Simulizi fupi: Mtoto wa miaka 8 alifanya nikajuta kuishi ugenini

Simulizi fupi: Mtoto wa miaka 8 alifanya nikajuta kuishi ugenini

Mimi kishanikera sidhani kama nina mood ya kuendelea kusoma story yake. Nakerekwa sana na tabia ya kucheleweshewa kitu ninachotaka kwa wakati fulani huwa sikawii kususa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
nliishia palepale alipoishia mara ya kwanza,, sitaki ata kuendelea kusoma tena maanake najua kaandika uongo
 
Siku ambayo mmeumbuka wewe na Asha wako kwa kusema uongo ilibidi usepe. Unakaa ugenini muda wote huo unatafuta nini? Ilibidi yakukute makubwa zaidi ujifunze.
😁😁😁😁😁 Aisha kaniponza
 
alipoona tumemuwahi kwa mbele akaamua yasiwe makubwa. hajazungumzia tena suala la macho kiini kubadilika rangi. alitaka kuingizia uchawi na mazingaombwe akaona wadau tumekaa rada. kaamua kuichinjia baharini story
 
Sijaona tukio la ajabu zaidi naota tu utoto una wasumbu .afu kijana una onekana ni mbea sana wewe

alipoona tumemuwahi kwa mbele akaamua yasiwe makubwa. hajazungumzia tena suala la macho kiini kubadilika rangi. alitaka kuingizia uchawi na mazingaombwe akaona wadau tumekaa rada. kaamua kuichinjia baharini story
Tofautisha Kati ya mashetani na uchawi mkuu
 
Inaendelea sehemu ya 5

Maisha yaliendelea pale kwa mama mkubwa furaha na amani vilitawala muda mwingi nilikuwa na sister angu Mara twende town nimsindikize huku alikuwa ananikubari sababu Mimi ni mtu wa utani real comedian ukikaa na Mimi utacheka Sana.....
Ila shemeji mama yake na Aisha hatukuwa na mazoea kivile tokea yaliyotokea siku Ile kuhusu kutaka kuniwekea sumu,sikuwa na tatizo nae na nilijua Aisha ni muongo sijui alikuwa ana Nia gani na mama yake Yani mtoto wa miaka 8 anakuwa hivi au tunaishi na mkubwa mwezetu yupo nikawa nafikiria labda mama Aisha anamtumia Aisha kuja kuniharibia hapa kwa mama mkubwa Ila mbona ni mtu Safi tu mkarimu na muongeaji mzuri tu nikawa natafakari maisha ya ugenini ni magumu
Kuna siku moja nilikuwa nipo chumbani baada ya mishe nikajilaza nikapitiwa na usingizi nakuja kushtuka namuona Aisha kanilalia yupo juu yangu naye kusinzia nikamtoa taratibu...
Nikamlaza taratibu pembeni
Aisha alizidisha vituko Mara anifanyie hivi Kuna muda anaongea maneno ya kikubwa mpaka nikawa nashangaa huyu mtoto kajifunzia wapi au anamsikiliza Nani hili swala ikabidi nimwambie sister angu ili aweze kunisaidi lile Jambo likamfikia mama mkubwa ikabidi aishi achezee viboko ya kutosha kutoka kwa mama yake na Bibi yake mama mkubwa na aniombe samahani na arudishwe kwao tanga...mama mkubwa akawa ananisumulia hii tabia ya Aisha ni Mara ya pili inatokea ndo Mana ata walivyosikia malalamiko kutoka kwangu wakaamini Aisha amerudia tabia yake ambaye walijua ameshaacha na kingine Aisha alikuwa ana mashetani ambayo yalikuwa yanapelekea kufanya hivyo ikabidi nimuelezee yote yalitokea na nilivyojitahidi kujizuia na kumkemea pale nilipoona yanazidi
Aisha na mama yake ilibidi waende tanga kwa mapumziko kidogo
Maisha yaliendelea vizuri mpaka likizo ilipo malizika nikarudi chuo

.......,......... MWISHO..........

Nb : Imebidi Kuna vitu nivipunguze ili story isiwe ndefu Sana Ila mkasa ndo huo niliopata ugenini...Aisha nilimchukulia Kama mwanangu na nilikuwa namkemea kila akitaka kunishika sehemu nyeti..
Aisha saizi ni mkubwa ana miaka 12 na shuleni Yuko vizuri sanaa
Kwa hio Aisha km mtt wa kwenye movie ya the orphan!!!!!!! [emoji15]
 
Nilishakutana na mkasa kama huu lakini alikuwa ni mtoto wa kiume miaka kama 13. Nilipewa hifadhi kwao kipindi najitafuta, nikawa nalala nae room moja usiku akawa ananisogezea vimakalio vyake nilimtia bonge la ngumi hatokaa anisahau.

Yaani ningeuingia ule mtego sijui sasa hivi ningekuwa wapi.
 
Nilishakutana na mkasa kama huu lakini alikuwa ni mtoto wa kiume miaka kama 13. Nilipewa hifadhi kwao kipindi najitafuta, nikawa nalala nae room moja usiku akawa ananisogezea vimakalio vyake nilimtia bonge la ngumi hatokaa anisahau.

Yaani ningeuingia ule mtego sijui sasa hivi ningekuwa wapi.
Aisee
 
Back
Top Bottom