madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
HeeeSi ndo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeeeSi ndo hapo
Umeniita kwenye mateso tu inawekwa fupi fupi kweliii
Jamaa kaanza leo kwa hiyo kajitahidi ngoja tumpe moyoUmeniita kwenye mateso tu inawekwa fupi fupi kweliii
Jamaa kaanza leo kwa hiyo kajitahidi ngoja tumpe moyo
Kikubwa asituamishie telegram. Ikisogea mbele nakuita. .Si angalau aandike ndefuuu kiasi fupi inakera banaaaa
Kule kwa steve pakiwa tayari niiteKikubwa asituamishie telegram. Ikisogea mbele nakuita. .
Hapo kwenye miaka 8 ya huyo mtoto siyo code kweli umetumia labda ungesema miaka 10 hiviHabari za asubuhi wakuu Nina story fupi ya mtoto wa miaka 8 alifanya nijute kukaa UGENINI lengo la story hii tujifunze na tukemee vitendo visivyofaa kwenye jamii ili kudhibiti matukio ya ubakaji na wazazi tujitahidi kwa malezi Bora. Asanteni
Mwaka 2018 wakati nipo chuo hapa jijini baada kumaliza semester ya Kwanza tulifunga chuo kwa ajili ya likizo baada ya kufikiria Sana sikutaka kurudi home nikapanga nikabadilishe mazingira niende kwa mama mkubwa ambaye anaishi hapahapa jijini maeneo ya kinyerezi ilibid nipige simu home kuwataarifu likizo hii sitarudi
naenda kuishi kwa mama mkubwa mama akanipa usia kidogo nikaishi vizuri ugenini na niache tabia yangu ya kuchagua chakula siunajua wa mama kiafrika maneno mengi
Baada kumaliza process zangu vizuri siku ya jumamosi nilimpigia simu mama mkubwa nakuja kumtembelea kwake alifurahi Sana alisema taarifa zangu za kuja kwake anazo mama alishampigia simu kumpa taarifa
Saa 10 jioni nilimpigia simu mama mkubwa kumpa taarifa nimefika mitaa anayoishi Mana nyumba aliokuwa anaishi nilikuwa sipajui sijawahi kufika kabla alitumwa kijana wa babaj aje kunichukua maeneo hayo
Dereva bajaji: Halo nimetumwa na mama M nije nikuchukue uko sehemu gani
Mimi: Niko hapa kwenye kwenye fremu hizi karibu na kijiwe Cha bodaboda nimevaa form six ya blue na jinsi jeusi
Dereva bajaji: nimeshakuona
Mimi: sawa
Baada ya bajaji kuja Safari ikaanza mwendo dakika 10 tukawa tumefika nje ya nyumba moja kubwa mpya haina fensi na ujenzi ulikuwa unaendelea nikapokelewa na mama mkubwa akiwa kwenye sura ya ucheshi na tabasamu nikasema kimoyoni kumbe mama mkubwa Yuko piece hivi nitaenjoy baada ya kunipokea begi langu nikapelekwadi sebuleni kwa maongezi zaidi.
Mimi: shikamoo mama mkubwa
M mkubwa: marahaba mwanangu za chuo uko
Mimi: Safi tu tunapambana
M mkubwa : mjitahidi kusoma simnaona wazazi wenu tunazeeka Sasa
Mimi: sawa mama ,
M mkubwa: kipindi kile nakuona ulikuwa kadogodogo saiz umekuwa mbaba mkubwa
Mimi: hahaha siku zinaenda mama tunakua na miaka hii inavyoenda haraka
M mkubwa: kweri baba ngoja nikuandalie chakula
Mimi: sawa mama
Baada maongezi marefu na chakula ukaja muda kuwajua niliowakuta pale.
Ngoja niwatambulishe kidogo familia na watu niliowakuta pale mama mkubwa ni mama wa watoto wa 3 wa Kwanza kiume ni mwanajeshi na wa pili kike anasoma chuo hapa jijini na 3 ni wa kiume Yuko nje ya nchi anasomea udaktari pale nyumbani anaisha na kijana mkubwa ni ndugu yetu binti wa kazi na shemeji mke wa Kaka mwanajeshi mke wa Kaka ni mtanga binti flani hivi wa miaka 28 au 30 ni mama watoto 3 wa kike mmoja na kiume wa 2 huyu wa kike ni mtoto nje sio wa kaka.
Baada kuijua familia kidogo ya bi mkubwa, tuendelee wakati tumekaa sebuleni tukiangalia tv yule mtoto kike wa shemeji alikuwa akiniangalia Sana nikapotezea siunajua ugeni nikaoneshwa chumba cha kulala nikaenda kujipumzisha.
Visanga na matukio ndo vinaanzia hapa mtoto wa Kaka wa nje wa miaka 8 ndo tatizo lenyewe
Itaendelea...
NB: Sijataja maeneo usika na nimebadirsha sehemu na kuficha baadhi ya vitu
Mlete aisha mlete aishaInaendelea sehemu ya 4
Ikabidi nimkubalie Aisha ili nimtoe chumbani kwangu nilifanikiwa Ila kila akinikuta chumbani npo peke angu lazima aje ata nishikashika Mara anilalie Mara anibusu ni kero tupu maisha ugenini yalikuwa ni magumu taabu tupu kweli leo mimi Mo mp5 mtoto wa miaka 8 ananifanyia hivi inabidi nifanye kitu nisije nikaleta misala ugenini
Nakumbuka siku moja wakati nipo sebuleni nyumba nzima tupo Mimi,Aisha na binti wa kazi wakati binti wa kazi yupo jikoni Mimi na aisha tupo sebuleni Mara anishike mwilini anibusu Mara aongee maneno ya ajabu Kuna muda akawa amenilalia kwa juu tupo kwenye sofa sebuleni kumbe binti wa kazi alikuwa anatuona kila nikijaribu kumtoa ataki nikimfokea macho yanabadirika rangi kiini cheusi Cha jicho Kama kinapotoea hivi sijui ndo mashetani yenyewe....
Nakumbuka Ile siku tulikutwa na binti wa kazi alituangalia tu akamuita Aisha na kutoka nae nje nikabaki najiuliza mtoto ataniletea Majanga kesho namuaga mama mkubwa niondoke nirudi kwetu likizo ilibaki Kama wiki moja na kidogo nikamalizie home
Alikuwa anafanya Aisha sikuwa napenda nikicheki ni mtoto mdogo sijui kavamiwa na pepo gani nilijua ni mtoto mdogo tu labda anadeka au tumezoeana Sana kumbe nilikuwa najidanganya
Maisha yaliendelea Kama kawaida na mpango wangu wa kuondoka nilighairisha ikabidi niendelee kukaa palepale kwa mama mkubwa kishingo upande
Itaendelea.............
Wewe nae kama fala kutukatisha katisha utamu boya wewe. Hebu fanya story iishe haraka tujadili hii mada.Inaendelea sehemu ya 4
Kikao kilianza na chairman wa kikao hiki ni mama mkubwa
Aya Mo mp5 hebu niambie Jana Aisha alikwambiaje ikabidi nianza mwanzo mpaka mwisho kusimulia watu wote kimya wananisikiliza baada ya kumaliza ikafika zamu ya mama Aisha kuelezea na yeye huku analia mpaka Mimi nilijisikia huruma sipendagi kumuona mwanamke akitoa machozi mbele yangu...kwa maelezo ya mama Aisha kuwa sio kweri alitaka kuniwekea sumu kwenye ni uongo awezi kufanya hivyo labda Aisha sababu ni muongeaji ameropoka......
Mama mkubwa alisema ya kwake Kama Kuna tatizo sisi wawili tumalize huku akimshutumu mama Aisha alitaka au ana mpango wa kuniua mimi aache Mara moja baada ya maelezo marefu kikao kiliisha na maisha mengine yakaendele mazoea na Aisha yalikuwa Kama zamani Japo sio Sana...
Siku moja wakati nimetoka kuoga naingia ndani nimevaa bukta tu Niko kifua wazi naingia chumbani namkuta Aisha yupo chumbani kwangu kajilaza kitandani nikashituka Kwanza uku nimeganda mlangani nikamuuliza umefuata Nini akanijibu nimekufuata wewe na ukinifukuza namuita Bibi na mama waone ulichotaka kunifanya hakuna siku niliokuwa mpole Kama siku hiyo kila nikimbembeleza Aisha aondoke chumbani amekaza nikimpa hela anakataa anasema ananitaka Mimi
Aisha ni mtoto wa miaka 8 Ila saiz amekuwa tofauti na kipindi kile 2018 mweupe afu ni kababy face lakini uwezi kuweka feeling zako sababu ni mtoto mdogo Sana vituko vyote alivyokuwa ananifanyia nilimchukulia Kama mtoto
Tuendelee siku hiyo ikabidi nibadirishe nguo na Aisha yupo humohumo chumbani ikabidi nimsikilize anahitaji Nini kwangu alichoniambia nilichoka Aisha alikuwa ananitaka Mimi niwe mpenzi wake nilishangaa nikafikiria Aisha au ni mtu mzima mwenyew umbo la mtoto kwanini anaongea Mambo ya kikubwa hivi hizi si kesi za miaka 30 jera sura yangu nitaiweka wapi Mimi...........?
Itaendelea..................
Nb: hii ni story ya kweri....Aisha wakati yupo tanga akulelewa kwenye malezi Bora kwa umri wake ashaona vingi na kingine Aisha alikuwa na mashetani ambaye yalikuwa yanampelekea kufanya haya yote