Simulizi: Harakati za maisha

Simulizi: Harakati za maisha

SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA

Majibu mabovu ya mke wangu yalinitoa kwenye mudi sana yaani tayari alishanichefua,

Halafu huyu inawezekana huko kwenye biashara zake anakoshinda kunaanza kumpoteza, marafiki wasiokuwa kwenye ndoa wamembadilisha sana,siku hizi naye anajiamini tofauti na zamani , wanaitana malkia wa nguvu huko vijiweni kwao Sasa nitamkomesha nitahakikisha nafanya kitu hatonisahau, lakini piaaaaa nisiseme sana Mimi mwenyewe nimekuwa na mitihani isiyoisha nisije kufanya jambo Kisha nikaja kuharibu vitu vingi na kujutia.

Au nikajishushe nielewane naye tu maana hawa wanawake Kuna muda hupaswi kushindana nao utaumiza kichwa, lakini pia ndiye msaada mkubwa hapa mjini, licha ya kuwa nina ndugu kibao mjini , marafiki , mabinamu, watoto wa baba zangu wakubwa, lakini wote hao ukipata tatizo wanakutupa , sana sana wataishia kukupa pole tu licha ya kuwa wengi Wana maisha mazuri.

Lakini mke wangu nimetoka naye mbali mno, ndiye mtu ambaye Kuna muda huwa naona kama ananipenda kupitiliza, licha ya kuwa kwasasa anaanza kubadilika labda utu uzima hawezi kuwa vile milele. Ngoja nifike lazima nitumie uanaume wangu kuhakikisha ndoa yangu inakuwa imara. Nikaongeza spidi ya gari huku baadhi ya simu zilizokuwa zinaita nikizipuuza tu.

Niliingia mjini muda wa saa kumi huku siku nayo ikiwa inaisha, nilishuka ili ninunue maji kwenye grocery moja huku nikijizuia kunywa pombe kwani nilipanga kufanya mazungumzo na mke wangu hivyo nikaona lazima niwe timamu.

Lakini cha ajabu nyumbani kwangu sikumkuta mtu hata dada wa kazi hakuwepo nikaenda kwenye chumba cha dogo mmoja ambaye yeye hakupenda kukaa nyumba kubwa, akawa anakaa kwenye chumba fulani lilipo tank la maji lakini sikumuona yule dogo. Mara nyingi huwa anatoka hata wiki nzima anaweza asiwepo nyumbani huwa anakuwa kwao nje kidogo ya mji , nilimpendea kitu kimoja tu kujituma kwake pia adabu kwa mabinti zangu wa kazi.

Niliita mara kadhaa lakini sikusikia sauti ya mtu yeyote,
Hawa wapo wapi Sasa ngoja kwanza hata dada wa kazi naye hayupo na kwanini watoke waache nyumba ikiwa haina mtu na huwa nasema kama kuna yeyote anatoka wawe wanabadilishana .

Sasa leo Hawa watakuwa na kikao na Mimi ni lazima wajue kuwa wote wanalipwa na kama Kuna mtu anadai chochote wataeleza. wakati nikiwaza hayo simu yangu iliita mfululizo, nikaamua kuipokea huku nikiona ni kero kwani Mimi nawasaka ndugu zangu mtu mwingine anapiga na ingekuwa simu ya kazi ningejua kwani simu ya muhimu huwa haiiti Kila muda. Namba ya simu husika ilikuwa ni ngeni, nikaipokea.

Naongea na Daniel (akitaja full name)

Yeah ni Mimi , nani mwenzangu?
niliuliza.

Sawa, mimi naitwa Lydia nipo maeneo ya (akitaja jina).
Mimi ni dada wa Jastini, tupo wawili tu, na Mimi ndiye niliyemtoa kijijini kwetu miaka hiyo aje mjini kwaajili ya kunisaidia kusimamia ujenzi wa nyumba yangu hata baada ya kuwa nyumba iliisha tukawa wote tupo mjini na biashara zake.

Kwa ninavyomfahamu mdogo wangu hajawahi kuwa tapeli, utapeli kauanza si miaka mingi baada ya kujuana na wewe na mpaka Sasa yupo mahabusu mpaka muda huu akikabiliwa na mashtaka kuwa alimdhulumu Ruby askari mmoja huku deni lake likiwa kubwa na hatujua tunawezaje kulipa , familia yote hata tuungane vipi hatuwezi kulipa Hilo deni , pesa zaidi ya million hamsini tunapata wapi usawa huu. Mimi mwenyewe Sina kitu hata vijisenti vyangu vya kustaafu nilishavitawanya sina kitu.hivyo unatakiwa kuchanga hii hela ya watu ipatikane
aliongea Yule mama mwenye lafudhi fulani hivi hata sehemu ya kuweka L yeye anaweka R.

Sasa dada Mimi hata sikuelewi una maana gani kwahiyo huyo mtu kadhaminiwa?

Na kama katoka kawaambia na Mimi nahusika kwenye misala yake?
Niliuliza.

Weeee tena ukome na tumefanya upelelezi wewe ndiyo chanzo cha mwenzio kuingia kwenye matatizo,
Miaka mitatu nyuma kauza nyumba yake nzuri sana.
Haya Sasa hivi nyumba yake itauzwa wakati kumbe wewe ndiyo chanzo.

Na hapa nimeweka speaker kubwa watu na ndugu wote wanakusikia, kwanza Kuna kipindi wewe ulikuwa unaonekana nyumbani kwa mdogo wangu , ni zaidi ya siku mbili unamuulizia kumbe unamtuma huko halafu mambo yakigeuka msalaba anabeba peke yake. unabadilisha magari ya serikali tu . unavimba tu mjini kumbe unamtumia mdogo wangu kama chambo Sasa nikwambie tu ukweli mbinu zako zote zimejulikana.
aliongea kwa kufoka yule dada aliyejitambulisha kwa jina la Lydia.
Kisha akakata simu.

Ina maana Jastini kawaambia kuwa Mimi nipo pamoja naye mbona maelezo aliyotoa kituoni yanaonesha alieleza vizuri ndiyo maana Mimi nikaachiliwa. Niliwaza sana Kisha nikaipiga Tena ile namba akapokea.

Eeeh niambie unasemaje, halafu usiniwekee kibesi Mimi ni sawa na mama yako, aliongea kwa ukali.

Sasa dada, Mimi hata nashindwa kujua nahusikaje hapo, je kwani Jastini wamemwachia?
Niliuliza.

Acha ujinga , hivi habari zake zilivyokaa vibaya unadhani atatoka yule, Kuna mwanamke anaitwa Fatma, yeye tumekutana naye Leo kituoni anadai hataki kumpeleka mahakamani hadi pale atakapolipwa pesa zake na wewe umeshajulikana, hakuna siku mume wa Fatma ambaye ni askari polisi mlifanya biashara ya madini? Huku wewe Ukiwa ndiye mnunuzi?
Yaani unamtanguliza ndugu yangu awe chambo halafu wewe unadunda mtaani Sasa nakwambia hii kesi nanunua, Mimi nitasimama na wewe mahakamani wewe si unajifanya mjanja hunijui Mimi na nawapenda sana nyie mnaojifanya vidume .jambazi mkubwa wewe nitakuonesha.aliongea huku akizidi kuniongezea hofu.

Geti liligongwa huku mke wangu akiingia akiwa na dada wa kazi wakiwa kama wenye simanzi fulani wote.

Mume wangu tuachane na habari za asubuhi ulivyonipiga na kuniumiza , mwenyezi MUNGU atanilipia ila nakutaarifu kuwa maaskari wamekuja hapa zaidi ya mara mbili wanakutafuta na nasikia wameenda hata ofisini kwako. Huoni kama watakuharibia mume wangu, kwanini usijifiche. Kwanza ulikuwa wapi? aliuliza mke wangu.

Mimi nilienda huko pembeni ya mji mashambani ndani huko, na kwenye pickup Kuna vitu kibao mwambie huyo dada ashushe.niliongea huku nikitoa simu yangu nyingine nione kama imeita.lakini haikuwa hivyo.

Baba Jack, mume wangu, umeniumiza na kunionea hata muda ule mjumbe alisema ukirudi twende akatusikilize lakini siendi tena najiaibisha tu , bado Nina Imani na wewe kwani unatengeneza future ya watoto wangu. aliongea kwa hisia kali mke wangu.

Ila nilishavurugwa kusikia maaskari wananitafuta, na yake aliyoongea yule Lydia kwanini anishirikishe kwenye mambo yao, Sasa Mimi nalipaje pesa ambayo sijui alikulaje, hapa sikubali lazima twende mahakamani na hapa ndipo nilipouona umuhimu wa kuwa na mwanasheria.

Nilitafuta sehemu iliyotulia huku nikishukuru mke wangu kama ameahirisha mambo yake, nikatulia sehemu huku nikimpigia jamaa mmoja ambaye huwa anaiweza kazi ya uwakili na pia siyo mkubwa kivile hivyo ningemudu gharama maana Hawa wengine nisingewaweza.

Hello naitwa Daniel Nikitaja full name? Nafanya kazi katika taasisi ya...akanikatisha.

Daniel, Daniel yupi huyo, wewe ni yule uliyedhulumiwa mazao yako na dalali? aliuliza.

Siyo bwana, Mimi ni yule ambaye nilikuwa kwenye kampuni ya ujenzi wa barabara kwa mwarabu Kipindi
Kile (Nikitaja location kampuni ilipo)

Ahaaaa nimekupata kwanza hongera Kuna kipindi nikikuona kwenye gazeti fulani, kumbe ni wewe haya sema una shida gani maana niko bize kidogo, ongea haraka haraka.
aliongea akionesha yupo kwenye watu wengi.

Hili suala siyo la kuongea haraka kihivyo ni kwamba kama uko bize nikutafute hata kesho asubuhi na mapema nitakuja ofisini kwako.
nilimwambia.

Dah Niko na majukumu mengi lakini pia nitajitahidi kukusikiliza, halafu pia ofisi yangu haipo pale, kwasasa tupo wengi hivyo njoo maeneo fulani.

Nilimwelewa huku nikimtumia kiasi fulani ili aweke hata diesel kwenye gari kisha nikarudi ndani nikiwa mwenye mawazo.
Kweli madini ni kama majini kwanza hayapatikani kirahisi halafu yameniletea matatizo makubwa . Loh ngoja kwanza nimpigie mama yangu mzazi kule kijijini nitamwambia yote sitamficha.
Nilijikuta naropoka.

Itaendelea...............
 
nilifikiri pale kwa mganga ungewaachia pesa flani hivi au hujaamua tu kuweka hiko kipengele lakini uliwaachia?
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA

Majibu mabovu ya mke wangu yalinitoa kwenye mudi sana yaani tayari alishanichefua,

Halafu huyu inawezekana huko kwenye biashara zake anakoshinda kunaanza kumpoteza, marafiki wasiokuwa kwenye ndoa wamembadilisha sana,siku hizi naye anajiamini tofauti na zamani , wanaitana malkia wa nguvu huko vijiweni kwao Sasa nitamkomesha nitahakikisha nafanya kitu hatonisahau, lakini piaaaaa nisiseme sana Mimi mwenyewe nimekuwa na mitihani isiyoisha nisije kufanya jambo Kisha nikaja kuharibu vitu vingi na kujutia.

Au nikajishushe nielewane naye tu maana hawa wanawake Kuna muda hupaswi kushindana nao utaumiza kichwa, lakini pia ndiye msaada mkubwa hapa mjini, licha ya kuwa nina ndugu kibao mjini , marafiki , mabinamu, watoto wa baba zangu wakubwa, lakini wote hao ukipata tatizo wanakutupa , sana sana wataishia kukupa pole tu licha ya kuwa wengi Wana maisha mazuri.

Lakini mke wangu nimetoka naye mbali mno, ndiye mtu ambaye Kuna muda huwa naona kama ananipenda kupitiliza, licha ya kuwa kwasasa anaanza kubadilika labda utu uzima hawezi kuwa vile milele. Ngoja nifike lazima nitumie uanaume wangu kuhakikisha ndoa yangu inakuwa imara. Nikaongeza spidi ya gari huku baadhi ya simu zilizokuwa zinaita nikizipuuza tu.

Niliingia mjini muda wa saa kumi huku siku nayo ikiwa inaisha, nilishuka ili ninunue maji kwenye grocery moja huku nikijizuia kunywa pombe kwani nilipanga kufanya mazungumzo na mke wangu hivyo nikaona lazima niwe timamu.

Lakini cha ajabu nyumbani kwangu sikumkuta mtu hata dada wa kazi hakuwepo nikaenda kwenye chumba cha dogo mmoja ambaye yeye hakupenda kukaa nyumba kubwa, akawa anakaa kwenye chumba fulani lilipo tank la maji lakini sikumuona yule dogo. Mara nyingi huwa anatoka hata wiki nzima anaweza asiwepo nyumbani huwa anakuwa kwao nje kidogo ya mji , nilimpendea kitu kimoja tu kujituma kwake pia adabu kwa mabinti zangu wa kazi.

Niliita mara kadhaa lakini sikusikia sauti ya mtu yeyote,
Hawa wapo wapi Sasa ngoja kwanza hata dada wa kazi naye hayupo na kwanini watoke waache nyumba ikiwa haina mtu na huwa nasema kama kuna yeyote anatoka wawe wanabadilishana .

Sasa leo Hawa watakuwa na kikao na Mimi ni lazima wajue kuwa wote wanalipwa na kama Kuna mtu anadai chochote wataeleza. wakati nikiwaza hayo simu yangu iliita mfululizo, nikaamua kuipokea huku nikiona ni kero kwani Mimi nawasaka ndugu zangu mtu mwingine anapiga na ingekuwa simu ya kazi ningejua kwani simu ya muhimu huwa haiiti Kila muda. Namba ya simu husika ilikuwa ni ngeni, nikaipokea.

Naongea na Daniel (akitaja full name)

Yeah ni Mimi , nani mwenzangu?
niliuliza.

Sawa, mimi naitwa Lydia nipo maeneo ya (akitaja jina).
Mimi ni dada wa Jastini, tupo wawili tu, na Mimi ndiye niliyemtoa kijijini kwetu miaka hiyo aje mjini kwaajili ya kunisaidia kusimamia ujenzi wa nyumba yangu hata baada ya kuwa nyumba iliisha tukawa wote tupo mjini na biashara zake.

Kwa ninavyomfahamu mdogo wangu hajawahi kuwa tapeli, utapeli kauanza si miaka mingi baada ya kujuana na wewe na mpaka Sasa yupo mahabusu mpaka muda huu akikabiliwa na mashtaka kuwa alimdhulumu Ruby askari mmoja huku deni lake likiwa kubwa na hatujua tunawezaje kulipa , familia yote hata tuungane vipi hatuwezi kulipa Hilo deni , pesa zaidi ya million hamsini tunapata wapi usawa huu. Mimi mwenyewe Sina kitu hata vijisenti vyangu vya kustaafu nilishavitawanya sina kitu.hivyo unatakiwa kuchanga hii hela ya watu ipatikane
aliongea Yule mama mwenye lafudhi fulani hivi hata sehemu ya kuweka L yeye anaweka R.

Sasa dada Mimi hata sikuelewi una maana gani kwahiyo huyo mtu kadhaminiwa?

Na kama katoka kawaambia na Mimi nahusika kwenye misala yake?
Niliuliza.

Weeee tena ukome na tumefanya upelelezi wewe ndiyo chanzo cha mwenzio kuingia kwenye matatizo,
Miaka mitatu nyuma kauza nyumba yake nzuri sana.
Haya Sasa hivi nyumba yake itauzwa wakati kumbe wewe ndiyo chanzo.

Na hapa nimeweka speaker kubwa watu na ndugu wote wanakusikia, kwanza Kuna kipindi wewe ulikuwa unaonekana nyumbani kwa mdogo wangu , ni zaidi ya siku mbili unamuulizia kumbe unamtuma huko halafu mambo yakigeuka msalaba anabeba peke yake. unabadilisha magari ya serikali tu . unavimba tu mjini kumbe unamtumia mdogo wangu kama chambo Sasa nikwambie tu ukweli mbinu zako zote zimejulikana.
aliongea kwa kufoka yule dada aliyejitambulisha kwa jina la Lydia.
Kisha akakata simu.

Ina maana Jastini kawaambia kuwa Mimi nipo pamoja naye mbona maelezo aliyotoa kituoni yanaonesha alieleza vizuri ndiyo maana Mimi nikaachiliwa. Niliwaza sana Kisha nikaipiga Tena ile namba akapokea.

Eeeh niambie unasemaje, halafu usiniwekee kibesi Mimi ni sawa na mama yako, aliongea kwa ukali.

Sasa dada, Mimi hata nashindwa kujua nahusikaje hapo, je kwani Jastini wamemwachia?
Niliuliza.

Acha ujinga , hivi habari zake zilivyokaa vibaya unadhani atatoka yule, Kuna mwanamke anaitwa Fatma, yeye tumekutana naye Leo kituoni anadai hataki kumpeleka mahakamani hadi pale atakapolipwa pesa zake na wewe umeshajulikana, hakuna siku mume wa Fatma ambaye ni askari polisi mlifanya biashara ya madini? Huku wewe Ukiwa ndiye mnunuzi?
Yaani unamtanguliza ndugu yangu awe chambo halafu wewe unadunda mtaani Sasa nakwambia hii kesi nanunua, Mimi nitasimama na wewe mahakamani wewe si unajifanya mjanja hunijui Mimi na nawapenda sana nyie mnaojifanya vidume .jambazi mkubwa wewe nitakuonesha.aliongea huku akizidi kuniongezea hofu.

Geti liligongwa huku mke wangu akiingia akiwa na dada wa kazi wakiwa kama wenye simanzi fulani wote.

Mume wangu tuachane na habari za asubuhi ulivyonipiga na kuniumiza , mwenyezi MUNGU atanilipia ila nakutaarifu kuwa maaskari wamekuja hapa zaidi ya mara mbili wanakutafuta na nasikia wameenda hata ofisini kwako. Huoni kama watakuharibia mume wangu, kwanini usijifiche. Kwanza ulikuwa wapi? aliuliza mke wangu.

Mimi nilienda huko pembeni ya mji mashambani ndani huko, na kwenye pickup Kuna vitu kibao mwambie huyo dada ashushe.niliongea huku nikitoa simu yangu nyingine nione kama imeita.lakini haikuwa hivyo.

Baba Jack, mume wangu, umeniumiza na kunionea hata muda ule mjumbe alisema ukirudi twende akatusikilize lakini siendi tena najiaibisha tu , bado Nina Imani na wewe kwani unatengeneza future ya watoto wangu. aliongea kwa hisia kali mke wangu.

Ila nilishavurugwa kusikia maaskari wananitafuta, na yake aliyoongea yule Lydia kwanini anishirikishe kwenye mambo yao, Sasa Mimi nalipaje pesa ambayo sijui alikulaje, hapa sikubali lazima twende mahakamani na hapa ndipo nilipouona umuhimu wa kuwa na mwanasheria.

Nilitafuta sehemu iliyotulia huku nikishukuru mke wangu kama ameahirisha mambo yake, nikatulia sehemu huku nikimpigia jamaa mmoja ambaye huwa anaiweza kazi ya uwakili na pia siyo mkubwa kivile hivyo ningemudu gharama maana Hawa wengine nisingewaweza.

Hello naitwa Daniel Nikitaja full name? Nafanya kazi katika taasisi ya...akanikatisha.

Daniel, Daniel yupi huyo, wewe ni yule uliyedhulumiwa mazao yako na dalali? aliuliza.

Siyo bwana, Mimi ni yule ambaye nilikuwa kwenye kampuni ya ujenzi wa barabara kwa mwarabu Kipindi
Kile (Nikitaja location kampuni ilipo)

Ahaaaa nimekupata kwanza hongera Kuna kipindi nikikuona kwenye gazeti fulani, kumbe ni wewe haya sema una shida gani maana niko bize kidogo, ongea haraka haraka.
aliongea akionesha yupo kwenye watu wengi.

Hili suala siyo la kuongea haraka kihivyo ni kwamba kama uko bize nikutafute hata kesho asubuhi na mapema nitakuja ofisini kwako.
nilimwambia.

Dah Niko na majukumu mengi lakini pia nitajitahidi kukusikiliza, halafu pia ofisi yangu haipo pale, kwasasa tupo wengi hivyo njoo maeneo fulani.

Nilimwelewa huku nikimtumia kiasi fulani ili aweke hata diesel kwenye gari kisha nikarudi ndani nikiwa mwenye mawazo.
Kweli madini ni kama majini kwanza hayapatikani kirahisi halafu yameniletea matatizo makubwa . Loh ngoja kwanza nimpigie mama yangu mzazi kule kijijini nitamwambia yote sitamficha.
Nilijikuta naropoka.

Itaendelea...............
pale kwa mganga hukuwaachia hata ela kidogo?
 
nilifikiri pale kwa mganga ungewaachia pesa flani hivi au hujaamua tu kuweka hiko kipengele lakini uliwaachia?

pale kwa mganga hukuwaachia hata ela kidogo?
Huwezi kuandika Kila kitu, kwa mfano tulibadilishana hata namba za simu, lakini sijaandika kwenye hiyo sehemu . Pia story inaendelea utajua umuhimu wa watu wale kwangu. endelea kufuatilia.
 
SEHEMU YA THELATHINI NA MBILI

Mida ya saa nne asubuhi nilikuwa katikati ya jiji kwenye ofisi ambayo tuliahidiana kukutana na mwanasheria niliyekuwa nimeongea naye jana yake, ilikuwa ni sehemu nzuri kubwa na yenye nafasi tofauti na kule kwa mwanzo ninakokufahamu huku kukiwa na watu wengine wawili mwanamke mmoja na mwanaume ambao ndiyo ilikuwa timu yake.

Nilisubiri sana kumbuka tangu saa mbili asubuhi niko pale kwani ndivyo tulivyokubaliana,lakini bado hakutokea.

Samahani kaka kwani ulimpigia simu kama unakuja isije kuwa amekusahau,aliongea dada fulani ambaye alikuwa anacheza na Tarakilishi muda wote.

Jana niliongea naye,pia hata leo wakati natoka nyumbani nilizungumza naye.lakini chaajabu saizi simu zake hazipokelewi.nilimjibu yule dada.

Ok ,sawa nadhani endelea kumsubiri.
alijibu yule dada huku akitoa tabasamu nahisi kuna kitu alijua ila hakuniweka wazi.

Simu kutoka kwenye familia ya Jastini iliingia,huku moyo ulilipuka ,nikijua tayari kumekucha, nikapokea huku nikitoka nje ya ofisi ya mawakili ili niwe huru,

Tunaomba tuonane ili tujue tunafanya nini kuhusu mwenzetu ambaye yupo mahabusu muda huu , ni dhahiri kabisa wewe na Jastini wote mlishirikiana katika kufanya biashara haramu. Ndugu tupo tayari kuchanga pesa hata nusu yake tumlipe yule muhusika, na wewe unatakiwa kulipa hela nusu ili tuimalize hii kadhia. aliongea Lydia au dada yake Jastini huku akiwa mpole siku hiyo.

Kwani wewe dada umeshakutana na Jastini mkaongea? Niliuliza.

Hapana licha ya kuwaomba maaskari mara kadhaa lakini wanagoma,alinijibu Kwa upole huku nikitambua Leo amekuwa mpole tofauti na jana.

Basi fanyeni Kila njia mkutane naye , Jastini anaujua ukweli wote, kwakuwa wote tulikamatwa na polisi maeneo ya nyumbani, ni dhahiri hata Mimi ningekuwa mahabusu mpaka muda huu lakini Mimi sihusiki , Jastini anajua ukweli wote nikakata simu.

Niliingalia simu yangu huku ikiwa ni saa sita, mmmmh huyu mwanasheriaaaa inakuwaje tena au ana dharula si angesema tu , kuliko kuniweka hapa anapata faida gani. nilianza kuiona ile kero.

Lakini ghafla nililiona gari fulani dogo likipark karibu yangu na yeye akishuka akiwa na watu wawili.

Dah Daniiiih, siku nyingi sana sijakuona na niwe mkweli licha ya wewe kunikumbusha lakini bado sikukutambua aisee, pole kwa kusubiri na laiti ningejua kuwa ni wewe ningekwambia ukweli, hapa natoka mahakamani, na Hawa uliowaona ni wateja wangu. Sasa nadhani wewe Kaa tu katika hilo benchi ngoja nimalizane nao kisha nakurudia. aliongea huku akiingia ndani.

Baada ya dakika chache wale watu walitoka kisha nikaingia, huku akinikaribisha vizuri.

Enhee Daniel kitambo sana ujue, naona Mzee umenawiri vipi umepata shavu gani mwenzetu ,najua siku hizi mnapeana wenyewe kwa wenyewe.aliongea huku akicheka.

Baba we acha tu ungejua vyuma vimekaza kila pembe,kuna watu wameahirisha mambo mengi kisa vyuma kukaza.nilimjibu.

Enheee niambie nakusiliza.maana hadi wewe ukanitafuta ni dhahiri kuna jambo kubwa .aliongea huku akinitazama usoni kwa makini pasi na kupepesa macho.

Nilianza kumsimulia kila kitu tangu tulipokutana na Jastini akiwa na afande Hussein tukauziana madini ambayo kiukweli hakukuwa na pesa yeyote zaidi ya pesa ya kula tu , lakini kumbe Jastini amekuwa akidhulumu kipindi kirefu sana,
Sasa yule jamaa yuko ndani mahabusu nadhani hata mahakamani hajapelekwa kwani ni juzi tu tulikamatwa wote pale home Kisha Mimi nikaachiwa baada ya kuhojiwa muda mrefu nadhani maafande wa pale Central waliona sina hatia. nilifafanua.

Yule mwanasheria alikuwa ananiangalia sana huku akiwaangalia jamaa zake walio kwenye ile ofisi bila kuongea chochote.
Baadaye akavunja ukimya.

Unasema ulishirikishwa mara Moja tu kwenye hii biashara ya ruby halafu huko kwingine wewe hujui si ndiyo?
aliuliza

Nikamjibu ni mara Moja tu, wakati huu yule mwanamke aliyekuwa pembeni akiandika Kila nachoongea huku wakinitazama .

Ok sawa, una vibali halali vya kununua hayo madini kutoka mamlaka husika? aliuliza.

Hapana, ni dili tu lilifanyika ili tupate hela ya kula ila sina documents zozote. Nilijibu.

Umeeleza vizuri sana, tangu mwanzo , je wakati mnakamatwa na polisi nyumbani kwako na yule rafiki yako unayemsema, mlikuwa mnajadili Nini au ndiyo marafiki huwa mnatembeleana mara kwa mara .
aliuliza huku akitoa tabasamu.

Kuna mambo tulikuwa tunayaweka sawa , ndipo tukipokamatwa na Mimi nikaachiwa mida ya saa mbili usiku.
Nilijibu

Wewe kwasasa unafanya kazi gani tofauti na hiyo biashara yako.
aliuliza.

Nipo kwenye kazi yangu na hapa nina ruhusa ya siku tatu ambapo mwisho leo natakiwa kesho niwe kwenye majukumu ya ujenzi wa taifa.
Nilijibu.

Hiyo ruhusa uliiomba ya nini au kulikuwa na shida gani kupelekea ukaomba ruhusa, ulikuwa unaumwa,au msiba, au nini?
aliuliza

Nilikuwa nina mambo fulani ambayo nilitaka niyaweke sawa pale nyumbani . nilijibu huku maswali yake yakianza kunichosha.

Usiseme mambo fulani, yaani ni vyema uweke wazi kile kilichofanya uombe ruksa ya siku tatu, ili tujue tunaanzia wapi . alionesha hajapenda majibu yangu shortcut.

Huyo jamaa yangu ambaye yuko mahabusu Kuna vitisho alikuwa anatoa pale nyumbani , akinituhumu Mimi kumtorosha mke wake jambo ambalo si kweli Sasa kwakuwa nikiwa kazini nisingepata muda, nikaona ni vyema hizi siku tatu nisolve mambo yangu. Nilimjibu

Ahaaaa na ndipo mlipokamatwa na askari si ndiyo? aliuliza.

Ndiyo.nilimjibu huku akiniambia nitoke nje ili ajadiliane na wenzake nikafanya hivyo huku akiniudhi kwa maswali yake uchwara . Baada ya dakika kama kumi niliitwa tena na yule mwanasheria.

Daniel, mpaka Sasa wewe unataka mimi nikusimamie kwenye eneo gani, maana haupo mahabusu si walikuacha wewe Kisha selo akaingia mwenzako, kifupi upo huru Sasa wewe unataka mimi nikusaidie kwenye angle ipi.aliuza.

Tangu jana napokea vitisho toka kwa ndugu zake na huyu jamaa aliyeko mahabusu (Jastini)
Wakinitaka eti nishirikiane naye kulipa pesa ambayo anadaiwa wakati Mimi sijui na sihusiki na dhulma zake.
Hiki ndicho kilichofanya nikutafute unisaidie tujue suala linakaaje . milimweleza .

Maelezo yako mengi yana walakini, inaonesha wazi wewe umemzidi akili mwenzio au mmeamua kulindana, yaani Kuna uwezekano jamaa hawezi kukutaja tu huko polisi kaamua kubeba msalaba peke yake, watu wa aina yenu wapo, niwe mkweli na muwazi kwa mujibu wa taaluma yangu sipo tayari kukusaidia kwa sababu kuu mbili.

Kwanza biashara mliokuwa mkifanya hamna vibali nayo, hili ni kosa lingine acha Hilo la kumdhulumu mtu mwingine.

Pili Kuna kitu unaficha hapa nyumbani kwako hapa, nadhani una bahati kubwa hata kuwepo uraiani, ni polisi walishindwa kutambua kitu, na wakigundua utakamatwa tu ni lazima na upekuzi utafanyika, hai ndugu wa mwenzio tu wameshajua kuwa wewe ni mmoja wapo, iweje polisi liwashinde hili?
Kwa kumalizia tu ni kwamba sipo tayari kwa hili kwanza haupo polisi, haupo mahakamani, wewe una wasiwasi gani? Hebu wajaribu wanasheria wengine Mimi sipo tayari
aliongea huku wenzake wakitikisa vichwa vyao kukubaliana naye.

Sipo tayari ndugu jambo lako limekaa vibaya sana nisamehe Daniel.
aliongea huku akinipa mkono tukiagana akinitaka niwe makini na utafutaji kwenye maisha haya.

Nilitoka nje huku nikiwasha gari yangu na kuingia barabara kuu huku nikiwa spidi kubwa sana . Mkosi gani huu kwanini siaminiki , mbona Mimi si mwizi, ngoja kwanza nikaongee na mke wangu.

Nilifika nyumbani huku wife akiwa na wageni fulani wanawake nilikuwa na hasira sana muda huo kiasi cha kuwapita wake wanawake bila kuwasalimia. Niliona kama maaskari wananitafuta Yale maneno ya mwanasheria kama angeongea mbele ya familia ya Jastini au maaskari ningekuwa nishakula pingu.

Mume wangu kwanini unakuwa hivyo, heshima yako uliyojijengea miaka mingi unaivunja mwenyewe unajua, iweje uwapite watu bila kuwasalimia, halafu upo kama muigizaji yaani upo rough hivi hujioni? Unaniaibisha bwana. alilalamika mke wangu.

Ah achana nao, halafu huyo bonge anafuata nini , kwani hii ni taasisi ya serikali, hapa siyo benki, Wala hospital, siyo sehemu ya umma hii,mambo yenu muwe mnafanyia huko, siyo hapa. niliongea kwa jazba.

Huwa unamuonea sana bonge, ni mtu ambaye anakuheshimu, anakujali sana wewe , na pia ni mshauri mzuri mno kwenye mambo mengi lakini huwa unamchukia kiasi Cha kunitia wasiwasi. au uliwahi kumtaka? alihoji mke wangu.

Achana na hao wadangaji, mtu Hana mume tangu nimfahamu, haiwezekani awe rafiki yako, Hawa masingle maza wanapotosha sana wake za watu. Sitaki tu mazoea naye . niliongea kwa ukali

Kwani wewe umepatwa na Nini ulikotoka, hueleweki mume wangu,
Umri huu Mimi nidanganywe na nani, sema nini tabia zako zitafanya tuachane, Tena huyo bonge mara nyingi ndiye mwenye kutuhisi tulinde na kuheshimu ndoa zetu ni mshauri mzuri mno.aliongea mke wangu.

Huku nikitoka nje na kugundua wale watu wameshatoka,
Mke wangu mambo yangu ni magumu na nikifanya masikhara naangukia pabaya ,Sasa safari hii naelekea mkoani Morogoro lazima nijizatiti Kuna jambo linakuja mbele yangu siyo zuri , naenda kwa mganga. nilimwambia mke wangu.

MUNGU ni Kila kitu mbona unakuwa na Imani haba kiasi hicho utatapeliwa na kujikuta umepoteza muda wako na pesa yako bure. alishauri mke wangu ambaye huwa hapendi sana ushirikina,lakini nilichukua begi langu dogo, huyooo, saa kumi na moja jioni nilikuwa naliacha jiji nikielekea Morogoro ambako nasikia Kuna mtaalamu huyo akikutengeneza unaweza kumtukana boss wako ukatembea hata na mkewe na asikufukuze kazi.

Nilikusudia kuwapumbaza familia ya Jastini ikiwezekana waniogope kama Kobra nyoka hatari mwituni.

Itaendelea...........................
 
SEHEMU YA THELATHINI NA TATU

Nikiwa nawaza na kuwazua huku nikishangaa ni nuksi gani hii ni wazi kila nitakayemuelezea jambo langu atajua Mimi ni jambazi tu kama ilivyo kwa Jastini.
Sasa ni lazima nifanye kitu nadhani naweza kupoteza Kila kitu kwanza Kuna namna fulani mke wangu anapoteza Imani na mimi, hata baadhi ya majirani wanajua Mimi ni jambazi jambo ambalo ni hatari kwangu .

Jamii inapokuwa na mashaka na wewe ni dhahiri unaweza kuja kuhisiwa hata jambo ambalo hujawahi lifanya.

Lakini pia hata kazini naanza kuona namna watu wanavyonichukulia hata Veronica mtu ninayemkubali , mshauri wangu wa mambo mengi ni kama amekata tamaa hivi Tena siku Hadi siku namuona akipunguza mazoea na Mimi nadhani ni muda wa kupambana, Mimi ni mwanaume lazima nipambane kurudisha heshima yangu na Imani kwenye jamii. Kuhusu wife huyo Hana shida ni mke wangu ipo siku nitamuweka chini nitamuelekeza Kila kitu. naamini atanielewa.

Simu iliita huku nikipunguza speed ili nipate kuisikiliza si mwingine alikuwa ni boss mdogo , kwa tahadhari na uoga nikaipokea huku nikipaki gari pembeni.

Uko wapi Daniel,
aliuliza mara tu baada ya kusalimiana.
Nilibabaika kidogo maana sikujiandaa na swali lile.

Nipo nje kidogo ya mji kuna mahali naelekea mkuu, nilimjibu huku mapigo ya moyo yakinidundadunda.

Boss anasafiri kesho nadhani muda wa mwezi mzima atakuwa nje ya nchi ,hivyo Kuna maagizo nimeachiwa utayakuta hata hivyo nilisahau kukutaarifu tangu mchana kuwa hata mwenzako aliyekuwa Mwanza amerudi jana mtaungana naye kwaajili ya kuelekea mkoa XX.
aliongea huku akiweka kituo.

Sawa ila hujasema ni lini tunatakiwa tuwepo?niliuliza

Kwani wewe si ulipewa ruhusa ya siku tatu na leo si umemaliza?kesho nitawaeleza kila kitu ukija.alijibu.

Sawa ,ila samahani sana kesho sitafika kwakuwa matatizo yangu hayajaisha mkuu ,nakuomba niongezee hata siku moja tu.nilijitetea.

Cha ajabu alikata simu,kisha baada ya muda akapiga tena,

Daniel acha ujinga ina maana kwa mfano nisingekupigia simu , taarifa yako ungempa nani,nyie ndio huwa mnakuja kulaumu watu baadaye kisa ujinga wenu.mimi sina jibu la kukupa uonavyo wewe fanya.
aliongea kisha akakata simu.

Tumbo lilinivuruga huku hofu ikiingia,
Mmmh lazima nifike kwa mganga hakuna namna tena,nilikoleza chombo huku siku nayo ikiisha.
Niliipita Morogoro mjini nikaendelea kisha nikaikamata barabara ya vumbi kuelekea nilipokusudia kwani nilikuwa napafahamu siku nyingi.

Niliendesha gari kwa fujo na kwa spidi huku gari ikiwa na spot light upande mmoja tu ,lakini nilienda speed hivyo hivyo,nikiwa katikati ya pori sikutani na mtu zaidi ya wanyama wadogo wadogo waliokuwa wakikatiza kwenye barabara Almanusra niwagonge ,mlio wa Pickup tu ndio niliousikia huku hata mtandao wa simu nikiuacha kwani simu yangu ilionesha ,nikaweka simu kwa dashboard huku nikiongeza mwendo zaidi .

Baada ya muda niligundua uwepo wa mwanga nyuma,nikapunguza mwendo huku mwanga ukiongezeka,naam ilikuwa ni gari linakuja spidi huku kawasha hazard,mara awashe taa full na kuzima mara akinitaka nisimame. Nikabana pembeni na kushuka.

Nyoosha mikono juu , usifanye chochote ,piga magoti.
Sauti ya kiume huku nikimulikwa tochi ya mkono usoni huku watu watatu wakiruka na kuja kwangu ,mwanga wa tochi ulinisumbua lakini sikuwa na namna nilijua labda ni majambazi ,nikapanga kuwaambia pesa zilipo ili waniachie roho yangu hata kama ni gari wangechukua nilikuwa radhi,mtu mmoja mwenye bunduki SMG alikuwa pembeni akiwa kavaa shuka la kimasai huku akiwa na ile tochi ya kuvaa usoni aliniuliza.

Wewe ni nani?

Naitwa Daniel (nikitaja full name)

Unaenda wapi saizi halafu kwanini unakimbia hivyo na gari,umetushtua sana,na tuna taarifa za uwepo wa majangili ambao wametimuliwa na wenzetu huko mikumi mbugani ambao wanatafutwa ,afande hebu msachi kisha sachi na gari ,be careful pot wanakuwaga na vilipuzi hawa.
waliambizana wao kwa wao.

Walikagua siti zote,huku wakichanguachangua vitu lakini sikuwa na namna wakachukua simu wakaangalia mara ya mwisho niliongea na nani huku kila naloulizwa nilijibu vyema.

Wakaniambia niinuke huku wakipoa kidogo,halafu afande ana kisu kiunoni,.na pesa nyingi sana huyu ni wale wale mkuu,
Aliongea yule afande huku wakiangalia na kuniuliza ni cha nini nikawaambia mimi kama mwanaume ni lazima kuwa nacho.na mimi naenda kijiji cha (nikitaja jina) hivyo nawahi tu wala sina shida.

Waliangaliana huku wakinitaka niinuke,huku wakiwasha sigara zao na kuendelea kuvuta.

Sema jamaa unaendesha gari loh,yaani nusura nikate tamaa maana kila nikifukuza sikuoni na kona zilivyo nyingi loh. Ila pole sana,tulikuwa sehemu fulani kwenye gari tunashangaa huyu ni nani usiku huu anaendesha gari kwa speed licha ya barabara kuwa mbovu tukajua ni lazima kuna kitu anakimbia ila kwa maelezo yako tumeridhika.sema nini tuna njaa sana hapa vipi unatuachaje?

Waliongea huku wakinirudishia pesa zangu, sikuwa na namna niliwapa chochote kitu huku siamini kama nimepona maana Dah haikuwa poa ,tukachana huku wakiwa wapo pale pale wale maaskari wenye sare za Tanapa.

Nilitembea mwendo wa kawaida sana,saa saba usiku nikafika kwenye kile kijiji kidogo ,huku nikienda hadi kwa mganga husika,huku nikishangaa kukuta watu wengi huku wengine wakiwa hawajalala,nikaambiwa mganga yupo ila kuna watu kaondoka nao tangu saa mbili za usiku kaenda maporini na wateja wake kadhaa.

Nikiwa na kausingizi fulani nilimngoja huku nikishangaa magari kadhaa ya kifahari kuwepo pale,hii ikaniongezea imani kuwa huenda jamaa ni fundi siyo kwa wateja wale.

Asubuhi na mapema nilifuatwa na baadhi ya wanaoonekana wenye good life tukawa tunapiga stori huku nikiwa sijajua mganga alirudi au la

Eee bwana vipi tumeshangaa uwepo wa gari lingine ,hapa maana wenyewe tunatambuana tukasema huyu ni nani ndipo tulipoambiwa ni wewe.waliongea jamaa wawili ambao ndiyo wamiliki wa zile ndinga huku wivu ukiniingia,mimi kile Kigari kuwa dini nacho porini nikidai ni ya ofisini lakini wajuba wanakuja nazo hizi gari huku.loh ama kweli .

Oyaa una shida gani mzee, niliuliza nikijichangamsha.

Ah ni mambo ya biashara tu haziendi nikaona ngoja nije nimefika jana mchana na nishapewa dawa zangu sema niliambiwa ningoje kuna dawa ya mwisho ipo mbali,si unajua tena .aliongea kwa kujichekesha.

Na wewe bro vipi ,nilimuuliza yule anayeonekana kiumri katuacha parefu.

Dah kaka acha tu mimi nipo hapa mwezi wa pili sasa nina kijana wangu yupo huko ndani kaugua ukichaa, ndiyo tupo tunahangaika .alinijibu.

Vipi lakini maendeleo yake, niliuliza.

Mungu ni mwema,aliletwa hapa akiwa mwendawazimu kabisaa lakini kwa sasa naona kuna mabadiliko, kidogo,ananikumbuka mimi,anamkumbuka mama yake ,kiasi fulani analeta matumaini japo kuna siku anaweza kubadilika kiasi cha kukatisha tamaa.alijibu huku nikimpa pole na kumfariji.

Ila yule mganga mzee alishapungua nguvu aliyepo hapa ni mwanaye huyu ana uwezo mkubwa kuliko baba yake na ndiyo maana hao woooote wapo kwaajili ya kupata huduma.aliniambia yule jamaa.

Halafu vipi mwenzetu una shida gani? Aliuliza jamaa aliyedai yeye anasubiri tu dawa then aondoke.

Ni harakati za maisha tu,kuna msala nahitaji kuuzima.maana nikiyumba tu naweza poteza kila kitu.niliongea ukweli.

Dah pole mkuu tunaomba Mungu kila aliyekuwa hapa mambo yake yaende kama ilivyokuwa.alijibu yule jamaa.

Kuna watu hapa wamekuja kuroga ili kutesa wenzao hao unawaweka kundi gani ? niliuliza kiutani.

Dah kiongozi umewaza mbali sana,(huku akinipa tano) Mungu awalaani na wasitimize azma yao.

Tulipiga stori kibao huku tuliambiwa kuwa mganga anawataka wageni ambao hawajaonana naye wamfuate kwenye kilinge,nilikuwa ni mimi tu mgeni ambaye nipo siku ile hivyo nikamfuata huku nikishangaa kijana mdogo umri kati ya miaka 25 na 30 akiwa mganga.loh kweli kua uyaone.

Vua viatu vyako na hiyo kapelo pia kisogelee hicho kioo jitazame kisha ingia ndani .
mganga mwenye kiswahili lafudhi ya kiluguru aliongea huku nikifanya nayoambiwa kisha nikaingia ndani kwenye chumba kidogo ila kisafi sana.

Ni harakati za maisha tu endelea kufuatilia simulizi yangu hadi mwisho
Jifunze,
Elimika,
Burudika.

Itaendelea..............
 
SEHEMU YA THELATHINI NA TATU

Nikiwa nawaza na kuwazua huku nikishangaa ni nuksi gani hii ni wazi kila nitakayemuelezea jambo langu atajua Mimi ni jambazi tu kama ilivyo kwa Jastini.
Sasa ni lazima nifanye kitu nadhani naweza kupoteza Kila kitu kwanza Kuna namna fulani mke wangu anapoteza Imani na mimi, hata baadhi ya majirani wanajua Mimi ni jambazi jambo ambalo ni hatari kwangu .

Jamii inapokuwa na mashaka na wewe ni dhahiri unaweza kuja kuhisiwa hata jambo ambalo hujawahi lifanya.

Lakini pia hata kazini naanza kuona namna watu wanavyonichukulia hata Veronica mtu ninayemkubali , mshauri wangu wa mambo mengi ni kama amekata tamaa hivi Tena siku Hadi siku namuona akipunguza mazoea na Mimi nadhani ni muda wa kupambana, Mimi ni mwanaume lazima nipambane kurudisha heshima yangu na Imani kwenye jamii. Kuhusu wife huyo Hana shida ni mke wangu ipo siku nitamuweka chini nitamuelekeza Kila kitu. naamini atanielewa.

Simu iliita huku nikipunguza speed ili nipate kuisikiliza si mwingine alikuwa ni boss mdogo , kwa tahadhari na uoga nikaipokea huku nikipaki gari pembeni.

Uko wapi Daniel,
aliuliza mara tu baada ya kusalimiana.
Nilibabaika kidogo maana sikujiandaa na swali lile.

Nipo nje kidogo ya mji kuna mahali naelekea mkuu, nilimjibu huku mapigo ya moyo yakinidundadunda.

Boss anasafiri kesho nadhani muda wa mwezi mzima atakuwa nje ya nchi ,hivyo Kuna maagizo nimeachiwa utayakuta hata hivyo nilisahau kukutaarifu tangu mchana kuwa hata mwenzako aliyekuwa Mwanza amerudi jana mtaungana naye kwaajili ya kuelekea mkoa XX.
aliongea huku akiweka kituo.

Sawa ila hujasema ni lini tunatakiwa tuwepo?niliuliza

Kwani wewe si ulipewa ruhusa ya siku tatu na leo si umemaliza?kesho nitawaeleza kila kitu ukija.alijibu.

Sawa ,ila samahani sana kesho sitafika kwakuwa matatizo yangu hayajaisha mkuu ,nakuomba niongezee hata siku moja tu.nilijitetea.

Cha ajabu alikata simu,kisha baada ya muda akapiga tena,

Daniel acha ujinga ina maana kwa mfano nisingekupigia simu , taarifa yako ungempa nani,nyie ndio huwa mnakuja kulaumu watu baadaye kisa ujinga wenu.mimi sina jibu la kukupa uonavyo wewe fanya.
aliongea kisha akakata simu.

Tumbo lilinivuruga huku hofu ikiingia,
Mmmh lazima nifike kwa mganga hakuna namna tena,nilikoleza chombo huku siku nayo ikiisha.
Niliipita Morogoro mjini nikaendelea kisha nikaikamata barabara ya vumbi kuelekea nilipokusudia kwani nilikuwa napafahamu siku nyingi.

Niliendesha gari kwa fujo na kwa spidi huku gari ikiwa na spot light upande mmoja tu ,lakini nilienda speed hivyo hivyo,nikiwa katikati ya pori sikutani na mtu zaidi ya wanyama wadogo wadogo waliokuwa wakikatiza kwenye barabara Almanusra niwagonge ,mlio wa Pickup tu ndio niliousikia huku hata mtandao wa simu nikiuacha kwani simu yangu ilionesha ,nikaweka simu kwa dashboard huku nikiongeza mwendo zaidi .

Baada ya muda niligundua uwepo wa mwanga nyuma,nikapunguza mwendo huku mwanga ukiongezeka,naam ilikuwa ni gari linakuja spidi huku kawasha hazard,mara awashe taa full na kuzima mara akinitaka nisimame. Nikabana pembeni na kushuka.

Nyoosha mikono juu , usifanye chochote ,piga magoti.
Sauti ya kiume huku nikimulikwa tochi ya mkono usoni huku watu watatu wakiruka na kuja kwangu ,mwanga wa tochi ulinisumbua lakini sikuwa na namna nilijua labda ni majambazi ,nikapanga kuwaambia pesa zilipo ili waniachie roho yangu hata kama ni gari wangechukua nilikuwa radhi,mtu mmoja mwenye bunduki SMG alikuwa pembeni akiwa kavaa shuka la kimasai huku akiwa na ile tochi ya kuvaa usoni aliniuliza.

Wewe ni nani?

Naitwa Daniel (nikitaja full name)

Unaenda wapi saizi halafu kwanini unakimbia hivyo na gari,umetushtua sana,na tuna taarifa za uwepo wa majangili ambao wametimuliwa na wenzetu huko mikumi mbugani ambao wanatafutwa ,afande hebu msachi kisha sachi na gari ,be careful pot wanakuwaga na vilipuzi hawa.
waliambizana wao kwa wao.

Walikagua siti zote,huku wakichanguachangua vitu lakini sikuwa na namna wakachukua simu wakaangalia mara ya mwisho niliongea na nani huku kila naloulizwa nilijibu vyema.

Wakaniambia niinuke huku wakipoa kidogo,halafu afande ana kisu kiunoni,.na pesa nyingi sana huyu ni wale wale mkuu,
Aliongea yule afande huku wakiangalia na kuniuliza ni cha nini nikawaambia mimi kama mwanaume ni lazima kuwa nacho.na mimi naenda kijiji cha (nikitaja jina) hivyo nawahi tu wala sina shida.

Waliangaliana huku wakinitaka niinuke,huku wakiwasha sigara zao na kuendelea kuvuta.

Sema jamaa unaendesha gari loh,yaani nusura nikate tamaa maana kila nikifukuza sikuoni na kona zilivyo nyingi loh. Ila pole sana,tulikuwa sehemu fulani kwenye gari tunashangaa huyu ni nani usiku huu anaendesha gari kwa speed licha ya barabara kuwa mbovu tukajua ni lazima kuna kitu anakimbia ila kwa maelezo yako tumeridhika.sema nini tuna njaa sana hapa vipi unatuachaje?

Waliongea huku wakinirudishia pesa zangu, sikuwa na namna niliwapa chochote kitu huku siamini kama nimepona maana Dah haikuwa poa ,tukachana huku wakiwa wapo pale pale wale maaskari wenye sare za Tanapa.

Nilitembea mwendo wa kawaida sana,saa saba usiku nikafika kwenye kile kijiji kidogo ,huku nikienda hadi kwa mganga husika,huku nikishangaa kukuta watu wengi huku wengine wakiwa hawajalala,nikaambiwa mganga yupo ila kuna watu kaondoka nao tangu saa mbili za usiku kaenda maporini na wateja wake kadhaa.

Nikiwa na kausingizi fulani nilimngoja huku nikishangaa magari kadhaa ya kifahari kuwepo pale,hii ikaniongezea imani kuwa huenda jamaa ni fundi siyo kwa wateja wale.

Asubuhi na mapema nilifuatwa na baadhi ya wanaoonekana wenye good life tukawa tunapiga stori huku nikiwa sijajua mganga alirudi au la

Eee bwana vipi tumeshangaa uwepo wa gari lingine ,hapa maana wenyewe tunatambuana tukasema huyu ni nani ndipo tulipoambiwa ni wewe.waliongea jamaa wawili ambao ndiyo wamiliki wa zile ndinga huku wivu ukiniingia,mimi kile Kigari kuwa dini nacho porini nikidai ni ya ofisini lakini wajuba wanakuja nazo hizi gari huku.loh ama kweli .

Oyaa una shida gani mzee, niliuliza nikijichangamsha.

Ah ni mambo ya biashara tu haziendi nikaona ngoja nije nimefika jana mchana na nishapewa dawa zangu sema niliambiwa ningoje kuna dawa ya mwisho ipo mbali,si unajua tena .aliongea kwa kujichekesha.

Na wewe bro vipi ,nilimuuliza yule anayeonekana kiumri katuacha parefu.

Dah kaka acha tu mimi nipo hapa mwezi wa pili sasa nina kijana wangu yupo huko ndani kaugua ukichaa, ndiyo tupo tunahangaika .alinijibu.

Vipi lakini maendeleo yake, niliuliza.

Mungu ni mwema,aliletwa hapa akiwa mwendawazimu kabisaa lakini kwa sasa naona kuna mabadiliko, kidogo,ananikumbuka mimi,anamkumbuka mama yake ,kiasi fulani analeta matumaini japo kuna siku anaweza kubadilika kiasi cha kukatisha tamaa.alijibu huku nikimpa pole na kumfariji.

Ila yule mganga mzee alishapungua nguvu aliyepo hapa ni mwanaye huyu ana uwezo mkubwa kuliko baba yake na ndiyo maana hao woooote wapo kwaajili ya kupata huduma.aliniambia yule jamaa.

Halafu vipi mwenzetu una shida gani? Aliuliza jamaa aliyedai yeye anasubiri tu dawa then aondoke.

Ni harakati za maisha tu,kuna msala nahitaji kuuzima.maana nikiyumba tu naweza poteza kila kitu.niliongea ukweli.

Dah pole mkuu tunaomba Mungu kila aliyekuwa hapa mambo yake yaende kama ilivyokuwa.alijibu yule jamaa.

Kuna watu hapa wamekuja kuroga ili kutesa wenzao hao unawaweka kundi gani ? niliuliza kiutani.

Dah kiongozi umewaza mbali sana,(huku akinipa tano) Mungu awalaani na wasitimize azma yao.

Tulipiga stori kibao huku tuliambiwa kuwa mganga anawataka wageni ambao hawajaonana naye wamfuate kwenye kilinge,nilikuwa ni mimi tu mgeni ambaye nipo siku ile hivyo nikamfuata huku nikishangaa kijana mdogo umri kati ya miaka 25 na 30 akiwa mganga.loh kweli kua uyaone.

Vua viatu vyako na hiyo kapelo pia kisogelee hicho kioo jitazame kisha ingia ndani .
mganga mwenye kiswahili lafudhi ya kiluguru aliongea huku nikifanya nayoambiwa kisha nikaingia ndani kwenye chumba kidogo ila kisafi sana.

Ni harakati za maisha tu endelea kufuatilia simulizi yangu hadi mwisho
Jifunze,
Elimika,
Burudika.

Itaendelea..............
Yes tuko tangu story zako za nyuma

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
SEHEMU YA THELATHINI NA TATU

Nikiwa nawaza na kuwazua huku nikishangaa ni nuksi gani hii ni wazi kila nitakayemuelezea jambo langu atajua Mimi ni jambazi tu kama ilivyo kwa Jastini.
Sasa ni lazima nifanye kitu nadhani naweza kupoteza Kila kitu kwanza Kuna namna fulani mke wangu anapoteza Imani na mimi, hata baadhi ya majirani wanajua Mimi ni jambazi jambo ambalo ni hatari kwangu .

Jamii inapokuwa na mashaka na wewe ni dhahiri unaweza kuja kuhisiwa hata jambo ambalo hujawahi lifanya.

Lakini pia hata kazini naanza kuona namna watu wanavyonichukulia hata Veronica mtu ninayemkubali , mshauri wangu wa mambo mengi ni kama amekata tamaa hivi Tena siku Hadi siku namuona akipunguza mazoea na Mimi nadhani ni muda wa kupambana, Mimi ni mwanaume lazima nipambane kurudisha heshima yangu na Imani kwenye jamii. Kuhusu wife huyo Hana shida ni mke wangu ipo siku nitamuweka chini nitamuelekeza Kila kitu. naamini atanielewa.

Simu iliita huku nikipunguza speed ili nipate kuisikiliza si mwingine alikuwa ni boss mdogo , kwa tahadhari na uoga nikaipokea huku nikipaki gari pembeni.

Uko wapi Daniel,
aliuliza mara tu baada ya kusalimiana.
Nilibabaika kidogo maana sikujiandaa na swali lile.

Nipo nje kidogo ya mji kuna mahali naelekea mkuu, nilimjibu huku mapigo ya moyo yakinidundadunda.

Boss anasafiri kesho nadhani muda wa mwezi mzima atakuwa nje ya nchi ,hivyo Kuna maagizo nimeachiwa utayakuta hata hivyo nilisahau kukutaarifu tangu mchana kuwa hata mwenzako aliyekuwa Mwanza amerudi jana mtaungana naye kwaajili ya kuelekea mkoa XX.
aliongea huku akiweka kituo.

Sawa ila hujasema ni lini tunatakiwa tuwepo?niliuliza

Kwani wewe si ulipewa ruhusa ya siku tatu na leo si umemaliza?kesho nitawaeleza kila kitu ukija.alijibu.

Sawa ,ila samahani sana kesho sitafika kwakuwa matatizo yangu hayajaisha mkuu ,nakuomba niongezee hata siku moja tu.nilijitetea.

Cha ajabu alikata simu,kisha baada ya muda akapiga tena,

Daniel acha ujinga ina maana kwa mfano nisingekupigia simu , taarifa yako ungempa nani,nyie ndio huwa mnakuja kulaumu watu baadaye kisa ujinga wenu.mimi sina jibu la kukupa uonavyo wewe fanya.
aliongea kisha akakata simu.

Tumbo lilinivuruga huku hofu ikiingia,
Mmmh lazima nifike kwa mganga hakuna namna tena,nilikoleza chombo huku siku nayo ikiisha.
Niliipita Morogoro mjini nikaendelea kisha nikaikamata barabara ya vumbi kuelekea nilipokusudia kwani nilikuwa napafahamu siku nyingi.

Niliendesha gari kwa fujo na kwa spidi huku gari ikiwa na spot light upande mmoja tu ,lakini nilienda speed hivyo hivyo,nikiwa katikati ya pori sikutani na mtu zaidi ya wanyama wadogo wadogo waliokuwa wakikatiza kwenye barabara Almanusra niwagonge ,mlio wa Pickup tu ndio niliousikia huku hata mtandao wa simu nikiuacha kwani simu yangu ilionesha ,nikaweka simu kwa dashboard huku nikiongeza mwendo zaidi .

Baada ya muda niligundua uwepo wa mwanga nyuma,nikapunguza mwendo huku mwanga ukiongezeka,naam ilikuwa ni gari linakuja spidi huku kawasha hazard,mara awashe taa full na kuzima mara akinitaka nisimame. Nikabana pembeni na kushuka.

Nyoosha mikono juu , usifanye chochote ,piga magoti.
Sauti ya kiume huku nikimulikwa tochi ya mkono usoni huku watu watatu wakiruka na kuja kwangu ,mwanga wa tochi ulinisumbua lakini sikuwa na namna nilijua labda ni majambazi ,nikapanga kuwaambia pesa zilipo ili waniachie roho yangu hata kama ni gari wangechukua nilikuwa radhi,mtu mmoja mwenye bunduki SMG alikuwa pembeni akiwa kavaa shuka la kimasai huku akiwa na ile tochi ya kuvaa usoni aliniuliza.

Wewe ni nani?

Naitwa Daniel (nikitaja full name)

Unaenda wapi saizi halafu kwanini unakimbia hivyo na gari,umetushtua sana,na tuna taarifa za uwepo wa majangili ambao wametimuliwa na wenzetu huko mikumi mbugani ambao wanatafutwa ,afande hebu msachi kisha sachi na gari ,be careful pot wanakuwaga na vilipuzi hawa.
waliambizana wao kwa wao.

Walikagua siti zote,huku wakichanguachangua vitu lakini sikuwa na namna wakachukua simu wakaangalia mara ya mwisho niliongea na nani huku kila naloulizwa nilijibu vyema.

Wakaniambia niinuke huku wakipoa kidogo,halafu afande ana kisu kiunoni,.na pesa nyingi sana huyu ni wale wale mkuu,
Aliongea yule afande huku wakiangalia na kuniuliza ni cha nini nikawaambia mimi kama mwanaume ni lazima kuwa nacho.na mimi naenda kijiji cha (nikitaja jina) hivyo nawahi tu wala sina shida.

Waliangaliana huku wakinitaka niinuke,huku wakiwasha sigara zao na kuendelea kuvuta.

Sema jamaa unaendesha gari loh,yaani nusura nikate tamaa maana kila nikifukuza sikuoni na kona zilivyo nyingi loh. Ila pole sana,tulikuwa sehemu fulani kwenye gari tunashangaa huyu ni nani usiku huu anaendesha gari kwa speed licha ya barabara kuwa mbovu tukajua ni lazima kuna kitu anakimbia ila kwa maelezo yako tumeridhika.sema nini tuna njaa sana hapa vipi unatuachaje?

Waliongea huku wakinirudishia pesa zangu, sikuwa na namna niliwapa chochote kitu huku siamini kama nimepona maana Dah haikuwa poa ,tukachana huku wakiwa wapo pale pale wale maaskari wenye sare za Tanapa.

Nilitembea mwendo wa kawaida sana,saa saba usiku nikafika kwenye kile kijiji kidogo ,huku nikienda hadi kwa mganga husika,huku nikishangaa kukuta watu wengi huku wengine wakiwa hawajalala,nikaambiwa mganga yupo ila kuna watu kaondoka nao tangu saa mbili za usiku kaenda maporini na wateja wake kadhaa.

Nikiwa na kausingizi fulani nilimngoja huku nikishangaa magari kadhaa ya kifahari kuwepo pale,hii ikaniongezea imani kuwa huenda jamaa ni fundi siyo kwa wateja wale.

Asubuhi na mapema nilifuatwa na baadhi ya wanaoonekana wenye good life tukawa tunapiga stori huku nikiwa sijajua mganga alirudi au la

Eee bwana vipi tumeshangaa uwepo wa gari lingine ,hapa maana wenyewe tunatambuana tukasema huyu ni nani ndipo tulipoambiwa ni wewe.waliongea jamaa wawili ambao ndiyo wamiliki wa zile ndinga huku wivu ukiniingia,mimi kile Kigari kuwa dini nacho porini nikidai ni ya ofisini lakini wajuba wanakuja nazo hizi gari huku.loh ama kweli .

Oyaa una shida gani mzee, niliuliza nikijichangamsha.

Ah ni mambo ya biashara tu haziendi nikaona ngoja nije nimefika jana mchana na nishapewa dawa zangu sema niliambiwa ningoje kuna dawa ya mwisho ipo mbali,si unajua tena .aliongea kwa kujichekesha.

Na wewe bro vipi ,nilimuuliza yule anayeonekana kiumri katuacha parefu.

Dah kaka acha tu mimi nipo hapa mwezi wa pili sasa nina kijana wangu yupo huko ndani kaugua ukichaa, ndiyo tupo tunahangaika .alinijibu.

Vipi lakini maendeleo yake, niliuliza.

Mungu ni mwema,aliletwa hapa akiwa mwendawazimu kabisaa lakini kwa sasa naona kuna mabadiliko, kidogo,ananikumbuka mimi,anamkumbuka mama yake ,kiasi fulani analeta matumaini japo kuna siku anaweza kubadilika kiasi cha kukatisha tamaa.alijibu huku nikimpa pole na kumfariji.

Ila yule mganga mzee alishapungua nguvu aliyepo hapa ni mwanaye huyu ana uwezo mkubwa kuliko baba yake na ndiyo maana hao woooote wapo kwaajili ya kupata huduma.aliniambia yule jamaa.

Halafu vipi mwenzetu una shida gani? Aliuliza jamaa aliyedai yeye anasubiri tu dawa then aondoke.

Ni harakati za maisha tu,kuna msala nahitaji kuuzima.maana nikiyumba tu naweza poteza kila kitu.niliongea ukweli.

Dah pole mkuu tunaomba Mungu kila aliyekuwa hapa mambo yake yaende kama ilivyokuwa.alijibu yule jamaa.

Kuna watu hapa wamekuja kuroga ili kutesa wenzao hao unawaweka kundi gani ? niliuliza kiutani.

Dah kiongozi umewaza mbali sana,(huku akinipa tano) Mungu awalaani na wasitimize azma yao.

Tulipiga stori kibao huku tuliambiwa kuwa mganga anawataka wageni ambao hawajaonana naye wamfuate kwenye kilinge,nilikuwa ni mimi tu mgeni ambaye nipo siku ile hivyo nikamfuata huku nikishangaa kijana mdogo umri kati ya miaka 25 na 30 akiwa mganga.loh kweli kua uyaone.

Vua viatu vyako na hiyo kapelo pia kisogelee hicho kioo jitazame kisha ingia ndani .
mganga mwenye kiswahili lafudhi ya kiluguru aliongea huku nikifanya nayoambiwa kisha nikaingia ndani kwenye chumba kidogo ila kisafi sana.

Ni harakati za maisha tu endelea kufuatilia simulizi yangu hadi mwisho
Jifunze,
Elimika,
Burudika.

Itaendelea..............
Dah! Utamu umekata
 
SEHEMU YA THELATHINI NA NNE

Nikiwa naangaza angaza macho yangu kwenye kile kibanda cha mganga,mwenyewe alitoka nje kidogo kisha akarudi.

Enhee umekuja tufanye tiba au labda unataka tukuangalie?(kupiga ramli)
aliuliza.

Dah ikiwezekana wewe niangalie tu maana nina mambo hata sijui yanakujaje.nilijibu kwa pupa.

Sawa weka shilingi elfu moja kwenye chungu humo,iviringishe kisha itupie humo humo.na kama huna tafuta chenji upate elfu moja kavu ,hutakiwi kuzidisha.alinielekeza huku akitoa kibunda fulani cha viberiti vipya na kunipa kimoja.

Nilijisachi nikagundua sina elfu moja. Kimbembe kwenye kutafuta chenji kila nayemuuliza hana,
Hapa baba hizi hela zinatafutwa na kuna kipindi zilikuwa zinauzwa kabla serikali haijaingilia kati yaani watu walikuwa wananunua hadi elfu kumi.kwaajili ya hii noti hapa labda uende kule juu kuna magenge ya vyakula huenda ukapata.aliongea mama mmoja.

Dah niende kule kwaajili ya elfu moja halafu kila mtu anajua unaenda kuifanyia kazi gani,baadaye nikakumbuka kuwa kwenye gari huwa naweka hela zangu nyingi tu,nikacheki nikakuta chenji nyingi tu zikiwemo noti mbili za elfu moja moja nilifurahi nikachukua moja kisha nikarudi kwa mganga huku nikimkuta nje ya kilinge akiongea na wasaidizi wake.

Vipi umefanikiwa maana hizo noti ni adimu sana sikutaka kukukatisha tamaa haya ingia ndani halafu rusha hiyo hela kwenye chungu.aliongea yule mganga huku nikifanya nilivyoelekezwa.

Sasa kaa kwa kutulia tazama kile chungu,halafu chukua hicho kiberiti chungulia ndani.

Nikachungulia hakikuwa na njiti huku nikishangaa.nikamwambia hakuna kitu.

Hebu tikisa kwanza , akaniambia.

Chaajabu kililia kana kwamba kuna njiti , hakika niliogopa hata yeye alijua huku akicheka.

Hapo sawa mizimu yetu imepokea hiyo hela na ndiyo maana unasikia hivyo nadhani pesa yako si ya dhulma.nadhani kazi inaanza naingia ndani nitaongea na chochote ambacho ni kweli itikia ndiyo, si cha kweli itikia hapana.
akaingia ndani kwenye chumba kidogo kingine kisha maswali yakaanza huku kiswahili chake kikibadilika kama vile mtu asiyeweza kuzungumza vizuri lakini nilimwelewa.


Umekuja hapa kwaajili ya matatizo ukihisi kuna mtu anataka kukupa kesi si yako.aliuliza .

Ndiyo .

Hata familia yako , mwenzi wako kuna muda unahisi anapoteza imani na wewe.

Ndiyo.

Haya matatizo mwanzo haukuwa nayo ila ni miezi michache tu yamejitokeza.

Ndiyo.

Kuna muda unatamani kufanya jambo fulani lakini halitimii,

Ndiyo.

Alianza kuongea lugha nisiyoijua huku nikiogopa sana ,kisha akakohoa kidogo na kuniambia nitoke nje nikajiangalie kwenye kioo kidogo kilichazungushiwa shanga.

Unamuona nani hapo,
Aliuliza

Najiona mimi mwenyewe
Nilijibu .

Ingia ndani kaa kwenye mkeka kisha lala chali kisha angalia juu kwenye hiyo ngozi,nikafanya kama nilivyoelezwa.

Umeona nini
Aliuliza.

Sijaona chochote zaidi ya hii ngozi
Nilimjibu.

Akatoka nje akiwa kalowa jasho sana yule mganga ,
Haya matatizo mbona naona kabisa siyo ya Mungu bali kuna mkono wa mtu sasa kwanini vipimo vinakataa?
akawa kama anaongea mwenyewe.

Akatoka nje akaja na vijikuni vidogo sana akasema niwashe moto,nikafanya vile huku yeye akiongea maneno fulani sikuyaelewa
Lakini mpaka moto unazimika hatukupata jibu.

Unahela Tuwaite wale wa milimani maana mmmh ,tatizo unalo halafu aliyekusababishia simuoni inaonekana ni mtu mkubwa huyu tena alikupiga mapigo makubwa sana ila subiri kwanza kazi yako ni nzito,kama yale maswali niliyokuuliza ni kweli,basi yupo mtu na ukifanya masihara unapotea .alinitisha huku nikiomba afanye awezalo.

Sasa jiangalie kwenye kioo,kisha ingia kwenye hicho kimsitu utakuta kuna pembe kubwa isogelee kisha tamka maneno ya tambo ,kama vile unataka kupigana na mtu , usiogope hakuna nyoka wala mdudu yeyote hapo kupo salama.
Halafu utakachokiona njoo uniambie.

Niliingia kwenye kale kamsitu kenye ukubwa wa ekari moja yaani kulikuwa kunatisha inaonesha hata moto huwa haufiki mijani ya miaka na miaka ukitembea kama kuna sponji yaani unanesa, taratibu nikaingia nikaliona pembe sijui la mnyama gani wa mwituni ,nikatamka maneno kadhaa huku nikitetemeka lakini sikuona chochote.nikarudi nikamwambia sijaona kitu.

Mbona mimi namuona?
Tena muda si mrefu naye kagundua kama uko hapa.
Kwani bro wewe hujawahi angalia mieleka? Zile tambo na sauti zao ndiyo ufanye hivyo tatizo wewe unaongea taratibu sana.

Kwanza chukua hiki kisu kisha sema hivi,
Hicho kitu ulichonifanyia mimi sasa nakufanyia wewe ,kama uko mkono wa kulia kweli ,njoo usijifiche nahitaji kukujua na hunifanyi chochote.nakuchoma na hiki kisu kama hutojitokeza.

Nenda tamka maneno haya atajitokeza tu.kisha tulia hapohapo kwenye pembe na mimi nitakuja siwezi kuja muda huu kwasababu ananiogopa ila akishakuja kwa kuitwa na wewe atanaswa na msitu kisha tutamfanya chochote utakacho.aliongea mganga

Nilirudi tena pale kwenye ule msitu uliofugwa makusudi nikaanza kuongea kwa tambo huku naangalia huku na huko yaani maneno mawili naangalia kulia na kushoto kisha mbele na nyuma.

Sasa sijui wapi nilijisahau ,ile nageuka upande wa kulia nilimuona mzee fulani akija kwa kasi akilalamika unataka kuniua unataka kuniua wakati ulituchokoza
Yule mzee akawa anakuja upande wangu ,weee nilitoka mbio nikiacha viatu palepale huku nikipitiliza hata kwenye kile kilinge na kwenda kuingia kwenye nyumba moja walikokuwa wamelala akina mama.huku nikihema .

Watu walikuja kule wakidhani nina mashetani ndipo yule mganga akaja huku akicheka na watu wengine walicheka pia na kuniambia turudi kilingeni wakati huo nashindwa nitangulie au nibaki nyuma yaani miguu ilitetemeka sana tu.

Twende kule msituni usiogope kanasa pale pale kwenye pembe hakufanyi chochote,nikiwa nimemganda mganga nikiwaza kuwa lolote likinitokea basi tufe wote.huku nikiwa na hamu Nimuone sura yake maana nilimkatiriri.

Cha ajabu sikuona mtu bali kulikuwa na dege tai si tai ,mwewe si mwewe yaani sikujua ni dege la aina gani .

Si huyu kanasa,sasa ukitaka kuchinja ukitaka kumuacha wewe tu uchaguzi wako.ili jua ukichinja utajitengenezea matatizo kwani ndugu zake watatafuta kilichomuua ndugu yao hivyo akipatikana fundi haswa utakufa nakushauri,kwakuwa kanasa nikupe dawa akuachilie kisha tutamruhusu aende.

Lakini mganga,mimi nilimuona mtu kabisa ndiyo maana nilikimbia hakuwa ndege, niliuliza.

Ndiyo huyu bwana mbona unakuwa mgumu kuelewa,huyu ndiye yeye kwanza yule uliyemuona unamfahamu? aliuliza.

Nikatikisa kichwa kuwa si mfahamu.

Twende kilingeni nikakupe ufafanuzi huyu ndiye yeye na ana nguvu huyu mzee ni hatari sana na alikaribia kunishinda.aliongea yule mganga huku akimuita yule ndege mzee,hakika nilishangaa sana.

Akaingia kilingeni na kupitiliza hadi kwenye kile chumba na kuanza maswali yake tena.

Kuna siku wewe ulikuwa unatoka safari kisha ukakutana na watu wawili mke na mume.

Ndiyo

kisha baadaye sana ukasafiri na mke wa mtu huku ukilala naye.(kufanya naye mapenzi)

Hapana mkuu sikufanya naye kitu chochote.nilijibu kwa uoga

Sawa,ila wenzio walikutega wakiamini yule mwanamke ulilala naye yaani hadi leo wana uhakika na huyo mzee uliyemuona msituni,ni baba wa mwenye mke,yaani alienda kukushtaki kwa baba yake kuwa ulilala na mkewe.na mtaani kwako watu wote wanajua wewe unapenda sana wake za watu ,umetegwa sehemu ndogo sana ,kwa kukuvuruga wewe na rafiki yako huku wao wakiwa pembeni.ila yameisha nakupa dawa mbili tu ambazo zitakugharimu pesa kidogo.

Alitoka nje huku akiwa na jasho sana sikujua ni kwanini ,

Aisee kaka pole sana kuna watu wanapenda vibaya kuna watu wapo radhi kuua kwaajili ya wake za watu,aliongea yule mganga huku nikishusha pumzi ndefu.

Ila na wewe usipende sana kutembea na wake za watu mtu hujui ana historia gani na mkewe wewe unadandia tu,sema umefanya vizuri kuja kwasababu yule mwanamke ambaye uliwahi kumtaka alitegwa kiasi cha kuwa anakutamani sasa ungelala naye tu basi mwisho wako ungefika hii ni dunia kaka.halafu masikini hata yule mwanamke hajui chochote . alifafanua yule mganga huku nikiishiwa nguvu kabisa.

Sasa kwakuwa kashakufungua na mimi namuacha aende.hivyo hilo dege hutoliona tena ,aliongea huku nikiwa sina hata hamu ya kwenda msituni pale.

Aliingia ndani akatoka na maji kwenye kikombe ,haya ni maji ya mvua huwa tunaivizia ile mvua ya mawe kisha tunaokota unaweka sehemu,nenda hapo kwenye kioo nawa usoni kisha sukutua mdomoni kama vile unapiga mswaki hakikisha unaangalia hicho kioo.

Nilifanya kama nilivyoelekezwa kisha nikarudi ndani.kisha akachukua mafuta fulani huku akianza kuongea kwa kukemea kama ambavyo hufanya wachungaji.kisha baada ya hapo nikapewa dawa nikanywa.

Mimi nishakufungua na pia kama unataka sasa nikuzindike kivingine sema japo kwa leo siwezi maana shughuli yako imekuwa nzito sana yaani sijui ingekuwaje .aliongea huku nikiwa naona kama nipo ndotoni nikihisi nitaamka muda wowote.

Nililipa hela kisha nikaruhusiwa huku akiendelea na watu wengine,nikiwa nakuja usawa lilipo gari langu kila mtu alikuwa na hamu ya kutaka kujua kwani nilikuwa nakimbia niliona nini lakini sikuwaambia niliwaaga huku nikiwasha samaki wangu na kutokomea.

Jifunze,
Elimika,
Burudika.

Loading...................
 
Back
Top Bottom