Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #81
SEHEMU YA 45
Ilimchukua mama mchungaji wiki moja tu kuweza kujitambua kwamba tayari ameushika ujauzito kutokana na tendo alilofanya na kijana Deo au Desmund kama yeye alivyomtambua.
Ilimchukua mama mchungaji wiki moja tu kuweza kujitambua kwamba tayari ameushika ujauzito kutokana na tendo alilofanya na kijana Deo au Desmund kama yeye alivyomtambua.
“nilijua tu!! Tayari balaa jingine hili hapa mbele yangu nitafanyaje mie Rehema??” alijiuliza mama mchungaji kwa hofu tele baada ya siku zake za kwenda mwezini kupita bila dalili zozote za hedhi.
“nimekwisha safari hii siujui ujanja wa kuniepusha na hili” aliendelea kujiuliza mama mchungaji.
“mwanangu Rehema,kamwe usije kuwa kama dada yako mkubwa,nilimueleza kuwa ukoo wetu hairuhusiwi kabisa kutoa mimba,yeye akaleta ujuaji na mwisho wa siku tukamzika,narudia tena kwako mwanangu jihadhari sana na wanaume lakini kama ikitokea bahati mbaya ukapata ujauzito japo sitegemei kitu kama hicho kamwe usithubutu kutoa mimba UTAKUFA Rehema,utakufa!!!!!!” Rehema alikaa akakumbuka maneno ya marehemu baba yake aliyomwambia katika msiba wa marehemu dada yake aliyekufa katika jaribio la kutoa mimba baada ya Yule aliyekuwa amempa mimba hiyo kuikataa,damu nyingi iliyovuja ilipelekea mauti yake na hivyo kutimiza neno alilolisema baba yake hata kabla hajapata mimba “ukitoa mimba hakika utakufa”
“nitafanya nini mimi jamani,sipo tayari kufa hapana hapana siwezi kufa nasema nataka kuishi bado……..vipi sasa hii mimba,mchungaji kwa mdomo wake amenieleza kuwa hawezi kuzaa na ni suala ambalo kila siku tumekuwa tukimwomba Mungu kila siku bila dalili yoyote mh! Leo hii nina mimba je? Ataamini kuwa ni majibu kutoka kwa Mungu au? Na hata kama akiamini je? Motto nitakayezaa hawezi kuzua utata? Nimelikoroga “ mama mchungaji alizidi kuumia kichwa asijue nini cha kufanya.
Ilimchukua mama mchungaji wiki moja tu kuweza kujitambua kwamba tayari ameushika ujauzito kutokana na tendo alilofanya na kijana Deo au Desmund kama yeye alivyomtambua.
Ilimchukua mama mchungaji wiki moja tu kuweza kujitambua kwamba tayari ameushika ujauzito kutokana na tendo alilofanya na kijana Deo au Desmund kama yeye alivyomtambua.
“nilijua tu!! Tayari balaa jingine hili hapa mbele yangu nitafanyaje mie Rehema??” alijiuliza mama mchungaji kwa hofu tele baada ya siku zake za kwenda mwezini kupita bila dalili zozote za hedhi.
“nimekwisha safari hii siujui ujanja wa kuniepusha na hili” aliendelea kujiuliza mama mchungaji.
“mwanangu Rehema,kamwe usije kuwa kama dada yako mkubwa,nilimueleza kuwa ukoo wetu hairuhusiwi kabisa kutoa mimba,yeye akaleta ujuaji na mwisho wa siku tukamzika,narudia tena kwako mwanangu jihadhari sana na wanaume lakini kama ikitokea bahati mbaya ukapata ujauzito japo sitegemei kitu kama hicho kamwe usithubutu kutoa mimba UTAKUFA Rehema,utakufa!!!!!!” Rehema alikaa akakumbuka maneno ya marehemu baba yake aliyomwambia katika msiba wa marehemu dada yake aliyekufa katika jaribio la kutoa mimba baada ya Yule aliyekuwa amempa mimba hiyo kuikataa,damu nyingi iliyovuja ilipelekea mauti yake na hivyo kutimiza neno alilolisema baba yake hata kabla hajapata mimba “ukitoa mimba hakika utakufa”
“nitafanya nini mimi jamani,sipo tayari kufa hapana hapana siwezi kufa nasema nataka kuishi bado……..vipi sasa hii mimba,mchungaji kwa mdomo wake amenieleza kuwa hawezi kuzaa na ni suala ambalo kila siku tumekuwa tukimwomba Mungu kila siku bila dalili yoyote mh! Leo hii nina mimba je? Ataamini kuwa ni majibu kutoka kwa Mungu au? Na hata kama akiamini je? Motto nitakayezaa hawezi kuzua utata? Nimelikoroga “ mama mchungaji alizidi kuumia kichwa asijue nini cha kufanya.