Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kwa hiyo ili kujiunga unapaswa nifanye nini?yan shida sio kukutumia telegram. mwandishi ndo ana access ya kuunga watu kwa magrup
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ili kujiunga unapaswa nifanye nini?yan shida sio kukutumia telegram. mwandishi ndo ana access ya kuunga watu kwa magrup
Mireille okoa jahazi mpendwa yaani mmetuonjesha halafu mnataka mtuache bila kufika mwisho?Kitabu kimoja Cha 15 Cha 16 nitakusaidia mm[emoji85]
[emoji1787]Hadi Lisa akaapiza hatojaribu Tena akakosa na usingiziMireille okoa jahazi mpendwa yaani mmetuonjesha halafu mnataka mtuache bila kufika mwisho?
Hata Lisa hskukubaliana na Alvin pale alipomchochea hadi akaloa kisha akamuachia njiani pale Masaki, inaikumbuka hiyo bifu?
Yaani inauma sana tu, tuhurumie sasa[emoji1787]Hadi Lisa akaapiza hatojaribu Tena akakosa na usingizi
[emoji1787]Hadi Lisa akaapiza hatojaribu Tena akakosa na usingizi
[emoji1787]screen shoot uwatumie
Kitabu kimoja Cha 15 Cha 16 nitakusaidia mm[emoji85]
Nitakutafuta uisomeiyoo siikumbuki ni sehemu gani??
Mireille tunza ahadi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85]
Huu uzi umefungwa rasmi.Tuendelee na mambo mengine [emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85]
Ndio maana ukurasa umefungwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani shida ni mwandishii sio sisi[emoji22][emoji22] hatuna namna tunaweza tuma tena