuliza hivyo, kisha akageuka na kumwangalia Mark.

Draxton akamtazama mwanaume huyo pia na kuona alivyokuwa anamwangalia kwa njia ya uhakiki fulani hivi, naye sasa akawa ameelewa. Mark ndiye aliyempatia Robby damu ya Draxton, na alikumbuka hilo kutokea siku ile Darla amechukuliwa, wakati Mark alipomwomba damu yake kidogo ili akaitumie kumponya mvulana mdogo aliyedai kwamba maisha yake yalikuwa hatarini. Kumbe hata wakati huo usaliti wa mwanaume huyo ulikuwa umeshaanza kufanya kazi, na kitu hicho kikamvunja sana moyo Draxton kwa sababu alimwamini yeye zaidi.

Robby akamgeukia Draxton na kusema kwa kejeli, "Oh no... Mark was always a traitor. I shouldn't have trusted him (Oh hapana... Mark ni msaliti tokea mwanzo kabisa. Sikupaswa kumwamini kabisa)."

Draxton akaangalia chini kwa huzuni kiasi.

"Don't listen to him Draxton... hhh... just get out of here... (Usimsikilize huyo Draxton... hhh... ondoka tu hapa...)" Darla akaendelea kutoa maonyo yake.

"Shush up dear, we'll get to you soon enough. Not all that glitters is gold my friend. See, with Mark's help, I was able to make a special serum for weakening... us. Its what he shot you with few minutes ago (Kaa kimya mpenzi, tutakufikia na wewe muda si mrefu. Siyo kila king'aacho ni dhahabu rafiki yangu. Unaona, kwa msaada wa Mark, niliweza kutengeneza dawa ya kipekee ya kutudhoofisha... sisi. Ndiyo aliyokutandika nayo dakika chache nyuma)," Robby akamwambia.

Draxton akamwangalia usoni.

"Your blood was the key, and the effects travel down to the cells and... stuff, that makes us change, but mixed with my serum do the opposite. In other words... your blood can heal, but can also destroy. I used it to kill EVERY member of my pack... and yours (Damu yako ndiyo ilikuwa ufunguo, na athari zake zinatembea mpaka kufikia kwenye seli na... mambo mengine, yanayofanya tubadilike, lakini ikiwa imechanganywa na dawa yangu inafanya mambo kinyume. Nimeitumia kuua KILA mtu wa kwenye kundi langu... na lako pia)," Robby akasema.

Draxton akamwangalia kwa mshangao.

"Yep. All of them. Except for... Darla, Mark and Alicia. Oh... you haven't met Alicia yet have you? There she is (Ndiyo. Wote kabisa. Isipokuwa tu... Darla, Mark na Alicia. Oh... bado haujakutana na Alicia, siyo? Yule pale)," Robby akamwambia.

Alikuwa anamwonyeshea mwanamke yule aliyesimama karibu na Mark, lakini Draxton akawa anamwangalia tu Robby kwa mkazo.

"I bet you are asking yourself why I did that, right? I mean... you just passed the entirety of their body pieces and corpses a while ago, so now it makes a bit sense. But... I can't yet tell you why I killed them... not until I find and finish off that bitch Aysel... and Megan (Nadhani unajiuliza ni kwa nini nimefanya hivyo, siyo? Na maana ya kwamba... umezipita maiti zao na vipande-vipande vya miili yao muda mfupi nyuma kwa hiyo angalau hilo sasa hivi limeeleweka kidogo. Lakini... sitakwambia kwa nini niliwaua... mpaka nihakikishe nimempata na kummaliza yule malaya Aysel... na Megan pia)," Robby akasema.

Draxton akaikamata kola ya koti la mwanaume huyo kwa kasi mno na kumvuta kwa nguvu kuelekea banda la Darla, akimbamiza hapo kwa nguvu na kumkandamiza shingoni kwake akiwa ameingiwa na hasira kali mno. Alikuwa amejawa na hasira na uchungu mwingi.

Ni nini iliyokuwa maana ya yeye kuja huku? Si kuwaokoa watu wake? Halafu aliyemleta ndiye aliyekuwa akimsaliti na kumzunguka mpaka hao watu ambao Draxton alitakiwa kuwaokoa wakauawa bila sababu ya msingi. Na tena mwanaume huyu mpuuzi alikuwa akifikiri kwamba kwa kuongea maneno hayo yote na kumkatisha kote tamaa Draxton basi angejishusha na kupoa, lakini hicho ni kitu ambacho hakingewezekana. Tena ndiyo alikuwa amemwongezea nia ya kutaka kumuua vibaya sana kwa mambo yote aliyokuwa amefanya.



★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI

★★★★★★★★★★★★★★★★★


Robby akaachia tabasamu hafifu ingawa alikuwa amebanwa haswa, na Darla alikuwa akiwatazama kilegevu huku akipumua kivivu kwa uchovu mwingi aliohisi mwilini.

"You sick bastard! (Mpumbavu mgonjwa wewe!)"

Draxton akamwambia Robby hivyo kwa sauti ya chini yenye hasira kali, na alipotaka tu kumpiga ngumi...

"Draxton!"

Darla akaita hivyo kwa kutahadharisha, lakini haikusaidia chochote. Draxton akahisi anachomwa na kitu cha moto sana miguuni mwake kwa pamoja, naye akaishiwa nguvu na kuanguka; akiwa kama amepiga magoti mbele yake Robby. Alihisi maumivu makali, akielewa hizo zilikuwa risasi zile zile zilizoongelewa muda mfupi nyuma, naye akageuka nyuma na kumwangalia mpigaji. Ilikuwa ni Mark ndiye aliyempiga, naye akashusha bastola chini na kutazama pembeni.

Draxton akashikwa kidevu na Robby ili atazamishwe kwake, naye akawa anamwangalia kwa hasira.

"No one... touches me... fool (Hakuna mtu... anayenigusa... mpuuzi wewe)," Robby akamwambia kwa sauti nzito.

"Leave him alone... please... don't hurt him (Mwache... tafadhali... usimuumize)," Darla akaongea kwa hisia huku akilia.

"You hear that? She's crying for you. You. I have been searching for a mate for myself... for many years now. She was supposed to be it, and you took her away from me. The most significant transgression you've committed against me is being her true mate... and I will reward you greatly for that (Unasikia hiyo? Analia kwa ajili yako wewe. Wewe. Nimekuwa nikitafuta mwenzi kwa ajili yangu... kwa miaka mingi sasa. Ilitakiwa awe yeye, halafu wewe ukaja kumuiba kutoka kwangu. Kama ni kosa kubwa la jinai ulilofanya dhidi yangu ni kuwa mwenzi wake wa kweli... na nitakupatia tuzo inayostahili kabisa kwa sababu hiyo)," Robby akazungumza kwa ukali huku macho yake yakianza kuwa mekundu.

Draxton akawa anamwangalia kwa mkazo pia, kisha akasema, “You are right. I am... her true mate... so you can’t have her (Uko sahihi. Mimi ndiyo... mwenzi wake wa kweli... kwa hiyo hauwezi kumchukua awe wako)."

Robby akatoa kicheko kidogo na kusema, "I rarely see any who can overcome the weight of my presence. Never one as dumb as you (Ni adimu sana kwangu kuona yeyote anayeweza kuchukulia uwepo wangu kirahisi namna hii. Na hakuna kabisa aliye mjinga kama wewe).”

“Not dumb. Call it brash unknowing (Siyo ujinga. Uite tu ushupavu bila kujua)," Draxton akamjibu kwa ujasiri.

"You are finished Draxton. There's nothing that will help you now (Umekwisha Draxton. Hakuna chochote kile kitakachokusidia)," Robby akamwambia.

"Then what is it that you want more, huh? You killed everyone for fun, right? You got Darla and had your fun torturing her, didn't you? And now you got me too. What are you waiting for then? (Basi unataka nini kingine zaidi? Umewaua wengine wote kujiburudisha, si ndiyo? Ukampata Darla na kujifurahisha kumtesa, sivyo? Na mimi umeshanikamata pia. Unasubiri nini sasa?)" Draxton akamuuliza.

"If it's death that you're asking for, then know I'll give it to you. But first... I want you to plant your seed inside of my sister (Kama ni kifo ndiyo unachokiomba, basi jua nitakupatia tu. Lakini kwanza... nataka upande mbegu yako ndani ya dada yangu)," Robby akamwambia hivyo.

"What? (Nini?)" Draxton akamuuliza.

"Yes. Wouldn't wanna lose something so precious as your immortality by killing you just like that, so you're gonna plant the next kin of you in her... then she'll give birth a child that will never die. He will make a new world of our kind and rule everything... everywhere (Ndiyo. Hatutaki kupoteza kitu cha kipekee kama uwezo wako wa kutokufa kwa kukuua kirahisi tu namna hiyo, kwa hiyo utamwekea aina yako inayofuata ndani yake... ndipo atakuja kuzaa mtoto ambaye kamwe hatakufa. Atatengeneza dunia mpya ya watu wa aina yetu na kutawala kila kitu... kila sehemu)," Robby akasema.

"That... that is your plan? And you just called me dumb when you're clearly out of your mind? (Huo... huo ndiyo mpango wako? Halafu umeniita mimi mjinga wakati kumbe wewe ndiyo hauna akili kabisa?)" Draxton akamwambia.

Robby akatabasamu kiasi na kusema, "We'll see. Alicia is ready for you (Tutaona. Alicia yuko tayari kwa ajili yako)."

Draxton akageuka nyuma na kumwangalia mwanamke yule, ambaye sasa alikuwa akija alipokuwa amepiga magoti. Kumbe huyo ndiyo alikuwa dada yake Robby, ambaye wakati fulani nyuma Mark alimwelezea kwa ufupi na pia ndiye aliyehusika kumrarua vibaya Megan pale mgahawani kwake kabla Draxton hajamrudisha kuwa sawa.

Akafika hapo mwanaume alipokuwepo na kumsukuma kwa mguu, kiatu chenye kuchoma cha mwanamke huyo kikimuumiza kiasi mkononi, naye akawa ameanguka na kulala chali. Draxton alihisi kuishiwa nguvu sana, akielewa ni ile dawa waliyotengeneza ya kuwadhoofisha ndiyo iliyomponda namna hiyo, naye akawa anajaribu kuvuta nguvu za kujibadili awe mnyama lakini ikashindikana. Hapa alikuwa amepatikana.

"Make sure you milk all his cum into you my dear... it's like a replica of the tree of everlasting life (Hakikisha unayakamua manii yake yote yakuingie vizuri kipenzi changu... hayo ni kama mfano halisi wa mti wa uzima wa milele)," Robby akamwambia hivyo dada yake.

Mwanamke huyo hakujibu kitu, bali akaivua tu kofia yake na kuirusha pembeni, kitu kilichofanya nywele zake za rangi ya maziwa ziachie na kudondokea mgongoni. Akatoa na barakoa ile ngumu usoni kwake pia, na hapo Draxton akawa amepewa salamu kwa sura moja nzuri sana.

Alicia alikuwa na mwonekano wa miaka kama 40 hivi usoni, na macho yake makubwa kiasi yalipendeza kutokana na ukali wa aina fulani uliokuwa ndani yake, hasa kwa sababu hakuwa mwanamke wa kucheka wala kuzungumza, akiwa makini muda wote. Midomo yake ilikuwa imetuna kiasi na kuacha uwazi mdogo ulioonyesha meno meupe kwa mbali, kana kwamba alikuwa na undugu na mwanamaigizo Angelina Jolie.

Na hapa sasa alikuwa akitumiwa na kaka yake kama mdoli wa kufanyia mapenzi tu kwa sababu isiyokuwa na kichwa wala miguu, na Draxton alielewa kwamba hata mwanamke huyo alikuwa chini ya uchochezi mbaya wa Robby uliomsukuma kufanya chochote kile kaka yake alichotaka.

"Mark please... do something... this is insane... (Mark tafadhali... fanya jambo fulani... huu ni wendawazimu..)" Darla akazungumza hivyo.

Mark akatazama pembeni tu, akionekana kukosa amani kiasi.

Alicia akaanza kuvua nguo yake, akifungua zipu ile ya mbele moja kwa moja mpaka chini, kisha akaivuta kwa nguvu na kuirusha pembeni. Akiwa amebaki na mabuti yake miguuni, mwanamke huyu hakuwa amevalia chochote kile mwilini mwake isipokuwa ngozi yake laini na nyeupe. Miguu yake mirefu ilibeba mapaja manene kiasi yaliyofanya kiuno chake chembamba kilichore vizuri umbo lake, huku kifuani akiwa na matiti makubwa yenye chuchu za kahawia iliyokoza na kuchora O kubwa katikati. Kitoweo chake kilifunikwa kiasi na vinyweleo laini vilivyotindwa vizuri, na hakuwa na tumbo kubwa.

Akasogea karibu zaidi na alipolala Draxton, naye akachuchumaa na kutaka kumshika tumboni lakini mwanaume akaupiga mkono wake kwa nguvu sana akitumia kiganja chake kimoja, naye Alicia akamrukia kifuani na kuikandamiza mikono ya jamaa chini kwa nguvu sana huku akiunguruma kwa kitisho. Meno yake makali yaliweza kuonekana yakirefuka zaidi, na macho yake yakang'aa rangi ya njano kwenye lenzi zake.

"Easy darling... he's just excited. Give him your love and all the anger will go away (Taratibu kipenzi... amechangamka tu. Mpatie upendo wako na hasira zote zitatoweka)," Robby akamwambia hivyo Alicia.

Alicia alikuwa anamwangalia Draxton kwa hasira kali, huku Draxton akiwa anajaribu kuvuta nguvu za upande wake wa kinyama lakini bado akawa anashindwa kubadilika, na hapo mwenye nguvu zaidi akiwa ni mwanamke huyo juu yake.

"Try hard as you might... but you can't change anymore. You're just as close to being a weak human now (Jaribu kwa nguvu zote utakavyo... lakini hauwezi kubadilika tena. Sasa hivi umekaribia kuwa kama mwanadamu dhaifu tu)," Robby akasema hivyo.

"Mark... you pledged your loyalty to me. How is this fool still controlling you? (Mark... uliapa kuwa mwaminifu kwangu tu. Inawezekana vipi huyu mpuuzi bado anaendelea kukuendesha?)" Draxton akaongea kwa mkazo.

"You still don't get it? That pledging shit is nothing compared to the power I have. Mark knows better, and he chose the side that will benefit him wisely (Bado huelewi tu? Hayo masuala ya viapo si kitu mbele ya nguvu nilizonazo. Mark anajua vizuri zaidi, na amechagua kwa busara upande ambao utamnufaisha)," Robby akamwambia Draxton.

Alicia akapunguza urefu wa meno yake, kisha akaifata shingo ya Draxton na kuanza kuinyonya kwa kulazimisha. Draxton akawa anajaribu kufurukuta lakini mwanamke huyo akamdhibiti, naye akajikuta anaanza kuisimamisha mashine yake bila kupenda.

"You couldn't resist that hot pie even if you wanted to (Haungeweza kuikataa hiyo keki ya moto hata kama ungetaka)," Robby akamwambia hivyo Draxton.

"Get off him, you bitch! (Toka juu yake, malaya wewe!)" Darla akaongea kiukali kumwelekea Alicia.

"And cue in the jealousy. Darla... you've disappointed me a lot (Na ndiyo wivu sasa huo umeingia. Darla... umenivunja moyo sana)," Robby akamwambia Darla.

"You... are an imbecile. No matter... what you do... I'll never love you... ever! (Wewe... ni mpumbavu mkubwa. Hata kama... utafanya nini... kamwe sitakuja kukupenda... haitatokea!)" Darla akamwambia.

Wakati huu Alicia alikuwa ameshatambua kwamba mashine ya Draxton ilikuwa hewani, naye akaiachia mikono ya jamaa na kujirudisha nyuma kidogo, kisha akaishika na kuanza kujisugulia kwenye kitoweo chake kwa nguvu kiasi ili kumstimulisha zaidi jamaa.

"Lady... please stop this. He's just using you for a cause that isn't sensible... he's a lunatic. Don't do his bidding when you know very well that when you are no longer of use to him... he'll get rid of you too (Mwanamke... tafadhali acha hili. Anakutumia tu kwa ajili ya sababu isiyopatana na akili... yeye ni mwendawazimu. Usifanye anayoyataka wakati unajua wazi kabisa kwamba matumizi yako kwake yatakapokwisha... atakuondolea mbali na wewe pia)," Draxton akamwambia Alicia kiupole.

Mwanamke huyu akamtazama Draxton kwa umakini.

"She's my sister, you fool. The only family I have. You think you can turn her against me? See how pathetic you look now? Hahahah... Alice... make it quick. We need to get out of here before sunrise... (Yeye ni dada yangu, mjinga wewe. Ndiyo familia pekee niliyonayo. Unafikiri unaweza kumfanya anigeuke? Unaona jinsi unavyoonekana kuwa mpuuzi? Hahahah... Alice... harakisha. Tunahitaji kuondoka kabla ya jua kuwia)," Robby akaongea hayo.

Alicia alikuwa anamwangalia Draxton machoni bado, naye akaiingiza mashine ya mwanaume huyo ndani yake taratibu. Alifikiri kwamba angeweza kuiingiza mpaka mwisho bila shida lakini ujazo aliopata ndani yake ulikuwa mkubwa sana, naye akajikuta anakaza uso na kutulia kwanza kusikilizia hisia kali aliyopata ndani yake. Hii ilikuwa ni kwa sababu mwanamke huyu, akiwa kama mnyama pia, aliishi miaka mingi ndani ya kundi la kaka yake akiwa ndiyo Alpha pekee aliyekuwepo, kwa hiyo ilipofika wakati ambao utimamu wake wa kinyama ulitakiwa kuwekwa vizuri, ni Robby ndiye aliyemshughulikia.

Hakukuwa na jinsi nyingine hata ingawa walikuwa ndugu wa damu. Kwa hiyo ni kwamba mwili wake Alicia ulikuwa umeshazoea Alpha mmoja tu, na sasa baada ya kujiingizia joto la Alpha mwingine, alihisi msukumo mpya wa nguvu ndani yake uliozipandisha hisia zake kwenye ngazi tofauti na ile aliyoizoea kwa kaka yake. Makucha yake yakaanza kurefuka zaidi, naye akawa amefumba macho yake huku akipumua kwa uzito kiasi.

Hali ilikuwa kwa njia hiyo hiyo upande wake Draxton. Dawa aliyopigwa nayo mwilini ilikuwa imemdhoofisha kinguvu katika upande wake wa kinyama, lakini haikuwa imeuondoa upande huo kutoka ndani yake. Alicia kumkalia namna hiyo kukafanya aingiwe na nguvu fulani ndogo iliyomsisimua kwa kadiri iliyomfanya atambue kuwa kwa kuruhusu zoezi hili liendelee, nguvu zake zingerudi, na inaonekana hicho ni kitu ambacho Robby hakujua kabisa. Labda alitarajia kwamba Draxton angeendelea kutulia namna hiyo hiyo tu kiudhaifu, lakini mwanaume huyu alikuwa tofauti.

Huku Robby na Mark wakiwa wanatazama, Alicia akaanza kuzungusha kiuno chake taratibu ili mashine ianze kumsugua ndani yake. Alikuwa akihisi raha mpya na tamu mno japo moto haukuwa mkali bado, naye Draxton akakishika kiuno cha mwanamke huyo ili kumpa hamasa ya kuanza kupanda na kushuka. Alicia akaweka viganja vyake kifuani kwa mwanaume na kuendelea kujisugua, akiongeza kasi kiasi, na akiguna kimahaba kwa sauti ya chini. Angalau sauti yake ilisikika wakati huu, ikiwa nyembamba na laini sana iliyotoa jumbe fulani za deko zenye kupendeza mno, naye Draxton akafumba macho na kuonekana kuridhia kilichokuwa kinaendelea sasa.

"Well, what do you know? It's going greater than I thought it would. Feel like I'm watching Spartacus (Basi, nani angejua? Inakwenda vyema sana kuliko nilivyodhani ingekwenda. Inafanya nihisi kama naangalia Spartacus)," Robby akamwambia hivyo Mark.

Mark akainamisha tu uso wake.

Alicia alikuwa akijisugua kwa nguvu zaidi sasa, akiguna kwa sauti ya juu zaidi, na kidogo tu akajitoa kwake Draxton na kuanza kumwaga juisi utamu za moto kwa mwanaume.

"You must have a really good rod. She likes you (Utakuwa una mashine nzuri kweli. Amekupenda)," Robby akamwambia Draxton kikejeli.

Alicia kweli alionekana kutaka zaidi, naye akaiingiza mashine ya Draxton ndani yake tena. Darla alikuwa anawaangalia huku akitokwa na machozi, na Mark aliona namna ambavyo kutazama jambo hilo kulimuumiza sana dada yake, lakini hakuwa na namna yoyote ya kubadili mambo. Sababu iliyofanya akamsaliti hadi Draxton ndiyo sababu ile ile iliyokuwa imefanya amlete huku kutokea Tanzania, isipokuwa kwa wakati huu ilikuja kivingine. Na hilo lote lingeeleweka ndani ya muda mfupi.

Alicia alikuwa anajitahidi kuupata utamu wote wa Alpha Draxton, akiivuta mashine yake ndani ya kitoweo chake kwa nguvu kwa jinsi alivyojisugua kwa kupeleka kiuno mbele na nyuma kama anasaga karanga kwa jiwe, naye Draxton akajinyanyua na kuwa kama ameketi.

Alicia alishtuka kiasi na kujiandaa kwa lolote lile baya, lakini Draxton akalikamata titi lake moja na kuanza kulinyonya, huku mkono wake mmoja akiutumia kukikandamizia zaidi kiuno cha mwanamke huyo kwake. Akawa anamnyonya na kumng'ata kwa nguvu kiasi kwenye chuchu zake, naye Alicia akawa anamkwarua mgongoni na kukikandamizia zaidi kichwa chake kifuani huku akiendelea kujisugua.

"Told you you can't resist her (Nilikwambia haungeweza kumkataa huyo)," Robby akamwambia Draxton kwa sauti ya chini.

Ilifikia hatua mpaka wawili hao hapo chini wakaanza kupeana denda kimahaba kabisa, ikianza kuonekana kuwa penzi lililofurahiwa na si la kulazimisha. Lakini Draxton alikuwa akiendelea kuivuta nguvu kutokana na nishati aliyopata kutoka kwa Alicia, na alijua ingemsaidia kugeuza mambo yaje vizuri kwa upande wake ili aondoke hapo akiwa amepata ushindi. Hata tu nguvu ya kujinyanyua na kukaa namna hiyo ilitokana na jambo hili alilolazimishwa kufanya, hivyo alitaka kuonyesha kwamba utamu umemkolea na akili yake imeruka mbali ili apate kile alichokitaka.

"Yees... just like that Draxton... eat it up like it's never been eaten before... hahahah... (Ndiyoo... namna hiyo hiyo Draxton... ile kama vile haijawahi kuliwa kabla... hahahah)" Robby akaongea kwa kufurahishwa na mkanda huo wa mapenzi chini hapo.

"What did he promise you... huh? Why are you doing this? (Alikuahidi nini.. eh? Kwa nini unafanya hivi?)" Darla akamuuliza hivyo Mark.

Mark akabaki kimya tu.

Robby akaanza kuelekea kwenye banda lililomfunga Darla, naye akaanza kusema, "You. It was... it is... and will always be about you... Darla. Your brother... and I... we love you very much... (Wewe. Ilikuwa... ndivyo ilivyo... na itaendelea kuwa kwa sababu yako wewe sikuzote... Darla. Kaka yako... na mimi... tunakupenda sana...)"

"F(...) you," Darla akamtukana kwa sauti tulivu.

"And none... of everything... would have happened if you had just stayed with me... in our home... with me (Na hakuna... chochote kati ya yote.. yaliyotokea, yangefanyika ikiwa tu ungebaki nami... nyumbani kwetu... ukiwa na mimi)," Robby akamwambia.

"What home? The home you destroyed to feed your stupid ego? My home was the one you entered with your filthy legs and killed my parents... that was my home. I have never... I am not... and I will never be yours, Robby! Alive... or dead (Nyumbani wapi? Nyumbani ambako ulipaharibu ili tu kuulisha ubinafsi wako wa kijinga? Nyumbani kwangu ni kule ambako uliingia na miguu yako michafu na kuwaua wazazi wangu... huko ndiyo palikuwa nyumbani. Sijawahi kamwe... mimi siyo... na sitawahi kamwe kuwa wakwako, Robby! Mzima... au nikiwa nimekufa)," Darla akaongea kwa hisia.

Robby akaangalia chini kiasi, naye akasema, "Maybe you are right. And I just have to come to terms with that. Which is why I don't want you anymore. You're... as good as dead to me... and it should stand that way (Labda uko sahihi. Na mimi nitapaswa tu kuja kukubaliana na hilo. Ndiyo sababu mimi sikuhitaji tena. Wewe... kwangu mimi ni kama umeshakufa... na itapaswa kuwa namna hiyo)."

Mark akamwangalia Robby kimaswali kiasi.

Wakati huu, Draxton alikuwa akiendelea kupata penzi la kibabe kutoka kwa Alicia, ambaye alimkwangua na kumpiga makofi ili ampe utamu wa hali ya juu zaidi, na mwanaume akawa amepata nguvu mpya iliyomfanya amgeuzie Alicia kwa chini ili yeye awe juu. Alicia alikuwa ameshapagawa haswa na kuishika mashine ya jamaa ili ajiingizie, na ili kuendelea kuzoa nguvu zaidi, Draxton akaruhusu hilo.

Ilipomwingia tena, Alicia akanyanyua miguu yake hewani kabisa na kushika kiuno cha Draxton kwa nguvu ili amhamasishe kumtandika penzi la maana, naye Draxton akaanza kumsugua kwa jeuri zaidi. Alikuwa anapiga, anatulia, anapiga, anatulia, na mwanamke huyo akawa analia kwa sauti ya juu kuendana na kila pigo lilipoingia ndani yake. Akaushika uso wa Draxton na kuanza kumlamba mashavuni, midomoni, puani, masikioni, na maneno ambayo hatimaye akawa ametamka yalikuwa ni ya kumhamasisha mwanaume huyo asiache kumpa mapenzi kwa njia hiyo.

Wengine walikuwa wamekengeushwa na sauti za vilio vya Alicia, na Robby alikuwa akishangaa kiasi ni kwa nini Draxton alijitoa namna hiyo kumpa dada yake penzi zito mno, lakini Mark akakatisha mawazo yake baada ya kusogea karibu yake zaidi.

Robby akamtazama usoni kwa umakini, naye Mark akamuuliza kwa sauti ya chini, "What did you mean by that? (Ulimaanisha nini kwa hilo?)"

"By what? (Kwa lipi?)" Robby akamuuliza pia.

"You said... you'd spare my sister if... I helped you get Draxton (Ulisema... usingemdhuru dada yangu ikiwa... ningekusaidia kumpata Draxton)," Mark akamwambia.

"Yeah, so? (Ndiyo, kwa hiyo?)" Robby akauliza kwa kuudhika.

"Why are you talking about killing her now? (Kwa nini unaongelea suala la kumuua sasa hivi?)" Mark akauliza.

Draxton akawa anayasikia mazungumzo yao, huku akiendelea kuonyesha yuko bize zaidi na Alicia.

"What... did you really think I'd be stupid enough to let her live after all the agony she's put on me for all those years? (Nini... ulidhani kabisa kwamba mimi ni mjinga vya kutosha kumwacha aishi baada ya maumivu yote aliyoniwekea kwa miaka mingi sasa?)" Robby akamuuliza hivyo.

Mark akaishiwa pozi kabisa. Akamwangalia mwanaume huyo kwa hofu na mshangao mkuu. "But... we had a deal (Lakini... tulifanya makubaliano)."

Robby akamgeukia vizuri na kusema, "Change of plans. I'm killing both of them... and it's your choice if you want to join them, or walk away alive (Mipango imebadilika. Ninawaua hawa wawili... na ni maamuzi yako ikiwa utataka kujiunga nao, ama utembee ukiwa hai)."

Mark akaingiwa na hasira kiasi na kusema, "That's not what we agreed on (Hicho siyo tulichokuwa tumekubaliana)."

"No, it's not. So what do you want to do? (Hapana, siyo. Kwa hiyo unataka kufanya nini?)" Robby akaongea kwa dharau.

Mark akaachwa akiwa amechanganyikiwa haswa. Hivi siyo alivyokuwa ametarajia makubaliano aliyofanya na Robby kwenda kabisa.

Alicia aliendelea kulalamika kimahaba chini pale, akiwa amemwaga ute mwingi mithili ya maziwa uliofanya kitoweo chake kitoe sauti ya kufyonza na kutema mate mazito kadiri Draxton alivyoendelea kumtandika penzi zito. Mwanaume alikuwa analivuta joto lililohitajika kuchemsha damu yake vizuri zaidi ili apitilize na kuingia upande wake wa pili, lakini kabla hajafanikiwa kwa hilo, Alicia akawa ametambua upesi kwamba mwanaume huyo alilenga kulileta badiliko lake kwenye uzima. Hii ilikuwa baada ya kuona macho ya Draxton yanabadilika rangi na kuwa ya blue, naye Alicia akajileta kwenye ufahamu mzuri kutoka kwenye penzi hilo lililokuwa limempoteza kabisa.

"Robby... he's changing! (Robby... anabadilika!)"

Onyo hilo la Alicia lilitolewa kwa sauti yenye muungurumo wa juu, naye Robby akashtuka na kumwangalia Draxton. Mark akamsogelea Robby karibu zaidi akiwa na nia fulani, na mwanaume huyo akamsukuma Mark na upesi kwenda hapo wawili hao walipokuwa wakipandishana joto, naye akamvuta Draxton kwa nguvu na kumrushia pembeni.

Draxton akawa amelala chini, kisha taratibu akaanza kujinyanyua ili asimame. Wote wakawa wanamwangalia, Darla akiwa anapumua kwa kasi kutokana na kuogopa usalama wa mwenzi wake, naye Alicia akasimama kilegevu pia. Alikuwa anahisi miguu yake imeishiwa nguvu kiasi, huku kitoweo chake bado kikiwa kinawaka moto, naye akamtazama Draxton kwa umakini.

Mwanaume akasimama wima kabisa na kumwangalia Robby kwa macho makali, na sasa ngozi yake ikaanza kubadilika na kuwa nyeupe. Upande wake wa pili ukawa umefanikiwa kutoka, naye Mark akawa anamwangalia kwa hofu. Draxton aliunguruma kwa sauti ya chini huku amemkazia macho Robby, na mwanaume huyu alikuwa akimtazama kwa ukali pia.

"Nice trick. Almost forgot too much sex ups the heat for your beast. But even so... you are still weak (Ujanja mzuri. Kidogo nisahau kwamba kufanya mapenzi sana kunaamsha joto la mnyama wako. Ila ingawa hivyo... wewe ni dhaifu bado)," Robby akasema hivyo.

Draxton akamwangalia Mark usoni kwa umakini, na mwanaume huyo akarudi nyuma kidogo kwa kuingiwa na woga.

"You think that is enough to take me down? Come at me then (Unafikiri hiyo inatosha kuniangusha mimi? Basi nifuate sasa)," Robby akamwambia hivyo.

Draxton akatoka alipokuwa amesimama kwa kasi sana na kumfikia Robby karibu, naye akamtandika ngumi nzito iliyofanya Robby apaishwe hewani mpaka kufikia kwenye ukuta na kujigonga kwa nguvu, kisha akaanguka chini. Alicia akarefusha makucha yake na meno, kisha akamfuata Draxton kwa kasi.

Mwanaume akageuka upesi na kuiwahi mikono ya mwanamke huyo iliyomfata kwa nia ya kumuumiza, naye akamvuta na kisha kumpiga kichwa puani, halafu akamrusha juu kwa nguvu mpaka kumbamiza kwenye ubao ulioziba dari. Alicia akaanguka chini na kuanza kujivuta ili anyanyuke tena, lakini akashindwa kutokana na kuwa ameumia mguu.

Mnyama-Draxton akageuza shingo yake na kumwangalia Mark, ambaye alikuwa ameshikilia bastola ile ndogo na kuielekeza upande wa Draxton, lakini akawa anashindwa kumpiga risasi zile zenye dawa.

"What are you waiting for? Shoot him! (Unasubiri nini? Mpige risasi!)" Alicia akasema hivyo kwa kuamrisha.

Lakini Mark akaendelea tu kumwangalia Draxton machoni, na mikono yake ikashuka chini taratibu. Alikuwa ameshapatwa na majuto mengi kutokana na usaliti wake aliofanya, hivyo kuendelea kuwa upande wa Robby hakukuwa na faida hasa baada ya mwanaume huyo kudhihirisha kwamba alikuwa anamdanganya tu kumpa uhuru dada yake.

Akabaki kumwangalia Draxton kama vile anasubiri lolote lile ambalo angemfanyia, naye Draxton akaacha kumtazama na kuangalia pale ambapo Robby alidondokea. Mwanaume huyo sasa alikuwa amenyanyuka, na macho yake yalikuwa na lenzi nyekundu zilizotisha. Uso wake ulikunjamana na kutokeza ngozi ngumu zilizojikata kama nyufa au mizizi kuuzunguka, na sauti ya kuunguruma ikawa inasikika kutoka kwenye koo lake.

Draxton akiwa anaelewa vizuri kilichokuwa karibu kutokea, akamwangalia Mark na kusema, "Get Darla out of here (Mwondoe Darla mahali hapa)."

Mark akamtazama kwa njia yenye mshangao kiasi. Ilikuwa ni kama vile Draxton amesahau kabisa usaliti wake mpaka kumwambia afanye jambo hilo.

"Now (Sasa hivi)," Draxton akasema kwa sauti yenye amri.

Mark akamwangalia Robby kwa ufupi, kisha akaanza kulielekea banda lililomfunga Darla upesi.

Ile Draxton amerudi kumtazama Robby, mwanaume huyo akawa ameshamfikia alipokuwa kwa kasi isiyojulikana na kumrushia kiganja chake usoni chenye makucha marefu mithili ya dubu, lakini Draxton akawa amekwepa na kufanikiwa kumzunguka, kisha akampiga ngumi nzito mgongoni. Lakini ngumi hiyo haikuleta matokeo yoyote, kwa kuwa Robby alibaki hapo aliposimama kana kwamba hajaguswa kabisa, kisha akamgeukia na kumtazama.

Draxton akarusha ngumi nyingine usoni kwa mwanaume huyo, lakini Robby akaangalia tu pembeni kana kwamba aliguswa kidogo sana, halafu akamtazama tena mpinzani wake. Mnyama-Draxton akavuta nguvu zaidi ili ampige mwanaume huyo tena, lakini Robby akawahi kumtandika kofi zito lililomrusha Draxton kufikia kontena lingine mpaka akakunja chuma aliyojibamizia hapo. Hiyo ilikuwa nguvu kali sana.

Mark sasa alikuwa kwenye banda la Darla, naye akawa amefanikiwa kulifungua kwa kutumia funguo ambayo aliichukua kutoka kwa Robby muda ule amemsukuma ili kumtoa Draxton juu ya Alicia. Mwanaume huyu alikuwa ametumia akili yake vizuri katika hilo, akiwa aliichomoa kutoka mfukoni kwa Robby bila jamaa kutambua kabisa, na sasa akawa amemfikia dada yake ndani humo na kumgusa, naye Darla akamtazama usoni.

"Darla... I need to get you out of... (Darla... nahitaji kukuondoa mahali ha...)"

"Dont touch me! (Usiniguse!)" Darla akampiga mkononi kwa hasira na kusema hayo kwa hisia.

"Darla please... (Darla tafadhali...)"

"When? (Lini?)" Darla akauliza.

Mark akabaki kumtazama kwa hisia.

"When did you start this betrayal, Mark? (Ulianza lini huu usaliti, Mark?)" Darla akauliza huku akilia.

Mark akamtazama kwa huzuni, kisha akasema, "Just after you got kidnapped (Ni baada tu ya wewe kutekwa)."

Darla akakunja uso kimaswali kiasi, naye Mark akaona amwelezee kwa ufupi.

Akamkumbusha siku hiyo wakati ambao Draxton na Darla walifika pale hospitalini kumjulia hali, na ndiyo kifaa chake cha kikazi kikabipu kumwita aingie wodini kwa ajili ya mgonjwa. Akasema alipofika kule, alikuta chumba kikiwa kimezungukwa na watu kadhaa wa Robby, na Robby mwenyewe alikuwa humo pia. Kifaa kilichotumika kumwita Mark kilikuwa mkononi mwa huyo mwanaume, ambaye aliwaua wauguzi wote sehemu hiyo kimya kimya. Akawa amemwambia Mark kwamba jengo hilo tayari lilikuwa limezungukwa na watu wake, na ndani ya dakika chache tayari angekuwa amemteka dada yake na kumpeleka sehemu ambayo angempa adhabu mbaya kwa sababu ya kumkimbia, na wote waliomsaidia angewakamata na kuwapa upendo huo huo.

Ndipo Mark akamwomba sana asimuumize dada yake, naye angefanya chochote kile, hata kama alitaka kumuua yeye badala ya Darla. Ndiyo Robby akampa mtihani wa kuchukua damu ya Draxton na kumpatia ili aifanyie jaribio fulani, na wakati ambao angefanikiwa basi angemwachia Darla. Ingawa Mark alijitahidi kufuata maagizo ya mwanaume huyo, bado Robby alimtendea Darla vibaya na kwa hasira akamfungia humo bila kumpa chakula na maji ya kutosha. Mark akasisitiza kwamba alifanya yote hayo kwa sababu ya upendo aliokuwa nao kwa Darla, akiwa ndiye ndugu yake wa damu pekee aliyebaki duniani.

Darla alikuwa akilia bila kutoa sauti, akiwa bado ameumizwa sana na matendo ya Mark yaliyosababisha marafiki zake na watu-mwitu wengine wauwawe mikononi mwa Robby.

Mark akajifuta machozi upesi na kumwambia, "I'm sorry Darla... but we need to get out of here. We'll... settle other things later (Nisamehe Darla... lakini tunahitaji kuondoka hapa. Tuta... suluhisha mambo mengine baadaye)."

Akamsogelea dada yake na kumwokota, akimbeba ili waweze kuondoka.

Alipokuwa amemtoa tu nje ya banda hilo, akahisi anachomwa na makucha marefu chini ya mgongo kutokea nyuma, naye akaguna kwa kukaza meno na kujikuta amemwachia Darla. Ilikuwa ni Alicia ndiye aliyemchoma namna hiyo, naye akawa anayaingiza makucha yake ndani zaidi ya mwili wake Mark kumpa maumivu makali, ndipo Mark akapiga kelele na kujigeuza kuwa mnyama kabisa.

Badiliko lake lilifanya Alicia arushwe nyuma kiasi, na mwanamke huyu akafumuka pia na kuwa mbwa-mwitu kamili. Wote walikuwa na rangi za kahawia na nyeusi kiasi, isipokuwa kahawia ya Alicia ilikoza sana kukaribia kuwa na weusi wa chocolate. Wakaungurumiana na kisha kuanza pambano kali, huku Darla akiwa amelala chini kiuchovu akiwatazama.

Upande wake Draxton, aliendelea kushushiwa kipondo cha nguvu na Robby kilichofanya aanze kudhoofika zaidi. Robby alikuwa anamtesa, hasa kwa sababu Draxton hakuweza kujigeuza kuwa mnyama kikamili kutokana na nguvu ambayo alikuwa amevuta kuwa ndogo bado. Alipigwa haswa, mpaka akatoka ndani ya badiliko lake la kati na kulala chini akiwa amejaa damu tele usoni na mwilini. Hata kasi ya mwili wake kujiponya haikutosha tena, na Robby akawa anamzunguka tu huku akimwangalia kikatili.

"What did you think, young one? You thought you could beat me? You thought you could win? (Ulifikiri nini, kijana mdogo? Ulidhani ungeweza kunipiga mimi? Ulidhani ungeweza kushinda?)"

Robby akawa anamuuliza hivyo, huku Draxton akiwa nyang"anyang'a chini tu, asiweze hata kupumua vizuri.

"Like I said... my patience has run out. Anything that gives me trouble... I eradicate it immediately. I was saving you up for something... but now you've made me change my mind again because of your stubbornness (Kama nilivyosema... subira yangu imefikia mwisho. Kitu chochote kinipacho shida... huwa nakiondoa upesi. Nilikuwa nakutunza kwa ajili ya jambo fulani... lakini sasa umefanya nimebadili mawazo yangu kutokana na king'ang'anizi chako)," Robby akamwambia.

Akamkanyaga kichwani na kuanza kukikandamiza, huku Draxton akijaribu hata kuutoa mguu huo lakini akashindwa, naye Robby akashusha pumzi ndefu.

"You should have just bathed my sister's insides thoroughly and we could have gotten away with this using another way. Why did you have to fight? You still lose (Ungefanya tu kuogesha undani wa dada yangu vyema kabisa nasi tungeyamaliza haya kwa kutumia njia nyingine. Kwa nini ukaamua kupigana? Bado tu umepoteza tena)," Robby akasema.

Mwanaume huyu alijua kwamba kumuua kabisa Draxton kungehitaji amwingize kwenye ile mashine ya kusaga ili asije akajirudisha upya kuwa hai, na alipokuwa anataka kufanya hivyo, akaangalia upande ule ambao Mark na Alicia walikuwa wakipambana.

Ingawa Mark alikuwa ameumizwa kiasi na Alicia, sasa ni yeye ndiyo alikuwa anamtandika jike huyo haswa, bila huruma hata kidogo. Alimng'ata na kumbamiza huku na kule mpaka Alicia akashindwa kunyanyuka kwa uharaka tena. Mbwa-mwitu wa Mark akawa amepata nafasi nzuri kabisa ya kummaliza Alicia, naye akamfata kwa kasi ili ammalize kwa pigo la mwisho lakini ghafla Robby akaja mbele yake na kuishika shingo yake, kisha akainyonga kwa nguvu sana!

Darla aliona jambo hilo, naye akaita kwa sauti ya juu kiasi, "Maaark!"

Robby alikuwa na nguvu aisee. Bado mwili mkubwa wa mbwa-mwitu wa Mark uliendelea kufurukuta lakini jamaa akawa ametulia tu na kuendelea kuishikilia shingo yake mpaka mbwa-mwitu huyo alipotulia kabisa, na Mark ndiyo akawa amekufa!

Robby akamrusha pembeni kwa nguvu, kisha akakung'uta mikono yake kama kuonyesha amemaliza kazi, na akajipangusa nguo yake na kumwangalia Alicia pale chini; ambaye sasa alikuwa anarejesha umbo lake la kibinadamu.

"That idiot didn't drop even a tiny cum inside you? (Huyo mpumbavu hajakudondoshea hata tone dogo la manii ndani yako?)" Robby akamuuliza Alicia.

Akiwa anapumua kiuchovu na maumivu, Alicia akatikisa kichwa kukanusha.

"Well, f(...) it! It's been a waste of time. Pull yourself together... I'll kill em' and we're out of here (Basi, tuachane nalo! Imekuwa ni kupoteza tu wakati. Jikusanye vizuri... nitawaua hawa nasi tuondoke hapa)," Robby akazungumza hivyo kwa sauti tulivu.

Alicia akaanza kujinyanyua taratibu, naye Robby akamtazama Darla. Mwanamke huyo alikuwa amejivuta mpaka pale ambapo mwili wa kaka yake ulitupwa, na sasa ulikuwa umegeuka kuwa maiti ya kibinadamu. Alikuwa analia kwa uchungu sana huku akimwomba Mark samahani kutokana na yeye kuwa sababu iliyofanya sikuzote Mark ajidhabihu katika mengi kwa ajili yake mpaka kufikia kifo, naye Robby akaanza kuelekea hapo.

Akafika karibu zaidi na kuchuchumaa usawa wa Darla, kisha akazishika nywele za mwanamke huyo na kuzipitisha puani mwake; akizinusa kimaigizo kisha kumtazama tena mwanamke huyo.

"You... you should have just... stayed with me. None of this would have happened (Wewe... yaani wewe ungefanya tu... kubaki na mimi kipindi kile. Haya yote yasingetokea)," Robby akamwambia hivyo.

Darla akaendelea tu kulia kwa kwikwi huku bado akiwa amemshikilia Mark, naye Robby akawa anatafakari ni kifo gani chepesi alichotakiwa kumpa mwanamke huyo ili roho isimuume sana. Sehemu fulani ndani ya moyo wake wa kikatili bado ilimpenda Darla, lakini sasa hakuona tena umuhimu wa kuendelea kulazimisha mapenzi ambayo hayakuwahi kuwepo, na njia nzuri kwake ya kumsahau kabisa mwanamke huyo ilikuwa kumuua.

Akaamua tu kumsogelea karibu zaidi na kurefusha makucha yake taratibu, na akiwa na lengo la kumchoma polepole kwenye mshipa wa damu shingoni uliopitisha mawasiliano kuelekea kwenye ubongo. Angekufa taratibu bila maumivu kuwa makali sana, na ile amenyanyua tu kiganja chake, sauti za vishindo kumwelekea zikaanza kusikika zikija kutokea kule ambako Draxton aliingilia, naye akapatazama kwa tahadhari.

Ghafla tu akatokea mnyama mkubwa na kumfikia Robby hapo chini, na kabla jamaa hajafanya lolote lile tayari mnyama huyo akawa amempiga kwa nguvu sana akitumia mguu wake wenye makucha marefu. Robby akarushwa mpaka kufikia kwenye mashine ile ya kusaga, naye akadondoka chini huku mwili wake ukiwa umevunjika-vunjika mifupa kwa ndani.

Darla akamwangalia mnyama huyo mkubwa, naye akamwangalia pia. Alikuwa kama mbwa-mwitu lakini si kama wao walivyokuwa. Manyoya yake yalikuwa na rangi ya blue-bahari, na mkia pamoja na masikio yake yalikuwa marefu zaidi kupita kawaida ya watu-mwitu wenzake, naye Darla akawa ametambua kwamba huyo alikuwa ni Megan!


★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU

★★★★★★★★★★★★★★★★★


Mwanamke huyo alikuwa ameamua kumfuatilia Draxton baada ya jamaa kumwacha yeye na Aysel kule maktaba. Lakini alifanya jambo hilo baada ya yule mwanadada Julia kuwasaidia kutoka pale maktaba na kuwapeleka kwenye chumba alichokaa katika hoteli fulani ndani ya jiji, na baada ya wote kwenda kujipumzisha yeye Megan akatoroka ili aweze kuja kuhakikisha Draxton yuko salama. Alikuwa anahofia sana uzima wa Alpha wake kwa sababu alimpenda sana sasa, na ndiyo akawa amefanikiwa kuingia chini ya jengo hilo mpaka kufika ndani hapo na kumtandika Robby namna hiyo.

Baada ya kuwa ametazamana na Darla, mwanamke huyu akamwonyesha pale ambapo Draxton alikuwa amelala, na mbweha-mwitu wa Megan akamkimbilia na kusimama karibu yake. Draxton alikuwa amepigika vibaya bado, dawa ile aliyopigwa mwilini ikiendelea kuzuia uponyekaji wake kufanya kazi, na akiwa anahisi kukaribia kifo lakini kutokukifikia. Megan akawa anajiuliza afanyeje maana hakuelewa vizuri kilichokuwa kimemkuta Alpha wake, naye Draxton akawa amemtambua baada ya kumwona kwa mbali sana kwa jicho moja.

Megan akamshika kifuani akijaribu labda kutoa nguvu yoyote ile ili imponye jamaa, lakini ikashindikana. Akaanza kusikia sauti za mifupa ikijikunja na kujinyoosha, naye akageuka na kumwona Robby akiwa anaanza kubadilika mwili, ukichukua umbo la mnyama mkubwa taratibu. Megan akamwangalia kwa hofu kiasi maana alijua Robby kubadilika kabisa kuwa mbwa-mwitu ilikuwa hatari zaidi, naye akafikiria labda ambebe Draxton kwa mdomo kisha ajaribu kutoroka naye.

"Kill me... (Niue...)"

Megan akamwangalia Draxton baada ya kusikia maneno hayo kutoka kwake, lakini hakuitikia haraka kutokana na kutojua yalisemwa katika maana gani.

"Kill me... before he does... (Niue... kabla ya yeye kuniua...)"

Draxton akasema maneno hayo kwa sauti yenye maumivu makali, naye Megan akamwangalia Robby. Sasa mwanaume huyo alikuwa amebadilika na kuwa mbwa-mwitu kamili, mwenye umbo kubwa, macho mekundu, manyoya meusi mwili mzima, na muungurumo mzito ukisikika kutoka kwake uliomtia hofu Megan pamoja na Darla aliyekuwa pale chini.

Alicia alikuwa amesimama upande ambao haukuwa mbali na pale Darla alipokuwa amekaa na mwili wa Mark, na mbwa-mwitu wa Robby akamwangalia. Alikuwa anampatia amri dada yake kwa njia ya macho ambayo aliielewa vizuri kabisa, naye Alicia akatikisa kichwa kukubali. Akamgeukia Darla na kuanza kumwelekea upesi, naye Robby akamtazama Megan kwa hasira.

Megan akiwa kama mnyama akajiandaa kwa ajili ya shambulizi ambalo Robby angelileta kwake, lakini akahisi mguu wake wa nyuma unaguswa na Draxton, naye akamwangalia.

"Please... (Tafadhali...)"

Draxton akaomba hivyo, naye Megan akamtazama Robby upesi. Mbwa-mwitu huyo mwenye kutisha alikuwa anamfata taratibu tu, hivyo Megan akajigeuza na kuing'ata shingo ya Draxton kwa nguvu, na baada ya Robby kuona hilo akaunguruma kwa hasira na kuurukia mkia wake Megan, kisha akamng'ata kwa nguvu na kumvuta mpaka kumrusha mbali pembeni.

Mnyama wa Robby akamwangalia Draxton na kuona kwamba mwanaume huyo alikuwa amekufa tayari, naye akajua hilo lingekuwa hatari maana bila shaka mwili wake ungejirudisha baada ya muda mfupi, kwa hiyo angehitaji kumwingiza kwenye ile mashine upesi ili ammalize kabisa.

Akaanza kumfata na kujaribu kumwokota kwa meno yake, lakini Megan akawa amerudi na kumrukia mgongoni na kuanza kumsumbua kwa kumng'ata juu juu, naye Robby akafanikiwa kumtoa na kumtandika vibaya kichwani kwa mguu wake, kisha akamrusha mbali sana na hapo ili asimpotezee muda. Umakini wake ukarudi kwa Draxton tena.

Wakati hayo yalipokuwa yanaendelea, Alicia alikuwa amemfikia Darla na kufanikiwa kumwondoa karibu na mwili wa Mark, kisha akamsukuma pembeni kwa nguvu. Amri aliyopewa na Robby ilikuwa kumuua Darla halafu yeye Robby ashughulike na Megan na Draxton, na ndicho ambacho mwanamke huyu alitaka kufanya sasa.

Alicia alikuwa anamsemesha Darla kwa dharau, akimwambia kwamba hana hadhi tena ya kuwa malkia wa kaka yake, na kwamba hadi mpenzi wake, yaani Draxton, alikuwa amefanya mapenzi na yeye Alicia kwa kupenda kabisa kwa sababu ya utamu mzuri wa Alicia tofauti na uchungu ambao sikuzote Darla aliutoa.

Akijua kwamba Darla hakuwa na nguvu wakati huu za kupambana tena, akamsogelea na kuchuchumaa karibu yake zaidi, kisha akakishika kidevu chake na kumwangalia usoni kikatili. Akamuuliza Darla ikiwa alikuwa na maneno yoyote ya mwisho ya kuongea kabla ya kufa tofauti na kaka yake aliyeuawa bila kutoa hata sala ya mwisho, naye Darla akazungumza maneno machache tu.

"You talk too much... (Unaongea sana...)"

Alicia alikuwa anataka kuinyonga shingo ya mwanamke huyo baada ya yeye kusema hivyo pale alipohisi kitu kikali kikimchoma ubavuni mwake. Akajikuta ameshtuka na kutoa macho, akisikilizia maumivu makali yaliyomwingia, naye akajiangalia tumboni na kuona kwamba Darla alikuwa ameshika bastola ndogo ambayo ndiyo ilifyatua risasi zile zenye dawa ya kuwadhoofisha watu-mwitu alizotengeneza Robby.

Kumbe wakati Alicia amemsukuma Darla, mwanamke huyu alidondokea sehemu ambayo Mark aliiangushia bastola hiyo, naye akaificha vizuri nyuma ya mkono wake na kujiweka kama vile hana ujanja tena, na ndiyo sasa akawa ameutumia huo ujanja. Alicia alihisi nguvu zikianza kumwishia, tena zaidi kwa sababu risasi hiyo ilimpiga akiwa katika hali ya uanadamu, kwa hiyo ilimnyonya nguvu nyingi.

Kilichokuwa kimefanya hata Darla awe dhaifu kwa namna alivyokuwa sasa ilikuwa ni dawa hiyo hiyo ambayo Robby aliitumia kumfanyia yeye majaribio pia, na ndiyo akaitumia kwa watu-mwitu wenzake pia na kuwaua. Alicia akadondokea pembeni na kuanza kupumua kwa uzito sana, huku damu ikiwa inamtoka tumboni, na kwa kuhisi udhaifu hata zaidi Darla akaanguka pia na kulala chali, akiwa anatamka jina la Draxton taratibu na kwa huzuni.

Upande wake Robby, alikuwa amemfikisha Draxton aliyekufa kwenye mashine ile na kumtupia sehemu ya kusagia, kisha akaelekea sehemu yenye kiwashio chake na kuiwasha. Ilihitajika avute waya fulani mgumu ili mashine ianze kuzungusha chuma zenye kusaga kama tu mashine ya kusagia nafaka, lakini zenyewe zikiwa kali zaidi. Akaikamata kwa meno na kutaka kuivuta, lakini muda huo huo Megan akawa amefika karibu na hapo na kumpamia mbwa-mwitu wa Robby kwa nguvu, na waya huo ukamtoka mdomoni.

Robby akaunguruma kwa hasira na kumng'ata Megan ubavuni kwa nguvu sana, kisha akambamiza chini na kutumia miguu yake kumkandamiza kwa nguvu, halafu akainyofoa kwa hasira sehemu hiyo ya ubavu aliyokuwa ameing'ata. Megan alipiga kelele na kufurukuta kwa nguvu kutokana na maumivu makali aliyohisi, naye Robby akaona aachane naye ili akamilishe zoezi lile la kummaliza Draxton kabla....

Kabla hajaifata tena mashine ile kubwa, akashangaa kuiona inanyanyuka juu na kisha kurushwa kwa nguvu hewani mpaka ikapasua kuta ama sakafu kwa upande wa juu wa jengo hilo iliyosababisha mawe mazito yaporomoke na vumbi kutawala. Jambo hilo likasababisha taa za huko chini zizimike na baadhi ya nyaya zilizokatika kutema cheche kutokana na shoti kubwa zilizojitokeza.

Mbwa-mwitu wa Robby akarudi nyuma kidogo na kuangalia kwa umakini mbele ya vumbi hilo, naye akaweza kuona macho makali yenye lenzi za blue yakiwa yanamtazama gizani hapo, naye akaelewa moja kwa moja kwamba huyo alikuwa Draxton mwenyewe, ndani ya miguu minne!

Ni kweli kabisa Draxton alihitaji muda mfupi tu kuweza kujirudisha kuwa hai tena, na alichokihofia Robby ndiyo kikawa mbele yake sasa. Kilichokuwa kimempa Robby nguvu muda ule ni ile dawa aliyompiga nayo Draxton, na angekuwa amemshinda endapo kama Megan asingekuja kumharibia mipango yake, hivyo sasa angetakiwa kupambana dhidi ya Alpha Draxton akiwa mnyama kamiligado.

Vumbi likaanza kufifia, na mwili wa Mnyama-Draxton ukaanza kuonekana vizuri. Alikuwa amerudi kuwa mnyama kamili, manyoya meupe yaliyomtofautisha vyema na manyoya meusi ya Robby yakionekana vyema, naye akaunguruma kwa hasira kali. Robby akaunguruma pia kwa hasira, nao wakafatana kwa kasi na kuanza kubutuana!

Alpha kwa Alpha. Fahari wawili chini ya ardhi moja. Kiukweli Robby alikuwa na nguvu sana, kwa sababu alijitahidi kumdhibiti Draxton kwa utashi mwingi mno, lakini bado hasira ya Draxton ilikuwa kali mno kuweza kushindwa. Alipigana na Robby kwa moyo wake wote, akiangushwa chini mara nyingi lakini asikawie kusimama tena, na Robby akaanza kuishiwa nguvu.

Alikuwa amechoshwa na king'ang'anizi cha Draxton cha kutaka kuendelea kupambana naye mpaka akajikuta anaanza kumkimbia kabisa, na Draxton hakuwa mbali naye kuhakikisha hatorokwi. Damu, maumivu, hisia nyingi zilikuwa zimemwagwa kutoka kwa mnyama wa Draxton, lakini alitia bidii yote kuhakikisha anamshinda kiumbe huyo.

Hatimaye, Robby akawa ameishiwa nguvu hata zaidi na kujikuta anarudia hali yake ya kawaida kuwa mwanadamu, naye Draxton akajirudisha kuwa mwanadamu pia. Wakaanza kupigana hata wakiwa namna hiyo hiyo, ikiwa kama vile Draxton alitaka kuendelea tu kupigana mpaka mwisho.

Wakafika usawa ambao mashine ile ilikuwa imedondokea, nao walikuwa wanadundana ngumi kwa kupokezana. Robby angempiga usoni, naye Draxton angerudisha pia, wakiwa wamechoka haswa, wameumizana haswa, na ndipo Robby akafanikiwa kuushika waya ule wa kuvuta kwenye ile mashine na kumrukia nao Draxton, akiuzungusha kutokea mgongoni kwake na kumkaba nao shingoni kwake. Draxton akawa anajaribu kumtoa lakini Robby akamdhibiti tu.

"You... will never be... victorious... (Wewe... hautaweza kamwe kuwa... mshindi...)" Robby akamwambia hivyo.

Draxton alikuwa ameukaza waya ule kwa pande za shingo ili Robby asiuvute sana kuiumiza shingo yake, naye akasema, "You forget fast... (Unasahau upesi kweli...)"

Robby akaendelea kujitahidi kumkaza, naye Draxton akamalizia maneno hayo kwa kusema...

"What kills me... heals me... (Kinachoniua... ndiyo huniponya...)"

Baada tu ya yeye kusema hivyo, akakanyaga sehemu ya kuwashia mashine ile, kisha akapiga kelele huku akimvuta Robby kutokea mgongoni kwake kwa kuinama kuelekea mbele. Hii ikafanya waya ule uvutike zaidi, na kadiri ambavyo Robby alibinukia mbele kutokea mgongoni kwake Draxton, ndiyo ukawa unajivuta zaidi na kuanza kuzitendesha chuma zenye kusaga. Hivyo, Draxton alipomtupia Robby mbele yake kwa kuviringika, mwanaume huyo akadondokea kwenye sehemu ya kuingizia vifaa vya kusagwa, na vile vyuma vikampokea na kuanza kumwingiza ndani zaidi!

Robby alipiga kelele za maumivu makali yaliyomwingia mwilini, akivutwa kwa nguvu ya mashine hiyo kuanzia miguuni kupanda juu, na upande mwingine wa mashine hiyo ukawa unatema damu yake nyekundu tu kama bomba la mvua linalotoa maji kwa fujo sana. Draxton alikuwa amefanikiwa kujitoa ndani ya ule waya aliofungiwa shingoni, naye akawa amekaa chini sasa huku akimwangalia Robby anaishilizia tu ndani ya mashine hiyo mpaka ilipomaliza kumsaga kabisa, na mwanaume akafumba macho na kuinamisha uso wake kiuchovu.

Alikuwa amepitia hali moja nzito zaidi kwenye suala hili la kubadilika katika maisha yake, na kuwa sehemu hii wakati huu ilionekana kama vile alikuwa anaota ndoto mbaya tu. Kitu cha kwanza kilichoingia akilini mwake baada ya Robby kuwa amekufa ikawa ni kutaka kujua hali ya Darla, naye akaangalia upande ule alikokuwa mwanamke huyo. Akaanza kujivuta chini hapo kwa jitihada yote aliyokuwa amebakiza, naye alipokaribia sehemu hiyo akakutana na jambo moja baya sana.

Wakati alipokuwa ameanza pambano lake na Robby, moja kati ya mawe mazito ya sakafu yaliyoporomoka kutoka kule juu lilikuwa limeangukia sehemu ambayo Darla pamoja na Alicia walikuwa wamelala, na lilikuwa limemponda vibaya sana Alicia kiasi kwamba Draxton alipomwona tu alitambua kwamba tayari alikuwa amepoteza maisha; tumboni, nondo nene ndani ya jiwe hilo zikionekana kuchoma mwili wake vibaya. Na Darla, Darla alikuwa amepondwa vibaya sehemu za miguu kufikia kiunoni na tumboni, na alikuwa ametapika damu nyingi sana kuonyesha jinsi gani uzito wa mawe hayo ulivyokuwa umevuruga viungo vya ndani vya mwili wake.

Draxton akaingiwa na simanzi kubwa sana, naye akajitahidi kunyanyuka na kutembea huku akitetemeka miguuni mpaka alipodondokea karibu kabisa na kichwa cha mwenzi wake. Akajiburuza na kufika usoni kwake, naye akamshika shavuni kwa wororo.

"Darla..."

Draxton akaita hivyo kwa hisia sana, naye Darla akafumbua macho yake na kugeuzia shingo upande wa Draxton ili amtazame.

"Darla... I'm sorry... (Darla... nisamehe...)" Draxton akamwambia hivyo huku machozi yakionekana kumlenga.

Darla alikuwa anashtuka kifuani kama vile mtu mwenye kwikwi, naye akajitahidi kusema, "Mm..my... mate... (Mm..mwenzi... wangu...)."

"Darla... where does it hurt... huh? Tell me... I can... I can use my blood to hea... to heal you... (Darla... inauma sehemu ipi... eh? Niambie... naweza... naweza kutumia damu yangu kukupon... kukuponya...)," Draxton akaongea kwa sauti tetemeshi.

"Mm... my... my... (... wangu... wangu...)"

Darla alishindwa kuongea vizuri, na ilikuwa wazi kwa Draxton kwamba isingewezekana kabisa kumtoa ndani ya hali hiyo ingawa hakutaka kukubali kumwachia kirahisi. Akarefusha meno yake makali na kujing'ata mkononi kama vampire, naye akamwekea mdomoni mkono wake ili damu hiyo imwingie, lakini Darla akaonyesha kutotaka kupokea msaada huo.

"Drink this... please... (Kunywa hii... tafadhali...)" Draxton akamwomba.

Darla akafumba macho na kutikisa kichwa kidogo kuonyesha hataki jambo hilo.

"Come on... Darla... drink it... it will... heal your injures internally, okay? Then we'll get the hell out of here... right? Come on... (Haya basi... Darla... kunywa... ita... ponya majeraha yako ya ndani, sawa? Halafu tutaondoka mahali hapa haraka... si ndiyo? Haya basi...)"

Draxton akawa anajaribu kumsisitizia juu ya hilo, lakini Darla akanyanyua mkono wake kifuani na kukishika kiganja cha Draxton, akikisogeza pembeni taratibu.

"Please... please... Darla... I need you... let me heal you... (Tafadhali... tafadhali... Darla... nakuhitaji... niruhusu nikuponye...)" Draxton akamwomba.

Darla akawa anatoa kwikwi na pumzi za kushtua, naye akasema, "Not... eev... every...thing... heals... Draxton... (Si... kk... kila...kitu. . huponywa... Draxton...)"

Draxton akaingiwa na simanzi zaidi moyoni mwake, naye akaanza kumwaga machozi.

Darla akasema, "Thank... you... for... hh... bee..ing... my true... mm... mate (Asa... nte... kwa... hh... ku...wa... mwenzi... wwangu... wa kweli)."

Draxton akakishika kiganja chake Darla na kukikaza kwa vidole vyake, akimwangalia kwa huzuni kuu.

Darla akadondosha chozi huku akimwangalia kwa hisia sana, naye akasema, "I... I love you (Nina... ninakupenda)."

Kisha mwanamke huyo akafumba macho yake taratibu, na pumzi zake zikakata.

Draxton alihisi mwiba mkali ukimchoma moyoni ndani kwa ndani, si kwa sababu tu ya huzuni aliyoipata kutokana na kifo cha Darla, bali pia kwa sababu upande wake wa kiroho kwenye unyama wake ulihisi kuondokwa na muungano uliokuwa nao na mwenzi wake wa kweli, hivyo ulikuwa umeukatisha baada ya Darla kufa.

Draxton alilia, si kwa sauti, lakini alilia kwa hisia sana. Akakiweka kiganja cha Darla usawa wa mdomo wake na kuendelea kulia huku akimtazama kwa huzuni sana, naye akainamisha uso wake usawa wa shingo ya mwenzi wake aliyetokea kumpenda na kumthamini sana kwa muda aliokuwa ametumia pamoja naye. Alihisi kushindwa. Alihisi kama vile maneno ambayo Robby alimwambia kuhusu yeye kutoweza kushinda yalilenga kwenye suala hili lililokuwa limetokea sasa, na hiyo ilimuumiza mno.

Akanyanyua uso wake na kumwangalia tena Darla, kisha akamsogelea zaidi na kubusu paji lake kichwani, naye akaendelea kukaa karibu yake zaidi. Ingawa alikaa naye kwa muda mfupi tu toka alipofika Marekani, alikuwa ameshamzoea sana, na kumbukumbu ya mambo yote waliyofanya, tabia za mwanamke huyo mpaka kila kitu alichopitia maishani, vikamfanya azidi kububujikwa na machozi zaidi, akihisi uchungu wa kupoteza mtu mwingine aliyempenda kama ilivyokuwa kwa Ramona.

Akahisi kitu fulani kwenye mkono wake, naye akajitazama kiganjani na kuona mchubuko mdogo katikati uliokuwa ukijiponya taratibu, na jambo hilo likamleta kwenye utambuzi wa kuwa hapo alikuwepo mwanamke mwingine aliyeumizwa vibaya, na alihitaji msaada. Ilikuwa imeshamtoka kabisa akilini mwake, naye akajifuta machozi na kugeukia upande mwingine wa sehemu hiyo. Akanusa harufu hewani na kuipata ya mhusika wake, kisha akaanza kujivuta ili anyanyuke.

Akajitahidi kusimama, naye akajikongoja mdogo mdogo mpaka pale harufu ya mwanamke huyo ilipokuwa, na alipofika akamwona sasa Megan akiwa amelala chali huku sehemu ya ubavu wake ikiwa imeraruliwa na kutoa damu nyingi. Alikuwa anafumba na kufumbua macho kilegevu sana, naye Draxton akachuchumaa karibu yake na kukishika kichwa chake.

Megan akajitahidi kumwangalia, kisha akauliza, "Draxton?"

Draxton akajibu, "Yes... it's me (Ndiyo... ni mimi)."

Megan akarudi kufumba macho na kusema, "You beat him... thank God (Umemshinda huyo mwanaume... shukrani kwa Mungu)."

"You shouldn't have come (Hukutakiwa kuja hapa)," Draxton akasema.

Megan akamtazama kilegevu na kusema, "I couldn't help it... you're very important... to me (Sikuweza kujizuia... wewe ni muhimu sana... kwangu)."

Draxton akainamisha uso wake kwa huzuni kiasi, kisha akakichukua kiganja cha mwanamke huyo na kumwingizia cha kwake, naye akasema, "Go on. Siphon my energy to rebuild your body (Haya fanya vile sasa. Vuta nishati yangu ili uujenge upya mwili wako)."

"But... I can't... (Lakini... siwezi...)"

"Why not? (Kwa nini usiweze?)"

"You're not strong enough as of now... and... (Hauna nguvu za kutosha kwa wakati huu... na...)"

"Just do it. I'm not losing you too, you understand? (Fanya tu hivyo. Siwezi kukupoteza na wewe pia, unanielewa?)" Draxton akamwambia.

Megan akabaki kumwangalia kilegevu.

"Do it now (Fanya hivyo sasa hivi)," Draxton akasema.

Megan akafumba macho yake, na hapo hapo kiganja chake kikaanza kung'aa mwanga wa blue-bahari, nao ukasambaa mwilini mwake. Draxton alihisi nguvu nyingi zaidi ikimtoka na kufanya alegee mno, lakini akaendelea kukaza tu ili amwokoe mwanamke huyu.

Baada ya dakika kama mbili, mwanga huo ukafifia, naye Draxton sasa akawa akiutazama mwili wa mwanamke huyo uliokuwa umenawiri vyema tena kama vile hakuwa ameumizwa dakika kadhaa zilizopita. Akakiachia kiganja chake na kujitahidi kumnyanyua, naye Megan akaketi. Draxton akakaa chini pia huku wote wakiwa kama walivyozaliwa, naye Megan akamwangalia kwa umakini. Mwanaume alionekana kuwa na huzuni sana, na Megan akataka kujua ikiwa rafiki yake kipenzi alikuwa salama.

"Darla?" Megan akauliza hivyo kwa sauti ya chini.

Draxton akamwangalia kwa ufupi machoni, kisha akatazama chini tena na kutikisa kichwa kuonyesha kwamba hakuweza kumwokoa.

Megan akashusha pumzi kwa kilio na kuziba mdomo wake, naye akaona huzuni kuu kwenye uso wake Draxton iliyofanya mwanaume akaribie kuangusha machozi. Megan akamfata karibu na kupiga magoti chini, kisha akakilaza kichwa cha mwanaume huyo kifuani kwake kwa njia ya kukumbatia ili ampe kitulizo. Draxton akaanza kumwaga machozi kwa hisia sana, naye akaushika mkono wa Megan na kuendelea kumwaga simanzi yake kimya kimya, na mwanamke huyo akawa anazilazalaza nywele ndefu za jamaa kwa kumwonea huruma sana.

Baada ya dakika chache, ikawa wazi kwa wawili hawa kwamba mapambazuko yalikuwa yakikaribia, na bila shaka waliohusika na jengo hilo wangefika hapo muda si mrefu, na kwa njia moja ama nyingine wangekutana na mkasa wote uliokuwa umetokea hapo chini. Hivyo, Megan akamsihi mwanaume waondoke upesi ili wasije kujikuta katika balaa lingine, akisisitiza umuhimu wa Draxton kupata pumziko la muda mrefu ili kurejesha nguvu mwilini, na mwanaume akakubali na kunyanyuka.

Ilikuwa kama vile Draxton alifika huku kote na kufanya kazi ya bure tu, maana hakukuwa na jambo kubwa alilookoa isipokuwa tu kupoteza mengine zaidi, na roho ilimuuma sana. Lakini kuanzia hapa angetakiwa kujijenga upya na kusimama imara tena kwa ajili ya wale waliokuwa wamebaki, na aliowapenda, ili kusudi la maisha yake liendelee kuwa na maana baada ya mambo yote yaliyokuwa yametokea.


★★★


Taratibu macho yake Draxton yakafunguka, naye akajitahidi kurudisha ufahamu wake vizuri zaidi juu ya hali aliyokuwa nayo kwa sasa. Harufu nzuri ya marashi ilitawala sehemu hii, naye alijua wazi kwamba hapo alikuwa amelala kitandani. Kitanda kipana kiasi ndani ya chumba kizuri.

Akajigeuza na kujinyoosha, akihisi uchovu mwingi mwilini mwake. Angeweza kuona mlango upande wa kushoto ukutani ambao bila shaka ulikuwa wa bafu la ndani, na mwingine ambao ulikuwa wa kutokea nje. Akaangalia kulia na kuona sofa na sehemu yenye kabati la nguo na la vyombo, meza ndogo ya mbao iliyozungukwa na viti vinne, friji ndogo pembeni, na viatu pea kadhaa: vyote vikiwa vya kike.

Alipotazama kitandani, pembeni yake alilala mwanamke mzungu mwenye nywele nyekundu, akiwa kama alivyozaliwa, na akipumua kwa uzito kiasi. Draxton alimtambua haraka kuwa ni Megan, na alijua bado mwanamke huyo alikuwa amesinzia. Walifikaje sehemu hii?

Draxton akatazama juu na kuanza kukumbukia matukio yaliyotokea usiku uliotangulia. Ni baada ya pambano lake kali na mwanadamu-mnyama mkatili sana aliyeitwa Robby ndiyo Draxton alijikuta ndani ya majonzi makubwa kutokana na kifo cha Darla. Megan, akiwa ametoka kumsaidia Draxton kupambana na Robby na kisha yeye pia kusaidiwa na Draxton kurejesha nguvu mwilini usiku huo, alimsaidia mwanaume kuondoka eneo hilo la kituo cha kati cha jamii na kukimbilia mitini.

Haikuwa imechukua muda mrefu sana baada ya wawili hawa kutoka huko na watu waliohusika hapo wakaanza kuja, na kwa tukio zuri Megan akawa amefanikiwa kuingia ndani ya gari moja lilloegeshwa kando ya barabara upande mwingine wa eneo hilo. Uzuri magari kama alilochukua yalikuwa ya kuwasha kwa kubonyeza tu, kwa hiyo akamweka Draxton ndani na kuliondoa hapo upesi. Aliendesha kwa umakini akihakikisha hawakamatwi na maaskari, na alipofika alipohitaji kufika akalitelekeza gari hilo na kuondoka kwa miguu na Draxton wake; wakiwa kama walivyozaliwa.

Ilikuwa ni mida ya saa kumi na moja alfajiri, purukushani zikiwa si nyingi na watu kutoonekana maeneo mengi kwa hiyo akampeleka Draxton nyuma ya jengo la hoteli ile ya kupangisha vyumba ambayo Julia alikuwa amempeleka yeye na Aysel, kisha akamweka kwa kificho nyuma ya makopo makubwa ya uchafu ili yeye apande kwenda huko juu mpaka ndani ya chumba cha Julia; yaani hiki walichopo sasa. Alitumia ustadi kwa kupanda ngazi za upande wa nje wa jengo hilo mpaka kufikia dirisha la chumba cha Julia, naye akaligonga baada ya kuwaona Julia na Aysel wakiwa bado wamelala.

Aysel ndiye aliyeshtuka kwanza na kisha kumwamsha Julia pia. Walishangaa kumwona Megan ndani ya hali aliyokuwa nayo wakati walikwenda kulala pamoja naye usiku huo, nao wakamfungulia na kuuliza yaliyokuwa yamejiri. Lakini Megan akamwomba Aysel msaada wa haraka kwanza kumtoa Draxton kule chini na kumwingiza ndani ya chumba hicho kabla ya yote, naye Aysel akatii. Wakatumia njia hiyo hiyo kupanda na Draxton mpaka hapo juu, nao wakamwingiza chumbani humo na kumpeleka bafuni kwanza ili asafishwe; yeye pamoja na Megan.

Julia, mwanadada mkarimu, alikuwa akiwatazama tu kwa utulivu. Tayari Aysel na Megan walikuwa wamemwambia ukweli wa maisha yao, na ili kumwaminisha zaidi mwanamke huyu mdogo, Aysel alibadilikia chumbani humo kumwonyesha jinsi wanavyokuwa kama wanyama halisi, ingawa kimaumbo kuwa wakubwa zaidi. Ndiyo dada wa watu akawa ameelewa hata zaidi sasa Draxton alikuwa nani na ni mambo yapi yaliyokuwa yakiendelea.

Baada ya Megan kujisafisha na kumsafisha Draxton pia, walirudi chumbani na kukaa kitandani, lakini Draxton akalala kabisa. Hakujua yuko wapi na kwa nini, lakini hakutaka kuzungumza na yeyote kutokana na uchovu wa kinguvu na kihisia uliokuwa umemlemea. Alilala tu huku akisikika kushtua pumzi za puani kama mtu aliyelia sana, naye Megan akawa anazilaza nywele zake taratibu huku machozi yakimtoka pia.

Ilipokuwa wazi kwamba usingizi ulimchukua mwanaume huyo, Aysel akamuuliza Megan kwa nini aliondoka kimya kimya na kukiuka maagizo ya Alpha wao, lakini Megan akawa analia kwa hisia tu. Ikabidi Aysel amtulize kiasi kwa kumbembeleza, kisha ndiyo mwanamke huyo akafunguka kuhusu kila kitu kilichotokea. Kuanzia vifo vya wenzao wote mpaka kufikia kifo cha Robby, na Darla.

Aysel alisikitika sana. Akamwambia Megan ingekuwa bora kama angemwamsha na yeye ili waweze kusaidiana kufanya matokeo ya mkasa huo wote yawe tofauti, lakini hiyo haingesaidia lolote kwa kuwa yaliyofanyika yalikuwa yameshafanyika. Megan aliendelea kulia tu kwa kuumizwa sana na kifo cha Darla, naye Julia akamsihi apumzike pamoja na Draxton kwanza halafu wangeangalia mambo mengine baadaye. Ndiyo Megan akawa amepanda kitandani tena na kulala na mwanaume kwa ukaribu mpaka wakati huu ambao Draxton akawa ameamka.

Bado uzito wa maumivu Draxton aliyohisi moyoni ulikuwepo, kwa sababu mwenzi wake wa unyama alikuwa ametoweka. Lakini pia ni hisia za hatia alizokuwa nazo kwa kushindwa kuwasaidia watu mwitu wengine ambao Robby aliwaua kwa kuigeuza damu ya mwanaume huyu iwe kama sumu ya kuwadhoofisha. Ni sinema kali sana alizokuwa amepitia huku ndani ya muda mfupi sana.

Alikuwa ameshafikiria mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya watu wake baada ya kumwondoa Robby, lakini sasa yasingekuwa na faida tena kwa sababu waliokuwa wamebaki hawakuzidi hata wawili. Kusudi lake alilotarajia kuja kutimiza huku likawa limepotelea hewani tu kana kwamba mambo yote aliyojitoa kufanya hayakuwa na maana kabisa.

Sekunde chache kupita naye Megan akaanza kujigeuza, huku bado akionekana kuwa na usingizi sana. Akageukia upande wa Draxton na kuunyoosha mkono wake mpaka ukakishika kifua cha mwanaume, naye Draxton akamwangalia. Kulikuwa na hali ya ubaridi kiasi ndani hapo kutokana na upepo mwanana uliofunguliwa kwenye kiyoyozi, na mwili maridadi wa mwanamke huyo ulionekana vyema ndani ya hali ya ugiza iliyokuwemo chumbani humo.

Megan akajisogeza zaidi kwenye mwili wa Draxton na kuendelea kulala, naye Draxton akaweka kiganja chake kwenye nywele laini za mwanamke huyo. Alipoanza kutembeza vidole vyake hapo taratibu, Megan akafumbua macho yake baada ya kukihisi. Akanyanyua uso wake kidogo na kumtazama Draxton machoni, ambaye alikuwa anamwangalia pia kwa utulivu.

"Have you been up long? (Umekuwa macho muda mrefu?)" Megan akamuuliza kwa sauti ya chini.

Draxton akatikisa kichwa taratibu kukanusha.

Megan akajivuta vizuri zaidi na kulalia ubavu wake, huku uso wake ukiwa karibu na uso wa Draxton.

"Where are the others? (Wengine wako wapi?)" Draxton akamuuliza.

"I know Julia went to work... and Aysel... she probably went out to get some food... and I think she went to see everything that happened... for herself... (Najua Julia amekwenda kazini... na Aysel... atakuwa ametoka kwenda kufata chakula kiasi... na nadhani amekwenda kujionea kila kitu kilichotokea... kwa ajili yake mwenyewe)" Megan akasema.

"So this is Julia's apartment? (Kwa hiyo hiki ndiyo chumba cha Julia?)"

"Yes (Ndiyo)."

"Are we really safe here? Remember I'm still wanted, what if somebody saw when we came in and... (Tuko salama kweli hapa? Kumbuka bado ninasakwa, vipi ikiwa kuna mtu aliona tulipoingia na...)" Draxton akaonyesha wasiwasi na kutaka kunyanyuka.

"Draxton... Draxton... don't worry. We're okay. Nobody saw us... just please ease yourself. We're okay (Draxton... Draxton... usiwe na hofu. Tuko sawa. Hakuna aliyetuona... tafadhali jitulize tu. Tuko sawa)," Megan akamtuliza na kuweka kiganja chake kifuani kwake.

Draxton akatulia na kutazama pembeni kwa huzuni.

"Thank you... for saving my life (Asante... kwa kuokoa maisha yangu)," Megan akamsemesha kwa hisia.

"I think I'm the one who should be thanking you. You risked your life to save mine (Nafikiri mimi ndiyo natakiwa kukushukuru. Uliyaweka maisha yako hatarini ili kuokoa yakwangu)," Draxton akasema hivyo bila kumtazama.

"You deserve it. You sacrificed a lot for us too (Unalistahili hilo. Ulijitoa kwa mengi kwa ajili yetu pia)."

"And it meant nothing (Na ikawa haina maana yoyote)," Draxton akasema kwa kuvunjika moyo.

"That's not true (Hiyo siyo kweli)," Megan akamwambia na kuushika uso wa jamaa kwa wororo.

"What can you possibly say to support those words? (Utasema nini ambacho kitayaunga mkono maneno hayo?)" Draxton akamuuliza kwa sauti tulivu.

Megan akashindwa kutoa jibu na kubaki akimtazama kwa huzuni kiasi.

Draxton akashusha pumzi kwa utulivu, kisha akasema, "I get nothing from this entire trip to America but a huge grief for... again... making mistakes. I needn't be here anymore. I have to leave (Yaani sina chochote cha kujipatia kutokana na safari yote ya kuja huku Marekani isipokuwa huzuni kubwa tu kwa... kwa mara nyingine tena... kufanya makosa. Sitakiwi kuwa huku tena. Nahitaji kuondoka)."

"Where are you going to go? (Utakwenda wapi?)"

Draxton akamwangalia na kusema, "Back to where I was (Kurudi kule nilikokuwa)."

"Draxton... it's going to be tough for you to get out of the city. They are looking for you all over (Draxton... itakuwa ngumu kwako kutoka ndani ya jiji. Wanakutafuta kotekote)," Megan akasema.

"Don't worry. I have a plan. As soon as I get out of North Carolina... you guys will lead yourselves to do whatever you want... you are free (Usihofu. Nina mpango. Nikishaondoka tu kutoka hapa North Carolina... nyie mtaendesha maisha yenu kufanya lolote mnalotaka... mko huru)," Draxton akasema.

Megan akajawa na machozi, naye akasema, "But... we need you... I need you (Lakini... tunakuhitaji... mimi nakuhitaji)."

Draxton akamwangalia kwa huruma kiasi, naye akamshika shavuni na kusema, "Megan... after everything that's happened, I just want to give my all to the one person who is in my heart. I told you... I am part of your life, but I already have my future. You will get yours too (Megan... baada ya mambo yote yaliyotokea, nachotaka kwa sasa ni kujitoa kikamili kwa yule ambaye yuko moyoni mwangu. Nilikwambia... mimi ni sehemu ya maisha yako, lakini tayari wakati wangu ujao ninao. Na wewe pia utaupata wako)."

Alikuwa anamaanisha mpenzi wake wa moyoni ambaye ndiye aliyekuwa huko alikotoka, naye Megan akauliza, "So... this is it? This is your way of saying... goodbye? (Kwa hiyo... ndiyo inakuwa hivi? Hii ndiyo njia yako ya kusema... kwaheri?)"

Draxton akamwangalia kwa hisia, naye akasema, "Yes (Ndiyo)."

Megan akainamisha uso wake kwa huzuni.

Draxton akamshika shavuni tena na kumwambia, "But it won't be forever. We'll see each other again (Lakini haitakuwa daima. Tutaonana tena)."

Megan akakunja uso kihisia sana, naye akaifata midomo ya Draxton na kumbusu.

Mwanaume aliona amwachie tu aendelee kumpiga denda maana alizielewa hisia za mwanamke huyo kumwelekea, na jambo hilo lisingekuwa la muda mrefu kwa sababu angemwacha na kurudi kwa mpenzi wake halali. Megan akaendelea kuinyonya midomo ya Draxton, kisha akaanza kushuka taratibu shingoni mpaka kifuani kwa mwanaume akimbusu kwa upendo mwingi.

Alipomshika mwanaume sehemu yake ya siri na kuikamata mashine yake kiganjani, Draxton akafumba macho na kuushika mkono wa Megan ili asiendelee na jambo hilo maana hakutaka wafike huko kwa wakati huu, naye Megan akamwacha na kumwangalia usoni kwa hisia.

"Am sorry... I just... adore you too much (Samahani... ni kwamba tu... navutiwa na wewe mno)," Megan akaeleza kiufupi.

"Its alright. I understand (Ni sawa. Ninaelewa)," Draxton akasema.

Megan akashusha pumzi kwa utulivu na kumuuliza, "So what's your plan on getting out of here? (Kwa hiyo mpango wako wa kukuondosha huku ni upi?)"

Draxton akamwangalia kwa umakini, kisha akamweleza tu kiufupi.

Haukuwa mpango mkubwa wala, kwa sababu alihitaji tu kuondoka kwenye jiji hilo la North Carolina na kwenda New York ili afanye harakati za kupaa na ndege ya kumpeleka nchini Tanzania. Kwa sababu alisakwa na maaskari wa mji aliokuwepo waliomtambua kama mhalifu fulani mweusi, angehitaji kuondoka akiwa katikati ya badiliko lake, ili atembee kama mzungu. Msaada mdogo tu aliohitaji kufanikisha hilo kwa ushawishi wa asilimia zote ilikuwa kumpatia lenzi za kuvaa machoni ili kuficha mwonekano wa macho yake ya blue akiwa ndani ya badiliko lake, na bila shaka Megan angetafuta njia ya kuzipata upesi ili mwanaume ajiandae kuondoka.

Shukrani kwa msaada wa mwanadada Julia, Megan na Aysel wangeanzisha mwanzo mpya wa maisha yao kutokea hapa, na Draxton pia alikuwa na njia nyingine ambayo ingemsaidia kuondoka kabisa Marekani na hatimaye kurudi Tanzania baada ya misukosuko aliyopitia huku.

Megan akawa amemrudishia Draxton cheni ile aliyokabidhiwa kumtunzia jamaa, na Draxton akafarijika zaidi baada ya kupewa tena mfano wa jambo lililokuwa na thamani kubwa kwake. Wawili hawa wakaendelea kusubiri Aysel arejee, kisha mipango ya Draxton kuondoka ingeanza kazi. Kurasa ya maisha yake nchini humu ingefunikwa kwa wakati huu mpaka pindi ambayo angekuja kuifunua tena; ikiwa ingehitajika.


★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE

★★★★★★★★★★★★★★★★★


TANZANIA


Ndani ya siku hizo ambazo Draxton alimalizana na suala zima la kuwaweka huru watu wake, ingawa matokeo yalikwenda kinyume na matarajio, Namouih aliendelea kuwa hospitalini na kuangaliwa vyema na madaktari, wauguzi, pamoja na watu wa familia na marafiki. Baada ya kusikia kuhusu utekwaji wake, watu kama Mr. Edward Thomas, yule rafiki yake aliyeitwa Mwantum pamoja na wanaye, Dantu, Marietta na wengine kadhaa walifika ili kumpa pole pia.

Namouih hakuwa akiongea kabisa kutokea muda alioamka. Mengi ya maitikio aliyotoa kutokana na faraja alizopewa na wapendwa wake yalikuwa aidha kudondosha tu machozi au kutikisa kichwa, lakini hakusema neno lolote lile. Mama yake pamoja na mdogo wake, Salome, na hata Halima walijaribu kufanya au kuzungumzia mambo ambayo yangeweza kumfanya aongee, lakini hawakufanikiwa.

Madaktari wakawajulisha wapendwa wake kwamba Namouih alikuwa chini ya hali nzito iliyofanya ashuke sana kihisia na hivyo asitake kuzungumza, lakini bila shaka baada ya muda kupita huenda hali hiyo ingekoma kwa wao kuendelea kumwonyesha upendo na kutomwacha katika kipindi hicho kigumu kwake. Alihitaji kuonyeshwa kwamba anathaminiwa, kwa kuwa jambo lililompata lilimvunjia hadhi aliyokuwa amejijengea kuwa nayo yeye mwenyewe, kwa hiyo alihisi kwamba hafai tena.

Wapendwa wake wakaendelea kujitahidi kumwonyesha thamani yake kwao kwa chochote walichoweza kufanya au kumwambia, lakini bado hakusema lolote. Akawa akifanyishwa mazoezi mepesi ya kutembea na kula vyakula laini, na wiki moja tu iliyokatika baada ya kufikishwa hospitalini hapo akawa ameruhusiwa kurudi nyumbani.

Salome aligharamia matibabu yake na kuhakikisha mwanamke huyo yuko chini ya uangalizi mzuri mpaka walipomrudisha pale pale nyumbani kwake. Tokea walipokwenda kumtembelea Salome, familia ya Namouih haikuwa imerudi kule alikopangishwa Draxton, kwa hiyo bado wakaendelea kukaa kwa Salome hasa kwa msisitizo wa mwanamama huyo.

Blandina hakuwa ameonekana tena toka siku ile waliyompeleka Namouih hospitalini. Alikuwa na shughuli zake huko alikokuwa, na Salome alimtafuta mara kwa mara kumsihi ajionyeshe kwa Namouih tena ili kumpa faraja, lakini mwanamke huyo alikuwa akitoa tu ahadi za kuja kumwona bila kuzitimiza. Labda bado alijihisi vibaya kwa sababu ya mambo yaliyompata Namouih, ama tu bado hakuwa tayari sana kuongea naye tena, Salome hakujua. Lakini mwanamama huyu hakukata tamaa kumsisitizia juu ya suala hilo, kwa sababu aliona kwamba huenda Blandina kuja kumwona Namouih ingesaidia mwanamke huyo aweze kuzungumza tena.

Kwa hiyo Namouih akawa mtu wa kukaa chumbani kuanzia asubuhi mpaka asubuhi. Hakutoka. Kama ni kwenda haja ilikuwa ni humo humo chumbani, kisha angerudi tena kitandani. Zakia na Sasha hawakumwacha. Muda mwingi waliutumia kukaa pamoja naye humo ndani, wakipiga story nyingi na hata kutazama filamu pamoja, lakini Namouih hakunena chochote wala kuonyesha hisia yoyote usoni mwake. Ilikuwa ni kama ameganda ndani ya muda, na wapendwa wake walihuzunishwa sana na hali hiyo.

Lakini, hawakutakiwa kumfanya aone kwamba wana huzuni. Wakaendelea tu kujitahidi kumwonyesha upendo, wakitumaini kipindi hiki kingepita tu siku siyo nyingi, na Namouih angekuwa sawa tena.


★★★


Baada ya kupata msaada kutoka kwa Megan na Aysel wa kuondoka North Carolina na kwenda New York, Draxton alifika kwa yule mwanamke aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi pamoja na Mark, aliyeitwa Nina. Alimwelezea kila kitu kilichotokea, mpaka kufa kwake Mark.

Nina alishtuka, na alihuzunika sana. Alitambua sababu iliyofanya asimpate mpenzi wake kwa siku kadhaa, na sababu iliyofanya tokea mwanzo asiyaweke wazi maisha yake kihalisi yalikuwa ya namna gani. Kwa hiyo Draxton aliendelea kukaa kwa Nina kwa siku chache, mwanamke huyo akimsaidia pia katika masuala yaliyohitajika ili Draxton aweze kuondoka Marekani kwa usalama, na akawa amefanikiwa.

Siku hii, ikiwa ni Ijumaa, ndiyo siku ambayo Draxton alitua kwa ndege kisiwani Zanzibar kutokea Marekani. Aliamua kufanya mrejeo wa kimya kimya ama kushtukiza, ili iwe kama surprise, afike kwa Namouih ghafla na kumfanya mpenzi wake afurahi sana. Alitarajia kwamba huenda furaha ya mpenzi wake akishamwona ingemsaidia kupunguza rundo la hisia za vikwazo zilizokuwa ndani yake.

Alitua asubuhi na mapema kabisa, naye akatafuta meli ya kumpeleka jijini ambako ndiko mpenzi wake alikuwa. Alikuwa na furaha kiasi moyoni baada ya kumaliza safari yake huko juu, na sasa alirudi kuja kuendelea kumpeti mwenzi wake halisi wa maisha yote akiwa ameweza kuuweka mwili wake sawa kabisa. Ni kidogo sana mambo aliyojua yaliendelea huku, tena mabaya mno.

Kufikia mida ya mchana akawa amefanikiwa kuingia jijini na kulichukua gari lake la Forester mahala pale lilipokuwa limetunzwa kisha kwenda moja kwa moja mpaka pale alipokuwa akiishi. Alikuwa amekula kiasi baada ya kutoka kwenye meli, lakini hamu kubwa ya kumwona tena Namouih ikawa inafanya ahisi njaa kabisa. Alipoingia getini mwa nyumba ile, aliwakuta wanawake wa hapo aliowafahamu, Rehema, Salhat, na mwingine aliyeitwa Sada, na yule binti aliyeitwa Kuluthum akamkimbilia na kumkumbatia kwa furaha kana kwamba walijuana kupita kawaida.

Draxton alifurahi kuona kwamba wa hapo walimpenda lakini alitaka ujio wake uwe wa kimya kimya kwanza mpaka Namouih ashtukizwe, hivyo akawa anawapa ishara ya kunyamaza ili walengwa wake wasijue amefika hapo.

"Vipi tena, mbona kumchum-kumchum?" akauliza Salhat.

"Nimepanga kuwa-surprise hao wa huko ndani... hawajui kama nimekuja leo," Draxton akasema hivyo kwa sauti ya chini.

"Mh! Mbona hawapo? Ndiyo umetoka safarini kumbe? Walisema umeenda Marekani yaani, mke wako ndiyo alituambia... ndiyo umerudi leo?" Kuluthum akauliza.

"Hawapo hapa?" Draxton akamuuliza.

"Eeh hawapo... wiki kama moja au mbili," Kuluthum akamwambia.

"Walisema walikoenda?" Draxton akamuuliza Rehema.

"Hamna, ila ni kitu kama alisema... anaenda kwa rafiki yake. Alikuwepo na mama yake na alikuja na mdogo wake pia mgonjwa mgonjwa hivi," akasema Rehema.

Draxton akatazama chini kwa uelewa.

"Mpigie mke wako umuulize," Salhat akamwambia.

"Hamna, bado sitaki kuharibu surprise. Nitampata tu kivingine," Draxton akasema.

"Wacha! Hehee... mambo ya sapraizi hayo! Wazungu wa kibongo mnayaweza sana, yaani ndiyo ukaondoka bila kutuaga jamani..." Salhat akamwambia.

Draxton akatabasamu na kusema, "ilkuwa dharura dada yangu. Ila nimerudi sasa, niliwamiss nyie wote."

"Hata sisi kaka Draxtony. Umetuletea nini kutoka Marekani?" akasema Kuluthum.

"Vingi tu. Zawadi kwa ajili yenu nyote," Draxton akasema.

Salhat na Rehema wakacheka kwa furaha na kumsogelea, naye Rehema akasema, "Wa kwanza kupokea mimi."

Draxton akacheka kidogo.

"Hamna, mimi wa kwanza. Si unanipenda mimi kuliko hawa wote?" Salhat akasema.

"Hata hamjamtua mgeni mzigo mshaanza kulilia zawadi," Sada akawaambia.

"Eeeeh mama tulia, haupo kwenye hesabu, kwa hiyo weka mshono eh..." Salhat akamwambia Sada.

"Ahahah... ni kwa ajili yenu wote bwana. Dada njoo uchukue pia," Draxton akasema hivyo na kumwambia Sada maneno hayo.

Alikuwa amebeba begi kubwa kiasi la mgongoni, naye akalileta kwa mbele na kufungua zipu ya pili kutoka ya mwanzo. Sada akawa amefika karibu zaidi, na Draxton akatoa mfuko mgumu uliojaa vitu fulani kisha kumpatia Kuluthum. Binti akaufungua kwa hamu na kuanza kutoa vitu kama maboksi lakini yenye muundo wa bati, yaliyokuwa na rangi ya zambarau pamoja na picha za chakula kitamu aina ya chocolate.

Wakazipokea kwa furaha sana wanawake hawa. Zilikuwa ni chocolate tupu, nzito, zenye muundo kama mabamba au namna ambavyo miche ya sabuni hukaa, nao wakagawana na zingine kuzitunza kwa ajili ya kuwapa watoto na waume zao. Draxton alikuwa amewaonya kutokula nyingi sana kwa mfululizo kwa kuwa zingeweza kuwakifu na hata kuumiza koo.

Rehema akamkaribisha Draxton apumzike ndani kwake kwa kuwa Namouih aliondoka na funguo za chumba chake, naye Draxton akashukuru na kuomba tu ahifadhiwe begi lake kwa sababu alitaka kutoka muda huo huo ili kwenda kumfata Namouih. Akatoka hapo akiwaacha wanawake hao wanafurahia zawadi zao, huku naye bado akiwa na furaha kutokana na hamu ya kutaka kuona itikio la mpenziwe wakishakutana.

★★

Nyumbani kwake Salome. Siku hii mwanamama huyo aliwahi kutoka kazini, naye aliwakuta akina Zakia, Sasha na Esma wakiwa pamoja chumbani alipokuwepo Namouih. Halima bado alikuwa hapo pia, naye alikuwa anasaidizana na msichana wa kazi kutengeneza chakula cha mchana.

Salome alikuwa amesisitiza watu wa familia yake Namouih waendelee kukaa kwake mpaka hali ya mwanamke huyo iwe nzuri zaidi, lakini leo alikuwa amefika hapo na taarifa ambazo zingewanyima wote raha. Alikuwa ameshasalimiana na Halima kule jikoni, na baada ya kuingia chumbani mule ndiyo akakuta wengine wakiwa wamekaa kitandani kumzunguka Namouih, aliyekuwa ameketi katikati kwa utulivu. Wote walivalia nguo kama vijora vipana, huku Namouih akiwa amefungwa kilemba kichwani na Sasha.

Zakia alikuwa anasimulia hadithi fulani nzuri sana iliyowafanya mabinti wafurahie kumsikiliza, na baada ya kuwa amemwona Salome akiingia, akasema, "Hee... Salome karibu."

Sasha na Esma wakamwangalia pia, nao kwa pamoja wakamwamkia.

"Marahaba wanangu, hamjambo?" Salome akaitikia huku akisogea karibu.

"Hatujambo," Esma akajibu.

"Namouih... Salome amefika," Zakia akamwambia binti yake.

Namouih akamwangalia Salome machoni.

"Vipi mpenzi? Unaendeleaje?" Salome akamsemesha.

Namouih akarudi tu kutazama pembeni.

Salome akamwangalia Zakia na kuuliza, "Amekula asubuhi?"

"Ndiyo. Muda siyo mrefu amekunywa zake mtoli hapa, sa'hivi ametulia ndo' tunapiga story," Zakia akasema.

Salome akatabasamu na kumtazama Namouih kwa kujali.

"Mama alikuwa anatusimulia wakati da' Nam bado yuko shule ya msingi. Eti hadi kuna wavulana walikuwa wanaenda nyumbani kumfulia nguo zake lakini alikuwa anawakataa... hahahah..." Sasha akasema hivyo.

"Ahahah... darasa la ngapi hilo?" Salome akauliza.

"Hahah... kuanzia la sita... mpaka la saba hivi..." Zakia akajibu.

"Na wote akawa anawapiga chini?" Salome akauliza.

"Wote!" Zakia akasema.

"Yaani badala ya yeye kufulia mvulana eti wavulana ndiyo wakawa wanamfulia, jamani! Uzuri ni dawa kwa kweli," Esma akasema.

"We acha tu! Tena sasa Namouih alikuwa ananifurahisha. Kuna wengine angewapa nguo wanamfulia halafu wakishamaliza anawafukuza! Hahahah... na walikuwa hawakomi tu, yaani wanarudi tena!" Zakia akazungumza kwa furaha.

Wengine wakacheka kidogo, lakini Namouih alikuwa ametulia tu bila kuonyesha hisia yoyote.

Zakia akatulia pia na kusema, "Ameanza kuwasumbua akili vijana wengi bado yuko mdogo sana mwanangu. Nilikuwa najivunia sana kuwa mama yake... mpaka sasa."

Aliongea maneno hayo kwa hisia na kumshika Namouih shingoni, akiifuta-futa taratibu kuonyesha upendo, na wengine wakamtazama Namouih kwa kujali.

Salome akakishika kiganja cha Zakia na kumwambia, "Njoo mara moja."

Zakia akatikisa kichwa kukubali, naye Salome akawaambia mabinti waendelee kumpa Namouih ushirika wao.

Salome akamtoa Zakia ndani ya chumba hicho na kumwambia kwamba kuna jambo la muhimu alilokuwa anataka kuzungumza naye, na lilihusiana na Namouih pia. Zakia akawa tayari kumsikiliza, nao wakaelekea chumbani kwake Salome ili waongee vizuri.

"Vipi dada, kuna tatizo?" Zakia akamuuliza.

"Kiasi. Ninataka tu unishauri juu ya kitu fulani," Salome akamwambia.

"Ndiyo..."

"Nimepata taarifa leo kwamba yule mwanaume ambaye... alimbaka Namouih... ameachiliwa..." Salome akasema.

Zakia akashangaa na kuuliza, "Ameachiliwa... kiaje yaani? Kwamba hana kosa ama?"

"Yaani kesi tuliyokuwa tumemfungulia imefutwa," Salome akasema.

"Nini?!"

"Ndiyo. Wanasema eti ameachiliwa tu, tena siyo leo yaani, tokea majuzi. Hiki kitu wamekifanyia chinichini sana halafu ndiyo wakaja kuzitoa taarifa muda siyo mrefu."

"Ki... k... kivipi yaani... sielewi... kwa nini aachiwe? Maaskari walisema si anaenda jela moja kwa moja? Salome jamani, ndiyo nini sasa?"

"Me mwenyewe nashindwa kuelewa. Ila kwa navyosikia, huyo mwanaume ana hela sana. Atakuwa amejitoa kwenye hiyo skendo kwa kuwalipa pesa nyingi waliomshikilia. Niliwasiliana leo na yule afande aliyemsaidia Namouih akaniambia hata yeye hajui imekuwaje yaani, ila nahisi hata yeye pia anaficha kitu. Ah... yaani Bongo jamani!" Salome akaongea kwa huzuni.

Zakia akapigisha ulimi wake kwa nguvu mdomoni na kusema, "Haiwezekani jamani! Kwa hiyo wakamwachia tu huyo baladhuli kirahisi namna hiyo... iwe kama vile hakumfanya lolote mwanangu? Wameshaona jinsi alivyomgeuza awe kama jiwe sa'hivi? Me sikubali Salome. Lazima twende tupiganie hili suala mpaka kieleweke, hawezi kununua kila mwanadamu, hawezi!"

"Me mwenyewe nimekosa amani kabisa. Sijui inakuwaje mpaka wanaamua... yaani... aah! Ndiyo maana nimekuita hapa unishauri. Itakuwa sawa kumwambia Namouih hilo suala?"

"Mh! Salome... Namouih unamwona jinsi alivyo..."

"Ndiyo najua dada, lakini hata nikisema nimfiche, kwa njia moja ama nyingine atajua tu. Na pia... nahofia sana kuhusu huyo mtu. Ikiwa ana nguvu kifedha anaweza tena akajaribu kumdhuru Namouih, na labda hata sisi wote pia. Tunahitaji kujiweka salama zaidi, au unaonaje?" Salome akatoa mawazo yake.

Zakia akatafakari kwa ufupi, kisha akasema, "Una point. Me mwenyewe nimeshaanza kuogopa maana sijui hata kama tukiwaambia mapolisi kuhusu huyu mtu wataweza kutusaidia. Nawaza tu hali ya Namouih inaweza kuongezeka kuwa mbaya tukimpa taarifa kama hizi zitakazomwongezea mshtuko."

"Mimi pia Zakia. Labda tufanye hivi..."

"Mm-hmm..."

"Itabidi tumhamishe Namouih. Tumpeleke Singida kule kuna sehemu anaweza kukaa kwa muda fulani," Salome akamwambia.

"Kwa nani?"

"Ni kwa shangazi yangu. Ila ana nyumba kubwa na anaishi peke yake na dada wa kazi. Nitamwomba uende ukakae na Namouih hapo, na hakuna mtu yeyote zaidi yetu atakayepaswa kujua mmeenda huko. Unaonaje hilo?"

"Ni sawa Salome. Ila... tutaendelea kujificha mpaka lini?"

"Hamtaendelea kujificha kwa muda mrefu. Kama ni mtu mmoja ambaye ataweza kumlinda Namouih dhidi ya adui yeyote yule basi ni Draxton. Nitamtafuta na kumweleza kila kitu ili arudi huku, maana hawa wajinga hawataacha kutusumbua mpaka waje kukutana naye," Salome akasema hivyo kwa uhakika.

"Je kama, asiporudi mapema?"

"Basi sisi wenyewe tutaendelea kumlinda Namouih. Hata nini kitokee," Salome akasema.

Zakia akakubaliana na hilo, naye Salome akamwambia wangeanza kufanya mipango kwa ajili ya safari hiyo ya dharura kumwondoa Namouih jijini hapo kabla ya Godwin Shigela kujua yuko hapo na kujaribu kufanya jambo lingine baya. Wakaona Ni vyema kuanza kumwambia Halima kuhusu safari ya kumwondoa Namouih hapo, kisha ndiyo Salome angewasiliana na shangazi yake wa Singida na kumpanga kuhusu ujio wa rafiki yake na mama yake huko kwake.

Wakatoka chumbani na kwenda sebuleni, na wakati tu Halima alipokuwa amejiunga nao baada ya Zakia kumwita, geti la nje la uzio uliozunguka nyumba ya Salome likasikika likigongwa. Yule dada wa kazi alikuwa akiandaa meza ya chakula kwa ajili ya mlo wa mchana, naye alipotaka kwenda kufungua geti Salome akamwambia aendelee na kazi tu ili yeye akamwone mgeni aliyefika hapo. Akawaacha kiufupi kina mama na kwenda nje, naye alipofungua geti na kumwona aliyefika hapo, akaachia tabasamu la furaha baada ya kumwona.

Ilikuwa ni Blandina. Kwa mara ya kwanza ndiyo mwanamke huyu alikuwa amefika nyumbani kwa Salome, naye Salome akampokea vizuri na kumkaribisha ndani. Alikuwa amevaa blauzi nyeusi na suruali ya jeans iliyobana umbo lake vyema, huku mkononi akibeba mfuko uliokuwa na vitu fulani alivyoleta kwa ajili ya Namouih. Akakaribishwa mpaka sebuleni, naye akawakuta wakina Zakia na Halima wameketi masofani. Zakia alipomwona, akanyanyuka na kumfata kabla hajafika sehemu hiyo, naye akamkumbatia kabla hata ya neno lolote kusemwa baina yao.

"Karibu sana mwanangu," Zakia akamwambia kwa furaha baada ya kumwachia.

"Asante. Shikamoo?" Blandina akatoa salamu.

"Marahaba," Zakia akaitikia vizuri.

"Mama shikamoo," Blandina akamsalimia Halima pia.

"Marahaba Blandina. Karibu," Halima akasema.

"Asante," Blandina akashukuru.

"Umefika muda mzuri kweli, ndiyo msosi unawekwa mezani," Salome akamwambia.

Blandina akatabasamu kiasi na kusema, "Nimeleta hii kwa ajili ya... Nam."

Alikuwa akionyeshea ule mfuko alioshika, naye Salome akasema, "Unaonaje tukienda umpe wewe mwenyewe? Atafurahi sana kukuona."

Blandina akatikisa kichwa kukubali, naye Salome akaanza kumwongoza kuzielekea ngazi ili waende chumbani kwa Namouih. Walipoufikia mlango, Salome akamgeukia kwanza ili amwambie kuhusu ishu ile ya Godwin Shigela kuachiliwa.

"Umeshasikia?" Salome akauliza.

"Kuhusu?" Blandina akamuuliza pia.

"Yule... mbwa... aliyemteka, ameachiliwa kabisa," Salome akasema.

Blandina akatikisa kichwa kukubali na kusema, "Ndiyo, nimesikia. Mmemwambia?"

"Hamna, tumeona bora asijue kwanza maana... hatujui ata-react vipi. Tunapanga kumtoa huku ili yaliyomkuta yasije kujirudia..."

"Huyo Godwin yuko kama Efraim tu. Ni kweli atajaribu kumuumiza tena, kwa hiyo ni sahihi kufanya hivyo. Chochote kile kitakachohitajika naomba mnihusishe pia ili tufanikishe huo mpango haraka, sawa?" Blandina akamwambia.

Salome akatabasamu na kutikisa kichwa kukubali.

"Vipi hali yake sa'hivi?" Blandina akamuuliza.

"Haongei. Yaani... anaitikia tu kwa macho, au kichwa, lakini... hazungumzi. Inanisikitisha sana."

"Ni trauma."

"Yeah, shauri ya huo unyama aliofanyiwa."

"Ndiyo, tena siyo tu kwa sababu ya huyo Godwin. Ni mambo mengi sana tokea kifo cha baba yake, Nasri, Nasma, upumbavu wa Efraim na... na mambo mengi tu yaliyotokea kabla ya wakati huu," Blandina akasema hivyo huku akionekana kuwa na huzuni.

Salome akakishika kiganja chake na kusema, "Unamwelewa vizuri zaidi. Labda wewe ndiyo utamsaidia azungumze tena yaani angalau tu aseme kitu... so please Blandina, nakuomba umsaidie, eh? Anakuhitaji sana."

Blandina akakubali ombi hilo, nao wakaingia chumbani humo. Walikuta Sasha na Esma wakiwa wanafanya maigizo mafupi ya wasanii walioonyeshwa kwenye TV ndani hapo, huku Namouih akiwa anawatazama tu kwa utulivu, nao wakaacha baada ya kumwona Blandina. Wakamwamkia kwa heshima, naye akaitikia vizuri. Salome akawaambia kuwa chakula kiko tayari kule chini, hivyo wakamuaga Namouih na kutoka kwa pamoja.

Salome akasogea kitandani na kumshika Namouih begani, naye akasema, "Namouih... Blandina amekuja. Huyu hapa."

Namouih akageuza shingo taratibu na kumtazama Blandina machoni. Wakaangaliana kwa njia fulani ya kawaida tu, naye Namouih akarudi kuegamia mto kwenye kingo ya kitanda na kutazama pembeni.

Salome akamwonyesha ishara ya macho Blandina kuwa asogee karibu zaidi, kisha akamwambia Namouih, "Ngoja nikakuletee msosi dear, eti? Nyama imesagwa na kukaangwa, kama tu ya sambusa, tamu sana, utapenda... na juice. Sawa?"

Namouih akatikisa kichwa taratibu kukubali.

Salome akamwachia na kumtikisia kichwa Blandina kama kuaga, kisha akampita na kutoka chumbani humo pia.

Blandina akamwangalia Namouih kwa ufupi, kisha akasogea kitandani na kukaa taratibu. "Nam?" akamwita.

Lakini Namouih akaendelea tu kuangalia pembeni.

"Kwa nini huongei? Eh? Utaendelea kukaa kimya mpaka lini?" Blandina akamuuliza kwa kujali.

Namouih akashusha tu pumzi taratibu, lakini bado hakuonyesha kutaka kuzungumza.

"Naelewa yaliyotokea ni mabaya kwako... na... siwezi, yaani... siwezi kuelewa jinsi unavyohisi kabisa, kwa sababu sijapitia ulichopitia. Ila Nam... usijitese kihivi. Mama yako na wengine wanatamani sana kuona unarudi kuwa normal, wanajitahidi sana Nam kukuonyesha upendo. Najua umeumia... sana... ila ukiendelea kuwa namna hii utajiumiza hata zaidi... na sisi tunaokupenda pia," Blandina akamwambia kwa upole.

Namouih alisikia kila neno, lakini akabaki kimya tu.

"Nitakwambia ukweli. Bado... licha ya yote yaliyotokea baina yetu... bado nakujali sana. Ulikuwa sahihi. Ninaweza kukukasirikia, kukunyamazia, labda hata kukuchukia, lakini siwezi kufurahia kuona unaumia. Nilipoona yaliyokupata Nam... niliumia mno. Nilihisi kwa njia kubwa nilikuwa sababu ya wewe kupatwa na.... roho iliniuma sana. Na mpaka sasa navyokuona namna hii kiukweli ndiyo nazidi kuumia sana. Tafadhali Nam... ongea na mimi. Sema chochote kile, please..." Blandina akamwomba hivyo huku machozi yakianza kumlenga.

Namouih akaendelea kutulia tu.

"Mimi sina kinyongo na wewe tena Namouih. Ya nyuma yamekwisha, yameshakuwa mapito, sawa? Uliniomba msamaha, nimeshakusamehe, kabisa... ila nakuomba tu hata uniambie asante... mh? Itatosha. Tafadhali zungumza Namouih..." Blandina akamsihi.

Chozi likamtoka Namouih, naye akafumba macho tu na kuinamisha uso.

Blandina akakishika kiganja chake na kumwambia, "Sema tu hivyo Namouih. Niko tayari tuwe marafiki kama zamani, mh? Nataka tupige story kama tulivyokuwa tunaongea zamani, eh? Hamna bwege yeyote atakayekusumbua tena, nimerudi kwa ajili yako tena, sawa? Just please... ongea nami. Nimekumiss pia Namouih..." Blandina akasema hayo huku machozi yakimtiririka kwa wingi.

Namouih akawa anadondosha machozi pia, lakini hakutoa sauti yoyote.

Blandina akajifuta machozi na kuuchukua mfuko ule wenye zawadi kwa ajili ya Namouih. "Ona... nimekuletea tuvitu kwa ajili ya mtoto, mh? Ahah... najua ni mapema bado ila siyo mbaya saana... kuna nguo na midoli... sijui atakuwa wa kike, au baunsa? Ahahah..." akamwambia hivyo kwa shauku kiasi.

Namouih akazitazama nguo alizokuwa anaonyeshwa, naye akamwangalia Blandina usoni. Blandina akamtazama pia na kisha kuziweka nguo kitandani, kisha akamfuta Namouih machozi yake.

"Haina shida Nam. Jipe muda tu, najua maumivu yako yatapona, nawe utarudi kuwa sawa zaidi. Haijanisaidia lolote kukaa nimekuchunia maana kiukweli nilikumiss sana... sana. Ila si unajua mambo yetu wanawake bwana mhmhm..." Blandina akasema hivyo.

Namouih akakishika kiganja cha rafiki yake na kukikaza kiasi, naye Blandina akamwangalia na kutabasamu kwa hisia sana. Ingawa trauma aliyokuwa nayo bado ilionekana kuwa nzito, angalau Namouih alionyesha kwa vitendo kwamba anathamini kile alichoambiwa na rafiki yake, na hilo likamfariji sana Blandina.

Sekunde si nyingi sana kupita mlango wa kuingilia ndani hapo ukafunguka, ikiwa ni Zakia ndiye aliyefika. Alikuwa amebeba sinia pana la mraba lililobeba glasi mbili zenye juisi, mabakuli makubwa yenye nyama zilizosagwa, pamoja na lingine lenye chips kavu zilizotengenezwa hapo hapo nyumbani. Akaliweka kitandani kwa msaada wa Blandina, naye akamwambia kwamba Namouih angekula tu nyama ile laini na juisi, halafu mgeni vile vingine kwa pamoja. Waliona ni vyema kuwaacha marafiki hawa wapate msosi pamoja chumbani hapo, hivyo Zakia akawaaga tena na kurudi kule chini.

Blandina akaanza kula na kumsihi Namouih ale pia, naye akatii na kuanza kula taratibu huku Blandina akimwambia mambo mengi kuhusu alipokuwa akiishi sasa na kazi mpya ya masuala ya biashara aliyokuwa amepata. Zakia na Salome walikuwa mlangoni kwa nje wakichungulia yaliyoendelea ndani hapo. Ilikuwa ni pindi iliyogusa moyo kwa kiasi chake kuona marafiki hawa wakipata mlo pamoja tena baada ya kukosana kwa kipindi fulani, nao wakawaacha tu wakiendelea kupata chakula na Blandina akiendelea kuonyesha upendo wake kwa Namouih.

★★

Blandina aliendelea kukaa hapo kwa Salome mpaka jioni kuingia, na ndiyo akawa anataka kuondoka. Alikuwa ametumia masaa machache pamoja na Namouih chumbani mule kumsemesha kuhusu mambo yenye kujenga, kufurahisha, na kutazama filamu ya kiswahili pamoja naye. Wengine walikuwa wamejiunga pamoja nao pia, na sasa Blandina alipokuwa anataka kuondoka, Salome na Zakia wakaona wamsindikize nje kwa pamoja; wakimwacha Halima chumbani kwake Namouih.

Esma alikuwa akisaidizana na Sasha pamoja na dada wa kazi kutayarisha mahanjumati ya usiku, na ingawa Blandina alikuwa amesisitizwa kubaki kwa ajili ya chakula cha jioni pia, akawa amesema kuna miadi ya muhimu aliyotakiwa kushughulika nayo usiku huu lakini angefika na kesho ili kumwona rafiki yake.

Salome akamwelezea mipango aliyokuwa amefanya ya kumpeleka Namouih nje ya jiji, ambayo walikuwa wameshaiungumzia pamoja na Zakia na Halima, na katika suala hilo Blandina akasema angejiunga na Namouih kwenye safari hiyo ili kuhakikisha anafika huko salama. Kilichokuwepo ni kumwandaa tu mwanamke yule ili siku inayofuata kesho waweze kuondoka, na tiki ikawa imewekwa kwa jambo hilo.

Blandina akawa amefikishwa getini na kuagana na Salome na Zakia. Akafungua geti ili atoke kwenda kwenye gari lake aliloacha nje kabisa ya nyumba, lakini akaishia kusimama hapo hapo huku akiangalia nje kimshangao kiasi. Salome alipoona hilo, akamuuliza kama kulikuwa na shida, lakini Blandina akaendelea kusimama tu na kuangalia nje kana kwamba aliona jambo fulani baya. Salome akamsogelea karibu zaidi kwa nyuma na kutazama huko nje pia, naye akashtuka kiasi lakini si kwa kuogopa, bali kwa kutotarajia kabisa kumwona Draxton akiwa hapo!

Mwanaume ndiyo alikuwa amefika tu nyumbani hapo kwa Salome baada ya kufanya utafiti wa ni wapi ambapo Namouih alikuwa kwa sasa. Hamu yake ya kutaka kuona itikio la mshangao kutoka kwa mpenzi wake ilimsukuma amtafute kisiri kupitia programu ile ya simu yenye uwezo wa kufuatilia namba ya simu ya mlengwa fulani, na baada ya kupata mahala ambako mpenzi wake alikuwa ndiyo akaja sehemu hii.

Kilichofanya asiwahi sana kufika kwa Salome ilikuwa ni kutokana na barabara kuu aliyopitia kuzuia magari kutembea mpaka msafara maalumu wa kiongozi fulani wa serikali upite, hivyo alisubiri kwa muda mpaka ulipopita na kisha ndiyo akaingia mwendoni tena. Ndiyo kufika tu nje ya geti hilo akawa ameamua kwenda kugonga ili aweze kumwona mpenzi wake, huku bado akiwa na wazo la kum-surprise.

Alipokuwa tu amelikaribia likafunguka na sura ya kwanza kuiona ikawa ya Blandina, kitu kilichofanya yeye pia asimame na kumtazama kwa umakini. Ni wazi hata kwa upande wake yeye pia hakudhani angemkuta mwanamke huyo hapo, na baada tu ya Salome kumwona, akaachia tabasamu la furaha na kumwita kwa shauku kiasi.

"Jamani, Draxton!" Salome akasema.

Draxton akaacha kumwangalia Blandina na kusema, "Salome... habari za siku?"

Blandina bado akawa anamwangalia tu usoni, mapigo ya moyo wake yakidunda kwa nguvu sana.

"Oh kijana wangu jamani, siku zimekuwa na mambo mengi. Mbona umenishtua hivyo, sikutarajia kabisa kukuona yaani!" Salome akamwambia huku akitoka nje sasa.

Zakia alikuwa karibu na hapo, naye akasogea usawa wa Blandina na kumwangalia Draxton.

"Ahahah... nilitaka kum-surprise Namouih, ila...." Draxton akaacha kuzungumza baada ya kumwona Zakia hapo pia.

Wanawake kwa pamoja wakaendelea kumwangalia kwa njia iliyomfanya Draxton awaze kulikuwa na suala fulani likiendelea sehemu hiyo. Ni kuhusu kwa nini mama yake Namouih na Blandina wawepo nyumbani kwa Salome.

"Habari za siku Zakia? Nafurahi kukuona," Draxton akamsemesha.

Zakia akabaki kumtazama tu.

"Blandina... uhali gani?" Draxton akamsalimu Blandina pia.

Blandina akaacha kumwangalia na kuinamisha uso kiasi.

Salome akamshika begani na kuuliza, "Umerudi lini?"

Draxton akatabasamu kidogo na kusema, "Leo. Nilipanga... kuwashtukiza kidogo, ila nikawakosa pale nyumbani... napokaa. Excitement tu yaani hahah... nikaamua kuja mpaka huku nijilete kama surprise. Niliwakumbuka sana."

Mwanaume aliongea kwa njia ya kistaarabu lakini iliyojaa hisia za furaha, na wanawake waliona wazi kwamba hakujua yaliyokuwa yametokea, hivyo bila shaka furaha hiyo ingekoma ndani ya muda mfupi.

Baada ya kuona wamekaa kimya tu, Draxton akasema, "Namouih yuko ndani, siyo? Sijui kama labda... mlikuwa na... mjumuiko, labda hii surprise haitafanya kazi nzuri kwa sasa?"

Wanawake wakaangaliana kwa pamoja, naye Salome akatoa tabasamu hafifu la kujilazimisha.

Draxton hakuhitaji kukisia kwamba hapo kulikuwa na suala zito, kwa maana hilo tayari alilielewa, lakini akataka kujua ni nini. Akamwangalia Salome na kuuliza, "Nini kinaendelea hapa? Kuna tatizo? Namouih yuko sawa?"

Salome akatikisa kichwa kukubali na kusema, "Ndiyo. Yuko sawa. Ila kuna... matatizo yame..."

"Yamefanyaje? Mtoto... mtoto yuko sawa?" Draxton akauliza kwa wasiwasi kiasi.

"Draxton baba... ingia ndani labda... tuongee vizuri zaidi," Zakia akamwambia hivyo hatimaye.

Draxton akatikisa kichwa kukubali na kumtazama Blandina, ambaye wakati huu alikuwa anakwepesba macho yake kutomwangalia mwanaume huyo. Akapita pamoja na Salome getini na kuanza kumfuata Zakia kwenda kule ndani, na Salome akamuuliza Blandina ikiwa angependa kujiunga nao. Blandina akasema hapana, kwamba angeondoka tu na wao wangewasiliana kesho, kisha akatoka nje na Salome kufunga geti.

Blandina akaelekea garini mwake na kuketi kwa dakika chache. Alikuwa akipitia mvurugiko fulani wa kihisia baada ya kuwa amemwona Draxton tena, na alielewa hilo lilitokana na mambo yote aliyokuwa amepitia pamoja na mwanaume huyo. Bado ilikuwa ngumu kwake kumwangalia mwanaume aliyeanza naye mahusiano na kumpenda sana, leo awe wa mtu mwingine, tena rafiki yake wa karibu sana, lakini hakukuwa na namna ya kubadili mambo kwa sababu tayari yalikuwa yameshageuka kuwa hivyo. Angepaswa tu kukubali sasa kwamba Draxton hakuwa wakwake tena, naye akajikaza na kuondoka eneo hilo upesi.

Draxton alipelekwa mpaka sebuleni na kukaribishwa sofani, naye akakaa kwa utulivu. Hapo alikuwepo Salome, Zakia, Esma, na Halima. Halima alikuwa ameshashuka kutoka chumbani kwake Namouih, ambaye akiwa huko sasa ni Sasha. Wanawake wakaanza kumweleza jamaa yote yaliyojiri alipokuwa nje ya nchi. A, mpaka Z. Draxton hakuzungumza neno hata moja kadiri alivyoendelea kuwasikiliza Salome na Zakia wakiongea. Zakia alishindwa kujizuia kutokwa na machozi alipokuwa akielezea maumivu ambayo binti yake alipitia, na Salome akaweka wazi kwamba aliyemtendea uovu huo mwanamke huyo kwa sasa alikuwa huru.

Draxton alichoka. Yaani alitazama chini na kutulia hivyo kwa dakika tano, akiwa kama ameganda. Chozi likamdondoka bila hata ya yeye kuvuta hisia, lakini alihisi ni kama amepigwa na kitu kizito ndani ya moyo wake. Wanawake wakaendelea kumwangalia tu kwa huzuni, wakielewa ni namna gani alivyokuwa akihisi, na kiukweli Draxton alipoteza kabisa uradhi wote aliokuwa amejitahidi kuuweka moyoni.

Wakati huo ambao mwanaume ndiyo alikuwa ameelezewa yote yaliyotokea, kule juu Sasha akawa amemwambia Namouih kwamba angekwenda kumtayarishia supu na kumwekea kwenye bakuli, kisha angeileta na kumnywesha kama mtoto. Alikuwa anamwambia kabisa namna ambavyo alipenda kumdekeza dada yake, naye akamwacha chumbani na kuelekea kwenye ngazi.

Ndipo alipofika tu mwanzoni mwa ngazi huko juu akawa amemwona Draxton pale sebuleni, naye akashangaa sana. Furaha tele ilimwingia kwa muda huo huo, naye akarudi chumbani kwa Namouih na kukaa kitandani kwa kujitupia, huku akionekana kuwa na shauku kuu usoni mwake.

"Dada... dada..."

Sasha akamwita hivyo, naye Namouih akamwangalia. Mwanamke alikuwa ameketi tu kwa kunyoosha miguu yake kitandani hapo na kuuegamiza mgongo wake kwenye mto.

"Dada... ni Draxton! Draxton amekuja!" Sasha akaongea kwa furaha.

Namouih akamtazama Sasha kwa umakini zaidi.

"Ndiyo dada. Amekuja. Yuko hapo sebuleni na mama. Twende ukamwone," Sasha akamwambia kwa ushawishi.

Mwanadada huyu alifikiri kwamba bila shaka jambo hilo lingempa Namouih furaha tele, lakini badala yake Namouih akaonekana kutetereka hata zaidi. Akaangalia mlangoni kwa njia iliyoonyesha hofu, naye Sasha akachanganywa na hilo.

"Dada... ni kweli. Draxton amekuja. Hakuna haja ya kuogopa tena, amekuja kwa ajili yako... njoo tuka..."

Maneno ya Sasha yakakatishwa baada ya Namouih kugeukia upande mwingine wa kitanda na kujilaza kwa ubavu, na akiwa amejikunja kiasi. Sasha akawa amemwelewa dada yake. Alikuwa anajihisi vibaya bado, na sasa Draxton kuwa amerudi kulimfanya ajione kuwa hafai hata zaidi kwa sababu ya kuchafuliwa na Godwin, hivyo badala ya kufurahia ujio wa mpenzi wake, ni huzuni tu ndiyo ikazidi kumtawala mwanamke huyu.

Sasha akamwonea huruma sana na kuamua kumwacha tu peke yake kwanza ili aende kumsalimu Draxton pia. Akatoka chumbani humo na kutembea taratibu kwenda sebuleni, na uso wake ulijaa simanzi. Akafika kwa wakubwa na kukuta wote wakiwa kimya bado, na wakimtazama Draxton, ambaye aliweka kiganja chake karibu na mdomo na macho yake kukazia sehemu moja akionekana kuwa ndani ya wimbi zito la mawazo.

"Shikamoo kaka Draxton..."

Wanawake wakamwangalia Sasha, ambaye ndiye aliyekuwa ametoa salamu hiyo kwa sauti ya chini lakini iliyosikika vizuri.

Draxton akapandisha macho yake juu na kumwona Sasha, na kwa sauti tulivu akasema, "Marahaba. Unaendeleaje Sasha?"

"Vizuri kabisa. Nashukuru Mungu," Sasha akajibu kwa heshima.

Wote wakaendelea kumtazama mwanaume, naye Draxton akashusha pumzi na kumtazama Salome, kisha akauliza, "Yuko wapi?"

Salome akajibu, "Juu, chumbani. Twende."

Draxton akatikisa kichwa kukubali, na wote kwa pamoja wakasimama.

Kulikuwa na hali nzito kihisia kwa wote wakati huu, na hasa Draxton ndiye aliyekuwa anahisi ni kama ameshindwa kufanya alichoahidi kumfanyia Namouih, yaani kumlinda. Hakuwa hata amemaliza mwezi toka alipomwacha na haya yakawa yamempata mpenzi wake. Hangejizuia kujilaumu kwa kukosa kuwa karibu na mama kijacho wake mpaka akakumbwa na matatizo hayo, lakini kwa sababu sasa alikuwa amerudi angejitahidi kufanya yote aliyoweza kuhakikisha Namouih anajihisi huru na salama tena. Alistahili kabisa mambo hayo huyo mwanamke.

Wakaanza kupanda ngazi pamoja, Salome akiwa mbele pamoja na Zakia, Draxton akiwa nyuma yao, na Sasha, Esma, pamoja na dada wa kazi wakiwasindikiza kwa macho taratibu. Wakatembea mpaka kufikia mlango wa chumba hicho, naye Salome akamwonyesha mwanaume kwa ishara ya mkono kuwa aingie; Namouih ndiyo alikuwa humo.

Draxton akaingia na kuanza kuelekea upande wenye kitanda taratibu. Aliweza kumwona mwanamke wake sasa, akiwa amejilaza kitandani huku amegeukia kwingine, na akiwa ametulia kabisa. Draxton alikuwa na uwezo wa hali ya juu wa kusikia kilio cha Namouih ambacho hakikutoa sauti, naye akaelewa kwamba mpenzi wake alijua kuwa tayari yuko ndani hapo. Akawa amekifikia kitanda na kusimama kwanza, akimwangalia kwa simanzi kutokana na kuelewa kwamba Namouih hakutaka hata kumwangalia usoni. Ni kwa sababu aliogopa. Alihisi aibu na kudhalilika. Aliumia sana.

Mwanaume akapanda kitandani taratibu na kumshika begani, akiwa na lengo la kumfanya ageuke, lakini Namouih akaendelea kutulia namna hiyo hiyo. Hivyo, Draxton akaona tu ampitishie mkono wake kifuani kwa njia ya kumkumbatia kutokea nyuma, akiweka uso wake nyuma ya kichwa cha mwanamke huyo, naye Namouih, aliyekuwa macho wazi huku akidondosha machozi, akayafumba kwa nguvu sana kutokana na hisia kali za majonzi kumwingia hata zaidi.

Mwanamke huyu akashusha pumzi kiutetemeshi, kisha akaanza kujigeuza taratibu. Draxton akalegeza mkono wake uliomshika na kumwangalia kwa utulivu, naye Namouih akaendelea kujigeuza mpaka mwili wake ulipotazamana na wa Draxton, akiwa kama anauficha uso wake kifuani kwa mwanaume. Draxton akaanza kutokwa na machozi. Namouih alikuwa akimwwomba ampe kama... kificho ndani ya kumbatio lake, naye Draxton akambana tena na kulaza kichwa chake juu yake, akifumba macho pamoja naye kushiriki huzuni yake.

Zakia na Salome walikuwa wakiwatazama kutokea mlangoni, nao walikuwa wakilia bila kutoa sauti kutokana na kuguswa na upendo wa wawili hao, kisha wakawaacha na kurudi kule sebuleni kuwa pamoja na wengine.


★★★★★★★★★

ITAENDELEA

★★★★★★★★★
 
DRAXTON

A Story by Elton Tonny

Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa

(R-rated 18+)

Enjoy!

★★★★★★★★★★★★★★★★★

SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO

★★★★★★★★★★★★★★★★★


Asubuhi ikafika. Ikiwa ni siku ya Jumamosi, kama kawaida dada wa kazi aliamka mapema pamoja na Esma na kuanza kusaidiana kufanya shughuli za usafi na maandalizi ya vyakula, na Salome pia aliamka mapema kujiandaa kwa ajili ya kazi. Alikuwa ameamka na kukuta ujumbe kutoka kwa Draxton aliotuma usiku kumshukuru kwa msaada wake aliompatia Namouih, naye akawa amekwishaona meza aliyowekea hotpot zile zenye vyakula ikiwa tupu na kujua bila shaka Draxton alikuja kuzichukua na kwenda kumpa Namouih .

Ikiwa ni mida ya saa mbili kasoro sasa, Salome alielewa kwamba wawili hao bila shaka walilala kwa kuchelewa na hivyo labda mpaka kufikia sasa walisinzia bado, naye akawaambia wasichana wawawekee viamsha vinywa na wawaache tu mpaka watakapoamka wenyewe na kwenda kupata chai.

Lakini chumbani mule walipokuwa wapenzi hao wawili, ni mmoja tu ndiye aliyekuwa amesinzia, yaani Namouih. Baada ya kupata chakula pamoja na Draxton ndani ya usiku wa manane, mwanamke huyo alilala pamoja naye kitandani, akijilaza kifuani kwake mpaka alipopitiwa na usingizi, lakini Draxton hakuweza kusinzia.

Kwa masaa machache alikuwa kitandani hapo akiwaza mambo mengi sana; kitovu kikuu cha mawazo yake ikiwa ni hasara nyingi alipitia maishani mwake. Mama yake, Ramona, Mark, Darla, watu-mwitu wenzake, na sasa Namouih. Hangeweza kufuta matokeo ya mambo yaliyotokea, lakini kwa hili suala la Namouih, aisee asingeendekeza unyonge. Kama kutosha ilikuwa imetosha.

Namouih akiwa bado usingizini, Draxton akajitoa kwake na kushuka kutoka kitandani, naye akaufunika kiasi mwili wa mwanamke huyo na kumwacha amelala. Akaenda bafuni na kusafisha uso, kisha akarudi chumbani hapo na kuanza kutafuta kitu fulani kwenye vifaa vyake Namouih. Aliangalia mkobani na kisha kwenye droo, naye akawa amepata alichotaka. Akamwangalia mpenzi wake kwa upendo sana, huku moyoni akiwa na wimbi zito la hisia kali za hasira kila mara alipokumbukia yale aliyoambiwa yalimpata mpenzi wake, naye akatoka chumbani humo na kwenda kule chini.

Alimkuta Salome akiwa ndiyo anamalizia kupata cha asubuhi kabla hajaondoka, na Zakia na Sasha pia walikuwepo hapo pamoja naye. Esma alikuwa ametoka pamoja na Halima kwenda dukani, mama yake na Efraim Donald akiwa ametaka kunyoosha miguu kidogo. Baada ya wanawake kumwona, wakamsalimu vizuri, naye Draxton akaitikia kwa kutikisa kichwa kidogo. Alikuwa amesimama usawa wa ngazi, akionekana makini sana, naye Salome akamwambia aende hapo mezani ili apate chai. Lakini Draxton akatazama chini tu, kisha akageuka na kuondoka sehemu hiyo kuelekea mlango.

Salome, Zakia na Sasha waliangaliana kimshangao, naye Salome akasimama na kuanza kumwita, huku Zakia na Sasha wakisimama pia. Draxton hakutaka kusimama kumsikiliza Salome na badala yake kuuelekea tu mlango, kisha alipoufungua akakatisha nyendo zake baada ya kumwona Blandina akiwa amesimama sehemu hiyo. Mwanamke huyo ndiyo alikuwa amefika tu nyumbani kwa Salome asubuhi hii, na nyuma yake alikuja msichana yule wa kazi ambaye ndiye aliyekwenda kumfungulia geti muda mfupi nyuma kabla Draxton hajashuka kutoka chumbani.

Blandina aliingiwa na msisimko baada ya kumwona Draxton kwa mara nyingine tena, lakini alipomkazia uangalifu usoni, akatambua kwamba Draxton alikuwa ameudhika kupita kiasi. Alimtazama Blandina kwa njia ngeni kabisa, mpaka mwanamke huyu akaogopa. Ni muda huo huo Salome akawa amefanikiwa kufika karibu zaidi na kumshika Draxton mkononi.

"Draxton... kuna tatizo gani? Unaenda wapi?" Salome akamuuliza.

Draxton akamwangalia machoni bila kumpa jibu lolote.

"Mbona hivi? Nakuita huitiki jamani... njoo ndani tuongee Draxton eeh? Please..." Salome akamwomba.

Draxton akatazama chini tu.

Salome akamtazama Blandina na kumwambia, "Karibu Blandina. Naona ni vizuri umekuja maana... Draxton naona ni vyema tukiongea pamoja... usiondoke namna hii... Blandina mshawishi basi."

Lakini Blandina akabaki tu kumwangalia mwanaume huyo asijue la kusema, naye Draxton akampita tu na kuanza kuelekea getini.

Salome akatoka nje kidogo na kumwangalia mwanaume huyo mpaka alipoondoka, naye akatazamana na Blandina kwa wasiwasi.

Zakia akafika sehemu hiyo ya mlango na kusema, "Kulikoni? Anaenda wapi kwa hasira hivyo?"

Blandina akamwangalia Salome na kuuliza, "Ameshajua kuhusu Namouih, si ndiyo?"

"Ndiyo... na walilala pamoja jana," Salome akasema.

Blandina akatazama pembeni na kushusha pumzi, akionekana kutafakari kitu fulani.

Salome akaisoma vizuri saikolojia iliyojitengeneza hapo, na kwa utambuzi akasema, "Atakuwa anakwenda... kumfata yule mwanaume."

Zakia akatoa macho kimshangao na kusema, "Wewee... kweli?"

"Ndiyo. Amekasirika sana. Atafanya kitu kibaya mno," Blandina akaongea.

"Hiyo si itakuwa hatari? Aki... akifanya jambo baya si... wanaweza wakamkamata?" Salome akaongea hivyo.

"Akibadilika kuwa lile limnyama... hamna atakayeweza kumshika, si ndiyo?" Zakia akauliza.

"Ndiyo hicho... alisemaga akikasirika mno akawa hivyo, hawezi kuji-control mpaka Namouih awe naye. Sasa sielewi... anapanga kufanya nini. Sijui itakuwaje kwa kweli. Ila inabidi tujue ikiwa alizungumza lolote na Namouih jana... maana hii hali imenitisha..." Blandina akasema hayo.

"Ni kweli. Twende ndani, sijui kama ameshaamka ila Sasha ameenda kumwangalia," Zakia akasema.

Wanawake hawa wakaingia ndani kwa pamoja baada ya maongezi hayo.

Kule chumbani, Sasha alikuwa ameingia baada ya kusukuma mlango taratibu ili ikiwa dada yake hakuwa ameamka bado basi asimshtue. Na ni kweli alikuta dada yake akiwa amesinzia bado, hivyo akaenda kwenye kitanda na kukaa karibu yake; akimwangalia kwa kujali.

Hazikupita dakika nyingi sana naye Namouih akaanza kutoka usingizini. Macho yake yakiwa mazito kiasi, akayafikicha na kumwangalia mdogo wake usoni. Sasha akamsalimu, lakini Namouih akatazama kitandani na kuanza kubabaika kwa wasiwasi.

"Dada... dada... nini?" Sasha akamuuliza kwa kujali.

Namouih akaketi kabisa huku akitazama upande wa bafuni kimaswali.

"Dada, usijali... kaka Draxton ametoka kidogo... atarudi..." Sasha akamwambia ili kumtuliza.

Namouih akamwangalia machoni kimaswali kiasi.

"Alikuwepo, tena ameondoka sasa hivi tu. Atakuwa alikuacha umelala, wala usijali," Sasha akamtuliza tena.

Namouih akamwangalia kwa umakini, kisha akauliza kwa sauti ya chini, "Ameenda wapi?"

Sasha akamtazama kimshangao kiasi, naye akaanza kutabasamu na kuita kwa sauti ya juu, "Mama... mamaa!"

Namouih akamshangaa kiasi.

Salome na wengine ndiyo walikuwa ngazini kuelekea chumbani kwake Namouih pale walipoanza kumsikia Sasha akimwita mama yake kwa sauti, nao wakaangaliana kwa njia ya wasiwasi. Upesi wakaanza kusonga mbele kuelekea huko, Zakia akiwa ametangulia mbele mpaka walipoingia ndani ya chumba hicho kumkuta Sasha amesimama sasa mwanzoni mwa kitanda na Namouih akiwa amekaa kitandani kwa utulivu.

Zakia akafika kitandani na kukaa upesi huku akisema, "Kuna nini? Eh? Sasha... shida nini?"

Blandina na Salome walikuwa wamesimama pembeni wakimtazama Namouih kwa kujali, naye Sasha akatabasamu na kusema, "Dada ameongea."

Zakia akamwangalia binti yake kwa mzubao kiasi, hata Blandina na Salome wakamtazama kwa matarajio mapya.

"Namouih?" Zakia akamwita kwa sauti ya chini.

Namouih akatulia kidogo, kisha akasema, "Bee..."

Wanawake wengine ndani hapo wakatabasmu kwa furaha sana baada ya kufanikiwa kuisikia sauti ya mwanamke huyo kwa mara nyingine tena baada ya muda sasa. Zakia akawa analia na kumshika Namouih kichwani, na wengine wakasogea na kukaa kitandani pia.

"Jamani Namouih... nilimiss sana kusikia sauti yako," Salome akamwambia.

"Sisi wote jamani! Yaani ilikuwa kama umemeza kaa la moto," Zakia akatania kidogo.

Wengine wakacheka kidogo kwa furaha, naye Namouih akaangalia chini kiasi akiwa bado na huzuni.

"Pole sana rafiki yangu kwa kila kitu, eti? Hatukuwa na amani kabisa kuona jinsi ulivyokuwa... ila utambue yaani sikuzote tutakuwa pamoja nawe hata nini kitokee..." Salome akaongea kwa hisia.

"Kweli kabisa. Nilihisi ningekufa kabisa," Zakia akasema.

"Hata mimi," Sasha akasema.

Namouih akawa anawaangalia wote kwa hisia sana, naye akasema, "Asanteni sana. Kwa kila kitu. Nawapenda nyote."

Zakia, Salome, na Sasha wakamsogelea na kumkumbatia kwa pamoja, naye Blandina akawa anawaangalia huku akitabasamu. Namouih akamtazama rafiki yake huyo na kuunyoosha mkono wake kumwelekea, naye Blandina akaupokea na kukishika kiganja chake kwa uthamini.

Baada ya wanawake hao kumwachia, Sasha akasema, "Itakuwa nguvu ya Draxton imefanya dada aongee tena."

Zakia akacheka kidogo huku akijifuta machozi na kusema, "Haswaa."

Namouih akawa makini na kuuliza, "Max... Draxton yuko wapi?"

Wengine wakamtazama Blandina machoni, na mwanamke huyo akakaa kitandani na kusema, "Ameondoka."

Namouih akatatizika na jambo hilo, naye akauliza, "Ku... kuondoka kivipi?"

Blandina akatazama chini kwa ufupi.

"Ameniacha?" Namouih akauliza.

"Hapana... sijamaanisha hivyo. Ameondoka... na... nafikiri amekwenda kumfata Godwin," Blandina akamwambia.

Namouih akamwangalia machoni kwa mkazo baada ya kusikia hilo jina.

"Nam... mliongea nini jana? Kuna chochote alikwambia?" Blandina akauliza.

Namouih akatazama pembeni.

"Namouih... kama kuna kitu alikwambia atafanya, ni bora na sisi tukajua ili tuwe tayari kwa lolote. Draxton... ameondoka kwa hasira sana... anaweza akafanya jambo baya, linaweza likamuumiza na hata na wewe pia," Salome akasema.

Namouih akatikisa kichwa taratibu kama kusema hajui, kisha akawaambia, "Hata kama ningejua ameenda kufanya nini... singeweza kumzuia. Ninachojua... ni kwamba namwamini... na ninataka arudi kwangu tena... hata kama nini kitatokea... basi."

Baada ya yeye kusema hivyo, wengine wakabaki kimya tu na kuendelea kumtazama kwa kujali, huku Namouih akiwa ametazama chini kimawazo sana.

Ni muda mfupi kutokea hapo naye Esma akawa amerejea na kufika chumbani hapo pamoja na Halima, nao wakamsalimu Blandina na kumjulia hali Namouih. Esma akamkumbusha uhitaji wa Namouih kunywa dawa, na mkononi mwake alishikilia glasi yenye maji. Kwa sababu wawili hao hawakujua ikiwa tayari Namouih alianza kuongea, Zakia akampa kiashirio binti yake cha kuwapa surprise wawili hao, na Namouih akawasemesha kwa kuanza kumwamkia Halima.

Ni kweli kabisa Halima na Esma hawakuwa wametarajia Namouih azungumze kwa muda huo, nao wakafurahi sana na kumkumbatia kwa pamoja. Kwa hiyo baada ya Salome kuaga ili aelekee kazini, ikabidi wanawake hawa waendelee kukaa na Namouih ili kushiriki naye mambo mengi sana kutokana na kuukosa ushirika wake kwa muda mrefu sasa, huku wakiendelea kusubiri kujua nini kingetokea kwa upande wake Draxton baada ya kuondoka nyumbani hapo akiwa ameghadhibika.

★★

Muda ulizidi kusonga ndani ya siku hii iliyokuwa imeanza kujaa utata baada ya Draxton kuondoka na kumwacha Namouih hapo kwa Salome. Mpaka inafika saa kumi jioni, mwanaume huyo hakuwa amesikika tena kwa yeyote. Namouih na wengine pia wangejaribu kumtafuta kwa simu, lakini hawakufanikiwa kumpata. Hali iliyojitengeneza hapo nyumbani ikazidisha hofu kiasi kwa Namouih kwa sababu aliwaza sana juu ya ni nini ambacho mpenzi wake alitoka nje na kwenda kufanya.

Blandina hakuwa na ubize wa kikazi kwa Jumamosi hii hivyo alijitahidi kutumia muda mwingi pamoja na rafiki yake kuzungumza naye mpaka wakati ambao yeye pia angepata taarifa yoyote kuhusu Draxton. Wanawake wote hapo kwa ujumla walijitahidi kumwonyesha staha nzuri Namouih ili aendelee kujihisi salama na vizuri zaidi kihisia, lakini amani ya mwanamke huyu ingekuwepo kwa asilimia zote pale ambapo angemwona tena mpenzi wake.

Ilipofika mida ya saa kumi na mbili jioni, Blandina akawa ameingia chumbani kwa Namouih na kuaga kwa kutaka kwenda nyumbani alikoishi ili ashughulike na mambo mengine. Ingawa alikuwepo hapo tokea asubuhi, Namouih hakutaka aondoke kabisa, akimsisitizia abaki ili angalau na chakula cha jioni waweze kushiriki pamoja.

Kwa sababu ya kujali zaidi hali ya rafiki yake kihisia wakati huu, Blandina akawa amekubali, na walipokuwa wameanzisha maongezi ya kirafiki baina yao, binti Sasha akaingia ndani humo akiwa anatembea taratibu. Namouih na Blandina walipomtazama, walitambua kwamba mwanadada huyo alikuwa na shida fulani kwa jinsi uso wake ulivyoonyesha kutatizika.

Namouih akamwangalia kwa umakini na kuuliza, "Sasha... vipi?"

Binti alikuwa ameshikilia simu kiganjani, naye akatazama jambo fulani humo na kisha kumwangalia dada yake tena.

"Kuna nini Sasha? Mbona uko hivyo?" Blandina akamuuliza.

Sasha akawaangalia na kusema kwa sauti ya chini, "Kuna hizi hapa video... zimeanza kuvuja... za yule Godwin Shigela..."

Namouih akaitikia hilo kwa kukunja uso wake, na Blandina akamwangalia.

"Ni video mbaya sana... zimeanza kusambaa kotekote, ila me nina...."

"Nipe nione," Namouih akamkatisha namna hiyo.

Sasha akaangaliana na Blandina.

"Leta simu Sasha!" Namouih akamwambia kwa uharakishi, huku akimnyooshea mkono kumwomba simu.

Sasha akamsogezea dada yake simu na kumpatia, na Namouih akaipokea na kukuta sehemu ya kuangalia video, yenye video fulani iliyosimamishwa. Akaicheza ili aone kilichokuwa kinaendelea kuhusiana na mwanaume huyo, na Blandina akasogea na kutazama pia. Blandina ndiye aliyekuwa wa kwanza kufunika mdomo wake kwa kiganja huku akitoa macho yake kimshangao. Namouih akabaki kuitazama video hiyo kama vile alikuwa amegandishwa.

Ilionyesha mwili wa mwanaume ambaye ni wazi alikuwa Godwin Shigela, akiwa ameketi kwenye sofa ndani ya ofisi fulani pana. Ulikuwa ule mkao wa kuitandaza mikono juu ya sehemu ya kuegamia, na kichwa chake kilikuwa kimelalia sehemu hiyo akiwa ANAKARIBIA kuwa mbali na uhai. Jinsi alivyoonekana ndiyo jambo lililofanya video hiyo itishe sana.

Kwanza kabisa, hakuwa na nguo hata moja mwilini. Mwili wake haukuwa na ngozi kuanzia shingoni mpaka miguuni, ikiwa inaonekana ni kama ilichunwa kwa ustadi sana, na hivyo sehemu kubwa ilikuwa nyekundu kutokana na damu iliyovia. Sehemu zake za siri zilikuwa zimekatwa, hakuwa na kucha hata moja vidoleni mwake, na sehemu ya tumbo ilikuwa imeraruka na kufanya utumbo wake utokeze kiasi kwa nje!

Usoni, mikwaruzo mitatu kutokea kwenye paji lake ilionekana mpaka kufikia kidevu, macho yake yalikuwa yametobolewa, na mdomo wake ulikuwa wazi kuonyesha kwamba ulimi na meno yake yote yalikuwa yamenyofolewa! Mbaya zaidi, video hiyo ilionyesha kwamba bado alikuwa hai kutokana na jinsi alivyotetemeka, na hakuweza kujitoa ndani ya mateso hayo hata kidogo!

Blandina akageuzia uso wake pembeni na kuufunika kwa kiganja chake, akiwa amekosa amani baada ya kuona alichokiona. Namouih akatazama pembeni akiwa amekaza macho yake, kwa kushindwa kujua ahisi vipi kuhusiana na kile alichotoka kukiona. Sasha akaichukua simu yake na kuingia mitandaoni, huku akisema kwa sauti ya chini kwamba video hiyo ilikuwa ikisambaa sana. Blandina akamwangalia Namouih kwa mkazo, na mwanamke huyo akamtazama pia. Walishindwa hata kuongea, lakini walielewa ni nini iliyokuwa maana ya hicho walichotoka kuona.

Zakia na Halima wakawa wamefika hapo muda si mrefu na kukuta hali hiyo ya sintofahamu, nao wakataka kujua shida ilikuwa nini. Ndiyo Sasha akawaonyesha video hiyo, nao wakachoka. Ilimkera sana Halima kiasi kwamba mpaka akatapika. Baada ya hali kutulia kiasi, wanawake hawa wakaanza kuzungumza kwa pamoja juu ya ishu hiyo, na Salome akawa amepigiwa simu na sauti kukuzwa ili wote washiriki naye maongezi. Yeye pia tayari alikuwa ameiona video hiyo, na kwa kadiri fulani alijua yaliyokuwa yamejiri kutokea mitandaoni.

Alieleza kwamba kwa jinsi watu walioongelea tukio hilo baada ya kuwa limefanyika, inasemekana kuna mwanaume fulani mzungu alikwenda kwenye moja kati ya kampuni zake Godwin Shigela, na baada ya kuingia huko alikwenda moja kwa moja kwenye ofisi yake akiwa amewapiga wengi wa maafisa wa ulinzi na kufanikiwa kumfikia mwanaume huyo kinguvu. Hakuna aliyeona kilichofanyika ndani ya ofisi hiyo, bali sauti za kelele kutoka kwa Godwin Shigela zilisikika kuonyesha alikuwa akipitia maumivu makali, na hakuna aliyethubutu kwenda huko mpaka zilipokuja kutulia.

Ndiyo watu kadhaa wakafanikiwa kuingia baadaye kabla ya mapolisi kuwa wamefika hapo, na video hiyo ilichukuliwa na mmoja wao baada ya kukuta kilichomkuta Godwin. Mwanaume huyo mzungu hakufahamika alitokea wapi na alikwenda wapi, na msako kumtafuta ulikuwa unaendelea. Jambo hilo lilikuwa zito, kwa sababu Godwin Shigela alikuwa mwanaume mwenye ufanisi na kwa hiyo alijulikana kwa wengi, na bila shaka vyombo vya habari vingetangaza tukio hilo kwa kuwa sasa mwanaume huyo alikuwa ameyaaga maisha baada ya kupitia maumivu makali sana.

Kiukweli wote hawakuwa wametegemea jambo hilo kabisa. Hakuna mtu aliyesema lolote, lakini wote walijua mhusika wa tukio hili alikuwa ni Draxton. Kama ni mtu mmoja tu ambaye ndiye hakuelewa kikamili kilichokuwa kimetokea, basi ni Halima, kwa sababu hakujua kiundani kuhusu namna ambavyo Draxton alikuwa. Kwa hiyo alikuwa anashangaa sana na kuuliza nani angekuwa amemfanyia hivyo mwanaume yule aliyemtendea vibaya Namouih, na kwa hilo Zakia akamwahidi kumwelezea.

Umakini wa Blandina, Zakia, na Sasha kwa wakati huu ulikuwa kwa Namouih. Mwanamke huyu alionekana kuwa katikati ya wimbi zito la mawazo. Kihalisi, mtu mwingine angefikiria labda kilichompata Godwin Shigela ni kitu ambacho kingempa furaha Namouih, lakini haikuwa hivyo. Alivurugika sana moyoni. Akawa tu anatikisa kichwa kwa kusikitika kwa sababu kitendo alichokuwa amefanya Draxton kilipita matarajio yoyote aliyofikiria juu ya adhabu iliyomfaa Godwin Shigela, na kwa kiasi fulani jambo hilo lilimwogopesha.

Blandina akamshika kiganja taratibu huku akimwangalia kwa kujali, na Namouih akamtazama rafiki yake. "Tunafanya nini juu ya hili, Nam?" akamuuliza kwa sauti ya chini.

Namouih akatazama pembeni kwa ufupi, akiwa anatafakari ni nini afanye, kisha akasema, "Nahitaji kuonana naye."

Wengine wakaanza kuangaliana, naye Zakia akasema, "Namouih mwanangu... ninaomba utulie. Hebu tulia kwanza. Unajua huyo mwanaume mimi... kiukweli huwa muda mwingine ananiogopesha. Sasa hivi anaonekana ana hasira, mwache kwanza, na... mapolisi wanamtafuta... eh Mola jamani! Namouih nakusihi usimfate kokote aliko, unanisikia?"

"Siwezi kukaa tu mama. Amefanya hivi kwa sababu yangu, na ninajua vizuri hatarudi tena mpaka mimi ndiyo nimfate," Namouih akasema kistaarabu.

"Je akikuumiza Namouih?" Salome akauliza kutokea kwenye simu.

"Hawezi kumuumiza," Blandina akasema.

Namouih akamwangalia rafiki yake machoni.

Blandina akamwangalia pia na kusema, "Namouih ndiyo atamtuliza. Inabidi umtafute kabla mengine hayajatokea."

Namouih akatikisa kichwa kukubali.

"Lakini jamani..." Zakia akawa anataka kupinga.

"Mama usihofu, nitakuwa sawa. Nitampata, na nitarudi," Namouih akamwambia kwa upole.

Zakia akatulia kidogo.

"Utajua yuko wapi sasa?" Sasha akauliza.

Namouih akatafakari kiasi, kisha akanyanyuka kutoka kitandani na kuelekea kwenye kabati na kufungua droo moja. Wengine wakawa wanamwangalia tu, naye akawa anatafuta kitu fulani ndani ya droo hiyo na kukikosa. Ilikuwa ni funguo za chumba cha Draxton kule alikopangishwa. Kuzikosa humo ikamwelewesha kuwa mwanaume yule alikuwa amezichukua, naye akawatazama wengine na kusema, "Ndiyo. Nafikiri najua atakapokuwa."

Wanawake wakaendelea kukaa pamoja na Namouih, wakimsikiliza alichowaambia kuhusu kule alikotaka kwenda kukutana na Draxton akiwa peke yake, na akiwahakikishia zaidi kuwa kila jambo lingekuwa sawa kwa sababu angewataarifu akishakutana naye.

Blandina akampatia funguo za gari lake kumsaidia aweze kwenda upesi ili kumfikia mpenzi wake, lakini Namouih akashukuru na kumwambia angeendesha la kwake tu, hivyo akavaa nguo nadhifu na kuwaaga wengine kwa kukumbatiana pamoja nao wote, naye akatoka ili kwenda kumfata mpenzi wake aliyekuwa amezusha balaa zito jijini hapo.

★★

Namouih alichukua gari lake na kwenda moja kwa moja mpaka pale Draxton alipopanga. Alilikuta gari la mwanaume huyo likiwa hapo, naye akaombea moyoni mwake akute hali iko salama kwenye nyumba hiyo. Aliona uwezekano wa Draxton kurudi hapo akiwa mwenye hasira kali na kusababisha madhara kwa yeyote ambaye angemwingia vibaya ulikuwepo, hivyo alitakiwa kuwa tayari kwa ajili ya lolote.

Akaegesha gari lake nje pia na kisha kulielekea geti, naye akaingia ndani humo baada ya kulisukuma na kumkuta Rehema akiwa ameketi kwenye ubaraza wake huku anakuna nazi. Baada ya mwanamke huyo kumwona, akaachia tabasamu la furaha na kunyanyuka upesi; akimfata kwa shauku.

"Jamani mhindi amerudi! Wow!" Rehema akasema hivyo huku akimkumbatia.

Namouih akapokea kumbatio lake na kusema, "Habari za siku, Rehema?"

Rehema akamwachia na kumwambia, "Safi. Kulikoni mwenzetu ukakimbia ghafla na kukaa huko mazima?"

Namouih akatabasamu kiasi na kusema, "Sikupanga kukaa muda mrefu sana huko, sema... niliumwa kidogo."

"Ee kweli, niliambiwa na mama yako uko hospitali kama wiki moja hivi. Sema sina hata namba zako unajua..."

"Haina shida. Naendelea vizuri sasa..."

"Unaonekana tu yaani, unajua kupendeza we' dada! Hahahah... wengi wanakuonea gere eti?"

Namouih akatabasamu kiasi na kuangalia chini.

"Wengine wako wapi?" Rehema akauliza.

"Wapo huko kwa rafiki yangu, nao watakuja pia siku si nyingi," Namouih akamwambia.

"Sawa. Halafu... Draxton alirudi juzi... mmeonana?" Rehema akauliza.

"Ndiyo... tumeonana. Yupo huko ndani?" Namouih akauliza pia.

"Eee yupo... ila naona kama hayuko sawa sijui... kuna tatizo gani?"

"Kwa nini... kwani... amefanyaje..."

"Aliporudi juzi alikuwa na furaha sana, alitaka kuwa-surprise nyote. Akaacha begi lake hapa tulipomwambia umeondoka nadhani ili akufate huko ulipokuwa. Sasa... leo karudi tena hapa, nikamsalimia na kutaka kumkumbusha kuchukua begi lake, lakini akanipita tu na kwenda huko ndani, yaani alikuwa amevimba! Mpaka nikaogopa unajua, sikumzoea hivyo..." Rehema akasema kwa sauti ya chini.

Namouih akamwangalia machoni kwa njia ya uelewa, naye akasema, "Pole. Kuna kitu tu kimemchanganya. Ndiyo nataka nimsemeshe."

"Sawa, najua ni mambo ya kibinafsi. Labda ukamwone tu myajenge," Rehema akasema kwa upole.

"Ndiyo. Alionekanaje mwilini?" Namouih akauliza.

"Sijamwangalia sana, alikuwa... kama amevaa shati la blue, na kofia... na suruali ya kitambaa. Halafu ilikuwa kama vile amechafuka utadhani ameanguka chini labda," Rehema akasema.

Namouih akaangalia chini na kushusha pumzi.

"Kwa hiyo... nikuletee begi lake umpelekee?" Rehema akauliza.

Namouih akatikisa kichwa kukubali.

Rehema akaingia ndani kwake upesi na kwenda kulichukua begi la Draxton, kisha akarejea na kumpatia Namouih. "Mpe pole kwa lolote lililotokea. Nampendaga sana kijana wa watu, alivyofika namna hiyo nimejisikia vibaya kweli."

"Yeah nitafanya hivyo, asante sana. Baadaye," Namouih akaaga.

Rehema akamwacha aende kuonana na mpenzi wake, na kiukweli Namouih alikuwa ameanza kuingiwa na hofu ya aina fulani hivi mpaka akawa anajiuliza shida ilikuwa nini. Ni kutokana na kukumbukia picha aliyoiona kwenye ile video ya Godwin Shigela, ndiyo kitu ambacho kilimfanya ahisi kana kwamba alikuwa anaenda kukutana na mtu mwingine tofauti na yule aliyemjua. Alielewa kwamba kwa uasili wa Draxton, ukatili uliwezekana, lakini si ukatili wa namna ile aliouona kwenye ile video.

Akafika mlangoni kwake Draxton, naye akafungua kitasa na mlango ukasogea ndani. Akashusha pumzi kujipa utulivu, naye akaingia ndani humo. Palikuwa na hali tulivu tu, na mwonekano wake ulikuwa kwa mpangilio mzuri kama jinsi alivyouacha yeye pamoja na familia yake walipoondoka wiki kama mbili zilizopita. Akaweka begi kwenye sofa, kisha akauelekea mlango wa chumbani. Alipoufungua na kuingia, sasa aliweza kumwona mpenzi wake akiwa amekaa chini karibu kabisa na kitanda, akikiegamia kwa mgongo.

Namouih akamwangalia kwa umakini, na hisia nyingi zikaanza kumwingia mwanamke huyu. Draxton alikuwa amekaa kwa njia iliyoonyesha wazi kwamba alikuwa amevunjika moyo; sana. Namouih aliangalia nywele zake nyeupe zilizoonekana kulowana kiasi na kuvurugika kichwani kwake, na alitambua kuwa nguo alizokuwa nazo mwilini hazikuwa zake. Mwanaume huyo alitazama tu chini huku akipumua taratibu, na Namouih alielewa kuwa tayari alijua uwepo wake chumbani humo.

Akaanza kuelekea mpaka hapo Draxton alipokaa, kisha akachuchumaa na kupiga magoti karibu yake, akimwangalia kwa kujali sana. Kisha akamshika begani taratibu, naye Draxton akafumba macho na kukaza meno yake kwa nguvu.

Namouih akaanza kulengwa na machozi, naye akasema, "Max..."

"Sifai..."

Kauli hiyo ilimtoka Draxton kinywani mwake, akiisema kwa sauti yenye maumivu moyoni, naye Namouih akabaki kimya na kuendelea kumtazama.

"Mimi sifai... Namouih. Nilizaliwa kwa ajili ipi? Niwe kitovu kikuu cha maumivu kwa wengine, si ndiyo?"

"Hapana, Max...."

"Natakiwa kuendelea kuwa hai kwa ajili gani ikiwa hakuna faida yoyote ya mimi kuishi? Huh? Najaribu kufikia kusudi fulani kwenye maisha yangu mpaka nafanya mambo yasiyonipa faida yoyote... ili tu tena ije kuwa kazi bure! Kwa nini iko hivi Namouih?" Draxton akaongea hivyo kwa hisia.

Namouih akaanza kudondosha machozi.

"Najitahidi kufanya.... najitahidi kurekebisha hali, lakini bado nashindwa kufaulu. Watu naowapenda na hata naoanza kuwapenda sikuzote wanaumia kwa sababu tu ya kuwa karibu nami... ni lazima waumie... ni lazima wateseke... kwa nini tu sikuzaliwa kuwa kawaida kama wengine? Kwa nini ilipaswa kuwa mimi? Maisha gani haya?" Draxton akazungumza maneno hayo kwa huzuni sana.

Namouih akaanza kupitisha kiganja chake kwenye nywele laini za mwanaume huyo, huku akimwangalia kwa simanzi.

"Nimechoka Namouih. Nimechoka. Najua unajiuliza ni kwa nini nimefanya kitu kama kile... lakini sihitaji kukupa jibu lolote. Mimi... sina kusudi Namouih. Sina. Ikiwa nilizaliwa kuwa mnyama, acha nibaki kuwa mnyama..."

"Max..."

"Imetosha. Kila nayempenda anaumia... anakufa.... na mimi msababishaji nipo tu... sifanyi lolote. Nimeumiza wengi, sawa, nikapata nafasi ya kurekebisha mambo, lakini tena hata tu hiyo nafasi ndogo ikapingana nami. Ndiyo nini sasa? Nilienda huko kote kupoteza tu muda, wote walionihitaji, yaani wote... wakatoweka bila me kufanya lolote... na hiyo haitoshi, wewe pia uka.... aah..."

Draxton akainamisha uso wake na kuanza kudondosha machozi kwa uchungu, huku Namouih akilia kwa sauti ya chini pia.

"Kama kuwa mkatili tu ndiyo kusudi la maisha yangu basi acha niliishi. Kwa hicho nilichofanya... niite mnyama... muuaji... sawa tu. Mimi sifai Namouih. Kabisa. Hakuna chochote kile kitakachonifikisha kwenye kusudi la maisha yangu kwa sababu... HALIPO. Nimepoteza mengi.... na kuendelea kuwa namna nilivyo... inamaanisha hata wewe nitakupoteza pia. Sifai kabisa kuwa sehemu ya maisha yako au ya mtu yeyote.... sina kusudi lolote nililobakiza...."

Namouih akakishika kichwa cha mwanaume huyo kwa mikono yote na kukilaza kifuani kwake, akianza kumbembeleza kwa upendo. Draxton akawa anajaribu kukataa kumbatio hilo ili aendelee kuyatia muhuri maneno yake lakini Namouih akaendelea kulazimisha mpaka mwanaume akatulia na kuendelea kumwaga machozi kwa huzuni.

"Mimi sijali ulizaliwa kwa ajili ya nini, Max. Sijali ulizaliwa vipi, ama kusudi la maisha yako ni nini. Kwangu mimi wewe ndiyo maisha yangu. Wewe ndiyo kila kitu changu kwa sasa, Max. Nimekupenda wewe hata baada ya kujua ulihusika na kifo cha mdogo wangu, nitashindwa kukupenda kisa umemuua mpumbavu aliyenivua nguo?" Namouih akamwambia kwa hisia.

Draxton akakaza macho yake huku machozi mengi yakimtoka.

Namouih akashusha pumzi kwa utetemeshi na kusema, "Sahau masuala ya kusudi, Max. Hayajalishi tena. Wewe ni wangu. Mimi ni wako. No matter what. Kusudi pekee lililoko kwa maisha yetu ni kuendelea kupendana licha ya hali zote... na ninataka ibaki kuwa hivyo. Usijichukie. Hata kama nani akisema haufai... wewe ndiyo asilimia mia kwangu. Nakupenda sana Max..."

Draxton akaendelea kutoa huzuni yake kwa machozi, naye Namouih akamtoa kifuani kwake na kuushika uso wake kwa viganja vyake huku akimwangalia kwa ukaribu usoni.

"Ninajua ulichokifanya kilikuwa na maana kubwa zaidi hata ya matatizo yaliyonipata. Ni hasira kali sana kwa sababu ya mengi ambayo umepoteza ndiyo iliyosababisha umfanyie vile Godwin. Naelewa. Lakini kuanzia sasa... nataka maisha yetu yajengwe kwa misingi imara ya mambo yanayokuja mbeleni... tusiishi tena kwa kuangalia yaliyopita... unanielewa?"

Namouih akamwambia maneno hayo kwa upendo, huku Draxton akitikisa kichwa haraka-haraka kuonyesha amemwelewa. Namouih akakichukua kiganja cha mwanaume na kukiweka tumboni kwake ili kumshikisha mtoto aliyemo.

"Wewe ni mpenzi wangu, nami ni wa kwako daima. Mimi na huyu kijacho ndiyo kusudi la maisha yako kuanzia sasa Max... ishi kwa ajili ya hilo," Namouih akamwambia kwa hisia sana.

Draxton akamwangalia kwa hisia nyingi sana, kisha akamkumbatia kwa upendo huku machozi yakimtiririka kwa wingi. Namouih pia akawa analia kwa kufarijika moyoni kuhisi namna ambavyo mwanaume wake alionyesha kupata kitulizo kiasi, na wawili hawa wakaendelea kukaa pamoja hapo chini wakiwa wameshikiliana kwa upendo.

Baada ya muda fulani, Namouih akajitoa kwake Draxton baada ya kusikia mlango wa kuingilia kule sebuleni ukigongwa, naye akajifuta machozi na kunyanyuka ili aende kuona nani alikuwa amefika. Akamwacha Draxton akiwa ameketi tu namna ile ile, na alipokwenda kufungua mlango akakuta ni Rehema. Mwanamke huyo alikuwa amebeba hotpot ambalo bila shaka lilikuwa na chakula, naye akampatia Namouih huku akisema aliona vyema kushiriki pamoja naye chakula kidogo ikiwa hangejali.

Namouih akamwangalia kwa hisia za shukrani sana, naye akamshukuru kwa ukarimu wake na kukipokea. Rehema aliweza kuona kwamba Namouih alikuwa amelia sana, naye akauliza ikiwa mambo yalikuwa sawa. Namouih akamhakikishia kwamba kila jambo lilikuwa sawa kabisa, na alikuwa amefanikiwa kumtuliza mpenzi wake kutokana na hali fulani ya huzuni aliyokuwa anapitia.

Rehema akampa pole kwa mara nyingine na kisha kumtakia usiku mwema, naye Namouih akarudi ndani. Alipofunua chakula hicho, alikuta ni wali wenye rangi ya njano, uliochanganyiwa marage ya nazi, kachumbari, na nyama za kuku zilizokaangwa. Kilinukia vizuri sana, hivyo akaamua kwenda chumbani ili aweze kula pamoja na mpenzi wake.

Akachukua maji kiasi na kunawa, kisha akaenda ndani mule na kukaa chini pamoja na Draxton. Mwanaume huyo alikuwa anamwangalia tu usoni kwa hisia, na Namouih hakusema lolote lile zaidi ya vitendo vyake kumwambia jamaa kwamba alitaka kumlisha. Leo ingekuwa ni zamu yake kama yeye alivyofanya jana.

Kwa hiyo mwanamke akaanza kumlisha Draxton taratibu, na mwanaume huyu hakuweka kipingamizi. Hisia nyingi zilikijaza chumba hicho kutokana tu na upendo mwingi wawili hawa waliokuwa wakiendelea kuonyeshana, kwa kuwa sasa Namouih alitaka waanze moja, na kuendelea kuwa pamoja mpaka namba ya mwisho.

★★

Chakula kikaliwa taratibu na wawili hawa mpaka wakatosheka, na Namouih akamwambia mpenzi wake kuwa angekwenda kumchemshia maji ya kuoga ili ajisafishe mwili, naye Draxton akamshika mkononi na kutikisa kichwa kidogo kuonyesha uelewa.

Namouih akatoka chumbani humo na kwenda sebuleni, naye akafanya alichokisema. Kulikuwa na jiko dogo la gesi hivyo maji hayakukawia kupata moto, na kwa muda huo alipokuwa sebuleni, mama yake, Blandina, pamoja na Salome walikuwa wamemtafuta kwa simu ili kujua hali ilikuwaje, na ndiyo akawa amewaelezea kuwa kila kitu kilikwenda sawa. Angehitaji tu kutumia muda mwingi pamoja na mpenzi wake ili wafarijiane zaidi, na kwa hilo wapendwa wake hawakuwa na neno.

Akamaliza kuchemsha maji na kuchanganya mengine mengi ili kupunguza ukali wa moto, kisha akapeleka ndoo kubwa yenye maji hayo bafuni kwa ajili ya mpenzi wake. Akarudi chumbani kwa Draxton na kumkuta mwanaume akiwa ndani ya taulo tu iliyomsitiri kutokea kiunoni, na kumwona tena namna hiyo kukamfanya Namouih abaki kumtazama kwa hisia. Draxton alikuwa ameketi kitandani, nguo alizovua zikiwa sakafuni, naye akamtazama mwanamke wake.

"Nimeshakuwekea maji bafuni..."

Namouih akaongea hivyo kwa sauti ya chini, naye Draxton hakutoa jibu. Badala yake, akatoka kitandani na kumfata hapo aliposimama. Namouih akamwangalia machoni kwa njia yenye subira ya chochote ambacho mwanaume huyo alikuwa anataka kusema ama kufanya, na kweli Draxton akapeleka kiganja chake usawa wa kifua cha mwanamke huyu na kushika kifungo cha shati lake la kike, naye akakifungua huku akimwangalia machoni.

Hakuendelea kufungua vingine, na kwa kumwelewa, Namouih akaanza kufungua vilivyobaki mpaka kulivua shati lake, kisha akaivua na suruali aliyovaa. Akiwa amebaki na sidiria na chupi nyeupe, mwili wake maridadi ukawa wazi kwa mara nyingine tena kwa mwanaume wake, naye Draxton akafumba macho taratibu na kuinamisha uso wake kiasi, akionekana kuivuta harufu tamu ya mwanamke huyu kama alivyozoea kufanya.

Kisha akafumbua macho yake na kuchukua khanga iliyotundikwa nyuma ya mlango na kuufunika mwili wa mwanamke huyu kutokea kifuani; kiashirio sahihi kabisa kwamba alitaka waende bafuni pamoja. Namouih pia kiukweli alitamani sana kuoga pamoja na Draxton baada ya muda mrefu kuwa umepita, na kuona mwanaume huyu akitaka jambo hilo pia kukamridhisha sana moyoni.

Wakaenda bafuni pamoja, nao wakaoga pamoja. Walikuwa wanafanya mambo taratibu sana, Namouih sanasana akiuogesha mwili wa mpenzi wake, na Draxton pia akipakaa mwili wa mwanamke huyo sabuni nyingi na kutelezesha mikono yake hapa na pale kwa njia iliyomsisimua sana Namouih, lakini hawakupeana mahaba. Ilikuwa ni kuoga tu. Wakatoka na kurudi chumbani, wakakaushana maji, muda wote wakitazamana tu machoni, kisha Draxton akavaa boksa nyeusi na Namouih akavaa T-shirt jeusi la Draxton na chupi laini nyeupe.

Draxton akakaa chini tena, akiegamia kitanda, na akiwa katikati ya miguu ya Namouih aliyekuwa ameketi kitandani usawa huo huo, akikipa kichwa cha mwanaume mkando (massage) laini kwa vidole vyake na kucheza na nywele nyeupe za kichwa cha jamaa taratibu. Draxton alikuwa amefumba macho, akihisi raha kuivuta harufu tamu ya mwanamke huyu kwa ukaribu huo.

Namouih akaishusha mikono yake laini mpaka kufikia kwenye tumbo imara la Draxton, hii ikifanya amwinamie kuelekea shingoni, naye Draxton akageuza shingo na kumtazama machoni. Nyuso zao zikiwa karibu namna hiyo, ni jambo moja tu ndiyo ambalo wawili hawa walitaka lifanyike, si maneno mengi, bali mapenzi mengi. Namouih akawa wa kwanza kuchukua hatua, akiifata midomo ya Draxton na kuibusu taratibu.

Wote kwa pamoja walisisimka sana. Hisia za kimahaba za Namouih zilipanda mno, akihisi mpaka mtetemo kwenye viganja vyake vilivyolipapasa tumbo la mwanaume. Draxton pia alipandwa na hisia nyingi sana kuwa na mwanamke huyu aliyempenda zaidi kwa upande wake wa kibinadamu, na hata kiunyama pia.

Wakaendelea kupeana busu mpaka mwanaume alipoona anyanyuke ili ashughulike na wajibu wake kikamili zaidi. Akapiga magoti chini na kuusimamisha mwili wake ili apeane denda tamu zaidi na mwanamke wake, huku Namouih akiguna kimahaba mdomoni mwa jamaa na kukibana kiuno cha Draxton kwa miguu yake. Mwanaume akaendelea kumbusu taratibu tu mdomoni na kisha kuanza kuzishusha busu hizo kupitia shavuni mpaka shingoni, na Namouih akasisimka zaidi na kuanza kupumua kijuu-juu.

Draxton akashuka zaidi na kuanza kubusu sehemu ya kati iliyotenganisha matiti ya Namouih bila kumvulisha T-shirt, kisha akatumia mikono yake kuivuta kutokea chini na kumvulisha. Hii ikafanya matiti yake yawe wazi mbele ya macho ya Draxton, na mwanaume huyu akasisimka sana baada ya kuyaona jinsi yalivyokuwa yamesimama na chuchu zake kuvimba kwa hamu, na bila kuchelewa, akalamba chuchu moja na kisha kubugia titi lote.

Namouih alisisimka sana na kuanza kutoa pumzi za juu juu kadiri Draxton alivyoendelea kulinyonya titi lake taratibu. Jamaa akahamishia umakini wake kwenye titi lingine na kuanza kulipa upendo wa namna hiyo hiyo. Alipenda sana jinsi chuchu za Namouih zilivyovutika kila mara alipozibana kwa midomo yake na kuvuta matiti yake ili kumsisimua. Jinsi Draxton alivyoendelea kuyanyonya, ndivyo Namouih alihisi kuishiwa nguvu kutokana na raha aliyoipata.

Draxton akamsukuma taratibu mwanamke huyo ili aulaze mgongo wake kitandani, huku sasa akiifata midomo yake na kuinyonya, na mikono yake ikiutomasa mwili mzuri wa mwanamke huyo hapa na pale. Namouih akaanza kuguna kwa sauti ya chini Draxton alipoanza kuinyonya shingo yake, naye akawa anaivuta-vuta mashine iliyofichwa na boksa kwa vidole vyake.

Draxton akaendelea kupachika busu na kumlamba taratibu mwilini, akishuka mpaka usawa wa tumboni, na Namouih akanyanyua kiuno chake kidogo. Mwanaume akaitumia nafasi hiyo kuivuta chupi yote na kuitoa miguuni pa Namouih, na kwa hamu kubwa baada ya kukiona kitoweo laini cha mama kijacho wake, akakilamba kwa juu.

"Sss..."

Namouih alishtuka na kuanza kujirudi nyuma kiasi, na Draxton alipomtazama usoni, aliona aina fulani hivi ya hofu. Kwa kuelewa kilichosababisha jambo hilo, jamaa akamtuliza kwa kuingiza vidole vyake ndani ya kiganja cha mpenzi wake, na Namouih akavikaza na kumtikisia kichwa kidogo kumruhusu aendelee.

Kitoweo cha Namouih kilikuwa kimelowana umate laini uliokifanya king'ae na kutamanisha sana. Mwanaume akamwangalia Namouih machoni na kuona jinsi yalivyolegea tu, kisha akakilamba tena taratibu. Msisimko alioupata mwanamke huyo ulifanya kiuno chake kitetemeke na kushtua-shtua. Draxton akashika sehemu ya pembeni ya nyonga yake na kuwa kama anaikanda taratibu, kisha akakilamba tena kitoweo hicho kwa ustaarabu.

Pumzi za Namouih zilianza kutoka bila utaratibu, na sasa Draxton akawa anakilamba na kukinyonya kitoweo kwa utundu zaidi na kufanya miguno ya Namouih ianze kusikika masikioni mwake. Draxton alifanya umakusudi kiasi wa kurefusha zaidi ulimi wake kwa njia ya unyama ili amkolezee utamu mwanamke huyu, na alipenda sana jinsi sauti za miguno ya Namouih zilivyosikika kama sauti za msichana mdogo sana kutokana na kulia kwa njia ya kudeka kimahaba ambayo ilimtia hamasa zaidi mwanaume kukila kito hicho mpaka utamu wa jojo ufifie.

Alikinyonya, alikilamba, akakimumunya na kukivuta-vuta kwa midomo yake kwa dakika nyingi, naye Namouih akaendelea kutoa miguno huku macho akiyafumba na kuyafumbua kilegevu kila wakati na kuzivuta nywele za Draxton kwa nguvu kiasi.

Mwanaume akanyanyuka kidogo na kuvua boksa, huku akisugua kitoweo cha Namouih taratibu kwa juu akitumia kidole. Namouih yeye alikuwa ni wa kugeuza kichwa chake huku na huku kama vile hajiwezi, hivyo Draxton akaona tu ampe penzi moja kwa moja bila kuzungukia kwingine kwa wakati huu. Akaishika mashine yake iliyokuwa imesimama vyema na kuipaka umaji laini kutoka kwenye kitoweo cha bibie, kisha akaanza kusugusha kichwa cha mashine yake juu ya kitoweo hicho.

Namouih alipata hisi nzuri zaidi wakati huu, na pale Draxton alipokiingiza kidogo kichwa cha mashine yake, Namouih akanyanyua shingo yake na kuitazama mashine ya jamaa ilipokuwa inaingia. Alikuwa amekunja sura kimahaba na kimaumivu kiasi, hivyo Draxton akatulia kidogo. Mwanamke huyu akaishika mashine hiyo kwa kiganja chaoe mwenyewe na kuanza kukatika taratibu, na hii ikamfanya Draxton ajihisi vizuri sana.

Draxton akaushika uso wa Namouih na kuanza kuusugua kwa wororo, kisha akaiingiza mashine yake ndani zaidi na kuanza kukisugua-sugua taratibu kitoweo cha mwanamke huyo mrembo. Namouih akakunja sura na kukaza meno yake, kama kuonyesha maumivu kiasi, hivyo Draxton akahakikisha anakuwa mstaarabu sana. Akawa anakisugua-sugua mwanzoni polepole, naye Namouih akawa anarembua macho tu na kutoa miguno ya pumzi.

Draxton akahakikisha ameifikisha mashine yake kwenye ukomo wa kitoweo cha Namouih akiwa anaendelea kumsugua taratibu sana, na sasa angalau Namouih aliweza kumhisi vizuri mwanaume wake, kwa njia ya raha, naye akalegea hata zaidi akimruhusu Draxton ampe ladha tamu ya mapenzi.

Miguno yenye deko aliyoitoa Namouih ilimfahamisha Draxton kuwa mwanamke wake alianza kufurahia zaidi tendo hili, hivyo mwanaume akaendelea kumsugua kwa namna hiyo hiyo ya polepole. Alitumia mdomo wake mara nyingi kumnyonya matiti na kuibusu shingo yake, huku mrembo huyo akiwa ameanza kuzama zaidi kwenye ulimwengu wa mahaba mazito. Kitoweo chake kilibana mashine ya Draxton vyema, hivyo mwanaume pia alifurahia hisia nzuri alizopata kwa kuhisi jinsi kilivyoivuta mashine yake vizuri na kuipa joto tamu.

Draxton aliendelea kumsugua hivyo kwa dakika nyingi, mpaka ikafikia wakati Namouih akawa anajiuliza kwa nini mwanaume huyo hakuwa amebadilika kama namna alivyomzoea. Wakati huu tayari Draxton alikuwa na uwezo mzuri wa kuuendesha upande wake wa pili kikamili, kitu ambacho Namouih hakujua bado, hivyo alishangazwa kiasi na jinsi Draxton alivyompa penzi tamu sana la kistaarabu.

Kadiri muda ulivyopita, ndivyo Draxton alivyojitahidi kuongeza kasi kistaarabu, ili Namouih apate raha hata zaidi. Ijapokuwa mwanzoni Namouih alihisi kama kuumia, mwishowe akaanza kupata raha yenyewe kisawasawa, na miguno yake ya kimahaba ikaendelea kuthibitisha hilo. Mwanaume akatia bidii kwenye kutoa huduma hiyo tamu, kisha akaanza kusikia sauti za miguno ya Namouih zikiongezeka.

Draxton akaelewa kuwa mwanamke wake alielekea penyewe sasa, kwa hiyo akaendelea kumsugua namna hiyo kwa dakika kadhaa zaidi, naye Namouih akaanza kutetemeka mapaja huku akiukaza mgongo wa Draxton kwa nguvu na mikono yake. Hakumwaga juisi zake za utamu lakini alitetema sana, na jinsi kitoweo chake kilivyoendelea kuivuta mashine ya jamaa kukafanya Draxton ajiachie ndani yake pia, naye akamwagilia joto la hali ya juu ndani ya hekalu la mwanamke huyo.

Namouih akaubana zaidi mgongo wa jamaa huku ameachama mdomo na kutoa pumzi za juu huku kiuno chake kikishtua mara kwa mara kwenda sambamba na mishtuko ya Draxton pia. Kisha wawili hawa wakaanza kutulia kiasi, sehemu zao za kupeana raha zikigoma kuachiana.

Waliendelea kulala namna hiyo hiyo kwa dakika kadhaa, Draxton akiwa juu ya mwili laini wa mwanamke wake, na Namouih akiwa ameukumbatia mwili wa mwanaume wake huku akizichezea nywele za kichwa cha Draxton taratibu. Utulivu huo wa muda mfupi ukaifanya akili ya Draxton ianze kufikiria mambo mengi yaliyotokea kule Marekani na jinsi yalivyochangia kwa kiasi kikubwa matendo yake kumwelekea mbaya wake Namouih aliporejea nchini.

Akainua uso wake na kumtazama Namouih kwa hisia sana, naye akasema, "Nina mambo mengi sana ya kukwambia."

Namouih akalishika shavu la mwanaume kwa vidole vyake laini na kumwambia, "Niko tayari kukusikiliza, mpenzi wangu..."


★★★


MIEZI KADHAA BAADAYE


Muda ukapita baada ya misukosuko hiyo ambayo Draxton na Namouih walipitia ndani ya wiki chache sana walizokuwa wamekutana. Ni mambo mengi mno yaliyokuwa yamewabadili katika kujenga ama kubomoa sehemu fulani za maisha yao, na kitu cha muhimu hata zaidi ni kwamba waliyopitia ndiyo yaliyowaunganisha hata zaidi.

Kufikia wakati huu, angalau Namouih aliendelea kukaa sawa kihisia, na furaha yake ilikuwa imerudi tena kwa sababu alizungukwa na watu wengi wenye kuyawekea maisha yake vitu chanya. Alikuwa na mama yake na mdogo wake wa kike, Zakia na Sasha, ambao walimpenda sana. Rafiki yake wa karibu zaidi, Blandina, alikuwa amerudisha uhusiano mzuri zaidi pamoja naye baada ya kupita kwenye kamba yenye kuyumba ya urafiki wao kipindi cha nyuma. Na Draxton, mpenzi wake, aliendelea kuimarisha upendo wake pamoja naye kwa kukazia fikira hali nzuri ya Namouih akiwa mama mtarajiwa wa mtoto wake.

Wakati huu tayari Halima na Zakia walikuwa wamesharudi mikoani kwao baada ya kukaa kwa kipindi hicho kifupi pamoja na Namouih, wakiwa wamehakikisha amebaki katikati ya mikono salama. Draxton alimchukua mpenzi wake na kwenda kuishi pamoja naye pale kwenye nyumba ya kuoangishwa, na binti Sasha aliyekuwa akiendelea vizuri pia alikuwa pamoja nao. Salome alikuwa amesisitiza wabaki pale kwake lakini Draxton hangeweza kukaa huko, na Namouih hangeweza kukaa mbali na Draxton, kwa hiyo aliyekuwa amebaki kule kwa Salome ni Esma pekee; ambaye alisaidia kazi huko.

Draxton tayari alikuwa ameshamweleza Namouih KILA KITU kilichotokea kule Marekani, na mpenzi wake huyo alionyesha uelewa wa hali ya juu kwa kumpa tu pole na kuendelea kusisitiza kuyaweka mabaya mengi nyuma yao na kusonga mbele. Bado uchunguzi wa kifo cha Godwin Shigela ulikuwa ukiendelea, lakini kama ilivyokuwa kwa Efraim Donald, kumpata mhusika isingekuwa rahisi kwa kuwa Draxton hakuacha vigezo vyovyote vya kumfikia yeye siku aliyokwenda kulipiza kisasi kwa ajili ya mpenzi wake. Na kila mtu aliyejua kwamba ni yeye kwenye familia na marafiki za Namouih waliendelea kubaki kimya kuhusiana na suala hilo, ili kufanya muda upite na hatimaye liweze sahaulika.

Maisha kwa Draxton na Namouih yakaanza kujenga amani nzuri zaidi na iliyowafaa sana, nao wakaendelea kupangia wakati wao ujao uwe wa furaha zaidi wakiwa pamoja. Kusudi la maisha yake Draxton likawa wazi mbele yake hatimaye; nalo lilikuwa kwa mwanamke huyo huyo aliyemsaidia kutambua kwamba UPENDO ndiyo kusudi pekee la kuishi kwa kila mwanadamu, hata ingawa yeye alikuwa nusu-mwanadamu na nusu-mnyama, naye angeendelea kuutoa wa dhati yote kumwelekea Namouih na mtoto wake ambaye angerithi unyama wake.



MWISHO



★★★★★★★★★★★★★★★
 
Thank you sana Tony for such a wonderful story. Waiting for another magical story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…