Elton Tonny
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 396
- 2,976
- Thread starter
- #261
DRAXTON
A Story by Elton Tonny
Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa
(R-rated 18+)
Enjoy!
★★★★★★★★★★★★★★★★
SEHEMU YA KUMI NA NANE
★★★★★★★★★★★★★★★★
Mwili wa Megan ukiwa umepasuliwa vibaya mno chini hapo, ungemfanya yeyote adhani kwamba ameshakufa, lakini bado pumzi ya uhai ilikuwa ndani yake. Bila shaka alikuwa kwenye maumivu makali mno na bila kujitambua, na mwanaume akausogelea mwili wake chini hapo na kunusa mara mbili hewani.
"Megan?"
Draxton akaita hivyo kwa sauti ya chini, lakini hakupata itikio lolote. Akawa anaunguruma kwa hasira lakini kichinichini kwa kushindwa kujua afanye nini, na ndipo Aysel akawa amefika nyuma yake pia. Mwanamke huyo alijihisi vibaya kumwona Megan alivyopasuliwa kinyama, naye Draxton akaweka mkono wake mahala ambapo shingo ya Megan ilitakiwa kuwa; akiugusa kabisa mfupa usawa huo uliojaa damu. Alikuwa anawaza labda atumie damu yake yeye mwenyewe kumponya mwanamke huyo lakini kwa hali hiyo haikuonekana kwamba hilo lingefanikiwa maana ingehitajika nyingi mno.
Akiwa amekosa la kufanya na kubaki akihuzunika, ghafla mwili huo wa Megan ukaanza kutoa mwangaza wa blue-bahari, kama tu ngozi yake ilivyobadilika alipokuwa akigeukia upande wake wa mnyama. Aysel alishtuka na kurudi nyuma kidogo, na Draxton akawa anahisi kama sehemu ya nguvu zake inamtoka bila kuelewa kilichokuwa kinaendelea, na mkono wake ukawa kama umegandishwa hapo hapo kwenye shingo ya Megan.
Kufumba na kufumbua mwangaza huo ukakata ghafla, na wote wakashangaa baada ya mwili mzima wa Megan kuwa umerudia hali ya kawaida kabisa! Yaani ilikuwa kama vile hakuwa ameumia hata chembe. Draxton akarejea ubinadamu taratibu huku akimwangalia kwa umakini, naye Megan akafumbua macho na kumtazama mwanaume usoni.
"What the hell was that?! (Hicho kilikuwa nini?!)" Aysel akauliza kwa mshangao.
Megan akaanza kujinyanyua ili aketi, naye Draxton akampa egamio.
"Megan... what happened? (Megan... nini kilitokea?)" Draxton akamuuliza.
“The pack attacked (Kundi limeshambulia)," Megan akajibu kiufupi.
“Are you okay? (Uko sawa?)” Draxton akamuuliza kwa kujali.
Megan akavuta pumzi na kusema, "No (Hapana)."
Draxton akamtazama kwa huruma.
“It will take a long time to heal and to gather as much power as I had before. I spent all of it trying to keep myself alive. They tore me up pretty bad (Itachukua muda mrefu kuponyeka na kukusanya nguvu kama nilizokuwa nazo. Nilitumia zote kuuendeleza uhai wangu. Wamenichana-chana vibaya sana)," Megan akasema.
"You seem healed enough to me (Unaonekana kuponyeka vizuri sana mbona)," Aysel akasema.
"I meant internally (Nilimaanisha kwa ndani)," Megan akamwambia.
“What happened just now? How did your body become... whole again? (Nini kimetokea sasa hivi tu? Mwili wako umejirudishaje kuwa... mzima tena?)" Draxton akamuuliza.
“Its because we are connected. I was able to siphon off some of your Alpha spiritual energy to rebuild my body (Ni kwa sababu ya muungano nilionao pamoja nawe. Nimeweza kuvuta nguvu yako ya kiroho ukiwa kama Alpha ili kuujenga upya mwili wangu)," Megan akaeleza.
"Forgot how much of a geek you always were (Nilikuwa nimeshasahau namna ambavyo sikuzote ulikuwa mjuaji kupitiliza)," Aysel akamwambia Megan.
Megan akamtazama mwanamke huyo, kisha akauliza, "What are you doing here? (Unafanya nini hapa?)"
"I'm part of Draxton's pack. Well... not yet, but I will be (Na mimi ni wa kundi lake Draxton. Sijawa hivyo rasmi ila, nitakuwa)," Aysel akajibu.
Megan akamtazama Draxton usoni kimaswali.
"Come on, let's get you up (Njoo, wacha tukunyanyue)," Draxton akasema hivyo na kuanza kumnyanyua Megan.
Mwanamke alionekana kuwa na maumivu ya ndani kwa ndani, naye akapelekwa kitandani na kukalishwa taratibu; akiinyoosha miguu yake yote hapo na kuegamia mto.
"What do you need Megan? Do you want some food, or water, some meat maybe? (Unahitaji nini Megan? Unataka chakula kidogo, au maji, labda nyama kiasi?)" Draxton akamuuliza kiupole.
"Yeah, there is lots of 'em scattered all over this place (Ndiyo, zipo nyingi zimezagaa ovyo sehemu yote hapa)," Aysel akasema kiutani.
Draxton akamgeukia na kusema kiukali, "Shut up Aysel!"
Aysel akashtuka na kumwangalia kwa hofu, hata Megan akaogopa pia.
Draxton akafumba macho na kushusha pumzi kiutetemeshi, akionekana kuwa na hasira sana, lakini akamwambia Aysel, "I'm sorry, Aysel. I... why don't you help yourself and get some water to drink, huh? And a shower would be good too so we can take our next step freshly... you know? (Samahani, Aysel. Nina... vipi ukijipa msaada wa kufata maji unywe eh? Na kuoga pia kutakuwa jambo zuri ili tupige hatua inayofuata vyema zaidi... si unajua?)"
Aysel akaonekana kuudhika kiasi, lakini akatii na kuondoka.
"You are really frustrated (Umeghadhabika kweli)," Megan akasema.
Draxton akakaa kitandani na kumuuliza, "What really happened here Megan? (Ni nini kilichotokea kabisa hapa Megan?)"
"You were right. Covering Darla's scent on you wasn't enough to fool them. Except they fooled me into thinking they bought it (Ulikuwa sahihi. Kuificha harufu ya Darla mwilini mwako hakukutosha kuwadanganya. Isipokuwa tu wenyewe ndiyo wakanifanya mjinga kudhani kwamba waliamini mchezo tuliowafanyia)," Megan akasema.
Draxton akaendelea kumwangalia kwa utulivu.
"They came a few hours after you left. Just as normal customers. Then Robby's sister got in too and I knew something was up. They must have sent her a message about us last night and were waiting for her to show up here so they could attack us together cause she's pretty strong... just like her brother. I couldn't run. They killed my workers... my friends... and bitch wanted to know where you are but then ripped me to bits when I denied telling her (Walifika hapa masaa machache tu ulipoondoka. Kama wateja wa kawaida. Ndiyo dada yake Robby akaingia pia nami nikajua tu kulikuwa na nuksi. Ni lazima watakuwa walimtumia ujumbe kuhusu sisi usiku wa jana na walikuwa wanasubiria afike ili watushambulie kwa pamoja kwa sababu ana nguvu nyingi.. kama tu kaka yake. Sikuweza kukimbia. Waliwaua wafanyakazi wangu.. marafiki zangu.. na huyo malaya alikuwa anataka kujua ulipo lakini akanirarua vipande-vipande nilipokataa kumwambia)," Megan akaongea huku machozi yakimtoka.
Draxton akamfuta machozi, kisha akatazama pembeni kwa mkazo. Alikuwa ameshachoshwa na mchezo huu kutoka kwa Robby, kwa sababu mwanaume huyo angeendelea kuumiza watu na kuwaua ovyo kwa madhumuni yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Hakujali tena mtu huyo alikuwa nani. Yaani kama angefanikiwa kukutana naye angehakikisha anavunja kila aina ya sheria ili kuumaliza ubepari wake usioeleweka ulitokea wapi.
"It's a mess (Ni uchafu mkubwa)," Megan akasema.
"And it will get more messy if we keep staying here. I shouldn't have left you (Na hali itachafuka zaidi tukiendelea kukaa hapa. Bora tu nisingekuacha)," Draxton akaongea kwa uzito.
"It's okay, at least I'm not dead. They probably think I am so they won't come back here after messing this place up with murder... for now (Haina shida, angalau niko hai. Wenyewe watafikiri nimeshakufa kwa hiyo hawatarudi hapa baada ya kupachafua kwa mauaji waliyofanya... kwa sasa tu lakini)," Megan akamwambia.
Draxton akamwangalia.
"They'll send some of 'em later to clean up the place before it grabs any attention from the police... Robby likes to keep his hands off-dirt (Watatuma baadhi yao kuja kupasafisha hapa baadaye kabla hapajavuta uangalifu wa maaskari... Robby anapenda kutochafuliwa kabisa)," Megan akasema.
Draxton akatazama pembeni na kusema, "Precisely why we won't keep staying here (Ndiyo maana hatutatakiwa kuendelea kukaa hapa)."
Megan aliona hasira kali sana nyuma ya utulivu wa mwanaume huyu, naye akawa anatazama uso wake uliofunikwa kiasi kwa nywele nyeupe. Draxton alikuwa anawaza kutoka tu hapo, amshike huyo mwanaume aliyekuwa kama kunguni msumbufu ili amtumbue haswa, lakini kwanza alichotakiwa kufanya ilikuwa kuhakikisha wanawake hawa wawili wanakuwa salama.
"Did you find it? (Umekipata?)"
Swali hilo la Megan likamfanya Draxton amtazame machoni.
"Did you find the ingredient for the potion? (Umekipata kiungo kwa ajili ya ile dawa?)" Megan akauliza tena.
"Yes. It's a white flower called... (Ndiyo. Ni ua jeupe liitwalo..)"
"Moon's bloom, yes! I completely forgot (Moon's bloom, ndiyo! Nilikuwa nimesahau kabisa)," Megan akasema baada ya kukumbuka.
"Yeah. I got a few of them in the car. Will you be able to make the potion in your current condition? (Ndiyo. Yapo machache ndani ya gari. Utaweza kuitengeneza hiyo dawa chini ya hali uliyonayo?)"
"Making the potion is basically mixing and boiling. The hard part may come with the channeling process (Kuitengeneza dawa ni suala la kuchanganya na kuchemsha tu. Ugumu unaweza kuja kwenye kupeleka ile njia ya mawasiliano)."
"To Darla? (Kwa Darla?)"
“Yes. My power is returning a bit, and my physical form is stable, but I will need more energy to make it work great (Ndiyo. Nguvu yangu inarejea kiasi, na mwili wangu wa kawaida uko sawa, lakini nitahitaji nishati zaidi kufanya jambo hilo liwe na matokeo mazuri)," Megan akamwambia.
Draxton, akiwa ameshaelewa ni nini kilimaanishwa kwa kumpa mwanamke huyo nishati zaidi, akasema, "Okay. We'll work on that (Sawa. Tutalifanyia hilo kazi)."
Megan akawa anamwangalia kwa njia fulani yenye hisia.
"I'll go bring the flowers and get Aysel to help. After you finish making the potion we leave. We can make this work greatly in a safe place (Nayafata maua pamoja na Aysel aje kukusaidia. Mkimaliza kutengeneza dawa tunaondoka. Twaweza kufanikisha suala hili vyema zaidi tukiwa sehemu salama)," Draxton akasema.
"Is there any? (Ipo yoyote?)" Megan akauliza.
"No. But just not here anymore (Hakuna. Lakini hapa hapafai tena)," Draxton akamwambia.
Mwanaume akanyanyuka na kuondoka chumbani hapo, akimwacha Megan ametulia. Akapapita pale penye miili na damu mpaka nje, akabeba maua, kisha akarejea ndani tena. Alienda moja kwa moja mpaka sehemu ya jikoni, naye akamkuta Aysel hapo akiwa anakula nyama iliyopikwa huku bado akiwa hajaoga. Draxton akamwambia pia kwamba hawangetumia muda mrefu hapo kwa hiyo alitakiwa kujisafisha ili aende kumsaidia Megan kutengeneza dawa fulani kabla hawajaondoka, naye Aysel akaomba amalize kula kwanza maana hakuwa amekula chochote siku nzima iliyopita.
Hivyo, Draxton akaenda tena chumbani kwa Megan na kumuuliza mwanamke huyo ikiwa viungo vingine vilivyohitajika vilikuwa hapo, naye akamwambia amwambie Aysel amsaidie kuvichukua kutoka kwenye kabati lenye vifaa vya jikoni maana lazima mwanamke yule alivifahmu. Draxton alipoenda kufanya hivyo, Aysel akawa amegundua ni dawa ya aina gani wawili hao walitaka kutengeneza. Akamsaidia Draxton kuvipata viungo vingine, na kwa kuwa alimaliza kula akamwambia angeenda kujisafisha kwanza kisha ndiyo angemsaidia Megan kuitengeneza dawa.
Kwa dakika chache ambazo Aysel alitumia kufanya usafi, Draxton alimsaidia Megan kuvaa nguo nyingine safi, kisha akampatia maji na chakula, huku mwanamke huyo akimwambia namna alivyowaza kuhusu hali ya Darla kwa sababu alimpenda kama mdogo wake wa damu, naye Draxton akamtia moyo tu kuamini kwamba kila kitu kingekuwa sawa na wangefanikiwa kumwokoa yeye na wengine.
Baada ya Aysel kujiunga nao, akaanza kusaidizana na Megan kuitengeneza dawa. Wakati huu alikuwa msafi zaidi, naye alivaa nguo kutoka kwenye kabati la nguo za Megan ndani hapo, kwa hiyo wakaelekezana kuichanganya dawa na kisha Aysel akaenda kuichemsha. Megan alikuwa hamwamini kwa kadiri fulani mwanamke huyo kwa sababu alijua historia yake ya usaliti alioufanya zamani, lakini Draxton alikuwa amemhakikishia kwamba Aysel alikuwa chini yake na kama angezingua basi angemnyoosha.
Mwanaume akamsaidia Megan kutoka kitandani na kuanza kumpeleka nje ili awe ndani ya gari mpaka Aysel alipomaliza kuichemsha dawa ile. Megan akakumbusha kwamba huenda angehitaji kujipulizia marashi fulani ya kuficha harufu yake ili asiweze kufuatiliwa hata watu wa Robby wakija hapo, lakini Draxton akamwambia hakuhitaji kuogopa kwa kuwa sasa asingemwacha, na kama wale wapuuzi wangewafata popote pale angehakikisha hawarudi walikotoka.
Kwa sababu sasa ilikuwa wazi kwamba Draxton aliwindwa pia, ilikuwa lazima kwa mwanaume huyu kuhakikisha kwamba hata kama atafikiwa na maadui zake basi watu walio upande wake wanakuwa salama. Kwanza angetakiwa kummiliki Aysel ili uvutano wowote uliobaki baina yake na Robby utoweke, kisha ndiyo angemsaidia Megan kuongeza nishati ya kumpa nguvu ili awaunganishe yeye na Darla. Endapo kama jambo hilo halingefanikiwa basi angetumia njia mbadala kumpata Darla na mwanaume yule, njia ambayo hakujua ingekuwa ipi.
Aysel alipomaliza kutengeneza dawa akaiweka kwenye chupa ya kioo na kwenda nayo kwenye gari, naye Draxton akaliondoa hapo na kuanza kuelekea upande ule walioishi. Aysel alikuwa anamwambia jamaa kwamba kurudi pale kwenye zile nyumba halingekuwa wazo zuri kwa kuwa bila shaka zingekuwa zinaangaliwa na wabaya wao, naye Draxton akasema alijua hilo, lakini kwa wakati huu wasingeweza kuzivamia pale kutokana na kuwa chini ya uangalizi wa maaskari.
Mwanaume alijua kama huyu Robby hakutaka mapolisi au watu wa mamlaka za juu wafatilie biashara zake basi angekuwa makini kuwaambia watu wake wakae mbali na sehemu kama hiyo ambayo tukio lenye kuvuta uangalifu wa maaskari lilikuwa limeshatokea. Mbali tu na hilo, Draxton hakuwa na sehemu nyingine aliyoifahamu kwa huku ya kuwapeleka wanawake hawa, hivyo nyumba ya Mark ilikuwa uchaguzi wa pekee; angalau kwa sasa.
★★
Dakika kama ishirini tu nao wakafikia eneo la nyumba zile. Draxton alikuwa ameendesha gari kwa ustaarabu tu, na ilionekana kwamba mtaa wote ulikuwa na hali ya utulivu kwa wakati huu; hata baadhi ya watu na watoto wangeonekana nje kuthibitisha kwamba walihisi kuwa na usalama.
Gari hilo lilipozifikia nyumba za Darla na Mark, watatu hao wakaona namna zilivyozungushiwa kanda ndefu za njano kwa ajili ya vizuizi, hususani nyumba ya Darla, ili mtu yeyote asiingie. Hiyo ilimaanisha zilikuwa chini ya uangalizi wa maaskari bado, lakini kwa muda huo hawakuwepo sehemu hiyo, hivyo Draxton akalipitisha gari kuzungukia upande wa nyuma wa nyumba ya Darla, naye akawaambia wanawake kwamba angelipeleka gari mitini na kuliacha sehemu iliyofichika halafu angerejea. Aysel alitakiwa kumpeleka Megan kwenye nyumba ya Mark na kuingia kupitia nyuma dirishani kwenye chumba cha Draxton, na akamsihi kuwa mwangalifu asiingie upande mwingine wa nyumba hiyo mpaka yeye Draxton afike.
Wanawake wakaanza kwenda, naye Draxton akalipeleka gari mitini zaidi ili alifiche kwa muda huu. Akapata nafasi nzuri ya kuliweka kisha akaanza kurudi nyuma. Alikuwa makini kuchezesha hisi zake ili aone ikiwa kuna hatari yoyote kuzungukia eneo hilo, na baada ya kuhakikisha hakuna mnyapiaji, akaingia ndani ya nyumba ya Mark na kuwakuta wanawake wakiwa chumbani kwake.
Megan alikuwa ameketi kitandani, huku Aysel akinusa huku na huko kama vile anatafuta kitu. Draxton akayaangalia mazingira ya hapo ndani na kutambua kuwa kuna watu waliingia, bila shaka maaskari, naye akaanza kuitafuta simu yake bila kupata mafanikio. Akielewa kwamba ingekuwa mikononi mwa polisi, akaamua kuachana nayo na kumfata Megan, naye akamwambia kwamba alihitaji muda mfupi wa kuwa pamoja na Aysel kisha ndiyo angekuja kwake, kwa hiyo akamwambia apumzike kitandani hapo. Megan akatii na kujilaza kabisa, akionekana kuchoka, na ni wakati huu ndiyo mvua ikaanza kunyesha nje.
Mwanaume akalifunga dirisha vizuri na kufunika mapazia, naye akamtazama Aysel; aliyekuwa amesimama tu usawa wa mlango akionekana kusubiri ukombozi wake. Draxton akamfata hapo na kumwambia wanatakiwa kwenda kwenye chumba kingine ndani hapo, kile chumba cha chini zaidi (basement), kisha akamwongoza kukielekea. Alikuwa makini kuona kama kuna mitego ya kamera au kitu kingine chochote sehemu hii, kisha wakaingia pamoja chini kule na kusimama usawa wa zulia lile zito lililotandikwa sakafuni.
Aysel akamgeukia na kumtazama machoni kwa umakini, kisha akauliza, "This where you claimed Darla? (Humu ndiyo ulipommiliki Darla?)"
Draxton hakujibu, bali akawa anamwangalia tu mwanamke huyo. Nywele nyeusi za Aysel zilionekana kung'aa kiasi kwenye chumba hicho chenye ugiza, na mwanaume akawa anakumbukia yote kuhusu mwanamke huyu.
Alikuwa aina ya mtu ambaye angefanya lolote kupata alichotaka na hivyo kuwasaliti hadi marafiki zake kipindi cha nyuma, lakini naye alipata fundisho baada ya kusalitiwa na kupoteza mtoto pia. Hapa alikuwa anataka kuwa huru, kitu ambacho Draxton alikuwa amekuja kuwapa wote waliokihitaji, kwa hiyo na yeye Aysel angemilikiwa naye haraka kisha waendelee na mchakato wa kumfikia Darla kwa msaada wa Megan.
Aysel akamgeukia mwanaume vizuri zaidi na kubaki akimtazama kama anasubiri aseme kitu.
Draxton akakumbuka namna alivyokuwa amemtendea kiukali mara kadhaa toka walipokutana, na kwa kuingiwa na huruma kutokana na shida ambazo mwanamke huyu pia alikuwa amepitia, akasema, "Listen Aysel. I need to apologise for treating you in a rude way from.... (Sikiliza Aysel. Nahitaji kuomba samahani kwa kukutendea kiujeuri kutokea...)"
"Hush now (Kimya sasa)," Aysel akamkatisha kwa sauti tulivu.
Draxton akaendelea kumwangalia tu.
"Despite everything, I know you are good person. I like how you present yourself to be accountable even for such minor things, and it shows you got what it takes to lead well (Hata kwa mambo yote, ninajua wewe ni mtu mzuri. Napenda jinsi unavyojiweka kuwa mtu mwenye kuwajibika hata kwa vitu vidogo namna hiyo, na hiyo inaonyesha una kila kinachohitajika kuongoza vizuri)," Aysel akamwambia.
Draxton akatikisa kichwa taratibu kama kusema ameelewa.
"You know... even though we are stronger than normal humans, I envy them greatly because they don't live their miserable lives like puppets on strings same as we do. No matter what we do... I think the way we have lived throughout many years is just... sad. There's no more strength in the entirety of our kind, only pain and heartbreak (Unajua... ijapokuwa sisi tuna nguvu kupita wanadamu wa kawaida, ninawaonea wivu sana kwa kuwa hawaishi maisha yao mabovu kama wanasesere wa kuendeshwa kwa kamba kama sisi tuishivyo. Nafikiri namna ambavyo tumeishi kwa miaka mingi sana ni... huzuni tupu. Hakuna nguvu yoyote iliyobaki kwenye muungano wetu, ni maumivu na kuvunjwa mioyo tu)," Aysel akamwambia Draxton kwa hisia.
"That's why I'm here. You won't have to live like puppets no more. I'm going to change that. I promise (Ndiyo sababu niko hapa. Hamtapaswa kuendelea kuishi kama watumwa hata kidogo. Nitabadili hilo. Ninaahidi)," Draxton akasema kwa upole.
Aysel akamsogelea mpaka karibu zaidi na uso wake, naye akasema, "Darla is lucky to have you for herself, or else I'd make you mine only (Darla amebahatika sana kuwa nawe kwa ajili yake, la sivyo ningekufanya uwe wangu kivyangu)."
"Well you can't. She'd kill you. So let's just add you in my pack and get on with other issues (Hauwezi kufanya hivyo. Atakuua. Kwa hiyo tufanye tu kukuingiza kwenye kundi langu halafu tuendelee na masuala mengine)," Draxton akasema.
Aysel akatoa tabasamu la kiburi, kisha akasema, "I know you wanna hurry this up, but please cut out all restrictions you have on me. I want you to f(...) me... rudely... and don't apologise about it (Najua unataka kuharakisha, lakini tafadhali ondoa vizuizi vyote ulivyonavyo kunielekea. Nataka unisugue.. kijeuri... na usiombe samahani kwa ajili ya hilo)."
Maneno hayo ya Aysel yalifanya hisi za ndani za mnyama wa Draxton zIpande, na bila kukawia mwanamke huyo akamfata mdomoni na kumpiga busu. Haya yangekuwa mapenzi ya wajibu tu, lakini Aysel alionyesha kutaka huba nzito na yenye fujo kwa namna alivyombusu na kumvulisha nguo upesi.
Draxton alimwacha tu mpaka mwanamke alipombakiza na raba pekee mwilini, kisha akaanza kuinyonya mashine yake. Huenda Aysel ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza ambaye alipeleka mambo kwa kasi sana tokea Draxton ameweza kujiendesha vyema na kufanya awahi kubadilika upesi, kwa sababu ni dakika mbili tu ndani ya mchezo huu tayari mwanaume akaingia badiliko la kati.
Aysel akasitisha zoezi lake la unyonyaji baada ya kuona ngozi ya Draxton imebadilika rangi, naye akasimama na kumwangalia usoni kwa umakini; akivutiwa na sura nzuri ya jamaa yenye unyama ndani yake. Akiwa ameelewa kwamba alimwingiza Draxton hatua nyingine, Aysel naye akaanza kuzirarua nguo alizovaa mpaka kuwa mtupu, kisha akauvuta mkono wa Draxton kuelekea lile zulia chini, halafu akageuka na kuweka mkao wa kutambaa huku akimbinulia mwanaume kalio lake kwa nyuma.
Mnyama-Draxton akawa anaangalia maumbile ya mwanamke huyo. Kiukweli alikuwa mzuri. Hakumpita Darla kwa kuumbika vizuri zaidi, lakini alitamanisha sana kumtazama namna hiyo. Kitoweo chake chenye mashavu ya pink yaliyong'aa umaji laini kilinukia kwa pua za Draxton, ikiwa kama chakula kinamwita ili kiliwe, naye akamsogelea ili aanze kutimiza wajibu wake. Akaanza kukisugusha kichwa cha mashine kwenye mwingilio wa hekalu la mwanamke huyo, naye Aysel akawa anazungusha kiuno taratibu.
Jamaa akaona asicheleweshe na papo hapo kumwingia kwa nguvu, kitu kilichofanya Aysel atoe mguno wa juu wa raha uliochanganyika na maumivu. Akaweka kiganja chake tumboni kwa Draxton kumzuia asiendelee kwanza, lakini Draxton akaukamata kwa nguvu na kuanza kumsugua taratibu. Taratibu mwanzoni, kisha akaongeza kasi huku ameushika mkono wa mwanamke namna hiyo hiyo.
Aysel alikuwa na fujo, mara kwa mara akijirudisha nyuma kwa nguvu pia ili akutane na kasi ya msuguo wa Draxton na hivyo kupigwa kwa nguvu sana, jambo hilo likifanya atoe malalamiko kwa sauti za juu. Draxton akaukamata mdomo wa Aysel kwa viganja vyake vyote ili kuuziba, kwa sababu hakutaka sauti hizo zisikike mpaka nje, lakini akaendelea kumtandika penzi namna hiyo hiyo kwa kuwa ndivyo ambavyo Aysel aliomba apewe.
Mwanamke alipandisha joto sana, akirembua macho na kuguna mfululizo, lakini hakufika pale alipotakiwa kufika ili umiliki ufanye kazi. Draxton akawaza labda amgeuze kwa mkao mwingine, naye akaitoa mashine yake ndani. Aysel akamgeukia ghafla na kumkwarua kwa makucha makali kifuani, akionekana kuwa na hasira kwa nini amekatishiwa utamu wake, naye Draxton akamshika kwa nguvu. Macho yake yaling'aa sasa, meno makali yakionekana, na hata matiti yake yakiwa yameongezeka ukubwa na idadi kuwa sita kama tu Darla, ikiwa wazi kwamba yupo katikati ya badiliko lake pia.
Akawa anamuungurumia Draxton usoni kama vile anataka kumng'ata, naye Draxton akamtishia pia kwa kukaza sura yake kihasira kama kumwambia 'tulia.' Aysel akaweka uso wa kudeka fulani hivi, naye Draxton akamsukuma kwa nguvu kumlaza chali, na mwanamke akainyanyua miguu yake hewani mwenyewe kumruhusu mpaji wake aingie kwa uhuru. Zamu hii tena Draxton akazama na kuendelea kuwasha moto, akikoleza na kukoleza tu, lakini Aysel akawa hafiki.
Ilianza kumpa mwanaume utata maana upande wake wa kinyama ulianza kulazimisha kutoka ingawa hili halikupaswa kuwa penzi lililotakiwa kuwafikisha mpaka huko. Ni sawa alikuwa na uwezo mzuri wa kujiendesha wakati huu, lakini tendo hili kwake akiwa kama mnyama lilikuwa kali zaidi kupita hali ya kawaida ya binadamu, na hivyo ingefika hatua ambayo unyama wake ungetaka kutoka ili ulifurahie tendo kwa asilimia zote. Yaani ilikuwa ni raha kama binadamu wa kawaida, lakini kama mnyama ilikuwa raha maradufu; namna tu ambavyo Darla alikuwa amemwelezea, kwa hiyo akaona atafute hitimisho la umiliki huu kabla ya hisia zake kumlazimu abadilike zaidi.
"Why aren't you releasing yourself Aysel? (Kwa nini haujiachii mwenyewe Aysel?)" Draxton akamuuliza.
Huku akiendelea kutoa miguno, Aysel akamwambia, "I need more (Nahitaji zaidi)."
"More what? (Nini zaidi?)"
"More surge of power. Hardcore Draxton (Mtikiso wa nguvu zaidi. Kitu kigumu zaidi Draxton)," Aysel akasema huku akiunguruma kimahaba.
Draxton hakuelewa vizuri maana ya maneno hayo, hivyo Aysel akamwelewesha kwa vitendo. Akaishika mashine ya mwanaume na kuitoa kitoweoni mwake, kisha akaanza kuiingiza shimoni mwake. Ndiyo, shimoni. Draxton akamtazama usoni na kuona akikunja sura kadiri alivyojiwekea mwenyewe, naye Aysel akawa anamtikisia kichwa jamaa kuwa aendelee kwa sababu hiyo kwake ndiyo iliyokuwa njia ambayo ingemfikisha walipotaka. Draxton afanye nini? Akatii.
Hii ilikuwa mara yake ya kwanza kufanya mapenzi ya namna hii, kwa hiyo kwa asilimia kubwa alimwacha Aysel aongoze mambo. Mwanamke akaomba apewe taratibu mwanzoni, kisha akataka kasi iongezwe. Kulikuwa na hisia kali ya hatia iliyomwingia Draxton kwa kujua kwamba muda ambao angetakiwa kuwa mwendoni kuwaokoa rafiki zake alikuwa anautumia kufanya jambo hili. Lakini hakukuwa na jinsi. Kummiliki Aysel ilikuwa na faida kwake kwa sababu ingemwongezea nguvu, na pia kuzuia mwanamke huyo kuchizika kama ilivyokuwa kwa Gianna.
Mwendo wa dakika kama kumi hivi naye Aysel akaanza kurusha juisi nyingi sana huku akipiga kelele kwa kushtua, naye Draxton akaihisi shoti ile mwilini mwake iliyomwongezea nguvu na kumfahamisha kwamba mwanamke alikuwa amemilikiwa. Akajitoa kwake na kusimama.
Aysel alikuwa amelala kwa kulegea chini hapo, huku manyoya yakionekana sehemu kadhaa mwilini mwake.
Draxton akasema, "It's done. Welcome to the pack (Imekamilika. Karibu kundini)."
"It's not enough my Alpha... please slide it in me once more (Bado sijatosheka Alpha wangu... tafadhali iingize ndani yangu tena)," Aysel akamwomba.
Mwanamke huyo alikuwa amejinyanyua sasa na kuegamia kwa viwiko vyake chini hapo, kisha akaiachanisha miguu yake kizembe na kuanza kujisugua kitoweo kwa kiganja huku akimtazama Draxton kwa njia ya kumvutia kwake kwa mara nyingine. Pamoja na kutamanisha kote, Draxton akaacha kumwangalia na kuvaa boksa yake.
"Come on Alpha. One more round won't kill you. You didn't even cum (Njoo bwana Alpha. Raundi moja nyingine haitakuua. Hata haujamwaga)," Aysel akasema.
"If I waste any more second, then I'll be killing Darla (Ikiwa nitapoteza muda zaidi, basi ni Darla ndiye nitakayekuwa namuua)," Draxton akamwambia.
"You'll still waste more time with Megan, so why not just.... (Hata hivyo bado utapoteza muda mwingi na Megan, basi kwa nini tu usi...)"
Maneno hayo ya Aysel yakakatishwa baada ya Draxton kupuuzia kilio chake cha kutaka mahaba zaidi na kuanza kutoka ndani ya chumba hicho cha chini. Alipoufikia mlango akamwambia Aysel aende sebuleni ili yeye amalizane na Megan, kisha akamwacha humo. Alienda kuangalia nje kupitia dirisha pale sebuleni, na eneo la hapo lilikuwa na hali ya utulivu kabisa bila mtu yeyote kuonekana kupita nje, naye akaelekea chumbani hatimaye.
Draxton alipoingia tu chumbani humo, akakuta Megan akiwa ameketi katikati ya kitanda, mwili wake ukiwa ndani ya hali iliyomwambia Draxton kwamba mwanamke huyo alikuwa katikati ya badiliko lake. Aliketi kwa kukunja miguu yake yote kati, akiwa amevua nguo zote, na mwili wake ukiwa wa blue-bahari. Mkia wake mrefu ulitikisika hewani kwenda huko na kule, naye alikaa kwa utulivu kama mtu anayetoa sala kwa kufumba macho pia.
Draxton akasogea usawa wa kitanda na kumwangalia vizuri. Kiukweli mengi ya mambo aliyokuwa amejionea huku bado yaliendelea kumshangaza kwa kadiri fulani, na kuona mtu mwenye ngozi yenye rangi kama hii ya Megan kulistaajabisha. Akaenda dirishani na kuchungulia nje tena, na ile hali ya utulivu bado ilikuwepo kwa eneo la nje, hivyo akalifunga dirisha vizuri na kumrudia Megan.
"Hey... you okay? (Ey.. uko sawa?)" Draxton akamuuliza.
Megan akafumbua macho yake na kumtazama, lakini hakutoa jibu.
"What are you doing? I thought you went to sleep (Unafanya nini? Nilidhani umelala)," Draxton akasema kwa upole.
"I slept a bit, but then had to prepare my body for you when you came. I'm trynna' put everything in me to relaxation so after you fill me with your energy, I can complete the process (Nililala kidogo, ila nikatakiwa kujiandaa kimwili kwa ajili ya wakati ambao ungekuja. Najaribu kutuliza kila kitu ndani yangu ili utakaponijaza nishati yako, nikamilishe ule utaratibu)," Megan akamwambia.
Draxton akamwangalia mwilini na kuona jinsi alivyokuwa ameanza kurejesha umbo zuri zaidi tofauti na walivyomkuta kule mgahawani kwake.
"I take it Aysel is claimed? (Nachukulia Aysel umeshammiliki?)" Megan akamuuliza.
Draxton akatikisa kichwa taratibu kukubali.
"You didn't use all your energy on her, did you? (Haujatumia nishati yako yoye kwake, au vipi?)"
"Don't worry. I saved up plenty for you (Usiwe na hofu. Nimeitunza nyingi kwa ajili yako)."
Megan akatabasamu kidogo na kusema, "Well come here (Basi njoo hapa)."
Kazi na shughuli nyingine kali kwa Draxton ikawa mbele yake. Wazo tu la kukipiga tena na mwanamke huyu likafanya asimame upesi, na kwa kuwa alitaka kuharakisha mambo ili muda mwingi usipotee, akaitoa boksa yake mwilini na kubaki mtupu kama Megan, kisha akapanda kitandani.
Mara mbili alikuwa ameshakula utamu wa kiumbe huyu, lakini hii ya tatu ilifunika zote za awali. Megan kama kawaida alionyesha papara ya kimahaba ya kutaka apewe penzi zito, na Draxton hakumnyima ujazo aliostahili. Alimsugua na kumkuna kwa muda mrefu, sauti za miguno ya kuunguruma zikimtoka Megan kadiri walivyoendelea, na Draxton alikuwa anatumia nguvu nyingi kwa mwanamke huyo kwa sababu kiwango chake cha kutosheka kilikuwa cha hali ya juu na kilihitaji kufikiwa kikamili.
Draxton akakomaa tu, akibadilisha mitindo, na akiwa katikati ya badiliko lake, na hatimaye Megan akafanikiwa kujazika nishati iliyomtosha kwa wakati huu. Yaani ilikuwa kama vile mwili wake ni betri na Draxton ndiye aliyekuwa chaja yake. Megan akajiachia kitandani huku akipumua kilegevu kuisikilizia raha ya nguvu aliyopewa, na Draxton alipoangalia mlangoni akamwona Aysel akiwa amesimama pembeni, kitu kilichoonyesha kwamba alikuwa anawatazama kwa muda fulani walipokuwa wanacheza mechi kitandani hapo. Macho yao yalipokutana kwa sekunde chache, Aysel akageuka na kuondoka, naye Draxton akashusha pumzi na kumwangalia Megan.
"How do you feel? (Unahisije?)" Draxton akamuuliza kwa sauti ya chini.
Megan akafumbua macho yake, naye akasema, "Strong (Imara)."
"Okay. That's good (Sawa. Hiyo ni nzuri)," Draxton akasema.
Megan akajinyanyua na kumwangalia mwanaume. Wote bado walikuwa upande wa kati wa unyama wao, na mwanamke huyo aliona kwamba Draxton alihisi uchovu. Akachukua chombo kile ambacho kilikuwa na ile dawa waliyotengeneza, naye akampatia Draxton ili anywe. Mwanaume akajitahidi kuinywa yote mpaka ikaisha, na kiukweli ilisisimua mwili wake wote kana kwamba alikunywa pombe kali, naye akainamisha uso tena huku akihisi ukakasi kwenye taya ndani ya mdomo.
"You feeling bad? (Unajihisi vibaya?)" Megan akauliza kwa kujali.
"The taste is awkward. But I feel... just a little tired. Your body intensely pulls something from me (Hiyo ladha haieleweki yaani. Ila najihisi... nimechoka kidogo tu. Mwili wako unavuta kwa uzito sana kitu fulani kutoka kwangu)," Draxton akasema hivyo huku akiangalia chini.
"It's the energy. Now I'll put it to good use. Let's find Darla (Ndiyo hiyo nishati. Sasa nitaitumia vizuri. Tumtafute Darla)," Megan akasema.
"How long is it gonna take? (Itachukua muda gani?)"
"It would be fast, but in this situation it will depend. Come on, I'm ready for you (Inatakiwa iwe kwa kasi, lakini chini ya hali hii itategemea. Haya njoo, niko tayari kwa ajili yako)," Megan akasema.
Alisema maneno hayo na kujisawazisha vizuri zaidi, kisha akakaa kama tu alivyokuwa amekaa mwanzoni na kuiegemeza mikono yake kwenye magoti, huku viganja vyake vikiwa wazi kumwelekea Draxton. Macho yake yakang'aa rangi ya kijani huku mkia wake ukisimama kuelekea juu na kutulia hivyo hivyo.
Draxton akihisi tambiko ndiyo linataka kuanza, akamuuliza, "What should I do? (Nifanye nini?)"
“Give me your hands (Nipe mikono yako),” Megan akasema kwa sauti makini.
Draxton akafanya hivyo. Viganja vya Megan vilikuwa vikitoa joto la kadiri, lakini baada ya sekunde chache likawa linaongezeka.
“What’s going to happen? (Nini kitatokea?)"
Swali hilo la Draxton halikujibiwa, kwa kuwa sasa Megan alikuwa amefumba macho yake akionekana kuelekeza umakini wote kwenye jambo hilo la kumuunganisha Draxton na mwenzi wake. Nywele za Megan zikaanza kutoa mwanga kana kwamba zilimulika kama tochi, naye Draxton akaendelea kumtazama kwa utulivu. Uchawi wa mwanamke huyo haukuhitaji matunguli, bali utulivu tu wa kiakili kutumia nguvu alizokuwa nazo baada ya kupatiwa utamu kutoka kwa Alpha wake.
Zikapita kama dakika mbili za ukimya, na kwa utulivu huo, Draxton aliweza kusikia sauti za vyombo kutokea kule sebuleni na kuelewa kwamba Aysel alikuwa akijitengenezea au kuwatengenezea wote chakula, na ndipo akaanza kuona mwanga wa kwenye nywele zake Megan ukipungua. Mikono ya Megan ikawa ya moto zaidi, naye Draxton akahisi mvuto fulani kichwani kwake uliomtia kizunguzungu na kusababisha afumbe macho kwa nguvu.
Kidogo tu akahisi viganja vya Megan vikimwachia, naye akafumbua macho na kukuta mwanamke huyo akiwa amerudia hali ya kawaida kimwili, na akipumua kiuchovu. Draxton hakuelewa ikiwa sakata hili lilifanikiwa au la, naye akataka kumshika begani ili amsemeshe lakini Megan akajirudisha nyuma upesi na kunyanyua kiganja chake kumzuia asimguse.
"Don't touch me... I'll siphon your energy forcefully (Usiniguse... nitaivuta nishati yako kwa kulazimisha)," Megan akasema kivivu.
"Are you okay? (Uko sawa?)" Draxton akamuuliza kwa kujali.
"I'll be fine. Focus on your mate (Nitakuwa sawa. Kaza fikira kwa mwenzi wako)," Megan akamwambia.
Kauli hiyo ikamfanya Draxton atambue kuwa zoezi hilo lilikuwa limefanikiwa, na sasa angetakiwa kuelekeza umakini wake kwa mwenzi wake. Lakini kichwa chake kikaingiwa na jambo fulani jipya kabla hajaanza kufanya hivyo. Ilikuwa kama anasikia mtu akisali, sala iliyotolewa kwa sauti tetemeshi ya chini, na hata ingawa Draxton alitarajia matokeo ya upesi katika jambo alilofanya na Megan, ilimchukua sekunde kadhaa kutambua kwamba sauti hiyo ilikuwa ya Darla.
'Darla?' Draxton akatumia akili kuita hivyo.
Sala ya Darla ikakatishwa, naye Draxton akasikia sauti ya mwenzi wake kichwani ikiita, 'Draxton?'
Mapigo ya moyo wake Draxton yakaanza kudunda kwa kasi zaidi baada ya kuwa amempata mwenzi wake hatimaye, akifarijika kujua kwamba mwanamke wake alikuwa hai, naye akafumba macho na kutabasamu kwa kuhisi faraja moyoni.
★★★★★★★★★★
ITAENDELEA
★★★★★★★★★★
WHATSAPP +255 678 017 280
A Story by Elton Tonny
Familia, Urafiki, Mapenzi, Mahaba, Siri, Tamaa, Hila, Unyanyasaji, Usaliti, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa
(R-rated 18+)
Enjoy!
★★★★★★★★★★★★★★★★
SEHEMU YA KUMI NA NANE
★★★★★★★★★★★★★★★★
Mwili wa Megan ukiwa umepasuliwa vibaya mno chini hapo, ungemfanya yeyote adhani kwamba ameshakufa, lakini bado pumzi ya uhai ilikuwa ndani yake. Bila shaka alikuwa kwenye maumivu makali mno na bila kujitambua, na mwanaume akausogelea mwili wake chini hapo na kunusa mara mbili hewani.
"Megan?"
Draxton akaita hivyo kwa sauti ya chini, lakini hakupata itikio lolote. Akawa anaunguruma kwa hasira lakini kichinichini kwa kushindwa kujua afanye nini, na ndipo Aysel akawa amefika nyuma yake pia. Mwanamke huyo alijihisi vibaya kumwona Megan alivyopasuliwa kinyama, naye Draxton akaweka mkono wake mahala ambapo shingo ya Megan ilitakiwa kuwa; akiugusa kabisa mfupa usawa huo uliojaa damu. Alikuwa anawaza labda atumie damu yake yeye mwenyewe kumponya mwanamke huyo lakini kwa hali hiyo haikuonekana kwamba hilo lingefanikiwa maana ingehitajika nyingi mno.
Akiwa amekosa la kufanya na kubaki akihuzunika, ghafla mwili huo wa Megan ukaanza kutoa mwangaza wa blue-bahari, kama tu ngozi yake ilivyobadilika alipokuwa akigeukia upande wake wa mnyama. Aysel alishtuka na kurudi nyuma kidogo, na Draxton akawa anahisi kama sehemu ya nguvu zake inamtoka bila kuelewa kilichokuwa kinaendelea, na mkono wake ukawa kama umegandishwa hapo hapo kwenye shingo ya Megan.
Kufumba na kufumbua mwangaza huo ukakata ghafla, na wote wakashangaa baada ya mwili mzima wa Megan kuwa umerudia hali ya kawaida kabisa! Yaani ilikuwa kama vile hakuwa ameumia hata chembe. Draxton akarejea ubinadamu taratibu huku akimwangalia kwa umakini, naye Megan akafumbua macho na kumtazama mwanaume usoni.
"What the hell was that?! (Hicho kilikuwa nini?!)" Aysel akauliza kwa mshangao.
Megan akaanza kujinyanyua ili aketi, naye Draxton akampa egamio.
"Megan... what happened? (Megan... nini kilitokea?)" Draxton akamuuliza.
“The pack attacked (Kundi limeshambulia)," Megan akajibu kiufupi.
“Are you okay? (Uko sawa?)” Draxton akamuuliza kwa kujali.
Megan akavuta pumzi na kusema, "No (Hapana)."
Draxton akamtazama kwa huruma.
“It will take a long time to heal and to gather as much power as I had before. I spent all of it trying to keep myself alive. They tore me up pretty bad (Itachukua muda mrefu kuponyeka na kukusanya nguvu kama nilizokuwa nazo. Nilitumia zote kuuendeleza uhai wangu. Wamenichana-chana vibaya sana)," Megan akasema.
"You seem healed enough to me (Unaonekana kuponyeka vizuri sana mbona)," Aysel akasema.
"I meant internally (Nilimaanisha kwa ndani)," Megan akamwambia.
“What happened just now? How did your body become... whole again? (Nini kimetokea sasa hivi tu? Mwili wako umejirudishaje kuwa... mzima tena?)" Draxton akamuuliza.
“Its because we are connected. I was able to siphon off some of your Alpha spiritual energy to rebuild my body (Ni kwa sababu ya muungano nilionao pamoja nawe. Nimeweza kuvuta nguvu yako ya kiroho ukiwa kama Alpha ili kuujenga upya mwili wangu)," Megan akaeleza.
"Forgot how much of a geek you always were (Nilikuwa nimeshasahau namna ambavyo sikuzote ulikuwa mjuaji kupitiliza)," Aysel akamwambia Megan.
Megan akamtazama mwanamke huyo, kisha akauliza, "What are you doing here? (Unafanya nini hapa?)"
"I'm part of Draxton's pack. Well... not yet, but I will be (Na mimi ni wa kundi lake Draxton. Sijawa hivyo rasmi ila, nitakuwa)," Aysel akajibu.
Megan akamtazama Draxton usoni kimaswali.
"Come on, let's get you up (Njoo, wacha tukunyanyue)," Draxton akasema hivyo na kuanza kumnyanyua Megan.
Mwanamke alionekana kuwa na maumivu ya ndani kwa ndani, naye akapelekwa kitandani na kukalishwa taratibu; akiinyoosha miguu yake yote hapo na kuegamia mto.
"What do you need Megan? Do you want some food, or water, some meat maybe? (Unahitaji nini Megan? Unataka chakula kidogo, au maji, labda nyama kiasi?)" Draxton akamuuliza kiupole.
"Yeah, there is lots of 'em scattered all over this place (Ndiyo, zipo nyingi zimezagaa ovyo sehemu yote hapa)," Aysel akasema kiutani.
Draxton akamgeukia na kusema kiukali, "Shut up Aysel!"
Aysel akashtuka na kumwangalia kwa hofu, hata Megan akaogopa pia.
Draxton akafumba macho na kushusha pumzi kiutetemeshi, akionekana kuwa na hasira sana, lakini akamwambia Aysel, "I'm sorry, Aysel. I... why don't you help yourself and get some water to drink, huh? And a shower would be good too so we can take our next step freshly... you know? (Samahani, Aysel. Nina... vipi ukijipa msaada wa kufata maji unywe eh? Na kuoga pia kutakuwa jambo zuri ili tupige hatua inayofuata vyema zaidi... si unajua?)"
Aysel akaonekana kuudhika kiasi, lakini akatii na kuondoka.
"You are really frustrated (Umeghadhabika kweli)," Megan akasema.
Draxton akakaa kitandani na kumuuliza, "What really happened here Megan? (Ni nini kilichotokea kabisa hapa Megan?)"
"You were right. Covering Darla's scent on you wasn't enough to fool them. Except they fooled me into thinking they bought it (Ulikuwa sahihi. Kuificha harufu ya Darla mwilini mwako hakukutosha kuwadanganya. Isipokuwa tu wenyewe ndiyo wakanifanya mjinga kudhani kwamba waliamini mchezo tuliowafanyia)," Megan akasema.
Draxton akaendelea kumwangalia kwa utulivu.
"They came a few hours after you left. Just as normal customers. Then Robby's sister got in too and I knew something was up. They must have sent her a message about us last night and were waiting for her to show up here so they could attack us together cause she's pretty strong... just like her brother. I couldn't run. They killed my workers... my friends... and bitch wanted to know where you are but then ripped me to bits when I denied telling her (Walifika hapa masaa machache tu ulipoondoka. Kama wateja wa kawaida. Ndiyo dada yake Robby akaingia pia nami nikajua tu kulikuwa na nuksi. Ni lazima watakuwa walimtumia ujumbe kuhusu sisi usiku wa jana na walikuwa wanasubiria afike ili watushambulie kwa pamoja kwa sababu ana nguvu nyingi.. kama tu kaka yake. Sikuweza kukimbia. Waliwaua wafanyakazi wangu.. marafiki zangu.. na huyo malaya alikuwa anataka kujua ulipo lakini akanirarua vipande-vipande nilipokataa kumwambia)," Megan akaongea huku machozi yakimtoka.
Draxton akamfuta machozi, kisha akatazama pembeni kwa mkazo. Alikuwa ameshachoshwa na mchezo huu kutoka kwa Robby, kwa sababu mwanaume huyo angeendelea kuumiza watu na kuwaua ovyo kwa madhumuni yasiyokuwa na kichwa wala miguu. Hakujali tena mtu huyo alikuwa nani. Yaani kama angefanikiwa kukutana naye angehakikisha anavunja kila aina ya sheria ili kuumaliza ubepari wake usioeleweka ulitokea wapi.
"It's a mess (Ni uchafu mkubwa)," Megan akasema.
"And it will get more messy if we keep staying here. I shouldn't have left you (Na hali itachafuka zaidi tukiendelea kukaa hapa. Bora tu nisingekuacha)," Draxton akaongea kwa uzito.
"It's okay, at least I'm not dead. They probably think I am so they won't come back here after messing this place up with murder... for now (Haina shida, angalau niko hai. Wenyewe watafikiri nimeshakufa kwa hiyo hawatarudi hapa baada ya kupachafua kwa mauaji waliyofanya... kwa sasa tu lakini)," Megan akamwambia.
Draxton akamwangalia.
"They'll send some of 'em later to clean up the place before it grabs any attention from the police... Robby likes to keep his hands off-dirt (Watatuma baadhi yao kuja kupasafisha hapa baadaye kabla hapajavuta uangalifu wa maaskari... Robby anapenda kutochafuliwa kabisa)," Megan akasema.
Draxton akatazama pembeni na kusema, "Precisely why we won't keep staying here (Ndiyo maana hatutatakiwa kuendelea kukaa hapa)."
Megan aliona hasira kali sana nyuma ya utulivu wa mwanaume huyu, naye akawa anatazama uso wake uliofunikwa kiasi kwa nywele nyeupe. Draxton alikuwa anawaza kutoka tu hapo, amshike huyo mwanaume aliyekuwa kama kunguni msumbufu ili amtumbue haswa, lakini kwanza alichotakiwa kufanya ilikuwa kuhakikisha wanawake hawa wawili wanakuwa salama.
"Did you find it? (Umekipata?)"
Swali hilo la Megan likamfanya Draxton amtazame machoni.
"Did you find the ingredient for the potion? (Umekipata kiungo kwa ajili ya ile dawa?)" Megan akauliza tena.
"Yes. It's a white flower called... (Ndiyo. Ni ua jeupe liitwalo..)"
"Moon's bloom, yes! I completely forgot (Moon's bloom, ndiyo! Nilikuwa nimesahau kabisa)," Megan akasema baada ya kukumbuka.
"Yeah. I got a few of them in the car. Will you be able to make the potion in your current condition? (Ndiyo. Yapo machache ndani ya gari. Utaweza kuitengeneza hiyo dawa chini ya hali uliyonayo?)"
"Making the potion is basically mixing and boiling. The hard part may come with the channeling process (Kuitengeneza dawa ni suala la kuchanganya na kuchemsha tu. Ugumu unaweza kuja kwenye kupeleka ile njia ya mawasiliano)."
"To Darla? (Kwa Darla?)"
“Yes. My power is returning a bit, and my physical form is stable, but I will need more energy to make it work great (Ndiyo. Nguvu yangu inarejea kiasi, na mwili wangu wa kawaida uko sawa, lakini nitahitaji nishati zaidi kufanya jambo hilo liwe na matokeo mazuri)," Megan akamwambia.
Draxton, akiwa ameshaelewa ni nini kilimaanishwa kwa kumpa mwanamke huyo nishati zaidi, akasema, "Okay. We'll work on that (Sawa. Tutalifanyia hilo kazi)."
Megan akawa anamwangalia kwa njia fulani yenye hisia.
"I'll go bring the flowers and get Aysel to help. After you finish making the potion we leave. We can make this work greatly in a safe place (Nayafata maua pamoja na Aysel aje kukusaidia. Mkimaliza kutengeneza dawa tunaondoka. Twaweza kufanikisha suala hili vyema zaidi tukiwa sehemu salama)," Draxton akasema.
"Is there any? (Ipo yoyote?)" Megan akauliza.
"No. But just not here anymore (Hakuna. Lakini hapa hapafai tena)," Draxton akamwambia.
Mwanaume akanyanyuka na kuondoka chumbani hapo, akimwacha Megan ametulia. Akapapita pale penye miili na damu mpaka nje, akabeba maua, kisha akarejea ndani tena. Alienda moja kwa moja mpaka sehemu ya jikoni, naye akamkuta Aysel hapo akiwa anakula nyama iliyopikwa huku bado akiwa hajaoga. Draxton akamwambia pia kwamba hawangetumia muda mrefu hapo kwa hiyo alitakiwa kujisafisha ili aende kumsaidia Megan kutengeneza dawa fulani kabla hawajaondoka, naye Aysel akaomba amalize kula kwanza maana hakuwa amekula chochote siku nzima iliyopita.
Hivyo, Draxton akaenda tena chumbani kwa Megan na kumuuliza mwanamke huyo ikiwa viungo vingine vilivyohitajika vilikuwa hapo, naye akamwambia amwambie Aysel amsaidie kuvichukua kutoka kwenye kabati lenye vifaa vya jikoni maana lazima mwanamke yule alivifahmu. Draxton alipoenda kufanya hivyo, Aysel akawa amegundua ni dawa ya aina gani wawili hao walitaka kutengeneza. Akamsaidia Draxton kuvipata viungo vingine, na kwa kuwa alimaliza kula akamwambia angeenda kujisafisha kwanza kisha ndiyo angemsaidia Megan kuitengeneza dawa.
Kwa dakika chache ambazo Aysel alitumia kufanya usafi, Draxton alimsaidia Megan kuvaa nguo nyingine safi, kisha akampatia maji na chakula, huku mwanamke huyo akimwambia namna alivyowaza kuhusu hali ya Darla kwa sababu alimpenda kama mdogo wake wa damu, naye Draxton akamtia moyo tu kuamini kwamba kila kitu kingekuwa sawa na wangefanikiwa kumwokoa yeye na wengine.
Baada ya Aysel kujiunga nao, akaanza kusaidizana na Megan kuitengeneza dawa. Wakati huu alikuwa msafi zaidi, naye alivaa nguo kutoka kwenye kabati la nguo za Megan ndani hapo, kwa hiyo wakaelekezana kuichanganya dawa na kisha Aysel akaenda kuichemsha. Megan alikuwa hamwamini kwa kadiri fulani mwanamke huyo kwa sababu alijua historia yake ya usaliti alioufanya zamani, lakini Draxton alikuwa amemhakikishia kwamba Aysel alikuwa chini yake na kama angezingua basi angemnyoosha.
Mwanaume akamsaidia Megan kutoka kitandani na kuanza kumpeleka nje ili awe ndani ya gari mpaka Aysel alipomaliza kuichemsha dawa ile. Megan akakumbusha kwamba huenda angehitaji kujipulizia marashi fulani ya kuficha harufu yake ili asiweze kufuatiliwa hata watu wa Robby wakija hapo, lakini Draxton akamwambia hakuhitaji kuogopa kwa kuwa sasa asingemwacha, na kama wale wapuuzi wangewafata popote pale angehakikisha hawarudi walikotoka.
Kwa sababu sasa ilikuwa wazi kwamba Draxton aliwindwa pia, ilikuwa lazima kwa mwanaume huyu kuhakikisha kwamba hata kama atafikiwa na maadui zake basi watu walio upande wake wanakuwa salama. Kwanza angetakiwa kummiliki Aysel ili uvutano wowote uliobaki baina yake na Robby utoweke, kisha ndiyo angemsaidia Megan kuongeza nishati ya kumpa nguvu ili awaunganishe yeye na Darla. Endapo kama jambo hilo halingefanikiwa basi angetumia njia mbadala kumpata Darla na mwanaume yule, njia ambayo hakujua ingekuwa ipi.
Aysel alipomaliza kutengeneza dawa akaiweka kwenye chupa ya kioo na kwenda nayo kwenye gari, naye Draxton akaliondoa hapo na kuanza kuelekea upande ule walioishi. Aysel alikuwa anamwambia jamaa kwamba kurudi pale kwenye zile nyumba halingekuwa wazo zuri kwa kuwa bila shaka zingekuwa zinaangaliwa na wabaya wao, naye Draxton akasema alijua hilo, lakini kwa wakati huu wasingeweza kuzivamia pale kutokana na kuwa chini ya uangalizi wa maaskari.
Mwanaume alijua kama huyu Robby hakutaka mapolisi au watu wa mamlaka za juu wafatilie biashara zake basi angekuwa makini kuwaambia watu wake wakae mbali na sehemu kama hiyo ambayo tukio lenye kuvuta uangalifu wa maaskari lilikuwa limeshatokea. Mbali tu na hilo, Draxton hakuwa na sehemu nyingine aliyoifahamu kwa huku ya kuwapeleka wanawake hawa, hivyo nyumba ya Mark ilikuwa uchaguzi wa pekee; angalau kwa sasa.
★★
Dakika kama ishirini tu nao wakafikia eneo la nyumba zile. Draxton alikuwa ameendesha gari kwa ustaarabu tu, na ilionekana kwamba mtaa wote ulikuwa na hali ya utulivu kwa wakati huu; hata baadhi ya watu na watoto wangeonekana nje kuthibitisha kwamba walihisi kuwa na usalama.
Gari hilo lilipozifikia nyumba za Darla na Mark, watatu hao wakaona namna zilivyozungushiwa kanda ndefu za njano kwa ajili ya vizuizi, hususani nyumba ya Darla, ili mtu yeyote asiingie. Hiyo ilimaanisha zilikuwa chini ya uangalizi wa maaskari bado, lakini kwa muda huo hawakuwepo sehemu hiyo, hivyo Draxton akalipitisha gari kuzungukia upande wa nyuma wa nyumba ya Darla, naye akawaambia wanawake kwamba angelipeleka gari mitini na kuliacha sehemu iliyofichika halafu angerejea. Aysel alitakiwa kumpeleka Megan kwenye nyumba ya Mark na kuingia kupitia nyuma dirishani kwenye chumba cha Draxton, na akamsihi kuwa mwangalifu asiingie upande mwingine wa nyumba hiyo mpaka yeye Draxton afike.
Wanawake wakaanza kwenda, naye Draxton akalipeleka gari mitini zaidi ili alifiche kwa muda huu. Akapata nafasi nzuri ya kuliweka kisha akaanza kurudi nyuma. Alikuwa makini kuchezesha hisi zake ili aone ikiwa kuna hatari yoyote kuzungukia eneo hilo, na baada ya kuhakikisha hakuna mnyapiaji, akaingia ndani ya nyumba ya Mark na kuwakuta wanawake wakiwa chumbani kwake.
Megan alikuwa ameketi kitandani, huku Aysel akinusa huku na huko kama vile anatafuta kitu. Draxton akayaangalia mazingira ya hapo ndani na kutambua kuwa kuna watu waliingia, bila shaka maaskari, naye akaanza kuitafuta simu yake bila kupata mafanikio. Akielewa kwamba ingekuwa mikononi mwa polisi, akaamua kuachana nayo na kumfata Megan, naye akamwambia kwamba alihitaji muda mfupi wa kuwa pamoja na Aysel kisha ndiyo angekuja kwake, kwa hiyo akamwambia apumzike kitandani hapo. Megan akatii na kujilaza kabisa, akionekana kuchoka, na ni wakati huu ndiyo mvua ikaanza kunyesha nje.
Mwanaume akalifunga dirisha vizuri na kufunika mapazia, naye akamtazama Aysel; aliyekuwa amesimama tu usawa wa mlango akionekana kusubiri ukombozi wake. Draxton akamfata hapo na kumwambia wanatakiwa kwenda kwenye chumba kingine ndani hapo, kile chumba cha chini zaidi (basement), kisha akamwongoza kukielekea. Alikuwa makini kuona kama kuna mitego ya kamera au kitu kingine chochote sehemu hii, kisha wakaingia pamoja chini kule na kusimama usawa wa zulia lile zito lililotandikwa sakafuni.
Aysel akamgeukia na kumtazama machoni kwa umakini, kisha akauliza, "This where you claimed Darla? (Humu ndiyo ulipommiliki Darla?)"
Draxton hakujibu, bali akawa anamwangalia tu mwanamke huyo. Nywele nyeusi za Aysel zilionekana kung'aa kiasi kwenye chumba hicho chenye ugiza, na mwanaume akawa anakumbukia yote kuhusu mwanamke huyu.
Alikuwa aina ya mtu ambaye angefanya lolote kupata alichotaka na hivyo kuwasaliti hadi marafiki zake kipindi cha nyuma, lakini naye alipata fundisho baada ya kusalitiwa na kupoteza mtoto pia. Hapa alikuwa anataka kuwa huru, kitu ambacho Draxton alikuwa amekuja kuwapa wote waliokihitaji, kwa hiyo na yeye Aysel angemilikiwa naye haraka kisha waendelee na mchakato wa kumfikia Darla kwa msaada wa Megan.
Aysel akamgeukia mwanaume vizuri zaidi na kubaki akimtazama kama anasubiri aseme kitu.
Draxton akakumbuka namna alivyokuwa amemtendea kiukali mara kadhaa toka walipokutana, na kwa kuingiwa na huruma kutokana na shida ambazo mwanamke huyu pia alikuwa amepitia, akasema, "Listen Aysel. I need to apologise for treating you in a rude way from.... (Sikiliza Aysel. Nahitaji kuomba samahani kwa kukutendea kiujeuri kutokea...)"
"Hush now (Kimya sasa)," Aysel akamkatisha kwa sauti tulivu.
Draxton akaendelea kumwangalia tu.
"Despite everything, I know you are good person. I like how you present yourself to be accountable even for such minor things, and it shows you got what it takes to lead well (Hata kwa mambo yote, ninajua wewe ni mtu mzuri. Napenda jinsi unavyojiweka kuwa mtu mwenye kuwajibika hata kwa vitu vidogo namna hiyo, na hiyo inaonyesha una kila kinachohitajika kuongoza vizuri)," Aysel akamwambia.
Draxton akatikisa kichwa taratibu kama kusema ameelewa.
"You know... even though we are stronger than normal humans, I envy them greatly because they don't live their miserable lives like puppets on strings same as we do. No matter what we do... I think the way we have lived throughout many years is just... sad. There's no more strength in the entirety of our kind, only pain and heartbreak (Unajua... ijapokuwa sisi tuna nguvu kupita wanadamu wa kawaida, ninawaonea wivu sana kwa kuwa hawaishi maisha yao mabovu kama wanasesere wa kuendeshwa kwa kamba kama sisi tuishivyo. Nafikiri namna ambavyo tumeishi kwa miaka mingi sana ni... huzuni tupu. Hakuna nguvu yoyote iliyobaki kwenye muungano wetu, ni maumivu na kuvunjwa mioyo tu)," Aysel akamwambia Draxton kwa hisia.
"That's why I'm here. You won't have to live like puppets no more. I'm going to change that. I promise (Ndiyo sababu niko hapa. Hamtapaswa kuendelea kuishi kama watumwa hata kidogo. Nitabadili hilo. Ninaahidi)," Draxton akasema kwa upole.
Aysel akamsogelea mpaka karibu zaidi na uso wake, naye akasema, "Darla is lucky to have you for herself, or else I'd make you mine only (Darla amebahatika sana kuwa nawe kwa ajili yake, la sivyo ningekufanya uwe wangu kivyangu)."
"Well you can't. She'd kill you. So let's just add you in my pack and get on with other issues (Hauwezi kufanya hivyo. Atakuua. Kwa hiyo tufanye tu kukuingiza kwenye kundi langu halafu tuendelee na masuala mengine)," Draxton akasema.
Aysel akatoa tabasamu la kiburi, kisha akasema, "I know you wanna hurry this up, but please cut out all restrictions you have on me. I want you to f(...) me... rudely... and don't apologise about it (Najua unataka kuharakisha, lakini tafadhali ondoa vizuizi vyote ulivyonavyo kunielekea. Nataka unisugue.. kijeuri... na usiombe samahani kwa ajili ya hilo)."
Maneno hayo ya Aysel yalifanya hisi za ndani za mnyama wa Draxton zIpande, na bila kukawia mwanamke huyo akamfata mdomoni na kumpiga busu. Haya yangekuwa mapenzi ya wajibu tu, lakini Aysel alionyesha kutaka huba nzito na yenye fujo kwa namna alivyombusu na kumvulisha nguo upesi.
Draxton alimwacha tu mpaka mwanamke alipombakiza na raba pekee mwilini, kisha akaanza kuinyonya mashine yake. Huenda Aysel ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza ambaye alipeleka mambo kwa kasi sana tokea Draxton ameweza kujiendesha vyema na kufanya awahi kubadilika upesi, kwa sababu ni dakika mbili tu ndani ya mchezo huu tayari mwanaume akaingia badiliko la kati.
Aysel akasitisha zoezi lake la unyonyaji baada ya kuona ngozi ya Draxton imebadilika rangi, naye akasimama na kumwangalia usoni kwa umakini; akivutiwa na sura nzuri ya jamaa yenye unyama ndani yake. Akiwa ameelewa kwamba alimwingiza Draxton hatua nyingine, Aysel naye akaanza kuzirarua nguo alizovaa mpaka kuwa mtupu, kisha akauvuta mkono wa Draxton kuelekea lile zulia chini, halafu akageuka na kuweka mkao wa kutambaa huku akimbinulia mwanaume kalio lake kwa nyuma.
Mnyama-Draxton akawa anaangalia maumbile ya mwanamke huyo. Kiukweli alikuwa mzuri. Hakumpita Darla kwa kuumbika vizuri zaidi, lakini alitamanisha sana kumtazama namna hiyo. Kitoweo chake chenye mashavu ya pink yaliyong'aa umaji laini kilinukia kwa pua za Draxton, ikiwa kama chakula kinamwita ili kiliwe, naye akamsogelea ili aanze kutimiza wajibu wake. Akaanza kukisugusha kichwa cha mashine kwenye mwingilio wa hekalu la mwanamke huyo, naye Aysel akawa anazungusha kiuno taratibu.
Jamaa akaona asicheleweshe na papo hapo kumwingia kwa nguvu, kitu kilichofanya Aysel atoe mguno wa juu wa raha uliochanganyika na maumivu. Akaweka kiganja chake tumboni kwa Draxton kumzuia asiendelee kwanza, lakini Draxton akaukamata kwa nguvu na kuanza kumsugua taratibu. Taratibu mwanzoni, kisha akaongeza kasi huku ameushika mkono wa mwanamke namna hiyo hiyo.
Aysel alikuwa na fujo, mara kwa mara akijirudisha nyuma kwa nguvu pia ili akutane na kasi ya msuguo wa Draxton na hivyo kupigwa kwa nguvu sana, jambo hilo likifanya atoe malalamiko kwa sauti za juu. Draxton akaukamata mdomo wa Aysel kwa viganja vyake vyote ili kuuziba, kwa sababu hakutaka sauti hizo zisikike mpaka nje, lakini akaendelea kumtandika penzi namna hiyo hiyo kwa kuwa ndivyo ambavyo Aysel aliomba apewe.
Mwanamke alipandisha joto sana, akirembua macho na kuguna mfululizo, lakini hakufika pale alipotakiwa kufika ili umiliki ufanye kazi. Draxton akawaza labda amgeuze kwa mkao mwingine, naye akaitoa mashine yake ndani. Aysel akamgeukia ghafla na kumkwarua kwa makucha makali kifuani, akionekana kuwa na hasira kwa nini amekatishiwa utamu wake, naye Draxton akamshika kwa nguvu. Macho yake yaling'aa sasa, meno makali yakionekana, na hata matiti yake yakiwa yameongezeka ukubwa na idadi kuwa sita kama tu Darla, ikiwa wazi kwamba yupo katikati ya badiliko lake pia.
Akawa anamuungurumia Draxton usoni kama vile anataka kumng'ata, naye Draxton akamtishia pia kwa kukaza sura yake kihasira kama kumwambia 'tulia.' Aysel akaweka uso wa kudeka fulani hivi, naye Draxton akamsukuma kwa nguvu kumlaza chali, na mwanamke akainyanyua miguu yake hewani mwenyewe kumruhusu mpaji wake aingie kwa uhuru. Zamu hii tena Draxton akazama na kuendelea kuwasha moto, akikoleza na kukoleza tu, lakini Aysel akawa hafiki.
Ilianza kumpa mwanaume utata maana upande wake wa kinyama ulianza kulazimisha kutoka ingawa hili halikupaswa kuwa penzi lililotakiwa kuwafikisha mpaka huko. Ni sawa alikuwa na uwezo mzuri wa kujiendesha wakati huu, lakini tendo hili kwake akiwa kama mnyama lilikuwa kali zaidi kupita hali ya kawaida ya binadamu, na hivyo ingefika hatua ambayo unyama wake ungetaka kutoka ili ulifurahie tendo kwa asilimia zote. Yaani ilikuwa ni raha kama binadamu wa kawaida, lakini kama mnyama ilikuwa raha maradufu; namna tu ambavyo Darla alikuwa amemwelezea, kwa hiyo akaona atafute hitimisho la umiliki huu kabla ya hisia zake kumlazimu abadilike zaidi.
"Why aren't you releasing yourself Aysel? (Kwa nini haujiachii mwenyewe Aysel?)" Draxton akamuuliza.
Huku akiendelea kutoa miguno, Aysel akamwambia, "I need more (Nahitaji zaidi)."
"More what? (Nini zaidi?)"
"More surge of power. Hardcore Draxton (Mtikiso wa nguvu zaidi. Kitu kigumu zaidi Draxton)," Aysel akasema huku akiunguruma kimahaba.
Draxton hakuelewa vizuri maana ya maneno hayo, hivyo Aysel akamwelewesha kwa vitendo. Akaishika mashine ya mwanaume na kuitoa kitoweoni mwake, kisha akaanza kuiingiza shimoni mwake. Ndiyo, shimoni. Draxton akamtazama usoni na kuona akikunja sura kadiri alivyojiwekea mwenyewe, naye Aysel akawa anamtikisia kichwa jamaa kuwa aendelee kwa sababu hiyo kwake ndiyo iliyokuwa njia ambayo ingemfikisha walipotaka. Draxton afanye nini? Akatii.
Hii ilikuwa mara yake ya kwanza kufanya mapenzi ya namna hii, kwa hiyo kwa asilimia kubwa alimwacha Aysel aongoze mambo. Mwanamke akaomba apewe taratibu mwanzoni, kisha akataka kasi iongezwe. Kulikuwa na hisia kali ya hatia iliyomwingia Draxton kwa kujua kwamba muda ambao angetakiwa kuwa mwendoni kuwaokoa rafiki zake alikuwa anautumia kufanya jambo hili. Lakini hakukuwa na jinsi. Kummiliki Aysel ilikuwa na faida kwake kwa sababu ingemwongezea nguvu, na pia kuzuia mwanamke huyo kuchizika kama ilivyokuwa kwa Gianna.
Mwendo wa dakika kama kumi hivi naye Aysel akaanza kurusha juisi nyingi sana huku akipiga kelele kwa kushtua, naye Draxton akaihisi shoti ile mwilini mwake iliyomwongezea nguvu na kumfahamisha kwamba mwanamke alikuwa amemilikiwa. Akajitoa kwake na kusimama.
Aysel alikuwa amelala kwa kulegea chini hapo, huku manyoya yakionekana sehemu kadhaa mwilini mwake.
Draxton akasema, "It's done. Welcome to the pack (Imekamilika. Karibu kundini)."
"It's not enough my Alpha... please slide it in me once more (Bado sijatosheka Alpha wangu... tafadhali iingize ndani yangu tena)," Aysel akamwomba.
Mwanamke huyo alikuwa amejinyanyua sasa na kuegamia kwa viwiko vyake chini hapo, kisha akaiachanisha miguu yake kizembe na kuanza kujisugua kitoweo kwa kiganja huku akimtazama Draxton kwa njia ya kumvutia kwake kwa mara nyingine. Pamoja na kutamanisha kote, Draxton akaacha kumwangalia na kuvaa boksa yake.
"Come on Alpha. One more round won't kill you. You didn't even cum (Njoo bwana Alpha. Raundi moja nyingine haitakuua. Hata haujamwaga)," Aysel akasema.
"If I waste any more second, then I'll be killing Darla (Ikiwa nitapoteza muda zaidi, basi ni Darla ndiye nitakayekuwa namuua)," Draxton akamwambia.
"You'll still waste more time with Megan, so why not just.... (Hata hivyo bado utapoteza muda mwingi na Megan, basi kwa nini tu usi...)"
Maneno hayo ya Aysel yakakatishwa baada ya Draxton kupuuzia kilio chake cha kutaka mahaba zaidi na kuanza kutoka ndani ya chumba hicho cha chini. Alipoufikia mlango akamwambia Aysel aende sebuleni ili yeye amalizane na Megan, kisha akamwacha humo. Alienda kuangalia nje kupitia dirisha pale sebuleni, na eneo la hapo lilikuwa na hali ya utulivu kabisa bila mtu yeyote kuonekana kupita nje, naye akaelekea chumbani hatimaye.
Draxton alipoingia tu chumbani humo, akakuta Megan akiwa ameketi katikati ya kitanda, mwili wake ukiwa ndani ya hali iliyomwambia Draxton kwamba mwanamke huyo alikuwa katikati ya badiliko lake. Aliketi kwa kukunja miguu yake yote kati, akiwa amevua nguo zote, na mwili wake ukiwa wa blue-bahari. Mkia wake mrefu ulitikisika hewani kwenda huko na kule, naye alikaa kwa utulivu kama mtu anayetoa sala kwa kufumba macho pia.
Draxton akasogea usawa wa kitanda na kumwangalia vizuri. Kiukweli mengi ya mambo aliyokuwa amejionea huku bado yaliendelea kumshangaza kwa kadiri fulani, na kuona mtu mwenye ngozi yenye rangi kama hii ya Megan kulistaajabisha. Akaenda dirishani na kuchungulia nje tena, na ile hali ya utulivu bado ilikuwepo kwa eneo la nje, hivyo akalifunga dirisha vizuri na kumrudia Megan.
"Hey... you okay? (Ey.. uko sawa?)" Draxton akamuuliza.
Megan akafumbua macho yake na kumtazama, lakini hakutoa jibu.
"What are you doing? I thought you went to sleep (Unafanya nini? Nilidhani umelala)," Draxton akasema kwa upole.
"I slept a bit, but then had to prepare my body for you when you came. I'm trynna' put everything in me to relaxation so after you fill me with your energy, I can complete the process (Nililala kidogo, ila nikatakiwa kujiandaa kimwili kwa ajili ya wakati ambao ungekuja. Najaribu kutuliza kila kitu ndani yangu ili utakaponijaza nishati yako, nikamilishe ule utaratibu)," Megan akamwambia.
Draxton akamwangalia mwilini na kuona jinsi alivyokuwa ameanza kurejesha umbo zuri zaidi tofauti na walivyomkuta kule mgahawani kwake.
"I take it Aysel is claimed? (Nachukulia Aysel umeshammiliki?)" Megan akamuuliza.
Draxton akatikisa kichwa taratibu kukubali.
"You didn't use all your energy on her, did you? (Haujatumia nishati yako yoye kwake, au vipi?)"
"Don't worry. I saved up plenty for you (Usiwe na hofu. Nimeitunza nyingi kwa ajili yako)."
Megan akatabasamu kidogo na kusema, "Well come here (Basi njoo hapa)."
Kazi na shughuli nyingine kali kwa Draxton ikawa mbele yake. Wazo tu la kukipiga tena na mwanamke huyu likafanya asimame upesi, na kwa kuwa alitaka kuharakisha mambo ili muda mwingi usipotee, akaitoa boksa yake mwilini na kubaki mtupu kama Megan, kisha akapanda kitandani.
Mara mbili alikuwa ameshakula utamu wa kiumbe huyu, lakini hii ya tatu ilifunika zote za awali. Megan kama kawaida alionyesha papara ya kimahaba ya kutaka apewe penzi zito, na Draxton hakumnyima ujazo aliostahili. Alimsugua na kumkuna kwa muda mrefu, sauti za miguno ya kuunguruma zikimtoka Megan kadiri walivyoendelea, na Draxton alikuwa anatumia nguvu nyingi kwa mwanamke huyo kwa sababu kiwango chake cha kutosheka kilikuwa cha hali ya juu na kilihitaji kufikiwa kikamili.
Draxton akakomaa tu, akibadilisha mitindo, na akiwa katikati ya badiliko lake, na hatimaye Megan akafanikiwa kujazika nishati iliyomtosha kwa wakati huu. Yaani ilikuwa kama vile mwili wake ni betri na Draxton ndiye aliyekuwa chaja yake. Megan akajiachia kitandani huku akipumua kilegevu kuisikilizia raha ya nguvu aliyopewa, na Draxton alipoangalia mlangoni akamwona Aysel akiwa amesimama pembeni, kitu kilichoonyesha kwamba alikuwa anawatazama kwa muda fulani walipokuwa wanacheza mechi kitandani hapo. Macho yao yalipokutana kwa sekunde chache, Aysel akageuka na kuondoka, naye Draxton akashusha pumzi na kumwangalia Megan.
"How do you feel? (Unahisije?)" Draxton akamuuliza kwa sauti ya chini.
Megan akafumbua macho yake, naye akasema, "Strong (Imara)."
"Okay. That's good (Sawa. Hiyo ni nzuri)," Draxton akasema.
Megan akajinyanyua na kumwangalia mwanaume. Wote bado walikuwa upande wa kati wa unyama wao, na mwanamke huyo aliona kwamba Draxton alihisi uchovu. Akachukua chombo kile ambacho kilikuwa na ile dawa waliyotengeneza, naye akampatia Draxton ili anywe. Mwanaume akajitahidi kuinywa yote mpaka ikaisha, na kiukweli ilisisimua mwili wake wote kana kwamba alikunywa pombe kali, naye akainamisha uso tena huku akihisi ukakasi kwenye taya ndani ya mdomo.
"You feeling bad? (Unajihisi vibaya?)" Megan akauliza kwa kujali.
"The taste is awkward. But I feel... just a little tired. Your body intensely pulls something from me (Hiyo ladha haieleweki yaani. Ila najihisi... nimechoka kidogo tu. Mwili wako unavuta kwa uzito sana kitu fulani kutoka kwangu)," Draxton akasema hivyo huku akiangalia chini.
"It's the energy. Now I'll put it to good use. Let's find Darla (Ndiyo hiyo nishati. Sasa nitaitumia vizuri. Tumtafute Darla)," Megan akasema.
"How long is it gonna take? (Itachukua muda gani?)"
"It would be fast, but in this situation it will depend. Come on, I'm ready for you (Inatakiwa iwe kwa kasi, lakini chini ya hali hii itategemea. Haya njoo, niko tayari kwa ajili yako)," Megan akasema.
Alisema maneno hayo na kujisawazisha vizuri zaidi, kisha akakaa kama tu alivyokuwa amekaa mwanzoni na kuiegemeza mikono yake kwenye magoti, huku viganja vyake vikiwa wazi kumwelekea Draxton. Macho yake yakang'aa rangi ya kijani huku mkia wake ukisimama kuelekea juu na kutulia hivyo hivyo.
Draxton akihisi tambiko ndiyo linataka kuanza, akamuuliza, "What should I do? (Nifanye nini?)"
“Give me your hands (Nipe mikono yako),” Megan akasema kwa sauti makini.
Draxton akafanya hivyo. Viganja vya Megan vilikuwa vikitoa joto la kadiri, lakini baada ya sekunde chache likawa linaongezeka.
“What’s going to happen? (Nini kitatokea?)"
Swali hilo la Draxton halikujibiwa, kwa kuwa sasa Megan alikuwa amefumba macho yake akionekana kuelekeza umakini wote kwenye jambo hilo la kumuunganisha Draxton na mwenzi wake. Nywele za Megan zikaanza kutoa mwanga kana kwamba zilimulika kama tochi, naye Draxton akaendelea kumtazama kwa utulivu. Uchawi wa mwanamke huyo haukuhitaji matunguli, bali utulivu tu wa kiakili kutumia nguvu alizokuwa nazo baada ya kupatiwa utamu kutoka kwa Alpha wake.
Zikapita kama dakika mbili za ukimya, na kwa utulivu huo, Draxton aliweza kusikia sauti za vyombo kutokea kule sebuleni na kuelewa kwamba Aysel alikuwa akijitengenezea au kuwatengenezea wote chakula, na ndipo akaanza kuona mwanga wa kwenye nywele zake Megan ukipungua. Mikono ya Megan ikawa ya moto zaidi, naye Draxton akahisi mvuto fulani kichwani kwake uliomtia kizunguzungu na kusababisha afumbe macho kwa nguvu.
Kidogo tu akahisi viganja vya Megan vikimwachia, naye akafumbua macho na kukuta mwanamke huyo akiwa amerudia hali ya kawaida kimwili, na akipumua kiuchovu. Draxton hakuelewa ikiwa sakata hili lilifanikiwa au la, naye akataka kumshika begani ili amsemeshe lakini Megan akajirudisha nyuma upesi na kunyanyua kiganja chake kumzuia asimguse.
"Don't touch me... I'll siphon your energy forcefully (Usiniguse... nitaivuta nishati yako kwa kulazimisha)," Megan akasema kivivu.
"Are you okay? (Uko sawa?)" Draxton akamuuliza kwa kujali.
"I'll be fine. Focus on your mate (Nitakuwa sawa. Kaza fikira kwa mwenzi wako)," Megan akamwambia.
Kauli hiyo ikamfanya Draxton atambue kuwa zoezi hilo lilikuwa limefanikiwa, na sasa angetakiwa kuelekeza umakini wake kwa mwenzi wake. Lakini kichwa chake kikaingiwa na jambo fulani jipya kabla hajaanza kufanya hivyo. Ilikuwa kama anasikia mtu akisali, sala iliyotolewa kwa sauti tetemeshi ya chini, na hata ingawa Draxton alitarajia matokeo ya upesi katika jambo alilofanya na Megan, ilimchukua sekunde kadhaa kutambua kwamba sauti hiyo ilikuwa ya Darla.
'Darla?' Draxton akatumia akili kuita hivyo.
Sala ya Darla ikakatishwa, naye Draxton akasikia sauti ya mwenzi wake kichwani ikiita, 'Draxton?'
Mapigo ya moyo wake Draxton yakaanza kudunda kwa kasi zaidi baada ya kuwa amempata mwenzi wake hatimaye, akifarijika kujua kwamba mwanamke wake alikuwa hai, naye akafumba macho na kutabasamu kwa kuhisi faraja moyoni.
★★★★★★★★★★
ITAENDELEA
★★★★★★★★★★
WHATSAPP +255 678 017 280