Write your reply...umenikumbusha asee hivivitoto vyaskuizi sjui nivakishetan..mm mpaka sahv kunavitoto viwili vyasista shemej yan kamoja kanamiaka 11 kengine miaka 8..vinasoma shule nzuri tu mamayao anamkwanja wakutosha.. tatzo nikwahvi vitoto ukifika kwao vinakurukia mapajani mara vitake kukukisi mdamwingine vinashika dudu inabidi ukunje nne ..ukivikatalia vinaanza visa vikurukie mgongoni vikuvute vute masikio ..ukivipa simu vicheze gem dakika mbili vinawasha data vinaangalia muvi zawatu wazima ...siku nikipata mda nta weka nyuzi kiukweli wazazi kuweni makini nawatoto wenu sanyingne tunaogopa kuwachapa ukaona tunawachukia labda