Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haa basi itabidi tuombe ajira ya mkataba baada ya kustaafu kuendelea kuitumikia jeiefu mkuuKivuruge kama ww ukistaafu inabidi na mm nijivue uanachama wa jf kabisaa,maana jf bila nyie hainogi kabisaa😂,ukijumlisha na shoga'ako moneytalk yaani ndo uhondo wa jf unakamilika😂
I'm sorry mkuu kuna muda arosto inakuwa kali niwie radhi tafadhali.Saa kumi jioni usikose kuchungulia,
Lakini punguza lugha zisizofaa, maisha ni hayahaya
Shukrani mkuu kwa hizo episode 2 , nisamehe kwa kweli kwa maneno makali niliyotoa basi kuna muda akili ina running faster.
Usijali mkuu, nikipata muda tutaendelea na burudani.Shukrani mkuu kwa hizo episode 2 , nisamehe kwa kweli kwa maneno makali niliyotoa basi kuna muda akili ina running faster.
Uchovu wa kazi ukirudi huku ili utulize akili unakuta patupu.
BabeKipenz?
Babe ya nyoko[emoji854]Babe
mbona makasiriko tena 😆😆Babe ya nyoko[emoji854]
HongereniBabe
Nimecheka 🤣
Hayo ndo maneno ssHa haa basi itabidi tuombe ajira ya mkataba baada ya kustaafu kuendelea kuitumikia jeiefu mkuu
Kwa heshma yako mkuuHayo ndo maneno ss
Ni vema ungesoma mpaka mwisho utaelewa maana.Naona hivi vipande vya mwisho umeamua kutetea vikoba vya kausha damu...
Ni kweli watu kama sie hatuna makasiriko akileta story Alihamdulillah asipo leta Hewallah bwana.Story ya jack Daniel Iko very slow kusoma inahitaji wenye mioyo Kama sisi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app