Simulizi: JASMINE

Simulizi: JASMINE

mireille

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2020
Posts
529
Reaction score
589
JASMINE .
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 1 .
BOOKING 0756748557 .

Majira ya usiku kwenye nyumba moja kubwa sana mjini ambayo iliyopo karibia na bichi . Nyumba hiyo walikuwa akiishi wadada wengi sana ambao walikuwa wakifanya kazi ya kujiuza kwa wanaume . Walikuwa wakijiuza mili yao kuna wengine walikuwa wakipenda hiyo kazi sababu ni laisi kupata pesa na kuna wengine walikuwa awapendi kufanya kazi hiyo sema wanatafanyaje ndo shida na mitihani ya maisha .

Mliki mkuu wa danguro ilo alikuwa mwanamama akiitwa Frida ( Madam Frida) ndio walikuwa wakigawana faida na mabinti ao. Frida alikuwa akiletewa ama akitafuta banti kutoka sehemu mbalimbali za ndani na nje ya nchi ilikuwauza kwa wanaume mbalimbali ambapo wanao kuja kutaka huduma hiyo .

Frida akiwa amekaa katulia zake akisubiri mabinti watoke nje kwenda kwenye kasino ambayo iliyokuwa umo umo ndani ambayo michezo ya haramu mingi ikichezwa huko . Alikuja mkaka moja ambaye alikuwa shoga ambaye ni rafiki ake Madam Frida mletaji tàarifa wake akiitwa Anti Hasu .

"Da Frida wadada wote wamejitaarisha kasoro moja tu " aliongea Hasu. Frida " nani huyo ? aliuliza kwa hasira . Hasu alijibu" siyule binti ambaye ameletwa na mama ake mdogo yule.

Frida " nani " alivuta kumbukumbu na kumkumbuka kumbe Jasmine "? aliuliza . Hasu " ndio ni Jasmine " alisema. Frida " hivi huyu binti anamatatizo gani kwani maana juzi wamekuja wateja amewakata leo tena ataki kwenda alikuja kula tu hapa " aliongea .

Kidogo wadada walianza kutoka wakiwa wamevalia mavazi ya wazi kuonyesha maungo ayao. " Bye madam Frida " walimuaga. Frida alimuita mdada moja Anita anaitwa .

Anita alienda adi pale" abee Anti Frida". Frida " hivi yule chizi kavaa ? alimuuliza Jasmine. Anita alijibu "sijui chumbaní kwao tumemuacha na Zawadi ndo shoga ake mkubwa " . Anti Frida" ok nyie nendeni na huyu ananitania mimi ".

Wadada wote waliondoka zao na kwenda kibaruani wakiwemo na mpambe Hasu ndo bodigadi wao na kumuacha Jasmine na shoga ake Zawadi . "Jasmine acha kulia mamy kaoge twende madam atakuja kukuchamba" aliongea Zawadi.

Jasmine" hapana Zawadi wewe nenda tu mimi nipoteali nife lakiní sipoteali kuuza mwili wangu" aliongea uku akilia . Zawadi " sasa utafanyaje Jasmine kama utaki híi kazi utaishije hapa twende tu mamy mimi nitakufundisha utazoea tu ".

Jasmine " hapana Zawadi wewe nenda rafiki angu niache na amini Mungu atanisimamia ". Zawadi alimuonea huruma rafiki ake alivyokonda kwa kulia . Kidogo mlango unafunguliwa kwa fujo .

" Eeeeh Madam ngoja mimi niondoke mimi " alisema Zawadi na kujiweza sawa kutoka zake akimuacha Jasmine. Zawadi alipotoka mlango alipishana na Anti Frida akiwa kavimba sura kwa asira .

*******************

"Huyo mjinga mwenzako kakubari kuja au ? aliuliza Frida. Zawadi alibakia kutikisa kichwa akiashiria hapana . Frida " huyu mpumbavu analinga nini kwani " aliingia ndani kwa kina Jasmine kumkuta amekaa akilia .

" Umekuja kulia hapa eeeh ? aliuliza uku akimvuta nywele na kumpiga. Frida alimpiga sana Jasmine" unanitia hasara kwanza mpumbavu mkubwa wewe " alimkaba sana.

Frida alitosheka kumpiga na kumchamba vya kutosha alimpa adhabu ya kufua nguo na mashuka na kusafisha nyumba nzima nakumwambia " akuna kula adi kesho jioni".

Zawadi alikuwa alisikiliza dishani rafiki ake anavyoteseka aliamua kuondoka uku akilia . Frida alitoka chumbani na kukaa sebureni kusubiri mapato yake yaje.

Jasmine alibakia chumbani akilia nakujisemea" nakuchukia mamdogo laiti kama mama angu angekuwa hai nisingekuwepo huku leo " aliongea kwa uchungu . Alichofanya yeye aliokota nguo moja moja chumba adi chumba na kuanza kufua usiku ule ili apunguze maana nguo ni nyingi sana .

Alifua alipochoka alilala alipokuja kushtuka wezake wakiwa wanarudi wengine wamelewa , wengine walinunuliwa basi fujo mtindo moja . Zawadi sababu alikuwa akimpenda sana Jasmine alimbebea chakula kisiri siri maana alinyimwa kula.

" Jasmine amka ule chips hizi " alisema Zawadi . Jasmine alimuangalia sana rafiki ake" asantee my duffer " . Zawadi " úsijali kula fasta fasta siunajua watu wambea sana watamfikia madam".

Jasmine alichukua chips na kula harakaharaka nakumshukuru kwani alikuwa na njaa nakula zake. Ilivyofika asubuhi watu wote waliamka na mapema kabisa na kutoka kukaa " .

Madam wao aliwaita kwenye kikao .

Je kikao cha nini fatilia sehemu ya pili ya riwaya ya Jasmine.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 2.
BOOKING 0756748557 .

Madam Frida aliongea " nimewaita mabinti wangu wa wazuri sana hongereni kwa kazi nzuri sana " . Wadada walianza kupiga makofi na wengi kupiga firimbi ya mdomo " asantee boss wetu " walijibu . Frida aliendelea " kuanzia leo akuna kufanya kazi yoyote ile kazi zote atafanya mfanyakazi wetu mpya " .

Watu wote walishangaa! kusikia mfanyakazi mpya kaletwa na Kuangalia kujikuta wote wazamani. Hasu " huyo mfanyakazi mpya yupo wapi ? aliuliza kiumbea . Jasmine alipita pale pale akiwa amebeba mashuka mengi ya kufua . Frida aliwaonyeshea kidore " huyu hapa kuanzia leo kazi zote atafanya Jasmine na kula atakula mara moja ".

Jasmine mwenyewe akujari alibeba mashuka yake na nguo chafu za wezake kwenda kufua. Watu wengi walimuonea huruma wakiwemo marafiki zake Diana na Zàwadi. Wale wasiompenda wakina Anita waliendea kumuongezea nguo kibao. "Zawadi ebu kamshauri Jasmine akubari tu kuliko anavyoteseka na minguo yote ile" alisema Diana.

Zawadi" mmmh sijui kama atakubari yule mama ajali kufa anachojari ni heshima yake". Diana " twende bhana atakubari" waliambizana na kwenda adi sehemu anayofua.
"Mrembo wetu" alisema Zawadi .

Jasmine" mrembo nitakuwa mimi jamani ? aliuliza na kuendelea kufua . Diana " hivi ujisiki kuchoka jasmine kwanini usikubari tu kujiuza "? aliuliza. Jasmine alitabasamu tu " hapana siwezi kufanya kazi ambayo imekatwa kisheria na kidini kwasababu ya kumuogopa mtu anayepumua kama mimi" alijibu.

Zawadi " mmmh sisi tunakuonea huruma utakufa bure " aliongea. Jasmine alicheka mwenyewe " kufa ni sehemu nzuri pia ndo maana watu wanaenda awarudi bora nife mimi nikakae pamoja na wazazi wangu kuliko kufanya dhambi" aliongea uku akilia .

Zawadi na Diana walibidi wamuache waondoke zao . " Aise Jasmine anajiamini eéh? aliuliza Diana . Zawadi alijibu" ndio maana nampenda tungepata wadada kumi kama ao Frida angefunga kasino".

Diana alicheka"aya bhana subiri nikalale sie warembo tuuzwe adi vichakae". Zawadi " yap lakiní dah sio poa madam anavyofanyia ". Jasmine alifua alikuja kieleele moja hivi anaitwa Naomi. " Wewe chizi bado unafua tu sisi njaa inatuma " .

Jasmine alimwambia" tangulia nakuja kuwapikia" alifua haraka na kumaliza nguo kuanika kwenda kupika. Jasmine alipika chakula wezake wakimsimamia asidokoe nyama sababu alikata kujiuliza na kuwa tengea yeye kuondoka .

*******************

Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere tunamuona kuna kijana alishuka kwenye ndege hiyo iliyotoka nchini Canada . Kijana huyo alikuwa akiitwa jina la Hans ambaye alitoka nchini Canada kimasomo .

Hans alikuja kupokelewa na baba ake ambaye alikuwa tajiri sana Waziri wa fedha Tanzania na mama ake alikuwa daktari na mdogo wake wa kike ambaye ambaye akiitwa Zuri alikuwa akisomea mwanamitindo çhuo kikuu cha udsm.

" Wawooow kijana wangu atimaye umemaliza chuo kikuu sasa siamini " aliongea baba Hans . Zuri alijibu " si alikuwa akijificha chooni enzi tupo shule ". Watu wote walicheka sana kwa maneno ya Zuri .

Hans " ebu kwenda zako uko wewe mwenyewe unasomea nini ? aliuliza. Mama Hans alijibu " mwanamitindo yupo mwaka wa kwanza chuo kikuu ". Hans " na nyie mmemruusu kabisa akasome fani ya kujiuza mbele za watu".

" Híi brother umeshaanza kunisingizia sasa " alisema . Hans alijibu " nakusingizi wapi kweli bhana utasomaje mwanamitindo kama ujiuzi". Baba Hans " basi itatosha maana amchelewi kupigana ".

Zuri " brother tafuta mchumba umuoe sasa tupate wifi ". Mama Hans alijibu" afadhari umeongea kweli ". Hans alicheka nakuwambia " twende nyumbani nikawambie".

Waliondoka adi kwao Hostabei kufika kila mtu Hans , Hans , Hans umekua mkubwa sana . Hans " yap ndo maisha ". Zuri " mpango wa kuoa je ? aliuliza .

Itaendelea.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 3
BOOKING 0756748557 .

Hans alijibu'' ninamchumba anaitwa na Najma ambaye nimesoma nae kidato cha nne ambaye nilimuwekea ahadi ya kuwa nitamuoa yeye ". Zuri alicheka sana " utajuaje labla kaolewa je au tabia zake azieleweki je? aliuliza. Mama Hans alimuita " Zuri kaah kimya ".

Zuri alitoka kwenye kikao chao " aya jadiri wenyewe mimi naongea point mnaanza kunifokea" . Hans alibaki kumuangalia mdogo wake tu nakuamua kunyanyuka kuingia chumbani kwake kuchati Najma kwani walikuwa wakichati tokea huko .

" Najma nimerudi naomba nikuone" aliongea Hans. Najma aliongea "sawa"lakini
alikuwa akijisemea" dah nimeshatumika nimemdanganya Hans bado bikra kumbe muongo".

Alibidi ajikaze " lini hiyo " ? aliulizi Najma . Hans alijibu'' Kesho asubuhi nitakuwekupo hotel ". Najma alikubari lakini kimoyo moyo anawaza sana itakuwaje akati alimdanganya bado bikra mkaka watu kawaacha warembo adi Tanzania .

Hans alilala vizuri akiwa nafuraha kukutana na mwanamke anayempenda sana adi kumsomesha kusudi amlindie heshima yake kumpa kila anachotaka . Bira kujua mwanamke wake alikuwa ana mwanaume mwingine Hamza ambaye wa kawaida tu na anayempenda kufa.

Najma alichukua simu na kumpigia Hamza . Hamza alipokea simu " hello " . Najma " ona yule bwege karudi sasa basi ni hivi usinipigie simu sawa" .

Hamza " lakini Najma unajua wazi wewe ni mpenzi wangu sasa mbona unanipangia sheria " ? aliuliza. Najma " lakini baby nilikwambia kuwa na kupenda wewe sema kwahuyu nipo after money tu adi tujenge ndo unioe " . Hamza alichoka hoi akiangalia yeye mario alibidi akubari kushea mapenzi .

Waliagana na kila mtu kulala kivyake wakikubariana sawa sawa . Kesho asubuhi Hans aliamka na kumkuta Zuri amekaa na wazazi wake wakipiga stori.
" Baba Najma karibu " alimtania Zuri .

Mama Hans alisema" Zuri adi upigwe ndo ukome mbona unamdomo. Zuri " mama najua unampendelea kaka Hans mbona yeye ananitania wanamitindo wanajiuza " aliongea akiwa ana hasira na kutoka kuingia ndani..

Mama Hans " makubwa haya sasa ndo mazara ya kuzaa watoto wamefatana unacheki mazara yake ". Baba Hans alisemea " umetaka mwenyewe nilikwambia mimi hoo nipige vodafasta aya kiko wapi tangia watoto wanajibishana adi ukubwani " .

Hans alicheka sana " kwanza mimi sahivi nimekua mkubwa siwezi kujibishana nakatoto cha 2001 uko akinizingu na kakamata nakapiga makofi mawili " alisema. Baba Hans" wawoow sasa hivi umekuwa kweli " alisema .

*********************

Hans alitabasamu" sasa mamy na baba natoka kidogo kwenda kuona Dar ipoje " . Mama Hans " sawa msalimie Najma mwambie aje nimuone alisema . Baba Hans " mke wangu mbea sana kama sio msomi vile" .

Mama Hans alijibu" aaha nipishe mimi " alimtania. Hans alibidi achukue ufunguo wa gari na kuondoka zake akiwa anafuraha sana kwenda kumuona mchumba ake . Hans alifika hotel kubwa ya kitajiri na kuchukua chumba kulipia kuingia akiwa ana msubiri Najma .

Najma alikuwa akijifikilia anaenda kumjibu nini Hans ambaye amemsubiri sana adi kumsomesha. Aliwaza nakujisema" Hans ananipenda sana nikifika pale atanielewa tu ".

Najma alitoka adi hotel Kempist na kwenda kuliza chumba alichokuwepo Hans. Alibidi aelekezwe na mhudumú nenda gorofa namba tano chumba namba 2 gonga hodi . Najma alifanya hivyó alitoka adi chumba namba 2 gorofa la tano aligonga odi akiwa anatetemeka .

Hans alitoka kumfungua mlango nakumkuta Najma. Najma akuamini macho chake kumuona Hans alikuwa mzuri sana kumshinda Hamza wake .

" Wawoo baby karibu " alisema Hans . Najma asante aliingia lakini kiuogaoga sana . Hans alimshika mkono nakumwambia " kaoge tukae tuongee " ..

Najma alikuwa akiwaza sana nakunyanyuka kuoga uku akiwaza sana atamwambia nini Hans . Hans alikuwa akifurahi kukutana na mwanamke aliyempenda sana.

Najma alitoka na kwenda kukaa pembeni ya Hans , Hans alimvuta karibu yake na kutaka kumkiss . Najma alikuwa akilia kwa aibu anaenda kuumbuka sasa. Hans " mbona unalia Najma vipi kuna tatizo lolote lile ? alimuliza.

je nini kitatokea .

itàendelea.

muendelezo ni 1300 tu adi mwisho na Vipande 10 mia 500 . lipia Mpesa 0756748557 , Tigo pesa ni 0659 387908 jina badru badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 4.
BOOKING 0756748557 .

Najma alijibu'' samahani Hans sikukwambia mapema kuwa nilibakwa Hans ". Hans alishtuka " nini ulibakwa au ulinicheat Najma ? aliuliza uku akiwa analia. Najma alikuwa akilia kwa aibu" nisamehe Hans ". Hans alishikwa na hasira" kwani ulinidanganya muda wote ule eéeh ".

Aliendele kusema" sikutegemea Najma kuwa utanisaliti mimi nipoteze ela zangu kukupelekea chuo nipoteza kila kitu changu sababu yako " aliongea Hans kwa uchungu na kuchukua nguo zake kuvaa kuchukua ufunguo wa gari yake kutaka kuondoka . Najma aliwahi kumshika mkono Hans " nisamehe Hans nilipitiwa tu naomba unisameeh nakupenda".

Hans " naomba uniache nikihesabu moja adi tano uwe umeniacha " aliongea. Najma alibaki kumshika mkono uku kapiga magoti kumuomba msamaha akiangalia Hans mzuri na anapesa chafu. Hans alibidi amtoe kwa nguvu " niache uko " na kufungua mlango kutóka akiwa anakimbia uku akijifuta machozi .

Najma alibaki ndani kulia tu akijisemea "sitokubari kumuacha Hans kamwe na uzuri ule " alibidi avae na kutoka zake . Hans baada ya kusalitiwa vile alitoka hotelini na kuingia kwenye gari lake kuanza kulia masikini kwani alimpenda sana Najma na kumvulimia miaka saba naaah alilia alikumbuka jinsi anavyotuma pesa Tanzania kumsomesha lkn mwanamke mwenyewe ndo hivyó .

Alilia na kumpiga simu rafiki ake ambaye anaishi Tanzania anaitwa Andrew. Andrew alishangaa! kumusikia Hans akilia kwenye simu masikini .
" Vipi mbona unalia Hans ? aliuliza. Hans '' upo wapi? aliuliza .

Andrew alimuelekeza kuwa yupo kwenye kasino ya madam Frida ambayo ipo posta karibia na bahari . Hans alijibu'' nakuja sasa ". Andrew alibidi amwambie madam Frida atafute binti bichi anayekuja ni bóss ashindwi kulipa chochote kile.

Madam Frida alikaa na kufikiria nani huyo ambaye kigori alikumbuka Jasmine ndio mtata ajawahi kujiuza . Jasmine alikuwa yupo busy mwenye akiwapika chakula wezake.

Madam Frida alichukua nguo na kumtupia na mapambo" toka hapa ukaoge uvae leo kunamgeni wako. Jasmine alibaki kushangaa! masikini na kulia tena upya. Wezake walicheka sana" leo upatikana usikute unaenda kudate na kibabu uko" .

********************

Zawadi " pole sana Mamy vumilia utazoea tu" aliongea uku akimlemba rafiki ake . Jasmine alikuwa akilia tu masikini " kwanini mimi inatokea hívi bora nife tu ". Anitha alienda adi pale na kuwanyali kuondoka zao .

Kidogo walishaanga ! kuona gari kali lingia pale na kupack. wadada wote waliangalia lile gari alitoka Andrew na kwenda kuingia kwenye gari.
" Vipi Hans umerudi lini Tanzania? aliuliza.

Hans alijibu'' jana nimerudi" akiwa kapoa sana . Andrew" vipi unaumwa au ? aliuliza . Hans alijibu'' bora ningeumwa ningekunywa dawa ningepona kuliko kuumwa mapenzi " aliongea uku akilia .

Andrew alimkumbatia rafiki ake "pole sana ndo maana mimi sitaki mwanamke ni majini mashetani bora nikitaka mwanamke na kuja kasino na maliza shoo natoka ". Hans alikuwa akilia tu masikini ya Mungu.

" Usilie swaiba twende ndani kuna chombo kimoja hívi atakuburudisha kwa leo tu" aliongea Andrew kumshauri mwezake . Hans sababu alitoka kwenye maumivu aliona aina aja ya kulia kisa mapenzi akiangalia ana kila kitu alibidi amsikilize Andrew kumlipizia Najma. .

Hans alifuta machozi na kushuka kwenye gari kila mtu akimuangalia mkaka mzuri sana. Aliwàsalimia warembo alikuwa mgeni kabisa maswala ya madanguro wala akuzoea kabisa .

" Hi " vidada vikimpapatikia sana tu kila moja alitamani aende nae . Alitoka madam Frida " hello handsome ". Hans alimjibu " hello ".

Andrew alimtambisha anaitwa Hans ndo niliokuambia . Madam Frida " wawoow handsome " aliwambia wale wengine kamuangalie Jasmine kama maliza. Wadada waliumia sana sema bàsi aiwezaki" mtu anaanza kazi leo anapata mwanaume wa maana" alisema Mage.

Anna " mimi nawambiaga Jasmine mchawi yule mnacheki " . Waliongea ambao awampendi Jasmine kabisa mchawi.

Zawadi alimremba vizuri nakumwambia" kila la kheri nakuombea umpate mtu sahii wakukupigania ". Jasmine alikuwa akilia tu masikini maana akuamini kama anaenda kufanya mapenzi na mwanaume ambaye amjui .

Zawadi aliondoka akikimbia uku akilia masikini" tutazalilishwa adi lini" aliongea . Jasmine alikaa kitandani kusubiri liwamo na liwe . Kidogo mlango unafunguliwa uo na mtu akizama ndani .

itaendelea.
Ofa ya leo ni 1000 tu . Namba 0756748557 mpesa , 0659387908 Tigopesa jina Badru Badru
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 5.
BOOKING 0756748557 .

Hans aliingia ndani akiwa kavalia t-shirt na Pensi na miwani . Jasmine alikuwa akilia masikini " pls naomba usinibake kaka angu tafadhari " aliongea uku akijiziba sura masikini. Hans alimuangalia tu nakutabasam kufunga mlango na ufunguo .

Jasmine alichanganyikiwa masikini na kuanza kulia alijua ndo bàsi tena . Hans alifungua madirisha uku akimuangalia Jasmine anavyolia masikini" usinibake usinibake". Hans alibaki kumuangalia tu" hello mrembo" alisalimia .

Jasmine " usinibake kaka angu naomba please tafadhari" aliongea. Hans alitabasamu tu nakumwambia" niangalie basi mimi sikubaki wala nini labla nitakuwa msaada kwako " aliongea .

Jasmine baada ya kusikia maneno ya faraja kama ayo alibidi afungue sura ambayo kajifunika na mikono yake kumuangalia. Alishangaa! kumuona kijana mzuri handsome sana . Hans nae alishangaa kumkuta mwanadada beautiful kushinda Najma kila kitu .

" Naitwa Hans " aliongea Hans akiwa amekaa kitandani. Jasmine alijibu'' uku akili naitwa Jasmine ". " Wawoow jina nzuri kama mwenyewe " alimsifia . Jasmine aliitikia kwa kichwa masikini akiwa amini amini .

Hans " mimi sitokufanya chochote kile zaidi naomba tuwe marafiki sawa” . Jasmine akuamini macho yake kumpata kijana mwenye moyo kama Hans . Hans " usilie basi sawa swaiba " nakumkumbatia Jasmine .

Hans alijikuta akibembeleza Jasmine adi alipolala na yeye alilala akiwa anamuangalia sana. " Dah mdada mzuri sana mashallah sasa kwanini alikuja kujiuza kipindi ataki ? alijiuliza uku akimuangalia tu .

Ilikuwa majira ya baridi kari sana Jasmine alikuwa kajikunyata kutoka na mavazi aliovaa . Hans alibidi avue shati ake na kumfunika Jasmine na kwenda kumkumbatia kumkinga na baridi. Jasmine aliamka asubuhi na kumkuta Hans akimuangalia usoni.

Aliona aibu nakutoka kuingia bafuni kujikagua akuingiliwa kweli na kujikuta yupo Sawa . Alibidi aoge na kutoka kumuangalia Hans nakumkuta ametoka , alibidi amfate. Kidogo Hans aliingia ndani na kumkuta Jasmine akimtafuta yeye alimuona alitabasamu tu.

Hans alibaki kumuangalia tu nakumwambia" fanya haraka nikakugabizishe kwa matroni wenu mimi niondoke ". Jasmine alibaki kumuangalia uku akili tu masikini kumwambia napata shida anashindwa.

Hans " mbona unalia rafiki angu vipi ". Jasmine alimpigia magoti " pls naomba nitoe hapa au nipige lisasi nife tu " .

*******************

Hans alijibu'' usijali nitakutoa tu nakumsimamisha kumshika mkono adi nje. Jasmine akiwa anaona aibu wasichaa wezake wakimuangalia . Hans aliendelea adi kwa madam Frida " asantee sana kwa huduma nzuri kama hii " alimsifia . Frida alifurahi sana baada ya kupewa pesa yake laki mbili.

Hans " je naweza kununua huyu mdada akawa mali yangu ya kunituliza mimi tu ? aliuliza . Madam Frida sababu mpenda pesa " unashingapi ? aliuliza.

Hans alijibu'' unataka shingapi ". Madam Frida alitaja
"milioni kumi " . Hans alijibu'' sawa na kupa milioni kumi na tano " alitoa cheki ya milioni tano na kumwambia nyingine nitatoa nikija kumchukua .

Madam Frida alikubari na kufurahi mwenyewe na Hans aliondoka ake . Hans alipanda gari nakuondoka akiwa yupo kwenye mawazo alishangaa ! sms ikiingia na kukuta Najma.

" Sorry honey aikuwa zamira yangu kukufanyia vile sema ni hisia nilishindwa kujiuzia Iakini nakupenda sana Hans". Hans alibidi asimjibu chochote kile zaidi ya yote aliendesha gari adi kwao na kushuka.

Hans alikutana na Zuri mlangoni nakupita zake. Zuri " baba Najma baba Najma mbona umerudi uku umenuna vipi kuna tatizo lolote lile ? alimuliza bira kujua kaka ake amesalitiwa na Najma . Hans aliingia chumbani akiwa na hasira alitoa nguo na kutupa tupa kwanini" Najma alikuwa akinidanga muda wote ule" aliongea uku akilia .

Hans alibidi atoke na kuingia bafuni kuoga alikumbuka tukio la jana mwanadada Jasmine akilia " usinibake usinibake usinibake" alibaki kucheka tu . " Mbona yupo pale kama ataki kujiuza ? alijiuliza .

Hans alibaki kujisemea" atajijua mwenyewe maana tokea niumizwe na mwanamke simuamini tena demu yoyote" . Aliendelea kuoga kutoka na kuvaa akiwa anakumbuka maneno ya Jasmine " naomba unisaidie unitoe hapa au unipige risasi nife ".

Hans alijikuta akiumia nakukumbuka maneno ya Mungu kwenye qu'ran na bibilia alisema " mkikomboa mtumwa ni unalipwa na Mwenyenzi Múngu hapa duniani na mbinguni ". Hans alijua kabisa Jasmine anafanya vile sio kwa mapenzi bari ni lazima na anamsaada mwingine zaidi yake .

Alijisemea lazima ni msaidie huyu binti atoke pale .

Hans atamsaidia mwanadada Jasmine kumtoa endelea kufatiliia season inayofata utajua mengi zaidi.

itaendelea.
muendelezo ni tsh 1000 tu Namba 0756748557 mpesa , 0659 387908 Jina badrubadru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 6.
BOOKING 0756748557 .

Hans alibidi azime simu kutoka na Najma na kulala zake akiwa na furaha moyoni mwake. Kwenye danguro la Aunti Frida wadada wengi walikuwa wakicheza na kufurahi mwenyewe . Zawadi na Diana walimfata mwezao Jasmine ambaye alikuwa kajitenga na kuvaa mavazi ya heshima dira na mtindo.

" Shoga angu una nyota sana Jasmine sio kwa yule kaka mzuri sana" alisema Diana . Zawadi " ebu tuachane na hiyo mada basi "aliongea . " Pole sana Jasmine kwa kuingiliwa na mwanaume nilijitaidi kuokoa sana ilishindikana"aliongea Zawadi.

Zawadi nakuanza kumuhadithi Jasmine kipindi Hans anakuja chumbani alimfata baada yakujua mteja wa Jasmine. " Pls kaka naomba usimfanye çhochote kile yule dada akupenda kuwa pale " aliongea. Hans alímkata jicho na kuendelea na safarii yake bira kusema chochote kile.

Zawadi aliendelea kumfata kumuomba na kumshika miguu Hans alisimfanye lolote baya lakini Hans akumjari alipoítwa na madam Frida kama kashamaliza kumuonyesha mteja aende ndani . Zawadi aliingia ndani nakuacha Hans akiingia ndani na kulia sana .

" Sorry Jasmine nilishindwa kukusaidia " aliongea uku akilia. Jasmine alibidi amkumbatie Zawadi na Diana wakilia "basi inatosha marafiki zangu msilie sana na asantee kwa kunisaidia sana " aliongea uku akiwafuta màchozi. Kimoyomoyo anasema "poleni sana sikufanya chochote kile kibaya ila mamdogo na bamdogo watalipa kwa haya yote walionifanyia ". Walibembeleza na kukaa kuendelea kupiga stori maana Jasmine alikuwa afanyikazi tena kutoka na kununuliwa na Hans .

Hans alilala na kuamka majira ya jioni na kutoka zake akiwa ana asira na mwadada Najma. Alienda sebreni na kukuta wazazi wake wamerudi kazini . " Hello Mamy and dady" alimsalimia. Mama Hans na baba Hans waliitikia " Hello ".

Baba Hans " ufanye uoe sasa huyo Najma siunajua mtoto wa kiislam wewe aipendezi kwenye dini kufanya vile" aliongea. Hans alibaki kuwaangalia wazazi wake kuwambia kuwa amesalitiwa anashindwa watamuoji jana alikuwa wapi . Alibidi ajikaze kiume " sawa dady nitaoa tu ".

Mama Hans " kabla ujaoa mlete nyumbani kwanza nimuone mkwe ndo uoe" . Hans alijibu'' Sawa mama nitamleta ". Zuri alitokea" mbona leo aupo sawa zile bwebwe zako zipo wapi au Najma kashakumiza nini ? aliuliza .

Mama Hans " Zuri mwanangu punguza mdomo utapigwa bure hapa " aliongea . Hans alibidi azugue " siunajua nitoka kulala lazima niwe hivi". Baba Hans" aaah kumbe ok basi kesho naomba nikakutambulishe lasmini kazi kwenye kampuni yangu kubwa ukawe kama mkurugenzi msaidizi ".

Hans alijibu'' shukrani dady" nakuaga wazazi wake kuwa anaenda Jim. Hans alinyanyuka na kuondoka zake akiwacha wazazi wake awajui chochote kile.

*******************

Alibidi atoke adi jim alifanya mazoezi akiwa na mawazo sana kuhusu mwanamke alimpenda sana Najma . Hans alibidi akumbuke maneno ya Andrew " achana na wanawake sasa hivi wanawake pasua kichwa sana ukiwa unashida zako njoo Madam Frida yupo umchukua moja upige usepe " .

Hans alisemea " wawooow ili ndo wazo zuri sana ". Alibidi anze kuchangamka na kufanya jim kuondoka zake majira ya usiku na kuondoka zake . Hans alifika kwao nakukuta mida ya msosi .

" Karibu Hans " walimkaribisha . Hans alijibu'' asantee ngoja nikaoge nije kula ". Alitoka na kuingia bafuni kuoga kisha alitoka kula . Hans na familia walikula na kumaliza kula kukaa.
" Kesho uwahi kuamka kuja ofisini "alisema baba Hans.

Hans alijibu'' sawa dady" na kumuacha akiwa kabaki na Mdogo wake Zuri. " Alafu maswala ya kuropoka ropoka nitakuja nikupige siku ulie ".

Zuri " wewe subutu unipige uoe " aliongea. Hans alisimama Zuri mbio alikimbia chumbani . Hans alicheka sana kwa vituko vya mdogo wake muoga huyo lakini mdomo matata. Alibidi abebe laptop yake na kuondoka zake kuingia chumbani.

Alilala lakini kila akilala alikuwa akimuwaza Jasmine akilia usinibake usibake. Hans alijisemea " kesho nikutoka kazini niende kumuona " alibidi alale .

Asubuhi aliamka mapema na kuoga kuvaa suti tai na mchongoko alibeba begi la laptop na kutoka. Alikutana na Zuri "wacha wewe baba Najma watakukoma ofisini ".
Hans alicheka tu kwa maneno ya mdogo wake na kuondoka zake .

Alifika ofisini na kukuta kuna kikao kinaendelea. Hans alibidi akae nyuma kabisa kusikiliza kikao . Kikao kilivyoisha baba Hans alibidi asimame na kumtambulisha kijana wake anaitwa Hans ni mkurugenzi msaidizi wa kampuni yetu ya Gold .

Hans alibidi asimame na kujitambulisha mwenyewe " naombeni ushirikano wenu ". Watu wote walifurahi wakiwe vidada ndo kabisa . Kikao kilisha vizuri tu na watu wote walitoka ofisini .

" Fatima umemuona boss mpya kafiti eeeh "aliongea Khadija. Fatma " wewe acha sijui kama tutafanya kazi boss mrembo vile " . Hans mwenyewe alipita alikuwa ana ata habari na wadada kutoka na usaliti aliofanyiwa na Najma .

Je nini kitatokea .

itaendelea
Muendelezo ni 1000
0756748557 mpesa, Tigopesa 0659 387908 jina badru badru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 7.
BOOKING 0756748557 .

Hans aliingia ofisini kwake akiwa amekaa .Baba ake alikuja kuingia ofisini kwake " umeonaje ofisi ? aliuliza . Hans alijibu'' nzuri " uku akiangalia angalia mazingira ." Okay basi naomba uchunge sana kiti chako ikiwezakana uoe kabisa habari ya kutembea na wadada wa ofisini sitaki " aliongea baba Hans.

Hans" sawa mzee nimekuelewa" aliitikia na baba Hans aliondoka zake. Hans alikaa ofisini kwake akiwa na mawazo na binti Jasmine ambaye aliyemuona kule danguro . Hans alibidi atoke sababu akukuwa na kazi na kuondoka zake .

Aliingia dukani na kununuliwa zawadi ambazo nguo ndefu za heshima na mafuta mazuri kutoka zake kumpelekea. Alifika kasino kulikuwa na mashindano ya kucheza na kukata mauno mshindi wa kwanza alíkuwa akipewa laki tatu .

Wanaume wengi walikuwepo na pombe zilinyweka na nyama choma . Hans aliona aibu kuingia isitoshe ni anajiheshumu sana . Alibidi amuite mdada moja amulize kwanza . Yule mdada aliendelea adi pale baada ya kuona mkaka mzuri vile " mamboo" alimrembulia .

Hans " poa samahani eti Jasmine yupo wapi? aliuliza. Yule dada alijibu'' utampendaje yule mshamba kijana mzuri kama wewe njoo nikuhudumie ". Hans alibaki kumuangalia tu na kutisa kichwa .

Kidogo alipita Hasu ambaye ni shoga . Alimuita Hasu kwa kujikaza sana maana aliona aibu kumuona kijana mwenzake bwabwa . Hasu alibidi aende adi pale" jamani Hans " aliongea uku akiwa anamlegezea sauti.

Hans " Jasmine yupo wapi? aliuliza . Hasu alifonya "lakini Hans mbona unamchukua Jasmine pekee ake sisi wengine tutakula wapi? alimuliza. Hans aliona kelele nyingi alichomoa pochi na kumpa elfu 20 nipeleke kwa Jasmine .

Hasu alichukua pesa na kuificha kumpeleka chumbani kwa Jasmine kwa kupitia mlango wa nyuma. Hans alifika chumbani na kukaa tu Jasmine akuwepo alikuwa yupo nje amekaa akisuka zake vitambaa. Hasu alienda kumuita na Jasmine kuwa Hans wake amekuja .

********************

Jasmine alitoka mbio akiwa na furaha sana na kufika mlangoni aliparamia mtu . " Sorry sana " aliendelea kukimbia kufika mlango kuingia . Hans alikuwa akiongea na simu na kushangaa mtu kaja kumkumbatia kwa nyuma .

Hans alibidi akate simu na kumuangalia kumkuta Jasmine akilia. " Kwani umechelewa kuja Hans ? aliuliza na kulia . Hans " kwani kuna kitu kibaya kimekukuta jasmine ? aliuliza .

Jasmine " hapana naogopa Hans upaswi kuniacha pekee angu" aliongea uku akilia. Hans alijikuta akimuonea huruma sana Jasmine adi kulia na kufuta machozi .
" okay nimekulewa kwanzia leo sitokuacha mbali na wewe nitakuwa karibu yako kila wakati " .

Jasmine alifurahi sana kusikia vile nakumshukuru sana Hans kwa kumsaidia . Hans alitoa zawadi na kumkumpa nguo na mafuta ya kunukia kumpa . " Thanks you Hans kwa yote uliyonifanyia " alisema Jasmine .

Hans " usijali mimi na wewe marafiki my Duffer ". Jasmine alibidi amlali miguuni akiwa anaamani kidogo ya moyo. Hans akimbembeleza adi Jasmine alipitiwa na usingizi kulala .

Hans nae alibidi alale pale akiwa kamuekea kwenye kichwa . Aliota ndoto nzuri kuwa ameoa mdada moja ambaye sura yake akuiona vizuri . Hans alibidi ashtuke na kuangalia kuta simu inaita alibidi apokee simu.

"Hello " aliongea . Upande wa pili alikuwa Najma akilia sana. Hans " kuna shida yoyote ile ? aliuliza . Najma "please njoo nyumbani nimevamiwa sina msaada "aliongea .

Hans alisema" nakuja dakika sifuri tu hapo" na kukata simu. Najma alicheka sana" sasa je mkaka mzuri kama huyu na pesa zake aniache kilaisi laisi tu .

itàendelea.
Muendelezo ni tsh 1000 tu namba 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659387908 jina badru badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 8.
BOOKING 0756748557 .

Hans alibidi amuamshe Jasmine miguuni na Jasmine aliamka na kumkuta Hans.
" Nimepigiwa simu nyumbani kunashida kwahiyo mimi naondoka" . Jasmine alikubari bari kishingo upande na kutoka miguu akiwa mnyonge masikini.

" Úsijali Jasmine nitakutoa hivi karibuni" Hans alitoka na kwenda kwa Madam Frida kuongea nae maana tamasha lilikuwa limeisha . " Hans umekuja saa ngapi ? aliuliza madam Frida . Hans akuongea nae chochote zaidi ya kumtupia cheki ya milioni 3 na mkataba .

Frida alichukua na kusaini vizuri kuwa kapokea milioni 8 ya kumuuzia Hans Jasmine . Hans " okay bado milioni 7 nakuja kumchukua sasa olewako uvunje mkataba kwa kumuuzia mtu mwingine ".
Frida alicheka tu " nenda bhana mbona uniamini mimi " .

Hans " sawa nakuamini lakini ukinigeuka utajua mimi chizi au taira "alichukua funguo ya gari yake na kuondoka zake . Hasu " huyu kijana mbona anajiamini sana ? aliuliza .

Madam Frida " amna chochote hapo kwanza mchumba kama wachumba wengi " aliongea na kutoka zake kuingia chumbani kwake kufurahi anapata milioni kumi na tano ya bure bure . Huku kwa Jasmine waliingia Zawadi na Diana nakumkuta amekaa akiangalia nguo zake.

Zawadi " mmmh mbona nguo nzuri hivi ndefu adi chini kakuletea nani ? aliuliza. Diana " umuoni anafuraha hivi bwana shemeji kaja leo " aliongea . Zawadi " eeeh usiniambie kuwa Hans ndo shemeji yetu ? aliuliza. Jasmine" jamani ebu acheni majungu basi" aliongea akiwa na furaha atimaye amepata mtu wakumtetea.

Hans aliendelea adi nyumbani kwa Najma ambapo alipombiwa majambazi wameingia . Alipiga hodi na kufunguliwa mlango .
" Karibu Hans kwa kunikumbuka tena leo " aliongea kihuruma kama mtu kweli ..

********************

Hans aliangalia kushoto na kulia " au watu walikuvamia wapo wapi ? aliuliza . Najma alimshika mkono Hans naomba " unisameeh Hans sirudi tena ". Hans alimuangalia " Kwanini uliamua kunicheat Najma eeeh kosa langu kukuamini au " .

Najma " nilishindwa kukuamini kuwa utarudi tena au utakaa ukoo ukoo na kuoa mwingine". Hans " aaah ulishindwa kunijengea uaminifu mbona nilikuamini na kukusomesha na sijui kama ulisoma kweli amalaa mimi sijui ".

Aliendelea kusema" Kama ulishindwa kuniamini niache niende Najma ufai kuwa mke wangu" . Hans alisimama na kutoka zake akiwa ana hasira na Najma alichukua kisu.

" Hans upoteali kuniona nakufa leo " aliongea Najma . Hans alibakia kuganda tu kutoka anashindwa kwenda ana shindwa .

Najma aliona yes nampata mtu " nikosa lipi lisilo sameheka Hans" . Hans alibaki akimuangalia tu na kuona upumbavu sasa alibidi atembee atua mbili . Najma alimuita Hans na Hans aligeuka nyuma . Najma alichukua kisu na kutaka kujichoma tumboni.

Hans sababu alikuwa akimpenda sana Najma aliwahi kile kisu na kumpokonya ." No no no no " alisema Hans na kumkumbatia Najma .

itaendelea .
Muendelezo ni tsh 1000 tu namba ni 0659387908 Tigopesa , 0756748557 mpesa jina badrubadru .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 9.
BOOKING 0756748557

Najma alikumbatiwa na Hans akiwa mtu mwenye furaha sana kumpata Hans. " I'm sorry baby " aliongea Najma kwa upole . Hans alijibu'' usijari malkia wangu nilishasameeh teali ". Najma alifurahi na Hans alimuwaga Najma na kuondoka zake. Hans aliirudi zake kwao akiwa na furaha sana kwenye moyo wake , aliendesha gari adi kwao. Alishuka kwenye gari na kumsabahi Mlinzi na kuingia ndani.

Hans alitiliza moja kwa moja ndani nakuingia kuoga kukaa kitandani . Alianza kukumbuka maneno ya Jasmine " mbona umechelewa kuja lakini nilikwambia sipo sehemu salama sana ". Hans alibaki kutabasamu tu akiwa na furaha moyoni mwake .

Alibidi alale maana usiku ulikuwa umeingia . Hans aliamka kulikuwa ni siku ya wiki end aendi kazini alitoka akiwa kapendeza. " Haya baba kumekucha wapi hiyo ? aliuliza Zuri. Hans " ebu nipishe mimi nitakuja kukupiga kwa umbea wako " nakuendelea kutembea .

Hans alifika mbele kidogo na kumkuta mama ake amekaa , alimsalimia. Mama Hans alisema " Hans kijana wangu nilete mkwe nimuone chaguo sahii mke mwema maana mimi ni mama na Mungu wa pili duniani ". Hans alitabasamu " usijali mama atakuja tu Najma wala usiwe na wasiwasi".

" Sio atakuja tu mwambie aje tumsamishe hapa kama mke mwema au kaka kanunua ng'ombe kwenye kiroba " alisema Zuri . Mama Hans" Zuri binti angu mbona unamdomo wewe utakuja upigwe bure " . Zuri " amna mimi namwambia ukweli atulete wifi tumsamishe kwanza " ..

Hans aliamua kúondoka zake maana alishachoshwa na kelele za Zuri . Alienda moja kwa moja adi Kasino bahati nzuri alimkuta Jasmine nje akifuma vitambaa vyake.

" Wawoow alimkumbatia Jasmine " . Jasmine alimkaribisha vizuri .Hans aliomba atoke nae out. Jasmine aliàkubari na kutoka kwenda kuoga alivaa nguo ndefu na kwenda kwa Hans .
Hans alimshika mkono adi kwa madam Frida .

" Nakumtupia mkataba saini hapa " . Madam Frida alimsaini" bado milioni 3 tu" alisaini. Hans " ok " alimtupia laki moja natoka nae leo. Watu waliona donge Jasmine kupata mwanaume wa maana Kasino. Hans alimchukua Jasmine na kumpeleka sehemu nzuri tu .

Jasmine alimshukuru sana " asantee bro Hans Mungu akulipe ". Hans " usijali "na kubaki kumuangalia tu kumuuliza histori yake anashindwa . Alibaki kumuangalia tu bahati alivaa miwani kwahiyo Jasmine akuisi kuangalia .

******************
.
Hans alinyanyuka nakusema " mimi napenda maji mwezako ". Jasmine " mmmh brother mimi sijui kuogerea " alisema .
Hans " njoo mimi nitakufundisha " alitoa pesa na kununulia kumpa akabadirishe. Jasmine alitoka nje akiwa kabadirisha nguo, Hans alibaki kumuangalia tu maana dah mzuri bara , licha na uzuri chuma kafungasha mzigo.

Alimpa mkono Hans na kuingia majini . Hans uvumilivu ulimshinda alianza kumfundisha akimshika na Jasmine alirege tena. Hans alikumbuka alimuekea adi na kutoka kwenye maji.

Jasmine nae alitoka kwenye maji na kwenda alipokaa Hans . Hans alisema " kabadirishe tuondoke nimepigiwa simu na mchumba angu niende ". Jasmine alishangaa ! " kaka Hans unamchumba kumbe sasa danguro ulikuja kufanya nini ? aliuliza .

Hans " wewe acha tu wanawake walichonifanyia Jasmine sitamani kuwa na mwanamke yoyote yule ". Jasmine " pole sana brother ila asantee Mungu kwa kuja kwako umenisaidia sana " .

Hans alicheka na kumkumbatia " usijali subiri niondoke maana kichwa changu akijapanga kuoa sasa hivi sema wazazi wangu wanaforce nioe ". Jasmine " sawa bora ataoe kuliko kule danguro siko kabisa" .

Hans alicheka" muone kwanza twende uko Frida anakutaka ". Jasmine na Hans walitoka na kwenda kasino kumrudisha na Jasmine na yeye kuondoka zake.

Hans alienda adi nyumbani kwa Najma nakwenda kumwambia" wazazi wangu wanataka kukuona ikiwezakana ukakae nyumbani" . Najma alijua Hans anampenda sana alifurahi sana " asantee Hans jamani ".

Hans alitoka zake nje na kumsubiri kwenye gari akiwa anamuwaza Jasmine. Najma alitoka zake akiwa kapendeza mwenyewe na mabegi yake na kupanda gari kuondoka zao.
Hans alifika kwao na kumkuta mama na baba ake wamekaa wakipiga stori.

" Shikamoo mama na baba " aliwàsalimia vizuri . Wazazi waliitikia na vizuri .

Hans aliwatambulisha " baba na mama mnayemuona hapa anaitwa Najma mchumba angu na mke mtarajiwa" . Zuri alitokea palepale akiwa anatoka chumbani kwake na mdori wake .
" Haha " alishangaa! wifi ake .

Najma nae alishangaa! kumuona Zuri pale nakuangalia chini kwa aibu. Mama Hans alibidi amtoe Zuri pale maana alikuwa akimjua kiroporopo sana .

itaendelea.
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 10
BOOKING 0756748557 .

Zuri aliongea" mama huyu mdada nimwanamke wa Ibrahimu ambaye mdogo wake na soma nae chuo ". Mama Hans alijibu'' sawa lakini sio vizuri kumzalilisha pale mbele za watu utaogomba na kaka bure kama kapenda kapenda". Zuri " mama yule sio mwanamke wa kuolewa na brother Hans kabisa " aliongea .

Mama Hans alijibu'' sawa binti angu lakini tutumie hekima tumuoke Hans wetu sawa . Zuri aliingia chumbani kwake na kujifungia mlango" watajijua wenyewe na mkwe wao" . Mama Hans alibidi atoke chumbani na kwenda zake sebruni . " Karibu sana jisikie upo nyumbani sawa'

Najma " asante mama na kukaa kuangalia Mazingira nyumba nzuri gorofa". Baba Hans aliongea" Hans kijana wangu kesho kutwa unaitajika china kwenye mkutano wa wafanyakazi na biashara".

Hans alijibu'' sawa dady ". Mama Hans alimchukua mkwe wake na kumpeleka chumbani kwake ambao wamemuandalia na yeye aliingia chumbani kwake . Najma " wawooow ayo ndo maisha nilikuwa nikitaka mimi sasa na kupanda kitandani kulala zake" .

Hans aliingia kwake nakumkumbuka Jasmine " fanya haraka nitoe pale ". Alijisema mwenyewe " nasafari naenda China nikírudi tu lazima nikutoe lasmi uwe huru . Alilala na kuwa akifurahi sana kurudiana na Najma mwanamke aliyempenda sana .

Akiwa amelala aliota kuwa amefunga ndoa na mdada mwingine ambaye sura inafifia . Hans alishtuka nakuanza kutafakari ile ndoto ambaye ina jirudia kila wakati " inakuaje sasa híi ndoto adi naota inajirudia kila wakati " alibidi apumzie na kurudi kulala .

Hans aliamka vizuri nakuingia bafuni kuoga na kutoka mida ya saa tatu . Alienda sebureni nakukaa kuchwa chai yeye na wazazi wake uku wakipiga storí adi saa 4 kasoro ndo Najma ambaye mke mtarajiwa wa Hans ndo anamka.

*******************

Najma aliona aibu kuwakuta watu wote wapo sebreni wakimuangalia bibi harusi mtarajiwa. Zuri alibakia kucheka tu " aya wenye wake zenu bwana kamka mapema bibi bado kalala tu.

" Zuri mwanangu punguza mdomo adi upigwe ndo ulizike" aliongea mama Hans. Zuri " ukweli tunamuambia hapo ana ndoa " aliongea na kunyanyuka kuondoka zake . Hans nae aliona aibu na kunyanyuka kuondoka zake .

Baba Hans " ukajiandae kesho unasafari unaenda China" . Hans alikubari na kuondoka zake akiwa kwenye gari alikumbuka maneno ya mdogo wake . " Najma kwanini ananiaibisha mbele za wazazi wangu vile" aliendesha gari akiwa na hasira na kuondoka zake kwenda kumuaga rafiki ake Jasmine kuwa amepata safari .

Hans alienda moja kwa moja adi kasino na kuwa kuta wadada kibao wamekaa nje .
" Hello mambo zenu ".

Wadada "poa tu karibu tukupe mauno ya Tanga " . Hans kabla ajaongea kitu alimuona Jasmine akiwa anapita zake .
" Jasmine, Jasmine , Jasmine " alimuita . Jasmine alibidi ageuke nyuma na Hans alikimbia na kumkumbatia .

Wezako walikuwa wakicheka " halo mshamba kapata bwana nae " . Khadija " ila bwana ake mzuri sana alafu anapesa chafu ". Anita mwanadada asiyempenda Jasmine" mimi na wambia Jasmine sio bure ni mchawi yule mtoto aiwezekani mkaka mzuri vile akapagwa kwa mvaa madira".

" Alafu kweli Jasmine anauzuri wowote hapa kasino nashangaa wanaume wengi wakimpenda yeye". Jasmine mwenyewe alibidi aingie chumbani yeye na Hans . Hans alitoa simu kwenye box na kumpa zawadi kisha alimwambia" naenda China kikazi nikírudi tu nakuja kukutoa lasmi uwe huru .

Jasmine alikuwa amini alikuwa akilia tu" asantee brother kwa kunipigania". Hans " úsijali mimi na wewe ni marafiki tu" .

Jasmine " uliniambia unataka kuoa vipi umefikia wapi ? aliuliza. Hans alitabasam " yap mke wangu yupo nyumbani amebadirika sasa " . Jasmine" hongera uache kuja kasino sasa sio vizuri '". Hans " kasino nakufata wewe tu nikishakutoa nitamfata nani mwingine" .

Je nini kitaende Hans atakuja kumpenda Jasmine.

itaendelea .
Muendelezo ni tsh 1000 tu . Vipande 15 ni mia tano namba 0756748557mpesa , Tigopesa 0659 387908 jina Badru Badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY
SEHEMU YA 11.
BOOKING 0756748557 .

Jasmine alicheka " asantee sana bro Hans kwa kuniokoa kwenye maisha yangu " . Hans " usijari Jasmine tupo pamoja" na kumbusu kwenye paji la uso kuondoka zake .Hans alitoka chumbani kwa Jasmine alienda moja kwa moja kwa madam Frida na kumtupia mkataba saini hapo.

Madam Frida alisaini nakutupiwa milioni tatu yake iliyobaki . Hans alisema" naenda China nikírudi na kuja kumchukua sasa olewako umuze kwa wanaume wengi utanijua vizuri na kuondoka " . Hans alienda kumuaga rafiki ake kipenzi na kuondoka zake.

Hasu " huyu kaka anajiamjni aise ". Madam Frida " aende zake uko amtishe nani" alijibu. Hans aliondoka zake akiwa anafuraha sana kwenda kumuaga rafiki ake Jasmine. Nyumbani kwa kina Hans walimuacha Najma na wafanyakazi wengíne tu maana Hans alikuwa ayupo kaondoka , wazazi wake wote kazini na Zuri alienda chuo alikuwa akai hosteli ana gari yake .

Najma " aise huyu mganga kiboko Hans ujeuri wetu ule kaja kunileta kwao mwenyewe" aliongea . Aliendelea kusema" bado kale katoto kajuzi ndo kanipinga nitamzibiti kimya kimya anielewe ajui mimi mtoto wa Tanga " .

Hans aliwahi kurudi ofisini na kumkuta Najma amekaa , aliingia ndani kwake kubadirisha nguo kutoka.
" Wekazo wako wapi ? aliuliza.

Najma alijibu'' mama na baba wametoka na wadada wakazi wapo jikoni ". Hans alibakia kumuangalia tu" wewe mbona upo hapa akati wezako wapo jikoni " ? aliuliza . Najma aliongea" lakini baby wadada wakazi wote wale wapo na mimi niende kweli".

Hans " lakini mke wangu upo kwa wakwe lazima uwe unafanya kazi atakidogo mke wangu " aliongea . Najma " aaah bhana kama mmeniita hapa niwe house girl wenu bora mnirudishe tu ".

Hans alibaki kutikisa kichwa na kuamua kuondoka zake akiwa anafuraha kumkomboa Jasmine . Aliingia chumbani kwake kuweka vitu vizuri kujitaarisha kwenda nchini China siku tatu kikazi.

*******************

Baba Hans na mama Hans walirudi kazini na kumkuta Hans yupo nje amekaa akipunga upepo. Baba Hans " umejitaarisha na safiri ". Hans " ndio baba " alijibu .

" Ok" alimpa tiketi ya ndege na yeye kuingia ndani . Hans alikuwa ana amani kabisa kumuacha Jasmine kule maana alijua Frida Mzee wa kupenda pesa . " Mbona moyo wangu auna amani unamuwaza sana Jasmine " .

Zuri alitoka nje na kumkuta kaka ake amekaa kainaminisha kichwa chini .
" Mbona umekaa hapo vipi umeshazingua na wifi nini ? aliuliza. Hans" Zuri niache nimetulia zangu sitaki kuongea kwani unapenda nionge".

Zuri" kiufupi kata ukubari Najma akupendi anapenda pesa tu". Hans alisema" Zuri ebu niache bhana " . Zuri" ok chakula teali ". Hans " tangulia na kuja kula" . Zuri aliingia ndani " nakukaa kula ".

Hans aliingia nae ña kula kuondoka zake kulala maana alikuwa ana raha anaondoka kumuacha rafiki ake kipenzi. Kesho yake nyumba nzima iliwahi kuamka na kuanda kunywa chai na kuondoka zao kupeleka Hans aiport .

Hans alisafiri zake adi china na kufika Kwenye hotel iliyopo okom . Alichukua simu yake naongea na Najma vizuri kumwambia akimaliza kikao atarudi wapange mipango ya harusi .

Najma alifurahi sana kusikia Hans anataka kumuoa na Hans alikata simu na kúchati na Jasmine kwa njia ya whatsapp . Chaajabu Hans kipindi ana achati alíjikuta anafuraha sana akichati na Jasmine kuliko Najma .

" Kesho kutwa nikírudi nakuja kukutoa hapo kwenye danguro " . Jasmine alikubari Sawa sawa na kulala .

Jasmine aliamka asubuhi na mapema na kutoka zake kwenda kufua nguo akiwa yupo yeye na Zawadi. " Aise Hans anakupenda adi kanunua mwezetu hongera unatuacha peke etu . Jasmine " msijali subiri nipambane nije kuwatoa".

itàendelea .
muendelezo ni tsh 1000 tu , 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659 387908 Jina Badrubadru
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 12
BOOKING 0756748557.

Zawadi alimkumbatia uku akilia. Jasmine" usilie bàsi tutakutana tu" na kumkiss . Walipiga stori adi usiku wezake wote walienda kujiuza na kubaki yeye akiangalia nyota usiku zikiwika.

" Hatimaye kesho na kuwa uhuru ni kiondoka na heshima yangu " alisema. Aliendelea kusema" nitaenda kuishi wapi mimi maana sina ndugu yoyote yule ninayemjua ". Alijikuta akilia sana " nakuchukia mamdogo bira wewe nisingekuja kujiuza " .

Jasmine aliingia chumbani na kulala adi kesho asubuhi . Aliamka asubuhi akiwa na furaha mwenyewe maana leo alijua atakuwa yupo huru . Mida ya saa sita mchana liliingia gari moja jeusi na kushuka mbaba moja mweusi mnene na kuelekea kwa madam Frida .

" Papa Fred " aliongea Frida. Fred alibaki kucheka tu hahahaha nakutoa pesa kumtupia laki tano.
" Kuna kapisi kakali nimekaona sikuile nilivamiana nacho mlangoni nakaomba kakanipe raha leo".

Madam Frida " nani uyo ? aliuliza. Fredi alijibu'' nikatoto kamoja kazuri keupe kana tako kama Hamisa Mubeto ". Hasu aliropoka "Jasmine yule .

Madam Frida" oooh kumbe Jasmine " alijibu. Hasu alijibu'' lakini yule anaoda ya Hans madam". Madam Frida" bhana eeeh tukose pesa kisa kanunuliwa na Hans kawambie wamuandae huyo Hans atulie kwanza ".

Hasu alitoka na kuenda kumgongea mlango , alitoka Zawadi. " Mwambie Jasmine ajiandae anamteja wake " Hasu aliondoka zake. Zawadi alimfikishia ujumbe wake na Jasmine alianza kulia masikini. " Nyamaza usilie Jasmine " Zawadi aliongea .

*********************

Zawadi na Jasmine kipindi wanabembeleza uku ndani wasikia sauti ya madam Frida ikiongea . " Chumba chake hichi hapa na kuwaomba marafiki zake watoke chumbani".

Wakina Zawadi na Diana walitoka uku wakimuacha Jasmine pekee ake chumbani wakiwa wanalia . Fredi alingia chumbani kwa Jasmine nakumkuta Jasmine analia masikini. Fred " njoo bàsi mlembo tuongee sasa " .

Jasmine alikuwa bishi sana kwani akutaka kuingiliwa mwili wake Fred alifata kwa asira akitaka kufanya mapenzi nae kinguvu. Hans alikuwa amesharudi Tanzania na kuomba dereva hapereke mizigo kwanza nyumbani yeye apitie kwa Jasmine kumuangalia maana alikuwa hapa amini sana pale .

Alikodisha tax na kupanda zake kwenda kwa madam Frida . Alifika kwenye kasino muda muwaka na Hasu alipoona Hans kaja ghafla alikimbia kwenda kumpa taarifa Madam Frida. Hans pale pale machale yakamcheza na kujua Jasmine ayupo salama .

Hans kipindi anataka kuingia ndani , mlango ulitaka kumfungwa. Hans aliupiga teke mlango ukajifungua na kieleele alidondoka chini. Kila mdada akijidahi kimshika alipiga kofi alikuwa na hasira sana mwekundu mishipa imesimama .

Hans alipiga teke mlangoni kwa Jasmine ulikuwa umerudishwa . Alimkuta Fredi ndo kamkaba Jasmine na kumvua nguo alivutwa na kupigwa ngumi moja .

Jasmine alisimama akuamini macho yake Hans kajakumsaidia . Hans " sorry nilichelewa kufika".

Jasmine alikuwa akilia tu masikini na Hans alitoka na Jasmine akiwa yupo kavaa dira na kumpiga simu polisi . Kidogo polisi walifika kweli na madam Frida kukamatwa .

" Nilikwambia Frida usicheze na mimi unakipata alichostali " aliongea Hans.

itaendelea .
muendelezo ni 1000 tu namba hii 0756748557mpesa , Tigopesa 0659387908 jina Badru Badru . Pia Mnakaribishwa kujoin group langu .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 13
BOOKING 0756748557.

Hans aliwambia" polisi akikisheni asitoke huyu ". " Sawa " walimkamata yeye na watumishi wake wote. Hans alipiga simu dereva wake amelete gari lake , dereva alimpelekea gari na kupanda na Jasmine kuondoka zake.
" Pole sana Jasmine" aliongea Hans.

Jasmine alikuwa akilia tu masikini . Hans alimuangalia na kumkumbatia" nisamehe kwa kuchelewa kukutoa". Jasmine aliitikia kwa kichwa tu.

" Kwani ilikuwaje kuwaje adi kuwa kwenye kasino lile kama utaki kujiuza ? aliuliza . Jasmine alikuwa akilia tu masikini na kuamuhamua kumuhadithia istori yake .

STORÍ INAANZA .

Ilikuwa siku ya happy birthday ya Jasmine maana alikuwa mtoto wa pekee kwenye nyumba moja ya mfanyabiashara mkubwa Tanzania. " Happy birthday my dear daughter , Happy my dear daughter " alikuwa mama Jasmine. Kidogo alitoka baba Jasmine akiongea na simu .
" Nakuja sasa hivi dakika sifuri tu" nakumuaga mke natoka kidogo . Mama Jasmine" eeeh unaelekea wapi unajua wazi leo kuna Happy birthday ya mwanao kipenzi" . Baba Jasmine " aah nimepigwa simu kuna kikao niende ".

Jasmine " nilete keki baba" alisema . Baba Jasmine" utaonza meno shauri ako ". Mama Jasmine "ébu mlete mtoto wako keki ".

Baba Jasmine aliondoka zake adi kwenye kikao . Mr Ibrahimu " umelipwa pesa zako zote milioni mia ulizomkopesha Deo " aliambiwa Baba Jasmine.

Baba Jasmine " mbona mjaweka bank maana pesa nyingi sana ? aliuliza . Mwenyekiti " hapana unajua bank ni mbali sana alafu foleni nikaonea tukupe hapa hapa"..

******************

Baba Jasmine" sawa" alichukua zile pesa na kupeana mkono yeye na Deo na mwenyekiti ambaye ni shaidi na kuwaga kuondoka zake . Mwenyekiti na Deo walianza kuangaliana na kucheka sana.

Deo alichukua simu na kupiga sehemu" vipi umeshachomoa breaking". Yule mtu " teali boss nimeshamaliza kazi tena". Deo alimwambia" mwenyekiti teali tumeshamaliza mchezo tunyanyuke twende .

Baba Jasmine ( ibrahim) alipolipwa pesa zake alifurahi sana na kukumbuka leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtoto wake wa pekee Jasmine . Alijisemea" subiri nikanunue bonge la keki binti angu " .

Aliendesha gari mwenyewe akiwa na furaha lakinï gafla kuna gari nyuma lilitaka kuomgonga . Baba Jasmine alibidi afungue breaking ili asimamishe gari ilo lakini breaking ilikuwa imechomolewa . Baba Jasmine alijitaidi sana uku gari yake ikiwa inajiendea tu .

Baba Jasmine gari yake iligonga kwenye mti na kupinduka palepale na yeye kupoteza maisha . Kidogo gari nyingine iliyokuwa ikitaka kumgonga ilienda na kushuka Mr Deo kuchukua pesa zake .

Deo alibidi apige simu kitu cha polisi na kuondoka.

Polisi walifika adi pale nakukuta simu inaita. Alikuwa mkewe akipiga simu hiyo na polisi alipokea na kumpa taarifa mumeo amepata ajari .

itaendelea.
Élfu moja tu namba 0756748557 mpesa , Tigopesa 0659 387908 jina Badru Badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 14
BOOKING 0756748557.

Mama Jasmine" what? aliuliza. Polisi " ndio hivyo ufanye uje hospital ya mkoa ". Mama Jasmine alitoka wangu wangu akiwa analia masikini nakumwambia" Jasmine habaki nyumbani sababu alikuwa kidato cha kwanza" .

Jasmine alibaki nyumbani akiwa analia ghafla walingia familia pamoja na ndugu na jamaa kuja kwenye msiba. Walimzika baba Jasmine na msiba ulisimamiwa na kaka wa marehemu baada ya mazishi kikao.

" Ndugu zangu Ibrahimu ameacha mtoto moja na mke mmoja ambaye ni mjane nani atayebaki naye ? aliuliza. Watu wote upande wa mume wa mama Jasmine walikaa kimya. Dada Ibrahimu alinyosha mkono nakusema" jamani sisi familia ya Ibrahimu tunakazi nyingi za kufanya labla upande wa pili " alikaa.

Kaka Ibrahim alibidi aulize familia mama Jasmine na mdogo wake wa mwisho alikubari kukaa na dada ake na msiba ulishaa. Mdogo wake mama Jasmine alikuwa akiitwa Zuwena .

Zuwena mwanzo alikuwa ni binti mzuri mtaratibu sana sababu akulijua jiji. Alivyolizoea jiji vizuri ndo tabia ilipobadirika , dada ake akitoka na yeye na atoka nyuma . Zuwena ukisema kidogo anasusa kula na kuongea na dada ake ata wiki .

Mama Jasmine alichukua kauri ya kubwa jalala alibidi amvulimie mdogo wake tu . Zuwena mbaya zaidi alikuwa akija na mabwana zake nyumbani.

Siku moja mama Jasmine alitoka na kwenda kazini maana alikuwa mwasibu wa bank ya Nmb. Aliingia ndani na kumkuta mdogo wake akifanya mapenzi na mlinzi mgetini .

" Zuwena hii to much umenizalilisha sana vyakutosha " aliongea Mama Jasmine . Zuwena alilia nisamehe sana dada sirudi tena.

*********************

Mama Jasmine" Tom unanidahi shingapi ? alimuliza mlinzi. Tom alijibu'' sikudahi kitu dada ". Mama Jasmine alitoa pesa laki moja na kumpa Tom.

" Kesho sitaki kukuona nyumbani kwangu sawa " . Tom aliondoka akiwa kapoa sana " Zuwena kaniponza mimi " aliongea . Mama Jasmine " nawewe Zuwena uniambie mapema mimi kama únataka shule au umalaya nikujue moja ".

Zuwena aliingia chumba kwake akiwa analia kama vile kaonewa alichukua simu na kukaa kitandani . " Zuwena umeniponza mwezako my dear "aliongea mlinzi .

Aliendelea" angalia mwezako narudi kijijini maisha magumu nilikukatalia ulinibembeleza sana ". Zuwena akiangalia alikuwa akimpenda sana Tom .

Asubuhi na mapema ilikuwa ni siku ya wiki end mama Jasmine akwenda kazini alikuwa amekaa akichati. Tom aliingia kumuaga mama Jasmine kuwa anaondoka. Mama Jasmine " sawa wasalimie" .

Tom aliondoka zake akiwa amini amin kuondoka kuicha nyumba hiyo nzuri sana . Zuwena alikuwa akilia sana dada ake akimfukuza mwanaume anayempenda sana .

Mama Jasmine" Zuwena nilete juice mdogo " alisema . Zuwena alichukua Juice na kumpelekea akiwa ametia sumu .

itaendelea .
Muendelezo ni tsh 1000 tu lipia 0756748557 Mpesa, Tigopesa 0659 387908 .jina badru badru. Tuma neno niunge kwenye group langu whatsapp .
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 15.
BOOKING 0756748557.

Zuwena alimpelekea Juice yenye sumu. Mama Jasmine alipokea kwasababu alimuamini sana mdogo na kuchukua Juice kunywa . Alidondoka chini na kupoteza maisha . Zuwena alitoka mbio adi nje chumbani kwa Tom alikumkuta Tom akijiandaa .

" Vipi Zuwena? aliuliza Tom . Zuwena alikuwa akilia "nimeua nimeua nimeua". Tom" umemua nani ? aliuliza . Zuwena " dada sababu yako tu " . Tom alibidi atoke aingie ndani na kumkuta amefariki madam wake .

Tom alimwambia" Zuwena tuseme kuwa amejiua mwenyewe kwa mawazo ya mume " . Kweli waliandika barua na kumuekea mkononi na kupiga simu polisi . Polisi walienda walisoma ile barua na kumuoji Zuwena na Tom walisema kajiua mwenyewe.

Jasmine alikuwa kidato cha pili board alikuja kufatwa matroni wake kuwa anaitajika nyumbani. Jasmine alitoka yeye na wanafunzi wezake adi nyumbani kufika kwao ndo anakutana na msiba . Jasmine alilia sana kwani alikuwa ni mtoto yatima tena. ambaye wazazi wake wote wamefariki .

Msiba ulishaa na Jasmine alibaki na mama ake mdogo na mlinzi ndo baba ake mdogo . Zuwena alianza kumtesa sana Jasmine akiomba chochote apewi anafanyishwa kazi ngumu sana . Alipigwa kama mbwa mwitu masikini na kunyimwa chakula na atakuachishwa shule kidato cha pili .

Jasmine alikuwa akipenda sana kusoma ndoto yake kuwa Mwanasheria lakini mama ake mdogo aliamua kizima ndoto yake kwa kumuuza kwa madam Frida kama mfanyakazi wandani..

Alipofika Dar maana alikuwa akiishi Mwanza . Aliingia bonge la jumba na kuwakuta wadada wengi wamevalia mavazi ya uchi. Madam Frida alimuita binti Zawadi na Zawadi kwenda pale .

*******************

" Naomba ufundishe huyu dada kazi " alisema madam Frida . Jasmine alijua kazi za ndani na Zawadi kumchukua adi chumbani kwake kumpa nguo vipensi na sidilia kuvaa .

Jasmine " kwanini kazi gani unavaa nguo za uchi jamani ? aliuliza . Anita alianza kumcheka" hii mchamba huyu dada ". Zawadi " ebu muache mwezenu kwanza na kuwafukuza wote " . Jasmine
" niambie ukweli dada nikazi ipi ? aliuliza .

Zawadi alimuangalia alibidi amwambie" nikazi ya kujiuza mwili kwa wanaume". Jasmine alianza kulia masikini ndo mwisho ya stori ya Jasmini .

Hans " pole sana Jasmine kwa mambo yaliyokukuta "aliongea uku akimkumbatia. Hans aliendelea kusema" sehemu ya kuishi utaenda kuishi kwetu sawa".

Jasmine aliitikia " asantee sana sina cha kukulipa Mungu atakulipa zaidi ". Nyumbani kwa kina Hans walikuwa walishangaa! Hans karudisha mabegi mwenyewe yupo wapi ? walikuwa wakijiuliza .

"Hans yupo wapi? aliuliza Najma . Mama Hans " kwani nani kaleta mabegi ? aliuliza .
Zuri " jamani mtamulizaje kubwa zima miaka 26 mumchunge kisa nini " aliongea uku akimbedulia midomo wifi ake alivyokuwa awapati ndo kabisa .

Kidogo walisikia hodi, Zuri kieleele alienda kufungua mlango na kumkuta Hans akiwa ameshika Jasmine mkono. Zuri " wawooow alimkumbatia Jasmine kama anamjua na kuingia nae ndani .Hans alikubakia kucheka tu na kuingia ndani

" Karibu Jasmine jisikie hupo nyumbani " alisema Hans. "Mama na baba anaitwa Jasmine ni mdada niliyemsaidi" aliongea Hans

Najma alisema"kwahiyo umechelewa kurudi nyumbani sababu ya huyo mwanamke wako " aliongea kwa hasira na kususa kuingia ndani . Hans alibidi amkimbilie Najma chumbani kwake .

itaendelea .
Muendelezo ni tsh 1000 tu Namba 0756748557 Mpesa , 0659 387908 Tigopesa jina Badru Badru.
 
JASMINE
MTUNZI BEBAS CUTELY .
SEHEMU YA 17 .
BOOKING 0756748557.

Rahma " kumbe huyu dada ndo tabia yake umalaya" alisema. Nasra " ndio anatoka na dereva pikipiki moja hivi hapo ndo anaenda" aliongea . " Duuuuh bro Hans akijua je sijui itakuwaje" alisema Rahma.

" Alafu aoni aibu anafanya mambo ayo ukweni huyu sio bure akufundwa huyu" alisema Nasra . Walicheka kwa pamoja "pole yake mwanamke mwezetu ambaye mfundo akufundwa " waliongea kwa pamoja . Jasmine alinyanyuka zake masikini na kujikung'uta kuingia jikoni.

"Mnapika nini leo ? aliuliza . Nasra " sisi tunapika kutoka na kaka mkubwa anavyopenda ". Jasmine" nani huyo ? aliuliza . Rahma" tunakaka mwingine zaidi ya Hans umu ndani" . Jasmine alibaki kuguna mmmmh " anapenda nini ? aliuliza .

Nasra " kaka Hans anapenda biriani siku ya leo ijumaa alafu sisi wenye atujui kupika adi anatoka nje kula kama unajua mfanye surprise kidogo" aliongea . Jasmine " mmmh sijui kama nitakumbuka kupika hicho chakula maana sijapika kitambo sana".

" Jamani tupikie biriani leo na sisi wengine tulionje" alisema Nasra . Jasmine" sawa ngoja nijaribu kupika likitoka baya simo ". Walicheka kwa pamoja na kuanza kupika . " Nasra umeona kitu hicho " alisema Rama.

Nasra " aise huyu mdada fundi anajua adi anajua tena "aliongea . Jasmine " jamani ebu msinisifie kabla amjara kama kibichi je " aliongea. " Kwa macho tu kimeiva ".

Najma alirudi nakuwanyari wezake kuingia ndani. Rahma alianza kucheka " eeeeeh kashatoka kuliwa mtu hapa karudi ". Nasra" ukiona hivyo bwana yupo njiani ndo maana karudi ".

Kidogo magari ayo yanarudi wakwanza alikuwa Hans akirudi . Hans alikuwa kashuka kwenye gari akiongea nasimu nakuita Nasra na wezake waje kubeba mizigo .Walitoka wote watatu Hans alifungua gari lake nakujisema" nimetoka shamba na kujinyosha ".

" Umeshapozea teali "? Hans alímuuliza Jasmine. Jasmine alijibu" ndio nimepozea teali " . Hans aliwambia wakina Nasra" hapa kazi tu amna ugeni". Walicheka" amna ametaka mwenyewe brother sisi tunamwambia ache anataka". Hans" aya bhana " na kuendelea na mambo yake maana jini kisirani alikuwa yupo mlangoni.

*********************

Walimaliza kushusha mizigo na Hans alifunga gari lake na kuingia ndani . " Hey mbona upo mlangoni kama askali mgambo vipi kunatatizo lolote ? alímuuliza Najma..

Najma alimuangalia juu adi chini " nakushangaa wewe unavyocheka cheka na wadada wa kazi " alimfonya na kuingia ndani . Hans alibaki kujikuna kichwa na ufunguo " eéeh kuwa uyaone "na kuingia ndani kwake. Wazazi wake walirudi kazini nakuingia bafuni kuoga kukaa kula .

Hans "nani kapika birani leo ?alianza . Jasmine alianza kutetemeka akiwangalia wezake wakiwa wanakula . Mama Hans " jamani simnauliza au amtaki zawadi maana mmefikisha boss leo". Nasra alisema" mpishi mgeni huyo sisi tokea lini tukavijua vya kihindi".

Walicheka kwa pamoja na Hans alimuangalia Jasmine na kumkonyeza. Jasmine aliona aibu na kumuangalia chini . Zuri kidogo anarudi chuo akiwa kabeba mizigo kibao.

Mama Hans " vipi mwezetu na mzigo yote ? aliuliza. Zuri " aah nimetoka shopping kununua nguo za Jasmine". Watu wote walibaki kumuangalia Zuri , Zuri aliingia chumbaní kwake. Baba Hans " aise Jasmine anakismati umu ndani" .

Mama Hans" nakwambia Zuri huyo akatoa pesa yake na kununua nguo " alisema . Najma alikasirika na kunawa kuondoka zake akiwa amenuna . Mama Hans" makubwa aya " alisema . Watu wote walicheka sana na kuendelea kula.

Hans alisimama na kumfata Najma " mbona unaniletea aibu katika familia eéeh ? aliuliza . Najma" na uchungu sana wazazi wako ,mdogo wako na wewe mwenyewe unasifia sana yule dada kushinda mimi" aliongea.

Hans alicheka únataka kusifiwa " kwa kuamka saa 4 asubuhi , au kwa kukaa zako kuchezea simu muda Najma unanizalilisha mke wangu".

itaendelea .
800 tu namba ni 075674855 mpesa, Tigopesa 0659 387908 jina badru badru.
 
Back
Top Bottom