Simulizi fupi: Mtoto wa miaka 8 alifanya nikajuta kuishi ugenini

Inaendelea sehemu ya 3

Baada ya Aisha kunipa taarifa Ile moyo wangu ulijawa na uwoga na Hamu yote ya kuishi pale ikatoweka Nakumbuka Baada ya kurudi sikuongea na mtu nikapitiliza chumbani kwenda kupumzika kichwa kinaniuma nikawa nawaza nimemkosea Nini shemeji mpaka aniwekee sumu kwenye chakula mbona sijawahi kufanya kitu kibaya chochote kwake,nilipata mawazo yote sababu mke wa Kaka kwa pale home ndo alikuwa mpishi na chakula alikuwa ananitengea yeye
Baada ya kuwaza Sana nilipitiwa usingizi nakuja kushituka saa mbili usiku mama mkubwa ananiita muda wa chakula sikuwa na hamu na chakula Cha pale kabisa nilimdanganya bimkubwa sijisikii kula nimeshiba
Bimkubwa maswali mengi umekula wapi Hadi umeshiba au unaumwa nikamdanganya mpaka akanielewa sikukaa barazani wakati ilikuwa sio kawaida nikapitiliza chumbani kuoga kulala.....
Asubuhi na mapema nimeamka baada ya pilikapilika asubuhi kabla ya chai nikamuaga mama mkubwa naenda town Kuna kitu nakifuatili nilimdanganya ili nisinywe chai pale baada ya maongezi kidogo akanielewa nikaondoka zangu ili nipoteze mida nirudi jioni baada mizunguko yangu town mida ya saa kumi na moja jioni ilibid nirudi home Kama bahati nikakutana na sister mtoto wa pili wa mama mkubwa karudi kutoka chuo baada story nyingi utani na vicheko ikabidi nimsimulie mkasa nzima wa Aisha na mama ake sister alishtuka Kwanza
Wifi huyu mama Aisha anataka akuwekee sumu kwenye chakula ngoja nimwambie mama.
Baada ya kumpa mkasa huo nilienda zangu chumbani kumbe sister alishamuelekeza kila kitu mama mkubwa jioni naitwa kwenye kikao subuleni naikuta familia nzima ipo pale isipokuwa binti wa kazi tu

Itaendelea.........
 
Hapo kwenye miaka 8 ya huyo mtoto siyo code kweli umetumia labda ungesema miaka 10 hivi
 
Inaendelea sehemu ya 4

Kikao kilianza na chairman wa kikao hiki ni mama mkubwa
Aya Mo mp5 hebu niambie Jana Aisha alikwambiaje ikabidi nianza mwanzo mpaka mwisho kusimulia watu wote kimya wananisikiliza baada ya kumaliza ikafika zamu ya mama Aisha kuelezea na yeye huku analia mpaka Mimi nilijisikia huruma sipendagi kumuona mwanamke akitoa machozi mbele yangu...kwa maelezo ya mama Aisha kuwa sio kweri alitaka kuniwekea sumu kwenye ni uongo awezi kufanya hivyo labda Aisha sababu ni muongeaji ameropoka......
Mama mkubwa alisema ya kwake Kama Kuna tatizo sisi wawili tumalize huku akimshutumu mama Aisha alitaka au ana mpango wa kuniua mimi aache Mara moja baada ya maelezo marefu kikao kiliisha na maisha mengine yakaendele mazoea na Aisha yalikuwa Kama zamani Japo sio Sana...
Siku moja wakati nimetoka kuoga naingia ndani nimevaa bukta tu Niko kifua wazi naingia chumbani namkuta Aisha yupo chumbani kwangu kajilaza kitandani nikashituka Kwanza uku nimeganda mlangani nikamuuliza umefuata Nini akanijibu nimekufuata wewe na ukinifukuza namuita Bibi na mama waone ulichotaka kunifanya hakuna siku niliokuwa mpole Kama siku hiyo kila nikimbembeleza Aisha aondoke chumbani amekaza nikimpa hela anakataa anasema ananitaka Mimi

Aisha ni mtoto wa miaka 8 Ila saiz amekuwa tofauti na kipindi kile 2018 mweupe afu ni kababy face lakini uwezi kuweka feeling zako sababu ni mtoto mdogo Sana vituko vyote alivyokuwa ananifanyia nilimchukulia Kama mtoto
Tuendelee siku hiyo ikabidi nibadirishe nguo na Aisha yupo humohumo chumbani ikabidi nimsikilize anahitaji Nini kwangu alichoniambia nilichoka Aisha alikuwa ananitaka Mimi niwe mpenzi wake nilishangaa nikafikiria Aisha au ni mtu mzima mwenyew umbo la mtoto kwanini anaongea Mambo ya kikubwa hivi hizi si kesi za miaka 30 jera sura yangu nitaiweka wapi Mimi...........?

Itaendelea..................

Nb: hii ni story ya kweri....Aisha wakati yupo tanga akulelewa kwenye malezi Bora kwa umri wake ashaona vingi na kingine Aisha alikuwa na mashetani ambaye yalikuwa yanampelekea kufanya haya yote
 
Inaendelea sehemu ya 4

Ikabidi nimkubalie Aisha ili nimtoe chumbani kwangu nilifanikiwa Ila kila akinikuta chumbani npo peke angu lazima aje ata nishikashika Mara anilalie Mara anibusu ni kero tupu maisha ugenini yalikuwa ni magumu taabu tupu kweli leo mimi Mo mp5 mtoto wa miaka 8 ananifanyia hivi inabidi nifanye kitu nisije nikaleta misala ugenini
Nakumbuka siku moja wakati nipo sebuleni nyumba nzima tupo Mimi,Aisha na binti wa kazi wakati binti wa kazi yupo jikoni Mimi na aisha tupo sebuleni Mara anishike mwilini anibusu Mara aongee maneno ya ajabu Kuna muda akawa amenilalia kwa juu tupo kwenye sofa sebuleni kumbe binti wa kazi alikuwa anatuona kila nikijaribu kumtoa ataki nikimfokea macho yanabadirika rangi kiini cheusi Cha jicho Kama kinapotoea hivi sijui ndo mashetani yenyewe....
Nakumbuka Ile siku tulikutwa na binti wa kazi alituangalia tu akamuita Aisha na kutoka nae nje nikabaki najiuliza mtoto ataniletea Majanga kesho namuaga mama mkubwa niondoke nirudi kwetu likizo ilibaki Kama wiki moja na kidogo nikamalizie home
Alikuwa anafanya Aisha sikuwa napenda nikicheki ni mtoto mdogo sijui kavamiwa na pepo gani nilijua ni mtoto mdogo tu labda anadeka au tumezoeana Sana kumbe nilikuwa najidanganya
Maisha yaliendelea Kama kawaida na mpango wangu wa kuondoka nilighairisha ikabidi niendelee kukaa palepale kwa mama mkubwa kishingo upande


Itaendelea.............
 
Mlete aisha mlete aisha
 
Wewe nae kama fala kutukatisha katisha utamu boya wewe. Hebu fanya story iishe haraka tujadili hii mada.

Ila vitoto vya namna hiyo unakategea kamera kwa kificho halafu unakaongelesha kila kitu kawe kanaropoka upuuzi wake. Unaweka mtego hata mara tatu ili uweke ushahidi kabisa maana vinakuwaga vishenzi sana hivi vitoto kikikaa mbele za watu kinajifanya kitoto kisichoweza jielezea kumbe kanajitambua vizuri tu.

Hakuna cha mashetani wala nini hako kamepevuka mapema kabla ya umri wake.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…